sw_tn/1ch/23/30.md

420 B

Pia walisimama

"Walawi Pia walisimama"

na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh

"wakati makuhani walipo toa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh"

sherehe za mwezi mpya

Hizi siku kuu ziliadhimisha mwanzo wa kila mwezi.

Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh

"Ilikuwa ni wajibu wa baadhi ya idadi ya watu wa Walawi kuwepo wakati wa kutoa sadaka kwa Yahweh"