first edit

This commit is contained in:
Ed Davis 2023-08-16 22:48:20 -04:00
parent ffc8eca064
commit 8cd959b9a1
30 changed files with 15916 additions and 1 deletions

2024
41-MAT.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,2024 @@
\id MAT
\ide UTF-8
\h Mathayo
\toc1 Mathayo
\toc2 Mathayo
\toc3 mat
\mt Mathayo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Chuo cha mbari ya Jesu Kristo mvalwa wa Daudi, mvalwa wa Ibrahimu.
\v 2 Ibrahimu warikogho Aba wa isaka, na Isaka Aba wa Yakobo Aba wa YUda na wambari wake.
\v 3 Yuda warikogho Aba wa peresi na sera kwa Tamari, Peresi Aba wa Hezeroni, na Hezeroni Aba wa Ramu.
\v 4 Ramu warikogho Aba wa Aminadabu, Aminadabu Aba wa Nashoni, na Nashoni Aba wa Salimoni.
\v 5 Salimoni warikogho Aba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi aba wa Obedi kwa Ruthu, Obedi aba wa Jese.
\v 6 Jese warikogho aba wa Mgimbikwa Daudi. Daudi warikogho aba wa Sulemani kwa mka wa uria.
\v 7 Sulemani warikogho aba wa Rehoboamu, Rehoboamu aba wa Abiya, aba wa Asa.
\v 8 Asa warikogho aba wa Yehoshafati, Yehoshafati aba wa Yoramu, Yoramu aba wa Uzia.
\v 9 Uzia warikogho aba wa Yothamu, Yothamu aba wa Ahazi, Ahazi aba wa Hezekia.
\v 10 Hezekia warikogho aba wa Manase, Manase aba wa Amoni na Amoni mwana wa Yosia.
\v 11 Yosia warikogho aba wa Yekonia na wambari wake makati gha kuwusighwa kughenda Babeli.
\v 12 Wawusighwe kughenda Babeli, uko Yekonia warikogho aba wa Shatiel, Shatieli warikogho ndee na Zerubabeli.
\v 13 Zerubabeli warikogho aba wa Abiudi, Abiudi aba wa Eliakimu, na Eliakimu aba wa Azori.
\v 14 Azori wariogho aba wa Zadoki, aba wa Akimu, na Akimu aba wa Eliudi.
\v 15 Eliudi warikogho aba wa Elieza, Elieza aba wa matani na matani aba wa Yakobo.
\v 16 Yakobo warikogho aba wa Yusufu mumi wa Mariamu, ambaye kwaye Jesu wavalwe, awangwagha Kristo.
\v 17 Vizazi vose tangu Ibrahimu hata Daudi varikogho vizazi kumi na vina, na kufuma kuwusigwa kughenda Babeli hata Kristo ni vizazi kumi na vina.
\v 18 Kuvalwa kwa Jesu Kristo kurikogho huwu, mae Mariamu, washushighwa ni Yusufu, kabla ndawaisire kumwana, akawokneka akona inda kwa uwezo gwa roho wa kuela.
\v 19 Mndumni wake Yusufu, warikogho mndu wa hachi ndakudie kumfunya whaya kuelie. Wateganyie kuusigha uchumba gwake nae kwa kiviso.
\v 20 Makati akogho akitenganya ighu ya malagho agha, Malaika wa Mzuri wamfumirie nddonyi, akideda, "Yusufu mvalwa wa Daudi, usaboe kumwusa Mariamu kama mkako, inda ako nayo ni kwa uweza gwa Roho wa kuela.
\v 21 Ima wava mwana wa kiwomi irina jake ima wamwanga Jesu, hoyu ima awaelesha wandu wake na zambi rawhe.
\v 22 Agha ghose ghafumirie kutimira chija chidediwe ni Mzuri kwa chia ya mlodi, akideda,
\v 23 Guwa, mwai ima wadwa inda na kuva mwana wa kiwomi, ima wamwanga irina jake imanueli--idamaanisha, "Mlungu amweri na isi."
\v 24 Yusufu wawukie dilonyi na kubonya kama andu waghoriwe ni malaika wa Mzuri na wamwusie kama mkake.
\v 25 Hata huwo, ndatungure nae mpaka akava mwana wa kiwomi na wamwangie irina jake Jesu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Jesu achavalwa Bethelehemu ya uyahudi maruwa gha mgimbikwa Herode, wandu wasomi kufuma mashariki ya kula wafikie Yerusalemu wakideda."
\v 2 Ako ahoavalwe mgimbikwa wa wayahudi? daiwonie nyenyeri yake mashariki naisi dacha kumtasa"
\v 3 Huyo mgimbikwa Herode achasikira agha wafadhaika, na Yerusalemu yose andu amweri nae.
\v 4 Herode akawawika ndu amweri vilongozi wa kuasa wabaha wose na waandishi wa wandu, akawakotia, "Kristo ima wavalwa hao?
\v 5 Wakaghoria, "Aha Betheleemu ya uyahudi, uwu ndiko iandikigwe ni mlodi.
\v 6 Nawe Bethelehemu, isangenyi ja Yuda, sio mtinyi imbiri mwa vilongozi wa Yuda, kufuma kwako ima wacha mtawala awa lishaa wandu wapwa Isreli."
\v 7 Huwo Herode awawangie waja wasomi kwa kisivo akawakotia ni makati ki hasa nyenyeri irikogho yawoneka.
\v 8 Akawaduma Bethelehemu, akideda, " ghendenyi kwa uangalifu mkamlole mwana wavalwe. Mkamwona, nredienyi habari ili nanyi pia niche na kumtsa.
\v 9 Wachmsikira mgimbikwa, waendelee na charo chawhe, na nyenyeri ija warikogho waiwona mashariki yawakarie hata ikaka kimsighu andu avalwe mwana.
\v 10 Wachaiwona ija nyenyeri, wakaboiwa kwa furaha mbaha nanganyi.
\v 11 Wangirie nyumbenyi na kumwona mwana wavalwe ni mae Mariamu. Wamsujudie na kumtasa. Wafunguie hazina rawhe na kumfunyia zawadi ra dhahabu, uvumba na manemane.
\v 12 Mlungu awakashie ndodonyi wasawuye kwa Herode, huwo, waingie kuwuya katika isanga jawhe kwa chia imwe.
\v 13 Warikogho wainga, malaika wa Mzuri wamfumirie Yusufu ndodonyi na kughora, "Wukia, mwuse mwana na mae mkimbie Misri. Kenyi uko kweni mpaka niwaghorie, kwani Herode ima wamlola mwana ili ambwaghe.
\v 14 Kio icho Yusufu wawukie akaamwusa mwana na mae na kukimbia Misri.
\v 15 Wakee uko mpaka Herode akafwa. Ihi yatimirie chija Mzuri adedie kuidia mlodi, kufuma Misri na mwanga mwanapwa."
\v 16 Huyo Herode, wachawona wazihakiwa ni wandu wasomi, wowonie virea nanganyi. Walagizie kubagwa kwa wana wose wa kiwomi waikogho Bethelehemu na wose warikogho isanga jija ambajo warikogho na umri gwa miaka miwi nandonyi yake kufwana na maghadi ambagho waghathibitisha kabisa kufuma kwa waja wandu wasomi.
\v 17 Niko jikatimirwa jija ilagho jidediwe kwa momu gwa mlodi Yeremia.
\v 18 Sauti yasikiriwe Ramah, kifwa na kulila kubaha, Raheli akiwalilia wanake, na wale ghie kufarijiwa, kwani wanake ndaweko sena.
\v 19 Herode akafwa, niko malaika wa Mzuri akamfumiria Yusufu ndodonyi uko Misri na kudeda,
\v 20 "Wukia mwuse mwana na mae, mghende katrika isanga ja Israeli waja ambawo warikogho wakilola banana ya mwana wafwie.
\v 21 Yusufu wawukie, akamwusa mwana andu amweri na mae, wakacha katika isanga ja Israeli.
\v 22 Lakini achasikira kuwa Arikelau ada tawala Yuda andu kwa ndee Herode, akaboa kughenda uko. Baada ya Mlungu kumkasha katika ndodo, waingie kughenda mkoa gwa Galilaya.
\v 23 Na waghendie kuka katika mzi uwangwaa Nazareti. Iji jatimirie kija chidediwe kwa chia ya wolodi, kwamba ima wawangwa Mnazareti.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Maruwa ghaja Yohana mbatizaji wachee akihubiri katika kireti cha Yda akidedea,
\v 2 "Tesiwenyi zambi kwa maana ugimbikwa gwa mbingunyi u avui."
\v 3 Kwani niye adediwe ni mlodi Isaya akideda, "Sauti ya mundu awangaye kufuma jangwenyi, wikenyi nicha chia ya Mzuri, ghaghoenyi maidio ghake.
\v 4 Idana Yohana warwae mafuri gha ngamila na mkanda gwa mrongo kiwonyi mwake. Vindo vake virikogho nzige na wuki gwa choki ya isakenyi.
\v 5 Niko Yerusalemu, Yuda yose, na andu kose kuzulukagha mweda gwa Yordani wa kaghenda kwake.
\v 6 Warikogho wakibatizigwa ni ye katika mweda gwa Yorrdani kunu wakitesiwa zambi rawhe.
\v 7 Ye achawawona wengi wa mafarisayo na masadukayo wakicha kwake kubatizigwa, akawaghoria, "Inyo wuvazi gwa choka wako na sumu ani wawaonya kukimbia ghazabu ichagha?
\v 8 Venyi matunda gha kutesiwa zambi.
\v 9 Na inyo msategaye na kudediana imbiri yenyu. Deko nae Ibrahimu kama Aba wedu. Nanyi ndawaghoria Mlungu wadimagha kumnulia Ibrahimu wana kufuma katika magwe agha.
\v 10 Isoka jawikwa kala murinyi gwa midi. kwaa huwo kila mdi ghusawagha matunda ghaboie hudemwagha na kudagwa modonyi.
\v 11 Ndawabatiza kwa machi kwa ajili ya kutesi wa zambi. Ye achagha imbiri yapwa ni mbaha kuliko nyi nanyi sistaili kuvinua vadu vake. Ye ima awabatiza kwa Ngolo wa kuela na kwa modo.
\v 12 Na ipepeto jake jeko mkonunyi mwake kueleshakabisa uwanda gwake na kuiwika andu amweri ngo yake kainyi. Ye aghakoraa mawewe ka modo ghusarimikaa.
\v 13 Niko Jesu akacha kufuma Galilaya atamwedagha gwa Yordani kubatizigwa ni Yohana.
\v 14 Ye Yohana wakundieghe kumghiria akideda, "Nyi ndakundi kubatizigwa ni we, nawe wacha kwapwa?"
\v 15 Jesu wamjibu akadeda, "Ruhusu ike iji aha, huwu diko yadipasa kuitimira hachi yose." Niko Yohana akamruhusu.
\v 16 Andu wameria kubatizigwa, Jesu wafumie machinyi na guwa, mbingu rikafunulwa kwake. Na waamwonie Ngolo wa Mlungu akisea kwa mfano gwa njiwa na kunyama kima ighu yake.
\v 17 Guwa, sauti yafumie mbingunyi ikideda, "Huyu ni mwanapwa mkundwa nimkundi nanganyi.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Niko Jesu wkirishiwe ni ngolo mbaka ijangwenyi ili agheriwe ni ibilisi.
\v 2 Warikogho wafunga kwa maruwa arobaini dime na kio mwisho wapatie njala.
\v 3 Mgheria akacha na akamzera, "kama we ni mvalwa wa Mlungu, amuru magwe agha ghake mkate."
\v 4 Ila Jesu wamjibu na kumghoria, "yaandikiwe mndu ndakaa banana kwa mkate tu, bali kwa kila ilagho jifumaa momunyi mwa Mlungu."
\v 5 Niko ibilisi akamghenja mzi mtakatifu na kumwika andu kwa ighu kwa ijengo ja hekalu/
\v 6 Na kumghoria, "kama we ni mvala wa Mlungu kiburuse ndonyi, kwa maana yaandikiwe, ima walagiza malaika wake wakudake na ima wakunua kwa mikonu yawhe, ili usakikuwe kughu kwako katika igwe.
\v 7 Jesu akamghoria, "sena yaandikiwe, usagherie Mlungu wako."
\v 8 Niko ibilisi akamwusa na kumghenja andu kwa ighu zaidi akambonyera falme rose ra urumwengu na fahari ya hiro rose.
\v 9 Akamzera, "Ima nakuneka vilambo vose hivi ukanisujudia na kunitasa."
\v 10 Niko Jesu akamghoria, "ghenda chia rako ufume aha, shetani! yaandikiwe, umtase Mlungu wako, na umtumikie ye mweni."
\v 11 Niko ibilisi akamsigha, guwa, malaika wakacha wakamtumikia.
\v 12 Basi Jesu achasikira Yohana wawhadigwa, waingie akaghenda Galilaya.
\v 13 Waingie Nazareti akaghenda kuka kapernaumu, yeko mbaimbai na bahari ya Galilaya, mpakenyi mwa majimbo gha zabuloni na Naftali.
\v 14 Ihi yafumirie kutimira chija chidediwe ni mlodi Isaya,
\v 15 Katika mzigwa Naftali, kughenda baharinyi, kimonu cha Yordani, Galilaya ya wa wamatifa!
\v 16 Wandu wakee kirenyi wawonie mwanga mbaha, na waja wakee masanga gha kiju cha kifwa, ighu yawhe nuru yawa lumikia."
\v 17 Kwa makati agho Jesu waanzie kuhubiri na kudeda, "Tesi wenyi zambi kwa maana ugimbikwa gwa mbingunyi gwafika."
\v 18 Warikogho akighenda mbaimbai ya bahari ya Galilaya, wawawonie wambari wawi, Simoni awangiwe Petro, na Andrea mbaha wake, wakiwika ngavu baharinyi, ambawo warikogho wavuvi wa samaki.
\v 19 Jesu akawaghoria, "chonyi mninughirie, ima namibonyakuka wavuvi wa wandu."
\v 20 Wakasigha ngavu rawhe wakamnughiria.
\v 21 Na ye Jesu warikogho akiendelea kufuma aho wawawonie wambari wawi wamwe, Yakobo mvalwa wa Zebedayo, na Yohana mbaha wake. Warikogho katika mtumbwi andu amweri ni Zebedayo ndee wawhe wakishona ngavu rawhe akawawanga.
\v 22 Wakasigha mtumbwi na ndee wawhe nawo wakamnughuria.
\v 23 Jesu wawaghendie karibia Galilaya yose, akifundisha masinagoginyi kwawhe, akihubiri injili ya ugimbikwa, na akikira mrazi gha aina rose na makongo imbiri ya wandu.
\v 24 Habari rake raenee siria yose, na wandu wakaredigwa kwake waja wose warikogho wakiwha, wakika na mrazi tofauti luwawo, wakona mapepo, na wagwagha chongo na waolole. Jesu akawakira.
\v 25 Umati mbaha gwa wandu wamnughirie kufuma Galilaya, na Dekapoli, na Yerusalemu na Uyahudi na kufuma kimonu cha Yordani.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Jesu wacha uwona umati, akaingia na kughenda lighongonyi wachaka ndonyi, wanafunzi wake wakacha kwake.
\v 2 Akawusira momu gwake akawafundisha, akideda,
\v 3 "Heri weko masikini wa ngolo maana ufalme wa mbingunyi ni gwahwe.
\v 4 Heri weko na huzuni, maana imafarijiwa.
\v 5 Heri waorie, ima wapala isanga.
\v 6 Heri wanjala na kau ya hachi, maana ima waghudishigwa.
\v 7 Heri wako na wughoma awo ima wapata wughoma.
\v 8 Heri wekona ngolo itakate maana ima wamwona Mlungu.
\v 9 Heri wapatanishi, maana awo ima wawangwa wa Mlunggu.
\v 10 Heri waja watesigwa kwa ajili ya hachi, maana ufalme wa mbingunyi ni wawhe.
\v 11 Heri inyo ambawo wandu ima wamianyira na kuwatesa angu kuwadedia kila aina ya ubaya kwa utee kwa ajili yapwa.
\v 12 Boiwenyi na kushangilia, maana thawabu yenyu ni mbaha ighu mbingunyi. Na huwu niko wandu wawtesie walodi wakee kabla ya inyo.
\v 13 Inyo ni munyu gwa urumwengu. Idana kama munyu gwa laghasha ladha yake, ima yakawada kubonyika munyu ghuja gweni sena? kamwe ndaidimaa kuboa kwa kilambo chimwe chocho sena, bali ni kudagwa shighadi na kuwhadigwa shighadi na kuwhadigwa ni maghu gha wandu.
\v 14 Inyo ni nuru ya ulumwengu. Mzi gwaaghigwa ighu ya chughongo ndauvisikaa.
\v 15 Wala wandu ndawawasha taa na kuriwika ndonyi ya ngau, bali kinarenyi, nayo idawamulika wose wekoondenyi ya nyumba.
\v 16 Sigha nuru yenyu imulike imbiri ya wandu ili kwamba, waghawone matendo ghenyu ghaboie na kumtukuza Aba wenyu akoo mbingunyi.
\v 17 Msatenganye nachee kuinona sheria wala walodi. Sichee kunona ila kutimira.
\v 18 Kwa loli ndawaghoria kwamba hadi mbingunyi dunia rose riide ndakudae yodi imweri wala nukta imweri ya sheria iinjigwagha katika sheria hadi aho kila kilambo chikaka chatimizigwa.
\v 19 Huwo wowose achukaanyaye amri ndinyi mojawapo ya amri iri na kuwafundisha wamwe kubonya uwo ima wawangwa mtinyi katika ufalme gwa mbingunyi. Lakini wowose ariwhadagha na kurifundisha ima wawangwa mbaha katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 20 Kwa maana ndawaghoria hachi ya waandishi na mafarisayo, kwa vovose wuja ndamngiaa katika u8falme gwa mbingunyi.
\v 21 Mwaskira yadediwe aho kala kuwa, "Usabawghe" na wowose abwaghae ako katika hatari ya hukumu.
\v 22 Lakini ndawghoria wowose amzamiwagha mbari wake kuwa, We ni mndu usaboie,! ima waka katika hatari ya ibaraza. Na wowose adedae, 'We wakelie'! ima waka katika hatari ya madogwa Jehanamu.
\v 23 Huwo `kama udafanya sadaka yako madhabahunyi na udakumbuka kuwa mbari wako akona ilagho jojose kuhusu we,
\v 24 Isighe sadaka imbiri ya madhabahu, kishawada chia rako. Ghendapatana kwanza ni mbari wako, niko uche kuifunya sadaka yako.
\v 25 Patana ni mkisa wako karuwaruwa, ukika andu amweri nae chienyi kughenda mahakamenyi, bila huwo mkisa wako adimagha mikonunyi mwa hakimu, na hakimu akusighe mikonunyi mwa askari, na we ima wadagwa gerezenyi.
\v 26 Amin ndawaghoria, kamwe nduwikigwa huru hadi walipa senti ya mwisho ya pesa udaiwaa.
\v 27 Mwasikikra yadediwe kuwa, 'Usazini.'
\v 28 Lakini ndawaghoria wowose amguwaa mndumka kwa kumtamani wazini nae kala ngolonyi mwake.
\v 29 V29 Na kama iriso jako ja kujo jidakubonya kukikuwa jikue na ujidaghe mbai nawe. Ni afadhali kiungo chimweri katika muwi gwako kinoneke kuliko muwi mlanzi kudagwa Jehanamu.
\v 30 Na kama mkonu gwako gwa kujo udakubonya kukikuwa, udeme kisha uudange mbai nawe afadhali kimweri katika muwi gwako kinoneke kuliko muwi mlanzi kudagwa Jehanamu.
\v 31 Yadediwe pi, wowose ambingisaa mkake, na amneke kati ya talaka,'
\v 32 Lakinyi ndawaghoria, wowose amsighaa mkake, ila tu kwa sababu ya zinaa, ambaya kuka mzinzi. Na wowose wamlowuwaa baada ya kunekwa talaka adabonya uzinzi.
\v 33 Sena, mwasikira yadediwe kwa waja wa kala 'Msalawe kwa tee, bali ghenyenyi virawo vyenyu kwa Mzuri.
\v 34 Lakini ndawaghoria, msalawe hata kugheria ama kwa mbingu, kwa sababu ni enzi ya Mlungu,'
\v 35 Wala kwa Dunia, maana ni andu kwa kuwika kifumbi cha kuwhadia chwao rake, ama kwa Jerusalemu, maana ni mzi wa mgimbikwa mbaha.
\v 36 Wala usalawe kwa chongo chako, maana ndudimaa kubonya ivunga jimweri kuka jachokwa angu jadilu.
\v 37 Bali malagho ghenyu ghake, 'Hee, hee, mm, mm kwa kuwa ghazidii agho ghafumaa kwa yuja azamie.
\v 38 Mwasikira yadediwe kuwa,' Iriso kwa iriso, na ighegho kwa ighegho.'
\v 39 Lakini nyi ndawaghoria, mashindane ni mundu wazamie, 'lakini mndu akikukaba indumbu ja kujo mwaghusie na jimwe pia.
\v 40 Na kama wowose adamani kughenda ni we mahakamenyi na akakukosa kazu yako, msighie n ijoho jako pia.
\v 41 Na wowose akulazimishaye kughenda nae maili imweri, ghenda nae maili iwi.
\v 42 Kwa wowose akulombaa mneke, na usamleghe wowose akundii kukopa.
\v 43 Mwasikira yadediwe, 'umkunde jiranyi yako, na umzamiwe mlaghe laghe wako.
\v 44 Lakini ndawaghoria, wakundenyi walaghe laghe wenyu, watasienyi wamizamiwaa,
\v 45 Ili kwamba mke wana wa Aba wenyu ako mbingunyi kwakuwa adabonya iruwa jiwamulike wazamie na waboie, na awanyeshea vua wazamie na waboie.
\v 46 Kama mkawakunda wamikundi inyo, mkdapata thawabu ki?
\v 47 Na kama mkawasalimu wambari wenyu tu mdapata indoi zaidi ya wamwe? Je! wandu wa mataifa ndawabonyaa waruwa huwo?
\v 48 Huwo basi idawapasa kuka wakamilifu, kama Aba wenyu wa mbingunyi ako mkamilifu.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Maziria kutobonya matendo gha hachi imbiri ya wadu ili kukibonyiria, bila huwo ndupataa thawabu kufuma kwa Aba ako mbingunyi.
\v 2 Huwo basi andu ufunyaa usakabe igunda na kusifu mweni kama wanafiki andu wabonyagha katika masinagogi na mitaenyi, ili kwamba wandu wawasifu. Loli ndawaghoria, wameria kuwokera thawabu yawhe.
\v 3 Lakini waandu ufunyaa, mkonu gwako gwa kumoshu ghusaichi kibonyikagha ni mkonu gwa kujo,
\v 4 Ili kwamba zawadi yako ifunyigwe kwa kiviso. Niko Aba wako awaonye kivisioni ima wakuneka thawabu yako.
\v 5 Na wakati ukitasa, usake kama wanafiki, kwakuwa wadakundi kukakimsi na kutasa masinagoginyi na kuko kona ra mitaenyi, ili kwamba wandu wawaguwe. Loli ndawaghoria, wameria kuwokera thawabu yawhe.
\v 6 Lakini we andu utasaa, ngia chumbenyi. Rugha mjango, na utase kwa Aba wako ako kivisoni. Niko Aba wako awonaye kivisoni ima wakuneka thawabu yako.
\v 7 Na wakati ukitasa, usaburie madedo gha sadae maana kama mataifa andu wabonyaa, kwa kuwa wateganyaa kwamba ima wakasikirwa kwa madedo mengi wadedaa.
\v 8 Kwa huwo, usake kama awo, kwa kuwa Aba wako waichi mahitaji ghako hata kabla ndutasie kwake.
\v 9 Huwo basi tasa huwu: Aba wedu uko mbingunyi, ujitukuze irina jako.
\v 10 Ufalme gwako uche, mapenzi ghako ghabonyeke aha dunienyi kama uko mbingunyi.
\v 11 Udinekagha linu mkate gwedu gwa kila siku.
\v 12 Udisamehe deni redu, kama na isi andu dawasamehe wasile wedu.
\v 13 Na usadirede katika kugheriwa, lakini udiepushe kufuma kwa yuja uzamie.
\v 14 Kama imamwawasamehe wandu makosa ghawhe, Aba wako ako mbingunyi ima awsamehe inyo.
\v 15 Kama ndamwasamehe makosa ghawhe, wala Aba wenyu ndawasamehe makosa ghenyu.
\v 16 Zaidi ya yose, andu ukaka wafunga, usabonyerie wushu gwa huzuni kama wanafiki andu wabonyaa, kwa kuwa wadakucha sura rawhe ili kwamba wandu wawamanye wafunga. Loli ndawaghoria, wameria kuwokera thawabu yawhe.
\v 17 Lakini we, wandu ukaka wafunga, via mavunda chango chako na uoghe wushu gwako.
\v 18 Huwo ndaibonyiriagha imbiri ya wandu kuwa wafunga, lakini tu imayaka kwa Aba wako ako kivisioni. Na Aba wako awonagha kivisioni, ima wakuneka thawabu yako.
\v 19 Usakiwie hazina yako mweni aha dunienyi, ambawo nondo na kutu hunona, ambawo wating'a huchukanya na kuiwa.
\v 20 Badala yake, kiwikie hazina yako mweni mbingunyi, ambako wala nondo wala kutu ndadimaa kunona, na ambako wating'a ndawadimaa kuchukanya na kuiwa.
\v 21 Kwa wuja hazina yako andu iko, niko na ngolo yako iko pia.
\v 22 Iriso ni taa ya muwi. Kwa huwo, ikaka iriso jako ni ilanzi muwi gwose imawachurigwa.
\v 23 Lakini ikaka iriso jako ni ibovu, muwi gwako gwose gwachua kira kibaha. Kwa huwo, ikaka nuru ambayo yeko ndenyi yako ni kira kabisa, ni kira kibaha ni wada!
\v 24 Ndakudae hata umweri adimagha kuwatumikia wamwi wawi. Kwa kuwa ima wazamiwa ni umweri na kumkunda umwi, angu la sivyo ima wakaifunya kwa umweri na kumdharau umwi. Ndandimaa kumtumikia Mlungu na mali.
\v 25 Kwa huwo ndakughoria, usake na mashaka kuhusu maisha ghako, kuwa ima waja indoiau ima wanywa indoi, angu kuhusu muwi gwako, ima warwai. Je! maisha si zaidi ya vindo n muwi zaidi ya kurwa?
\v 26 Guwa wanyonyi wekoo angenyi. Ndawawaa na ndawa kwashaa na ndawa kusanyaa na kuwika koinyi, lakini Aba wenyu wa mbingunyi huwajisa awo. Je inyo si wathamani kuliko wo?
\v 27 Na ni ani imbiri yenyu kwa kukigaisha adimaa kuchuria dhiraa imweri kuko banana ya maisha ghake?
\v 28 Na kwa indoi mdaka na wasiwasi kuhusu kurwa? tenganya kuhusu maruwa? kuko mbuwa, andu ghazoghuaa. Ndaghabonyaa kazi na ndaghadimaa kukirusha.
\v 29 Bado ndawaghoria, hata sulemani katika utukufu gwake gwose ndarushiwe kama moja wapo ya agha.
\v 30 Kama Mlungu agharushaa manyasi katika mbuwa, ambagho ghadumu iruwa jimweri na kesho ghadadagwa katika modo, je ni kwa kiasi kiwarushagha inyo mko na imani ndini?
\v 31 Kwa huwo msake na wasiwaasi na kuded, 'Je imadaja indoi?' angu je imadagwa indoi? angu "Je! ima darwa nguwo ki?"
\v 32 Kwa kuwa mataifa wadalola malagho agha, na Aba wenyu wa mbingunyi adaichi kuwa kuwa mdakundi agho.
\v 33 Lakini kwanza lolenyi ufalme gwake na hachi yake na agha ghose ima ghakazigwa kwako.
\v 34 Kwa huwo usawone shaka kwa ajili ya kesho, kwa kuwa kesho ima yakishuhulikia yeni. Kila siku idatosha kuka na itatizo jake yeni.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Usahukumu, nawe usache kuhumiwa.
\v 2 Kwa hukumu ijayenyi, nawe ima wahukumiwa. Na kwa kiasi upimagha na we ima wapiwa icho cheni.
\v 3 Na kwa indoi udaguwa kipande cha mdi chiko irisonyi ja mmbari wako, lakini nduelewagha kipande cha igogo ambajo jeko katika iriso jako?
\v 4 Udima wada kudeda kwa mbari wako, sighaniku funyie kipande chiko irisonyi kwako, wa kati kipande cha igogo cheko ndenyi ya iriso jako?
\v 5 Mnafiki we; kwanza funya igogo jiko irisonyi kwako, na niko udima kuwona nicha na kukifunya kipande cha mdi chiko irisonyi ja mmbari wako.
\v 6 Usawaneke makoshi cheko kitakatifu, na usawadaghie nguwe lulu imbiri yawhe. Kama siko imawavinona na kuviwhadia kwa maghu, na sena ima wakughukia we na kukurarua vipande vipande.
\v 7 Tasa, nawe ima wanekwa. Lola, nawe ima wapata. Kaba hodi, na we ima warughuriwa.
\v 8 Kwa wowose atasaa, ima wawokera. Na kwa wowose alolaa, ima wapata. Na kwa mndu ambae akaba hodi, dima warughuriwa.
\v 9 Angu kuko mndu imbiri yenyu ambae, ikaka mwanake amlomba kipande cha mkate ima wamneka igwe?
\v 10 Angu ikaka amlombagha samaki, na ye ima wamneka choka?
\v 11 Kwa huwo, ikika inyo mwawazamie mdaichi kuwaneka wana wenyu zawadi riboie, Je! ni kiasi ki zaidi Aba ako mbingunyi awanekagha vilambo viboie waja wamlombagha ye?
\v 12 Kwa sababu hiyo, ukakunda kubonyiwa kilambo chochose ni wandu wamwe, na we pia imayakubonya kuwabonyia woruwo huwo nawhe. Kwa wuja hiyo ni sheria na walodi.
\v 13 Ngienyi kwa kuidia geti ifunyu. Kwa kuwa getini ishabwa na chia ni shabwa iongozaa kuzamie, na kuko wandu wengi waidagha chia iyo.
\v 14 Geti ni ifunyu ni chia iongozagha katika banana nani watineri wadima kuiwona.
\v 15 Kihazari na walodi wa tee, wachagha warwa mrongo gwa ng'ondi, lakini loli ni makoshi gha isakenyi ghabirie.
\v 16 Kwa matunda ghawhe ima mwawamanya. Je wandu wadimagha kuwahaya matunda injwenyi, angu mtini kuko mbeu ya mbaruti.
\v 17 Kwa huwo, kila mdi ghuboie gwa vagha matunda ghaboie, lakini mdi ghuzamie gwavagha matunda ghazamie.
\v 18 Mdi ghuboie ndaudimagha kuva matunda ghazamie, wala mdi ghuzamie ndaudimagha kuva matunda ghaboie.
\v 19 Kila mdi ghusavagha matunda ghaboie ima wademwa na kudagwa modonyi.
\v 20 Huwo basi, ima mwawamanya kufumana na matunda ghawhe.
\v 21 Si kila mndu anighiriagha n, 'Mzuri, Mzuri; angiagha katika ufalme gwa mbingunyi, bali ni yuja mweni keri abonyaye mapenzi gha Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 22 Wandu wengi imawanighoria maruwa agho, 'Mzuri, Mzuri, ndadifunyie wulodi kwa iri na jako, ndadifunyie mapepo, kwa irina jako, na kwa irina jako dabonyie matendo mengi mabaha?
\v 23 Niko imawaghoria mwari, siwachi inyo! ingenyi kwapwa, inyo mbonyaa ghazamie.
\v 24 Kwa huwo, kila umweri asikiragha madedo ghapwa na kutii ima wafwanana na mndu akona hekima aaghiye nyumba yake ighu lwalenyi.
\v 25 Vua ikanya, mafuriko ghakacha, na upepo ghukacha na ghukaikaba nyumba iyo, lakini ndaidimie kugwa ndonyi, kwa kuwa yakogho yuagwa ighu lwalenyi.
\v 26 Lakini kila mndu asikaragha ilagho japwa na asajitii, ima wafwananishwa na mndu mpumbavu aaghie nyumbayake ighu ya ndoe.
\v 27 Vua ikacha, mafuriko ghakacha, na upepo ghukacha na kuikaba nyumba iyo. Na ikagwa na kunoneka kwake kukakamilika."
\v 28 Gha fikie maruwa Jesu achameria kudeda malogho agha, makutano washangaie mafundisho ghake,
\v 29 Kwa wuja wafundishie kama mndu akona mamlaka, na si kama waandishi wawhe.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Wakati Jesu achasea ndonyi kufuma chughoghonyi, umati mbha wamnughie.
\v 2 Guwa, mkoma wachee na kusujudu imbiri yake, akadeda, "Mzuri, ikaka uko tayari, wadima kanibonya nike aelie."
\v 3 Jesu akaghunyoosha mkonu gwake na kumwhada, akadeda, "Neko tayari. Uke aelie." Aweni watakasiwe ukoma gwake.
\v 4 Jesu akamghoria, "Usadede kwa mndu wowose. Whada chia rako, na ghenda kibonyirie mweni kwa kuhani na ufunye zawadi ambayo Musa walagiza, ili ike ushuhuda kwawhe.
\v 5 Wakati Jesu achafika kaprenaumu, Jemedari wachee kwake akamkotia
\v 6 Akideda, "Mzuri mtumishi wapwa watungura nyumbenyi waolola na ako namaumivu gha kutisha."
\v 7 Jesu akamghoria, "Ima nacha na kumkira."
\v 8 Jemedari wajibie na kumghoria, Mzuri, Nyisi wa thamani hata uche na kungia ndenyi ya dari yapwa, deda ilagho tu na mtumishi wapwa ima wakirwa.
\v 9 Kwa kuwa nyi pia mndu niko na mamlaka, na niko nawo askari weko ndenyi yapwa. Nikideda kwa huyo, "Adaghenda, na kwa umwi choo na ye hucha, na kwa mtumishi wapwa, 'bonya huwu,' na ye adabonya huwo"
\v 10 Wakati Jesu achasikira agha, washangazigwa na kuwaghoria waja warikogho wakimnughiria, "Loli ndawaghorie, sipatie kuwoona mndu ako na imani kama huyu katika Israeli.
\v 11 Ndawagoria, wengi iwawacha kufuma mashariki na magharibi, imawaka katika meza andu amweri na Ibrahimu, Isaka na Yakobo, katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 12 Lakinyi wana wa ufalme imawadagwa katiaka kira cha shighadi, ambako ima kwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 13 Jesu akamghoria Jemedari, "Ghenda! kama andu waamini, na ibonyeke huwo kwako" na mtumishi wakiriwe katika saa hiyo yeni.
\v 14 Wakati Jesu wachafika nyumbenyi kwa petro, wamwona mkeku wake na Petro watungura akika mkongo wa homa.
\v 15 Jesu akamwhada mkonu gwake, na ihoma jke jikamsigha. Kisha akawukia akaanza kumuhudumia.
\v 16 Ichafika kwenyi, wndu wakamredia Jesu wengi watawaliwe ni pepo. Akawawabingisa pepo na waja weko wakongo akawakira.
\v 17 Kwa kubonya huwu yatimia yaja yamerie kudedigwa ni Isaya Mlodi, "Ye mweni wawusie makongo ghedu na wadwae marazi ghedu"
\v 18 Kisha Jesu wachajiwona kusanyiko jamzunguruka, wafunyie maelezo gha kughenda luwande lumwi lwa bahari ya Galilaya.
\v 19 Kisha mwandishi akacha kwake na kumghoria, "Mwalimu, ima nakughoria kokose ughendaa."
\v 20 Jesu akamghoria, "Makoshi gha isakenyi ghako na mashimo, na wanyonyi wa angenyi wako na vichungu, lakini mvalwa waAdamu ndadae andu kwa kutungurisha chongo chake."
\v 21 Mwanafunzi umwi akamghoria, Mzuri, niruhusu kwanza nighende mrika Aba."
\v 22 Lakini Jesu akamghoria, "Ninughirie, na uwasighe wafu warike wafu wawhe."
\v 23 Jesu wachangia mtumbwinyi, wanafunzi wake wakamnugha mtumbwinyi.
\v 24 Guwa, ikawukia zaruba mbaha ighu ya bahari, hata ikaka mtumbwi wafunikiwe ni mawimbi. Lakini Jesu warikogho watungura.
