dav_reg/42-MRK.usfm

948 lines
77 KiB
Plaintext

\id MRK
\ide UTF-8
\h Marko
\toc1 Marko
\toc2 Marko
\toc3 mrk
\mt Marko
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Uhu ni mwanzo gwainjili ya Jesu Kristo, mvalwa wa Mlungu.
\v 2 Sa andu iandikiwe na mlodi Isaya, "Guwa, ndamduma mjumbe wapwa imbiri yako, umweri atayarisha gha chia yako.
\q
\v 3 Sauti ya mundu awaghagha nyikenyi, "ikamilishenyi chia ya Mzuri, righaghoenyi chia rake."
\p
\v 4 Yohana wachee, akibatiza nyikenyi na kuhubiri ubatizo gwa kutesiwa dhambi kwa msamaha gwa dhambi.
\v 5 Isanga jose ja Yudea wose wa yerusalemu waghendie kwake. Warikogho wakibatizigwa na ye katika mweda yordani, wakiungama dhambi rawe.
\v 6 Yohana wakogho adarwa ivazi ja mafurigha ngamila na mkanda gwa mrongo kuwonunyi kwake, na wakogho adaja nzige na wuki gwa isakenyi.
\v 7 Wahubirie na kudeda, "Weko amweri adacha baada yapwa mweni ndighi zaidi kuliko nyi, na sidae hachi hata ya kughoghema ndonyi na kurughua chugha ra vandu vake.
\v 8 Nyi nawabatizie kwa machi, ela yedimawamibatiza inyo kwa ngolo wa kuela."
\p
\v 9 Yafumirie katika maruwa agho kwamba Jesu wachee kufuma Nazareti ya Galilaya, na wabatiziwe ni Yohana katika mwadedagwa yordani.
\v 10 Makati Jesu wachawukia kufuma machinyi, wawonie mbingu rawaghanyika mwari na ngolo wa sea ndonyi ighu yake sa njiwa.
\v 11 Na sauti yafumirie mbingunyi, "We wa mwanapwa mkundwa. Naboiwa nanganyi ni we."
\v 12 Kisha mara imweri Ngolo akambonya ndighi kughenda nyikenyi.
\v 13 Wakogho nyikenyi maruwa arobaini, akigheriwa ni shetani. Wakogho andu amweri na wanyamandu wa mwitunyi, na malaika wamtawaria.
\p
\v 14 Idana baada ya Yohana kuwadigwa, Jesu wachee Galilaya akitangaza injili ya Mlungu.
\v 15 Akideda, "Taimu ratimia, na ufalme gwa Mlungu, gwakaribia. Tesiwenyi dhambi na kuamini katika injili.
\p
\v 16 Na akiida mbai ya bahari ya Galilaya, wamwonie simoni na Adrea mmbari wa simoni wakida gha nyavu rawe katika bahari, kwa wuja wakogho wavuvi.
\v 17 Jesu wawaghoria, "chonyi, nnughenyi, na dimana miboya wavuvi wa wandu."
\v 18 Na mara imweri wasighie ngavu na wakamnugha.
\v 19 Makati Jesu wachatembea umbali kitineri, wamwonie Yakobo mvalwa wa Zebedayo na Yohana mmbari wake, wakogho mtumbwinyi wakiboisa nyavu.
\v 20 Mara wawangie na wo wamsighe ndee wawe zebedayo ndenyi ya mtumbwi na watumishi wakodiwe, wakamnugha.
\p
\v 21 Na wachafika kaprenaumu, maruwa gha sababto, Jesu wangie isinagoginyi na kufundisha.
\v 22 Wajishangaie jake kwa vija wakogho akiwafundisha sa andu ambae akona mamlaka na sio sa waandishi.
\v 23 Makati agho gheni kurikogho na mundu katika isinagogi jawe warikogho na ngolo mchafu, na wakabie jogho,
\v 24 Akideda, "Dikona indoi cha kubonya na we, Jesu wa Nazareti? wacha kudiangamiza? Ndakumawa ani. We wa kweli pekee wa Mlungu!"
\p
\v 25 Jesu wamkemie pepo na kudeda, "Nyama kima na ufume ndenyi yake!"
\v 26 Na ngolo mchafu wamgwishie, ndonyi na akafuma kwake makati akilila kwa sauti ya lughu.
\p
\v 27 Na wandu wose washangaie, huwo wakakotiana kila umweri, "Ihi ni indoi? Ifundisho wishijeni mamlaka? Ata adaamuru pepo wachafu nawo wadamtii!"
\v 28 Na habari kuhusu ye mara imweri rikasambaa kila andu ndenyi ya mkoa gwose gwa Galilaya.
\p
\v 29 Na mara imweri baada ya kufuma shighadi ya isinagogi, wangia nyumbenyi kwa simoni na Adrea wakika na Yakobo na Yohana.
\v 30 Idana mkeku wa simoni wakogho watungura mkongo wa homa, na mara imweri wamghoria Jesu habari rake.
\v 31 Huwo wachee wamwhada kwa mkonu, na kumnuaigha; homa ikainga kwake, na wawokie kuwatawaria.
\p
\v 32 Kwenyi iyo makati iruwa ja siazama, wamredia kwake wose warikogho wakogho, angu wapagawe ni pepo.
\v 33 Mzi gwose wakwana andu amweri katika mjango.
\v 34 Wawarika wengi wakogho wakongo wamakongo tofauti na kufanya pepo wengi, bali ndaruhusie pepo kuaria kwa sababu wammanyie.
\p
\v 35 Wawukie kesho kio mapema, makati ikogho bado kira; waingie na kughenda andu kwa faragha na watesie uko.
\v 36 Simon na wose wakogho andu amweri na ye wa mlola.
\v 37 Wampatie na wakamghoria, "kila umweri adakulola"
\p
\v 38 Wawaghoria, "Dighendenyi andu kumwi, shighadi katika mizi izungulikagha, ili ndime kuhubiri uko pia. Nio sababu nachee aha."
\v 39 Waghendie akiida Galilaya yose, akihubiri katika masinagogi yawhe na kukemia pepo.
\p
\v 40 Mweni ukoma umweri wachee kwake. Wakogho akimsihi; wakabie magoti na wamghoria, "Ngelo udakundi, wadima kinibonya nike aelie."
\p
\v 41 Akisukumwa ni mbazi, Jesu waghaghoa mkonu gwake na kuwhada, akimghoria, "Ndakundi uke aelie."
\v 42 Mara imweri ukoma ukamuinga, na wabonyiwe kuka imweri,
\v 43 Jesu wamwonyie vikali na akamzera aghende mara imweri,
\v 44 Wamghoria, "Hakikisha ndudedagha idedo kwa wowose, ela ghenda, ukibonyirie kwa kuhani, na ufunye dhabihu kwa ajili ya utakaso ambayo Musa walagizie, sa ushuhuda kwawhe."
\v 45 Ela waghendie na kuwoka kughoria kila umweri na kueneza idedo zaidi hata Jesu ndadimie sena kungia mzinyi kwa uhuru. Huwo wakee andu kwa faragha na wandu wachee kwake kufuma kila andu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Achawuya kaperenaumu baada ya maruwa machache, yasikika kwamba wakogho nyumbenyi.
\v 2 Wandu wengi nanganyi wakogho wakwana andu amweri aja na ndaikogho nafasi sena, hata ija ya aja mjangonyi, na Jesu wadedie idedo kwawhe.
\v 3 Kisha baadhi ya wandu wachee kwake wamreda mundu wakogho waolola; wandu bana wakogho wamndwa.
\v 4 Makati wachalemwa kumkaribia kwa sababu ya umati gwa wandu, wa injie paa ighu ya andu aja wakogho. Na warikogho wameria toboa itundu, waserie kitanda ambacho mundu waolole wakogho watungura.
\v 5 Achaiwona imani yawe, Jesu wamghoria mundu waolole, "mwanapwa, zambi rako rasamehewa"
\p
\v 6 Ela baadhi ya waandishi waja wakogho waka aja wakihojie miongonyi kwawhe.
\v 7 "Adima wada mundu uyukudeda huwu? Adakufuru! ani adimagha kusamehe zambi isipokuwa Mlungu mweni keri?"
\p
\v 8 Mara Jesu wamanyie ngolonyi kwake chija wakogho wakitenganya, miongonyi kwawhe weni. Wawaghoria, "kwa indoi mteganyaa huwu mionyonyi kwenyu?
\v 9 Jiao ni jepesi zaidi kudeda kwa mundu wa olole, 'Zambi rako rasamehewa' angu kudeda kakimsi, wusa kitanda chako, na utembee?'
\v 10 Ela iliwapate kumanya ya kuwa mvalwa wa Adamu akona mamlaka ya kusamehe zambi katika dunia, waghoria uja waolole,
\v 11 "Ndakughoria we, wukia, wusa mkeka gwako, na ughende nyumbenyi kwako."
\p
\v 12 Wakee kimsi na mara imweri akawusa mkeka gwake, na waghendie shighadi ya nyumba imbiri ya kila mundu, huwo wose washangae na wamnekie Mlungu utukufu, na wakadeda "kamwe, ndadiwahie kuwona ilagho sa iji."
\p
\v 13 Waghendie sena mbai ya ziwa, na umkati gwose gwa wandu wachee kwake, na akawafundisha.
\v 14 Warikogho akiida wamwonie Lawi mvalwa wa Alfayo waka andu kwa kuwika andu amweri kodi na akamghoria, "Nnughe." Wakeekimsi na kumnugha.
\p
\v 15 Na makati Jesu warikogho akiipata vindo katika iwacha ja Lawi, wawikagha andu amweri kodi na wandu weni zambi wakogho wakija na Jesu na wananfunzi wake, kwa wuja wakogho wengi nawo wamnugha.
\v 16 Makati waandishi, ambawo wakogho mafarisayo, wachamwona kwamba Jesu wakogho akija na wandu weni zambi na wawikagha andu amweri kodi, wawaghoria wanafunzi wake, "kwa indoi adaja na wawikagha andu amweri kodi na wandu weni zambi?"
\p
\v 17 Makati Jesu wachasikira huwu wawaghoria, "Wandu weni afya katika muwi ndawamhitaji tabibu, ni wandu wakogho pekee nio wadamhitaji. Sichee kuwawanga wandu weni hachi, ela wandu weni zambi."
\p
\v 18 Wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo wakogho wakifunga. Na baadhi ya wandu wacheee kwake na kumghoria, "kwa indoi wanafunzi wa Yohana na mafarisayo hufunga, ela wanafunzi wako ndawafungagha?
\p
\v 19 Jesu wawaghoria, "Je wahudhuruie arusini wadimagha kufunga makati bwana arusi bado akika andu amweri nawo? kwa vovose bwana arusi akika bado weko andu amweri nawo ndawadimaa kufunga."
\v 20 Ela maruwa dimaghacha makati bwana arusi achainjigwa kwawhe, na katika maruwa agho wo dimawafunga.
\p
\v 21 Ndakudae mundu ashonagha kiwande kiwishi cha nguwo kweni ivazi kuukuu, vinginevyo kiraka dima chabanduka kufuma katika ijo, kiwishi kubanduka kufuma katika kikuukuu, na dimakwaka na mrashulo mbaha.
\v 22 Ndakudae mundu akumbagha divai mbishi viribenyi vikuukuu, vinginevo divai dima ya virashula viriba na vose viwi divai na viriba dima valaghaya. Badala yake, wika divai mbishi katika viriba viwishi."
\p
\v 23 Katika iruwa ja sabato Jesu waidie kweni baadhi ya mbuwa, na wananfunzi wake wawokie kuwusa baadhi ya masuke gha ngano.
\v 24 Na mafarisayo wamghoria, "Guwa, kwaindoi wadabonya kilambo ambacho ni kinyume cha sheria katika iruwa ja sababto?"
\p
\v 25 Wawaghoria, "Ndamsomie chija abonyie Daudi andu wakogho katika uhitaji na njala--ye andu amweri na wandu wakogho andu amweri nae?
\v 26 Jinsi waghendie katika iwacha ja Mlungu makati Abiathari warikogho kuhani mbaha na akaja mkate uwi kiwegwe imbiri--ambao irikogho kinyume cha sheria kwa wandu wowose kuja isipokuwa makuhani--na wawaneka hata baadhi ya waja wakogho andu amweri nae?"
\v 27 Jesu wadedie, "sabato yabonyiwe kwa ajili ya mdamu, siyo mdamu kwa ajili ya sababto.
\v 28 Kwa huwo, mvalwa wa Adamu wa mzuri, hata kwa sababto."
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Na sena wangia ndenyi ya isinagogi na mja kurikogho na mundu mweni mkonu ulole.
\v 2 Baadhi ya wandu wakogho wakimnughiria kwa ukaribu kuwona ngelo dimawamkira iruwa ja sabato ili kwamba wamshitaki.
\v 3 Jesu wamgheria mandu mweni mkonu uolole, "Wukia na ukekimsi ghadighadi ya umati ughu."
\v 4 Kisha akawaghoria wandu, Je ni halali kubonya itendo jiboie iruwa ja sabato angu kubonya ghasadae hachi, kutesia maisha, angu kubwagha? "Ela wabakie kimumure.
\v 5 Akawaguwa kwa hasira, akiwona mbazi kwa sababu ya ugumu wa mioyo yawhe, na akamghoria uja mundu, "ghaghoa mkonu gwako." Akaghughaghoa na Jesu akamkira mkonu gwake.
\v 6 Mafarisayo wakaghenda shighadi na mara wakabonya njama andu amweri na maherode dhidi yake ili kumbwagha.
\p
\v 7 Kisha Jesu, andu amweri na wanafunzi wake, waghendie baharinyi, na uamati mbaha gwa wandu wawanughie ukimfumiria Galilaya na Uyahudi.
\v 8 Na kufuma Yerusalemu na kufuma idumaya na imbiri ya Yordani na jirani ya Tiro na sidoni, umati mbaha, uchasikira kila kilambo wakogho adakibonya, wachee kwake.
