sw_tn/1co/15/42.md

366 B

Kinacho pandwa..., na kinacho ota...

Mwandishi anafananisha watu wanaozika maiti kwenye kaburi na watu wanaopanda mbengu itakayo zaa matunda. kwa kitenzi tendaji ni sawa na kusema " Ni kipi kinazikwa kaburini... nikipi kinachotoka kaburini " au watu huzika kitu gani...na Mungu hufufua kitu gani"

kinaharibika... hakiharibiki.

Kina oza... kisichoweza kuoza