20 lines
455 B
Markdown
20 lines
455 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Sauli anamwambia Samweli kwa nini amefanya kitendo hicho kama kuhani na kutoa sadaka.
|
||
|
|
||
|
# Hukuheshimu amri ya BWANA
|
||
|
|
||
|
Sauli alipaswa amsubiri Sauli afike na atoe sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana na sio kufanya hivyo yeye.
|
||
|
|
||
|
# Aliutengeneza utawala wako
|
||
|
|
||
|
"Aliuweka utawala wako" au "aliuchagua utawala wako"
|
||
|
|
||
|
# utawala wako hautaendelea
|
||
|
|
||
|
"Utawala wako utakoma muda si mrefu"
|
||
|
|
||
|
# mtu anayekubaliwa na moyo wake
|
||
|
|
||
|
"Mtu atakayefuata amri zake"
|