\v 25 Wanafunzi wakacha kwake na kumwusira wakideda, "Mzuri, ditesie isi, didaghenda kufwa"
\v 26 Jesu akawaghoria, "kwa indoi mdaboa, inyo mko na imani ndini? niko akawukia na kughukemea upepo na bahari. Kisha kukaka na utulivu mbaha,
\v 27 Womi wakawhadigwa ni mshangao wakadeda, "Huyu mundu ni wa wada? kwamba hata pepo na bahari vidamtii ye?"
\v 28 Wakati Jesu wakogho akicha luwande lumwi lwa isanga ja magadala, womi wawi warikogho watawaligwa ni mapepo wakwana nae. Warikogho wakifuma na makaburinyi na warikogho wakibonya vurugu sana, kiasi kwamba ndakudae mcharo adimaa kuida chia ija.
\v 29 Guwa, wapazie sauti na kudeda, "Niko na indoi cha kubonya kwako, mvalwa wa Mlungu? wacha aha kuditesa kabla ya wakati ndauseefika?
\v 30 Idana kundi ibaha ja nguwe jirikogho jikilisha, ndakukee kula sana na aja andu weko.
\v 31 Pepo waendelee kulalamika kwa Jesu na kudeda, "ikaka ima wadiamuru kufuma, dighenje ikundinyi ja nguwe."
\v 32 Jesu akawaghoria, "ghendenyi" pepo wakawafuma na kughenda kwa nguwe. Na guwa, ikundi joise jikasea kufuma chughonyi kusea baharinyi na jose jikafwa machinyi.
\v 33 Womi warikogho wakilisha nguwe wakimbirie na waghendie Mzinyi wakaghora kila kilambo, hususani chifumirie kwa womi warikogho watawaligwa ni mapepo.
\v 34 Guwa, mzi mlanzi ukacha kukwana na Jesu. Wachamwona, wakamsihi ainge mkoenyi kwa whe.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Jesu akangia botinyi, akavuka na akafika kuko mzi warikogho adaka.
\v 2 Guwa, wakamredia mndu waolole watungurishigwa itandikonyi wachaiwona imani yawhe, Jesu akamgheria mndu waolole, "mwanapwa, uke na furaha, zambi rako rasamehewa"
\v 3 Guwa, baadhi ya walimu washeria wakadeda weni kwa weni, "Huyu mndu ako na kufuru"
\v 4 Jesu akamanya mawazo ghawhe na kudeda, kwa indoi mdawaza ghazamie ngolonyi kwenyu?
\v 5 Chiao chiko rahisi kudeda, 'zambi rako rasamehewa' angu kudeda, 'kakimsi na ughende?'
\v 6 Lakini mmanye ya kwamba mvalwa wa Adamu ako na uwezo gwa kusamehe zambi..."waghadedie agha kwa yuja waolole, "kakimsi," wusa igodoro jako, na ughende nyumbenyi kwako"
\v 7 Niko yuja mundu akakimsi na kuinga kughenda nyumbani kwake.
\v 8 Makutano wachawona agho, washangae na kumsifu Mlungu, ambae wawaneka uwezo agho wandu.
\v 9 Na Jesu warikogho akiida kufuma aho, wamwanie mundu ambae wawangie kwa irina ja mathayo, aambae waarikogho waka andu kwa wawhada ushuru. Na ye akamghoria, "Ninughe nyi" na ye akakamsi na kumnughiria.
\v 10 Na Jesu wakee ili aje vindo ndenyi ya nyumba, wakacha wawhada ushuru wengi na wandu wazamie wakaja vindo andu amweri na Jesu na wandu wanafunzi wake.
\v 11 Niko mafarisayo wakayawona agho, wakawaghoria wanafunzi kwa indoi mwalimu wenyu adaja vindo andu amweri na wawhada ushuru na wandu wazamie?"
\v 12 Jesu wachasikira agho nae akadeda wandu weko na afya iboie ndawahitaji mganga, isipokuwa waja weko wakongo.
\v 13 Idawapasa mghende mkakifunze maana yake, "Ndakundi wughoma na sio zabihu" kwa wuja nachee, si kwa wekona hachi kutesiwa zambi, lakini kwa wenona zambi.
\v 14 Niko wanafunzi wa Yohana wakancha kwake na kudeda, "kwaindoi isi na mafarisayo didafunga, lakini wanafunzi wako ndawafungaa?"
\v 15 Jesu akawaghoria, Je wasindikizaji wa arusi wadimaa kuka na huzuni pindi Bwana arusi akika anduamweri nawo? lakini maruwa ghadacha ambako Bwana arusi ima wawusigwa kufuma kwawhe, na niko wafungaa.
\v 16 Ndakudae mundu awikagha kipande cha nguwo mbishi andu kuko nguwo ya kala, kiraka ima charashulwa kufuma andu kuko nguwo na mrashulo mbaha ima wafuma.
\v 17 Ndakudae wandu wawikagha chofi mbishi andu kuko chombo cha chofi ya kala, ikaka wabonya, mrongo imagwarashulwa, chofi imayalaghaya na mrongo ima gwaoneka. Badala yake, huwika chofi mbishi katika mrongo mwishi na vose imavaka nicha.
\v 18 Wakati Jesu wakogho akiwaghoria malagho agho, guwa Afisa akacha akasujudu imbiri yake, naye akadeda, "Mwanapwa wa waka wafwa demkweniji, lakini cho na uwike mkonu gwako ighu yake na ye ima waishi sena.
\v 19 Niko Jesu akakamsi na kumnugha na wanafunzi wake pia.
\v 20 Guwa, mka ambae warikogho akifuma bagha wa makati gha miaka kumi na iwi, akacha karibu na Jesu na akawhada andu kuko ipindo ja ivazi jake.
\v 21 Kwa wuja wadedie, "kama ni kawhada ivazi jake, nami ima naboia."
\v 22 Jesu akaaghuka na kumguwa na kumghoria. "Mwai, whda ngolo, imani yako ya kubonya uboe," Na makati agho gheni mkaakaboa makati agho.
\v 23 Na jesu wachafika nyumbenyi kwa Afisa, na ye wawonie wakaba magunda na umati gwa wandu urikogho ukikaba jogho.
\v 24 Na ye akadeda, "Inyeni aha, kwa waja mwaindafwie, bali watungura. Lakini wo wakamseka na kumkebehi.
\v 25 Na waja wandu wachafunyigwa shighadi, akangia chumbenyi na kumwhada mkonu na mwai akawukia.
\v 26 Na habari iri rikae na katika mzi mlanzi.
\v 27 Niko Jesu warikogho akiida kufuma aja, womi wawi vipofu wakamnugha waendelee kukaba jogho wakideda, daomba udirehemu, mvalwa wa Daudi.
\v 28 Pindi Jesu warikogho wafika nyumbenyi, waja vipofu wakacha kwake. Jesu akawaghoria, "Mdaamini kwamba nadimagha kubonya?" Nawo wakamghoria "Hee, Mzuri"
\v 29 Niko Jesu akawhada meso ghawhe na kudeda, "Na ibonyeke huwo kwenyu kama andu imani yenyu yamiduma"
\v 30 Na meso ghawhe ghakafumbuka. Niko Jesu akasisitiza akawamuru na kudeda "Guwenyi mundu wowose asamanye kuhusu ilagho iji."
\v 31 Lakini wandu awawi wakainga na kudeda habari iri andu kase mzi mlanzi.
\v 32 Noko waja womi wawi warikogho wakighenda chia rawhe, ni ipepo akaredigwa kwa Jesu.
\v 33 Na pepo wachamfuma, yuja mndu bubu akaanza kudeda "Ihi ndaisere kufumiria katika Israeli.
\v 34 Lakini mafarisayo warikogho wakideda "kwa wakuu wa pepo, adawabighisa mapepo"
\v 35 Jesu akaghenda kuko mizi yose na vijiji. Amaendelea kufundisha masinagoginyi, akihubiri injili ya ufalme, na kukira makongo gha kila aina na ghuzaifu gwaaina rose.
\v 36 Wakati achaghuwona umati, akawawania mbazi kwa sababu wagawie na kuvarika ngolo. Warikogho kwa ng'ondi wasadae mlisha.
\v 37 Na ye akawaghoria wanafunzi wake. "Mavuno ni mengi, lakini wabonyakazi ni watineri.
\v 38 Huwo basi kuruwaruwa mtesienyi Mzuri wa mavuno, ili adume wabonyakazi katika mavuno ghake."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Jesu akawawanga wanafunzi wake kumi na iwi na kuwaneka mamlaka ighu ya pepo wachafu, kuwakemea na kuwabingisa na kukira aina rose ra malazi na aina rose ra makongo.
\v 2 Mari na gha mitume kumi na iwi ni agha. Ja kwanza simeoni (ambaye pia adawagwa Petro), na Andrea mmbari wake, Yakobo mvalwa wa Zebedayo, na Yohana mmbari wake:
\v 3 Philipo, na Barthomayo, tomaso, na Mathayo mwhada ushuru, Yakobo mvalwa wa Alfayo, na Tadeo.
\v 4 Simoni mkananayo, na Yuda Iskariote, ambae wamsaliti.
\v 5 Awa kumi na iwi Jesu awadumie. Na ye wawaelekezie akideda "Msaghende andu weko wa wamataifa na msangie mizinyi kwa wasamaria.
\v 6 Badala yake, mghende kwa ng'ondi walagharie wa nyumba ya Israeli.
\v 7 Naandu mghendaa, hubirinyi na kudeda, ufalme gwa mbingunyi gwakaribia.
\v 8 Kirenyi wakongo, fufuenyi wafu, takasenyi wekona ukoma na bingisenyi pepo. Mwawokera utu, funyeni utu.
\v 9 Msawuse zahabu, almasi angushaba andu kuko pochi renyu.
\v 10 Usawuse mkoba katika charo chenyu, angu nguwo ra ziada, vadu angu changu, kwa wuja mbonyakazi adastahili vindo vake.
\v 11 Mzi gwogwose angu kijiji mngiagha lolonyi ambaye ndastahili na mke aja mpaka andu muingagha,
\v 12 Mkangia nyumbenyi, lamsenyi.
\v 13 Kama nyumba idastahili, amani yenyu iaki aja, lakini ngelo nyumba ndaistahili, amani yenyu iinge andu amweri na inyo.
\v 14 Na kwa waja wasawawokeagha inyo angu kusikira madedo ghenyu, wakati mdainga andu kuko nyumba angu mzi uo, aghienyi lavumbi lwa chwao renyu andu aho.
\v 15 Loli ndawagheria, ima yaka ya kustahimili karuwaruwa mizi ya Sodoma na Gomora maruwa gha hukumu kulikomzi ugho.
\v 16 Guwa, ndawaduma kama ng'ondi ghadi ghadi, ya makoshi gha isakenyi, kwa huwo kenyi na werevu kama choka na warie sa njiwa.
\v 17 Mke waangalifu na wandu, ima wamighenja mabarazenyi, na ima wamikaba masinagoginyi.
\v 18 Na ima mwarediagwa imbiri ya wabaha na wagimbikwa kwa ajili yapwa, sa ushuhuda kwawhe na kwa mataifa.
\v 19 Pindi wakashutumu, msake na wasiwasi cha kubonya angu indoi cha kudeda, kwa wuja kilambo cha kudeda ima mwanekwa kwa makati agho.
\v 20 Kwa wuja na siyo inyo ima mwadeda, lakini Ngolo wa Aba wenyu ima wadeda ndenyi yenyu.
\v 21 MMBari ima wamnukia mmbari wake kumbwagha, na aba kwa mwanako, wana ima wawawukia wazazi wawhe, na kuwasababishia kifwa.
\v 22 Na inyo ima mwazamiwa na kila mundu kwa sababu ya irina japwa. Lakini wowose arumaghia gha mpaka mwisho mndu uyo ima watesiwa.
\v 23 Andu wamitesaa katika mzi ughu, kimbienyi mzi kunughiriagha, kwa loli ndawaghoria, ndamkagha mkighenda kuko mizi yose ya Israeli kabla ya mvalwa wa Adamu ndaisire kuwuya.
\v 24 Mwanafunzi sio mbaha kuliko mwalimu wakke, wala mtumwa akoo ighu ya Mzuri wake.
\v 25 Idatosha kwa mwanafunzi kwamba ake sa mwalimu wake, na mtumishi sa Mzuri wake. Ikaka wamwanga Mzuri wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi ki karuwaruwa ima wawakakashifu wa nyumba yake.
\v 26 Huwa basi, msawahofu wo, kwa wuja ndakudae ilagho jisafunuliwa, na ndakudae jibisigwe jisamanyikane.
\v 27 Chija nchidedagha kirenyi, chidedenyi nurunyi na mkisikiraa kwa ulaini madunyi ghenyu, mchitangaze mkika ighu ya nyumba.
\v 28 Msawaboe waja ambawo wadabwagha muwi lakini ndawadae uwezo gwa kubwagha ngolo. Badala yake, mbaenyi yuja ambae adimagha kuangamiza muwi na ngolo kuja kuzimu.
\v 29 Je kasuku wawi ndawadagwaa kwa senti ndini? hata huwo ndakudae adimagha kugwa ndonyi bila Aba wenyu kumanya.
\v 30 Ela hata idadi ya njwi renyu rahesabiwa.
\v 31 Msake na hofu, kwa wuja mkona thamani karuwarwa kuliko kasuku wengi.
\v 32 Huwo basi kila umweri anikiri ya wandu, nanyi pia ima namkiri imbiri ya Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 33 Ela ye anileghagha imbiri ya wandu, na nyi pia imanamlegha imbiri ya Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 34 Msatenganye kwamba nachee kureda amani, dunikenyi. Sichee kureda amani, ela luwamba.
\v 35 Kwa wuja nachee kumwika mundu abishane na ndee, na mwai dhidi ya mae, na mghosi dhidi ya mkeku wake.
\v 36 Mlaghelaghe wa mundu imawaka waja wa nyumbenyi wake.
\v 37 Ye ambae adamkunda aba angu mawe karuwaruwa kuliko nyi huyo ndanistahili. Na ye amkundagha mdawa na angu mwai karuwaruwa kuliko nyi huyo ndanistahili.
\v 38 Ye ambae ndadukagha msalaba na kuninugha nyi ndanistahili.
\v 39 Ye alalaa maisha imaghashaa. Elaye alaghashaa maisha kwa ajili yapwa ima aghapata.
\v 40 Ye awakaribishagha wanikaribisha nyi, na ye anikaribishagha nyi wamkaribisha ye waniduma nyi.
\v 41 Na ye amkaribishagha mlodi kwa sababu ni mlodi ima wawawokera thawabu ya mlodi. Na ye amkaribishagha ako na hachi kwa sababu ni mundu wa hachi ima wawawokera thawabu ya mundu wa hachi.
\v 42 Wowose ampatiagha umweri wa watini awa, hata kikombe cha machi gha kunywa ghambeo, kwa sababu ye ni mwanafunzi loli ndawaghoria, ye ndadimaa kuwosa kwa chia yoyose thawabu yake.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Ikaka baada ya Jesu kumeria kuwaeleza wanafunzi wake kumi na iwi waingie aja kughenda kufundisha na kuhubiri katika mzi yawhe.
\v 2 Na Yohana akika gerezanyi achasikira akika ighu gha matendo gha Kristo, wadumie ujumbe kuidia wanafunzi wake.
\v 3 Na wakamkotia, We ni yuja achagha, angu kuko umwi didapaswa kumguwa.
\v 4 Jesu wajibie na kudeda wawhe, "ghendenyi mkamtaarifu Yohana ghaja mghawonaa na ghaja mghasikira.
\v 5 Wandu wasawonaa wadapata kuwona, viwete wadaghenda, wakoma wadatakaswa, wandu wasasikira wandasikira sena, wandu wafwie wadafufuliwa kupata banana, wandu wahitaji wadahubiriwa habari riboie.
\v 6 Na wabarikiwa yuja asawona shaka ighu yapwa.
\v 7 Pindi wandu awa wachainga, Jesu waanzie kudeda na umati ighu ya Yohana, "Ni indoi mwaghendie kuwaona ijangwenyi__tete jikitikiswa ni upepo?
\v 8 Ela indoi mwaghendie kuwona__mundu warwae mavazi ghaboie? hakika, waja warwagha mavazi ghaboie huka nyumbenyi ra wagimbikwa.
\v 9 Ela mwainga kuwona indoi-Mlodi? Hee, ndawaghoria, na zaidi ya Mlodi.
\v 10 Uyu nie waandikiwa, 'Guwa namduma mjumbe wapwa imbiri ya wushu gwako, ambae ima aandaagha chia yako imbiri yako.
\v 11 Nyi ndawaghoria loli, kati ya wavalwe ni waka ndakudae ako mbaha sa Yohana mbatizaji. Ela ako mtini katika ufalme gwa mbingunyi ni mbaha kuliko ye.
\v 12 Toka maruwa gha Yohana mbatizaji hata ijiaha, ufalme gha mbingunyi ni gwa ndighi, na wandu wekona ndighi, huuwusa kwa ndighi.
\v 13 Kwa wuja walodi na sheria waka wakitabiri mpaka kwa yihana.
\v 14 Na ngolo mko tayari kukunda, uyu ni Eliya, uja achagha.
\v 15 Ako na madu gha kusikira na asikire.
\v 16 Nikifwananishe na indoi kivazi hichi? ni mfano wawana wasarighaa gasi ra chetenyi, waja wakagha na kuwangana.
\v 17 Na kudeda, 'Dawakabia zumari ndamvinie daomboleza, ndamlilie.
\v 18 Kwa wuja Yohana wachee bila kuja mkate angu kunywa chofi, na wakaka wakideda, ako na pepo.'
\v 19 Mvalwa wa Adamu wachee akija na kunywa na wakadeda Guwa, ni mndu malaji na mting'a, amwedu wa wawhada ushuru na akona zambi ela hekima idadhihirishwa kwa matendo ghake."
\v 20 Jesu waanzie kuikemia mizi ambako baadhi ya matendo ghake gha ajabu ghabonyeka, kwa sababu warikogho ndawatesiwe zambi,
\v 21 Ole wako kolazini, olewako Bethsaida! ngelo matendo mabaha ghabonyekie Tiro na Sidoni ghaja ghabonyeka aha, ngera watesiwa zambi rawhe aho kala kwa kurwa magunia na kukivia maivu.
\v 22 Ela imayaka kuririmira kwa Tiro na Sidoni maruwa gha hukumu kuliko kwako.
\v 23 We kapernaumu, udadhani ima wawanuliwa hata mbingunyi? Aa imawaserigwa hata ndonyi kuzimu. Ngelo kwa sodoma kwa bonyekieghe matendo mabaha, kumacha ghabonyeka kwako, amacha ikogho mpaka linu.
\v 24 Bali ndadeda kwako kwamba imayaka rahisi kwa isanga ja sodoma kukamsi maruwa gha hukumu kuliko we.
\v 25 Katika makati agho Jesu wadedie, "Ndakusifu we, Aba, Mzuri wa mbingu na isanga, kwa sababu wawabisie malagho agha weko na hekima na ufahamu, na kughafunukula kwa wasadae elimu, sa wana watini.
\v 26 Aba kwa wuja yakupendeza huwo mesonyi pako.
\v 27 Malagho ghose ghakabiziwa kwapwa kufuma Aba. Na ndakudae ammanyagha Aba ila mvalwa, na wowose ambae mvalwa ako na tunu ya kumfunukula.
\v 28 Chonyi kwapwa, inyo wose mgayagha na mremeriwagha ni mzigho mbaha, na nyi dima namisoghosha.
\v 29 Kikumbenyi nira yapwa na mkifunze kufuma kwapwa, kwa wuja nyi na mnyenyekevu na nariboe ngolo na ima mwapata kusoghoka nafsi renyu.
\v 30 Kwa wuja nira yapwa ni laini na mzigho gwapwa gwwaanguye.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Wakati ugho Jesu waghendie maruwa gha sabato kuidia kuo mbuwa. Wanafunzi wake warikogho na njala na waanzie kuchukanya masuke na kuyaja.
\v 2 Ela mafarisayo wacha wona agho, wakamghoria Jesu "Guwa wanafunzi wako wadanona sheria wadabonya ghasaruhusiwagha maruwa gha sabato"
\v 3 Ela Jesu akawaghoria, "Ndamsomie andu Daudi wabonya, makati warikogho na njala, amweri na wandu akogho nawo?
\v 4 Namna wangirie ndenyi ya nyumba ya Mlingu na kuja mikate ya wonyesho, ambayo irikogho sio halali kwake kuija na waja akogho nawo, ila ndatungura kwa makuhani?
\v 5 Ndamuisire somakatika sheria, kwamba katika maruwa gha sabato makuhani ndenyi ya hekalu wainajisi sabato, ela ndawadae hatia?
\v 6 Ela nadeda kwenyu kuwa ako mbnaha kuliko hekalu ako aha.
\v 7 Ngelo mwamanyie ihi idamaanisha indoi, na kundi wughoma na sio zabihu; kumachandam wahukumu wasadae hatia,
\v 8 Kwa wuja mvalwa wa Adamu nie Mzuri wa sabato."
\v 9 Kisha Jesu akafuma aja akaghenda isinagoginyi kwawhe.
\v 10 Guwa kurikogho na mundu waolole mkonu. Mafarisayo wakamkotia Jesu, wakideda. "Je, ni halali kukira maruwa gha sabato? ili kwamba wadime kushitaki kwa kubony zambi.
\v 11 Jesu akawaghoria, "Nani kati yenyu, ambae ikaka ako na ng'ondi akagwa ndenyi ya ishimo maruwa gha sabato, ndamwhadaa na kumfunya kwa ndighi ndenyi ya ishimo.
\v 12 Je, chao chiko na thamani, zaidi kwani si zaidi ya ng'ondi! kwa huwo ni halali kubonya ghaboie maruwa gha sabato."
\v 13 Kisha Jesu akamghoria uja mundu, "ghorua mkonu gwako" akaghughorua, na kupata ndighi, sa uja umwi.
\v 14 Ela mafarisayo wakafuma shighadi na wakapanga jinsi ya kumwangamiza waghendie shighadi kupanga kinyume chake. Wakogho wakilola jinsi ya kubwagha.
\v 15 Jesu achamanya iji wangie aho. Wandu wengi wanughie na akawakira wose.
\v 16 Wawalagiza wasache mbonya akamanyikana kwa wamwe,
\v 17 Kwamba itimie ija loli, irikogho yadedigwa ni mlodi Isaya, akideda,
\v 18 Guwa, mtumishi wapwa yuja nimsaghuie, mkundwa wapwa, katika ye nafsi yapwa yapendezwa. Ima nawika ngolo yapwa ighu yake, na imawatangaza hukumu kwa mataifa.
\v 19 Ndagagha wala katika kwa ndighi, wala awaye yose kusikira sauti yake mitaenyi.
\v 20 Ndajichukanya itete jakonolwa. Ndabwaghagha utambi gwogwose ufunyagha mosi, ye mpaka akareda hukumu kwa mataifa.
\v 21 Na mataifa imawaka na ujasiri katika irina jake.
\v 22 Munu fulani kipofu na ibubu, wapagawe ni pepo warediwe imbiri ya Jesu.
\v 23 Makutano wose washangaie na kudeda, "Yadima wada mundu uyu kaka mvalwa wa Daudi?"
\v 24 Ela pindi mafarisayo wachasikira muujiza ughu, wadedie, "Uyu mundu ndafunyagha pepo kwa ndighi rake mweni isipokuwa kwa ndighi ra Belzebuli, mbaha wa pepo.
\v 25 "Ela Jesu wamanyie fikra rawhe na kuwaghoria," kila ugimbikwa gwawaghanyikie gweni hunoneka na kila mzi angu nyumba iwaghanyikagha yeni ndaikakimsi.
\v 26 Ikaka shetsni, dima wamuinja shetani, basi adakipinga katika nafsi yake mweni.
\v 27 Ni wada ugimbikwa gwake ukakimsi? na ngelo ndafunya pepo kwa ndighi ra Belzebuli, wafuasi wenyu huwafunya kwa chia ya ani? kwa ajili ya iji imawaka mahakimu wenyu.
\v 28 Na ngelo ndafunya pepo kwa ndighi ra ngolo wa Mlungu, basi ufalme gwa Mlungu wacha kwenyu.
\v 29 Na mundu adima wada kungia ndenyio ya nyumba ya akona ndighi na kuiwa, bila kumfunga ako na ndighi kwanza? niko aiwagha mali yake kufuma ndenyi ya nyumba.
\v 30 Wowose aseko amweeri na nyi ako kinyume chapwa, na ye asakusanyagha amweri nayi uyo adawaghanya.
\v 31 Kwa huwo nadeda kwenyu, kila zambi na kufuru wandu imawasamehewa, ila kumkufuru Roho wa kuela ndawasamehewa.
\v 32 Na wowose adedagha ilagho kinytume cha mvalwa wa Adamu, ijo imawasamehewa. Ngelo wowose adedagha kinyume na roho wa kuela, uyo ndasamehewa, katika urumwengu uhu, na wala uja uchagha.
\v 33 Angu ubonye mdi kuka uboie na itunda jake jiboie, angu ughunone mdi na itunda jake, kwa wuja mdi humanyikana kwa itunda jake.
\v 34 Inyo kivazi cha choka, inyo ni wazamie, mwadima wada kudeda malagho ghaboie? kwa wuja momu hudeda kufuma katika akiba ya ghaja ghakogho ngolonyi.
\v 35 Mundu aboie katika akiba iboie ya ngolo yake kufuma ghaboie, na mundu wazamie katika akiba izamie ya ngolo yake, hufunya kizamie.
\v 36 Ndawaghoria huwo katika maruwa gha hukumu wandu imawafunya hesabu ya kila ilagho jisadae maana wajidedie.
\v 37 Kwa wuja kwa madedo ghako imawahesabiwa hachi na kwa madedo ghako imawahukumiwa."
\v 38 Niko baadhi ya waandishi na mafarisayo wamjibie Jesu wakideda "Mwalimu, dakundieghe kuwona ishara kufuma kwako."
\v 39 Ela Jesu wajibie na kuwaghoria, "kivazi kizamie na cha zinaa kidalola ishara. Ela ndakudae ishara ifunyigwagha kwawhe isipokuwa ija ishara ya Yona Mlodi.
\v 40 Sa wuja mlodi Yona wakogho ndenyi ya kifu cha samaki mbaha kwa siku idadu dime na kio, huwo niko mvalwa wa Adamu adima kuka ndenyi ya ngolo ya Isanga kwa maruwa adabu dime na kio.
\v 41 Wandu wa ninawi imawakakimsi imbiri ya hukumu amweri na kivazi cha wandu awa na imawahukumu kwa wuja watesiwe zambi kwa mahubiri gha Yona na guwa, mundu fulani mbaha kuliko Yona ako aha.
\v 42 Malkia wa kusini imawanuka hukumunyi amweri na wandu wa kivazi hichi na kukihukumu. Wachee kufuma miisho ya Dunia kuchakusikira hekima ya suleimani, na guwa, mundu fulani mbaha kuliko suleimani ako aha.
\v 43 Makati pepo machafu amfumaa mundu huidia andu kusadae machi akilola kusoghoka, ela ndakuwonagha.
\v 44 Kisaha hudeda, 'imanawuya nyumbenyi kwapwa nifumie' achawuya hudoka ija nyumba yasafishigwa na yeko tayari.
\v 45 Kisha adaghenda na kuwareda wamwe ngolo wachafu saba weko wazamie zaidi kuliko ye, hucha kuka wose aja. Na hali yake ya mwisho idaka izamie kuliko ya kwanza. Huwo niko idima kuka kwa kivazi hichi kizamie.
\v 46 Makati Jesu warikogho akiaria na umati guwa, mae na wambari wake wakee kimsi shighadi, wakilola kuaria nae.
\v 47 Mundu umweri akamghoria, "Guwa mayo na wambari wako wakakimsi shighadi, wadalola kuaria na we."
\v 48 Ela Jesu wajibie na kumghoria wammanyishie, "Mawe wapwa ni ani? na wambari wapwa ni wa kani?
\v 49 Nae waghaghoa mkonu gwake kwa wanafunzi na kudeda, "Guwa, awa ni mawe na wambari wapwa!
\v 50 Kwa wuja wowose abonyagha mapenzi gha aba wapwa ako mbingunyi, mundu uyo nie mmbari wapwa, dada wapwa na mawe wapwa."
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Katika maruwa agho Jesu wainge nyumbenyi na kuka mbai mbai ya bahari.
\v 2 Umati mbaha wakusanyikie kwa kumzunguluka, wangie ndenyi ya matumbwi na kuka ndenyi yake. Umati gwose gwakeekimsi mbaimbai ya bahari.
\v 3 Kisha Jesu wadedie madedo mengi kwa mifano, wadedie, "Guwa, mpanzi waghendie kuwa.
\v 4 Warikogho akiwa baadhi ya mbeu ragwiembaimbai ya chia na wanyonyi wachee wakaridonoa.
\v 5 Mbeu rimwe ragwie ighu lwalenyi, ambako ndaripatie ndoe ya kutosha. Ghafla dwabukie kwa sababu ndoe ndaidaeghe kina.
\v 6 Ela iruwa andu jachomoza dwakorigwa kwa sababu ndaridaeghe na miri, na raomie.
\v 7 Mbeu rimwe ragwie injwenyi. Midi ikona mirijwa yalachikie ighu ikaisonga.
\v 8 Mbeu rimwe ragwie kuko ndoe iboie na kuwa mbeu, rimwe maraighana jimweri zaidi, rimwe sitini, na rimwe thelasini.
\v 9 Akona madu na asikire.
\v 10 Wanafunzi wachee na kumghoria Jesu, "kwa indoi udaria na makutano kwa mifano.
\v 11 Jesu wajibie akawaghoria, "Mwanekwa upendeleo gwa kumanya viviso va ufalme gwa mbingunyi, bali kwawhe ndawanekiwe.
\v 12 Ela wowose akonacho, kwake ye imawachuriwa karuwaruwa, na imawapata faida mbaha. Ila aseko nacho dimawasokigwa.
\v 13 Huwo nadeda nawo kwa mifanoo kwa sababu inga wa wadawona, wasaiwone ija loli. Na ingawa wadasikira wasasikire wala kumanya.
\v 14 Ulodi gwa Isaya gwatimia kwawhe, uja udedagha, "Msikiragha msikire, ela kwa namna yoyose ndamuelewagha mdime kuwona, ela kwa namna yoyose ija msaichi.
\v 15 Na ngolo ra wandu awayaka igiza, wakurie kusikira, na wabwagha meso gwawhe, ili wasadime kuwona kwa meso gwawhe, angu kusikira kwa madu gwahe, angu kumanya kwa ngolo rawhe, huwo waniaghukiagha sena, na kumachanawakira.
\v 16 Bali meso ghenyu ghabarikiwa, kwa wuja ghada wona, na madu ghenyu kwa wuja ghadasikira.
\v 17 Huwo ndawaghoria wolodi wengi na wadu wako na hachi wakoghop na tunu ya kuwona malagho ghaja mghawonaa, na ndawadimie kuyawona. Watamanie kusikira malagho ghaja mghasikiragha, ndawayasikire.
\v 18 Idana sikirienyi mfano gwa mpanzi.
\v 19 Wakati gwogwose asikiragha idedo ja ufalme na asajimanye, niko wazamie hucha na kukinyakula chija chikogho chavalwa ndenyi ya ngolo yake. Ihi ni mbeu ija yavalwa mbaimbai ya chia.
\v 20 Ye wavalwa lwalenyi ni yuja asikiragha idedo na kujiwokera haraka kwa furaha.
\v 21 Bado ndadae miri ndenyi yake, ila hurumaghia kwa kitambo kifupi. Wakati whasi angu mateso ghafumiriaga kwa sababu ya idedo huki kuwa ghafla.
\v 22 Wavalwa kati ya midi ya minjwa, uyu ni yuja asikiragha idedo ela masumbuko gha urumwengu na utee gwa utajiri hujisonga jija idedo jisacheva matunda.
\v 23 Wavalwa kuko ndoe iboie, uyu ni yuja avagha matunda na kuendelea kuva jimweri zaidi ya maraighana, imwe sitini, imwe thelasini.
\v 24 Jesu wawanekie mfano ghumwi, akideda, "Ufalme gwa mbingunyi udafwananishwa ni mundu wavae mbeu riboie katika mbuwa yake.
\v 25 Ela wandu wachadungumia, mlaghelaghe wake akacha nae akawaa magugu ghadighadi ya ngano nae akaghenda chia rake.
\v 26 Baadae ngano yabukie na kufunya mazao ghake, niko magugu yafumirie pia.
\v 27 Na watumishi wa mweni mbuwa wachee wakamghoria, "Mzuri, nduvaie mbeu riboie katika mbuwa yako? yakakawada idamu iko na magugu.
\v 28 Akawaghoria, mlaghelaghe wabonya iji. Watumishi wakamghoria, "kwa huwo ukundi dighende dikaghakue?"
\v 29 Mweni mbuwa akadeda, 'Aa, makati mdaghakua magugu imwamwakua andu amweri na ngano.
\v 30 Ghasi ghenyi ghave andu amweri mpaka makati gha mavuno. Makati gha mavuno im nadeda kwa wakwashaa, 'kwanza ghakuenyi magugu na ghafungenyi duzumurizumuri na kughakora ela wikeni andu amweri ngano katika kai japwa.
\v 31 Kisha Jesu wawafunyie mfano ghumwi, akadeda, "Ufalme gwa mbingunyi udafwana na mbeu ya haradari ambayo mundu waiwusie na kulwa katika mbuwa yake.
\v 32 Mbeu ihi kwa hakika ni ndini kuliko mbeu rimwi rose. Ela andu imeagha huko mbaha kuliko mimea yose ya bustani, huka mdi, kiasi kwamba wanyonyi wa angenyi hucha na kuagha viota katika marembwe ghake.
\v 33 Akawaghoria mfano ghumwi sena,"Ufalme gwa mbingunyi nisa chachu ija iwusigwe ni mndumka na kuiranganya kwa vipimo vidadu kwa mufu hata viumuke.
\v 34 Agho ghose Jesu waghadedie andu kuko umati kwa mfano. Na pasipo mifano ndadedie chochose kwawhe.
\v 35 Ihi yakogho kwamba chija chikogho chadedigwa kuidia kwa Mlodi chidime kutimia, aja adedie, "Imanafumbua momu wapwa katika mifano. Imna deda malagho ghaja ghakogho ghavisigwa tangu misingi gha urumwengu."
\v 36 Kisha Jesu wawasigfha makutano na kughenda nyumbenyi. Wanafunzi wake waghendia na kudeda, "Difafanulie mfano gwa magugu gha mbuwenyi."
\v 37 Jesu wajibie na kudeda, "Avagha mbeu riboie ni mvalwa wa Adamu.
\v 38 Mbuwa ni urummwengu; na mbeu riboie, awa ni wana wa ufalme. Magugu ni wana wa yuja azamie, na mlaghelaghe warivae ni ibilisi.
\v 39 Na mavuno ni mwisho gwa urumwengu, na wakwashaa ni malaika.
\v 40 Sa wuja magugu ghawikwagha andu amweri na kukorwa modo, huwo niko ikagha mwisho gwa urumwengu.
\v 41 Mvalwa wa Adamu dimawaduma malaika wake, na kuwika andu amweri kufuma katika ufalme gwake malago ghose ghasababishie zambi na waja wabonyagha ghazamie.
\v 42 Dima wawadagha wose katika itanuru ja modo, ambako imkwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 43 Niko wandu wako na hachi imawaela sa iruwa katika ufalme gwa Aba wawhe. Ye askona madu na asikire.
\v 44 Ufalme gwa mbingunyi ni sahazina yabisiwe mbuenyi. Mundu akaiwona na kuvisa katika furaha yake aakaghenda kudagha vose akogho navo, na kuiguwa mbuwa.
\v 45 Sena, Ufalme gwa mbimgunyi ni sa mundu abonyagha biashara alolagha lulu iko na thamani.
\v 46 Makati wachaiwona ija iko na thamani, waghendie akadagha kila kilambo ako nacho na akaigua.
\v 47 Ufalme gwa mbingunyi ni sa ngavu ikogho ndenyi na bahari, na kwamba huwika andu amweri viumbe na kila aina.
\v 48 Wachachua wavuvi waurudie ufukwenyi kisha wakaka ndonyi ya vombo, ela visadae thamani vadaghiwe kula.
\v 49 Ima yaka namna ihi katika mwisho gwa Dunia. Malaika imawacha na kuwatenga wandu wazamie kufuma imbiri ya wakona hachi.
\v 50 Na kuwadagha ndenyi ya itanuru ja modo, ambako imakwaka na kulila kubaha na kusaga maghegho.
\v 51 Mwamanyie malagho ghose agha? Wanafunzi wamjibie, "Hee."
\v 52 Kisaha Jesu akawaghoria, "kila mwandishi ambae waka mwanafunzi wa ufalme adafwana na mweni iwacha afunyagha katika hazina yake vilambo viwishi na vakala."
