sw_tn/lev/19/26.md

174 lines
4.2 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# damu
2021-09-10 19:21:44 +00:00
Msemo "damu" humaanisha kimiminika chekundu kinachotoka kwenye ngozi ya mtu panapokuwa na jeraha au kovu. Damu huleta virutubisho vitoavyo uhai kwa mwili mzima wa mtu.
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Damu hutoa ishara ya uhai na
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
inapomwagwa au kutolewa nje, hutoa
2019-05-21 20:17:16 +00:00
ishara ya kupoteza maisha, au kifo
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Watu waliotoa dhabihu kwa Mungu, waliua
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
mnyama na waliimimina damu yake juu ya
madhabahu. Hili lilitoa ishara ya dhabihu ya
2019-05-21 20:17:16 +00:00
uhai wa mnyama kulipa dhambi za mtu.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kwa kupitia kifo chake msabani, kiishara
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
damu ya Yesu iliwasafisha watu kutoka
katika dhambi zao na hulipa ile adhabu
wanayostari kwa ajili ya dhambi hizo
dhambi zao
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Yale maelezo "nyama na damu" humaanisha
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
wanadamu
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Yale maelezo "mwili na damu yako
mwenyewe" humaanisha watu
2019-05-21 20:17:16 +00:00
wanaohusiana kizazi
2021-09-10 23:29:28 +00:00
MAELEZO YA UFASIRI
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Msemo huu sharti ufasiriwe na msemo
2019-05-21 20:17:16 +00:00
unaotumika kwa damu katika lugha lengwa
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Yale maelezo "mwili na damu" yangeliweza
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
kufasiriwa kama "watu" au viumbe vyenye
2019-05-21 20:17:16 +00:00
uhai."
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kulinga na muktatha, yale maelezo "nyama
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
na damua yangu mwenyewe "waweza
kufasiriwa kama "familia yangu mwenyewe"
au "jamaa yangu mwenyewe" au watu
2019-05-21 20:17:16 +00:00
wangu mwenyewe."
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Endapo kutakuwa na maelezo yoyote katika
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
lugha lengwa yanayotumika pamoja na
maana hii, yangeweza kufasiri "mwili na
2019-05-21 20:17:16 +00:00
damu"
# roho, -a kiroho
Msemo roho hulenga sehemu ya watu isiyo na maumbile isiyoweza kuonekana. Mtu anapokufa, roho yake huuacha mwili wake. Pia "roho" yaweza kumaanisha tabia au hali ya kujisikia.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Ule msemo "roho" waweza kumaanisha
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
kiumbe kisicho na mwili unaoonekana,
2019-05-21 20:17:16 +00:00
hasa roho ovu.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Roho ya mtu ni sehemu yake inayoweza
2019-05-21 20:17:16 +00:00
kumjua Mungu na kuamini katika Yeye.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kwa ujumla msemo "-a kiroho" hukielezea
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
chochote katika ulimwengu usio na
2019-05-21 20:17:16 +00:00
maumbile
* Kwenye Biblia, hasa hulenga chochote kile
kinachohusiana na Mungu, moja kwa moja
kwa Roho Mtakatifu.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kwa mfano, "chakula cha kiroho" huhusiana
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
na mafundisho ya Mungu yatoayo lishe kwa
roho ya mtu, "Ile "hekima ya kiroho"
humaanisha ufahamu na tabia adilifu
inayotokana na uweza wa Roho Mtakatifu.
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Mungu ni Roho naye aliumba viumbe roho
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
wengine wasio na miili ya kuonekana.
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Malaika ni viumbe roho, pamoja na wale
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
walioasi dhidi ya Mungu na wakawa roho
waovu.
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Ule msemo "roho ya" pia waweza
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
kumaanisha "kuwa na tabia bainishi za,"
2021-09-10 23:29:28 +00:00
kama vile katika, "roho ya hekima" au "katika roho ya Eliya."
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Mifano ya "roho" kama nia au hisia
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 23:29:28 +00:00
ungejumuisha "roho ya woga" au "roho ya wivu"
2021-09-10 19:21:44 +00:00
2021-09-10 23:29:28 +00:00
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kwa kutegeana na muktadha, baadhi ya njia
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
za kufasiri "roho" zinaweza kuhusisha,
"kiumbe kisicho na maumbile" au "sehemu za
ndani" au "utu wa ndani."
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Katika mazingira mengine, ule msemo "roho"
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
waweza kufasiriwa kama "roho ovu" au
"kiumbe roho ovu"
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Wakati mwingine ule musemo "roho"
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
umetumika kuelezea hisia ya mtu aka vile,
"roho yangu ilihuzunishwa katika utu wangu
wa ndani." Hii pia yaweza kufasiriwa kama,
"nilijisikia kuhuzunishwa rohoni mwangu" au
"nilisikia kuhuzunishwa mno."
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kile kirai roho ya" chaweza kufasiriwa kama,
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
"mwenendo wa, au ushawishi wa," au "nia ya"
2019-05-21 20:17:16 +00:00
au fikira"
# uweza, weuzo
Ule msemo "uweza" humaanisha uwezo wa kufanya mambo au kusababisha mambo yatokee, mara kwa mara kwa kutumia nguvu kubwa. "Uwezo" humaanisha watu au roho zenye uwezo wa kusababisha mambo kutokea.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Ule "uweza" wa Mungu hurejelea uwezon
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
wa Mungu wa kufanya mambo yatokee,
hasa mambo yasiyowezekana kwa watu
kuyatenda.
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Mungu anauweza kamili juu ya kila kitu
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
ambacho amekiumba
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* ungu huwapa watu wake uwezo wa
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
kufanya kile atakacho, ili kwamba
wanapoponya watu au kutenda miujiza,
wawe wanafanya hivi kwa uweza wa
2019-05-21 20:17:16 +00:00
Mungu.
2021-09-10 23:29:28 +00:00
MAPENDEKEZO YA UFASIRI
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Kwa kutegemeana na muktadha, ule
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
msemo "uweza" pia wawweza kufasiriwa
kama "uwezo" au "nguvu" au "bidii" au
2019-05-21 20:17:16 +00:00
"uwezo wa kutenda miujiza au kudhibiti."
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Njia zinazowezekana kufasiri msemo
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
"uweza" yaweza kuhusisha "wenye uhai
walio na uwezo mkubwa" au roho zenye
2019-05-21 20:17:16 +00:00
kutawala" au "wale wanaotawala wengine"
2021-09-10 19:21:44 +00:00
* Yale maelezo kama vile "utuokoe kutoka
2019-05-21 20:17:16 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
katika nguvu za adui zetu" waweza
kufasiriwa kama, "utuokoe kutokana na
kugandamizwa na adui zetu" au "utuokoe
kutoka katika kutawaliwa na adui zetu."
Katika hali hii, "uweza" una maana ya
kutumia nguvu za mwingine kudhibiti na
2019-05-21 20:17:16 +00:00
kugandamiza wangine.