366 B
366 B
Kinacho pandwa..., na kinacho ota...
Mwandishi anafananisha watu wanaozika maiti kwenye kaburi na watu wanaopanda mbengu itakayo zaa matunda. kwa kitenzi tendaji ni sawa na kusema " Ni kipi kinazikwa kaburini... nikipi kinachotoka kaburini " au watu huzika kitu gani...na Mungu hufufua kitu gani"
kinaharibika... hakiharibiki.
Kina oza... kisichoweza kuoza