\v 9 Na wawaghoria wanafunzi wake kuandaa mtumbwi mtinyi kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasache msonga.
\v 10 Kwa wuja wakira wengi, ili kila mundu wakogho na mateso wakogho na shauku ya kumfikia ili amwhade.
\v 11 Kokose ngolo wachafu wachamwona, wagwie ndonyi imbiri yake na kulila, na wadedie, "We wamvalwa wa Mlungu."
\v 12 Wamuru kwa msisitizo wasabonye amanyikane.
\p
\v 13 Waghendie ighu ya lughongo, na akawawanga waja awakundi, na wakamghenda kwake.
\v 14 Akawasaghua kumi na iwi (wawawangie walodi) ili kwamba wake andu amweri na ye na adime kuwaduma kuhubiri,
\v 15 Na kuka na mamlaka gha kufunya mapepo.
\v 16 Na akawasaghua kumi na iwi: Simoni, wamnekie irina ja Petro.
\v 17 Yakobo mvalwa wa zebedayo, na Yohana mmbahari wake Yakobo, wanekiwe irina ja Bonagesi, awo ni, wavalwa wa ngurumo,
\v 18 Na Andea, Filipo, Barthomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mvalwa wa Alfayo, Thadayo, simoni mkananayo,
\v 19 Na Yuda iskariote, ambae dimawamsaliti.
\p
\v 20 Kisha waghendie nyumbenyi, na umati gwa wandu wakacha andu amweri sena, hata wasadime kuja ata mkate.
\v 21 Familia yake wachasikira habari iyo, waghendie kumwhada, kwani wadedie, "Warukwa ni akili."
\p
\v 22 Waandishi wachee kufuma Yerusalemu wadedie, "Wapagawani Beelzeebuli," na, "kwa mtawala wa mapepo adafunya mapepo."
\p
\v 23 Jesu wawangie kwake na kudeda nawo kwa mifano, "Jinsi ki shetani adimagha kumfunya shetani?
\v 24 Ngelo ugimbikwa ukawaghanyika gweni, ugimbikwa ugho ndaudimaa kukakimsi.
\v 25 Ngelo iwacha jikawaghanyika jeni, iwacha ijo ndajidimaa kukakimsi.
\v 26 Ngelo shetani dimawanuka kinyume chake mweni na kuwaghanyika, ndadimaa kukakimsi, na dimawaka wafika mwisho gwake.
\v 27 Ela ndakudae hata umweri adimagha kungia ndenyi ya iwacha ja mundu mweni ndighi na kuiwa vilambo vake bila kumrugha mweni ndighi kwanza, na kisha kuwika andu amweri chikoo nyumbenyi.
\v 28 Loli nawaghorienyi, zambi rose ra wana wa wandu dimarasamehewa, andu amweri na kufuru ambaro wadatamka,
\v 29 Ela wowose achamkufuru Ngolo wa kuela ndasamehewa kamwe, bali akona hatia ya zambi ya kala na kala."
\p
\v 30 Jesu wajidedie iji kwa sababu wakogho wakideda, "Akona ngolo chafu."
\p
\v 31 Kisha mae na wambari wake wachee na kukakimsi shighadi. Wakamduma mundu, kumwanga.
\v 32 Na umati gwa wandu ghurikogho gwaka avui na ye wakamghoria, "Mayo nawambari wako weko shighadi, na wadakulola we."
\p
\v 33 Wawajibie, "Ni ani mawe wapwa na wambari wapwa?"
\v 34 Wawaguwie wakogho waka wamzunguluka, na akadeda, "Guwa, awa ni wakamawe wapwa na wambari wapwa!
\v 35 Wowose abonyagha mapenzi gha Mlungu, mundu uyo wambari wapwa, na dada wapwa, na mawe wapwa."
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Sena wazamie kufundisha mbai mbai ya bahari. Na umati mbaha wakwana andu amweri ukamzunguluka, akangia ndenyi ya mtumbwi baharinyi, na kuka. Umati gwose wakogho mbai mwa bahari ufukwenyi.
\v 2 Na akawafundisha malagho mengi kwa mifwano, na akadeda kwawhe kwa mafundisho ghake.
\v 3 Sikirenyi, mpanzi waghendie kuwa.
\v 4 Warikogho akiwa, baadhi ya mbeu ragwie chienyi, na wanyonyi wakacha wakarija.
\v 5 Mbeu rimwi ragwie lwalenyi, ambako ndakudaghe ndoe nyingi. Mara rikanyauka, kwa sababau ndaridaghe ndoe ya kutosha.
\v 6 Ela iruwa jicha chomoza, ranyaukie, na kwa sababu ndaridaeghe na mri, raomie.
\v 7 Mbeu rimwi ragwie ghadighadi ya minjwa. Minjwa yazoghue na ikarisonga, na ndarivae matunda ghoghose.
\v 8 Mbeu rimwi ragwie ndoenyi iboie na rikava matunda wakati zikazoghua na kuongezeka, rimwi ravae mara thelathini zaidi, na rimwi sitini, na rimwi ighana."
\v 9 Na akadeda, "Wowose mweni mandu gha kusikira, na asikire!"
\p
\v 10 Jesu warikogho mwenikeri, waja warikogho avui na ye na waja kumi na iwi wamkotia kuhusu mifwano.
\v 11 Akadeda kwawhe, "Kwenyu mwanekigwa viviso va ufalme gwa Mlungu. Ela kwa weko shighadi kila kilambo ni mifwano,
\q
\v 12 Ili wakiguwa, hee huguwa, ela ndawawonaa, na kwa huwo wachasikihra hee husikira, ela ndawaelewaa, angu siko kumachawaaghuka na Mlungu kumachawawasamehe."
\p
\v 13 Na akadeda kwawhe, "Je ndawuelewaa mfwano ughu? mdima wada kuelewa mifwano imwi?
\v 14 Mpanzi wawae idedo.
\v 15 Baadhi ni waja wagwie pembenyi mwa chia, andu idedo jawalwe. Na wachajisikira, mara shetani akacha na kujiwusa idedo ambajo jawalwandenyi yawhe.
\v 16 Na baadhi ni waja wawalwe ighu ya lwala, ambawo, andu wajisikiragha idedo, kwa karuwaruwa wadajiwokera kwa furaha.
\v 17 Na ndawadae miri yoyose ndenyi yawhe, ela huririmira kwa muda mvui. Halafu tabu na masumbufu vichacha kwa sababu ya idedo, mara hukikuwa.
\v 18 Na wamwi na waja wawalwe katika minjwa. Wadajisikira idedo,
\v 19 Ela masumbufu gha dunia, utee gwa mali, na tamaa ra malagho ghamwi, huwngia na kujisonga idedo, na jidalemwa kuva matunda.
\v 20 Kisha kukona waja ambawo wawalwa ndoenyi iboie. Wadajisikira idedo na kujiwokera na huva matunda: baadhi thelathini, na baadhi sitini, na baadhi ighana jimweri.
\p
\v 21 Jesu akawaghoria, "Je huwa udareda taa ndenyi ya iwacha na kuiwoka ndonyi ya ngau, angu ndonyi ya kitanda? Huireda ndenyi na kuiwika ighu ya kiango.
\v 22 Kwa wuja ndakudae chochose chikivisie ambacho ndachiwikwagha mwari.
\v 23 Akiwapo mweni madu gha kusikira, na asikire!"
\p
\v 24 Akawaghoria, "Kenyi makini kwa chija mchisikiragha, kwa wuja kipimo andu mwapima, nicho mpimiwagha, na dimayachurigwa kwenyu.
\v 25 Kwa sababu ye akonacho, kufuma kwake dima vawusigwa hata vija akoonavo."
\p
\v 26 Na akadeda, "Ufalme gwa Mlungu gwa fwananishwa na mundu wawae mbeu katika ndoe.
\v 27 Wachatungura na kio na kuwukia keshokio, na mbeu rikabuka na zoghua, ingawa ndamanyieghe andu ya fumiria.
\v 28 Dunia hufunya mbeu yeni, kwanza nyasi, halafu maruwa, halafu mbeu rikomaghe.
\v 29 Na makati mbeu ichazoghua yamirwa mara hughenja mundu, kwa sababu makwasho ghawadia."
\p
\v 30 Na akadeda, "diufwananishe ufalme gwa Mlungu na kilambo ki, angu ditumie mfwano ki kuuelezea?
\v 31 Ni sa mbeu ya haradari, ambacho ichawalwa ni ndini nanganyi kuliko mbeu rose dunienyi.
\v 32 Hata, makati yawalwa, idaka mbaha zaidi ya mimea yose ya bustani, na idabonya marembwe mabaha, hata wanyonyi wa mbingunyi chake."
\p
\v 33 Kwa mifwano mingi wafundishie na wadedie idedo kwawhe, kwa kadiri andu wadimie kuelewa.
\v 34 na ndadedie nawo bila mifwano. Ela makati wachaka mwenikeri, akawaeleza kila kilambo wanafunzi wake.
\p
\v 35 Katika maruwa agho, makati gha kwenyi ghachawadia, akadeda kwawhe, "Dighendenyi luwande lwa kawi."
\v 36 Huwo wakausigha umati, wakamwusa Jesu, makati agho tayari wakogho ndenyi ya mtumbwi. Mitumbwi imwi irikogho andu amwri nae.
\v 37 Na upepo mkali gwa dhoruba na mawimbi ghakogho ghakingia ndenyi ya mtumbwi na mtumbwi tayari ghwakogho gwachua.
\v 38 Ela Jesu mweni wakogho shetrinyi, watungura mtonyi. Wakamwusira, wakideda, "Mwealimu, ndujali isi didafwa?"
\p
\v 39 Na akawukia, akaukemia upepo na akaighoria bahari, "Ike shwari, amani." Upepo wakomie, na kurikogho na utulivu mbaha.
\v 40 Na akadeda kwawhe, "Kwa indoi mdaboa? Je ndamdae imani bado?"
\p
\v 41 Wachuiwe ni hofu mbaha ndenyi yawhe na wakadedeshana weni kwa weni, "Uyu wa ani sena, kwa sababu ata upepo na bahari vidamtii?"
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Wachee mpaka luwande lumwi lwa bahari, katika mkoa gwa Garasi.
\v 2 Na ghafla makati Jesu warikogho akifuma shighadi ya mtumbwi, mundu mweni ngolo chafu wachee kwake kufuma makaburinyi.
\v 3 Mundu uyu wakee makaburinyi. Ndakudae wadimie kumzuia zaidi, ndakudaeghe hata kwa minyororo.
\v 4 Wakogho warugwa matuku mengi kwa pingu na minyororo. Wademie minyororo na pingu rake rachukanyiwe. Ndakudae hata umweri warikogho na ndighi ra kumshinda.
\v 5 Kio na dime akika makaburinyi na lughoghonyi, walilie na kukidema ye mweni kwa magwe ghabirie.
\v 6 Wachamwona Jesu kwa kula, wakimbirie kwake na kughoghoma imbiri yake.
\v 7 Walilie kwa sauti mbaha, "Ukundi nikubonyie indoi, Jesu, mvalwa wa Mlungu akoo ighu nanganyi? ndakusihi kwa Mlungu mweni, usanitese."
\v 8 Kwa wuja wakogho wamghoria, "muinge mundu uyu, we ngolo mchafu."
\p
\v 9 Na ye wamkotia, "irina jako ni ani?" Na ye wamjibie, "irina japwa ni Legioni, kwa wuja deko wengi."
\v 10 Wamshie sena na sena asawaghenje shighadi ya mkoa.
\v 11 Idana ikundi ibaha ja nguwe jirikogho jikijiswa lughu ya duchughongo,
\v 12 nawo wamsihie, wakideda, "Didume kwa nguwe; dingie ndenyi yawhe."
\v 13 Huwo wawaruhusu; ngolo wachafu wawafuma na kungia ndenyi ya nguwe, nawo wakimbirie ndonyi ya duchu ghongo mpaka baharinyi, nakaribia nguwe elfu iwi wadidimia baharinyi.
\p
\v 14 Na waja warikogho wakiwajisa nguwe wakimbia na kufanya taarifa ya chifumirie katika mzi na katika isanga. Niko wandu wengi wafumie kughenda wona chifumirie.
\v 15 Niko wachee kwa Jesu na wamwonie mundu wapagaiwe ni pepo--warikogho na ijeshi--wakandonyi, warwishwa, na akika katika akili yake timamu, nawo waboa.
\v 16 Waja warikogho wawona chifumirie kwa mundu warikogho wapagawa ni ipepo wawaghoria chifumirie kwake na pia kuhusu nguwe.
\v 17 Na wo wawokie kumsihi ainge katika mkoa gwawhe.
\p
\v 18 Na warikogho akingia ndenyi ya mtumbwi, mundu warikogho wapagawa na mapepo wamsihie kwamba aghende andu amweri na ye.
\p
\v 19 Ela ndaruhusie, ela wamghoria, "ghenda nyumbenyi kwako na kwa wandu wako, na uwaghorie wakubonyia Mzuri, na wughoma akunekie."
\v 20 Huwo waghendie na wawokie kutangaza malagho mbaha ambagho Jesu wabonya kwake katika Dekapoli, na kila umweri wastaajabie.
\p
\v 21 Na makati Jesu wachaluwuka sena luwande lumwi, ndenyi ya mtumbwi, umati mbaha wakwana andu amweri kumzunguluka, warikogho mbai ya bahari.
\v 22 Na umweri wa kilongozi wa isinagogi, wawangiwe Yairo, wachee, na wachamwona, wagwie maghunyi kwake.
\v 23 Wamsihie zaidi, akideda, "Mwai wapwa mtinyi adakaribia kufwa. Ndakusihi, cho na uwike mikonu yako ighu yake ili kwamba adime kupata afya na kuishi."
\v 24 Huwo waghendie andu amweri nae, na umati mbaha ghwamnughie na wo wamzongie avui wakimzunguluka.
