354 B
354 B
manabii wawili au watatu wanene,
inaweza kumaanisha: 1) Manabii wawili au watatu tu wahutubie katika kusanyiko moja au 2)Manabii wawili au watatu tu wapokezane katika kunena kwa wakati mmoja.
kilichosemwa
katika muundo tendaji ni " kile wanachonena"
akifunuliwa jambo
katika muundo tendaji unaweza kusema " Kama Mungu akimpa ufunuo mtu mmoja"