sw_tn/1co/15/12.md

321 B

iweje baadhi yenu mseme hakuna ufufuo wa wafu?

Paulo anatumia swali hili kuanza mada mpya. Kwa maneno mengine anasema "Hampaswi kuwa mnasema hakuna ufufuo wa wafu"

kama hakuna ufufuo wa wafu, hivyo hata Kristo hajafufuliwa.

Kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu, ni kusema kwamba Kristo hakufufuka kutoka kwa wafu.