28 lines
930 B
Markdown
28 lines
930 B
Markdown
|
# Ikawa
|
||
|
|
||
|
"Hapo baadae, katika siku ya tatu". msemo "ikawa" unatumika hapa kuweka alama kwa tukio jipya katika simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Akafanya sherehe
|
||
|
|
||
|
"Akawa na sherehe"
|
||
|
|
||
|
# mkuu wa wanyweshaji
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa mtu kiongozi ambaye aliandaa na kuhudumia vinywaji kwa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# mkuu wa waokaji
|
||
|
|
||
|
Huyu alikuwa mtu kiongozi ambaye aliandaa chakula kwa ajili ya mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Akamrudisha mkuu wa wanyweshaji katika majukumu yake
|
||
|
|
||
|
"majukumu" wa mkuu wa wanyweshaji una maana ya kazi yake kama mkuu wa manyweshaji. "Alimrudishia mkuu wa wanyweshaji kazi yake"
|
||
|
|
||
|
# Lakini akamtundika mkuu wa waokaji
|
||
|
|
||
|
Farao hakumnyonga mwokaji yeye binafsi, ila aliaamuru anyongwe. "Lakini aliamuru mkuu wa waokaji anyongwe" au "Lakini aliamuru walinzi wake kumnyonga mkuu wa waokaji"
|
||
|
|
||
|
# kama Yusufu alivyokuwa amewatafsiria
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya pale ambapo Yusufu alitafsiri ndoto zao. "kama vile Yusufu alivyosema kingetokea pale alipotafsiri ndoto za wanamume wale wawili"
|