\p
\v 25 Kurikogho na mndumka ambae bagha yake yakogho yafuma kwa mirongo kumi na iwi.
\v 26 Watesekie va kutosha ndonyi ya matabibu wengi na watumia kila kilambo akoo nacho. Hata huwo ndasaidike kwa chochose, ela badala yake wazidie kuka na hali izamie.
\v 27 Wasikira habari kuhusu Jesu. Huwo wachee nyuma yake makati warikogho akitembea ndenyi ya umati, na ye wajiwhada ivazi jake.
\v 28 Kwa wuja wadedie, "ngelo nikigwada mavazi ghake tu, dimanaka mlanzi."
\v 29 Achamwhada, kufumwa ni bagha kwakomie, na wakisikira katika muwi gwake kwamba wakirwa kufuma katika mateso ghake.
\p
\v 30 Na ghafla Jesu wagundua ndenyi yake mweni kwamba ndighi ramfuma. Na waaghukie uku na uku katika umati gwa wandu na kuketia, "Ani wajiwhada ivazi japwa?"
\p
\v 31 Wanafunzi wake wamghoria, "udawona umati ughu gwakusonga ghukikuzunguluka, na we udadeda, 'Ani wajiwhada?'"
\v 32 Ela Jesu wanguwie kunu na kunu kuwona ambae warikogho wabonya iji.
\p
\v 33 Mndumka, akimanya chifumirie kwake, waboie na kutetemeka. Wachee na kugwa ndonyi imbiri yake na kumghoria loli yose.
\v 34 Wadedie kwake, "Mwai, imani yako yakubonya uke mlanzi. Ghenda kwa amani na ukirwe kufuma ukongonyi gwako."
\p
\v 35 Warikogho akiaria, baadhi ya wandu wachee kufuma kwa kilongozi wa isinagogi, wakideda, "Mwai wako wafwa. Kwa indoi kuendelea kumghaisha mwalimu?"
\p
\v 36 Ela Jesu achasikira ambacho wachideda, wamghoria kilongozi wa isinagogi, "Usaboe. Amini tu."
\v 37 Ndamruhusie yeyose kulongozana na ye, isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, mmbari waake Yakobo.
\v 38 Wachee nyumbenyi kwa kilongozi wa isinagogi na ye wawonie vurugu, kulila kwingi na kulila kubaha.
\v 39 Achangia nyumbenyi, wawaghoria, "kwa indoi mwasikitika na kwa indoi mdalila? mwana ndafwie bali watungura."
\v 40 Wamseka, ela ye, wawafunya wose shighadi, wamwusa aba wa mwana na mawe na waja warikogho andu amweri nae, na wangirie ndenyi wakogho mwana.
\v 41 Wawusie mkonu gwa mwana na wamghoria, "Talitha koum," ambayo ni kudeda, "Mwai mtinyi, nakughoria, wukia."
\v 42 Ghafla mwana wawukia na kutembea (kwa wuja wakogho na umwi gwa miaka kumi na iwi). Na ghafla wawhadwa ni mshangao mbaha.
\v 43 Waamuru kwa ndighi kwamba ndakudae wowose adapaswa kumanya kuhusu iji. Na wawaghoria wampatie uja mwai vindo.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Na akainga aho na kughenda mzinyi kwawhe, na wanafunzi wake wakamnugha.
\v 2 Sabato ichafika, waanzie kufundisha katika isinagogi. Wandu wengi wamsikira na wakashangazigwa. Wakadeda, "Wapata hao mafundisho agha?" "Abonya wada miujiza ihi kwa mikonu yake?"
\v 3 "Je uyu si uja seremala, mvalwa wa Mariamu na wambari wawhe waka Yakobo, yose, Yuda na Simoni? Je dadarake si wadaka aha eni andu amweri na isi? Na ndawaboiwe ni Jesu.
\p
\v 4 Jesu akawaghoria, "Mlodi ndasomwagha heshima, isipokuwa katika mzi gwake na miongonyi mwa wambari wake na nyumbenyi mwake."
\p
\v 5 Ndadimie kubonya miujiza aho, ela wawawikia mikonu wakongo watineri akawakira.
\v 6 Washangazigwa nanganyi kwa sababu ya kusowa kuamini kwawhe. Kisha wavitembelea vijiji va jirani akifundisha.
\p
\v 7 Wawanga waja wanafunzi kumi na iwi akawoka kuwaduma wawi. Wawanekie mamlaka ighu ya pepo wachafu,
\v 8 na kuwaamuru wasawuse chochose wakaghenda isipokuwa changu tu. Wasawuse mkate, wala mkaba, wala fedha kibindonyi;
\v 9 Ela warwe vandu, na sio kazu iwi.
\v 10 Na akawaghoria, "Iwacha jojose mjingiagha, kenyi aho mpaka mkaichainga.
\v 11 Na mzi ghwoghwose ghusawawokera wala kuwasikira, ingenyi kwawhe, kung'utenyi luvumbi lwa maghughenyu, ike ushuhuda kwawhe."
\v 12 Na wo wakaghenda wakitangaza wandu watesiwe zambi na kusigha zambi rawhe.
\v 13 Wawabingisie pepo wengi, na wawavia mavuda wakongo na wakakirwa.
\p
\v 14 Mgimbikwa Herode achasikira agho, kwa wuja irina ja Jesu jakogho jamanyikana nanganyi. Baadhi wadedie, "Yohana mbatizaji wafufuka na kwa sababu iyo, ihi ndighi ya miujiza idabonya kazi ndenyi yake."
\v 15 Baadhi yawhe wakadeda, "Uyu wa Eliya, "Bado wamwi wakadeda, "uyu wa mlodi, sa umweri wa waja walodi wa kala."
\p
\v 16 Ela Herode achasikira agha akadeda, "Yohana, ni mdemie chongo wafufuliwa."
\p
\v 17 Maana Herode mweni walagizie Yohana awhadigwe na wamrugha gerezanyi kwa sababu ya Herodia (mka wa kakie Filipo) kwa sababu ye wakogho wamlowua.
\v 18 Kwa maana Yohana waghoria Herode, "si halali kumlowua mka wa kakio."
\v 19 Ela Herodia wawokie kumzamiwa na wakogho akikundi kumbwagha, ela ndadimie,
\v 20 Maana Herode wamboa Yohana; wamanyie kwamba wa mweni hachi mundu mweli, na wamsighie salama; Na wachaendelea kumsikira wahuzunikie nanganyi, ela waboiwe kumsikiria.
\p
\v 21 Hata ichafika makati mwafaka ikika yakaribia siku ya kuvalwa Herode akawaandalia maofisa wake karamu, na makamanda, na vilongozi wa Galilaya.
\v 22 Niko mwai wa Herodia akangia na kuvina imbiri yawhe, akamboia Herode na waghenyi wakee makati gha vindo va kwenyi. Niko mgimbikwa akamghoria mwai, "Nilombe chochose ukundii na nyi dimanakuneka."
\v 23 Akamlawia na kudeda, chochose unilombaagha, dima nakuneka, hata nusu ya ugimbikwa gwapwa."
\p
\v 24 Akafuma shighadi akamkotia mae, "Nilombe indoi?" Akadeda, "chongo cha Yohana mbatizaji."
\p
\v 25 Na mara imweri akangia kwa mgimbikwa akawoka kudeda, "Nkundi unineke ndenyi ya sahani, chongo cha Yohana mbatizaji."
\v 26 Mgimbikwa wasikitishiwe nanganyi, ela kwa sababu ya kilawo chake na kwaajili ya waghenyi, ndadimie kumlegha iombi jake.
\v 27 Huwo, mgimbikwa akaduma askari kati ya walinzi wake na kuwalagiza kughenda kumredia chongo cha Yohana. Mlinzi waghendie kumdema chongo akika kifungonyi.
\v 28 Akachireda chongo chake sahaninyi na kumneka mwai, na mwai akamneka mae.
\v 29 Na wanafunzi wake wachasikira agho, waghendie kuuwusa muwi gwake wakaghenda kuurika kaburinyi.
\p
\v 30 Na walodi, wakwane andu amweri imbiri ya Jesu, wakamweleza ghose wabonyie na waghafundishie.
\v 31 Na ye akawaghoria, "chonyi weni andu kwa faragha na disoghoke kwa muda." Wandu wengi wakogho wadacha na kuinga, hata ndawapatie nafasi ya kuja.
\v 32 Huwo wakajoka mashua wakaghenda andu kwa faragha wenikeri.
\v 33 Ela wawawonie wakiinga na wengi wakawamanya, wakimbia andu amweri kwa maghu kufuma mizi yose, na wo wafikie kabla ya whe.
\v 34 Wachafika pwani, wawonie umati mbaha na akawawonia mbazi, kwa sababu wakogho sa ng'ondi wasadae mlisha. Na wawokie kuwafundisha malagho mengi.
\p
\v 35 Taimu richaendelea nanganyi, Wanafunzi wakamchea wakamghoria, "Aha ni andu kwa faragha na taimu raendelea.
\v 36 Uwalage waghende mizi ya jirani na vijiji ili wakakigulie vindo."
\p
\v 37 Ela wawajibie akideda, "Wanekenyi inyo vindo." Wakamghoria, "Didadima kughenda na kugua mikate yeni thamni ya dinari maghana awi na kuwaneka waje?"
\p
\v 38 Akawaghoria, "Nkona mikate ilinga? ghendenyi mkaghue." Wachapata wakamghoria, "Mikate misanu na samaki wawi."
\v 39 Akawaamuru wandu wake katika makundi ighu ya nyasi mbishi.
\v 40 Wakawakaisha katika makundi, makundi gha maghana kwa hamsini.
\v 41 Kisha akawusa mikate misanu na samaki wawi, na kuguwa mbingunyi, akaibariki kisha akawaneka wanafunzi wawike imbiri ya umati. Na kisha wawaghie samaki wawi kwa wandu wose.
\v 42 Wajie wose hata wakatosheka.
\v 43 Wawikie andu amweri viwande va mikate isangalikie, vikachua vingu kumi na iwi, na pia viwande va samaki.
\v 44 Na warikogho womi efu isano wajie mikate.
\p
\v 45 Mara akawaghoria wajoke mashuenyi waghende gasi imwi, hata Bethaida, makati ye akiwalaga makutano.
\v 46 Warikogho wadua kuinga, akaghenda lughongonyi kulomba.
\v 47 Kurikogho kwenyi, na mashua yawhe makati agho ikika ghadi ghadi ya bahari, na ye wakogho mweni keri ndoe kavu.
\v 48 Na wawonie wakiitaabika kukaba makasia kwa sababu upepo gwawazuia. Ichakaribia keshokio akawaghendia, akitembea ighu ya machi, na wakundie kuwaida.
\v 49 Ela wachamwona adatembea ighu ya machi, wakangiwa ni wasiwasi wakidhani wa mzimu hata wakakaba jogho.
\v 50 Kwa sababu wamwonie wakachuiwa ni hofu. Mara akadeda na wo akawaghoria, "Mke wajasiri! na nyi! msake na hofu."
\v 51 Akangia ndenyi ya mashua, na upepo ukasigha kuvuma, nawo wakamshanghgaa kabisa.
\v 52 Huwo ndawakogho waelewaa maana ya ija mikate. Maana akili rawhe rakogho na uelewa mtinyi.
\p
\v 53 Na wo wachaluwuka kimonu, wafikie isanga ja Genesareti mashua ikakumba nanga.
\v 54 Wachafuma shighadi ya mashua, mara wakammanya.
\v 55 Wakakimbia kutangaza katika mkoa mlanzi na wakawoka kuwareda wakongo kwa machela, kila wachasikira adacha.
\v 56 Kokose wangie katika vijiji, angu mzinyi, angu katika isanga, wawawikie wakongo andu kwa chete, na wakamsihi awaruhusu kuwhada ipindo ja vazi jake. Na wose wamwhadie wakiriwe.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambawo wakogho wafuma Yerusalemu wakee andu amweri kumzunguluka ye.
\v 2 Na wawonie kuwa baadhi ya wanafunzi wake wajie mkate kwa mikonu najisi; ambayo ndaiogheshigwe.
\v 3 (Kwa mafarisayo na wayahudi wose ndawajagha mpaka waoghesha mikonu yawhe nicha; wadawhadiria utamaduni gwa waghosi.
\v 4 Mafarisayo wakawuya kufuma andu kwa chete, ndawajagha mpaka waogha kwanza. Na kuko sheria rimwi ambaro wadarinygha kabisa, ikika ni amweri na kuoghesha vikombe, masufuria, vombo va shaba, na hata vifumbi vidumikagha makati gha vindo.)
\p
\v 5 Mafarisayo na wayahudi wamkotie Jesu, "Kwa indoi wanafunzi wako ndawaishi kulingana na tamaduni ra waghosi, kwani wadaja mkate pasipo kuogha vala?"
\p
\v 6 Ela ye wawaghoria, "Isaya watabirie nicha kuhusu inyo wanafiki, waandikie, 'wandu awawadanicheshimu kwa momu yawhe, ela mioyo yawhe iko kula na nyi.
\q
\v 7 Wadanibonyia ibada risadae maana, wakifundisha sheria ra wadamu sa mapokeo ghawhe.'
\p
\v 8 Mwaisigha sheria ya Mlungu na kuwhadiria kwa wepesi tamaduni ra wadamu."
\v 9 Na akadeda kwawhe, "mwailegha amri ya Mlungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni renyu!
\v 10 Kwa wuja Musa wadedie, 'mheshimu ndeo na mayo; na 'ye adedagha ghazamie ighu ya ndee angu maye hakika dimawafwa.'
\v 11 Ela mwadeda, 'ngelo mundu akadeda kwa ndee angu mawe, "Msaada wowose ambagho kumacha mwawokera kufuma kwapwa ni hazina ya Ihekalu,"' (iyo ni kudeda kwamba, 'yafunyigwa kwa Mlungu')
\v 12 huwo ndamruhusu kubonya ilagho jojose kwa ajili ya aba angu mae.