\v 53 Ikawa Jesu achameria mifano yose iyo, akainga aho andu.
\v 54 Kisha Jesu wafikie katika mkoa gwake na wawafundishie wandu katika isinagogi. Matokeo ghake ni kuka washangaie na kudeda ni hao mundu uyu wapatie hekima ihi na miujiza ihi?
\v 55 Uyu mundu sio mvalwa wa seremala? Mariamu sio mae? na wambari wake sio Yakobo, Yusufu, Simoni na Yuda?
\v 56 Na dada rake dikonao aha kwedu? basi mundu uyu waghapata hao agha ghose?
\v 57 Wawachukiza. Ela Jesu wawaghorie, "Mlodi ndasowagha kuka na heshima isipokuwa kwawhe na katika isanga jawhe.
\v 58 Na ndadimie kubonya miujiza mingi kwa sababu ndawakogho na imani nae.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Kwa makati agho, Herode wasikire habari ighu ya Jesu.
\v 2 Akawaghoria watumishi wake, "Uyu ni Yohana mbatizaji wafufuka kufuma kwa wafwie. Kwa huwo ndinyi iri reko ighu yake."
\v 3 Kwa wuja Herode wakogho wamwhadia Yohana akamfunga na kumdagha gerezanyi kwa sababu ya Herodia, mka wa Filipo. Kakie
\v 4 Kwa wuja Yohana waghorie, "Si halali kumwusa ye kaka mkake."
\v 5 Herode kumachawambwagha ela wawaboa wandu kwa sababu wamwonie Yohana ni Mlodi.
\v 6 Ela maruwa gha kuvalwa Herode ghachafika mwaiwa Herodia wavinie ghadighadi ya wandu na kumboia Herode.
\v 7 Katika kujibu chaaidie kwa kirwao kwamba dima wamneka chochose alambaa.
\v 8 Baada ya kushauriwa ni mae, wadedie, "Nneke nyi aha ikombenyi chongo cha Yohana Mbatizaji."
\v 9 Mgimbikwa wakogho na sikitiko kwa malombi gha mwai, ela kwa ajili ya kirawo chake, kwa sababu ya wose wakogho vindonyi amweri nae wawaamuru kwamba idapaswa ibonyeke.
\v 10 Wadfumie Yohana aredigwa kufuma gerezanyi.
\v 11 Ili ademwe chongo chake na chikaredigwa ighu ya isina na akanenigwa mwai na akakighenja kwa mae.
\v 12 Kisha wanafunzi wake wakacha kuwusa uja muwi na kuurika, baada ya iji waghendie kumghoria Jesu.
\v 13 Na ye Jesu wachasikira agha, akakitenga kufuma andu ajajoka ndenyi ya mashua akaghenda sehemu iko mbai na ieneo weko makati umati gwamanyie akogho, wamnughie kwa maghu kufuma mizinyi.
\v 14 Kisha Jesu wachee imbiri yawhe akauwona umati mbaha. Akawawoniambazi na kukira makogho ghawhe.
\v 15 Kwenyi ichatimia wanafunzi wachee kwake na kudeda, "Ihi ni sehemu ya lwangwa, na maruwa yaidakala. Watapanye makutano ili waghende vijijini ili wakaghue vindo kwa ajili yawhe.
\v 16 Ela Jesu akawaghoria, "Ndawadae haja ya kughenda chia rawhe. Wekenyi onyo vindo."
\v 17 Wakamghoria, Aaha dikonayo mikate misanu na samaki wawi tu."
\v 18 Jesu akadeda, "Iredenyi kwapwa."
\v 19 Kisha Jesu akaghuamuru umati kuka ndonyi ya nyasi. Akawukusa mkate misanu na samaki wawi. Akaguwa ighu mbingunyi, akabariki na kubegha mikate akawoneka wanafunzi. Wanafunzi wakauneka umati.
\v 20 Wakaja wose na kughgunda. Kisha wakavikiwa andu amweri viwande vose va vindo na kuchura ngau kumi nan iwi.
\v 21 Waja wajie wakadiriwa kuka womi elfuisanu bila ya kutala waka na wana.
\v 22 Mara imweri wawaamuru wanafunzi wangie ndenyi ya mashua, wakati ugho ye wawalagie umati waghende chia rawhe.
\v 23 Baada ya kuwalaga umati kughenda chia rawhe, akajoka ighu lughongonyi kutasa mweni keri. Wakati ichafika kwenye makogho uko mweni keri.
\v 24 Ela idana mashua ikogho ghadighadi ya baahari ukiyumbayumba kwasababu ya mawimbi, kwani upepo wakogho wakuzunguluka.
\v 25 Katika kio cha kirindiri cha kana Jesu wawakaribia, akighenda ighu ya machi.
\v 26 Wakati wanafunzi wake wachamwona akighenda ighu ya bahari, wakogho na hofu na kudeda, "Ni mzuka," na kufunya mbaha sauti hali ya wawa.
\v 27 Jesu akawaghoria mara imweri, akideda, "kineke ngolo! ni nyi! msaboe."
\v 28 Petro wamjibie kwa kudeda, "Mlodi, ngelo ni we, niamuru niche kwako ighu ya machi."
\v 29 Jesu wadeda, "cho." Huwo Petro wafumie ndenyi ya mashua na akaghenda ighu ya machi kughenda kwa Jesu.
\v 30 Ela Petro wachawona mawimbi, waboa, na kuanza kuridimira, ndonyi, akawanga kwa sauti na kudeda, "Mlodi, nitesie!"
\v 31 Haraka Jesu waghaghoa mkonu gwake akamwusiria Petro, na kumghoria, 'we uko na imani ndini, kwa indoi wakogho na mashaka?"
\v 32 Niko Jesu na Petro wangirie mashuenyi, upepo gwasighie kuvuma.
\v 33 Wanafunzi mashuenyi wamtakasa Jesu na kudeda, "Loli we ni mvalwa wa Mlungu."
\v 34 Na wacha meria kuluwaka, wafikie katika isanga ja Genesareti.
\v 35 Na wandu katika ieneo jija wachammanya Jesu, wadumie ujumbe kila lawande lwa mbaimbai, na kureda kila akogho mkongo.
\v 36 Wamsihi kwamba wadime kuwhada ipindo ja ivazi jake, na wengi wawhadieghe wakiriwe.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Niko mafarisayo na waandishi wachee kwa Jesu kufuma Yerusalemu. Na kudeda,
\v 2 "Kwa indoi wanafunzi wadaghalifu mapokeo gha waghosi? kwa wuja ndawaoghogha vikoto vawhe andu wakika wadaja vindo."
\v 3 Jesu wawajibie na kumghoria, "Na inyoinyo__kwa indoi mdaihalifu sheria ya Mlodi kwa ajili ya mapokeo ghenyu?
\v 4 Kwa wuja Mlungu wadedie, 'mheshimu mayo na ndeo na aghoragha ghazamie kwa ndee na mae, hakika imawafwa.
\v 5 Ela inyo mwadeda, kila amghoriagha ndee na mae, kila tawara ambajo kumachawapata kufuma kwapwa iji aha ni zawadi kufuma kwa Mlungu,
\v 6 Mundu uyo ndadae haja ya kuheshimu ndee. Katika namna ihi mwajibisha idedo ja Mlungu kwa ajili ya mapokeo ghenyu.
\v 7 Inyo wanafiki, ni nicha sa andu Isaya watabirie ighu yenyu andu wadedie,
\v 8 Wandu awa wadaniheshimu nyi kwa momu yawhe, ela ngolo rawhe reko andu wadedie,
\v 9 Wani tasaa utu, kwa sababu wadafundisha mafundisho ghakogho maagizo gha wadamu.
\v 10 Niko akkawawanga makutano na kuwaghoria, sikirienyi na mmanye__
\v 11 Ndakudae kilambo kiingiagha momunyi kwa mundu na kubonya najisi. Bali, chija chifumagha momunyi, hechi nicho chimbonyagha mundu kuka najisi.
\v 12 Niko wanafunzi wakamghendia na kudeda na Jesu, "Je umanyagha mafarisayo wachasikira jija idedo wakwazika?
\v 13 Jesu wajibie na kudeda, "kila mmea ambgho Aba wapwa wa mbingunyi ndauwae imawakulwa.
\v 14 Wasighenyi wanikeri, wani vilongozi wasawonaa. Ngelo mundu asawonaa dima wamlongozaa asawonaa mbawe, wose wawi dima wagwa ishimoni."
\v 15 Petro wajibie na kumghoria Jesu, "Dighorie mfano ughu kwedu,
\v 16 Jesu wajibie, "Na inyo pia bado ndamuelewagha?
\v 17 Inyo ndamwonagha kwakila kughendaa momunyi huidia kifunyi na kughenda chonyi?
\v 18 Ela vilambo vose vifumagha momunyi hufuma ndenyi ya ngolo. Nivo vilambo vimkumbagha mundu unajisi.
\v 19 Kwa wuja ngolonyi hufuma mawazo ghazamie, kubwagha, uzinzi, uasherati, ghuting'a, ushuhuda gwa tee, na kuanyira."
\v 20 Agha nio malagha ghamkumbagha mundu unajisi. Ela kuja bila kuogha vikoto ndakubonyaa mundu kuka unajisi.
\v 21 Niko Jesu akafuma andu aja na akakitenga kuelekea gasi ra mizi ya Tiro n Sidoni.
\v 22 Guwa akacha mkamkaanani kufuma gasi iro. Akufunya mbaha sauti akideda, "Niwonie mbazi, Mlodi, mvalwa wa Daudi, mwai wapwa adateswa sana ni pepo."
\v 23 Ela Jesu ndamjibie idedo. Wanafunzi wake wakacha wakimsihi, wakideda, "muinje aghende chia rake, maana adadikabia jogho."
\v 24 Jesu wawajibie na kuded, sidumiwe kwa mundu wa wose isipokuwa kwa ng'ondi walagharie wa iwacha ja Israeli.
\v 25 Ela wachee na kughoghoma imbiri yake, akideda, "Muri nitawarie."
\v 26 Wamjibie na kudeda, "sio nicha kuwusa vindo va wana na kuwadaghia makoshi."
\v 27 Akadeda, "Hee, Mzuri, hata huwo makoshi watini huja vindo vigwagha mezenyi mwa wazuri wo."
\v 28 Niko Jesu wajibie na kudeda "mndumka, iwani yako ni mbaha. Na ibonyeke kwako sa andu ukundi." Na mwai wake wakogho wakirwa katika makati agho.
\v 29 Jesu wangie andu aja na kughenda avui na bahari ya Galilaya. Kisha waghendie ighu ya lughongo na kuka uko.
\v 30 Kundi ibaha jikacha kwake, na kumredia wasaghe ndaa, wasawonaa, vilema na wamwi wengi, wakogho wakongo. Wawakie katika mafgu gha Jesu na akawakira.
\v 31 Nawo umati washangaie wachawona wasadedaa wakideda, na vilema wakibonywa banana, wasaghendaa, na wasawonaa wasawona. Wamsifie Mlungu wa Israeli.
\v 32 Jesu akawawanga wanafunzi wake na kudeda, "Nawawonia mbazi umati, kwasababu wakogho ni nyi kwakuwa maruwa adabu bila kuja kilambo chochose. Isida lagha waghende kwawhe bila kuja, wasachezimia chienyi.
\v 33 Wanafunzi wake wakamghoria, "Ni hao dadima kupata mikate ya kutosha aha nyikenyi kughudisha umati mbaha uwu?"
\v 34 Jesu awaghoria, "Mko na mikate ilinga?" wakadeda, saba na samaki watini wachee."
\v 35 Jesu akawaamuru umati uke ndonyi.
\v 36 Wawusie ija mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaibegha na kuwaneka wanafunzi. Wanafunzi wakaneka umati.
\v 37 Wandu wosewakaja na kutosheka. Na wakawika andu amweri mabaki gha viwande va vindo vasalie vip viwande viwande vachuie ngau saba.
\v 38 Wose wajee wakogho womi elfu ina bila wakana wana.
\v 39 Kisha Jesu waulagie umati waghende chia rawhe na akangia ndenyi ya mashua na kughenda lwande lwa magadani.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Mafarisayo na masadukayo wachee na kumgheria Jesu awabonyerie ishara ifumagha angenyi.
\v 2 ElaJesu awajibie na kumghoria kuwa, ikaka ni kwenyi mdaghora hali ya hewa yaboie, kwa wuja angua jitinikie.
\v 3 Na keshokio mwadeda "Hali ya hewa linu ndaiboie kwa wuja angenyi kwa tinikie na madulu ghaifunikia anga jose.
\v 4 Kivazi kizamie na cha uzinzi kidalola ishara, ela ndakudae ishara yoyose kinekwagha, isipokuwa ija ya Yona. Kisha Jesu akawasigha na akaghenda chia rake.
\v 5 Wanafunzi wakacha luwande lwa kawi, ela warikogho waliwa kuvusa mikate.
\v 6 Jesu akawaghoria "Kitahazarinyi na mke makini na chachu ya mafarisayo na masadukayo."
\v 7 Wanafunzi wakahojiana imbiri yawhe na kudeda "Ni kwasababu ndadiwusie mikate."
\v 8 Jesu wamanyie igho na kudeda, "Inyo mkona imani ndini, kwaindoi mwateganya na kudedana imbiri yenyu na kudeda kuwa ni kwa sababu ndamwusie mikate?
\v 9 Je bado ndammanyagha wala ndamkumbukagha ija mikate misanu kwa wandu elfu isanu, na ngau ilinga mwikie andu amwer?
\v 10 Angu mikate saba kwa wandu elfu ina, na ni ngau ilinga mwawusighe?
\v 11 Yakawada idana hata ndamuelewa ya kuwa narikogho siariagha na inyo ighu ya mikate? kitunzeni na kihazari na mafundisho gha mafarisayo na masadukayo.
\v 12 Kisha wakamanya kuwa wakogho ndawaghoria ighu ya kukihazari na mikate yachachuligwa, bali kukihazari na mafundisho gha mafarisayo na masadukayo.
\v 13 Makati Jesu achafika luwande lwa kaisaria ya Filipi, akawakotia wanafunzi wake, akideda, "wandu wadadeda kuwa mvalwa wa mundu ni ani?"
\v 14 Wakadeda,"Wamwi hudeda kuwani Yohana mbatizaji, wamwi Eliya; na wamwi Yeremia, angu mmojawapo wa lodi.
\v 15 Akawaghoria, Inyo mwadeda nyi ni ani?
\v 16 Kwanza wajibie simoni Petro akadeda, "We ni Kristo mvalwa wa Mlungu ako hai"
\v 17 Jesu wamjibie na kumghoria, "Wabarikiwa we simoni Bar Yona, kwa wuja bagha na nyama ndavifunulie iji, bali Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 18 Na pia ndakughoria kuwa we ni Petro, na ighgu ya lwala ulo imanagha nyumba ya Mlungu wapwa mijango ya kuzimu ndaidimagha.
\v 19 Imanakuneka we funguo ra ufalme gwa mbingunyi chochose ukirughagha dunuienyi imacharugwa mbingunyi, na chochose ukirughuagha dunienyi imachaghurwa na mbingunyi.
\v 20 Kisha Jesu akawaamuru wanafunzi wasamghorie mundu wowose kuwa ye wakogho ni Kristo.
\v 21 Tangu makati agho Jesu waanzie kuwaghoria wanafunzi kuwa ni lazima waghende Yerusalemu, kuteswa kwa malagho mengi katika mikonu ya waghosi na wabaha wa makuhani na waandishi, kufwa na kufufuka maruwa gha kadadu.
\v 22 Kisha Petro akamwusa Jesu mbai na kumkemia, kwa kudeda, "Ilagho iji na jike kula nawe, Mzuri, iji jisafumirie kwako.
\v 23 Ela Jesu waanghukie na kumghoria Petro, "wuya nyuma yapwa shetani! we ni kizuizi kwapwa, kwa maana ndujali malagho gha Mlungu, bali malagho gha wadamu.
\v 24 Kisha Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "Ngelo mundu wowose akakunda kuninugha nyi, ni lazima akileghe ye mweni, auwuse msalaba gwake, na aninughe.
\v 25 Kwa wuja akundii kughatesia maisha ghake dima waya la ghasha na kwa wowose alaghashaa maisha ghake kwa ajili yapwa dimawagha tesia.
\v 26 Je! ni faida ki apatagha dunia yose ela akalaghasha ghake? Je ni kilambo ki afunyaa mundu katika kubadilishana na maisha ghake.
\v 27 Kwa wuja mvalwa wa Adamu dimawacha katika utukufu gwa ndee na malaika wake. Na ye dimawamlipa kila mundu kukatana na matendo ghake.
\v 28 Loli ndawaghoria kuko baadhi yenyu mwakeekimsi aha ambawo ndawatogha mauti hata wachamwona mvalwa wa Adamu akicha katika ufalme gwake.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Maruwa sita baadae Jesu wawawusie amweri na ye Petro, na Yakobo, na Yohana mbari wake, akawawusa hata ighu ya lughongo luacha woweni.
\v 2 Wabadilishwa imbiri yawhe. Wushu gwake ghukaelasa iruwa, na nguwo rake rawonekie raelie sa nuru.
\v 3 Guwa, aja wafumirie Musa na Eliya wakiaria nae.
\v 4 Petro wajibie na kumghoria Jesu, "Mzuri, ni nicha kwedu isi kuka andu aha. Ngelo udatamani, ima na agha aha viwanda vidadu-kimweri chako, na kimweri kwa ajili ya Musa, na kimweri kwa ajili ya Eliya"
\v 5 Makati adaaria, guwa idulu jochokwa jikawakumba kiju, na ikideda, "Uyu ni mwanapwa mkundwa niboiwagha nae. Msikirienyi ye.
\v 6 Wanafunzi wachasikira agho, wakagwa kifudifudi na wakaboa sana.
\v 7 KIsha Jesu akacha akawawhwda na kudeda, "Wukienyi wala msaboe."
\v 8 Nawo wakawusira wushu rawhe ighu ela ndawamwonie mundu ela Jesu mweni keri.
\v 9 Na warikogho wakisea lughongonyi, Jesu wawalagiza, akadeda "Msafunye habari ya maono agho hata mvalwa wa Adamu andu achafufuka kufuma kwa wafwie.
\v 10 Wanafunzi wake wakamkotia, wakideda, "Ni kwa indoi waandishi wadedagha kuwa Eliya imawacha kiambiri?
\v 11 Jesu wawajibie na kudeda, "Eliya dima wacha loli na dima wawuya malagho ghose.
\v 12 Ela ndawaghoria inyo, Eliya wameria kucha, ela ndawammanyie. Badala yake, wambonyia malagho wakundii wo. Na huwo niko mvalwa wa Adamu andu achateswa katika mikonu yawhe.
\v 13 Niko wanafunzi wakamanya kuwa wakogho akiaria habari ra Yohana mbatizaji.
\v 14 Wachafika katika umati wa wandu, mundu umweri wamgendie, akakaba magoti, imbiri yake na kumghoria,
\v 15 "Mzuri, mwonie mbazi mwanapwa, maana wakogho akigwa chongo na kuteswa sana. Kwa wuja maranyingi hugwa modonyi angu machinyi.
\v 16 Namredie kwa wanafunzi wako wako, ela ndawadimie kumkira.
\v 17 Jesu wajibie akideda, "Inyo kivazi kisaamini na chinonekie, imanaka andu amweri ana inyio mpaka li? imanaririmira na inyo mpakali? mrede aha kwapwa."
\v 18 Jesu wamkemia, na ipepo jikamfuma. Mdawanawakiriwe tangu saa ija.
\v 19 Kisha wanafunzi wamchea Jesu kwa kiviso na kumkotia, "Kwa indoi ndadidimie kumbingisa?
\v 20 Jesu akawaghoria, "Kwa sababu ya imani yenyu ndini. Loli ndawaghoria ngelo mkaka na imani hata ndini sa punje ya mbeu ya haradari, ima mwadima kughoria lughogho ulu, sana na kufuma aha ughende kuja nalo ima lwasama na ndakukagha na kilambo chochose cha kulemekana kwenyu.
\v 21 (Maziria: madedo gha mstari gwa 21 "ngelo, aina ihi ya pepo ndaimikana kufunma, ela kwa maombi na kufunga" ndaghawonekaa katika nakala bora ra kala).
\v 22 Makati wakika bado Galilaya Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "mvalwa wa Adamu akumbigwa gha mikonunyimwa wandu.
\v 23 Na wambwaghagha, na maruwa gha kadadu dima wafufuka."Wanafunzi wahuzunikie sana.
\v 24 Nawo wachafika kapernaumu, wandu wawi kagha andu amweri kodi ya nusu shekeli wamghendiagha Petro na kudeda, "Je mwalimu wenyu hushanaa kodi ya nusu shekeli?
\v 25 Akadeda, "Hee" ela Petro wachangia ndenyi nenyi ya iwacha, Jesu akaaria ni Petro kirindiri na kudeda, "Uteganyai simoni? wagimbikwa wa dunia, huwokera kodi angu ushuru kufuma kwa ani? kwa waja wawa tawala kufuma kwa waghenyi?
\v 26 Na makati Petro akideda, "kufuma kwa waghenyi" Jesu akamghoria, huwo watawaliwa wainjigwa katika kushana.
\v 27 Ela disachewabonya wawhada ushuru wakibonya zambi, ghenda baharinyi, dagha ndoano, na mwuse yuja samaki achagha kirindiri. Baada ya kuamasa kwake, imawandoka aja shekeri imweri iwuse na uwaneke wawhada ushuru kwa ajili yapwa na we.
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Makati agho gheni wanafunzi wachee kwa Jesu na kumghoria, niani ako mbaha katika ufalme gwa mbingunyi?
\v 2 Jwsu akamwanga mwana mtini, akamwika ghadi ghadi yawhe,
\v 3 Na kudeda, "Loli ndawaghoria, mkasetesiwa zambi renyu na kuka sa wana watini ndamdimagha kungia katika ufalme gwa Mlungu.
\v 4 Huwo wowose akiseragha mwana mtini, mundu sa uyo ni mbaha katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 5 Na wowose amwokeragha mwana wa mtini kwa irina japwa waniwokera nyi.
\v 6 Ela wowose asababishagha umweri kati ya watini awa waniamini kuasi, imayaka nicha kwa mundu uyo igwe ibaha ja kusagia jifungigwe singoni kwake, na kudidimizwa kilindinyi mwa bahari.
\v 7 Ole kwa dunia kwa sababu ya makati gha kukwazwa kwa wuja ndaidae budi kwa matuku agho kucha, ela ole kwake kwa mundu yuja matuku agho imaracha kwa ajili yake!
\v 8 Ngelo mkonu gwako angu kughu kwako kukusababishagha kukwazika, udeme na uudaghe kula na we. Ni nicha nanganyi kwako we kungia kuko banana ukaka ndudae mkonu angu kilema, kuliko kudagwa andu kuko modo gwa kala na kalaukaka na mikonu yose angu maghu ghose.
\v 9 Ngelo iriso jako jikukwazaa, ujikue na ujidaghe kula na we. Ni nicha nanganyi kwako we uingie andu kuko banana na iriso jimweri, kuliko kudagwa andu kuko modo gwa kala na kala ukaka na meso ghose.
\v 10 Guwenyi kwamba msamehe mmenya umweri wa watini awa. Kwa maana ndawaghoria kuwa mbingunyi kuko malaika wo maruwa ghose wakiguguwa wushu gwa Aba wapwa ako mbingunyi.
\v 11 (Maziria: madedo ghawonekagha sa gha mstari gwa 11," kwa wuja mvalwa wa Adamu wachee kutesia chija chikogho chalaghaya"ndawaghawonekie katika nakala bora kala).
\v 12 Mteganyai? ikaka mundu akona ng'ondi ighana jimweri, na umweri wo akalagha, Je ndawasighagha tisini na kenda ya lughoghonyi na kughenda kumlola umweri walagharie.
\v 13 Na akampata, loli ndawaghoria, adamboiwa kuliko waja tisini na kenda wasalagharie.
\v 14 Woruwo huwo, sio mapenzi gha Aba wenyu wa mbingunyi kuwa umweri wa watini awa aangamie.
\v 15 Ngelo mmbari wako akakukosea, ghenda, kambonyerie dosari yeko kati yako na ye akika mweni keri. Ngelo akakusikira, imawaka wamwuja mmbari wako.
\v 16 Ela ngelo ndakusikiragha, mwuse mmbari umweri angu wawi nanganyi amweri na we, kwa wuja kwa momu ya mashahidi wawi angu wadadu kila idedo jidimagha kuthibitishwa.
\v 17 Na ngelo wapuuza kuwasikira, jighorie nyumba ya Mlungu ilagho ijo, ngelo akapuuza woruwo kujiusikira nyumba ya Mlungu, basi na ake sa mundu wa mataifa na mwhada ushuru.
\v 18 Loli ndawaghoria, chochose chija mchifungagha dunienyi na mbingunyi dima wachafungwa na chochose mchifunguagha, ijo Aba wapwa wa mbingunyi dima chafunguliwa.
\v 19 Seda ndawaghoria kwamba ngelo wandu wawi kati yenyu wakikubaliana ighu ya ilagho jojose dunienyi wajilombagha, ijo Aba wapwa wa mbingunyi dima wajibonya.
\v 20 Kwa wuja wawi angu wadadu wakika andu amweri kwa irina japwa, nyi neko ghadighadi yawhe.
\v 21 Sena Petro akacha na kumghoria Jesu, "Mzuri, ni mara ilinga mmbari wapwa akanikosea na nyi nimsamehe? Hata mara saba?"
\v 22 Jesu akamghoria, "sikughoria mara saba, ela hata sabini mara saba.
\v 23 Kwa sababu iyo ufalme gwa mbingunyi ni sawa na mgimbikwa fulani akundieghe kusahihisha hesabu kufuma kwa watumwa wake.
\v 24 Achaanza kusahihisha hesabu, mtumwa umweri akaredigwa kwake ambae wakogho adamlawia talanta elfu ikumi.
\v 25 Kwa wuja ndadaeghe na chia ya kushana, mzuri wake walagiziwe adagwe, mkake amweri na wananwake na kila kilambo akogho nacho, na malipo ghabonyeke.
\v 26 Huwo mtumwa wagwie, akakaba magoti imbiri yake, akideda, 'Mzuri, urumaghie amweri na nyi, na dima nakushana kila kilambo.
\v 27 Huwo mzuri wa yuja mtumwa, kwa wuja wasukumiwe nanganyi ni mbazi, wamsighirie na kumsamehe sile iyo.
\v 28 Ela yuja wafumie na kumpata umweri kati ya watumwa wambawe, akogho adamshana denari ighana. Wamrudie, akamkaba maranginyi, na kumgjhoria, 'Nishane chija nkudaighaga.'
\v 29 Ela mtumwa mbawe, wagwie na kumsihi nanganyi, akideda urumaghie na nyi, dimana kushana.'
\v 30 Ela mtumwa yuja wa kilindiri waleghie. Badala yake, waghendie na kumdagha gerezenyi, mpaka andu wamshanaa chia amlawiagha.
\v 31 Na wachawona watumwa wambawe chija chimfumirie, wasikitishiwe nanganyi wachee na kumghoria Mzuri wawhe kila kilambo chifumirieghe.
\v 32 Niko yuja Mzuri wa mtumwa yuja wamwangie, na kumghoria, 'we mtumwa uzamie, nakusamehe we isileyapwa yose kwa sababu wanisihi nanganyi.
\v 33 Je! ndaukundiwe kuka na mbazi kwa mtumwa mbagho, sa nyi andu nakuwonia mbazi we?
\v 34 Mzuri wake wan wawonie viera na kumkabidhi kwa waja watesaji mpaka andu ashanagha kiasi chose akogho alawiwaa.
\v 35 Huwo niko Aba wa Mbingunyi andu awabonyia, ngelo kila umweri wenyu ndamsamehe mmbari wake kufuma ngolonyi kwenyu."
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Ymfumirie makati Jesu wacheria madedo agho, waingie Galilaya, na waghendie mwanonyi mwa Yedea imbiri ya mweda gwa Yordani.
\v 2 Umati mbaha wamnughie, na akawakira uko.
\v 3 Mafarisayo wamchea, wakamgheria, wakamgheria, "Je ni halali kwa mndu kumsigha mkake kwa sababu yoyose.
\v 4 Jesu wajibie na kudeda, "Ndamsomie, kwamba ye wawaumbie kiambiri wawaumbie mumi namka?
\v 5 Na sena akadeda, 'kwa sababu iyo mndumuni dima wamsigha ndee na mae na kuungana na mkake, nao wawi dimawaka muwi umweri?
\v 6 Huwo sio wawi sena, bali muwi umweri. Basi, chija wakiunganisha Mlungu, mundu wowose asakitenganishe."
\v 7 Wakamghoria, "Idana kwa indoi Musa wadiamuru kufunya hati ya talaka na kumsigha?
\v 8 Akawaghoria, "kwa ugumu gwenyu gwa ngolo Musa wawaruhusu kuwasigha waka wenyu, ela tangu kiambiri ndaikee huwo.
\v 9 Ndawaghoria, kwamba wowose amsighagha mkake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, na akamlowua umwi, wazini. Na mndumuni achamlowua mka waghiwe wazini."
\v 10 Wanafunzi wakamghoria Jesu, "ngelo niko iko kwa mumi na mkake, sio nicha kulouwa.
\v 11 Ela Jesu akawaghoria, "si kial mundu adimagha kuwokera mafundisho agha, bali ni kwa waja tu waruhusiwe kuwokera.
\v 12 Kwa wuja weko matowashi wavalwe tangu kifunyi mwa waka mae na woruwo kuko matowashi wabonyiwe ni wandu. Na kuko matowashi wa kibonyie matowashi kwa ajili ya ufalme gwa Mbingunyi. Adimagha kuwokera mafundisho agha na aghawokere."
\v 13 Kisha akarediwa baadhi ya wana watini ili awawikie mikonu ighu yawhe na kutasa, ela wanafunzi wake wakakemia.
\v 14 Bali Jesu akadeda, "Waruhusunyi wana watini, wala msawalaghe kucha kwapwa, kwa maana ufalme gwa mbingunyi ni wa wandu sa wo.
\v 15 Na ye akawika mikonu yake ighu yawhe, na kisha akainga aja.
\v 16 Guwa mundu amweri akacha kwa Jesu na kudeda, "Mwalimu, ni kilambo ki chiboie ni kundigwi kuchibonya ili nipate kuka na banana ya kala na kala."
\v 17 Jesu akamghoria, "kwa indoi udanikotia ni kilambo ki chiboie? kuko umweri tu ako aboie, ela ngelo ukakunda kupata banana, whada sheria ra Mlungu."
\v 18 Yuja mundu akamkotia, "Ni sheria riao?" Jesu akadeda, "Usabwaghe, usazini, usaiwe, usashuhudie tee,
\v 19 Waheshimu ndeo na moyo, na umkunde jirani yako sa nafsi yako."
\v 20 Mundu uja akamghoria, "malagho ghose agho naghatii. Bado nahitaji indoi?
\v 21 Jesu akamghoria, "Ngelo ukakunda kuka mkamilifu, ghenda, ukadaghe uko navo, na uwaneke maskini, na dimawaka na hazina mbingunyi. Kishacho uninughe."
\v 22 Ela mdawana uja achasikira ghaja Jesu wamghoria, waingie kwa huzuni, kwa sababu wakogho adamiliki mali nyingi.
\v 23 Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "Loli ndawaghoria, vakurie kwa mundu tajiri kungia katika ufalme gwa mbingunyi.
\v 24 Sena nawaghoria, ni rahisi kwa ngamila kuida katika itundu ja sinzano kuliko kwa mundu tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu."
\v 25 Wanafunzi wachasikira huwo, washangae nanganyi na kudeda, "Ni yuao basi adima kuokoka?"
\v 26 Jesu wawatazama na kudeda, "kwa wadumu ijo ndajidimikana, ela kwa Mlungu ghose ghadadimikana."
\v 27 Kisha Petro wamjibu na kumghoria, "GUwa, dasigha vose na kukunugha we. Ni kilambo ki dima dapata?"
\v 28 Jesu akawaghoria, "Loli nawaghorienyi, ye waninughanyi, katika muvazi mwishi makati mvalwa wa Adamu akaka katika kifumbi cha enzi cha utukufu gwake, inyo pia imamwaka ighu ya vifumbi kumi na iwi va enzi, kuwahukumu makabila kumi na iwi gha Israeli.
\v 29 Kila umweri wenyu wasighie iwacha, Kaka, Dada, Aba, mawe, Wana, angu mbuwa kwa ajili ya irina japwa, dimawawokera mara ighana na kupala banana ya kala na kala.
\v 30 Ela wengi wako wa kilindiri iji aha, dimawaka wa mwisho, na wako wa mwisho dimawaka wa kilindiri.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Kwa maana ufalme gwa mbingunyi udafwana na mmiliki wa mbuwa, wawu kieghe keshokio mapema ili kuajiri wabonyakazi katika mbuwa yake ya mizabaibu.
\v 2 Baada ya kuka wakubaliana ni wabonya kazi dinari imweri kwa kutwa, wawadumie kughenda katika mbuwa yake ya mizabibu.
\v 3 Waghendie sena baada ya masaa adadu uwu na wowonie wabonya kazi wamwi wakika wakamsi bila chaghu katika ieneo ja chete.
\v 4 Akawaghoria, 'inyo pia ghendenyi katika mbuwa ya mizabibu, na chochose chiko halali dima na weneka.' Huwo wakaghenda kubonya kazi.
\v 5 Akawaghoria sena baada ya masaa sita na sena katika saa ya kenda, na wabonyie woruwo uwo.
\v 6 Mara imwi sena mnamo saa kumi na imweri, waghendie na kuwadoka wandu wamwi wakakimsi bila chaghu wawaghoria, 'kwa indoi mwakakimsi bila bila chaghu chochose kwa siku nzima?
\v 7 Wakamghoria, kwa sababu ndakudae mundu wowose wadiajiri. Akawaghoria 'na inyo pia ghendenyi katika mbuwa ya mizabibu.'
\v 8 Makati gha kwenyi ghachafika, mweni mbuwa ya mizabibu wamghoria msimamizi wake, 'wawange wa bonyakazi na uwashane mishahara, kwa kuwoka ni wa mwisho hata kilindiri.'
\v 9 Wachacha waja wajiriwe saa kumi na imweri, kila umweri wo wawokera dinari.
\v 10 Wachacha wabonya kazi wa kilindiri, wateganyie kuwa dimawawokera zaidi, ela wawokera pia kila umweri dinari imweri kila mundu.
\v 11 Baada ya kuwokera malipo ghawhe, wamlalamikie mmiliki wa mbuwa.
\v 12 Wakadeda, 'awa wabonyakazi wa mwisho watumia isaa jimweri tu katika kubonya kazi, ela wawalinganisha na isi, isi dadwa mzigo kwa siku nzima na kuya na kiruke.
\v 13 Ela mweni mbuwa wajibie na kudeda kwa umweri wawhe, amwedu, sibonyie ilagho jizamie. Je ndadipatane na nyi kwa dinari imweri?
\v 14 Wokera chija chiko halali yako na ughenda chia rako. Ni furaha yapwa kuwaneka awa wabonya kazi waajiriwe mwisho sawasawa na we.
\v 15 Je si hachi kwapwa kubonya chija nikundii na mali rapwa? angu iriso jako jazamie kwa sababu nyi nawaboie?
\v 16 Huwo wa mwisho dimawaka wa kiambiri na wakiambiri wa mwisho"
\v 17 Jesu wakogho akijoka kughenda Yerusalemu, wa wawusie wanafunzi wake kumi na iwi mbai, na andu kuko chia akawaghoria,
\v 18 "Guwa didaelekea Yerusalemu, na mvalwa wa Adamu dimawakumbwa katika mikonu ya wabaha wa makuhani na waandishi. Dimawamhukumu kifo
\v 19 Na dimawafunya kwa wandu wa mataifa ili kumdhihaki, kumchapa na kumsulubisha. Ela katika iruwa ja kadadu dimawafufuka."
\v 20 Kisha mawe na wana wa Zebedayo wachee kwa Jesu na wana wake. Wakabie magoti imbiri yake na kumtasa kilambo kufuma kwake.
\v 21 Jesu akamghoria, "ukundi indui?"akamghoria, Amuru kuwa awqa wanapwa wawi wake, umweri mkonu gwako gwa kujo na umweri mkonu gwako gwa kumosho katika ufalme gwako."
\v 22 Ela Jesu wajibie na kudeda, "ndumanyagha chija utasa. Je! wadimagha kuchinywea kikombe ambacho dimanachinywea? wakamghoria, "Didimagha."
\v 23 Akawaghoria, "kikombe chapwa hakika dimawachinywea. Ela kuka mkonu gwapwa gwa kujo na mkonu gapwa gwa kumosho si ijukumu japwa kuwaneka, ela ni kwa waja ambao wameria kuandaliwa ni Aba wapwa.
