sw_tn/1co/16/10.md

328 B

muoneni kwamba yuko na ninyi pasipo kuogopa

" kusiwe na sababu ya kumfanya aogope anapokuwa miongoni mwenu"

Mtu yeyote asimdharau

Timotheo alikuwa kijana sana kuliko Paulo hivyo wakati mwingine hakupewa heshima aliyostahili kama mtumishi wa Injili

ndugu yetu Apolo

Neno "yetu" nilinamhusu Paulo na watu aliowaandikia