sw_tn/1co/11/31.md

421 B

tunajichunguza

Paulo aneleza uhusiano wa mtu na Mungu, jinsi mtu anavyoishi katika maisha yake kwamba anatakiwa ayaangalie maisha yake na kuyatathmini kama mtu ayetaza kitu anapotaka kukinunua.

hatutahukumiwa

ikielezwa kwa muundo tendaji:" Mungu hatatuhukumu"

tunapohukumiwa na Bwana, twarudiwa, ili tusije tukahukumiwa

ikielezwa kwa muundo tendaji:" Mungu anatuhukumu, anatusahihisha, ili asije akatushutumu"