\v 24 Wanafunzi wamwi kumi wachasikira huwo, wakahuzunishwa nanganyi na waja wambari wawi.
\v 25 Ela Jesu wawawangie mweni na kuwaghoria, "mdamanya ya kuwa ya kuwa watawala wa mataifa huwatiisha, na wabaha wawhe hutekereza mamlaka ighu yawhe.
\v 26 Ela isake huwo kwenyu. Badala yake, wowose akundii kuka mbaha imbiri yenyu lazima ake mtumishi wenyu.
\v 27 Na akagha wa kiambiri imbiri yenyu lazima ake mtumishi wenyu.
\v 28 Sa wuja mvalwa wa Adamu ndachee kudumikiwa, bali kudumika, na kufunya uhai gwake kuka ukombozi kwa wengi."
\v 29 Makati wakifuma Yeriko, umati mbaha wamnughie.
\v 30 Na wawawonie wasawonaa wawi waka mbai ya chia. Wachasikira wuja Jesu wakogho akiida, wafunyie mbaha sauti na kudeda, Mzuri, mvalwa wa Daudi, niwonie mbazi."
\v 31 Ela umati ukawakemia, na kuwaghoria nyama kimenyi. Hata huwo, wo wafunyie mbaha sauti nanganyi na kudeda, "Mzuri, mvalwa wa Daudi, Diwonie mbazi."
\v 32 Kisha Jesu wakeekimsi na wawangie na kuwakotia, "mkundi niwabonyie indoi?"
\v 33 Wakamghoria, Mzuri kwamba meso ghedu ghafumbuliwe.
\v 34 Basi Jesu akaka warudwa ni mbazi, akaghawhada meso ghawhe, mara hiyo, wakawokera uwezo gwa kuwona na wakamnughiria.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Jesu na wanafunzi wake wafikie avui na Jerusalemu na wamghendie hata Bethfage, katika lughongo lwa mizeituni, kisha Jesu wawadumie wanafunzi wawi,
\v 2 Akiwaghoria, "ghendenyi katika kijiji kinughiria gha, na mara imweri dimamwamdoka punda wafungwa andu aja, na wanapunda amweri naye. Wafunyienyi na kuwareda kwapwa.
\v 3 Ikaka mundu wowose akiwaghoria chochose kuhusu ijo, dimawadeda, 'Mzuri adawakundi,' na mundu uyo mara imweri dimawaruhusu mche amweri nawo.
\v 4 Ilagho iji jifumirie ni jija jiddediwe kuidia kwa mlodi lazima jitimizwe. Akawaghoria,
\v 5 Waghorie mwai waa sayuni, guwa, mgimbikwa ako adacha kwenyu, mnyenyekevu na akika wamjoka punda, na mwanapunda wa kiwoni, mwanapunda mkoho.
`
\v 6 Kisha wanafunzi waingie na kubonya sa Jesu andu wawalagiza.
\v 7 Wakamreda punda, na kuwika nguwo rawhe ighju yawhe, na ye Jesu akaka aja.
\v 8 Wengi katika mkusanyiko watandazie nguwo rawhe chienyi, na wamwi wademie marembe kufuma andu kuko midi na kutandaza barabarenyi.
\v 9 Umati ghawakiria Jesu na waja wamnughie wafunyie mbaha sauti wakideda, "Hosana kwa mvalwa wa Daudi! Ni mbarikiwa achae kwa irina ja Mlodi. Hosana ighu nanganyi!"
\v 10 Jesu wachafika Yerusalemu, mzi mlanzi gwa shituka na kudeda, "uyu ni ani?
\v 11 "Umati gwajibie, "uyu ni Jesu mlodi, kufuma Nazareti ya Galilaya."
\v 12 Kisha Jesu akania katika ihekalu ja Mlungu. Aakawabingisa shighadi wose wakogho wakigula na kudagha hekalunyi. Pia wapinduie meza ra wabadishaa fedha na vifumbi va wadaghaanjiwa.
\v 13 Akawaghoria, "Yaandikigwa, ighacho ja malombi, ela inyo mwaibonya ipango ja wanyang'anyi.
\v 14 Kisaha wasawonaa na vilema wakamchea hekalunyi, na ye akawakira.
\v 15 Ela makati mabaha wa makuhani na waandishi wachawona maajabu abonyieghe, na wachasikira wana wakifunya mbaha sauti hekalunyi na kudeda, "Hosana kwa mvalwa wa Daudi," wawhadiwe ni virea.
\v 16 Wakamghoria, "wasikira chija chidedwagha ni awa wandu? jESU akawaghoria, "Hee! ela ndamuwahie kusoma, "kufuma kwa momu ya wana na wana wakogho wanyonyaa kuko sifa kamili"
\v 17 Kisha Jesu akawasigha na kughenda shgighadi ya mzi katika Bethania na kutungura uko.
\v 18 Kesho kio warikogho adawuya mzini, wakogho na njala.
\v 19 Wawonie mtini mbaimbai ya barabara. Akaghughendia, ela napatie kilambo ighu yake isipokuwa nyasi. Waghorie, "kusake na matunda kwako daimasena." Na mara iyo mtini ghuja ghukanguka.
\v 20 Wanafunzi wachamwona, wakastaajabu na kudeda, "yakawada mtini gwanyauka mara imweri?
\v 21 Jesu wajibie na kuwaghoria, "loli nawaghorienyi, ndabonyagha chija chibonyekie kwa ugho lighogho, uwusigwe na ukadagwe baharinyi, na dima wabonyeka.
\v 22 Chochose mtasaa kwa sala, uku mkaamini, dimamwawokera."
\v 23 Jesu wachafika hekalunyi, wabaha wa makuhani na waghosi wa wandu wakamchea wakati akogho akifundisha na kumkotia, "Ni kwa mamlaka kiudabonya malagho agha? na ani wakuneka mamlaka agah?"
\v 24 Jesu wajibie na kuwaghoria, "Na nyi sena dimanamikotia iswali jimweri. Ngelo mkanighoria, na nyi woruwo dimanamighoria ni kwa mamlaka ki ndabonya malagho agha.
\v 25 Ubatizo gwa Yohana- gwafumie hao, mbingunyi angu kwa wadamu?"Wakahojiana weni, wakideda, dikideda gwafumie mbingunyi dimawadighoria kwa indoi ndamwaminie?
\v 26 Ela dikideda, gwafumie kwa wadamu, dida waboa makutano, kwa sababu wose wamwonagha Yohana sa Mlodi.
\v 27 Kisha wamjibie Jesu na kudeda, "ndadimanyaa"Akawaghoria pia,"Wala nyi siwaghoriagha ni kwa mamlaka ki nabonya malagho agha.
\v 28 Ela mteganyai? mundu mweniwana wawi. Akaghenda kwa umweri na kumghoria, 'mwanapwa, ghenda bonya kazi katika mbuwa ya mizabibu
\v 29 linu. 'Mvalwa wajibie na kudeda, 'sighedaa, 'ela baadae wabadilishie mawazo ghake na waghendie.
\v 30 Na mundu uja waghendie kwa mvalwa kawi na kudeda kilambo kija cheni. Mvalwa uyu wajibie na kudeda, 'dimanaghenda, Mzuri,' ela ndagheendie.
\v 31 Yyao kati ya wana wawi wabonyie matakwa ghandee? wakadeda, "mvalwa wa kilindiri, "Jesu akawaghoria, "loli nawaghoria wawikaa andu amweri ushuru na makahaba dimawangia katika Ufalme wa Mlungu kabla yenyu kungia.
\v 32 Kwa maana Yohana wachee kwenyu kwa chia ighaghokie, ela ndamwaminie, makati wawikaa andu amweri ushuru na makahaba wamwaminie. Na inyo, mchwona ijo jikibonyika, ndamdimie kutesiwa zambi ili baadae mumwamini.
\v 33 Sikirenyi mfano ghumwi. Kurikogho na mundu, akakona gasi mbaha ya ardhi. Wawae mizabibu, akaiwikia uzio, akabonya na chombo cha kukamia divai, akaagha na mnara wa walinzi, na wajikodishie kwa watunza zabibu kisha akaghenda katika isanga jimwi.
\v 34 Makati gha mavuno gha mizabibu ghachakaribia, wawadumie baadhi ya watumishi kwa wakulima wa mizabibu kuwusa mizabibu yake.
\v 35 Ela wakulima wa mizabibu wakawawusa watumishi wake, wakamkaba umweri, wakambwagha umwi, na wakamkaba umweri kwa maghwe.
\v 36 Kwa mara imwi, mmiliki wawadumie watumishi wamwi, wengi zaidi ya waja wa kilindiri, ela wakulima wa mizabibu wawabonyie vija veni.
\v 37 Baada ya aho Mzuri uja akamduma kwawhe mvalwa wake, akideda, "Dimawaheshimu mwanapwa."
\v 38 Ela wakulima wa mizabibu wachamwona mdawa na uja, wakaghoriana, uyu ni mpala, chonyi, dimbwaghe na dimiliki urithi.
\v 39 Huwo wakamwusa, wakamdagha shighadi ya mbuwa ya mizabibu na kumbwagha.
\v 40 Je mmiliki wa mbuwa ya mizabibu akacha, dima wawabonyai wakulima wa mizabibu.
\v 41 Wakamghoria, "Dimawawanona awo wandu wazamie katika chia ikurie nanganyi, na kisha dima waikodisha mbuwa ya mizabibu kwa wakulima wamwi wa mizabibu, wandu ambawo dimawashana kwa ajili ya mizabibu ichzwirwa."
\v 42 Jesu akawaghoria, "Ndamsomie katika maandiko, igwe wajileghie waashi jaka igwe ibaha jamsingi. Iji jafumie kwa Mzuri, na idashangaza mesonyi kwedu?
\v 43 Huwo nawaghorienyi, Ufalme gwa Mlungu dima wawusigwa kufuma kwenyu na kunekwa taifa jijalie matunda ghake.
\v 44 Wowose agwagha ighu ya igwe ijo dimawachukanywa viwande viwande. Ela kwa wowose jimgwiaa dima jamsaga."
\v 45 Wabaha wa makuhani na mafarisayo wachasikira mifano yake, wakawona kuwa adawazungumzia wo.
\v 46 Ela kila andu wakundii kughaghoa mikonu ighu yake, waboa makutano, kwa sababu wandu wamguwie sa Mlodi.
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 Jesu wadedie nawo sena katika mifano, akideda,
\v 2 "Ufame gwa mbingunyi udafwana na mgimbikwa waandalie gonda ya arusi ya mwanake.
\v 3 Akawaduma watumishi wake kuwakaribisha wakogho walikwa kucha katika gonda ya arusi, ela ndawafikie.
\v 4 Mgimbikwa wawaduma sena watumishi wamwi, akideda, "Waghorienyi wose waalikwe, guwenyi, naandaa vindo. Fahali na ndama wapwa wwanon o wachinjigwa, na malagho ghose gheko tayari, chonyi gondenyi ya arusi."
\v 5 Ela wandu awo ndawazirie kwa dhati mwaliko wake. Baadhi wawurie katika mbuwa rawhe, na wamwi wawurie katika gasi rawhe ra zoghori.
\v 6 Wamwi wawanukia watrumishi wa mgimbikwa na kuwadhalilisha na kuwabwagha.
\v 7 Ela mgimbikwa wawonie viera, wadumie ijeshi jake, akawabwagha waja wabwaghaa na kunona mzigwawhe kwa modo.
\v 8 Kisha wawaghorie watumishi wake, "Arusi yeko tayari ela waalikiwe ndawastahilie.
\v 9 Kwa huwo ghendenyi makutanonyi gha chia mbaha, waalikenyi wandu wengi kadri idimikanagha wache gondenyi ya arusi."
\v 10 Watumishi waghendie chia mbaha na kuwakaribisha wandu wowose wawonie, waboie na wazamie, huwo ukumbi gwa arusi gwachuie waghenyi.
\v 11 Ela mgimbikwa wachangia kuwaguwa waghenyi, wamwonie mundu umweri ambae ndarwie ivazi rasmi ja arusi!
\v 12 Mgimbikwa wamkotia, 'Awedu, wapatie wadakufika aha ndenyi bila ivazi ja arusi! Na mundu uyo ndajibie chochose.
\v 13 Niko mgimbikwa wachawaghoria watumishi wake, "mfunguenyi mundu uyu mikonu na maghu na mdaghenyi shighadi katika kira, uko ambako dimakwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 14 Kwa wuja wandu wengi wadawangwa, ela washagulienyi ni watineri."
\v 15 Niko mafarisayo waingie na kupanga jisi ya kuwhada Jesu katika madedo ghake mweni.
\v 16 Niko wawaduma wanafunzi wo amweri na maherode. Na waghoria Jesu, mwalimu, didaichi kuwa we ni mundu wa loli, na kwamba udafundisha matakwa gha Mlungu katika loli. Ndujali maoni gha mundu umwi na nduoneshagha upendeleo kwa wandu.
\v 17 Kwa huwo dighorie, uteganyai? Je ni sahihi kisheria kushana kodi kwa kaisari angu aa?"
\v 18 Jesu wamanyie uovu wawhe na akadeda, "kwa indoi mdanigheria in yo wanafiki?
\v 19 Niborienyi pesa itumikaa kushania kodi." Niko wakamredia dinari.
\v 20 Jesu akawakotia, "sura na irina ijio ni va ani?
\v 21 Wamjibie, "va kaisari." Niko Jesu akawaghoria," mnekenyi kaisari vilambo viko vake na va Mlungu mnekenyi Mlungu."
\v 22 Wachasikira huwo washangaie. Kisha wamsighie na kughenda chia rawhe.
\v 23 Maruwa agho baadhi ya masadukayo wachee kwa Jesu, waja wadedagha kuwa ndakudae ufufuo gwa wafwie. Wakamkotia,
\v 24 Wakideda, "mwalimu, Musa wadedie, ikaka mundu wafwa bila kuva wana, mmbari wake na ample uyo mndumka na amneke mwana kwa ajili ya mmbari wake.
\v 25 Wakogho wambari saba. Wakilindiri walowua na kisha akafwa bila kuva wana. Akamsighia mkammbari wake.
\v 26 Kisha mmbari wake wa kawi nae akabonya woruwo, kisha uja wa kadadu, ikaka uwo hata kwa uja wa saba.
\v 27 Baada ya kubonya huwo wose, mundu mka nae wafwie.
\v 28 Idana katika ufufuo uyo mundu mka dimawaka mkawa ani katika wambari awo saba? kwa sababu wose wamlowue."
\v 29 Ela Jesu wawajibie kuwaghoria, "Mdakosea, kwasababu ndamuichi maandiko wala ndighi ra Mlungu.
\v 30 Kwa wuja katika ufufuo, wandu ndawalowuaa wala kulowolwa. Badala yake wandu huka sa malaika huko mbingunyi.
\v 31 Ela kuhusu ufufuo gwa wafwie, ndamuwahie kusoma chija ambacho Mlungu wachideda kwenyu, akideda,
\v 32 Nyi ni Mlungu wa Ibrahimu, Mlungu wa Isaka, na Yakobo? Mlungu si Mlungu wa wafwie bali ni Mlungu wa weko ghake."
\v 33 Makati kusanyiko wachasikira iji, wayashangaie mafundisho ghake.
\v 34 Ela mafarisayo wachasikira kuwa Jesu wawanyamakimisha masadukayo, wawikie andu amweri wo weni andu amweri.
\v 35 Umweri wawhe, akika mwanasheria, wamkotia iswali kwa kumgheria.
\v 36 "Mwalimu, ni amri iao iko mbaha kuliko rose mkatika sheria?"
\v 37 Jesu wamjibie, "Lazima umkunde Mzuri kwa moyo gwako ghose, kwa ngolo yako yose, na kwa akili rako rose.
\v 38 Ihi nio amri iko mbaha na kilindiri.
\v 39 Na ya kawi idafwana na iyo- Ni lazima kumkunda jirani yako sa wuja andu ukikundi mweni.
\v 40 Sheria rose na walodi hutegemea amri ili iwi."
\v 41 Na mafarisayo warikogho bado wakiwikaa andu amweri gasi imweri, Jesu wawakotie iswali.
\v 42 Akideda, "Je! mtenganyai ighu ya Kristo? ye ni mvalwa wa ani?" Nao wamjibie, "Ni mvalwa wa Daudi."
\v 43 Jesu wawajibie, "Ni kwa namna iao Daudui katika ngolo adamwanga Mzuri, akideda,
\v 44 Mzuri wamghoria Mzuri wapwa, "ka mkonu gwapwa gwa kujo, hata niwabonyaa walaghelaghe wako wawikigwe ndonyi ya maghu ghako."?
\v 45 Ngelo Daudi amwangagha Kristo "Mzuri," jinsi iao dimawaka mwanake?"
\v 46 Ndakudae wadimie kumjibu idedo sena, na ndakudae wathubutu sena kumkotia maswali nanganyi tangu maruwa agho na kuendelea.
\c 23
\cl Sura 23
\p
\v 1 Baadae waarie na umati gwa wandu na wanafunzi wake. Akadeda,
\v 2 "Waandishi na mafarisayo wadakaija kifumbi cha Musa.
\v 3 Kwa huwo chochose wawaamuru kubonya, bonyeni uku mkiwachunguza. Ela msache iga matendo ghawhe, kwa sababu wo watamkaa malagho wasaghabonyaa.
\v 4 Loli, wo hurugha mizigo iremere ambayo vakurie kuidwa, na kisha huwadisha wandu waweghenyi kwawhe, ela wo weni ndawaseghuragha hata chala kuidwa.
\v 5 Matendo ghawhe ghose, waghabonya ili waguwhe ni wandu. kwa sababu wo hushanua masanduku ghawhe na huchuria ubaha gwa mapindo gha mavazi ghawhe.
\v 6 Wo hukunda kuka gasi ra kifahari katika gonda na katika vifumbi va heshima ndenyi ya masinagogi,
\v 7 Na kulamswa kwa heshima gasi ra chetenyi, na kuwangwa "Walimu" na wandu.
\v 8 Ela inyo ndampaswaa kuwangwa "Walimu," kwa wuja mko nae mwalimu umweri, na inyo wose ni wambari.
\v 9 Msamwange mundu wowose aha dunienyi kuka aba wenyu, kwa wuja mko nae Aba umweri tu, nae weko mbingunyi.
\v 10 Wala msache kuwangwa "Walimu," kwa wuja mko nae mwalimu umweri tu, yaani Kristo.
\v 11 Bali ako mbaha imbiri yenyu dimawaka mtumishi wenyu.
\v 12 Wowose akiinuagha dimawaserigwa. Na wowose akiuseragha dimawanuliwa.
\v 13 Ela ole wenyu waandishi, na mafarisayo, wanafki! mdawarughia wandu ufalme gwa mbingunyi. Na inyo ndamdimagha kungia na ndamwaruhusu wangiagha kubonya huwo.
\v 14 (Mazira: Mstari gwa 14 ndauonekagha katika nakala bora la kala. Baadhi ya nakala huchuria mstari ughu baada ya mstari gwa 12. Mstari gwa 14 "ole wenyu waandishi na mafarisayo wanafiki! kwa wuja mdawamila wakolo").
\v 15 Ole wenyu waandishi na mafarisayo, wanafiki! mdaluwuka kimonu cha bahari na kufika kumbonya mundu umweri aamini ghaja mgha fundishaa, na andu waka sa inyo, mdambonya mara iwi mvalwa wa jehanamu sa inyo weni andu mko.
\v 16 Olewenyu vilongozi msawonaa, inyo mdedagha wowose alawagha kwa ihekalu, si kilambo. Ela alawagfha kwa dhahabu ya ihekalu, wafungigwa nikirawo chake.
\v 17 Inyo msawonaa wapumbavu, chiao ni kibaha kuliko chimwi, dhahabu angu ihekalu ambajo jawikigwa wakfu dhahabu kwa Mlungu?
\v 18 Na wowose alawagha kwa madhabahu, si kilambo. Bali alawagha kwa sadaka iko ighu yake, wafungigwa ni kirawo chake.
\v 19 Inyo wandu msawona, chiao ni kibaha kuliko chimwi, sadaka angu madhabahu ambayo huwika wakfu sadaka rifunyagha kwa Mlungu?
\v 20 Kwa huwo, ye alawagha kwa madhabahu hulawa kwa iyo na kwa vilambo vose vikogho ighu yake.
\v 21 Na ye, alawagha kwa ihekalu, hulawa kwa ijo na kwa uja akagha ndenyi yake.
\v 22 Na ye alawagha kwa Mbingu, hulawa kwa kifumbi cha enzi cha Mlungu na kwa uja akagha ighu yake.
\v 23 Ole wenyu, waandishi na mafarisayo, wanafki! kwa wuja mdashana zaka kwa bizali, mnaanaa na mchicha, ela mdasigha malagho ghakurie gha sheria- hachi, mughoma, na imani. Ela agha mdapaswa kuwa mwaghabonya, na sio kusigha ghamwi bila kughatekeleza.
\v 24 Inyo vilongozi msawonaa, inyo ambawo mdachuja madudu mtini ela mdamila ngamila!
\v 25 Ol ewenyu, waandishi na mafarisayo wanafki! kwa wuja mdaoghesha shighadi ya vikombe na shighadi ya sahani, ela ndenyi kwa chua dhuluma na kulemwa kuka na kiasi.
\v 26 Inyo mafarisayo msawonaa, oghesheni kilindiri ndenyi ya kikombe na ndenyi ya sahani, ili luwande lwa shighadi na lo lake lwaelie.
\v 27 Ole wenyu, waandishi na mafarsayo wanafki! kwa wuja mdafwana na makaburi ghavie choka, ambagho kwa shighadi, huwonekagha ghaboie, ela kwa ndenyi ghachua maindi gha wafwie na kila kilambo chiko kichafu.
\v 28 Woruwo huwwo, na inyo kwa shighadi mwonekagha weko na hachi imbiri ya wandu, ela kwa ndenyi mwachua unafki na udhalimu.
\v 29 Ole wenyu, waandishi na mafarisayo, wanafki! kwa wuja mdagha makaburi gha walodi na kughapamba makaburi gha wekona hachi.
\v 30 Inyo mwadeda, kumacha daishi maruwa gha aba redu, kumacha dairikiogho dashiriki amweri nawo kudia bagha ra walodi.
\v 31 Kwa huwo mwakishuhudia weni kwamba inyo ni wana wa awo wawabwaghie walodi.
\v 32 Pia inyo mwakamilisha kuchura gasi istahili dhambi ya aba renyu.
\v 33 Inyo choka, wana wa vipiribao, kwa maana ki dima mwaikwepa hukumu ya jehanamu?
\v 34 Kwa huwo, guwa, nawaduma kwenyu walodi, wandu wekona na hekima, na waandishi. Baadhi yawhe dima mwawabwagha na kuwasilisha. Na baadhi yawhe dimamwawachapa ndenyi ya msinagogi ghenyu na kuwabinyisa kufuma mzi umweri hata umwi.
\v 35 Matokeo ni kwamba ighu dimawakwafumiria bagha rose ra wekona hachi ridiwe duniuenyi, kuanzia bagha ya Habili mweni hachi hata kwa bagha ya Zakaria mvalwa wa Wa Barakia, mubwaghie kati ya patakatifu na madhabahu.
\v 36 Loli nawaghorienyi, malagho agha ghose dimayakipata kivazi ichi.
\v 37 Yerusalemu, Yerusalemu, we uwabwaghagha walodi na kuwakaba magwe waja ambawo wandumiagwa kwako? mara ilinga nawawika andu amweri wana wako amweri sa wuja nguku awawi kagha anadu amweri vifaranga vake ndonyi ya mbawa rake ela ndaukubalie.
\v 38 Guwa jako jabaki ukiwa.
\v 39 Na nyi ndakughoria, kuanzia ijiaha na kuendelea nduniwonagha, hata uchadeda, 'wabarikiwa ye achagha kwa irina ja Mzuri."'
\c 24
\cl Sura 24
\p
\v 1 Jesu wafumie hekalunyi na kughenda chia rake. Wanafunzi wake wamghendia na kumbonyeria majengo gha ihekalu.
\v 2 Ela wawajibie na kuwaghoria, Je ndamghawonaa malagho agha ghose? loli ndawaghoria, ndakudae igwe jibakii ighu ya jimwi bila kubomolewa."
\v 3 Na wachaka katika lughongo lwa mizeituni, wanafunzi wake wamghendia kwa faragha na kudeda, "Dighorie, malagho agha dimaghafumiria li? kilambo ki dima chaka dalili ya kucha kwako na mwisho gwa urumwengu?"
\v 4 Jesu wawajibie na kuwaghoria, "Kenyi makini kwamba asache mundu akawapotosha.
\v 5 Kwa wuja wengi dimawacha kwa irina japwa. Dima wadeda, 'nyi nie Kristo', na dimawawapotosha wengi.
\v 6 Dimamwawwasikira kondo na taarifa ra kondo. Guwenyi msacheka na wasiwasi, kwa wuja malagho agha ndaghadae budi kufumiria, ela uja mwisho ndauserefika.
\v 7 Kwa wuja taifa dima januka dhidi ya taifa jimwi, na ugimbikwa dhidi ya ugimbikwa. Dima kwaka na njala na matetemeko gha ardhi katika gasi tofauti.
\v 8 Ela malagho agha ghose ni kilindiri tu cha uchungu gwa kukifungua.
\v 9 Niko dimawawafunya kwa ajili ya mateso na kuwa bwagha. Dimamwazamiwa na mataifa ghose kwa sababu ya irina japwa.
\v 10 Niko wengi imawakikuwa na kusalitiana na imawazamiana.
\v 11 Walodi wengi watee dimawafumiria na kuwaembia wengi.
\v 12 Kwa sababu uovu dimagwachurika, lukundo lwa wengi imalwahoa.
\v 13 Ela arumaghiagha mpaka mwisho, dimawatesiwa.
\v 14 Ihi injili ya ugimbikwa imayahubiriwa katika urumwengu mlanzi sa ushuhuda kwa mataifa ghose. Na niko uja mwisho dima gwafika.
\v 15 Kwa huwo, mchamwona chukizo ja unonefu, jidediwe ni mlodi Danieli jakakimsi andu patakatifu [asamagha na amanye],
\v 16 Niko wakogho Yuda wakimbilie lughoghonyi.
\v 17 Na uja akogho ighu ya paa ja iwacha asadimekusea isi kuwusa kilambo chochose kufuma ndenyi ya iwacha jake,
\v 18 Na ye akogho mbuwenyi asawuye kuwusa ivazi jake.
\v 19 Ela ole wawhe ambawo wakona mwana na waja ambawo wanyonyeshagha katika maruwa agho!
\v 20 Tasenyi kwamba kukimbia kwenyu kusake wakati gha mbeo, wala maruwa gha sabato.
\v 21 Kwa wuja dima kwaka na dhiki mbaha, ambayo ndaisere kuka tangu kuumbwa kwa urumwengu hadi ijiaha, na wala ndaidimakuka sena.
\v 22 Ngelo maruwa agho kumachandaghafupishwa, ndakudae ambae kumachatesiwa ela kwa sababu ya wateule, maruwa agho dimaghafupishwa.
\v 23 Kisha ikika mundu wowose dimawawaghoria 'guwa, Kristo ako aha! angu, 'Kristo ako kuja' msaamini malagho agho.
\v 24 Kwa wuja makristo gha tee na walodi wa tee imawacha na kubonyeria ishara mbaha na maajabu, kwa kusudi ja kupotosha, ngelo kumachayadimikana ata na wateule.
\v 25 Guwenyi, na watahadharisha kabla ya malagho agho kufumiria.
\v 26 Kwa huwo, ikika wamighoria, "Kristo ako ijangwenyi, " msaghende ako ijangwenyi. Angu, 'guwenyi, wekondenyi ya iwacha," msaamin i malagho agho.
\v 27 Kama wuja radi andu imulikaa kubfuma mashariki na kuangaza hata magharibi, niko ikagha kucha kwa mvalwa wa Adamu.
\v 28 Kokose andu kuko kimba, uko niko tai wakwa na andu amweri.
\v 29 Ela mara baada ya dhiki mbaha ya maruwa ghaja, iruwa dimajakumbigwa kira, mweri ndaghufunyaa mwanga gwake, nyenyeri dimaragwa kufuma angenyi, na ndighi ra mbingunyi dima ra tikisika.
\v 30 Niko ishara ya mvalwa wa Adamu dima yawoneka angenyi, na makabila ghose gha dunia dimawalila kubaha. Dimawamwona mvalwa wa Adamu akicha katika madulu gha angenyi kwa ndighi na utukufu mbaha.
\v 31 Dimawawaduma malaika wake kwa sauti mbaha ya igunda nawo dimawawawika andu amweri wateule wake kufuma pande ina ra dunia, kufuma mwisho umweri wa mbingu hata umwi.
\v 32 Kifdunzeni somo kufumana na mdi mtini. Mara tu irembwe jikabuka na kufunya nyasi, mdaichi kwamba kiangazi kidakaribia.
\v 33 Huwo pia, mchawona malagho agha ghose, mdapaswa kumanya kwamba wakaribia, avui na malango.
\v 34 Loli ndawaghoria, kivazi ichi ndachiidagha, hata malagho ghose agha dimaghaka ghafumiria.
\v 35 Mbingu na isanga dimaraida, ela madedo ghapwa ndaghaidagha kamwe.
\v 36 Ela kuhusu maruwa ghaja na saa ndakudae mundu amanyagha, hata malaika wa mbimgunyi, wala mvalwa, bali Aba mweni keri.
\v 37 Sa wuja andu ikogho katika maruwa gha Nuhu, niko ikagha kucha kwa mvalwa wa Adamu.
\v 38 Kwa wuja katika maruwa agho kabla ya igharika wandu wakogho wakija na kunywa, wakilowua na kulowolwa hata maruwa ghaja ambagho Nuhu wangie katika safina,
\v 39 Na ndawamanyie kilambo chochose hata igharika ichacha na kuwasomba wose - niko ikagha kucha kwa mvalwa waAdamu.
\v 40 Niko wandu wawi dimawaka mbuwenyi - umweri dimawawusigwa, na umweri dimawasigwa nyuma.
\v 41 Waka wawi dimawaka wasaga andu amweri - umweri dimawawusigwa, na umweri dimawabaki.
\v 42 Kwa huwo, mke meso kwa sababu ndamuichi ni maruwa ki ambagho dimawacha Mzuri wenyu.
\v 43 Ela muichi kwamba, ikaka Mzuri mweni iwacha kumachawaichi ni saa iao ambayo mwiwi adacha, kumacha waka meso na kumacha ndaruhusu iwacha jake kuvamiwa.
\v 44 Kwa huwo, pia mdapaswa kuka tayari, kwa wuja mvalwa wa Adamu dimawacha katika saa msaa itarajia.
\v 45 Huwo ni ani akomwaminifu, mtumwa mweni akili, ambae Mzuri wake wamneka madaraka ighu ya wandu weko katika iwacha jake, ili awaneke vindo kwa makati gha faagha?
\v 46 Wabarikiwa mtumishi uyo, ambae Mzuri wake dimwamdoka akibonya huwo makati akicha.
\v 47 Loli ndawaghoria kwamba Mzuri dimawamwika ighu ya kila kilambo chiko chake.
\v 48 Ela ngelo mtumwa wazamie aklideda ngolonyi mwake, Mzuri wapwa adakawia,'
\v 49 Na akawoka kuwakaba watumishi wake, na akaja na kulewa chofi,
\v 50 Mzuri wa mtumwa uyo dimawacha katika maruwa ambagho ndaghatarajiaa, na katika saa ambayo ndaichi.
\v 51 Mzuri wake dimawamdema viwande viwi na kumwika andu kuko nafasi imweri sawa na wanafiki, ambako dimakwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\c 25
\cl Sura 25
\p
\v 1 Niko ufalme gwa mbingunyi dimawafananishwa na wai kumi wuwusie taa rawhe na kuinga kughenda kumwokera bwana arusi.
\v 2 Wasanu imbiri yawhe wakogho wapumbavu na wasanu wamwi wakogho werevu/
\v 3 Wai wapumbavu wachawusa taa rawhe, ndawawusie mavuda ghoghose.
\v 4 Bali wai werevu wawusie vombo vikona mavuda andu amweri na taa rawhe.
\v 5 Idana makati Bwana arusi wachelewa kufika, wose wawhadie ni dilo na wakatungura.
\v 6 Ela makati gha kio kibaha kurikogho na yowe, 'guwa, bwana arusi! fumeni shighadi mkamwokere.'
\v 7 Niko awo wai wawukie wose na kuwasha taa rawhe.
\v 8 Waja wapumbavu wawaghoria waja werevu, mdipatie sehemu ya mavuda ghenyu kwa sababu taa redu ridarima.
\v 9 Ela waja werevu wawajibie na kuwaghoria, 'kwa wuja ndaghaditoshss isi ns inyo, badala yake ghendenyi kwa wadaghagha mkiguie kiasi kwa ajili yenyu."
\v 10 Makati waghenda uko kugua, Bwana arusi wafika, na wose warikogho tayari waghendie naegondenyi ya arusi, na mjango gwarugwie.
\v 11 Baadae waja wai wamwi pia wafikie na kudeda, 'Mzuri, mzuri, dirughurie.'
\v 12 Ela wajibie na kudeda, 'loli ndawaghoria, nyi siwaichi.
\v 13 Kwa huwo guwenyi, kwa wuja ndamuichi maruwa angu saa.
\v 14 Kwa wuja ni sawa na mundu akundighe kusafiri kughenda isanga jimwi. Wawawangie watumwa wake na kuwakabidhi utajiri gwake.
\v 15 Umweri wawhe wampatia talanta isanu, umwi wamnekie iwi, na uja umwi wamnekie talanta imweri. Kila umweri wawokera kiasi kulingana na uwezo gwake, na uja mundu wasafirie kughenda chia rake.
\v 16 Mapema uja wawokerie talanta isanu waghendie kuriwekeza, na kuzalisha talanta rimwi isanu.
\v 17 Woruwo uja wawokerie talanta iwi, wazalisha rimwi iwi.
\v 18 Ela mtumwa wawokerie talanta imweri, waghendie chia rake, akakota ishimo ardhinyi, na kuivisa fedha ya Mzuri wake.
\v 19 Na baada ya muda mlacha, Mzuri wa watumwa awo wawurie na kubonyeria mitalo nawo.
\v 20 Uja mtumwa wawokerie talanta isanu wachee na kureda talanta rimwi isanu, akadeda, 'Mzuri, wanineka talanta isanu. Guwa, napata faida ya talanta rimwi isanu.'
\v 21 Mzuri wake wamghoria, 'Hongera, mtumwa uboie na mwaminifu! waka mwaminifu kwa vilambvo vitini. Dimanakuneka madaraka ighu ya vilambo vingi. Ngia katika furaha ya Mzuri wako.'
\v 22 Mtumwa wawokerie talanta iwi wachee na kudeda, 'Mzuri, wanineka talanta iwi. Guwa, napata faida ya talanta rimwi iwi,'
\v 23 Mzuri wake awaghoria, 'Hongera mtumwa uboie na mwaminifu! waka mwaminifu kwa vilambo vitineri. Dimanakuneka madaraka ighu ya vilambo vingi. Ngia katika furaha ya Mzuri wako.'
\v 24 Baadae mtumwa wawokerie talanta imweri wachee na kudeda, 'Mzuri, ndaichi kuwa we ni mundu uorie. Udawhaya andu ambako nduwae na udakwasha andu ambako kuhusia.
\v 25 Nyi naboa, nikaghenda chia rangu na kuvisa talanta yako katika ndoe. Guwa, uko nayo aha ija iko yako.'
\v 26 Ela Mzuri wake wajibie na kjudeda, 'We mtumwa uzamie na mzembe, wamanyie kwamba ndawhaya andu ambako siwae na kuwasha andu ambako sikusia.
\v 27 Kwa hiyo wapasiwe kuwaneka fedha yapwa wandu wa benki, na makati gha kuwuya kwapwa kumacha naiwokera ija yapwa andu amweri na faida.
\v 28 Kwa huwo msokenyi iyo talanta na mnekenyi uja mtumwa ako na talanta kumi.
\v 29 Kila mundu ako nacho, dimawachuriwa na nganyi - ata kwa kuzidishiwa sana. Ela kwa wowose asadae kilambo, ata ako nacho dimawasokwa.
\v 30 Mdaghenyi shighadi kirenyi uyo mtumwa asafaa, ambako dimakwaka na kifwa na kusaga maghegho.
\v 31 Makati mvalwa wa Adamu akacha katika utukufu gwake, malaika wose andu amweri nae, niko dimawaka ighu ya kifumbi chake cha utukufu.
\v 32 Mataifa ghose dimaghaka andu amweri imbiri yake, na ye dimawawatenganisha wandu, kama wuja mlisha awatenganishaa ng'ondi na mburi.