\v 13 Mdaibonya amri ya Mlungu kuka bure kwa kureda tamaduni renyu. Na malagho mengi gha jinsi iyo mghabonyagha."
\p
\v 14 Wawangie makutano sena na kuwaghoria, "mnisikire nyi, inyo wose, na mnielewe.
\v 15 Ndakudae chochose kufuma shighadi yamundu ambacho chadimagha kumachafua mundu chikingia kwake. Bali ni chija chimfumagha mundu nicho chimchafuagha.
\v 16 \f + \ft Mazingira: mstari ughu, "ngelo mundu wowose akona mundu gha kusikira, na asikire" ndauko nakalenyi ra kala.\f*
\p
\v 17 Jesu achawasigha makutano na kungia nyumbenyi, wanafunzi wake wakamkotia kuhusu mfwano ugho.
\v 18 Jesu akadeda, "Na inyo pia bado ndamuelewa? Ndamwonagha kwamba chochose chimungiagha mundu ndachidimagha kumachafua.
\v 19 Kwa sababu ndaichidimagha kughenda moyonyi kwake, ela chidangia katika kifu chake na kisha chidaida kughenda choonyi." Kwa maelezo agha Jesu wavibonya vindo vose kuka vielie.
\v 20 Wadedie, "Ni chija ambacho chidamfuma mundu nicho chimchafuagha.
\v 21 Kwa wuja hufuma ndenyi ya mundu, shighadi ya moyo, hufuma mawazo ghazamie, zinaa, uting'a, mabwagho,
\v 22 Uasherati, tamaa rizamie, uovu, utee, kujamiiana, wivu, kasfa, majivuno, ujinga.
\v 23 Maovu agha ghose ghadafuma ndenyi, nighoghaja ghamchafuagha mundu."
\p
\v 24 Wawukia kufuma aja na kuinga kughenda katika mkoa gwa Tiro na Sidoni. Wangia ndenyi na ndakundie mundu wowose amanye kuwa wakogho aho, ela ndaidimikane kumvisa.
\v 25 Ela ghafla mndumka, ambae mwanake mtinyi wakogho na ngolo mchafu, wasikira habari rake, akacha, na akagwa maghunyi kwake.
\v 26 Mndumka uyo wakogho myuinani, wa ikabila ja kifoeniki. Wamsihie ye ambingise pepo kufuma kwa mwai wake.
\v 27 Jesu akamghoria mndumka, "Wasighe wana wajiswe kwanza, kwa wuja ndaika sawa kuuwusa makate gwa wana na kuwadaghia makoshi."
\p
\v 28 Ela mndumka wamjibie na kudeda, "Hee, Mzuri, hata makashi ndonyi ya meza huja mabaki gha vindo va wana."
\p
\v 29 Akamghoria, "kwa wuja wadeda huwu, uko huru kughenda. Pepo wamuinga kala mwai wako."
\v 30 Mndumka wawurie nyumbenyi kwake na akamdoka mwai wake watungura kitandenyi, na pepo wakogho wamuinga.
\p
\v 31 Jesu wafumie sena shighadi ya mkoa gwa Tiro na kuidia sidoni kuelekea bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
\v 32 Na wakamredia mundu warikogho asasikiraa na wakogho ndadimaa kudeda nicha, wamsihie Jesu awike mikonu ighu yake.
\v 33 Wamfunyie shighadi ya ikusanyiko kwa kiviso, na akawika vala vake madunyi kwake, nma baada ya kuchua mada, wawhadie lumi ghwake.
\v 34 Waguwie ighu mbingunyi, akahema na kumghoria, "Efata," iyo ni kudeda "rughuka!"
\v 35 Na taimu rija reni mndu ghakarughuka, na chirikogho chazuia lumi chanonigwa na akadima kuaria nicha.
\p
\v 36 Na wawaamuru wasamghorie mundu wowose. Ela kadri wawaamuru, niko watangazie habari iro kwa wingi.
\v 37 Hakika washangazigwa, na kudeda, "Wabonya kila kilambo nicha. Hata wawabonya wasassikiraa kusikira na wasadedaa kuaria."
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Katika maruwa agho, kurikogho sena na umati mbaha, na ndawa ridaeghe vindo. Jesu akawawanga wanafunzi wake akawaghoria,
\v 2 "Ndauwonia mbazi umati ughu, waendelea kuka na nyi kwa maruwa adadu na ndawadae vindo.
\v 3 Nikawatapanya wawuye majumbenyi kwawhe bila kuja wadima wakazimia chienyi kwa njala. Na baadhi yawhe wafuma kulananganyi."
\p
\v 4 Wanafunzi wake wamjibie, "Dimadapata hao mikate ya kutosha kuwaghudisha wandu awa katika ieneo iji jisighiwe?"
\p
\v 5 Akawakotia, "Mkona viwande vilinga va mikate?" wakadeda, "saba."
\p
\v 6 Waghuamuru umati ghuke ndonyi. Akawusa mikate saba, akamshukuru Mlungu, na kuichukanya. Akawaneka wanafunzi wake waiwike imbiri ya whe, na wo wakawika imbiri ya umati.
\v 7 Pia wakogho na samaki watinyi watineri, na baada ya kushukuru, wawaamuru wanafunzi wake wawawaghie hevi pia.
\v 8 Wajie na wakatosheka. Na wawikie andu amweri viwande visangalike, ngau mbaha saba.
\v 9 Wakaribie wandu efu ina. Na wawasighie waghende.
\v 10 Mara wangie mashuenyi na wanafunzi wake, na wakaghenda katika ukanda ya Damanuta.
\p
\v 11 Kisha mafarisayo wafumie shighadi na kuwoka kubishana na ye. Wakundie awaneke ishara kufuma mbingunyi, kwa kumgheria.
\v 12 Watafakarie moyonyi kwa kina akadeda, "kwa indoi kivazi ichi kidalola ishara? Ndawaghoria inyo loli, ndakudae ishara ifunywagwa kwa kivazi ichi."
\v 13 Kisha akawasigha, akangia ndenyi ya mashua sena, akainga kuelekea luwande lumwi.
\v 14 Mikate agho wanafunzi waliwie kuwusa mikate. Ndawaridaeghe mikate zaidi ya kiwande chimweri chirikogho mashuenyi.
\v 15 Waonyie na kudeda, "Mke meso na mkilinde dhidi ya chachu ya mafarisayo na chachu ya Herode.
\p
\v 16 Wanafunzi wakadedeshana weni kwa weni, "Ni kwa sababu ndadidae mikate."
\p
\v 17 Jesu wajimanyie iji, na akawaghoria, "kwa indoi mdadedeshana kuhusu ndamdae mikate? Ndammanyie bado? Ndamuelewaa? mioyo yenyu yaka miepesi?
\v 18 Mkona meso, ndamwonaa? mkona madu, ndamsikiraa? ndamkumbukaa?
\v 19 Nichaiwaghanya mikate misanu kwa wandu efu isanu, mwawusieghe ngau ilinga richuie viwande va mikate?" wamjibie, "kumi naa iwi."
\p
\v 20 "Na nichaiwaghanya mikate saba kwa wandu efu ina, mwawusie ngau ilinga?"
\v 21 Wakadeda, "saba." Akawaghoria, "Bado ndamuelewaa?"
\p
\v 22 Wakacha Bethsaida. Wandu awo wamreda kwa Jesu mundu asawonaa na wamsihie Jesu amwhade.
\v 23 Jesu akamwhada kwa mkonu uja asawonaa, na kumlongoza shighadi ya kijiji. Achashua mada ighu ya meso ghake na kughaghoa mikonu yake ighu yake, wamkotia, "Udawona chochose?
\p
\v 24 Waguwie ighu na kudeda, "Ndawona wandu wadawoneka sa midi idatembea."
\v 25 Niko akaghaghoa sena mikonu yake ighu ya meso ghake, mundu uja akarughua meso ghake, wawonie sena, na akawona kila kilambo nicha.
\p
\v 26 Jesu wamsighie aghende nyumbenyi na akamghoria, "usangie mzinyi."
\p
\v 27 Jesu awaingie na wanafunzi wake kughenda vijiji va kaisaria ya Filipi. Wakika chienyi wamkotia wanafunzi, "wandu wadadeda nyi na ani?"
\v 28 Wamjibie wakideda, "Yohana mbatizaji. Wamwi wadadedaa, 'Eliya' na wamwi, 'umweri wa walodi."
\p
\v 29 Akawakotia, "Ela inyo mdedaanyi na ani?" Petro wamghoria, "We wa Kristo."
\p
\v 30 Jesu akawakosha wasaghorie mundu wowose kumhusu ye.
\p
\v 31 Na akawoka kuwafundisha ya kuwa mvalwa wa Adamu lazima ateseke kwa malagho mengi, na dimawalegwa na vilongozi na makuhani wabaha, na waandishi, na dimawabwagwa, na baada ya maruwa adadu dimawafufuka.
\v 32 Wadedie agha kwa uwazi. Niko Petro akamwusa pembenyi na akawoka kumkemia.
\v 33 Ela Jesu waanguka na kuwaguwa wanafunzi wake na akamkemia Petro na kudeda, "ida nyuma yapwa shetani! ndujali malagho gha Mlungu, isipokuwa malagho gha wandu."
\p
\v 34 Kisha akauwanga umati wa wanafunzi wake andu amweri, na kuwaghoria, "ngelo kukona mundu adakundi kuninugha, akikane mweni, awuse msalaba gwake, na aninughe.
\v 35 Kwa wuja wowose akundii kughatesia maisha ghake dimawaghalaghasha, na wowose alaghashagha maisha ghake kwa ajili yapwa na kwa ajili, dimawaghatesia.
\v 36 Idamfaidia indoi mundu, kupata urumwengu gwose, na kisha kupata hasara ya maisha ghake?
\v 37 Mundu adimagha kufunya indoi badala ya maisha ghake?
\v 38 Wowose aniwoneagha whaya na madedo ghapwa katika kivazi ichi cha wazinzi na kivazi cha weni zambi, Mvalwa wa Adamu dima wamwonia whaya achacha katika ufalme gwa Aba wake andu amweri na malaika weli.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Na wadedie kwawhe, "Hakika nadeda kwenyu, baadhi yenyu kuko wandu wakee kimsi ahandawatoagha mauti kabla ya kuuwona ufalme gwa Mlungu ghukicha kwa ndighi."
\p
\v 2 Na baada ya maruwa sita, Jesu wawawusie Petro, Yakobo na Yohana andu amweri nae lughongonyi, weni keri. Niko wawokie kubadilika imbiri yawhe.
\v 3 Mavazi ghake ghakawoka kuela nanganyi, ghachokwa zaidi, ghachokwa kuliko mwelesaji wowose dunienyi.
\v 4 Niko Eliya andu amweri na Musa wafumirie imbiri yawhe, na wakogho wakiaria na Jesu.
\v 5 Petro wajibie akamghoria Jesu, "Mwalimu, ni vema isi kuka aha, na diaghe viwanda vidadu, chimweri kwa ajili yako, chimweri kwa ajili ya Musa na chimwi kwaa ajili ya Eliya."
\v 6 (kwa wuja ndamanyie indoi cha kudeda, waboie nanganyi.)
\p
\v 7 Idulu jafumirie na kuwafinika. Niko sauti ikifuma madulunyi ikideda, "uyu wa mwanapwa mkundwa. Msikirienyi ye."
\v 8 Ghafla, warikogho wakiguwa, ndamwonie wowose andu amweri nawo, isipokuwa Jesu tu.
\p
\v 9 Warikogho wakisea kufuma lughoghonyi, wawaamuru kutokumghoria mundu wowose ghaja ghose waghawonie, mpaka mvalwa wa Adamu achafufuka kufuma kwa wafwie.
\v 10 Niko waghatunza malagho wo weni ni indoi maana yake "Kufufuliwa kufuma kwa wafwie"
\p
\v 11 Wamkotia Jesu, "kwaindoi waandishi hudeda lazima Eliya ache kwanza?"
\p
\v 12 Akawaghoria, "hakika Eliya dimawacha kwanza kutesia vilambo vose. Kwa indoi yaandikigwa mvalwa wa Adamu lazima apate mateso mengi na azamiwe?
\v 13 Ela nadeda kwenyu Eliya wasee kucha, na wabonya andu wakundii, sa wuja maandiko andu ghadedagha kuhusuye."
\p
\v 14 Na wachawuya kwa wanafunzi, wawonie ikundi ibaha jawazunguluka na masadukayo wakogho wabishana na wo.
\v 15 Na mara wachamwona, ikundi jose jashangae na kumkilia kumlamsa.
\v 16 Wawakotia wanafunzi wake, "mdabishana na wo ighu ya indoi?"
\p
\v 17 Umweri wawhe katika ikundi wamjibie, "mwalimu, namreda mwanapwa kwako; akona ngolo chafu ambayo humbonya asadime kuaria,
\v 18 na humsababisha kutetemeka na kumgwisha ndonyi, na kufuma ipovu momunyi na kusaga maghegho na kukakamaa. Nawalombie wanafunzi wako kumfunya ipepo, ela ndawadimie.
\p
\v 19 Wamjibie, "kivazi chisaamini, dimanaka na inyo kwa taimu ki? Dimanawusiana na inyo hata li? mredenyi kwapwa."
\v 20 Wamreda mwanake. Ngolo mchafu achamwona Jesu, ghafla yamkumbie katika kutetemeka. Mdamwona wagwie ndonyi na kufunya ipovu momunyi.
\v 21 Jesu wamkotia ndee, "Waka katika hali ihi kwa taimu ki?" Aba wadedie, "Tangu uwhanake.
\v 22 Mara imwi hugwa katika modo angu machonyi, na kugheria kumwangamiza. Ngelo udimagha kubonya chochose diwoniembazi na uditawarie."
\p
\v 23 Jesu wamghoria, "ngelo uko tayari? kila kilambo kidadimikana kwa wowose aaminiye."
