sw_tn/1co/15/15.md

533 B

Sentensi Unganishi

Paulo anataka kuwathibitishia kuwa Kristo alifufuka kutoka kwa wafu.

Na tumepatikana kuwa mashahidi wa uongo kumuhusu Mungu

Paulo anahoji kwamba kama Kristo hakufufuka kutoka kwa wafu, hivyo wanatoa ushahidi wa uongo kuhusu Kristo kwamba amefufuliwa kutoka kwa wafu.

tumepatikana

"kila mtu anaweza kuona jinsi tulivyo"

imani yenu ni bure na bado mko kwenye dhambi dhambi.

imani yao ni kuwa Kristo alifufuka kutoka kwa wafu, na kama hicho hakikutokea, imani yao haina maana, haiwasaidii chochote.