\v 33 Dimawawawika ng'ondi mkonu gwake gwa kujo, bali mburi dimawawawika mkonu gwa kumosho.
\v 34 Kisha mgimbikwa dimawawaghoria waja wako mkonu gwake gw kujo, 'chonyi, inyo mwabarikiwa ni Aba wapwa, palenyi Ufalme gwa andaliwe kwa ajili yenyu tangu kuwikwa msingi gwa urumwengu.
\v 35 Kwa wuja nakogho na njala na mwaninekie vindo,' Narikogho mghenyi na mwanikaribisha.'
\v 36 Narikogho kibigiri na mwanirushie nguwo,' narikogho mkongo na mkanitunza, nakogho kifungonyi na mkanichea.'
\v 37 Niko wenihachi dimawamjibu na kumghoria, 'Mzuri, li dakuwonie ukika na njala, na kukujisa, Angu ukona kau na dikakuneka machi?
\v 38 Na ni li dakuwonie ukika mghenyi, na dikakukaribisha? angu ukika kibigiri na dikakurusha nguwo?
\v 39 Na li dakuwonie ukika mongo, angu katika kifungo, na dikakuchea?
\v 40 Na mgimbikwa dimawamjibu na kuwaghoria, 'loli ndawaghoria, mchibonyie aha kwa umweri wa wambari wapwa watini, mwanibonyia nyi.'
\v 41 Niko imawaghoria awo weko mkonu gwake gwa kumosho, 'ingenyi kwapwa, inyo mlaaniwe, ghendenyi katika modo gwa kala na kala gwaandaliwe kwa ajili ya shetani na malaika rake,
\v 42 Kwa sababu nakogho na njala ela ndamninekie vindo; nakogho nakau ela ndamninekie machi;
\v 43 Narikogho mghenyi ela ndamnikaribishe; nakogho kibigiri ela ndamninekie mavazi; ni kika mkongo na nikika kifungonyi, ela ndamnitunzie.'
\v 44 Niko wo pia dimawamjibu na kudeda, 'Mzuri, li dakuwona ukika na njala, angu ukona kau, angu umghenyi, angu ukika kibigiri, angu ukika mkongo, angu ukika mfunwa, na ndadikutawarie?
\v 45 Kisha imawamjibu na kudeda, 'loli ndawaghoria, chija ambacho ndambonyie kwa umweri wa awa watini, ndamnibonyie nyi.'
\v 46 Awa dimawaghenda katika adhabu ya kala na kala bali wekona hachi katika banana ya kala na kala."
\c 26
\cl Sura 26
\p
\v 1 Makati Jesu achameria kudeda madedo ghose agho, wawaghorie wanafunzi wake,
\v 2 "Mdaichi kwamba baada ya maruwa awi dimakwaka na sikukuu ya pasaka, na mvalwa wa Adamu dimawafunyigwa ili asulubiwe."
\v 3 Baadae wabaha wa makuhani na waghosi wa wandu wakwana andu amweri katika makao gha kuhani mbaha, warikogho akiwangwa koyafa.
\v 4 Kwa andu amweri wapangie njama ya kumwhada Jesu kwa kiviso na kumbwagha.
\v 5 Kwa wuja wadedie, "isabonyeke makati gha sikukuu, kusudiisacxhezuka ghasia imbiri ya wandu."
\v 6 Makati Jesu wakogho Bethania katika iwacha ja simoni mkoma,
\v 7 Warikogho wakighaghoa mzenyi, mndumka umweri wachee kwake akika wadwa mkebe gwa Alabasta irikogho na mavuda yakona thamani mbaha, na waghamimina ighu ya chongo chake.
\v 8 Ela wanafunzi wake wachawona ilagho ijo, wazamiwe na kudeda, "Ni indoi sababua ya hasara ihi?
\v 9 Agha kumacha ghadimikana kudagwa kwa kiasi kibaha na kunekwa maskini."
\v 10 Ela Jesu akika adaichi iji, wawaghorie, "kwa indoi mdamgaisha mndumka uyu? kwa wuja wabonya kilambo chiboie kwapwa.
\v 11 Maskini mkonao maruwa ghose, ela ndamkagha andu amweri na nyi daima.
\v 12 Kwa sababu andu wamimina mavuda agha ighu ya muiwi gwapwa, wabonyi huwo kwa ajili ya mariko ghapwa.
\v 13 Loli nawaghorienyi, kokose injili ihi ikahubiriwa katika urumwengu mlanzi, kitendo wachibonya uyu mndumka, pia dima waka chikidedigwa kwa ajili ya kumkumbuka."
\v 14 Niko umweri wa waja kumi na iwi, wawangiwe Yuda iskariote, waghendie kwa wabaha wa makuhani.
\v 15 Na kudda, "dimamwanineka indoi nikamsaliti? Wakampimia Yuda viwande thelathini va fedha.
\v 16 Tangu mudaugho walolie nafasi ya kumsaliti.
\v 17 Hata maruwa gha kilindiri gha mikate isakumbagwa chachu, wanafunzi wamghendia Jesu na kudeda, "Hao ukundi dikuandalie uje vindo va pasaka?"
\v 18 Akawaghoria, "Ghendenyi mzinyi kwa mundu fulani na mghorienyi, mwalimu adadeda, "mudagwapwa gwakaribia. Dimanaitimira pasaka andu amweri na wanafunzi wapwa katika iwacha jako."
\v 19 Wanafunzi wabonyie sa wuja Jesu andu wawalagiza, na waandalie vindo va pasaka.
\v 20 Ichafika kwenyi, wakee kuja vindo andu amweri na waja wanafunzi kumi na iwi.
\v 21 Warikogho wadaja vindo, wadedie, "loli nawaghoria kwamba umweri wenyu dimawanisaliti."
\v 22 Wawonie mbazi nanganyi, na kila umweri waanzie kumkotia, "Je, hakika sio nyi, Mzuri
\v 23 Wawajibie, "Uja ambae achovyaa mkonu gwake andu amweri nanyi katika ibakuli nie ambae dimawanisaliti.
\v 24 Mvalwa wa Adamu dimawainga kama andu waandikiwa. Ela ole wake mundu ambae dimawamsaliti mvalwa wa Adamu! kumachayakanicha kwa mundu uyo kama kumachandavalwe."
\v 25 Yuda ambae kumachamsaliti wadedie, "Je! Ninyi Rabi?" Jesu akamghoria, "Wadeda ilagho ijo we mweni."
\v 26 Warikogho wakija vindo, Jesu wawusie mkate, akaghubariki na kuubegha. Akawaneka wanafunzi wake akideda, "Wusenyi, mje uhu nimuwi gwapwa."
\v 27 Akawusa kikombe na kushukuru, akawaneka na kudeda, "Nyweni wose katika ichi.
\v 28 Kwa wuja ihi ni bagha ya iagano japwa, idiwa gwa kwaajili ya wengi kwa msamaha gwa zambi.
\v 29 Ela nawaghorienyi, sinywagha sena matunda gha mzabibu ughu, hata maruwa ghaja ninywa gha mwishi amweri na inyo katika Ufalme gwa Aba wapwa."
\v 30 Warikogho wameria kubora lumbo, wafumie kughenda lughongo lwa mizeituni.
\v 31 Kisha JJesu wawaghoria, kio ichi inyo wose dima mwakikuwa kwasababu yapwa, kwa wuja yaandikigwa, dimanamkaba mlisha na ng'ondi wa ikundi dimawawaghanyika.
\v 32 Ela baada ya kufufuka kwapwa, dimanawakiria kughenda Galilaya."
\v 33 Ela Petro wamghoria, Ata kama wose dimawakulegha kwa sababu ya malagho ambagho dimaghakupata, nyi sikuleghagha."
\v 34 Jesu wamjibie, "loli ndakughoria, kio ichi kabla jogholo ndaisire kema, dimawanikana mara idadu."
\v 35 Petro akamghoria, "Ata kama kumacha yanipasa kufwa ni we, sikuksnaa." Na wanafunzi wamwi wose wakadeda woruwo uwo.
\v 36 Baadae Jesu waghendie nawo andu kuwangwaa Gethsemane na wawaghoria wanafunzi wake, "kenyi aha wakati nikighenda uko na kutasa."
\v 37 Akamwusa Peto na wawiu wa zebedayto na waanzie kuhuzunika na kusononeka.
\v 38 Kisha wawaghoria, "Ngolo yapwa ikona huzuni mbaha sana, hata kiasi cha kufwa. Bakinyi aha na mlale meso andu amweri nanyi."
\v 39 Akaghenda imbiri kidogo, akagwa kifudifudi, na kutasa. Akadeda, "Aba wapwa, ngelo idadimikana, kikombe icghi chiniepuke. Isake andu ndikundii nyi, bali sa andu ukundii we."
\v 40 Akawaghendia wanafunzi na akawadoka watungura dilonyi, na akamghoria Petro, "Kwa indoi ndamdimie kulala meso nanyi kwa isaa jimweri?
\v 41 Lalenyi meso na kutasa kusudi msangie majaribuni. Ngolo iradhi, ela muwi ni dhaifu."
\v 42 Akaghenda chia rake mara ya kawi na kutasa, akadeda, "Aba wapwa ngelo ilagho iji ndajidimikana kuepukika na ni lazima nichinywee kikombe ichi, mapenzi ghako ghatimizwe."
\v 43 Akawuya sena kuwadoka watungura dilonyi, kwa wuja meso ghawhe ghakogho ghakurie.
\v 44 Kisha akawasigha sena akaghenda chia rake. Akatasa mara ya kadadu akideda madedo gha ja gheni.
\v 45 Baadae Jesu wawaghendia wanafunzi wake na kuwaghoria, "bado mwamtungura tu na kukisoghosha? guwenyi, saa yakaribia, na mvalwa wa Adamu adasalitiwa mikonunyi mwa weni zambi.
\v 46 Wukienyi, ndiinge. Guwa, uja anisalitiagha wakaribia."
\v 47 Makati wakogho bado akiaria, Yuda umweri wa waja kumi na iwi, wafikie. Kundi ibaha jafikie andu amweri nae jikifumira kwa wabaha wa makuhani na waghosi wa wandu. Wachee na malwamba na marungu.
\v 48 Sena mundu wakusudie kumsaliti Jesu wakogho wawaneka ishara, akideda, "Uja nimbusu, nio ye mwhadenyi."
\v 49 Mara iyo wachee kwa Jesu na kudeda, "Salamu, Mwalimu!" na wambusu.
\v 50 Jesu akamghoria, Amwedu jibonye jija ambajo jakureda."Niko wakacha, na kumghaghoia mikonu Jesu, na kumwhada.
\v 51 Guwa, mundu umweri warikogho andu amweri na Jesu, waghaghoa mkonu gwake, akafunya luwamba lwake, na akamkaba mtumishi wa kuhani mbaha, na kumdema kudu kwake.
\v 52 Niko Jesu akamghoria, wuja luwamba lwako aja andu walufunya, kwa wuja wose watumiaa lwamba dimawaangamizwa kwa luwamba.
\v 53 Mdadhani kuwa sidimagha kumwanga Aba wapwa, na ye akanidumia majeshi zaidi ya kumi na iwi gha malaika?"
\v 54 Ela basi jinsi ki maandiko ghadima kutimiza gwa, uwu niko idapasa kufumira?"
\v 55 Makati agho Jesu akaughoria umati, " Je! machana na malwamba na marungu kunuwhada sa mnyang'anyi? kila siku nakaiye hekalunyi nikifundisha, na ndamniwhadie!
\v 56 Ela ghose agha ghabonyeka ili maandiko gha walodi ghatimie." Niko wanafunzi wake wakamsigha na kukimbia.
\v 57 Waja wawhadie Jesu wamhadie Jesu wamghenjie kwa kuyafa, kuhani mbaha, andu ambako waandishi na waghosi wakogho waka andu amweri.
\v 58 Ela Petro wamnughie nyuma kwa kala kula hata katika ukumbi gwa kuhani mbaha. Wangie ndenyi na kuka andu amweri na walinzi awonechifumiriagha.
\v 59 Basi wabaha wa makuhani na ibaraza jose warikogho wakilola ushahidi gwa tee dhidi ya Jesu, kusudi wapate kumbwagha.
\v 60 Ingawa wakakitokeza mashahidi wengi, ela ndawapatie sababu yoyose ela baaadae mashahidi wawi wakitokeza imbiri.
\v 61 N kudeda, "Mundu uyu wadedie, "Nadimagha kujichukanya ihekalu ja Mlungu na kujiagha sena kwa maruwa adadu."
\v 62 Kuhani mbaha wakee kimsi na kumkotia, "Ndudi magha kujibu? awa wadakushuhudia indoi dhidi yako?"
\v 63 Ela Jesu wanyamie kima kuhani mbaha akamghoria, "sa Mlungu andu aishivyo, ndakuamuru udighorie, ngelo we ni Kristo, mvalwa wa Mlungu?"
\v 64 Jesu wamjibie, "We mweni wadeda ilagho ijno. Ela ndakughoria, toka ijiaha na kuendelea dimawamwona mvalwa wa Adamu waka mkonu gwa kujo ukona ndighi, na akicha katika madulu gha mbingunyi."
\v 65 Niko kuhani mbaha wararua mavazi ghake na kudeda, "Wakufuru! Je dahitaji sena ushahidi gwa, tayari mwasikira akikufuru.
\v 66 Je! mtenganyai? wajibie na kudeda, "adastahili kifwa."
\v 67 Kisha wamchiye mada wushunyi na kumkaba ngumi, na kumchapa makofi kwa mikonu yawhe,
\v 68 Na kudeda, "Ditabirie, we Kristo. Ni ani wakuchapa?"
\v 69 Wakati ugho Petro warikogho waka shighadi katika ukumbi, na myumishi wa kiwaka wamghendia na kudeda, "We pia wakogho andu amweri na Jesu wa Galilaya."
\v 70 Ela wakanie imbiri yawhe wose, akideda, simanyagha kilambo udedaa."
\v 71 Wachaghenda shighadi ya ilango, mtumishi umwi wa kiwaka wamwonie na kuwaghoria wakongo aho," mundu uyu pia wakogho andu amweri na Jesu wa Nazareti."
\v 72 Wakanie sena kwa kirawo, "Nyi simu ichi mundu uyu.
\v 73 Muda mfupi baadae, waja waja wakogho wakakimsi karibu, wamghendia na kudeda na Petro, "kwa hakika we pia ni umweri wawhe, kwa wuja hata lafudhi yako idaonesha."
\v 74 Niko waanzie kulaani na kulawa, "Nyi simmanya mundu uyu," na mara iyo jogholo akakema.
\v 75 Petro wamkumbukie madedo waghoriweghe ni Jesu, "kabla jogholo ndaisire kema dimawanikana mara idadu."
\c 27
\cl Sura ya 27
\p
\v 1 Taimu ra keshokio richafika, wabaha wose wa makuhani na waghosi wa wandu wajie njama dhidi ya Jesu wapate kumbwagha.
\v 2 Wamfunga, wamuongoza, na kumfikisha kwa liwali pilato.
\v 3 Kisha makati Yuda, ambae wakogho wamsaliti, wawonie kwamba Jesu wameria kuhusu kumiwa, wajutie na kuwuja viwande thelathini va fedha kwa mbaha wa makuhani na waghosi,
\v 4 Na akadeda, "Nabonya zambi kwa kuisaliti bagha isadae hatia." Ela wajibie, "Idadihusu indoi isi? ghaguwe agho mweni."
\v 5 Kisha wavirusha ndonyi vija viwande va fedha katika ihekalu, na kuinga chia rake na kukinyonga mweni.
\v 6 Mbaha wa makuhani waviwusie vija viwande va fedha na kudeda, na kudeda, "si halali kuiwika fedha katika hazina, kwa sababu ni gharama ya bagha."
\v 7 Wajadiliana andu amweri na fedha ikadumika kugulia mbuwa ya mfinyanzi ja kurika waghenyi.
\v 8 Kwa sababu ihi mbuwa iyo yaka ikiwangwa, "mbuwa ya bagha" hata linu ihi.
\v 9 Kisha jija idedo jirikogho jadedigwa ni Mlodi Yeremia jatimie kudeda, "Wawusie viwande thelathini va fedha, gharama ipangiwegweni wandu wa Israeli kwa ajili yake,
\v 10 Na waitumia kwa mbua ya mfinyanzi, sa Mzuri andu wakogho wanielekeza.
\v 11 Idana Jesu wakeekimsi imbiri ya liwali, na liwali akamkotia, "Je! we ni mgimbikwa wa wayahudi?" Jesu wamjibie, "We wadeda huwo."
\v 12 Ela makati washitakiwa ni wabaha wa makuhani na waghosi, ndajibie chochose.
\v 13 Kisha Pilato waghoria, ndughasikire mashitaka ghose dhidi yako?"
\v 14 Ela ndamjibie hata idedo jimweri, huwo liwali wachuiwe ni mshangao.
\v 15 Idana katika sikukuu irikogho desturi ya liwali kumrughua mfungwa umweri asaghu lwagha ni umati.
\v 16 Makati agho warikogho na mfungwa sugu irina jake Baraba.
\v 17 Huwo makati warikogho wakwana andu amweri, Pilato wawakotia, "Ni ani mkundii dimrughae kwa ajili yenyu? Baraba angu Jesu awangwagha Kristo?
\v 18 Kwa sababu wamanyie kwamba wameria kumwhada kwa sababu ya chuki.
\v 19 Makati warikogho akika kifumbinyi kwake cha hukumu, mkake wamdumie idedo na kudeda, "usabonye ilagho jojose kwa mundu uyo asadae hatia. Kwaani natesigwa nanganyi hata linu katika ndodo kwa sababu yake."
\v 20 Niko wabaha makuhani na waghosi wawashawishie makutano wamlombe Baraba, na Jesu abwagwe.
\v 21 Liwali wawakotia, "Ni uyao kati ya wawi mkundinyi ni msighe kwenyu? wadedie"Baraba."
\v 22 Pilato akawaghoria, "Nimbonye wada Jesu awangha Kristo?" Wose wajibie, "msulubishe"
\v 23 Na ye akadeda, "kwa indoi, ni kosa ki wabonya? ela wazidie kufunya mbaha sauti hata ighu na nyanyi "msulubishe."
\v 24 Huwo makati Pilato wachawona ndadimaa kubonya jojose, ela badala yake vurugu rakogho raanza, wawusie machi akaogha vala vake imbiri ya umati, na kudeda, "Nyi sida hatia ighu ya bagha ya mundu uyu asadae hatia. Yaguwenyi agha inyo weni."
\v 25 Wandu wose wakadeda, "Bagha yake ike ighu yedu nawana wedu."
\v 26 Kisha wamrughia Baraka kwawhe, ela wamkaba mjijeredi Jesu na kumkabidhi kwawhe kughenda kusulubiwa.
\v 27 Kisha askari wa liwali wakamwusa Jesu hata praitorio na kundi ibaha ja maaskari wose wakamkaia andu amweri.
\v 28 Wakamrua nguwo rake na kumrwisha kazu ya rangi itinikie.
\v 29 Kisha wakabonya taji ya minjwa na kuiwika ighu ya chongo chake, na wawikia mwanzi katika mkonu gwake gwa kujo. Wakabie magoti imbiri yake na kumkejeri, wakideda, salamu, mgimbikwa wa wayahudi?"
\v 30 Na wamchuie mada, na wawusie mwanzi nakumkaba chongonyi.
\v 31 Makati warikogho wakimkejeri, wamrua ijakazu na kumrwisha nguwo rake, na kumlongoza kughenda kumsulubisha.
\v 32 Wachafuma shighadi, wamwonie mundu kufuma krene irina jake simeoni, ambae wamlazimishie kughenda nawo ili apate kuudwa msalaba gwake.
\v 33 Wachafika andu kuwangwagha Goligotha, maana yake, "ieneo ja ifuvu ja chongo."
\v 34 Wachafike siki ichanganyiwe ni nyogo anwe. Ela achatoa ndadimie kunywa.
\v 35 Makati warikogho wamsulubisha, wawaghiane mavazi ghake kwa kukaba kura.
\v 36 Na wakaie na kumguwa.
\v 37 Ighu ya chongo chake wawikie mashitaka dhidi yake ghakisomeka, uyu ni Jesu, mgimbikwa wa wayahudi."
\v 38 Wanyang'anyi wawi wasulubiwa andu amweri nae, umweri luwande lwa kujo kwake na umwi lwa kumosho.
\v 39 Waja warikogho wakiida wamdhihaki, wakiitingisha vongo vawhe.
\v 40 Na kudeda, We urikogho ukikunda kujinona ihekalu na kujiagha katika maruwa gha kadadu, kitesie mweni! ngelo ni mvalwa wa Mlungu, sea ndonyi ufume msalabenyi!"
\v 41 Katika hali ijapeni wabaha wamakuhani warikogho wakimkashifu, aandu amweri na waandishi na waghosi na kudeda,
\v 42 "Watesia wamwi, ela ndadimagha kukitesia mweni. Ye ni mgimbikwa wa wayahudi. Na asee ndonyi kufuma msalabenyi, niko dimuamini.
\v 43 Wamtumaini Mlungu. Sighenyi Mlungu amtasie idana ngelo adakundi, kwa sababu wadedie, "Nyini mvalwa wa Mlungu."
\v 44 Na waja wanyang'anyi warikogho wasulubiwa andu amweri na ye pia wadedie madedo gha kumdhihaki.
\v 45 Idana kufuma saa sita kurikogho na kira katika isanga jose hata saa kenda.
\v 46 Ichafika saa kenda, Jesu akalila kwa sauti mbaha, "Eloi, Eloi, lamathaba kithani?" akimaanisha, "Mlungu wapwa, Mlunguwapwa, kwa indoi wanisigha?"
\v 47 Makati agho baadhi warikogho wakakimsi aja wasikire wakadeda, "Adamwanga Eliya."
\v 48 Mara imweri wawhe wakimbie kuwusa sifongo na kuichura kinywaji kiwawie, akaiwika ighu ya mdi na kumneka apate kunywa.
\v 49 Nawo wasalie wakideda, "mmsighenyi mwenikeri, sighenyi diwone ngelo Eliya dimawacha kumtesia."
\v 50 Kisha Jesu akalila sena kwa sauti mbaha na akaifunya ngolo yake.
\v 51 Guwa, pazia ja ihekalu jarashukie sehemu iwi kufumiria ighu hata ndonyi. Na ardhi ya tetemekie na lwala rikabarika viwande.
\v 52 Makaburi gharughukie, na miwi ya watakatifu wengi warikogho watungura dilo wafufuliwa.
\v 53 Wafumie makaburinyi baada ya ufufuo gwake, waingie mzi mtakatifu, na wakawoneka na wengi.
\v 54 Basi uja akida wa waja ambawo warikogho wakimguwa Jesu wawonie itetemeko na malagho gharikogho ghakifumiria, wachuiwe ni wowa nanganyi na kudeda, "loli uyu wakogho mvlwa wa Mlungu."
\v 55 Waka wengi warikogho wakimnughiria Jesu kufuma Galilaya ili kumtawaria warikogho aja wakiguwa kufuma kula.
\v 56 Miongonyi mwao wakogho Mariamu Magdalena, Mariamu mae Yakobo na Josefu, na wawe wa wana wa Zebedayo
\v 57 Ichafika kwenyi, wachee mundu tajiri kufuma Arimathaya, wawangiwe Yusufu, ambae pia wakogho mwanafunzi wa Jesu.
\v 58 Wamghendia Pilato na kuulomba muwi gwa Jesu. Kisha pilato walagizie apate kunekwa.
\v 59 Yusufu wawusie muwi akaurugha na nguwo ya sufu itakate.
\v 60 Na akautungurisha katika ikaburi wishijake warikogho wajichonga lwalenyi.
\v 61 Mariamu Magdalena na Mariamu umwi wakoghoaja, wakakimsi kuelekea ikaburi.
\v 62 Siku inughiriagha ambayo ikogho siku baada ya maandalio, wabaha wa makuhani na Mafarisayo wakwana andu amweri kwa Pilato.
\v 63 Wakamghoria, "Mzuri, didakumbuka kuwa makati uja mtee andu ako hai, wadedie, "Baada ya maruwa adadu dimawafufuka sena."
\v 64 Kwa huwo, lagiza kwamba kaburi jilindwe salama mpaka maruwa gha kadadu. Vinginevyo, wanafunzi wake wadima kucha kumuiwa na kudeda kwa wandu, wafufuka kufuma kwa wafwie,' Na uteegwa mwisho dimawaka uzamie kuliko uja wa kilindiri."
\v 65 Pilato akawaghoria, "Wusenyi walinzi. Ghendenyi mkabonye hali ya usalama ngelo mdimagha."
\v 66 Huwo waghendie na kubonya ikaburi kuka salama, igwe jagongiwe mhuri na kuwika walinzi.
\c 28
\cl Sura 28
\p
\v 1 Baadae kwenyi maruwa gha sabato, iruwa jirikogho jikichwa kuelekea maruwa gha kilindiri gha juma, Mariamu, Magdalena, na uja Mariamu umwi wachee kujiwona kaburi.
\v 2 Guwa kulikogho na itetemeko baha, kwa sababu malaika wa Mzuri wasee na kujivingirisha jija igwe, kisha akajikaia.
\v 3 Sura yake ikogho sa ya umeme, na mavazi ghake ghakogho gha chokwa sa theluji.
\v 4 Waja walinzi wachuiwe ni hofu na kuka sa wa fwie.
\v 5 Uja malaika akawafafanulia waja wandu waka akideda, "msaboe kwa maana naichi kuwa mdalola Jesu, wasulubiwe.
\v 6 Ndeko aha, ela wafufuka sa andu wawaghoria. Chonyi mwone andu ambako Mzuri watungurie.
\v 7 Ghendenyi haraka mkawaghorie wanafunzi wake, 'Wafufuka kufuma kwa wafwie,' guwa wa wakiria Galilaya. Uko niko dimamwamwona' guwa nyi nawaghoria."
\v 8 Waja wandu waka wangie aja kaburinyi haraka wakika na hofu na furaha mbaha, na wakimbia kuwaghioria wanafunzi wake.
\v 9 Guwa Jesu akakwana na kudeda, "salamu" waja wandu waka wachee na kuwhada maghu ghake, na kisha wakamtasa.
\v 10 Kisha Jesu akawaghoria, "Msaboe ghendenyi mkawaghorie wambari wapwa wakirie Galilaya. Uko dimawawaniwona.
\v 11 Makati waja wandu waka warikogho wakoghenda, guwa baadhi ya walinzi waghendie mzin yi na kuwaghoria wabaha wa makuhani malagho ghose gharikogho ghafumiria.
\v 12 Nawo makuhani warikogho wakwana na waghosi na kujijadili ilagho amweri nawo, wafunyikie kibaha cha pesa wa waja askari.
\v 13 Na kuwaghoria, "waghorienyi wamwi kuwa, Wanafunzi wa Jesu wachee kio wakauiwa muwi gwa Jesu makati isi dakogho datungura.'
\v 14 Ngelo taarifa ihi dimawafikia liwali, isi dimadamshawishi na kuwanjia inyoi mashaka ghose."
\v 15 Kwa huwo waja askari wakaziwusa rija pesa na kubonya sa andu warikogho waelekezwa. Habari ihi ikanea nanganyi kwa wayahudi na yakee huwo hata linu.
\v 16 Ela waja mitume kumi na imweri waghendie Galilaya, andu kuko luja lughongo lukirogho wawaelekeza.
\v 17 Nawo wachamwona, wamtakasie ela baadhi yawhe wawonie shaka.
\v 18 Jesu akacha kwawwhe akawaghoria akideda, "Na nekigwa mamlaka ghose dunienyi na mbingunyi.
\v 19 Kwa huwo ghendenyi mkawabonye mataifa ghose kuka wanafunzi. Wabatizenyi katika irina ja Aba, na ja mvalwa, na ja Roho wa kuela.
\v 20 Wafundishenyi kughatii malagho ghose niwaamuru, hata mpaka mwisho gwa dunia.

1272
42-MRK.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,1272 @@
\id MRK
\ide UTF-8
\h Marko
\toc1 Marko
\toc2 Marko
\toc3 mrk
\mt Marko
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Uhu ni mwanzo gwainjili ya Jesu Kristo, mvalwa wa Mlungu.
\v 2 Sa andu iandikiwe na mlodi Isaya, "Guwa, ndamduma mjumbe wapwa imbiri yako, umweri atayarisha gha chia yako.
\v 3 Sauti ya mundu awaghagha nyikenyi, "ikamilishenyi chia ya Mzuri, righaghoenyi chia rake."
\v 4 Yohana wachee, akibatiza nyikenyi na kuhubiri ubatizo gwa kutesiwa dhambi kwa msamaha gwa dhambi.
\v 5 Isanga jose ja Yudea wose wa yerusalemu waghendie kwake. Warikogho wakibatizigwa na ye katika mweda yordani, wakiungama dhambi rawe.
\v 6 Yohana wakogho adarwa ivazi ja mafurigha ngamila na mkanda gwa mrongo kuwonunyi kwake, na wakogho adaja nzige na wuki gwa isakenyi.
\v 7 Wahubirie na kudeda, "Weko amweri adacha baada yapwa mweni ndighi zaidi kuliko nyi, na sidae hachi hata ya kughoghema ndonyi na kurughua chugha ra vandu vake.
\v 8 Nyi nawabatizie kwa machi, ela yedimawamibatiza inyo kwa ngolo wa kuela."
\v 9 Yafumirie katika maruwa agho kwamba Jesu wachee kufuma Nazareti ya Galilaya, na wabatiziwe ni Yohana katika mwadedagwa yordani.
\v 10 Makati Jesu wachawukia kufuma machinyi, wawonie mbingu rawaghanyika mwari na ngolo wa sea ndonyi ighu yake sa njiwa.
\v 11 Na sauti yafumirie mbingunyi, "We wa mwanapwa mkundwa. Naboiwa nanganyi ni we."
\v 12 Kisha mara imweri Ngolo akambonya ndighi kughenda nyikenyi.
\v 13 Wakogho nyikenyi maruwa arobaini, akigheriwa ni shetani. Wakogho andu amweri na wanyamandu wa mwitunyi, na malaika wamtawaria.
\v 14 Idana baada ya Yohana kuwadigwa, Jesu wachee Galilaya akitangaza injili ya Mlungu.
\v 15 Akideda, "Taimu ratimia, na ufalme gwa Mlungu, gwakaribia. Tesiwenyi dhambi na kuamini katika injili.
\v 16 Na akiida mbai ya bahari ya Galilaya, wamwonie simoni na Adrea mmbari wa simoni wakida gha nyavu rawe katika bahari, kwa wuja wakogho wavuvi.
\v 17 Jesu wawaghoria, "chonyi, nnughenyi, na dimana miboya wavuvi wa wandu."
\v 18 Na mara imweri wasighie ngavu na wakamnugha.
\v 19 Makati Jesu wachatembea umbali kitineri, wamwonie Yakobo mvalwa wa Zebedayo na Yohana mmbari wake, wakogho mtumbwinyi wakiboisa nyavu.
\v 20 Mara wawangie na wo wamsighe ndee wawe zebedayo ndenyi ya mtumbwi na watumishi wakodiwe, wakamnugha.
\v 21 Na wachafika kaprenaumu, maruwa gha sababto, Jesu wangie isinagoginyi na kufundisha.
\v 22 Wajishangaie jake kwa vija wakogho akiwafundisha sa andu ambae akona mamlaka na sio sa waandishi.
\v 23 Makati agho gheni kurikogho na mundu katika isinagogi jawe warikogho na ngolo mchafu, na wakabie jogho,
\v 24 Akideda, "Dikona indoi cha kubonya na we, Jesu wa Nazareti? wacha kudiangamiza? Ndakumawa ani. We wa kweli pekee wa Mlungu!"
\v 25 Jesu wamkemie pepo na kudeda, "Nyama kima na ufume ndenyi yake!"
\v 26 Na ngolo mchafu wamgwishie, ndonyi na akafuma kwake makati akilila kwa sauti ya lughu.
\v 27 Na wandu wose washangaie, huwo wakakotiana kila umweri, "Ihi ni indoi? Ifundisho wishijeni mamlaka? Ata adaamuru pepo wachafu nawo wadamtii!"
\v 28 Na habari kuhusu ye mara imweri rikasambaa kila andu ndenyi ya mkoa gwose gwa Galilaya.
\v 29 Na mara imweri baada ya kufuma shighadi ya isinagogi, wangia nyumbenyi kwa simoni na Adrea wakika na Yakobo na Yohana.
\v 30 Idana mkeku wa simoni wakogho watungura mkongo wa homa, na mara imweri wamghoria Jesu habari rake.
\v 31 Huwo wachee wamwhada kwa mkonu, na kumnuaigha; homa ikainga kwake, na wawokie kuwatawaria.
\v 32 Kwenyi iyo makati iruwa ja siazama, wamredia kwake wose warikogho wakogho, angu wapagawe ni pepo.
\v 33 Mzi gwose wakwana andu amweri katika mjango.
\v 34 Wawarika wengi wakogho wakongo wamakongo tofauti na kufanya pepo wengi, bali ndaruhusie pepo kuaria kwa sababu wammanyie.
\v 35 Wawukie kesho kio mapema, makati ikogho bado kira; waingie na kughenda andu kwa faragha na watesie uko.
\v 36 Simon na wose wakogho andu amweri na ye wa mlola.
\v 37 Wampatie na wakamghoria, "kila umweri adakulola"
\v 38 Wawaghoria, "Dighendenyi andu kumwi, shighadi katika mizi izungulikagha, ili ndime kuhubiri uko pia. Nio sababu nachee aha."
\v 39 Waghendie akiida Galilaya yose, akihubiri katika masinagogi yawhe na kukemia pepo.
\v 40 Mweni ukoma umweri wachee kwake. Wakogho akimsihi; wakabie magoti na wamghoria, "Ngelo udakundi, wadima kinibonya nike aelie."
\v 41 Akisukumwa ni mbazi, Jesu waghaghoa mkonu gwake na kuwhada, akimghoria, "Ndakundi uke aelie."
\v 42 Mara imweri ukoma ukamuinga, na wabonyiwe kuka imweri,
\v 43 Jesu wamwonyie vikali na akamzera aghende mara imweri,
\v 44 Wamghoria, "Hakikisha ndudedagha idedo kwa wowose, ela ghenda, ukibonyirie kwa kuhani, na ufunye dhabihu kwa ajili ya utakaso ambayo Musa walagizie, sa ushuhuda kwawhe."
\v 45 Ela waghendie na kuwoka kughoria kila umweri na kueneza idedo zaidi hata Jesu ndadimie sena kungia mzinyi kwa uhuru. Huwo wakee andu kwa faragha na wandu wachee kwake kufuma kila andu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Achawuya kaperenaumu baada ya maruwa machache, yasikika kwamba wakogho nyumbenyi.
\v 2 Wandu wengi nanganyi wakogho wakwana andu amweri aja na ndaikogho nafasi sena, hata ija ya aja mjangonyi, na Jesu wadedie idedo kwawhe.
\v 3 Kisha baadhi ya wandu wachee kwake wamreda mundu wakogho waolola; wandu bana wakogho wamndwa.
\v 4 Makati wachalemwa kumkaribia kwa sababu ya umati gwa wandu, wa injie paa ighu ya andu aja wakogho. Na warikogho wameria toboa itundu, waserie kitanda ambacho mundu waolole wakogho watungura.
\v 5 Achaiwona imani yawe, Jesu wamghoria mundu waolole, "mwanapwa, zambi rako rasamehewa"
\v 6 Ela baadhi ya waandishi waja wakogho waka aja wakihojie miongonyi kwawhe.
\v 7 "Adima wada mundu uyukudeda huwu? Adakufuru! ani adimagha kusamehe zambi isipokuwa Mlungu mweni keri?"
\v 8 Mara Jesu wamanyie ngolonyi kwake chija wakogho wakitenganya, miongonyi kwawhe weni. Wawaghoria, "kwa indoi mteganyaa huwu mionyonyi kwenyu?
\v 9 Jiao ni jepesi zaidi kudeda kwa mundu wa olole, 'Zambi rako rasamehewa' angu kudeda kakimsi, wusa kitanda chako, na utembee?'
\v 10 Ela iliwapate kumanya ya kuwa mvalwa wa Adamu akona mamlaka ya kusamehe zambi katika dunia, waghoria uja waolole,
\v 11 "Ndakughoria we, wukia, wusa mkeka gwako, na ughende nyumbenyi kwako."
\v 12 Wakee kimsi na mara imweri akawusa mkeka gwake, na waghendie shighadi ya nyumba imbiri ya kila mundu, huwo wose washangae na wamnekie Mlungu utukufu, na wakadeda "kamwe, ndadiwahie kuwona ilagho sa iji."
\v 13 Waghendie sena mbai ya ziwa, na umkati gwose gwa wandu wachee kwake, na akawafundisha.