\p
\v 24 Ghafla Aba wa mwana walilie na kudeda, "Ndaamini! Nitawarie kuto kuamini kwapwa."
\p
\v 25 Makati Jesu wachawona ikundi jidakimbilia kwawhe, wamkemia ngolo mchafu na kudeda, weghe, usangie kwake sena."
\p
\v 26 Walilie kwa ndighi na kumgaisha mwana na ngolo wamfumie. Mwana wawonekane sa andu wafwa, Niko wengi wadedie, "Wafwa,"
\v 27 Ela Jesu wamwusie kwa mikonu akamnua, na mwana wakeekimsi.
\p
\v 28 Makati Jesu wachangia ndenyi, wanafunzi wake wamkotia faragha, "kwa indoi ndadidimie kumfunya?"
\p
\v 29 Wamghoria, "kwa namna ihi ndafumaa isipokuwa kwa malombi."
\p
\v 30 Wafumie aja na kuidia Galilaya. Ndakundie mundu wowose amanye andu weko,
\v 31 Kwa wuja wakogho adafundisha wanafunzi wake. Wawakotia, "Mvalwa wa Adamu dimawafikishwa mikonunyi mwa wandu, na dimawamwabudu dima wafufuka sena."
\v 32 Ela ndawaelewe maelezo agha, na waboie kumkotia.
\p
\v 33 Niko wafikie kapernaumu. Makati akika ndenyi ya iwacha wawakotia, "Mrikogho mdajadili indoiu chienyi?"
\v 34 Ela wakogho kimumure. Kwani wakogho wadabishana chienyi kwamba ani wakogho mbaha zaidi.
\v 35 Wakaie ndonyi akawawanga kumi na wawi andu amweri, na wadedie nawo, "ngelo wowose akundii kuka wa kwanza, ni lazima ake wa mwisho na mtumishi wa wose."
\v 36 Wamwusie mwana mtinyi akamwika ghadi ghadi yawhe. Akamwusa katika mikonu yake, akadeda,
\v 37 "Wowose amwokeragha mwana sa uyu kwa irina japwa, pia waniwokera nyi, na ikika mundu waniwokera, ndaniwokeragha nyi tu, ela pia wanidumie."
\p
\v 38 Yohana wamghoria, "mwalimu damwonie mundu adafunya pepo kwa irina jako na dikamzuia, kwa sababu ndadinugha."
\p
\v 39 Ela Jesu wadedie, "Msamzuie, kwa wuja ndakudae abonyagha chaghu chibaha kwa irina japwa na niko baadae adede idedo jizamie jojose ighu yapwa.
\v 40 Wowose asakogho kinyume na isi weko luwande lwedu.
\v 41 Wowose akunekagha kikombe cha machi gha kunywa kwa sababu ukona Kristo, loli nawaghoria, ndalaghasha thawabu yake.
\p
\v 42 Wowose awasoweshagha awa watinyi wanianiinyi, kumacha yaka vema kwake kurughiwa ighwe ja kusaghia singonyi na kudagwa baharinyi.
\v 43 Ngelo mkonu gwako ghuka kusowesha ghudeme. Ni heri kungia katika banana bila mkonu kuliko kungia hukumunyi ukika na mikonu yose. katika modo "ghusarimikaa."
\v 44 \f + \ft Maziria: Mistari ihi, "Andu ambako fuza ndawafwa na modo ghusarimikaa." Ndauko katika nakala ra kala.\f*
\v 45 Ngelo kaghu kwako kakakusowesha, kudeme. Ni vema kwako kungia bananenyi ukika kilema, kuliko kudagwa hukumunyi na maghu awi.
\v 46 \f + \ft Maziria: Mstari ughu, "Andu ambako fuza ndawafwa na modo ghusadima kurimika" ndauko nakalenyi ra kala.\f*
\v 47 Ngelo iriso jako jikakusowesha jikue. Ni vema kwako kungia katika ufalme gwa Mlungu ukika na iriso jimweri, kuliko kuka na meso awi na kudagwa kuzimunyi.
\v 48 Andu kuko fuza wasafwa, na modo ghusarimikaa.
\p
\v 49 Kwa wuja kila umweri dimawakolezigwa ni modo.
\v 50 Munyu gwaboie, ngelo munyu ghjakalaghasha ladha yake, dimawaibonya wada ike na ladha yake sena? mke na munyu miongonyi kwenyu weni, na mke na amani kwa kila umweri."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Jesu wangie ieneo ijo na akaghenda katika mkoa gwa uyahudi na ieneo ja imbiri ya mweda Yordani, na makutano wamnughie sena, wafundishie sena, sa andu yakogho kawaida yake kubonya.
\v 2 Na mafarisayo wachee kumgheria na wamkotia, Ya halali kwa mundumuni kusighana na mkake?"
\p
\v 3 Jesu wawajibie, "Musa wawaamuru indoi?"
\p
\v 4 Wakadeda, "Musa waruhusu kuandika cheti cha kusighana na kisha kumbingisa mndumka."
\p
\v 5 "Ni kwa sababu ya mioyo yenyu ikurie nio maana waandikia sheria ihi," Jesu wawaghoria.
\v 6 "Ela kufuma kilindiri cha uumbaji, Mlungu wawaumbie mndumuni na mndumka.'
\v 7 Kwa sababu ihi mndumuni dimawamsigha ndee na mae na dimawaungana na mkake,
\v 8 na awo wawi dimawaka muwi umweri; kwa wuja si wawi sena, bali muwi umweri.
\v 9 Kwa huwo wachiunganishe Mlungu, mdamu asakitenganishe."
\p
\v 10 Wachaka ndenyi ya iwacha, wanafunzi wake wakamkotia sena kuhusu iji.
\v 11 Akawaghoria, "Wowose amsighagha mkake na kumlowua mndumka umwi, adabonya uzinzi dhidi yake.
\v 12 Mndumka naye akmsigha mumi wake na kulowolwa na mdumuni umwi, adabonya uzinzi."
\p
\v 13 Na wo wamredia wana wawhe watinyi ili awawhade, ela wanafunzi wakawakemia.
\v 14 Ela Jesu achatambua ijo, ndaboiwe najo kabisa akawaghoria, "Waruhusunyi wana watinyi wache kwapwa, na msawazuie, kwa sababu weko sa awa ufalme gwa Mlungu ni wawhe.
\v 15 Uloli nawaghoria, wowose asawokeragha ufalme gwa Mlungu sa mwana mtinyi hakika ndadimagha kungia katika ufalme gwa Mlungu.
\v 16 Kisha akawawusa wana mikonunyi kwake na akawabariki akiwawikia mikonu yakeighu yawhe.
\p
\v 17 Na wachachianza charo chake mundu umweri wamkimbiria na akakaba magoti imbiri yake, akamkotia, "mwalimu uboie, nibonyie ili ndime kupala banana ya kala na kala?"
\p
\v 18 Na Jesu akadeda, "kwa indoi udaniwanga niboie? Ndakudae ako aboie, isipokuwa Mlungu mweni keri.
\v 19 Udarimanya amri: Usabwaghe, usazini, usaiwe, usashuhudie tee, usaembie, mheshimu Aba na Mayo."
\p
\v 20 Mundu uja akadeda, "mwalimu, agha ghose na ghatii tangu nikika mdawana."
\p
\v 21 Jesu wamghuwie na kumkunda. Akamghoria, "udaghoduiwa kilambo chimweri. Udapaswa kudagha vose ukoo navo na uwaneke masikini, nadimawaka na hazina mbingunyi. Niko uche uninughe."
\v 22 Ela wakatie tamaa kwa sababu ya maelezo agha; wangie akika mweni huzunyi kwa wuja wakogho na mali nyingi.
\v 23 Jesu akaguwa pande rose na kuwaghoria wanafunzi wake, "Ni jinsi ki iko ikurie kwa tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu!
\v 24 Wanafunzi washangazigwa kwa madedo agha. Ela Jesu akawaghoria sena, "Wana, ni jinsi ki iko vikurie kungia katika ufalme gwa Mlungu!
\v 25 Ya rahisi kwa ngamila kuida itundunyi ja sinzano, kuliko mundu tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu."
\p
\v 26 Washangazigwe nanganyi na wakadedeshana, "Huwo ani dimawaokoka"
\p
\v 27 Jesu akawaguwa na kudeda, "Kwa binadamu ndaidimikana, ela sio kwa Mlungu. Kwa wuja katika Mlungu ghose ghadadimikana."
\p
\v 28 Petro akawoka kuaria na ye, "Guwa dasigha vose na dakunugha."
\p
\v 29 Jesu akadeda, "Uloli nawaghoria nyi, ndakudae wasighie iwacha, angu kaka, angu dada, angu mawe, angu Aba, angu wana, angu ardhi, kwa ajili yapwa, na kwa ajili ya injili,
\v 30 Ambae ndawokeragha mara ighana zaidi ya iji aha aha dunienyi: Iwacha, kaka, dada, mawe, wana na ardhi, kwa mateso, na urumwengu uchagha, banana ya kala na kala.
\v 31 Ela wengi weko wa kwanza dimawaka wa mwisho na weko wa mwisho dimawaka wa kwanza."
\p
\v 32 Wachaka chienyi, kughenda Yerusalem, Jesu wakogho wawakiria imbiri yawhe. Wanafunzi washangaie, na waja warikogho wadanugha nyuma waboa. Niko jesu akawafunya pembenyi sena waja kumi na iwi na akawoka kuwaghoria ambacho dimachamdoka huwu karibuni.
\v 33 "Guwa, didaghenda mpaka Yerusalemu, na mvalwa wa Adamu dimawafikishwa kwa makuhani wabaha na waandishi. Dimawamhukumu afwe na dimawamfunya kwa wandu wa mataifa.
\v 34 Dimawamdhihaki, dimawachuia mada, dimawamkaba kwa changu, na dimawambwagha. Ela baada ya maruwa adadu dimawafufuka."
\p
\v 35 Yakobo na Yohana, wavalwa wa zebedayo, wachee kwake na kudeda, "Mwalimu, didakuhitaji udibonyie chochose dikulombagha."
\p
\v 36 Wamghoria, "Mkundi niwabonyie?"
\p
\v 37 Wakadeda, "Diruhusu dike nawe katika utukufu gwako, umweri katika mkonu gwako gwa kuume na umwi mkonu gwako gwa kumosho."
\p
\v 38 Ela Jesu wawajibie, "Ndamuichi mchilambagha. Mdimagha kuchinywea kikombe ambacho dimanachinywea angu kustahimili ubatizo ambagho dimanabatizigwa?"
\p
\v 39 Wakamghoria, "Didamagha" Jesu akawaghoria, "kikombe ambacho dimanakinywea, dimamwachinywea. Na ubatizo ambagho kwawhe nabatizigwa, dimamwaustahimili.
\v 40 Ela akagha mkonu gwapwa gwa kumosho sio nyi wakufunya, ela ni kwa waja ambawo kwawhe yasia andaliwa."
\p
\v 41 Waja wanafunzi wamwi kumi wachasikira agha, wakawoka kuwawonia virea Yakobo na Yohana.
\v 42 Jesu akawawanga kwake na kudeda, "Mdaichi kuwa waja wadhaniwaa kuka watawala wa wandu wa mataifa huwatawala, na wandu wawhe washuhuri huwabonyeria mamlaka ighu yawhe."
\v 43 Ela ndaipaswagha kuka huwu kati yenyu. Wowose akagha mbaha kati yenyu lazima awadumikie,
\v 44 na wowose akagha wa kwanza kati yenyu ya lazima ake mtumwa wa wose.
\v 45 Kwa wuja mvalwa wa Adamu ndachee kudumikiwa bali kudumika, na kughainja maisha ghake kuka faida kwa wengi."
\p
\v 46 Wakacha Yeriko. Warikogho akiinga Yeriko na wanafunzi wake na ikundi baha, mvalwa wa Timayo, Batimayo, asawonaa mlombaji, wakee mbai ya barabara.
\v 47 Wachasikira kuwa wa Jesu Mnazareti, wawokie kukaba jogho na kudeda, "Jesu, mvalwa wa Daudi, niwonie mbazi!"
\v 48 Wengi wamkemia uja asawonaa, wakimzera anyame kima. Ela walilie kwa sauti zaidi, "Mvalwa wa Daudi, niwonie mbazi!"
\p
\v 49 Jesu wakeekimsi na kuamuru awangwe. Wamwanga uja asawonaa, wakideda, "ka shujaa! wukia! Jesu adakuwanga."
\v 50 Akajidagha pembenyi ikoti jake, akakimbia zaidi, na kucha kwa Jesu.
\p
\v 51 Jesu wamjibie na kudeda, "Ukundi ni kubonyie indoi?" uja mndu mumi asawonaa wamjibie, "Mwalimu, ndakundi kuwona."
\p
\v 52 Jesu akamghoria, "Ghenda. Imani yako yakukira." Aho meso ghake ghakawona; na akamnugha Jesu barabarenyi.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Makati agho wachacha Yerusalemu, wachakaribia Bethafage na Bethania, katika lughogho lwa mizeituni, Jesu wawangie wawi mlongonyi mwa wanafunzi wake.
\v 2 na wawaghoria, "Ghendenyi katika kijiji kikabilianagha na isi. Mara mchangia umo, dimamwamdoka mwanambunda ambae ndajokiwe. Mrughenyi na mumrede kwapwa.
\v 3 Na ngelo wowose akawaghoria, 'kwa indoi mdabonya huwu?', mdapaswa kudeda, 'Mzuri adamhitaji na mara dimawamwuja aha.'"
\p
\v 4 Waghendie na kumndoka mwanambunda wamrugwa shighadi mjangonyi mtaenyi ghukoo mwari, na wo wamrughua.
\v 5 Na baadhi ya wandu warikogho wakakimsi aja na wawaghoria, "Mbonyai, kumrughua mwanambunda uyo?"
\v 6 Wawaghoria sa andu Jesu wawaghoria, na wandu wakasigha waghende.
