sw_tn/1co/15/58.md

564 B

Sentensi unganishi

Paulo anataka waumini wakati wanamtumikia Bwana wakumbuke juu ya kugeuzwa na kupata miili ya ufufuo ambayo Mungu atawapatia.

iweni imara na msitikisike.

Paulo anaelezea juu mtu mwenye nguvu za kimwili asiyekubali kushindwa katika kutimiza uamuzi wake. kwa maneno mengine inamaanisha " kufanya uamuzi thabiti"

Daima itendeni kazi ya Bwana

Paulo anaongelea jitihada alizifanya katika kumtumikia Bwana kama vile vitu vya thamani ambavyo kila mtu anapaswa kuvipata. kwa maneno mengine anasema " siku zote mtumikieni Bwana kwa uaminifu"