\v 14 Warikogho akiida wamwonie Lawi mvalwa wa Alfayo waka andu kwa kuwika andu amweri kodi na akamghoria, "Nnughe." Wakeekimsi na kumnugha.
\v 15 Na makati Jesu warikogho akiipata vindo katika iwacha ja Lawi, wawikagha andu amweri kodi na wandu weni zambi wakogho wakija na Jesu na wananfunzi wake, kwa wuja wakogho wengi nawo wamnugha.
\v 16 Makati waandishi, ambawo wakogho mafarisayo, wachamwona kwamba Jesu wakogho akija na wandu weni zambi na wawikagha andu amweri kodi, wawaghoria wanafunzi wake, "kwa indoi adaja na wawikagha andu amweri kodi na wandu weni zambi?"
\v 17 Makati Jesu wachasikira huwu wawaghoria, "Wandu weni afya katika muwi ndawamhitaji tabibu, ni wandu wakogho pekee nio wadamhitaji. Sichee kuwawanga wandu weni hachi, ela wandu weni zambi."
\v 18 Wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo wakogho wakifunga. Na baadhi ya wandu wacheee kwake na kumghoria, "kwa indoi wanafunzi wa Yohana na mafarisayo hufunga, ela wanafunzi wako ndawafungagha?
\v 19 Jesu wawaghoria, "Je wahudhuruie arusini wadimagha kufunga makati bwana arusi bado akika andu amweri nawo? kwa vovose bwana arusi akika bado weko andu amweri nawo ndawadimaa kufunga."
\v 20 Ela maruwa dimaghacha makati bwana arusi achainjigwa kwawhe, na katika maruwa agho wo dimawafunga.
\v 21 Ndakudae mundu ashonagha kiwande kiwishi cha nguwo kweni ivazi kuukuu, vinginevyo kiraka dima chabanduka kufuma katika ijo, kiwishi kubanduka kufuma katika kikuukuu, na dimakwaka na mrashulo mbaha.
\v 22 Ndakudae mundu akumbagha divai mbishi viribenyi vikuukuu, vinginevo divai dima ya virashula viriba na vose viwi divai na viriba dima valaghaya. Badala yake, wika divai mbishi katika viriba viwishi."
\v 23 Katika iruwa ja sabato Jesu waidie kweni baadhi ya mbuwa, na wananfunzi wake wawokie kuwusa baadhi ya masuke gha ngano.
\v 24 Na mafarisayo wamghoria, "Guwa, kwaindoi wadabonya kilambo ambacho ni kinyume cha sheria katika iruwa ja sababto?"
\v 25 Wawaghoria, "Ndamsomie chija abonyie Daudi andu wakogho katika uhitaji na njala--ye andu amweri na wandu wakogho andu amweri nae?
\v 26 Jinsi waghendie katika iwacha ja Mlungu makati Abiathari warikogho kuhani mbaha na akaja mkate uwi kiwegwe imbiri--ambao irikogho kinyume cha sheria kwa wandu wowose kuja isipokuwa makuhani--na wawaneka hata baadhi ya waja wakogho andu amweri nae?"
\v 27 Jesu wadedie, "sabato yabonyiwe kwa ajili ya mdamu, siyo mdamu kwa ajili ya sababto.
\v 28 Kwa huwo, mvalwa wa Adamu wa mzuri, hata kwa sababto."
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Na sena wangia ndenyi ya isinagogi na mja kurikogho na mundu mweni mkonu ulole.
\v 2 Baadhi ya wandu wakogho wakimnughiria kwa ukaribu kuwona ngelo dimawamkira iruwa ja sabato ili kwamba wamshitaki.
\v 3 Jesu wamgheria mandu mweni mkonu uolole, "Wukia na ukekimsi ghadighadi ya umati ughu."
\v 4 Kisha akawaghoria wandu, Je ni halali kubonya itendo jiboie iruwa ja sabato angu kubonya ghasadae hachi, kutesia maisha, angu kubwagha? "Ela wabakie kimumure.
\v 5 Akawaguwa kwa hasira, akiwona mbazi kwa sababu ya ugumu wa mioyo yawhe, na akamghoria uja mundu, "ghaghoa mkonu gwako". Akaghughaghoa na Jesu akamkira mkonu gwake.
\v 6 Mafarisayo wakaghenda shighadi na mara wakabonya njama andu amweri na maherode dhidi yake ili kumbwagha.
\v 7 Kisha Jesu, andu amweri na wanafunzi wake, waghendie baharinyi, na uamati mbaha gwa wandu wawanughie ukimfumiria Galilaya na Uyahudi.
\v 8 Na kufuma Yerusalemu na kufuma idumaya na imbiri ya Yordani na jirani ya Tiro na sidoni, umati mbaha, uchasikira kila kilambo wakogho adakibonya, wachee kwake.
\v 9 Na wawaghoria wanafunzi wake kuandaa mtumbwi mtinyi kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasache msonga.
\v 10 Kwa wuja wakira wengi, ili kila mundu wakogho na mateso wakogho na shauku ya kumfikia ili amwhade.
\v 11 Kokose ngolo wachafu wachamwona, wagwie ndonyi imbiri yake na kulila, na wadedie, "We wamvalwa wa Mlungu."
\v 12 Wamuru kwa msisitizo wasabonye amanyikane.
\v 13 Waghendie ighu ya lughongo, na akawawanga waja awakundi, na wakamghenda kwake.
\v 14 Akawasaghua kumi na iwi (wawawangie walodi) ili kwamba wake andu amweri na ye na adime kuwaduma kuhubiri,
\v 15 Na kuka na mamlaka gha kufunya mapepo.
\v 16 Na akawasaghua kumi na iwi: Simoni, wamnekie irina ja Petro.
\v 17 Yakobo mvalwa wa zebedayo, na Yohana mmbahari wake Yakobo, wanekiwe irina ja Bonagesi, awo ni, wavalwa wa ngurumo,
\v 18 Na Andea, Filipo, Barthomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mvalwa wa Alfayo, Thadayo, simoni mkananayo,
\v 19 Na Yuda iskariote, ambae dimawamsaliti.
\v 20 Kisha waghendie nyumbenyi, na umati gwa wandu wakacha andu amweri sena, hata wasadime kuja ata mkate.
\v 21 Familia yake wachasikira habari iyo, waghendie kumwhada, kwani wadedie, "Warukwa ni akili."
\v 22 Waandishi wachee kufuma Yerusalemu wadedie, "Wapagawani Beelzeebuli," na, "kwa mtawala wa mapepo adafunya mapepo."
\v 23 Jesu wawangie kwake na kudeda nawo kwa mifano, "Jinsi ki shetani adimagha kumfunya shetani?
\v 24 Ngelo ugimbikwa ukawaghanyika gweni, ugimbikwa ugho ndaudimaa kukakimsi.
\v 25 Ngelo iwacha jikawaghanyika jeni, iwacha ijo ndajidimaa kukakimsi.
\v 26 Ngelo shetani dimawanuka kinyume chake mweni na kuwaghanyika, ndadimaa kukakimsi, na dimawaka wafika mwisho gwake.
\v 27 Ela ndakudae hata umweri adimagha kungia ndenyi ya iwacha ja mundu mweni ndighi na kuiwa vilambo vake bila kumrugha mweni ndighi kwanza, na kisha kuwika andu amweri chikoo nyumbenyi.
\v 28 Loli nawaghorienyi, zambi rose ra wana wa wandu dimarasamehewa, andu amweri na kufuru ambaro wadatamka,
\v 29 Ela wowose achamkufuru Ngolo wa kuela ndasamehewa kamwe, bali akona hatia ya zambi ya kala na kala."
\v 30 Jesu wajidedie iji kwa sababu wakogho wakideda, "Akona ngolo chafu."
\v 31 Kisha mae na wambari wake wachee na kukakimsi shighadi. Wakamduma mundu, kumwanga.
\v 32 Na umati gwa wandu ghurikogho gwaka avui na ye wakamghoria, "Mayo nawambari wako weko shighadi, na wadakulola we."
\v 33 Wawajibie, "Ni ani mawe wapwa na wambari wapwa?"
\v 34 Wawaguwie wakogho waka wamzunguluka, na akadeda, "Guwa, awa ni wakamawe wapwa na wambari wapwa!
\v 35 Wowose abonyagha mapenzi gha Mlungu, mundu uyo wambari wapwa, na dada wapwa, na mawe wapwa."
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Sena wazamie kufundisha mbai mbai ya bahari. Na umati mbaha wakwana andu amweri ukamzunguluka, akangia ndenyi ya mtumbwi baharinyi, na kuka. Umati gwose wakogho mbai mwa bahari ufukwenyi.
\v 2 Na akawafundisha malagho mengi kwa mifwano, na akadeda kwawhe kwa mafundisho ghake.
\v 3 Sikirenyi, mpanzi waghendie kuwa.
\v 4 Warikogho akiwa, baadhi ya mbeu ragwie chienyi, na wanyonyi wakacha wakarija.
\v 5 Mbeu rimwi ragwie lwalenyi, ambako ndakudaghe ndoe nyingi. Mara rikanyauka, kwa sababau ndaridaghe ndoe ya kutosha.
\v 6 Ela iruwa jicha chomoza, ranyaukie, na kwa sababu ndaridaeghe na mri, raomie.
\v 7 Mbeu rimwi ragwie ghadighadi ya minjwa. Minjwa yazoghue na ikarisonga, na ndarivae matunda ghoghose.
\v 8 Mbeu rimwi ragwie ndoenyi iboie na rikava matunda wakati zikazoghua na kuongezeka, rimwi ravae mara thelathini zaidi, na rimwi sitini, na rimwi ighana."
\v 9 Na akadeda, "Wowose mweni mandu gha kusikira, na asikire!"
\v 10 Jesu warikogho mwenikeri, waja warikogho avui na ye na waja kumi na iwi wamkotia kuhusu mifwano.
\v 11 Akadeda kwawhe, "Kwenyu mwanekigwa viviso va ufalme gwa Mlungu. Ela kwa weko shighadi kila kilambo ni mifwano,
\v 12 Ili wakiguwa, hee huguwa, ela ndawawonaa, na kwa huwo wachasikihra hee husikira, ela ndawaelewaa, angu siko kumachawaaghuka na Mlungu kumachawawasamehe."
\v 13 Na akadeda kwawhe, "Je ndawuelewaa mfwano ughu? mdima wada kuelewa mifwano imwi?
\v 14 Mpanzi wawae idedo.
\v 15 Baadhi ni waja wagwie pembenyi mwa chia, andu idedo jawalwe. Na wachajisikira, mara shetani akacha na kujiwusa idedo ambajo jawalwandenyi yawhe.
\v 16 Na baadhi ni waja wawalwe ighu ya lwala, ambawo, andu wajisikiragha idedo, kwa karuwaruwa wadajiwokera kwa furaha.
\v 17 Na ndawadae miri yoyose ndenyi yawhe, ela huririmira kwa muda mvui. Halafu tabu na masumbufu vichacha kwa sababu ya idedo, mara hukikuwa.
\v 18 Na wamwi na waja wawalwe katika minjwa. Wadajisikira idedo,
\v 19 Ela masumbufu gha dunia, utee gwa mali, na tamaa ra malagho ghamwi, huwngia na kujisonga idedo, na jidalemwa kuva matunda.
\v 20 Kisha kukona waja ambawo wawalwa ndoenyi iboie. Wadajisikira idedo na kujiwokera na huva matunda: baadhi thelathini, na baadhi sitini, na baadhi ighana jimweri.
\v 21 Jesu akawaghoria, "Je huwa udareda taa ndenyi ya iwacha na kuiwoka ndonyi ya ngau, angu ndonyi ya kitanda? Huireda ndenyi na kuiwika ighu ya kiango.
\v 22 Kwa wuja ndakudae chochose chikivisie ambacho ndachiwikwagha mwari.
\v 23 Akiwapo mweni madu gha kusikira, na asikire!"
\v 24 Akawaghoria, "Kenyi makini kwa chija mchisikiragha, kwa wuja kipimo andu mwapima, nicho mpimiwagha, na dimayachurigwa kwenyu.
\v 25 Kwa sababu ye akonacho, kufuma kwake dima vawusigwa hata vija akoonavo."
\v 26 Na akadeda, "Ufalme gwa Mlungu gwa fwananishwa na mundu wawae mbeu katika ndoe.
\v 27 Wachatungura na kio na kuwukia keshokio, na mbeu rikabuka na zoghua, ingawa ndamanyieghe andu ya fumiria.
\v 28 Dunia hufunya mbeu yeni, kwanza nyasi, halafu maruwa, halafu mbeu rikomaghe.
\v 29 Na makati mbeu ichazoghua yamirwa mara hughenja mundu, kwa sababu makwasho ghawadia."
\v 30 Na akadeda, "diufwananishe ufalme gwa Mlungu na kilambo ki, angu ditumie mfwano ki kuuelezea?
\v 31 Ni sa mbeu ya haradari, ambacho ichawalwa ni ndini nanganyi kuliko mbeu rose dunienyi.
\v 32 Hata, makati yawalwa, idaka mbaha zaidi ya mimea yose ya bustani, na idabonya marembwe mabaha, hata wanyonyi wa mbingunyi chake."
\v 33 Kwa mifwano mingi wafundishie na wadedie idedo kwawhe, kwa kadiri andu wadimie kuelewa.
\v 34 na ndadedie nawo bila mifwano. Ela makati wachaka mwenikeri, akawaeleza kila kilambo wanafunzi wake.
\v 35 Katika maruwa agho, makati gha kwenyi ghachawadia, akadeda kwawhe, "Dighendenyi luwande lwa kawi."
\v 36 Huwo wakausigha umati, wakamwusa Jesu, makati agho tayari wakogho ndenyi ya mtumbwi. Mitumbwi imwi irikogho andu amwri nae.
\v 37 Na upepo mkali gwa dhoruba na mawimbi ghakogho ghakingia ndenyi ya mtumbwi na mtumbwi tayari ghwakogho gwachua.
\v 38 Ela Jesu mweni wakogho shetrinyi, watungura mtonyi. Wakamwusira, wakideda, "Mwealimu, ndujali isi didafwa?"
\v 39 Na akawukia, akaukemia upepo na akaighoria bahari, "Ike shwari, amani". Upepo wakomie, na kurikogho na utulivu mbaha.
\v 40 Na akadeda kwawhe, "Kwa indoi mdaboa? Je ndamdae imani bado?"
\v 41 Wachuiwe ni hofu mbaha ndenyi yawhe na wakadedeshana weni kwa weni, "Uyu wa ani sena, kwa sababu ata upepo na bahari vidamtii?"
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Wachee mpaka luwande lumwi lwa bahari, katika mkoa gwa Garasi.
\v 2 Na ghafla makati Jesu warikogho akifuma shighadi ya mtumbwi, mundu mweni ngolo chafu wachee kwake kufuma makaburinyi.
\v 3 Mundu uyu wakee makaburinyi. Ndakudae wadimie kumzuia zaidi, ndakudaeghe hata kwa minyororo.
\v 4 Wakogho warugwa matuku mengi kwa pingu na minyororo. Wademie minyororo na pingu rake rachukanyiwe. Ndakudae hata umweri warikogho na ndighi ra kumshinda.
\v 5 Kio na dime akika makaburinyi na lughoghonyi, walilie na kukidema ye mweni kwa magwe ghabirie.
\v 6 Wachamwona Jesu kwa kula, wakimbirie kwake na kughoghoma imbiri yake.
\v 7 Walilie kwa sauti mbaha, "Ukundi nikubonyie indoi, Jesu, mvalwa wa Mlungu akoo ighu nanganyi? ndakusihi kwa Mlungu mweni, usanitese."
\v 8 Kwa wuja wakogho wamghoria, "muinge mundu uyu, we ngolo mchafu."
\v 9 Na ye wamkotia, "irina jako ni ani?" Na ye wamjibie, "irina japwa ni Legioni, kwa wuja deko wengi."
\v 10 Wamshie sena na sena asawaghenje shighadi ya mkoa.
\v 11 Idana ikundi ibaha ja nguwe jirikogho jikijiswa lughu ya duchughongo,
\v 12 nawo wamsihie, wakideda, "Didume kwa nguwe; dingie ndenyi yawhe."
\v 13 Huwo wawaruhusu; ngolo wachafu wawafuma na kungia ndenyi ya nguwe, nawo wakimbirie ndonyi ya duchu ghongo mpaka baharinyi, nakaribia nguwe elfu iwi wadidimia baharinyi.
\v 14 Na waja warikogho wakiwajisa nguwe wakimbia na kufanya taarifa ya chifumirie katika mzi na katika isanga. Niko wandu wengi wafumie kughenda wona chifumirie.
\v 15 Niko wachee kwa Jesu na wamwonie mundu wapagaiwe ni pepo--warikogho na ijeshi--wakandonyi, warwishwa, na akika katika akili yake timamu, nawo waboa.
\v 16 Waja warikogho wawona chifumirie kwa mundu warikogho wapagawa ni ipepo wawaghoria chifumirie kwake na pia kuhusu nguwe.
\v 17 Na wo wawokie kumsihi ainge katika mkoa gwawhe.
\v 18 Na warikogho akingia ndenyi ya mtumbwi, mundu warikogho wapagawa na mapepo wamsihie kwamba aghende andu amweri na ye.
\v 19 Ela ndaruhusie, ela wamghoria, "ghenda nyumbenyi kwako na kwa wandu wako, na uwaghorie wakubonyia Mzuri, na wughoma akunekie."
\v 20 Huwo waghendie na wawokie kutangaza malagho mbaha ambagho Jesu wabonya kwake katika Dekapoli, na kila umweri wastaajabie.
\v 21 Na makati Jesu wachaluwuka sena luwande lumwi, ndenyi ya mtumbwi, umati mbaha wakwana andu amweri kumzunguluka, warikogho mbai ya bahari.
\v 22 Na umweri wa kilongozi wa isinagogi, wawangiwe Yairo, wachee, na wachamwona, wagwie maghunyi kwake.
\v 23 Wamsihie zaidi, akideda, "Mwai wapwa mtinyi adakaribia kufwa. Ndakusihi, cho na uwike mikonu yako ighu yake ili kwamba adime kupata afya na kuishi."
\v 24 Huwo waghendie andu amweri nae, na umati mbaha ghwamnughie na wo wamzongie avui wakimzunguluka.
\v 25 Kurikogho na mndumka ambae bagha yake yakogho yafuma kwa mirongo kumi na iwi.
\v 26 Watesekie va kutosha ndonyi ya matabibu wengi na watumia kila kilambo akoo nacho. Hata huwo ndasaidike kwa chochose, ela badala yake wazidie kuka na hali izamie.
\v 27 Wasikira habari kuhusu Jesu. Huwo wachee nyuma yake makati warikogho akitembea ndenyi ya umati, na ye wajiwhada ivazi jake.
\v 28 Kwa wuja wadedie, "ngelo nikigwada mavazi ghake tu, dimanaka mlanzi."
\v 29 Achamwhada, kufumwa ni bagha kwakomie, na wakisikira katika muwi gwake kwamba wakirwa kufuma katika mateso ghake.
\v 30 Na ghafla Jesu wagundua ndenyi yake mweni kwamba ndighi ramfuma. Na waaghukie uku na uku katika umati gwa wandu na kuketia, "Ani wajiwhada ivazi japwa?"
\v 31 Wanafunzi wake wamghoria, "udawona umati ughu gwakusonga ghukikuzunguluka, na we udadeda, 'Ani wajiwhada?'"
\v 32 Ela Jesu wanguwie kunu na kunu kuwona ambae warikogho wabonya iji.
\v 33 Mndumka, akimanya chifumirie kwake, waboie na kutetemeka. Wachee na kugwa ndonyi imbiri yake na kumghoria loli yose.
\v 34 Wadedie kwake, "Mwai, imani yako yakubonya uke mlanzi. Ghenda kwa amani na ukirwe kufuma ukongonyi gwako."
\v 35 Warikogho akiaria, baadhi ya wandu wachee kufuma kwa kilongozi wa isinagogi, wakideda, "Mwai wako wafwa. Kwa indoi kuendelea kumghaisha mwalimu?"
\v 36 Ela Jesu achasikira ambacho wachideda, wamghoria kilongozi wa isinagogi, "Usaboe. Amini tu."
\v 37 Ndamruhusie yeyose kulongozana na ye, isipokuwa Petro, Yakobo na Yohana, mmbari waake Yakobo.
\v 38 Wachee nyumbenyi kwa kilongozi wa isinagogi na ye wawonie vurugu, kulila kwingi na kulila kubaha.
\v 39 Achangia nyumbenyi, wawaghoria, "kwa indoi mwasikitika na kwa indoi mdalila? mwana ndafwie bali watungura."
\v 40 Wamseka, ela ye, wawafunya wose shighadi, wamwusa aba wa mwana na mawe na waja warikogho andu amweri nae, na wangirie ndenyi wakogho mwana.
\v 41 Wawusie mkonu gwa mwana na wamghoria, "Talitha koum," ambayo ni kudeda, "Mwai mtinyi, nakughoria, wukia."
\v 42 Ghafla mwana wawukia na kutembea (kwa wuja wakogho na umwi gwa miaka kumi na iwi). Na ghafla wawhadwa ni mshangao mbaha.
\v 43 Waamuru kwa ndighi kwamba ndakudae wowose adapaswa kumanya kuhusu iji. Na wawaghoria wampatie uja mwai vindo.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Na akainga aho na kughenda mzinyi kwawhe, na wanafunzi wake wakamnugha.
\v 2 Sabato ichafika, waanzie kufundisha katika isinagogi. Wandu wengi wamsikira na wakashangazigwa. Wakadeda, "Wapata hao mafundisho agha?" "Abonya wada miujiza ihi kwa mikonu yake?"
\v 3 "Je uyu si uja seremala, mvalwa wa Mariamu na wambari wawhe waka Yakobo, yose, Yuda na Simoni? Je dadarake si wadaka aha eni andu amweri na isi? Na ndawaboiwe ni Jesu.
\v 4 Jesu akawaghoria, "Mlodi ndasomwagha heshima, isipokuwa katika mzi gwake na miongonyi mwa wambari wake na nyumbenyi mwake."
\v 5 Ndadimie kubonya miujiza aho, ela wawawikia mikonu wakongo watineri akawakira.
\v 6 Washangazigwa nanganyi kwa sababu ya kusowa kuamini kwawhe. Kisha wavitembelea vijiji va jirani akifundisha.
\v 7 Wawanga waja wanafunzi kumi na iwi akawoka kuwaduma wawi. Wawanekie mamlaka ighu ya pepo wachafu,
\v 8 na kuwaamuru wasawuse chochose wakaghenda isipokuwa changu tu. Wasawuse mkate, wala mkaba, wala fedha kibindonyi;
\v 9 Ela warwe vandu, na sio kazu iwi.
\v 10 Na akawaghoria, "Iwacha jojose mjingiagha, kenyi aho mpaka mkaichainga.
\v 11 Na mzi ghwoghwose ghusawawokera wala kuwasikira, ingenyi kwawhe, kung'utenyi luvumbi lwa maghughenyu, ike ushuhuda kwawhe."
\v 12 Na wo wakaghenda wakitangaza wandu watesiwe zambi na kusigha zambi rawhe.
\v 13 Wawabingisie pepo wengi, na wawavia mavuda wakongo na wakakirwa.
\v 14 Mgimbikwa Herode achasikira agho, kwa wuja irina ja Jesu jakogho jamanyikana nanganyi. Baadhi wadedie, "Yohana mbatizaji wafufuka na kwa sababu iyo, ihi ndighi ya miujiza idabonya kazi ndenyi yake."
\v 15 Baadhi yawhe wakadeda, "Uyu wa Eliya, "Bado wamwi wakadeda, "uyu wa mlodi, sa umweri wa waja walodi wa kala."
\v 16 Ela Herode achasikira agha akadeda, "Yohana, ni mdemie chongo wafufuliwa."
\v 17 Maana Herode mweni walagizie Yohana awhadigwe na wamrugha gerezanyi kwa sababu ya Herodia (mka wa kakie Filipo) kwa sababu ye wakogho wamlowua.
\v 18 Kwa maana Yohana waghoria Herode, "si halali kumlowua mka wa kakio."
\v 19 Ela Herodia wawokie kumzamiwa na wakogho akikundi kumbwagha, ela ndadimie,
\v 20 Maana Herode wamboa Yohana; wamanyie kwamba wa mweni hachi mundu mweli, na wamsighie salama; Na wachaendelea kumsikira wahuzunikie nanganyi, ela waboiwe kumsikiria.
\v 21 Hata ichafika makati mwafaka ikika yakaribia siku ya kuvalwa Herode akawaandalia maofisa wake karamu, na makamanda, na vilongozi wa Galilaya.
\v 22 Niko mwai wa Herodia akangia na kuvina imbiri yawhe, akamboia Herode na waghenyi wakee makati gha vindo va kwenyi. Niko mgimbikwa akamghoria mwai, "Nilombe chochose ukundii na nyi dimanakuneka."
\v 23 Akamlawia na kudeda, chochose unilombaagha, dima nakuneka, hata nusu ya ugimbikwa gwapwa."
\v 24 Akafuma shighadi akamkotia mae, "Nilombe indoi?" Akadeda, "chongo cha Yohana mbatizaji."
\v 25 Na mara imweri akangia kwa mgimbikwa akawoka kudeda, "Nkundi unineke ndenyi ya sahani, chongo cha Yohana mbatizaji."
\v 26 Mgimbikwa wasikitishiwe nanganyi, ela kwa sababu ya kilawo chake na kwaajili ya waghenyi, ndadimie kumlegha iombi jake.
\v 27 Huwo, mgimbikwa akaduma askari kati ya walinzi wake na kuwalagiza kughenda kumredia chongo cha Yohana. Mlinzi waghendie kumdema chongo akika kifungonyi.
\v 28 Akachireda chongo chake sahaninyi na kumneka mwai, na mwai akamneka mae.
\v 29 Na wanafunzi wake wachasikira agho, waghendie kuuwusa muwi gwake wakaghenda kuurika kaburinyi.
\v 30 Na walodi, wakwane andu amweri imbiri ya Jesu, wakamweleza ghose wabonyie na waghafundishie.
\v 31 Na ye akawaghoria, "chonyi weni andu kwa faragha na disoghoke kwa muda." Wandu wengi wakogho wadacha na kuinga, hata ndawapatie nafasi ya kuja.
\v 32 Huwo wakajoka mashua wakaghenda andu kwa faragha wenikeri.
\v 33 Ela wawawonie wakiinga na wengi wakawamanya, wakimbia andu amweri kwa maghu kufuma mizi yose, na wo wafikie kabla ya whe.
\v 34 Wachafika pwani, wawonie umati mbaha na akawawonia mbazi, kwa sababu wakogho sa ng'ondi wasadae mlisha. Na wawokie kuwafundisha malagho mengi.
\v 35 Taimu richaendelea nanganyi, Wanafunzi wakamchea wakamghoria, "Aha ni andu kwa faragha na taimu raendelea.
\v 36 Uwalage waghende mizi ya jirani na vijiji ili wakakigulie vindo."
\v 37 Ela wawajibie akideda, "Wanekenyi inyo vindo." Wakamghoria, "Didadima kughenda na kugua mikate yeni thamni ya dinari maghana awi na kuwaneka waje?"
\v 38 Akawaghoria, "Nkona mikate ilinga? ghendenyi mkaghue." Wachapata wakamghoria, "Mikate misanu na samaki wawi."
\v 39 Akawaamuru wandu wake katika makundi ighu ya nyasi mbishi.
\v 40 Wakawakaisha katika makundi, makundi gha maghana kwa hamsini.
\v 41 Kisha akawusa mikate misanu na samaki wawi, na kuguwa mbingunyi, akaibariki kisha akawaneka wanafunzi wawike imbiri ya umati. Na kisha wawaghie samaki wawi kwa wandu wose.
\v 42 Wajie wose hata wakatosheka.
\v 43 Wawikie andu amweri viwande va mikate isangalikie, vikachua vingu kumi na iwi, na pia viwande va samaki.
\v 44 Na warikogho womi efu isano wajie mikate.
\v 45 Mara akawaghoria wajoke mashuenyi waghende gasi imwi, hata Bethaida, makati ye akiwalaga makutano.
\v 46 Warikogho wadua kuinga, akaghenda lughongonyi kulomba.
\v 47 Kurikogho kwenyi, na mashua yawhe makati agho ikika ghadi ghadi ya bahari, na ye wakogho mweni keri ndoe kavu.
\v 48 Na wawonie wakiitaabika kukaba makasia kwa sababu upepo gwawazuia. Ichakaribia keshokio akawaghendia, akitembea ighu ya machi, na wakundie kuwaida.
\v 49 Ela wachamwona adatembea ighu ya machi, wakangiwa ni wasiwasi wakidhani wa mzimu hata wakakaba jogho.
\v 50 Kwa sababu wamwonie wakachuiwa ni hofu. Mara akadeda na wo akawaghoria, "Mke wajasiri! na nyi! msake na hofu."
\v 51 Akangia ndenyi ya mashua, na upepo ukasigha kuvuma, nawo wakamshanghgaa kabisa.
\v 52 Huwo ndawakogho waelewaa maana ya ija mikate. Maana akili rawhe rakogho na uelewa mtinyi.
\v 53 Na wo wachaluwuka kimonu, wafikie isanga ja Genesareti mashua ikakumba nanga.
\v 54 Wachafuma shighadi ya mashua, mara wakammanya.
\v 55 Wakakimbia kutangaza katika mkoa mlanzi na wakawoka kuwareda wakongo kwa machela, kila wachasikira adacha.
\v 56 Kokose wangie katika vijiji, angu mzinyi, angu katika isanga, wawawikie wakongo andu kwa chete, na wakamsihi awaruhusu kuwhada ipindo ja vazi jake. Na wose wamwhadie wakiriwe.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambawo wakogho wafuma Yerusalemu wakee andu amweri kumzunguluka ye.
\v 2 Na wawonie kuwa baadhi ya wanafunzi wake wajie mkate kwa mikonu najisi; ambayo ndaiogheshigwe.
\v 3 (Kwa mafarisayo na wayahudi wose ndawajagha mpaka waoghesha mikonu yawhe nicha; wadawhadiria utamaduni gwa waghosi.
\v 4 Mafarisayo wakawuya kufuma andu kwa chete, ndawajagha mpaka waogha kwanza. Na kuko sheria rimwi ambaro wadarinygha kabisa, ikika ni amweri na kuoghesha vikombe, masufuria, vombo va shaba, na hata vifumbi vidumikagha makati gha vindo.)
\v 5 Mafarisayo na wayahudi wamkotie Jesu, "Kwa indoi wanafunzi wako ndawaishi kulingana na tamaduni ra waghosi, kwani wadaja mkate pasipo kuogha vala?"
\v 6 Ela ye wawaghoria, "Isaya watabirie nicha kuhusu inyo wanafiki, waandikie, 'wandu awawadanicheshimu kwa momu yawhe, ela mioyo yawhe iko kula na nyi.
\v 7 Wadanibonyia ibada risadae maana, wakifundisha sheria ra wadamu sa mapokeo ghawhe.'
\v 8 Mwaisigha sheria ya Mlungu na kuwhadiria kwa wepesi tamaduni ra wadamu."
\v 9 Na akadeda kwawhe, "mwailegha amri ya Mlungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni renyu!
\v 10 Kwa wuja Musa wadedie, 'mheshimu ndeo na mayo; na 'ye adedagha ghazamie ighu ya ndee angu maye hakika dimawafwa.'
\v 11 Ela mwadeda, 'ngelo mundu akadeda kwa ndee angu mawe, "Msaada wowose ambagho kumacha mwawokera kufuma kwapwa ni hazina ya Ihekalu,"' (iyo ni kudeda kwamba, 'yafunyigwa kwa Mlungu')
\v 12 huwo ndamruhusu kubonya ilagho jojose kwa ajili ya aba angu mae.
\v 13 Mdaibonya amri ya Mlungu kuka bure kwa kureda tamaduni renyu. Na malagho mengi gha jinsi iyo mghabonyagha."
\v 14 Wawangie makutano sena na kuwaghoria, "mnisikire nyi, inyo wose, na mnielewe.
\v 15 Ndakudae chochose kufuma shighadi yamundu ambacho chadimagha kumachafua mundu chikingia kwake. Bali ni chija chimfumagha mundu nicho chimchafuagha.
\v 16 (Mazingira: mstari ughu, "ngelo mundu wowose akona mundu gha kusikira, na asikire" ndauko nakalenyi ra kala.)
\v 17 Jesu achawasigha makutano na kungia nyumbenyi, wanafunzi wake wakamkotia kuhusu mfwano ugho.
\v 18 Jesu akadeda, "Na inyo pia bado ndamuelewa? Ndamwonagha kwamba chochose chimungiagha mundu ndachidimagha kumachafua.
\v 19 Kwa sababu ndaichidimagha kughenda moyonyi kwake, ela chidangia katika kifu chake na kisha chidaida kughenda choonyi." Kwa maelezo agha Jesu wavibonya vindo vose kuka vielie.
\v 20 Wadedie, "Ni chija ambacho chidamfuma mundu nicho chimchafuagha.
\v 21 Kwa wuja hufuma ndenyi ya mundu, shighadi ya moyo, hufuma mawazo ghazamie, zinaa, uting'a, mabwagho,
\v 22 Uasherati, tamaa rizamie, uovu, utee, kujamiiana, wivu, kasfa, majivuno, ujinga.
\v 23 Maovu agha ghose ghadafuma ndenyi, nighoghaja ghamchafuagha mundu."
\v 24 Wawukia kufuma aja na kuinga kughenda katika mkoa gwa Tiro na Sidoni. Wangia ndenyi na ndakundie mundu wowose amanye kuwa wakogho aho, ela ndaidimikane kumvisa.
\v 25 Ela ghafla mndumka, ambae mwanake mtinyi wakogho na ngolo mchafu, wasikira habari rake, akacha, na akagwa maghunyi kwake.
\v 26 Mndumka uyo wakogho myuinani, wa ikabila ja kifoeniki. Wamsihie ye ambingise pepo kufuma kwa mwai wake.
\v 27 Jesu akamghoria mndumka, "Wasighe wana wajiswe kwanza, kwa wuja ndaika sawa kuuwusa makate gwa wana na kuwadaghia makoshi."
\v 28 Ela mndumka wamjibie na kudeda, "Hee, Mzuri, hata makashi ndonyi ya meza huja mabaki gha vindo va wana."
\v 29 Akamghoria, "kwa wuja wadeda huwu, uko huru kughenda. Pepo wamuinga kala mwai wako."
\v 30 Mndumka wawurie nyumbenyi kwake na akamdoka mwai wake watungura kitandenyi, na pepo wakogho wamuinga.
\v 31 Jesu wafumie sena shighadi ya mkoa gwa Tiro na kuidia sidoni kuelekea bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
\v 32 Na wakamredia mundu warikogho asasikiraa na wakogho ndadimaa kudeda nicha, wamsihie Jesu awike mikonu ighu yake.
\v 33 Wamfunyie shighadi ya ikusanyiko kwa kiviso, na akawika vala vake madunyi kwake, nma baada ya kuchua mada, wawhadie lumi ghwake.
\v 34 Waguwie ighu mbingunyi, akahema na kumghoria, "Efata," iyo ni kudeda "rughuka!"
\v 35 Na taimu rija reni mndu ghakarughuka, na chirikogho chazuia lumi chanonigwa na akadima kuaria nicha.
\v 36 Na wawaamuru wasamghorie mundu wowose. Ela kadri wawaamuru, niko watangazie habari iro kwa wingi.
\v 37 Hakika washangazigwa, na kudeda, "Wabonya kila kilambo nicha. Hata wawabonya wasassikiraa kusikira na wasadedaa kuaria."
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Katika maruwa agho, kurikogho sena na umati mbaha, na ndawa ridaeghe vindo. Jesu akawawanga wanafunzi wake akawaghoria,
\v 2 "Ndauwonia mbazi umati ughu, waendelea kuka na nyi kwa maruwa adadu na ndawadae vindo.
\v 3 Nikawatapanya wawuye majumbenyi kwawhe bila kuja wadima wakazimia chienyi kwa njala. Na baadhi yawhe wafuma kulananganyi."
\v 4 Wanafunzi wake wamjibie, "Dimadapata hao mikate ya kutosha kuwaghudisha wandu awa katika ieneo iji jisighiwe?"
\v 5 Akawakotia, "Mkona viwande vilinga va mikate?" wakadeda, "saba."
\v 6 Waghuamuru umati ghuke ndonyi. Akawusa mikate saba, akamshukuru Mlungu, na kuichukanya. Akawaneka wanafunzi wake waiwike imbiri ya whe, na wo wakawika imbiri ya umati.
\v 7 Pia wakogho na samaki watinyi watineri, na baada ya kushukuru, wawaamuru wanafunzi wake wawawaghie hevi pia.