\p
\v 7 Wanafunzi wawi wamreda mwanambunda kwa Jesu na watandika mavazi ghawhe ighu yake ili Jesu adime kumjoka.
\v 8 Wandu wengi watandikie mavazi ghawhe barabarenyi, na wamwi watandika marembwe waghademie kufuma andu kuko mbuwa.
\v 9 Waja waghendie imbiri yake na waja wamnughie wakabie jogho, "Hosana! Wabarikiwa achagha kwa irina ja Mzuri.
\v 10 Ubarikiwe ugimbikwa uchagha wa Aba wedu Daudi! Hosana kwa akoo ighu"
\p
\v 11 Niko Jesu wangie Yerusalemu na waghendie hekalunyi na waguwie kila kilambo. Idana, makati ghakogho ghaghenda, waghendie Bethania amweri nawo kumi na iwi.
\p
\v 12 Iruwa jinughiriaa, makati warikogho wakiwuja kufuma Bethania, wakogho na njala.
\v 13 Na akawona mdi gwa mtini ghurikogho na nyasi kwa kula, waghendie kuguwa ngelo kumachawadima kupata chochose ighu yake. Na makati wachaghenda kwa ugho, ndapatie chochose isipokuwa nyasi, kwawuja ndayakogho majira gha mtini.
\v 14 Waughoria, "Ndakudae wowose ajagha itunda kufuma kwako sena." Na wanafunzi wake wakasikira.
\p
\v 15 Wachee Yerusalemu, na ye wangia hekalunyi na kuwoka kuwafunya shighadi wadaghaa na wagulaa ndenyi ya ihekalu. Waripindue meza ra wabadilishagha fedha na vifumbi va waja warikogho wakidagha njiwa.
\v 16 Ndamruhusu wowose kudwa chochose hekalunyi chidimieghe kudagwa.
\v 17 Wawafundishie na akadeda, "Je ndai andikigwe, 'iwacha japwa dimajawangwa iwacha ja sala kwa mataifa ghose? 'ela mwajibonya ipango ja wanyang'anyi."
\v 18 Makuhani wabaha na waandishi wasikira andu wakogho wadeda, na wo walolie chia ya kumbwagha. Hata huwo wamboaa kwa sababu umati gwashangazigwa na mafundisho ghake.
\v 19 Na kila makati kwenyi ichafika wangie mzinyi.
\p
\v 20 Warikogho wakitembea kesho kio, waghuwonie mdi gwa mtini gwaoma mpaka mirinyi yake.
\v 21 Petro wakumbukie na kudeda, "Rabi! Guwa, mdigwa mtini ughulaanie gwaoma."
\p
\v 22 Jesu wawajibie, "mke na imani katika Mlungu.
\v 23 Amini nawaghoria kwamba kila alughoriagha lughongo ulu, 'inga, na ukakidaghe mweni baharinyi, na ngelo ndadae mashaka moyonyi mwake ela adaamini kwamba wachidedie dimachafumiria, huwo niko Mlungu dimawabonya.
\v 24 Kwa huwo ndawaghoria: kila kilambo mlombaa na kukotia kwa ajili yake, amininyi ya kwamba mwawokera, navo dima vaka venyu.
\v 25 Makati mkaghakimsi na kutasa, mdapaswa kusamehe chochose mko nacho dhidi ya wowose, ili kwamba aba wenyu akoo mbingunyi awasamehe pia inyo makosa ghenyu.
\v 26 \f + \ft Maziria: Mstari ughu, "Ela msipowasamehe, wala aba wenyu akoo mbingunyi ndamsamehe zambi renyu" ndauko na kalenyi ra kala.\f*
\p
\v 27 Wachacha Yerusalemu sena. Na Jesu warikogho akitembea hekalunyi, makuhani wabaha, waandishi na waghosi wachee kwake.
\v 28 Wamghoria, "kwa mamlaka ki udabonya malagho agha? "Na ani wakuneka mamlaka kubonya agha?"
\p
\v 29 Jesu wawaghoria, 'Dimanamikotia iswali jimweri. Nighorienyi na nyi dimanamighoria kwa mamlaka ki ndabonya malagho agha.
\v 30 Je, ubatizo gwa Yohana gwafumie mbingunyi angu gwafumie kwa wadamu? Nijibunyi."
\p
\v 31 Wajadiliana miongonyi mwao na kushindana na kudeda, "Ngelo dikadeda, 'kufuma mbingunyi, 'dimawadeda, 'kwa indoi basi ndammwaminie?'
\v 32 Ela ngelo dikadeda, 'kufuma kwa wadamu,'..." Wawaboa wandu, kwa wuja wose wawhadiria kwamba Yohana wakogho mlodi.
\v 33 Niko wamjibie Jesu na kudeda, 'Ndadimanyaa. Niko Jesu akawaghoria, 'Wala nyi siwaghoriagha ni kwa mamlaka ki ndaghabonya malagho agha.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kisha Jesu wawakie kuwafundisha kwa mifwano. Akadeda, "Mundu wawae mbuwa ya mizabibu, akaizungulushia uzio, na akakota ishimo ja kusindika chafi. Akaagha mnara na kisha waipangisha mbuwa ya mizabibu kwa wakulima wa mizabibu. Kisha wabonyie charo charo cha kula.
\v 2 Makati ghachafika, wamdumie mtumishi kwa wakulima wa mizabibu kuwokera kufuma kwawhe baadhi ya matunda gha mbuwa ya mizabibu.
\v 3 Ela wamwhada, wakamkaba, na wakambingisa bila chochose.
\v 4 Akamduma kwawhe mtumishi umwi, wamjeruhi chongonyi, na kumbonyia malagho gha whaya.
\v 5 Bado wamdumie umwi, na uyu umweri wambwagha. Wawabonyia wamwi wengi malagho sa aghogheni, wakiwakaba na wamwi kuwabwagha.
\v 6 Wakogho bado na mundu umweri zaidi wa kumduma, mvalwa mkundwa. Naye wakogho wa mwisho adumiwe kwawhe. Akideda, "Dima wamheshimu mwanapwa."
\v 7 Ela wapangaji wadedeshanie weni kwa weni, "Uyu nie mpali. Chonyi, hebu na dimbwaghe, na upalo dimagwaka gwedu."
\v 8 Wamvamia, wakambwagha na kumdagha shighadi ya mbuwa ya mizabibu
\v 9 Kwa huwo, Je! Dimawabonyai mmiliki wa mbuwa ya mizabibu? Dimawacha na kuwaangamiza wakulima wa mizabibu na dimawaikabidhi mbuwa ya mizabibu kwa wamwi.
\v 10 Ndampatie kujisoma iandiko iji? "Igwe ambajo wajenzi wajilegha, jaka igwe ja pembenyi.
\v 11 Iji jafumie kwa Mzuri, na ni ja ajabu mesonyi kwedu."
\p
\v 12 Walolie kumwhada Jesu, Ela wawaboie makutano, kwani wamanyie kuwa wakogho wadeda mfwano ugho dhidi yawhe. Huwo wamsighie na wakaghenda chia rawhe.
\p
\v 13 Kisha wakawaduma baadhi ya mafarisayo na maherodia kwake ili kumdegha kwa madedo.
\v 14 Wachafika, wakamghoria, "Mwalimu, didaichi kwamba ndujali maoni gha wowose na ndubonyiriagha upendeleo kati ya wandu. Udafundisha chia ya Mlungu katika uloli. Je! yahachi kushana kodi kwa kaisari angu la? Je! didima kushana angu la?
\p
\v 15 Ela Jesu wamanyie unafiki wawhe na kuwaghoria, "kwa indoi mdanigheria? nnekenyi dinari ndime kuiguwa."
\v 16 Wakareda imweri kwa Jesu, Akawaghoria, Je! Ya sura ya ani na maandishi gheko aha ni gha ani? wakadeda, "Ya kaisari."
\p
\v 17 Jesu akawaghoria, "Mnekenyi kaisari vilambo va kaisari na Mlungu vilambo va Mlungu." Wakamstaajabia.
\p
\v 18 Kisha masadukayo, wadadedagha ndakudae ufufuo, wamghendie. Wakamkotia, wakideda,
\v 19 "Mwalimu, Musa wadiandikie kuwa, "Ikika mmbari wa mundu akafwa na kumsigha mka nyuma yake, ela ndasighie mwana, mundu dimawamwusa mka wa mmbari wake, na kukipatia wana kwa ajili ya mmbari wake.'
\v 20 Kurikogho na wambari saba, wa kwanza wawusie mka na kisha wafwie, ndasighie wana.
\v 21 Kisha wa kawi wawusie na ye akafwa, ndasighie wana. Na wa kadadu halikadhalika.
\v 22 Na wa saba wafwie bila kusigha wana. Mwishowe na mndumka pia akafwa.
\v 23 Makati gha ufufuo, wakachafufuka sena, Je! imawaka mka wa ani? kwani waja wa mbari wose saba wakogho wami wake."
\p
\v 24 Jesu wawaghoria, Je! ihi si sababu kuka mwapotoshwa, kwa sababu ndammanyaa maandiko wala ndighi ra Mlungu?"
\v 25 Makati gha kufufuka fuma kwa wafwie, ndawalowuaa wala kungia katika ndoa, bali dimawaka sa malaika wa mbingunyi.
\v 26 Ela, kuhusu wafu ambawo wadafufuliwa, Je! ndamsomie kufuma katika chuo cha Musa, katika habari ra kichaka, jinsi Mlungu andu wadedie na kumghoria, 'Nyi na Mlungu wa Abrahamu, na Mlungu wa Isaka, na Mlungu wa Yakobo?'
\v 27 Ye si Mlungu wa wafwie, bali wa wakoo hai. Yadhahiri mwapotoka."
\p
\v 28 Umweri wa waandishi wachee na kughasikira mazungumzo ghawhe; Wawonie kwamba Jesu wawajibie vema. Wamkotie, Je! niamri iyao ikoo ya muhimu zaidi kuliko rose?"
\p
\v 29 Jesu wamjibie; ikoo ya muhimu ni ihi, "sikira, Israeli, Mzuri Mlungu wedu, Mzuri ni mmweri.
\v 30 Lazima umkunde Mzuri Mlungu wako, kwa moyo gwako gwose, kwwa ngolo yako yose, kwa akili yako yose, na kwa ndighi rako rose.'
\v 31 Amri ya kawi ni ihi, "lazima umkunde jirani yako sa andu ukikundi we mweni." Ndakudae amri imwi mbaha zaidi ya iri."
\p
\v 32 Mwandishi akadeda, "Vema mwalimu! Wadeda loli kwamba Mlungu ni mmweri, na kwamba ndakudae umwi zaidi yake.
\v 33 Kumkunda ye kwa moyo gwose, na kwa ufahamu gwose na kwa ndighi rose, na kumkunda jirani sa mweni, ya muhimu mno kuliko mafunyo na dhabihu ra kuteketeza."
\p
\v 34 Makati Jesu achawona wafunya ijibu ja busara, wamghoria, "We ndauko kula na ufalme gwa Mlungu." Baada ya aho ndakudae hata umweri wathubutu kumkotia Jesu maswali ghoghose.
\p
\v 35 Na Jesu wajibie, makati warikogho akifundisha katika ihekalu, akadeda, "Je! waandishi hudedadawada kuwa Kristo wa mvalwa wa Daudi?
\v 36 Daudi mweni katika Ngolo wa kuela, wadedie, 'Mzuri wadedie kwa Mzuri wapwa, katika mkonu gwapwa gwa kuume, mpaka niwabonye walaghe laghe wako kuka ndonyi ya maghu ghako.'
\v 37 Daudi mweni humwanga Kristo, 'Mzuri, 'Je! wa mvalwa wa Daudi kwa jinsi iao?" Na ikusanyiko baha jamsikira kwa furaha.
\p
\v 38 Katika mafundisho ghake Jesu wadedie, 'kihadharinyi na waandishi, watamanii kutembea na kazu ndacha na kulamswa chetenyi.
\v 39 na kuka vifumbinyi va wabaha katika masinagogi na katika sikukuu kwa maeneo gha wabaha.
\v 40 Pia wadaja nyumba ra wakolo na wadata malombi malacha ili wandu wawawone. Awa wandu dimawawokera hukumu ikoo mbaha."
\p
\v 41 Kisha Jesu wakee ndonyi avui na isanduku ja sadaka ndenyi ya ieneo ja ihekalu; wakogho akiguwa wandu warikogho wakikumba pesa rawhe ndenyi ya isanduku. Wandu wengi matajiri wawikie kiasi kibaha cha pesa.
\v 42 Kisha mndumka mkolo masikini wachee na kuwika viwande viwi, thamani ya senti.
\v 43 Kisha akawawanga wanafunzi wake na waghoria, 'Amini nawaghoria, mndumka uyu mkolo wakumba kiasi kibaha zaidi ya wose ambawo wafunya kala katika isanduku ja sadaka.
\v 44 Kwani wose wafunya kufumana na wengi gwa mapato yawhe. Ela mndumka mkolo uyu, kufuma katika umaskini gwake, wa kumba pesa yose ambayo wapasiwe kuidumia kwa maisha ghake."
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Jesu warikogho akitembea kufuma hekalunyi, umweri wa wanafunzi wake akamkotia, "Mwalimu. guwa magwe agha ghakushangaza na maagho!"
\v 2 Akamghoria, unawona maagho agha mabaha? Ndakudae hata igwe jimweeri jisaliaa ighu ya jimwi ambajo ndajigwi shwaghwa ndonyi."
\p
\v 3 Na ye warikogho waka ighu ya lughongo lwa mizeituni nyuma ya ihekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamkotia kwa kiviso,
\v 4 "Dighorie, malagho agha dimaghaka li? ni indoi dalili ya malagho agha kufumiria?
\p
\v 5 Jesu wawokie kuwaghoria, "kenyi makini kwamba mundu wowose asawapotoshe.
\v 6 Wengi dimawacha kwa irina japwa wakideda 'Nyi nie', na dimawawapotosha wengi.