\v 8 Wajie na wakatosheka. Na wawikie andu amweri viwande visangalike, ngau mbaha saba.
\v 9 Wakaribie wandu efu ina. Na wawasighie waghende.
\v 10 Mara wangie mashuenyi na wanafunzi wake, na wakaghenda katika ukanda ya Damanuta.
\v 11 Kisha mafarisayo wafumie shighadi na kuwoka kubishana na ye. Wakundie awaneke ishara kufuma mbingunyi, kwa kumgheria.
\v 12 Watafakarie moyonyi kwa kina akadeda, "kwa indoi kivazi ichi kidalola ishara? Ndawaghoria inyo loli, ndakudae ishara ifunywagwa kwa kivazi ichi."
\v 13 Kisha akawasigha, akangia ndenyi ya mashua sena, akainga kuelekea luwande lumwi.
\v 14 Mikate agho wanafunzi waliwie kuwusa mikate. Ndawaridaeghe mikate zaidi ya kiwande chimweri chirikogho mashuenyi.
\v 15 Waonyie na kudeda, "Mke meso na mkilinde dhidi ya chachu ya mafarisayo na chachu ya Herode.
\v 16 Wanafunzi wakadedeshana weni kwa weni, "Ni kwa sababu ndadidae mikate."
\v 17 Jesu wajimanyie iji, na akawaghoria, "kwa indoi mdadedeshana kuhusu ndamdae mikate? Ndammanyie bado? Ndamuelewaa? mioyo yenyu yaka miepesi?
\v 18 Mkona meso, ndamwonaa? mkona madu, ndamsikiraa? ndamkumbukaa?
\v 19 Nichaiwaghanya mikate misanu kwa wandu efu isanu, mwawusieghe ngau ilinga richuie viwande va mikate?" wamjibie, "kumi naa iwi."
\v 20 "Na nichaiwaghanya mikate saba kwa wandu efu ina, mwawusie ngau ilinga?"
\v 21 Wakadeda, "saba." Akawaghoria, "Bado ndamuelewaa?"
\v 22 Wakacha Bethsaida. Wandu awo wamreda kwa Jesu mundu asawonaa na wamsihie Jesu amwhade.
\v 23 Jesu akamwhada kwa mkonu uja asawonaa, na kumlongoza shighadi ya kijiji. Achashua mada ighu ya meso ghake na kughaghoa mikonu yake ighu yake, wamkotia, "Udawona chochose?
\v 24 Waguwie ighu na kudeda, "Ndawona wandu wadawoneka sa midi idatembea."
\v 25 Niko akaghaghoa sena mikonu yake ighu ya meso ghake, mundu uja akarughua meso ghake, wawonie sena, na akawona kila kilambo nicha.
\v 26 Jesu wamsighie aghende nyumbenyi na akamghoria, "usangie mzinyi."
\v 27 Jesu awaingie na wanafunzi wake kughenda vijiji va kaisaria ya Filipi. Wakika chienyi wamkotia wanafunzi, "wandu wadadeda nyi na ani?"
\v 28 Wamjibie wakideda, "Yohana mbatizaji. Wamwi wadadedaa, 'Eliya' na wamwi, 'umweri wa walodi."
\v 29 Akawakotia, "Ela inyo mdedaanyi na ani?" Petro wamghoria, "We wa Kristo."
\v 30 Jesu akawakosha wasaghorie mundu wowose kumhusu ye.
\v 31 Na akawoka kuwafundisha ya kuwa mvalwa wa Adamu lazima ateseke kwa malagho mengi, na dimawalegwa na vilongozi na makuhani wabaha, na waandishi,. na dimawabwagwa, na baada ya maruwa adadu dimawafufuka.
\v 32 Wadedie agha kwa uwazi. Niko Petro akamwusa pembenyi na akawoka kumkemia.
\v 33 Ela Jesu waanguka na kuwaguwa wanafunzi wake na akamkemia Petro na kudeda, "ida nyuma yapwa shetani! ndujali malagho gha Mlungu, isipokuwa malagho gha wandu."
\v 34 Kisha akauwanga umati wa wanafunzi wake andu amweri, na kuwaghoria, "ngelo kukona mundu adakundi kuninugha, akikane mweni, awuse msalaba gwake, na aninughe.
\v 35 Kwa wuja wowose akundii kughatesia maisha ghake dimawaghalaghasha, na wowose alaghashagha maisha ghake kwa ajili yapwa na kwa ajili, dimawaghatesia.
\v 36 Idamfaidia indoi mundu, kupata urumwengu gwose, na kisha kupata hasara ya maisha ghake?
\v 37 Mundu adimagha kufunya indoi badala ya maisha ghake?
\v 38 Wowose aniwoneagha whaya na madedo ghapwa katika kivazi ichi cha wazinzi na kivazi cha weni zambi, Mvalwa wa Adamu dima wamwonia whaya achacha katika ufalme gwa Aba wake andu amweri na malaika weli.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Na wadedie kwawhe, "Hakika nadeda kwenyu, baadhi yenyu kuko wandu wakee kimsi ahandawatoagha mauti kabla ya kuuwona ufalme gwa Mlungu ghukicha kwa ndighi."
\v 2 Na baada ya maruwa sita, Jesu wawawusie Petro, Yakobo na Yohana andu amweri nae lughongonyi, weni keri. Niko wawokie kubadilika imbiri yawhe.
\v 3 Mavazi ghake ghakawoka kuela nanganyi, ghachokwa zaidi, ghachokwa kuliko mwelesaji wowose dunienyi.
\v 4 Niko Eliya andu amweri na Musa wafumirie imbiri yawhe, na wakogho wakiaria na Jesu.
\v 5 Petro wajibie akamghoria Jesu, "Mwalimu, ni vema isi kuka aha, na diaghe viwanda vidadu, chimweri kwa ajili yako, chimweri kwa ajili ya Musa na chimwi kwaa ajili ya Eliya."
\v 6 (kwa wuja ndamanyie indoi cha kudeda, waboie nanganyi.)
\v 7 Idulu jafumirie na kuwafinika. Niko sauti ikifuma madulunyi ikideda, "uyu wa mwanapwa mkundwa. Msikirienyi ye."
\v 8 Ghafla, warikogho wakiguwa, ndamwonie wowose andu amweri nawo, isipokuwa Jesu tu.
\v 9 Warikogho wakisea kufuma lughoghonyi, wawaamuru kutokumghoria mundu wowose ghaja ghose waghawonie, mpaka mvalwa wa Adamu achafufuka kufuma kwa wafwie.
\v 10 Niko waghatunza malagho wo weni ni indoi maana yake "Kufufuliwa kufuma kwa wafwie"
\v 11 Wamkotia Jesu, "kwaindoi waandishi hudeda lazima Eliya ache kwanza?"
\v 12 Akawaghoria, "hakika Eliya dimawacha kwanza kutesia vilambo vose. Kwa indoi yaandikigwa mvalwa wa Adamu lazima apate mateso mengi na azamiwe?
\v 13 Ela nadeda kwenyu Eliya wasee kucha, na wabonya andu wakundii, sa wuja maandiko andu ghadedagha kuhusuye."
\v 14 Na wachawuya kwa wanafunzi, wawonie ikundi ibaha jawazunguluka na masadukayo wakogho wabishana na wo.
\v 15 Na mara wachamwona, ikundi jose jashangae na kumkilia kumlamsa.
\v 16 Wawakotia wanafunzi wake, "mdabishana na wo ighu ya indoi?"
\v 17 Umweri wawhe katika ikundi wamjibie, "mwalimu, namreda mwanapwa kwako; akona ngolo chafu ambayo humbonya asadime kuaria,
\v 18 na humsababisha kutetemeka na kumgwisha ndonyi, na kufuma ipovu momunyi na kusaga maghegho na kukakamaa. Nawalombie wanafunzi wako kumfunya ipepo, ela ndawadimie.
\v 19 Wamjibie, "kivazi chisaamini, dimanaka na inyo kwa taimu ki? Dimanawusiana na inyo hata li? mredenyi kwapwa."
\v 20 Wamreda mwanake. Ngolo mchafu achamwona Jesu, ghafla yamkumbie katika kutetemeka. Mdamwona wagwie ndonyi na kufunya ipovu momunyi.
\v 21 Jesu wamkotia ndee, "Waka katika hali ihi kwa taimu ki?" Aba wadedie, "Tangu uwhanake.
\v 22 Mara imwi hugwa katika modo angu machonyi, na kugheria kumwangamiza. Ngelo udimagha kubonya chochose diwoniembazi na uditawarie."
\v 23 Jesu wamghoria, "ngelo uko tayari? kila kilambo kidadimikana kwa wowose aaminiye."
\v 24 Ghafla Aba wa mwana walilie na kudeda, "Ndaamini! Nitawarie kuto kuamini kwapwa."
\v 25 Makati Jesu wachawona ikundi jidakimbilia kwawhe, wamkemia ngolo mchafu na kudeda, weghe, usangie kwake sena."
\v 26 Walilie kwa ndighi na kumgaisha mwana na ngolo wamfumie. Mwana wawonekane sa andu wafwa, Niko wengi wadedie, "Wafwa,"
\v 27 Ela Jesu wamwusie kwa mikonu akamnua, na mwana wakeekimsi.
\v 28 Makati Jesu wachangia ndenyi, wanafunzi wake wamkotia faragha, "kwa indoi ndadidimie kumfunya?"
\v 29 Wamghoria, "kwa namna ihi ndafumaa isipokuwa kwa malombi."
\v 30 Wafumie aja na kuidia Galilaya. Ndakundie mundu wowose amanye andu weko,
\v 31 Kwa wuja wakogho adafundisha wanafunzi wake. Wawakotia, "Mvalwa wa Adamu dimawafikishwa mikonunyi mwa wandu, na dimawamwabudu dima wafufuka sena."
\v 32 Ela ndawaelewe maelezo agha, na waboie kumkotia.
\v 33 Niko wafikie kapernaumu. Makati akika ndenyi ya iwacha wawakotia, "Mrikogho mdajadili indoiu chienyi?"
\v 34 Ela wakogho kimumure. Kwani wakogho wadabishana chienyi kwamba ani wakogho mbaha zaidi.
\v 35 Wakaie ndonyi akawawanga kumi na wawi andu amweri, na wadedie nawo, "ngelo wowose akundii kuka wa kwanza, ni lazima ake wa mwisho na mtumishi wa wose."
\v 36 Wamwusie mwana mtinyi akamwika ghadi ghadi yawhe. Akamwusa katika mikonu yake, akadeda,
\v 37 "Wowose amwokeragha mwana sa uyu kwa irina japwa, pia waniwokera nyi, na ikika mundu waniwokera, ndaniwokeragha nyi tu, ela pia wanidumie."
\v 38 Yohana wamghoria, "mwalimu damwonie mundu adafunya pepo kwa irina jako na dikamzuia, kwa sababu ndadinugha."
\v 39 Ela Jesu wadedie, "Msamzuie, kwa wuja ndakudae abonyagha chaghu chibaha kwa irina japwa na niko baadae adede idedo jizamie jojose ighu yapwa.
\v 40 Wowose asakogho kinyume na isi weko luwande lwedu.
\v 41 Wowose akunekagha kikombe cha machi gha kunywa kwa sababu ukona Kristo, loli nawaghoria, ndalaghasha thawabu yake.
\v 42 Wowose awasoweshagha awa watinyi wanianiinyi, kumacha yaka vema kwake kurughiwa ighwe ja kusaghia singonyi na kudagwa baharinyi.
\v 43 Ngelo mkonu gwako ghuka kusowesha ghudeme. Ni heri kungia katika banana bila mkonu kuliko kungia hukumunyi ukika na mikonu yose. katika modo "ghusarimikaa."
\v 44 (Maziria: Mistari ihi, "Andu ambako fuza ndawafwa na modo ghusarimikaa." Ndauko katika nakala ra kala).
\v 45 Ngelo kaghu kwako kakakusowesha, kudeme. Ni vema kwako kungia bananenyi ukika kilema, kuliko kudagwa hukumunyi na maghu awi.
\v 46 (Maziria: Mstari ughu, "Andu ambako fuza ndawafwa na modo ghusadima kurimika" ndauko nakalenyi ra kala).
\v 47 Ngelo iriso jako jikakusowesha jikue. Ni vema kwako kungia katika ufalme gwa Mlungu ukika na iriso jimweri, kuliko kuka na meso awi na kudagwa kuzimunyi.
\v 48 Andu kuko fuza wasafwa, na modo ghusarimikaa.
\v 49 Kwa wuja kila umweri dimawakolezigwa ni modo.
\v 50 Munyu gwaboie, ngelo munyu ghjakalaghasha ladha yake, dimawaibonya wada ike na ladha yake sena? mke na munyu miongonyi kwenyu weni, na mke na amani kwa kila umweri."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Jesu wangie ieneo ijo na akaghenda katika mkoa gwa uyahudi na ieneo ja imbiri ya mweda Yordani, na makutano wamnughie sena, wafundishie sena, sa andu yakogho kawaida yake kubonya.
\v 2 Na mafarisayo wachee kumgheria na wamkotia, Ya halali kwa mundumuni kusighana na mkake?"
\v 3 Jesu wawajibie, "Musa wawaamuru indoi?"
\v 4 Wakadeda, "Musa waruhusu kuandika cheti cha kusighana na kisha kumbingisa mndumka."
\v 5 "Ni kwa sababu ya mioyo yenyu ikurie nio maana waandikia sheria ihi," Jesu wawaghoria.
\v 6 "Ela kufuma kilindiri cha uumbaji, Mlungu wawaumbie mndumuni na mndumka.'
\v 7 Kwa sababu ihi mndumuni dimawamsigha ndee na mae na dimawaungana na mkake,
\v 8 na awo wawi dimawaka muwi umweri; kwa wuja si wawi sena, bali muwi umweri.
\v 9 Kwa huwo wachiunganishe Mlungu, mdamu asakitenganishe."
\v 10 Wachaka ndenyi ya iwacha, wanafunzi wake wakamkotia sena kuhusu iji.
\v 11 Akawaghoria, "Wowose amsighagha mkake na kumlowua mndumka umwi, adabonya uzinzi dhidi yake.
\v 12 Mndumka naye akmsigha mumi wake na kulowolwa na mdumuni umwi, adabonya uzinzi."
\v 13 Na wo wamredia wana wawhe watinyi ili awawhade, ela wanafunzi wakawakemia.
\v 14 Ela Jesu achatambua ijo, ndaboiwe najo kabisa akawaghoria, "Waruhusunyi wana watinyi wache kwapwa, na msawazuie, kwa sababu weko sa awa ufalme gwa Mlungu ni wawhe.
\v 15 Uloli nawaghoria, wowose asawokeragha ufalme gwa Mlungu sa mwana mtinyi hakika ndadimagha kungia katika ufalme gwa Mlungu.
\v 16 Kisha akawawusa wana mikonunyi kwake na akawabariki akiwawikia mikonu yakeighu yawhe.
\v 17 Na wachachianza charo chake mundu umweri wamkimbiria na akakaba magoti imbiri yake, akamkotia, "mwalimu uboie, nibonyie ili ndime kupala banana ya kala na kala?"
\v 18 Na Jesu akadeda, "kwa indoi udaniwanga niboie? Ndakudae ako aboie, isipokuwa Mlungu mweni keri.
\v 19 Udarimanya amri: Usabwaghe, usazini, usaiwe, usashuhudie tee, usaembie, mheshimu Aba na Mayo."
\v 20 Mundu uja akadeda, "mwalimu, agha ghose na ghatii tangu nikika mdawana."
\v 21 Jesu wamghuwie na kumkunda. Akamghoria, "udaghoduiwa kilambo chimweri. Udapaswa kudagha vose ukoo navo na uwaneke masikini, nadimawaka na hazina mbingunyi. Niko uche uninughe."
\v 22 Ela wakatie tamaa kwa sababu ya maelezo agha; wangie akika mweni huzunyi kwa wuja wakogho na mali nyingi.
\v 23 Jesu akaguwa pande rose na kuwaghoria wanafunzi wake, "Ni jinsi ki iko ikurie kwa tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu!
\v 24 Wanafunzi washangazigwa kwa madedo agha. Ela Jesu akawaghoria sena, "Wana, ni jinsi ki iko vikurie kungia katika ufalme gwa Mlungu!
\v 25 Ya rahisi kwa ngamila kuida itundunyi ja sinzano, kuliko mundu tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu."
\v 26 Washangazigwe nanganyi na wakadedeshana, "Huwo ani dimawaokoka"
\v 27 Jesu akawaguwa na kudeda, "Kwa binadamu ndaidimikana, ela sio kwa Mlungu. Kwa wuja katika Mlungu ghose ghadadimikana."
\v 28 Petro akawoka kuaria na ye, "Guwa dasigha vose na dakunugha."
\v 29 Jesu akadeda, "Uloli nawaghoria nyi, ndakudae wasighie iwacha, angu kaka, angu dada, angu mawe, angu Aba, angu wana, angu ardhi, kwa ajili yapwa, na kwa ajili ya injili,
\v 30 Ambae ndawokeragha mara ighana zaidi ya iji aha aha dunienyi: Iwacha, kaka, dada, mawe, wana na ardhi, kwa mateso, na urumwengu uchagha, banana ya kala na kala.
\v 31 Ela wengi weko wa kwanza dimawaka wa mwisho na weko wa mwisho dimawaka wa kwanza."
\v 32 Wachaka chienyi, kughenda Yerusalem, Jesu wakogho wawakiria imbiri yawhe. Wanafunzi washangaie, na waja warikogho wadanugha nyuma waboa. Niko jesu akawafunya pembenyi sena waja kumi na iwi na akawoka kuwaghoria ambacho dimachamdoka huwu karibuni.
\v 33 "Guwa, didaghenda mpaka Yerusalemu, na mvalwa wa Adamu dimawafikishwa kwa makuhani wabaha na waandishi. Dimawamhukumu afwe na dimawamfunya kwa wandu wa mataifa.
\v 34 Dimawamdhihaki, dimawachuia mada, dimawamkaba kwa changu, na dimawambwagha. Ela baada ya maruwa adadu dimawafufuka."
\v 35 Yakobo na Yohana, wavalwa wa zebedayo, wachee kwake na kudeda, "Mwalimu, didakuhitaji udibonyie chochose dikulombagha."
\v 36 Wamghoria, "Mkundi niwabonyie?"
\v 37 Wakadeda, "Diruhusu dike nawe katika utukufu gwako, umweri katika mkonu gwako gwa kuume na umwi mkonu gwako gwa kumosho."
\v 38 Ela Jesu wawajibie, "Ndamuichi mchilambagha. Mdimagha kuchinywea kikombe ambacho dimanachinywea angu kustahimili ubatizo ambagho dimanabatizigwa?"
\v 39 Wakamghoria, "Didamagha" Jesu akawaghoria, "kikombe ambacho dimanakinywea, dimamwachinywea. Na ubatizo ambagho kwawhe nabatizigwa, dimamwaustahimili.
\v 40 Ela akagha mkonu gwapwa gwa kumosho sio nyi wakufunya, ela ni kwa waja ambawo kwawhe yasia andaliwa."
\v 41 Waja wanafunzi wamwi kumi wachasikira agha, wakawoka kuwawonia virea Yakobo na Yohana.
\v 42 Jesu akawawanga kwake na kudeda, "Mdaichi kuwa waja wadhaniwaa kuka watawala wa wandu wa mataifa huwatawala, na wandu wawhe washuhuri huwabonyeria mamlaka ighu yawhe."
\v 43 Ela ndaipaswagha kuka huwu kati yenyu. Wowose akagha mbaha kati yenyu lazima awadumikie,
\v 44 na wowose akagha wa kwanza kati yenyu ya lazima ake mtumwa wa wose.
\v 45 Kwa wuja mvalwa wa Adamu ndachee kudumikiwa bali kudumika, na kughainja maisha ghake kuka faida kwa wengi."
\v 46 Wakacha Yeriko. Warikogho akiinga Yeriko na wanafunzi wake na ikundi baha, mvalwa wa Timayo, Batimayo, asawonaa mlombaji, wakee mbai ya barabara.
\v 47 Wachasikira kuwa wa Jesu Mnazareti, wawokie kukaba jogho na kudeda, "Jesu, mvalwa wa Daudi, niwonie mbazi!"
\v 48 Wengi wamkemia uja asawonaa, wakimzera anyame kima. Ela walilie kwa sauti zaidi, "Mvalwa wa Daudi, niwonie mbazi!"
\v 49 Jesu wakeekimsi na kuamuru awangwe. Wamwanga uja asawonaa, wakideda, "ka shujaa! wukia! Jesu adakuwanga."
\v 50 Akajidagha pembenyi ikoti jake, akakimbia zaidi, na kucha kwa Jesu.
\v 51 Jesu wamjibie na kudeda, "Ukundi ni kubonyie indoi?" uja mndu mumi asawonaa wamjibie, "Mwalimu, ndakundi kuwona."
\v 52 Jesu akamghoria, "Ghenda. Imani yako yakukira." Aho meso ghake ghakawona; na akamnugha Jesu barabarenyi.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Makati agho wachacha Yerusalemu, wachakaribia Bethafage na Bethania, katika lughogho lwa mizeituni, Jesu wawangie wawi mlongonyi mwa wanafunzi wake.
\v 2 na wawaghoria, "Ghendenyi katika kijiji kikabilianagha na isi. Mara mchangia umo, dimamwamdoka mwanambunda ambae ndajokiwe. Mrughenyi na mumrede kwapwa.
\v 3 Na ngelo wowose akawaghoria, 'kwa indoi mdabonya huwu'?, mdapaswa kudeda, 'Mzuri adamhitaji na mara dimawamwuja aha'."
\v 4 Waghendie na kumndoka mwanambunda wamrugwa shighadi mjangonyi mtaenyi ghukoo mwari, na wo wamrughua.
\v 5 Na baadhi ya wandu warikogho wakakimsi aja na wawaghoria, "Mbonyai, kumrughua mwanambunda uyo?"
\v 6 Wawaghoria sa andu Jesu wawaghoria, na wandu wakasigha waghende.
\v 7 Wanafunzi wawi wamreda mwanambunda kwa Jesu na watandika mavazi ghawhe ighu yake ili Jesu adime kumjoka.
\v 8 Wandu wengi watandikie mavazi ghawhe barabarenyi, na wamwi watandika marembwe waghademie kufuma andu kuko mbuwa.
\v 9 Waja waghendie imbiri yake na waja wamnughie wakabie jogho, "Hosana! Wabarikiwa achagha kwa irina ja Mzuri.
\v 10 Ubarikiwe ugimbikwa uchagha wa Aba wedu Daudi! Hosana kwa akoo ighu"
\v 11 Niko Jesu wangie Yerusalemu na waghendie hekalunyi na waguwie kila kilambo. Idana, makati ghakogho ghaghenda, waghendie Bethania amweri nawo kumi na iwi.
\v 12 Iruwa jinughiriaa, makati warikogho wakiwuja kufuma Bethania, wakogho na njala.
\v 13 Na akawona mdi gwa mtini ghurikogho na nyasi kwa kula, waghendie kuguwa ngelo kumachawadima kupata chochose ighu yake. Na makati wachaghenda kwa ugho, ndapatie chochose isipokuwa nyasi, kwawuja ndayakogho majira gha mtini.
\v 14 Waughoria, "Ndakudae wowose ajagha itunda kufuma kwako sena". Na wanafunzi wake wakasikira.
\v 15 Wachee Yerusalemu, na ye wangia hekalunyi na kuwoka kuwafunya shighadi wadaghaa na wagulaa ndenyi ya ihekalu. Waripindue meza ra wabadilishagha fedha na vifumbi va waja warikogho wakidagha njiwa.
\v 16 Ndamruhusu wowose kudwa chochose hekalunyi chidimieghe kudagwa.
\v 17 Wawafundishie na akadeda, "Je ndai andikigwe, 'iwacha japwa dimajawangwa iwacha ja sala kwa mataifa ghose? 'ela mwajibonya ipango ja wanyang'anyi."
\v 18 Makuhani wabaha na waandishi wasikira andu wakogho wadeda, na wo walolie chia ya kumbwagha. Hata huwo wamboaa kwa sababu umati gwashangazigwa na mafundisho ghake.
\v 19 Na kila makati kwenyi ichafika wangie mzinyi.
\v 20 Warikogho wakitembea kesho kio, waghuwonie mdi gwa mtini gwaoma mpaka mirinyi yake.
\v 21 Petro wakumbukie na kudeda, "Rabi! Guwa, mdigwa mtini ughulaanie gwaoma."
\v 22 Jesu wawajibie, "mke na imani katika Mlungu.
\v 23 Amini nawaghoria kwamba kila alughoriagha lughongo ulu, 'inga, na ukakidaghe mweni baharinyi, na ngelo ndadae mashaka moyonyi mwake ela adaamini kwamba wachidedie dimachafumiria, huwo niko Mlungu dimawabonya.
\v 24 Kwa huwo ndawaghoria: kila kilambo mlombaa na kukotia kwa ajili yake, amininyi ya kwamba mwawokera, navo dima vaka venyu.
\v 25 Makati mkaghakimsi na kutasa, mdapaswa kusamehe chochose mko nacho dhidi ya wowose, ili kwamba aba wenyu akoo mbingunyi awasamehe pia inyo makosa ghenyu.
\v 26 (Maziria: Mstari ughu, "Ela msipowasamehe, wala aba wenyu akoo mbingunyi ndamsamehe zambi renyu" ndauko na kalenyi ra kala).
\v 27 Wachacha Yerusalemu sena. Na Jesu warikogho akitembea hekalunyi, makuhani wabaha, waandishi na waghosi wachee kwake.
\v 28 Wamghoria, "kwa mamlaka ki udabonya malagho agha? "Na ani wakuneka mamlaka kubonya agha?"
\v 29 Jesu wawaghoria, 'Dimanamikotia iswali jimweri. Nighorienyi na nyi dimanamighoria kwa mamlaka ki ndabonya malagho agha.
\v 30 Je, ubatizo gwa Yohana gwafumie mbingunyi angu gwafumie kwa wadamu? Nijibunyi."
\v 31 Wajadiliana miongonyi mwao na kushindana na kudeda, "Ngelo dikadeda, 'kufuma mbingunyi, 'dimawadeda, 'kwa indoi basi ndammwaminie?'
\v 32 Ela ngelo dikadeda, 'kufuma kwa wadamu,'..."Wawaboa wandu, kwa wuja wose wawhadiria kwamba Yohana wakogho mlodi.
\v 33 Niko wamjibie Jesu na kudeda, 'Ndadimanyaa. Niko Jesu akawaghoria, 'Wala nyi siwaghoriagha ni kwa mamlaka ki ndaghabonya malagho agha.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kisha Jesu wawakie kuwafundisha kwa mifwano. Akadeda, "Mundu wawae mbuwa ya mizabibu, akaizungulushia uzio, na akakota ishimo ja kusindika chafi. Akaagha mnara na kisha waipangisha mbuwa ya mizabibu kwa wakulima wa mizabibu. Kisha wabonyie charo charo cha kula.
\v 2 Makati ghachafika, wamdumie mtumishi kwa wakulima wa mizabibu kuwokera kufuma kwawhe baadhi ya matunda gha mbuwa ya mizabibu.
\v 3 Ela wamwhada, wakamkaba, na wakambingisa bila chochose.
\v 4 Akamduma kwawhe mtumishi umwi, wamjeruhi chongonyi, na kumbonyia malagho gha whaya.
\v 5 Bado wamdumie umwi, na uyu umweri wambwagha. Wawabonyia wamwi wengi malagho sa aghogheni, wakiwakaba na wamwi kuwabwagha.
\v 6 Wakogho bado na mundu umweri zaidi wa kumduma, mvalwa mkundwa. Naye wakogho wa mwisho adumiwe kwawhe. Akideda, "Dima wamheshimu mwanapwa."
\v 7 Ela wapangaji wadedeshanie weni kwa weni, "Uyu nie mpali. Chonyi, hebu na dimbwaghe, na upalo dimagwaka gwedu."
\v 8 Wamvamia, wakambwagha na kumdagha shighadi ya mbuwa ya mizabibu
\v 9 Kwa huwo, Je! Dimawabonyai mmiliki wa mbuwa ya mizabibu? Dimawacha na kuwaangamiza wakulima wa mizabibu na dimawaikabidhi mbuwa ya mizabibu kwa wamwi.
\v 10 Ndampatie kujisoma iandiko iji? " Igwe ambajo wajenzi wajilegha, jaka igwe ja pembenyi.
\v 11 Iji jafumie kwa Mzuri, na ni ja ajabu mesonyi kwedu."
\v 12 Walolie kumwhada Jesu, Ela wawaboie makutano, kwani wamanyie kuwa wakogho wadeda mfwano ugho dhidi yawhe. Huwo wamsighie na wakaghenda chia rawhe.
\v 13 Kisha wakawaduma baadhi ya mafarisayo na maherodia kwake ili kumdegha kwa madedo.
\v 14 Wachafika, wakamghoria, "Mwalimu, didaichi kwamba ndujali maoni gha wowose na ndubonyiriagha upendeleo kati ya wandu. Udafundisha chia ya Mlungu katika uloli. Je! yahachi kushana kodi kwa kaisari angu la? Je! didima kushana angu la?
\v 15 Ela Jesu wamanyie unafiki wawhe na kuwaghoria, "kwa indoi mdanigheria? nnekenyi dinari ndime kuiguwa."
\v 16 Wakareda imweri kwa Jesu, Akawaghoria, Je! Ya sura ya ani na maandishi gheko aha ni gha ani? wakadeda, "Ya kaisari."
\v 17 Jesu akawaghoria, "Mnekenyi kaisari vilambo va kaisari na Mlungu vilambo va Mlungu." Wakamstaajabia.
\v 18 Kisha masadukayo, wadadedagha ndakudae ufufuo, wamghendie. Wakamkotia, wakideda,
\v 19 "Mwalimu, Musa wadiandikie kuwa, "Ikika mmbari wa mundu akafwa na kumsigha mka nyuma yake, ela ndasighie mwana, mundu dimawamwusa mka wa mmbari wake, na kukipatia wana kwa ajili ya mmbari wake.'
\v 20 Kurikogho na wambari saba, wa kwanza wawusie mka na kisha wafwie, ndasighie wana.
\v 21 Kisha wa kawi wawusie na ye akafwa, ndasighie wana. Na wa kadadu halikadhalika.
\v 22 Na wa saba wafwie bila kusigha wana. Mwishowe na mndumka pia akafwa.
\v 23 Makati gha ufufuo, wakachafufuka sena, Je! imawaka mka wa ani? kwani waja wa mbari wose saba wakogho wami wake."
\v 24 Jesu wawaghoria, Je! ihi si sababu kuka mwapotoshwa, kwa sababu ndammanyaa maandiko wala ndighi ra Mlungu?"
\v 25 Makati gha kufufuka fuma kwa wafwie, ndawalowuaa wala kungia katika ndoa, bali dimawaka sa malaika wa mbingunyi.
\v 26 Ela, kuhusu wafu ambawo wadafufuliwa, Je! ndamsomie kufuma katika chuo cha Musa, katika habari ra kichaka, jinsi Mlungu andu wadedie na kumghoria, 'Nyi na Mlungu wa Abrahamu, na Mlungu wa Isaka, na Mlungu wa Yakobo?'
\v 27 Ye si Mlungu wa wafwie, bali wa wakoo hai. Yadhahiri mwapotoka."
\v 28 Umweri wa waandishi wachee na kughasikira mazungumzo ghawhe; Wawonie kwamba Jesu wawajibie vema. Wamkotie, Je! niamri iyao ikoo ya muhimu zaidi kuliko rose?"
\v 29 Jesu wamjibie; ikoo ya muhimu ni ihi, "sikira, Israeli, Mzuri Mlungu wedu, Mzuri ni mmweri.
\v 30 Lazima umkunde Mzuri Mlungu wako, kwa moyo gwako gwose, kwwa ngolo yako yose, kwa akili yako yose, na kwa ndighi rako rose.'
\v 31 Amri ya kawi ni ihi,
\lazima umkunde jirani yako sa andu ukikundi we mweni." Ndakudae amri imwi mbaha zaidi ya iri."
\v 32 Mwandishi akadeda, " Vema mwalimu! Wadeda loli kwamba Mlungu ni mmweri, na kwamba ndakudae umwi zaidi yake.
\v 33 Kumkunda ye kwa moyo gwose, na kwa ufahamu gwose na kwa ndighi rose, na kumkunda jirani sa mweni, ya muhimu mno kuliko mafunyo na dhabihu ra kuteketeza."
\v 34 Makati Jesu achawona wafunya ijibu ja busara, wamghoria, "We ndauko kula na ufalme gwa Mlungu." Baada ya aho ndakudae hata umweri wathubutu kumkotia Jesu maswali ghoghose.
\v 35 Na Jesu wajibie, makati warikogho akifundisha katika ihekalu, akadeda, "Je! waandishi hudedadawada kuwa Kristo wa mvalwa wa Daudi?
\v 36 Daudi mweni katika Ngolo wa kuela, wadedie, 'Mzuri wadedie kwa Mzuri wapwa, katika mkonu gwapwa gwa kuume, mpaka niwabonye walaghe laghe wako kuka ndonyi ya maghu ghako.'
\v 37 Daudi mweni humwanga Kristo, 'Mzuri, 'Je! wa mvalwa wa Daudi kwa jinsi iao?" Na ikusanyiko baha jamsikira kwa furaha.
\v 38 Katika mafundisho ghake Jesu wadedie, 'kihadharinyi na waandishi, watamanii kutembea na kazu ndacha na kulamswa chetenyi.
\v 39 na kuka vifumbinyi va wabaha katika masinagogi na katika sikukuu kwa maeneo gha wabaha.
\v 40 Pia wadaja nyumba ra wakolo na wadata malombi malacha ili wandu wawawone. Awa wandu dimawawokera hukumu ikoo mbaha."
\v 41 Kisha Jesu wakee ndonyi avui na isanduku ja sadaka ndenyi ya ieneo ja ihekalu; wakogho akiguwa wandu warikogho wakikumba pesa rawhe ndenyi ya isanduku. Wandu wengi matajiri wawikie kiasi kibaha cha pesa.
\v 42 Kisha mndumka mkolo masikini wachee na kuwika viwande viwi, thamani ya senti.
\v 43 Kisha akawawanga wanafunzi wake na waghoria, 'Amini nawaghoria, mndumka uyu mkolo wakumba kiasi kibaha zaidi ya wose ambawo wafunya kala katika isanduku ja sadaka.
\v 44 Kwani wose wafunya kufumana na wengi gwa mapato yawhe. Ela mndumka mkolo uyu, kufuma katika umaskini gwake, wa kumba pesa yose ambayo wapasiwe kuidumia kwa maisha ghake."
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Jesu warikogho akitembea kufuma hekalunyi, umweri wa wanafunzi wake akamkotia, "Mwalimu. guwa magwe agha ghakushangaza na maagho!"
\v 2 Akamghoria, unawona maagho agha mabaha? Ndakudae hata igwe jimweeri jisaliaa ighu ya jimwi ambajo ndajigwi shwaghwa ndonyi."
\v 3 Na ye warikogho waka ighu ya lughongo lwa mizeituni nyuma ya ihekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea wakamkotia kwa kiviso,
\v 4 "Dighorie, malagho agha dimaghaka li? ni indoi dalili ya malagho agha kufumiria?
\v 5 Jesu wawokie kuwaghoria, "kenyi makini kwamba mundu wowose asawapotoshe.
\v 6 Wengi dimawacha kwa irina japwa wakideda 'Nyi nie', na dimawawapotosha wengi.
\v 7 Mchasikira kondo na tetesi ra kondo, msaboe; malagho agha ndaghadae budi kufumiria, ela mwisho bado.
\v 8 Itaifa dimajanuka kinyume na itaifa jimwi, na ufalme kinyume na ufalme. Dimakwaka na matetemeko gasi tofauti, na njala. Ughu ni mwanzo gwa utungu.
\v 9 Kenyi meso. Dimawawaghenja hadi mabarazenyi, na dimamwapingwa katika masinagogi. Dimamwakaia kimsi imbiri ya watawala na wagimbikwa kwa ajili yapwa, sa ushuhuda kwawhe.
\v 10 Ela injili kwanza ihubiriwe kwa mataifa ghose.
\v 11 Wachawawhada na kuwakabidhi, msaboe kuhusu chija andumdedaa. Ndenyi ya taimu iro, dimamwanekwa indoi cha kudeda; ndamkagha inyo mdedaa, bali ngolo wa kuela.
\v 12 Mmbari dimawamshitaki mmbari kubwaghwa, Aba na mwanake. Wana dimawaka kimsi kinyume cha waka aba wawhe na kuwasababisha kubwaghwa.