\v 7 Mchasikira kondo na tetesi ra kondo, msaboe; malagho agha ndaghadae budi kufumiria, ela mwisho bado.
\v 8 Itaifa dimajanuka kinyume na itaifa jimwi, na ufalme kinyume na ufalme. Dimakwaka na matetemeko gasi tofauti, na njala. Ughu ni mwanzo gwa utungu.
\p
\v 9 Kenyi meso. Dimawawaghenja hadi mabarazenyi, na dimamwapingwa katika masinagogi. Dimamwakaia kimsi imbiri ya watawala na wagimbikwa kwa ajili yapwa, sa ushuhuda kwawhe.
\v 10 Ela injili kwanza ihubiriwe kwa mataifa ghose.
\v 11 Wachawawhada na kuwakabidhi, msaboe kuhusu chija andumdedaa. Ndenyi ya taimu iro, dimamwanekwa indoi cha kudeda; ndamkagha inyo mdedaa, bali ngolo wa kuela.
\v 12 Mmbari dimawamshitaki mmbari kubwaghwa, Aba na mwanake. Wana dimawaka kimsi kinyume cha waka aba wawhe na kuwasababisha kubwaghwa.
\v 13 Dimamwazamiwa na kila mundu kwa sababu ya irina japwa. Ela arumaghiagha mpaka mwisho, mundu uyo dimawaokoka.
\p
\v 14 Mchawona ichukizo ja unonefu ja kakimsi aja andu jisakundigwi kukakimsi (asomagha na amanye), niko wakoo ndenyi ya Yuda wakimbie lughongonyi,
\v 15 Na ye akoo ighu ya iwacha asasee ndonyi ya iwacha, angu kuwusa chochose ndonyi ya iwchikoo shighadi,
\v 16 na akoo mbuwenyi asawuye kuwusa ivazi jake.
\v 17 Ela ole wawhe wandu waka weni inda na wanyonyeshagha katika maruwa agho!
\v 18 Tosenyi kwamba isafumirie makati gha mbeo.
\v 19 Kwani dimakwaka na mateso mabaha, ambagho ndaghose fumiria, tangu Mlungu achamba urumwengu, mpaka iji aha, ndakudae, wala ndaifumiriagha sena.
\v 20 Mpaka Mzuri achaghodua maruwa, ndakudae muwi ghuokokaa, ela kwa ajili ya wateule, achawasaghula, dimawaghodua namba ra maruwa.
\v 21 Makati agho ngelo mundu wowose dimawaghoria, Guwa, Kristo ako aha! 'angu 'Guwa, ako aja!' msaamini.
\v 22 Kwani wakristo wa tee na walodi wa tee dimawafumiria na dimawafunya ishara na maajabu, ili kwamba, wawaembie, ya mkini hata wateule.
\v 23 Kenyi meso! Nameria kuwaghoria aghaghose kabla ya makati.
\p
\v 24 Ela baada ya mateso gha maruwa agho, iruwa dima jakumbwa kira, mweri ndaghufunyagha mwangaza gwake,
\q1
\v 25 Nyenyeri dimaragwa kufuma angenyi, na ndighi rikooo mbingunyi dimaratikisika.
\v 26 Niko wachamwona mvalwa wa Adamu akicha madulunyi kwa ndighi mbaha na utukufu.
\v 27 Niko dimawaduma malaika rake na dimawawika andu amweri wateule wake kufuma gasi mbaha ina ra dunia, kufuma mwisho gwa dunia mpaka mwisho gwa mbingu.
\p
\v 28 Kwa mtinyi kifunzeni. Ngelo irembwe jidimagha kufunya na kuwika karuwaruwa nyasi rake, niko dimamwaichi kwamba kiangazi cheko avui.
\v 29 Niko iko, mchawona malagho agha ghakifumiria, manyeni kwamba ako avui, na majango.
\v 30 Loli, nawaghorienyi, ichi kivazi ndachiidagha kula kabla malagho agha ndaghasee fumiria.
\v 31 Mbingu na isanga dimaraidia, ela madedo ghapwa ndaghaidagha kamwe.
\v 32 Ela kuhusu iruwa ijo angu saa, ndakudae amanyagha, hata malaika wa mbingunyi, wala mvalwa, ela Aba.
\v 33 Kenyi meso, Guwa, kwa sababu ndamuichi ni taimu ki dimaghafumiria.
\v 34 (Maziria: Mstari ughu, "mke waangalifu, Guwenyi na tasenyi kwa sababu..." ndauko na kalenyi ra kala). Ni sa andu aghendaa chorenyi: akasigha iwacha jake, na kuwika mtumwa wake kuka mtawala wa iwacha, kila umweri na chaghu chake. Na kumuamuru mlinzi kuka meso.
\v 35 Kwa huwo kenyi meso! kwani ndammanyaa ni li Mzuri wa iwacha achawuya nyumbenyi, idadikana ni kwenyi, kio kibaha, makati jogholo achalila, angu kesho kio.
\v 36 Ngelo akacha ghafla, asakudoke watungura.
\v 37 Chija nichidedagha kwako ndachideda kwa kila mundu: kenyi meso!"
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Ghakogho maruwa awi tu baada ya sikukuu ya pasaka na ya mikate isakumbagwa chachu. Makuhani wabaha na waandishi wakogho wakilola namna ya kuwhada Jesu kwa hila na kumbwagha.
\v 2 Kwa wuja wadedie, "sio makati makati agha gha sikukuu, wandu wasache bonya ghasia."
\p
\v 3 Makati Jesu warikogho Bethania nyumbenyi kwa simoni mkoma, na warikogho akielekea mezenyi, mndumka umweri wachee kwake akika na chupa ya marashi gha nardo ielie yeni gharama mbaha nanganyi, waichukanya chupa na kuimimina ighu ya chongo chake.
\v 4 Ela kurikogho na baadhi yawhe wawonie vire. Waghoriana weni kwa weni wakideda, "Ni indoi sababu ya ulaghashaa ughu?
\v 5 Manukato agha kumachaghadima kudagwa kwa zaidi ya dinari mia idadu, na wakanekwa maskini." Nawo wamkemia.
\p
\v 6 Ela Jesu wadedie, "msighenyi mweni keri. Kwaindoi mdamguisha? Wabonya ilagho jiboie kwapwa.
\v 7 Maruwa ghose maskini mko nawo, na makati ghoghose mtamanii mdadima kubonya ghaboie kwawhe, ela ndamkagha na nyi makati ghose.
\v 8 Wabonya chija andu wakundi: wauvia muwi gwapwa mavunda kwa ajili ya mariko.
\v 9 Loli nawaghoria, kila andu injili andu hubiriwa katika urumwengu gwose, chija wabonya mndumka uyu dimachadedwa kwa ukumbusho gwake.
\p
\v 10 Kisha Yuda iskariote, umweri wa waja kumi na iwi, waghendie kwa wabaha wa makuhani ili kwamba apate kumkabidhi kwawhe.
\v 11 Makati wabaha wa makuhani wachasikira huwo, waboiwa na waadie kumneka fedha. Wawokie kulola nafasi ya kumkabidhi kwawhe.
\p
\v 12 Katika iruwa ja kwanza ja mkate usakumbagwa chachu, makati wachafunya mwanang'ondi wa pasaka, wanafunzi wake wamghoria, 'ukundi dighende hao dikaandae ili upate kuja mlogwa pasaka?"
\p
\v 13 Wawaduma wanafunzi wake wawi na kuwaghoria, "Ghendenyi mzinyi, na mndumumi ambae wadwa mtungi dimawawonana na inyo. Mnughenyi.
\v 14 Iwacha ajiingiagha, mnughenyi na mumghorie mweni iwacha ijo, 'mwalimu adeda, "chiko hao chumba cha waghenyi andu nijagha pasaka na wanafunzi wapwa?"
\v 15 Dima wawabonyeria chumba cha ighu kibaha chikona samani ambacho cheko tayari. Bonyeni maandalizi kwa ajili yedu aja."
\v 16 Wanafunzi waingie wakaghenda mzinyi; wadokie kila sa andu wakogho wa waghoria, na wakaandaa mlogwa pasaka.
\v 17 Makati irikogho kwenyi, wachee na waja kumi na iwi.
\p
\v 18 Na warikogho wakiikaribia meza na kuja, Jesu wadedie, "loli nawaghoria, umweri kati yenyu ajagha andu amweri na nyi dimawanisaliti."
\p
\v 19 Wose wasikitie, na umweri baada ya umwi waghoria, "Hakika sio nyi?"
\p
\v 20 Jesu wajibie na kuwaghoria, "Ni umweri wa kumi na wawi kati yenyu, umweri ambae ijiaha adachovya itonge katika ibakuli andu amweri na nyi.
\v 21 Kwa wuja mvalwa wa Adamu dimawaghenda sa wuja maandiko andu ghadedaa ighu yake. Ela ole wake mundu uja ambae kuidia ye mvalwa wa Adamu dimawasalitiwa! kumacha asavalwa."
\p
\v 22 Na warikogho wakija, Jesu wawusie mkate, akaghubariki, na kuubegha. Wawanekie akideda, "Wusenyi. Ughu ni muwi gwapwa."
\v 23 Wawusie kikombe, akashukuru, na akawakeria, na wose wakachinywea.
\v 24 Wawaghoria, "Ihi ni bagha yapwa ya agano, bagha idikagha kwa ajili ya wengi.
\v 25 Loli nawaghoria, sinywagha sena katika izao iji ja mzabibu mpaka iruwa jija ninywagha mbishi katika ufalme gwa Mlungu."
\v 26 Wachameria kubora lumbo, waghendie shighadi katika lughongo lwa mizeitunyi.
\p
\v 27 Jesu wawaghoria, "Inyo wose dimamwakitenga kala kwa sababu yapwa, kwa wuja yaandikigwa, 'Dimanamkaba mlisa na ng'ondi dimawawaghaanyika.'
\v 28 Ela baada ya kufufuka kwapwa, dimanawakiria imbiri yenyu Galilaya."
\p
\v 29 Petro wamghoria, "Hata kama wose dimawakusigha, nyi sikusighaa."
\p
\v 30 Jesu wamghoria, "Loli nakughoria, kio ichi, kabla jogholo ndasee lila mara iwi, dimawaka wanikana mara idadu."
\p
\v 31 Ela Petro wadedie, "Hata dimayani lazimu kufwa andu amweri na we, sikukanagha." Wose wafunyie ahadi ija yeni.
\p
\v 32 Wachee ieneonyi jiwangiweghe Gethsamane, na Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "kenyi aha makati ndasali."
\v 33 Wawawusie Petro, Yakobo na Yohana andu amweri na ye, akawoka kuhuzunika na kutaabika nanganyi.
\v 34 Wawaghoria, "Nafasi yapwa ikona huzuni nanganyi, hata kufwa. Bkinyi aha na mke meso."
\v 35 Jesu waghendie imbiri kidogo, akagwa ndonyi, akatasa, ngelo kumacha yadimikana, kwamba saa ihi kumachayamuepuka.
\v 36 Wadedie, "Aba, Aba, malagho ghose kwako ghadadimikana. Niinjie kikombe ichi. Ela sio kwa mapenzi ghapwa, bali mapenzi ghako."
\v 37 Wawurie na kuwadoka watungura, na akamghoria Petro, "Simoni, Je watungura? Ndudimie kuka meso hata isaa jimweri?
\v 38 Kenyi meso na mtase kwamba msache ngia katika kugheriwa. Hakika ngolo yeko radhi, ela muwi ni dhaifu."
\v 39 Waghendie sena na kutasa, na watumia madedo ghajagheni.
\v 40 Wachee sena akadoka watungura, kwa wuja meso gwawhe ghakogho mazito na ndawamanyie indoi cha kumghoria.
\v 41 Wachee mara ya kadadu na kuwaghoria, "Bado mwatungura na kusoghoka? idatosha! isaa jafika. Guwa! mvalwa wa Adamu dimawasalitiwa mikonunyi mwa wekona zambi.
\v 42 Wukienyi, dighendenyi. Guwa, uja anisaliti ako avui."
\p
\v 43 Mara tu warikogho bado adaaria, Yuda, umweri wa waja kumi na wawi, wafikie, na ikundi ibaha kufuma kwa wabaha wa makuhani, waandishi na waghosi weni malwamba na marungu.
\v 44 Makati agho msaliti wake wakogho wawaneka ishara, akideda, uja nibusu, niye. Mwhadenyi na kumghenja ndonyi ya wulinzi.
\v 45 Makati Yuda wachafika, moja kwa moja waghendie kwa Jesu na kudeda, "Mwalimu! Na wambusu.
\v 46 Kisha wakamkuba ndonyi ya walinzi na kumwhada.
\v 47 Ela umweri kati yawhe wakaiye kimsi avui na ye wachomoa luwamba lwake akamkaba mtumishi wa kuhani mbaha na kumdema kudu.
\p
\v 48 Jesu wawaghoria, "Mwacha kuniwhada kwa malwamba na marungu sa mnyang; anyi?
\v 49 Makati kila iruwa nakogho na inyo na nikifundisha hekelunyi, ndamniwhadie. Ela iji jabonyeka ili maandiko ghatimie.
\p
\v 50 Na waja wose warikogho na Jesu wamsigha na kukimbia.
\v 51 Mdawana umweri wamnughie, warikogho warwa ishuka tu wakogho wakifunika kumzunguluka; wamwhada ela
\v 52 Wawaponyoka akajisigha ishuka aja akakimbia kibigiri.
\p
\v 53 Wamlongozie Jesu kwa kuhani mbaha. Aja wamkwania andu amweri na ye makuhani wabaha wose, waghosi, na waandishi.
\v 54 Petro na ye wamnughie Jesu kwa kula, kuelekea uenyi kwa kuhani mbaha. Wakee andu amweri na walinzi, warikogho avui na modo wakiota ili kupata kiruke.
\v 55 Makati agho makuhani wabaha wose na ibaraza jose wakogho wakilola ushahidi dhidi ya Jesu ili wapate kumbwagha. Ela ndawaupatie.
\v 56 Kwa wuja wandu wengi waredie ushuhuda wawhe ndaghufwanane.
\v 57 Baadhi wakeekimsi na kureda ushahidi gwatee dhidi yake; wakideda,
\v 58 "Dimsikira akideda, 'Dimanajinona ihekalu iji jibonyiriweghe kwa mikonu, na ndenyi ya maruwa adadu dimanaagha jimwi jisabonyiriagwa kwa mikonu."
\v 59 Ela hata ushahidi wawhe ndaghufwanane.
\p
\v 60 Kuhani mbaha wakeekimsi ghadighadi ya whe na akamkotia Jesu," Je, ndudae ijibu? wandu awa wadashuhudia indoi dhidi yako?"
\v 61 Ela wakee kimumure na ndajibie chochose. Mara kuhani mbaha wamkotia sena, "Je we wa Kristo, mvalwa wa mbarikiwa?"
\p
\v 62 Jesu wadedie, "Nyi ni ye. Na dimawamwona mvalwa wa Adamu waka mkonu gwa kujo gwa ndighi akicha na madulu gha mbingunyi."
\p
\v 63 Kuhani mbaha wararua mavazi ghake na kudeda, "Je, bado didahitaji mashahidi?
\v 64 Mwasikira kufuru. Uamuzi gwenyu ni ghuyao?" Na wose wamhukumu sa umweri wastahiliye kifwa.
\p
\v 65 Baadhi wawokie kumchuiya mada na kumfinika wushu na kumkaba na kumghoria, "Tabiri! "Maafisa wawamwusa na kumkaba.
\p
\v 66 Na Petro warikogho bado weko ndonyi uenyi, mtumishi umweri wa wai wa kuhani mbaha wachee kwake.
\v 67 Wamwonie Peto warikogho wakakimsi akiota modo, na wanguwa kwa kumkaribia. Kisha wadedie, "Na we pia wakogho na mnazareti, Jesu."
\p
\v 68 Ela waleghie, akideda, "Simanyaa wala sielewaa kuhusu chija udedaa!" Kisha wafumie akoghenda shighadi uenyi. \f + \ft Maziria; mstari ughu, "Na jogholo akalila" ndauko na kale nyi ra kala.\f*
\p
\v 69 Ela mtumishi wa kiwaka aja, wamwonie na wawokie kuwaghoria sena waja ambawo wakakimsi aja, "Mundu uyu wa umweri wawhe!"
\p
\v 70 Ela wakanie sena. Baadae kidogo waja warikogho wakakimsi aja wakogho wakimghoria Petro, "Hakika we wa umweri wawhe, kwa maana we pia wa mgalilaya."
\p
\v 71 Ela wawokie kukiwika mweni ndonyi ya laana na kulawa, "Simmanyaa mundu uyu mumdedaa."
\p
\v 72 Kisha jogholo walilie mara ya kawi. Kisha Petro wakumbukie madedo ambagho Jesu warikogho wamghoria: "kabla jogholo ndaselila mara iwi, dimawanikana mara idadu: Na wagwie ndonyi na kulila.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Kesho kio mapema wabaha wa makuhani wa kwana andu amweri na waghosi na waandishi na ibaraza ilanzi ja waghosi. Kisha wakamrugha Jesu wakamghenja kwa Pilato. Pilato akamkotia, "We wa mgimbikwa wa wayahudi?"
\v 2 Wamjibie, "We wadeda huwo."
\v 3 Wabaha wa makuhani wakaeleza mashitaka meengi ighu ya Jesu.
\v 4 Pilato akamkotia sena, "Ndujibu chochose? Nduwonaa jinsi andu wakushtaki kwa malagho mengi?
\v 5 Ela Jesu ndamjibie Pilato, na hiyo yamshangazie.
\p
\v 6 Kwa kawaida makati gha sikukuu humrugha mfungwa umweri, mfungwa wamlombie.
\v 7 Kurikogho wahalifu gerezanyi, miongonyi mwa wabwaghaa kati ya waasie watumikaa makosa yawhe. Wakogho mundu umweri awangwa Baraba.
\v 8 Umati gwachee kwa Pilato, na kumlomba abonye sa andu wabonyie uko nyuma.
\v 9 Pilato wamjibie na kudeda, "Mkundi niwarughirie mgimbikwa kwa wa Wayahudi.
\v 10 Kwa wuja wamanyie ni kwa sababu ya wivu wabaha wa makuhani wamwhada Jesu na kumreda kwakwe.
\v 11 Ela wabaha wa makuhani wachochea umati kukaba jogho kwa sauti kwamba arughuriwe Baraba bdala yake.
\v 12 Pilato akawajibu sena na akadeda, "Nimbonyei mgimbikwa wa Wayahudi?
\p
\v 13 Wakakaba jogho sena, "Msulubishe!"
\p
\v 14 Pilato akadeda, "Wabonya ilagho jizamie? "Ela wazie kukaba jogho zaidi na zaidi "Msulubishe."
\v 15 Pilato akkunda kuwaridhisha umati, akawarughuria Baraba. Akamkaba Jesu mijeledi kisha akamfunya ili asulubiwe.
\p
\v 16 Askari wamlongoza hata ndenyi ya ua (Uja ukoo ndenyi ya kambi) na wakwana andu amweri kikosi cha askari.
\v 17 Wakamrwisha Jesu kazu ya rangi ya zambarau, na wakasokaota taji ya minjwa wakamrwisha.
\v 18 Wakawona kumdhihaki na kudeda, "Salam, Mgimbikwa wa Wayahudi!"
\v 19 Wakamakaba chongonyi kwa mwanzi na kumchuiya mada. Wakakaba magoti imbii yake kwa kumheshimu.
\v 20 Hata wachameria kumdhihaki, wakamrua ija kazu ya rangi ya zambarau na kumwisha mavazi ghake, na wakamfunya shighadi kughenda kumsulubisha.
\p
\v 21 Wakamlazimisha muida chia kumtawaria, warikogho adangia mzinyi kufuma mbuwenyi. Awagwagha simoni mkirene (Ndee Iskanda na Rufo); wakalazimisha kudwa msalaba gwa Jesu.
\v 22 Askari wakamghenja Jesu andu kuwangwahjha Goligotha (maana ya tafsiri ihi ni, Andu kwa ifuvu ja chongo).
\v 23 Wakamneka chofi ichanganyiwe ni manemane, ela ndanywie.
\v 24 Wakamsulubisha na wakaghiana mavazi ghake, wakaghakabia kura kuamua kiwande achakipata kila askari.
\p
\v 25 Yapata saa idadu keshokio wachamsulubisha.
\v 26 Wkawika ighu yake ubao ghuandikiwe shitaka, "Mgimbikwa wa wayahudi."
\v 27 Wamsulubisha andu amweri na majambazi wawi, umweri luwande lwake lwa kujo na umwi kumosho kwake.
\v 28 \f + \ft Maziria: mstari ughu, "Na maandiko ghakatimia ghanenie" ndauko katika nakala ra kala.\f*
\v 29 Nawo warikogho wakiida wamuanyira, wakitikisa vongo vawhe wakideda, "Aha! we uchukanya ihekalu na kujiagha kwa maruwa adadu,
\v 30 Kitesie mweni na usee ndonyi fuma masalabenyi!"
\p
\v 31 Kwa namna ija yeni wabaha wa makuhani wamdhihaki wakidedeshana, andu amweri na waandishi na kudeda," Wawatesia wamwi, elandadimaa kukitesia mweni.
\v 32 Kristo Mgimbikwa wa Israeli, sea ndonyi iji aha fuma msalabenyi, ili didime kuwona na kuamini." Na waja wasulubiwe andu amweri na ye pia wamdhihaki.
\p
\v 33 Ichafika saa sita, kira kichaka ighu ja isanga jose hata saa kenda.
\v 34 Makati gha saa kenda, Jesu wakabie jogho kwa sauti mbaha, "Eloi, lama saba kitani?" ikika na maana, "Mlungu wapwa, Mlungu wapwa, kwaindoi wanisigha?"
\p
\v 35 Baadhi ya wakee kimsi wachasikira wa kadeda, "Guwa, adamwanga Eliya."
\p
\v 36 Mundu umweri akakimbia, akachura siki katika isiponji na kuiwika ighu ya mdi gwa mwanzi, akamneka ili anywe. Mundu umweri akadeda, "Wasera diwone ngelo Eliya dimawacha kumsera ndonyi."
\v 37 Kisha Jesu akalila kwa sauti mbaha na akafwa.
\v 38 Ipizia ja ihekalu jikawanyika viwande viwi toka ighu mpaka ndonyi.
\p
\v 39 Ofisa umweri warikogho wakakimsi akimwekea Jesu, wachamwona wafwa kwa jinsi ija, akadeda, "Loli uyu mundu wakogho mvalwa wa Mlungu."
\v 40 Wakogho pia wandu waka wakoo wakiguwa kwa kula. Miongonyi mwao wakoo mariamu magdalena, mariamu (Mae Yakobo mtinyi wa Yose), na salome.
\v 41 Makati warikogho Galilaya wamnugha na kumdumikia. Na wandu waka wamwi wengi pia waambatanie na ye hata Yerusalemu.
\p
\v 42 Kuchadime, na kwa wuja yakogho siku ya maandalio, iruwa kabla ya sababto,
\v 43 Ysufu wa Arimathaya wachee aja. Wakogho ni mjumbe wa Mjumbe wa Ibaraza aheshimiwa gha mundu autarajiagha ugimbikwa gwa Mlungu. kwa ujasiri waghendie kwa pilato, na kuulomba muwi gwa Jesu.
\v 44 Pilato akashangazigwa kwamba Jesu tayari wafwa; akamwanga uja afisa akamkotia ngelo Jesu wafwa.
\v 45 Wachapata uhakika kwa afisa kwamba wafwa, wamruhusu Yusufu kuuwusa muwi.
\v 46 Yusufu wakogho wagua sanda. Akamsera fuma msalabenyi, akamrugha kwa sanda na kumwika ndenyi ya ikaburi jikotiwe katika lwala. Kisha akajiviringisha igwe mjangonyi kwa ikaburi.
\v 47 Mariamu Magdalena na Mariamu mae Yose wawonie andu warikiwe Jesu.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Makati sababto ichasia, Mariamu Magdalena na Mariamu mae na Yakobo, na salome, wagulie manukato ghaboie, ili wadime kucha na kuuvia mavuda muwi gwa Jesu kwa ajili ya mariko.
\v 2 Kesho kio mapema iruwa ja kwanza ja juma waghendie ikaburinyi makati iruwa jichachomoza.
\v 3 Wakidedeshana weni kwa weni, Ani dimawajiviringisha igwe, kwa ajili yedu ili dingie kaburinyi?"
\v 4 Makati wachaguwa, wamwonie mundu wameria kujiviringisha igwe, ambajo jakogho ibaha nanganyi?"
\p
\v 5 Wakangia kaburinyi na wakamwona mdawa na warwa ijoho ja chokwa, waka luwande lwa kujo, na wakashangazigwa.
\v 6 Akawaghoria, "Msaboe. Mdalola Jesu, wa Nazareti, wasulubiwe. Wafufuka! Ndeko aha. Guwa andu aja warikogho wamwika.
\v 7 Ghendenyi, mkawaghorie wanafunzi wake na Petro ya kuwa wawakiria kuelekea Galilaya. Uko dimamwamwona, sa andu wakogho wawaghoria."
\v 8 Wakangia na kukimbia kufuma ikaburinyi, watetemekie na washangazigwa. Ndawadedie chochose kwa mundu wowose sababu waboie nanganyi.
\p
\v 9 \f + \ft Maziria: Nakala ra kala ndaridae Marko 16: 9-20 \f* Mapema katika iruwa ja kwanza ja juma, baada ya kufufuka, wamfumiria kwanza Mariamu Magdalena, ambae kufuma kwake wamfunya mapepo saba.
\v 10 Wangie na kuwaghoria waja ambawo wakogho andu amweri na ye, makati warikogho wakihuzunika na kufunya machozi.
\v 11 Wasikira kwamba ni mlanzi na wawonekaa na ye, ela ndawamwaminie.
\v 12 \f + \ft Maziria: Nakala ra kala ndaridae Marko 16: 9-20 \f* Baada ya agho, akakifunya katika namna tofauti kwa wandu wawi, makati warikogho wakighenda kufuma katika isanga.
\v 13 Waghendie na kuwaghoria wanafunzi wamwi wasangalikie, ela ndawawaaminie.
\v 14 \f + \ft Maziria: Nakala ra kala ndaridae Marko 16: 9-20 \f* Jesu baadae akakifunya kwa waja kumi na umweri warikogho waegama katika meza, na akawakemia kwa kusea mini kwawhe na ugumu wa mioyo, kwa sababu ndawaaminie waja wamwonie baada ya kufufuka kufuma kwa wafwie.
\p
\v 15 Akawaghoria, "Ghendenyi urumwengunyi kose na kuhubiri injili kwa vuimbe vose.
\v 16 Wowose aaminie na kubatizigwa dima watesiwa, na uja asaamini dimawahukumiwa.
\v 17 \f + \ft Maziri: Nakala ra kala ndaridae Marko 16: 9-20 \f* Ishara iri dimarambatana na wose waamini. Kwa irina japwa dimawainja pepo. Dimawadeda kwa lugha mbishi.
\v 18 Dimawawhada choka kwa mikonu yawhe, na hata wakinywa kilambo chochose cha kufisha ndachiwadhuru. Dimawawika mikonu kwa wakongo, na wo dimawaka walanzi."
\p
\v 19 Baada ya Mzuri kudeda nawo, akawusigwa ighu mbingunyi na waka mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\v 20 Wanafunzi wakainga na kuhubiri kila andu, makati Mzuri akibonya kazi na wo na kujithibitisha idedo kwa miujiza na ishara rikinughana nawo.