\v 13 Dimamwazamiwa na kila mundu kwa sababu ya irina japwa. Ela arumaghiagha mpaka mwisho, mundu uyo dimawaokoka.
\v 14 Mchawona ichukizo ja unonefu ja kakimsi aja andu jisakundigwi kukakimsi (asomagha na amanye), niko wakoo ndenyi ya Yuda wakimbie lughongonyi,
\v 15 Na ye akoo ighu ya iwacha asasee ndonyi ya iwacha, angu kuwusa chochose ndonyi ya iwchikoo shighadi,
\v 16 na akoo mbuwenyi asawuye kuwusa ivazi jake.
\v 17 Ela ole wawhe wandu waka weni inda na wanyonyeshagha katika maruwa agho!
\v 18 Tosenyi kwamba isafumirie makati gha mbeo.
\v 19 Kwani dimakwaka na mateso mabaha, ambagho ndaghose fumiria, tangu Mlungu achamba urumwengu, mpaka iji aha, ndakudae, wala ndaifumiriagha sena.
\v 20 Mpaka Mzuri achaghodua maruwa, ndakudae muwi ghuokokaa, ela kwa ajili ya wateule, achawasaghula, dimawaghodua namba ra maruwa.
\v 21 Makati agho ngelo mundu wowose dimawaghoria, Guwa, Kristo ako aha! 'angu 'Guwa, ako aja!' msaamini.
\v 22 Kwani wakristo wa tee na walodi wa tee dimawafumiria na dimawafunya ishara na maajabu, ili kwamba, wawaembie, ya mkini hata wateule.
\v 23 Kenyi meso! Nameria kuwaghoria aghaghose kabla ya makati.
\v 24 Ela baada ya mateso gha maruwa agho, iruwa dima jakumbwa kira, mweri ndaghufunyagha mwangaza gwake,
\v 25 Nyenyeri dimaragwa kufuma angenyi, na ndighi rikooo mbingunyi dimaratikisika.
\v 26 Niko wachamwona mvalwa wa Adamu akicha madulunyi kwa ndighi mbaha na utukufu.
\v 27 Niko dimawaduma malaika rake na dimawawika andu amweri wateule wake kufuma gasi mbaha ina ra dunia, kufuma mwisho gwa dunia mpaka mwisho gwa mbingu.
\v 28 Kwa mtinyi kifunzeni. Ngelo irembwe jidimagha kufunya na kuwika karuwaruwa nyasi rake, niko dimamwaichi kwamba kiangazi cheko avui.
\v 29 Niko iko, mchawona malagho agha ghakifumiria, manyeni kwamba ako avui, na majango.
\v 30 Loli, nawaghorienyi, ichi kivazi ndachiidagha kula kabla malagho agha ndaghasee fumiria.
\v 31 Mbingu na isanga dimaraidia, ela madedo ghapwa ndaghaidagha kamwe.
\v 32 Ela kuhusu iruwa ijo angu saa, ndakudae amanyagha, hata malaika wa mbingunyi, wala mvalwa, ela Aba.
\v 33 Kenyi meso, Guwa, kwa sababu ndamuichi ni taimu ki dimaghafumiria.
\v 34 (Maziria: Mstari ughu, "mke waangalifu, Guwenyi na tasenyi kwa sababu..." ndauko na kalenyi ra kala). Ni sa andu aghendaa chorenyi: akasigha iwacha jake, na kuwika mtumwa wake kuka mtawala wa iwacha, kila umweri na chaghu chake. Na kumuamuru mlinzi kuka meso.
\v 35 Kwa huwo kenyi meso! kwani ndammanyaa ni li Mzuri wa iwacha achawuya nyumbenyi, idadikana ni kwenyi, kio kibaha, makati jogholo achalila, angu kesho kio.
\v 36 Ngelo akacha ghafla, asakudoke watungura.
\v 37 Chija nichidedagha kwako ndachideda kwa kila mundu: kenyi meso"!
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Ghakogho maruwa awi tu baada ya sikukuu ya pasaka na ya mikate isakumbagwa chachu. Makuhani wabaha na waandishi wakogho wakilola namna ya kuwhada Jesu kwa hila na kumbwagha.
\v 2 Kwa wuja wadedie, "sio makati makati agha gha sikukuu, wandu wasache bonya ghasia."
\v 3 Makati Jesu warikogho Bethania nyumbenyi kwa simoni mkoma, na warikogho akielekea mezenyi, mndumka umweri wachee kwake akika na chupa ya marashi gha nardo ielie yeni gharama mbaha nanganyi, waichukanya chupa na kuimimina ighu ya chongo chake.
\v 4 Ela kurikogho na baadhi yawhe wawonie vire. Waghoriana weni kwa weni wakideda, "Ni indoi sababu ya ulaghashaa ughu?
\v 5 Manukato agha kumachaghadima kudagwa kwa zaidi ya dinari mia idadu, na wakanekwa maskini." Nawo wamkemia.
\v 6 Ela Jesu wadedie, "msighenyi mweni keri. Kwaindoi mdamguisha? Wabonya ilagho jiboie kwapwa.
\v 7 Maruwa ghose maskini mko nawo, na makati ghoghose mtamanii mdadima kubonya ghaboie kwawhe, ela ndamkagha na nyi makati ghose.
\v 8 Wabonya chija andu wakundi: wauvia muwi gwapwa mavunda kwa ajili ya mariko.
\v 9 Loli nawaghoria, kila andu injili andu hubiriwa katika urumwengu gwose, chija wabonya mndumka uyu dimachadedwa kwa ukumbusho gwake.
\v 10 Kisha Yuda iskariote, umweri wa waja kumi na iwi, waghendie kwa wabaha wa makuhani ili kwamba apate kumkabidhi kwawhe.
\v 11 Makati wabaha wa makuhani wachasikira huwo, waboiwa na waadie kumneka fedha. Wawokie kulola nafasi ya kumkabidhi kwawhe.
\v 12 Katika iruwa ja kwanza ja mkate usakumbagwa chachu, makati wachafunya mwanang'ondi wa pasaka, wanafunzi wake wamghoria, 'ukundi dighende hao dikaandae ili upate kuja mlogwa pasaka?"
\v 13 Wawaduma wanafunzi wake wawi na kuwaghoria, "Ghendenyi mzinyi, na mndumumi ambae wadwa mtungi dimawawonana na inyo. Mnughenyi.
\v 14 Iwacha ajiingiagha, mnughenyi na mumghorie mweni iwacha ijo, 'mwalimu adeda, "chiko hao chumba cha waghenyi andu nijagha pasaka na wanafunzi wapwa?"
\v 15 Dima wawabonyeria chumba cha ighu kibaha chikona samani ambacho cheko tayari. Bonyeni maandalizi kwa ajili yedu aja."
\v 16 Wanafunzi waingie wakaghenda mzinyi; wadokie kila sa andu wakogho wa waghoria, na wakaandaa mlogwa pasaka.
\v 17 Makati irikogho kwenyi, wachee na waja kumi na iwi.
\v 18 Na warikogho wakiikaribia meza na kuja, Jesu wadedie, "loli nawaghoria, umweri kati yenyu ajagha andu amweri na nyi dimawanisaliti."
\v 19 Wose wasikitie, na umweri baada ya umwi waghoria, "Hakika sio nyi?"
\v 20 Jesu wajibie na kuwaghoria, "Ni umweri wa kumi na wawi kati yenyu, umweri ambae ijiaha adachovya itonge katika ibakuli andu amweri na nyi.
\v 21 Kwa wuja mvalwa wa Adamu dimawaghenda sa wuja maandiko andu ghadedaa ighu yake. Ela ole wake mundu uja ambae kuidia ye mvalwa wa Adamu dimawasalitiwa! kumacha asavalwa."
\v 22 Na warikogho wakija, Jesu wawusie mkate, akaghubariki, na kuubegha. Wawanekie akideda, "Wusenyi. Ughu ni muwi gwapwa."
\v 23 Wawusie kikombe, akashukuru, na akawakeria, na wose wakachinywea.
\v 24 Wawaghoria, "Ihi ni bagha yapwa ya agano, bagha idikagha kwa ajili ya wengi.
\v 25 Loli nawaghoria, sinywagha sena katika izao iji ja mzabibu mpaka iruwa jija ninywagha mbishi katika ufalme gwa Mlungu."
\v 26 Wachameria kubora lumbo, waghendie shighadi katika lughongo lwa mizeitunyi.
\v 27 Jesu wawaghoria, "Inyo wose dimamwakitenga kala kwa sababu yapwa, kwa wuja yaandikigwa, 'Dimanamkaba mlisa na ng'ondi dimawawaghaanyika.'
\v 28 Ela baada ya kufufuka kwapwa, dimanawakiria imbiri yenyu Galilaya."
\v 29 Petro wamghoria, "Hata kama wose dimawakusigha, nyi sikusighaa."
\v 30 Jesu wamghoria, "Loli nakughoria, kio ichi, kabla jogholo ndasee lila mara iwi, dimawaka wanikana mara idadu."
\v 31 Ela Petro wadedie, "Hata dimayani lazimu kufwa andu amweri na we, sikukanagha." Wose wafunyie ahadi ija yeni.
\v 32 Wachee ieneonyi jiwangiweghe Gethsamane, na Jesu akawaghoria wanafunzi wake, "kenyi aha makati ndasali."
\v 33 Wawawusie Petro, Yakobo na Yohana andu amweri na ye, akawoka kuhuzunika na kutaabika nanganyi.
\v 34 Wawaghoria, "Nafasi yapwa ikona huzuni nanganyi, hata kufwa. Bkinyi aha na mke meso."
\v 35 Jesu waghendie imbiri kidogo, akagwa ndonyi, akatasa, ngelo kumacha yadimikana, kwamba saa ihi kumachayamuepuka.
\v 36 Wadedie, "Aba, Aba, malagho ghose kwako ghadadimikana. Niinjie kikombe ichi. Ela sio kwa mapenzi ghapwa, bali mapenzi ghako."
\v 37 Wawurie na kuwadoka watungura, na akamghoria Petro, "Simoni, Je watungura? Ndudimie kuka meso hata isaa jimweri?
\v 38 Kenyi meso na mtase kwamba msache ngia katika kugheriwa. Hakika ngolo yeko radhi, ela muwi ni dhaifu."
\v 39 Waghendie sena na kutasa, na watumia madedo ghajagheni.
\v 40 Wachee sena akadoka watungura, kwa wuja meso gwawhe ghakogho mazito na ndawamanyie indoi cha kumghoria.
\v 41 Wachee mara ya kadadu na kuwaghoria, "Bado mwatungura na kusoghoka? idatosha! isaa jafika. Guwa! mvalwa wa Adamu dimawasalitiwa mikonunyi mwa wekona zambi.
\v 42 Wukienyi, dighendenyi. Guwa, uja anisaliti ako avui."
\v 43 Mara tu warikogho bado adaaria, Yuda, umweri wa waja kumi na wawi, wafikie, na ikundi ibaha kufuma kwa wabaha wa makuhani, waandishi na waghosi weni malwamba na marungu.
\v 44 Makati agho msaliti wake wakogho wawaneka ishara, akideda, uja nibusu, niye. Mwhadenyi na kumghenja ndonyi ya wulinzi.
\v 45 Makati Yuda wachafika, moja kwa moja waghendie kwa Jesu na kudeda, "Mwalimu! Na wambusu.
\v 46 Kisha wakamkuba ndonyi ya walinzi na kumwhada.
\v 47 Ela umweri kati yawhe wakaiye kimsi avui na ye wachomoa luwamba lwake akamkaba mtumishi wa kuhani mbaha na kumdema kudu.
\v 48 Jesu wawaghoria, "Mwacha kuniwhada kwa malwamba na marungu sa mnyang; anyi?
\v 49 Makati kila iruwa nakogho na inyo na nikifundisha hekelunyi, ndamniwhadie. Ela iji jabonyeka ili maandiko ghatimie.
\v 50 Na waja wose warikogho na Jesu wamsigha na kukimbia.
\v 51 Mdawana umweri wamnughie, warikogho warwa ishuka tu wakogho wakifunika kumzunguluka,; wamwhada ela
\v 52 Wawaponyoka akajisigha ishuka aja akakimbia kibigiri.
\v 53 Wamlongozie Jesu kwa kuhani mbaha. Aja wamkwania andu amweri na ye makuhani wabaha wose, waghosi, na waandishi.
\v 54 Petro na ye wamnughie Jesu kwa kula, kuelekea uenyi kwa kuhani mbaha. Wakee andu amweri na walinzi, warikogho avui na modo wakiota ili kupata kiruke.
\v 55 Makati agho makuhani wabaha wose na ibaraza jose wakogho wakilola ushahidi dhidi ya Jesu ili wapate kumbwagha. Ela ndawaupatie.
\v 56 Kwa wuja wandu wengi waredie ushuhuda wawhe ndaghufwanane.
\v 57 Baadhi wakeekimsi na kureda ushahidi gwatee dhidi yake; wakideda,
\v 58 "Dimsikira akideda, 'Dimanajinona ihekalu iji jibonyiriweghe kwa mikonu, na ndenyi ya maruwa adadu dimanaagha jimwi jisabonyiriagwa kwa mikonu."
\v 59 Ela hata ushahidi wawhe ndaghufwanane.
\v 60 Kuhani mbaha wakeekimsi ghadighadi ya whe na akamkotia Jesu," Je, ndudae ijibu? wandu awa wadashuhudia indoi dhidi yako?"
\v 61 Ela wakee kimumure na ndajibie chochose. Mara kuhani mbaha wamkotia sena, "Je we wa Kristo, mvalwa wa mbarikiwa?"
\v 62 Jesu wadedie, "Nyi ni ye. Na dimawamwona mvalwa wa Adamu waka mkonu gwa kujo gwa ndighi akicha na madulu gha mbingunyi."
\v 63 Kuhani mbaha wararua mavazi ghake na kudeda, "Je, bado didahitaji mashahidi?
\v 64 Mwasikira kufuru. Uamuzi gwenyu ni ghuyao?" Na wose wamhukumu sa umweri wastahiliye kifwa.
\v 65 Baadhi wawokie kumchuiya mada na kumfinika wushu na kumkaba na kumghoria, "Tabiri! "Maafisa wawamwusa na kumkaba.
\v 66 Na Petro warikogho bado weko ndonyi uenyi, mtumishi umweri wa wai wa kuhani mbaha wachee kwake.
\v 67 Wamwonie Peto warikogho wakakimsi akiota modo, na wanguwa kwa kumkaribia. Kisha wadedie, "Na we pia wakogho na mnazareti, Jesu."
\v 68 Ela waleghie, akideda, "Simanyaa wala sielewaa kuhusu chija udedaa!" Kisha wafumie akoghenda shighadi uenyi. (Maziria; mstari ughu, "Na jogholo akalila" ndauko na kale nyi ra kala).
\v 69 Ela mtumishi wa kiwaka aja, wamwonie na wawokie kuwaghoria sena waja ambawo wakakimsi aja, "Mundu uyu wa umweri wawhe!"
\v 70 Ela wakanie sena. Baadae kidogo waja warikogho wakakimsi aja wakogho wakimghoria Petro, "Hakika we wa umweri wawhe, kwa maana we pia wa mgalilaya."
\v 71 Ela wawokie kukiwika mweni ndonyi ya laana na kulawa, "Simmanyaa mundu uyu mumdedaa."
\v 72 Kisha jogholo walilie mara ya kawi. Kisha Petro wakumbukie madedo ambagho Jesu warikogho wamghoria: "kabla jogholo ndaselila mara iwi, dimawanikana mara idadu: Na wagwie ndonyi na kulila.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Kesho kio mapema wabaha wa makuhani wa kwana andu amweri na waghosi na waandishi na ibaraza ilanzi ja waghosi. Kisha wakamrugha Jesu wakamghenja kwa Pilato. Pilato akamkotia, "We wa mgimbikwa wa wayahudi?"
\v 2 Wamjibie, "We wadeda huwo."
\v 3 Wabaha wa makuhani wakaeleza mashitaka meengi ighu ya Jesu.
\v 4 Pilato akamkotia sena, "Ndujibu chochose? Nduwonaa jinsi andu wakushtaki kwa malagho mengi?
\v 5 Ela Jesu ndamjibie Pilato, na hiyo yamshangazie.
\v 6 Kwa kawaida makati gha sikukuu humrugha mfungwa umweri, mfungwa wamlombie.
\v 7 Kurikogho wahalifu gerezanyi, miongonyi mwa wabwaghaa kati ya waasie watumikaa makosa yawhe. Wakogho mundu umweri awangwa Baraba.
\v 8 Umati gwachee kwa Pilato, na kumlomba abonye sa andu wabonyie uko nyuma.
\v 9 Pilato wamjibie na kudeda, "Mkundi niwarughirie mgimbikwa kwa wa Wayahudi.
\v 10 Kwa wuja wamanyie ni kwa sababu ya wivu wabaha wa makuhani wamwhada Jesu na kumreda kwakwe.
\v 11 Ela wabaha wa makuhani wachochea umati kukaba jogho kwa sauti kwamba arughuriwe Baraba bdala yake.
\v 12 Pilato akawajibu sena na akadeda, "Nimbonyei mgimbikwa wa Wayahudi?
\v 13 Wakakaba jogho sena, "Msulubishe!"
\v 14 Pilato akadeda, "Wabonya ilagho jizamie? "Ela wazie kukaba jogho zaidi na zaidi "Msulubishe."
\v 15 Pilato akkunda kuwaridhisha umati, akawarughuria Baraba. Akamkaba Jesu mijeledi kisha akamfunya ili asulubiwe.
\v 16 Askari wamlongoza hata ndenyi ya ua (Uja ukoo ndenyi ya kambi) na wakwana andu amweri kikosi cha askari.
\v 17 Wakamrwisha Jesu kazu ya rangi ya zambarau, na wakasokaota taji ya minjwa wakamrwisha.
\v 18 Wakawona kumdhihaki na kudeda, "Salam, Mgimbikwa wa Wayahudi!"
\v 19 Wakamakaba chongonyi kwa mwanzi na kumchuiya mada. Wakakaba magoti imbii yake kwa kumheshimu.
\v 20 Hata wachameria kumdhihaki, wakamrua ija kazu ya rangi ya zambarau na kumwisha mavazi ghake, na wakamfunya shighadi kughenda kumsulubisha.
\v 21 Wakamlazimisha muida chia kumtawaria, warikogho adangia mzinyi kufuma mbuwenyi. Awagwagha simoni mkirene (Ndee Iskanda na Rufo); wakalazimisha kudwa msalaba gwa Jesu.
\v 22 Askari wakamghenja Jesu andu kuwangwahjha Goligotha (maana ya tafsiri ihi ni, Andu kwa ifuvu ja chongo).
\v 23 Wakamneka chofi ichanganyiwe ni manemane, ela ndanywie.
\v 24 Wakamsulubisha na wakaghiana mavazi ghake, wakaghakabia kura kuamua kiwande achakipata kila askari.
\v 25 Yapata saa idadu keshokio wachamsulubisha.
\v 26 Wkawika ighu yake ubao ghuandikiwe shitaka, "Mgimbikwa wa wayahudi."
\v 27 Wamsulubisha andu amweri na majambazi wawi, umweri luwande lwake lwa kujo na umwi kumosho kwake.
\v 28 (Maziria: mstari ughu, "Na maandiko ghakatimia ghanenie" ndauko katika nakala ra kala).
\v 29 Nawo warikogho wakiida wamuanyira, wakitikisa vongo vawhe wakideda, "Aha! we uchukanya ihekalu na kujiagha kwa maruwa adadu,
\v 30 Kitesie mweni na usee ndonyi fuma masalabenyi!"
\v 31 Kwa namna ija yeni wabaha wa makuhani wamdhihaki wakidedeshana, andu amweri na waandishi na kudeda," Wawatesia wamwi, elandadimaa kukitesia mweni.
\v 32 Kristo Mgimbikwa wa Israeli, sea ndonyi iji aha fuma msalabenyi, ili didime kuwona na kuamini." Na waja wasulubiwe andu amweri na ye pia wamdhihaki.
\v 33 Ichafika saa sita, kira kichaka ighu ja isanga jose hata saa kenda.
\v 34 Makati gha saa kenda, Jesu wakabie jogho kwa sauti mbaha, "Eloi, lama saba kitani?" ikika na maana, "Mlungu wapwa, Mlungu wapwa, kwaindoi wanisigha?"
\v 35 Baadhi ya wakee kimsi wachasikira wa kadeda, "Guwa, adamwanga Eliya."
\v 36 Mundu umweri akakimbia, akachura siki katika isiponji na kuiwika ighu ya mdi gwa mwanzi, akamneka ili anywe. Mundu umweri akadeda, "Wasera diwone ngelo Eliya dimawacha kumsera ndonyi."
\v 37 Kisha Jesu akalila kwa sauti mbaha na akafwa.
\v 38 Ipizia ja ihekalu jikawanyika viwande viwi toka ighu mpaka ndonyi.
\v 39 Ofisa umweri warikogho wakakimsi akimwekea Jesu, wachamwona wafwa kwa jinsi ija, akadeda, "Loli uyu mundu wakogho mvalwa wa Mlungu."
\v 40 Wakogho pia wandu waka wakoo wakiguwa kwa kula. Miongonyi mwao wakoo mariamu magdalena, mariamu (Mae Yakobo mtinyi wa Yose), na salome.
\v 41 Makati warikogho Galilaya wamnugha na kumdumikia. Na wandu waka wamwi wengi pia waambatanie na ye hata Yerusalemu.
\v 42 Kuchadime, na kwa wuja yakogho siku ya maandalio, iruwa kabla ya sababto,
\v 43 Ysufu wa Arimathaya wachee aja. Wakogho ni mjumbe wa Mjumbe wa Ibaraza aheshimiwa gha mundu autarajiagha ugimbikwa gwa Mlungu. kwa ujasiri waghendie kwa pilato, na kuulomba muwi gwa Jesu.
\v 44 Pilato akashangazigwa kwamba Jesu tayari wafwa; akamwanga uja afisa akamkotia ngelo Jesu wafwa.
\v 45 Wachapata uhakika kwa afisa kwamba wafwa, wamruhusu Yusufu kuuwusa muwi.
\v 46 Yusufu wakogho wagua sanda. Akamsera fuma msalabenyi, akamrugha kwa sanda na kumwika ndenyi ya ikaburi jikotiwe katika lwala. Kisha akajiviringisha igwe mjangonyi kwa ikaburi.
\v 47 Mariamu Magdalena na Mariamu mae Yose wawonie andu warikiwe Jesu.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Makati sababto ichasia, Mariamu Magdalena na Mariamu mae na Yakobo, na salome, wagulie manukato ghaboie, ili wadime kucha na kuuvia mavuda muwi gwa Jesu kwa ajili ya mariko.
\v 2 Kesho kio mapema iruwa ja kwanza ja juma waghendie ikaburinyi makati iruwa jichachomoza.
\v 3 Wakidedeshana weni kwa weni, Ani dimawajiviringisha igwe, kwa ajili yedu ili dingie kaburinyi?"
\v 4 Makati wachaguwa, wamwonie mundu wameria kujiviringisha igwe, ambajo jakogho ibaha nanganyi?"
\v 5 Wakangia kaburinyi na wakamwona mdawa na warwa ijoho ja chokwa, waka luwande lwa kujo, na wakashangazigwa.
\v 6 Akawaghoria, "Msaboe. Mdalola Jesu, wa Nazareti, wasulubiwe. Wafufuka! Ndeko aha. Guwa andu aja warikogho wamwika.
\v 7 Ghendenyi, mkawaghorie wanafunzi wake na Petro ya kuwa wawakiria kuelekea Galilaya. Uko dimamwamwona, sa andu wakogho wawaghoria."
\v 8 Wakangia na kukimbia kufuma ikaburinyi, watetemekie na washangazigwa. Ndawadedie chochose kwa mundu wowose sababu waboie nanganyi.
\v 9 (Maziria: Nakala ra kala ndaridae Marko 16:9-20) Mapema katika iruwa ja kwanza ja juma, baada ya kufufuka, wamfumiria kwanza Mariamu Magdalena, ambae kufuma kwake wamfunya mapepo saba.
\v 10 Wangie na kuwaghoria waja ambawo wakogho andu amweri na ye, makati warikogho wakihuzunika na kufunya machozi.
\v 11 Wasikira kwamba ni mlanzi na wawonekaa na ye, ela ndawamwaminie.
\v 12 (Maziria: Nakala ra kala ndaridae Marko 16:9-20) Baada ya agho, akakifunya katika namna tofauti kwa wandu wawi, makati warikogho wakighenda kufuma katika isanga.
\v 13 Waghendie na kuwaghoria wanafunzi wamwi wasangalikie, ela ndawawaaminie.
\v 14 (Maziria: Nakala ra kala ndaridae Marko 16:9-20) Jesu baadae akakifunya kwa waja kumi na umweri warikogho waegama katika meza, na akawakemia kwa kusea mini kwawhe na ugumu wa mioyo, kwa sababu ndawaaminie waja wamwonie baada ya kufufuka kufuma kwa wafwie.
\v 15 Akawaghoria, "Ghendenyi urumwengunyi kose na kuhubiri injili kwa vuimbe vose.
\v 16 Wowose aaminie na kubatizigwa dima watesiwa, na uja asaamini dimawahukumiwa.
\v 17 (Maziri: Nakala ra kala ndaridae Marko 16:9-20) Ishara iri dimarambatana na wose waamini. Kwa irina japwa dimawainja pepo. Dimawadeda kwa lugha mbishi.
\v 18 Dimawawhada choka kwa mikonu yawhe, na hata wakinywa kilambo chochose cha kufisha ndachiwadhuru. Dimawawika mikonu kwa wakongo, na wo dimawaka walanzi."
\v 19 Baada ya Mzuri kudeda nawo, akawusigwa ighu mbingunyi na waka mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\v 20 Wanafunzi wakainga na kuhubiri kila andu, makati Mzuri akibonya kazi na wo na kujithibitisha idedo kwa miujiza na ishara rikinughana nawo.

2212
43-LUK.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,2212 @@
\id LUK
\ide UTF-8
\h Luka
\toc1 Luka
\toc2 Luka
\toc3 luk
\mt Luka
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Wengi wakitahidi kuwika katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambago gatimizwa kati yedu,
\v 2 Ngelo andu wapatia isi, ambao tangu kiambiri ni mashahidi wa meso na watumishi wa ujumbe.
\v 3 Huwo na nyi pia, baada ya kuchunguza kwa uangalifu chanzo cha malago aga gose tokea mwanzo - nawonie ni nicha kwapwa pia kukuandikia katika mpangilio gwake - mheshimiwa nanganyi Theofilo.
\v 4 Ili kwamba udime kumanya loli ya malago ufundishiwe.
\v 5 Katika maruwa gha Herode, mgimbikwa wa Yudea, kurikogo na kuhani fulani wawangiwe Zakaria, wa mbari ya Abiya. Mkake wafumie kwa waira Hruni, na irina jake wawangiwe Elizabeti.
\v 6 Wose wakogo wandu wekona hachi imbiri ya Mlungu; wagendie bila lawama katika amri rose na malagizo ga Mzuri.
\v 7 Ela ndawaridaege mwana, kwa sababu Elizabeti wakogo asavaa, na kwa makati aga wose wawi wakogo wagosi nanganyi.
\v 8 Idana yafumirie kwamba Zakaria wakogo katika uwepo gwa Mlungu, akiendelea na wajibu gwa kikuhani katika utaratibu gwa zamu yake.
\v 9 Kukatana na desturi ya kusaghua ni kuhani uyaombae dimawatawara, wakogo wasagulwa kwa kura kungia katika ihekalu ja Mzuri na huwo kumachawafukiza uvumba.
\v 10 Kundi jose ja wandu jikogo jikitasa shigadi makati ga kufukizwa uvumba.
\v 11 Idana malaika wa Mzuri wamfumirie na wakakimsi luwande lwa kujo lwa madhabahu ya kufukizia.
\v 12 Zakaria watishika achawona; hofu ikamgwia.
\v 13 Ela malaika akamgoria, "Usaboe Zakaria, kwa sababu malombi gako gasikika. Mkako Elizabeti dimawakuvaga mvalwa. Irina jake dimawamwanga Yohana.
\v 14 Imawaka na furaha na kushagala, na wengi imawaka kuboiwa kuvalwa kwake.
\v 15 Kwa wuja dimawaka mbaha imbiri ya meso ga Mzuri. Ndanywaga divai angu kinywaji chibirie, na dimawaka wachurigwa ni Ngolo wa kuela tangu kifunyi kwa mae.
\v 16 Na wandu wengi wa Israeli dimawaaghusigwa kwa Mzuri Mlungu wawe.
\v 17 Dim, awagenda imbiri ya wushu gwa Mzuri katika ngolo na ndigi ya Eliya. Dimawabonya huwu ili kuwuja mioyo ya Aba kwa wana, ili kwamba wasatii dimawagenda katika hekima ya weni hachi. Dimawabonya huwu kuwika tayari kwa Mzuri wandu ambawo waandaliwa kwa ajili yake."
\v 18 Zakaria akamgoria malaika, "Ndimawada kumanya iji? kwa sababu nyi ni mgosi na mka wapwa miaka yake yaka mingi nanganyi."
\v 19 Malaika wajibie na kumgoria, "Nyi ni Gabrieli, ambae hukakimsi imbiri ya Mlungu. Nadumiwe kukugoria, kukuredia habari ihi iboie.
\v 20 Na guwa, ndudedaa, dimawaka kimumure, ndudimaga yachafumiria. Ihi ni kwa sababu walemiwe kuamini madedo gapwa ambago dimagatimizigwa kwa makati mwafaka."
\v 21 Idana wandu wakogo wakimwesera Zakaria. Washangazigwa kwamba wakogo adatumia muda mwingi hekelunyi.
\v 22 Ela achafuma shigadi; ndadimie kuaria nawo. Wakamanya kwamba wakogo wapata maono andu wakogo hekelunyi. Waendelee kubonyeria ishara na wabakie kimumure.
\v 23 Ikafumiria kwamba maruwa ga huduma yake ga chasia wainge kuwuya nyumbenyi kwake.
\v 24 Baada ya Zakaria kuwuya nyumbenyi kufuma hudumenyi kwake hekalunyi, mkake akaka mjamzito. Na ye ndafumie nyumbenyi kwake kwa muda wa mieri asanu. Akadeda,
\v 25 Iji nijo ambajo Mzuri wabonya kwapwa achaniguwa kwa upendeleo ili kuinja waya gwapwa imbiri ya wandu."
\v 26 Idana, katika mweri gwa sita gwa inda ya Elizabeti, Mlungu wamgoria malaika Gabbrieli kugenda mzinyi gwa Galilaya uwangwaga Nzareti,
\v 27 Kwa mwai wakogo washushugwa ni mundu mumi ambae irina jake jirikogo Yusufu. Ye wakogo wambari ya Daudi, na irina ja mwai uyo jirikogo Mariamu.
\v 28 Akacha kwake na akadeda, "Salaamu, we uwokerie neema mbaha! Mzuri waboiwa ni we."
\v 29 Ela madedo ga malaika gamchanganyie na ndaelewe kwa indoi malaika wadedie salaam ihi ya ajabu kwake.
\v 30 Malaika akamgoria, "Usaboe, Mariamu, maana wapata neema kufuma kwa Mlungu.
\v 31 Na guwa, dimawadwa inda katika kifu chako na dimawava mvalwa. Nawe dimawamwanga irina jake "Jesu.'
\v 32 Dimawaka mbaha na dimawawangwa mvalwa wa weko igu nanganyi. Mzuri Mlungu dima wamneka kifumbi cha enzi cha Daudi ndee.
\v 33 Imawatawala igu ya mbari ya Yakobo kala na kala na ugimbikwa gwake ndaukaga na mwisho.
\v 34 Mariamu akamgoria malaika, iji dimajafumiria kwa namna iyao, maana siwahie kutungura na mdumuni wowose?
\v 35 Malaika wajibie na akamgoria, "Ngolo wa kuela dimawachea igu yako, na ndigi ya ako ligu nanganyi dimayacha igu yako. Kwa huwo, mtakatifu ambae dimawavalwa dimawawangwa mvalwa wa Mlungu.
\v 36 Na guwa, mmbari wako Elizabeti akona ujauzito wa mvalwa umrinyi kwake gwa ugosi. Uhu ni mweri gwa sita kwake, ambae wakogo adawangwa mgumba.
\v 37 Maana ndakudae jisadimikana kwa Mlungu."
\v 38 Mariamu akadeda, "Guwa, nyi ni mtumishi wa kiwaka wa Mzuri. Siga ike huwo kwapwa sawa sawa na ujumbe gwako." Kisha malaika akamsiga.
\v 39 Niko katika maruwa ago Mariamu waingie na kwa karuwa ruwa wagendie katika isanga ja duchugongo, mzinyi katika isanga ja Yudea.
\v 40 Wagendie nyumbenyi mwa Zakaria na akamlasa Elizabeti.
\v 41 Idana, yafumirie kwamba Elizabeti achasikira salamu ya Mariamu, mwana kifunyi kwake akaburuka, na Elizabeti akachurigwa ni Ngolo wa kuela.
\v 42 Akafunya mbaha sauti yake na kudeda kwa sauti mbaha, "wambarikiwa we nanganyi miongoni mwa wandu waka, na mwana ako kifunyi kwako wabarikiwa.
\v 43 Na yakawada kwapwa kwamba, mawe wa Mzuri wapwa yapasiwe ache kwapwa?
\v 44 Kwa wuja guwa, ichasikika madunyi kwapwa sauti ya kulamsa kwako, mwana kifunyi kwapwa akaburuka kwa furaha.
\v 45 Na wabarikiwa mndumka uja ambae waamini kwamba kumacha gwafumiria ukamilifu gwa malago gaja wagoriwe kufuma kwa Mzuri."
\v 46 Mariamu akadeda, nafasi yapwa idamsifu Mzuri,
\v 47 Na ngolo yapwa yaboiwa katika Mlungu mtee wapwa.
\v 48 Kwa maana waiguwa hali ya ndonyi ya mtumishi wake wa kiwaka. Guwa, tangu ijiaha katika vizazi vose dimawaniwanga mbarikiwa.
\v 49 Kwa maana ye wamdimie wabonya malago mabaha kwapwa, na irina jake ni takatifu.
\v 50 Wagoma gwake gudadumu toka kivazi hata kivazi kwa waja wamheshimu ye.
\v 51 Waonesha ndigi kwa mkonu gwake; Wawataponya waja ambawo wakivunie igu ya kuririkanya kwa mioyo ya we.
\v 52 Wawasera ndonyi wavalwa wa wagimbikwa fuma katika vifumbi vawe va enzi na kuwanua igu wekona hali ya ndonyi.
\v 53 Wawagudisha wekona njala kwa vilambo viboie, bali matajiri wawabingisa mikonu miduhu.
\v 54 Wafunya msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kubonyera wugoma.
\v 55 (kama andu wadedie kwa waka Aba wedu) kwa Ibrahimu na guvazi gwake kala na kala."
\v 56 Mariamu wakaie na Elizabeti idapata mieri adadu huwu niko akawuya nyumbenyi kwake.
\v 57 Idana makati gakogo gawadia kwa Elizabeti kukifungua mwanake na akakifungua mwana wa kiwomi.
\v 58 Jirani rake na wambari wake wasikire jinsi Mzuri andu waukuza wugoma kwake, na wakaboiwa amweri nae.
\v 59 Idana gafumirie maruwa ga nane kwamba wachee kumchula mwana. Kumachayawapasa kumwonga irina jake, "Zakaria," kwa kumaziria irina ja ndee,
\v 60 Ela mae wajibie na kudeda, "Aa; dimawawangwa Yohana."
\v 61 Wakamgoria, ndakudae hata umweri katika wambari wako awangwaga kwa irina iji."
\v 62 Wakabonyia ishara ndee kuashiria ye wakundie irina awangwe ani.
\v 63 Ndee wahitajie kibao cha kuandikia, na akaandika, "Irina jake ni Yohana." Wose washazigwe na iji.
\v 64 Ghafla momu gwake gukaruguriwa na lumi lwake lukaka huru. Akaaria na kumsifu Mlungu.
\v 65 Hofu yawachee wose wakaie karibu nawo. Malago aga gakanea katika isanga jose ja duchugongo dwa Yudea.
\v 66 Na wose wagasikirie wakayatunza mioyonyi kwawe, wakideda "mwana uyu kuka wa namna iyao? kwa sababu mkonu gwa Mzuri ukogho amweri nae.
\v 67 Ndee Zakaria wachiwe ni Ngolo wa kuela na akafunya gulodi, akideda,
\v 68 "Asifiwe Mzuri, Mlungu wa Israeli, kwa sababu watawaria na washuhulikia utesi kwa wandu wake.
\v 69 Wadinulia mbembe ya utesi katika iwacha jamtumishi wake Daudi, kufuma miongonyi mwa mbari ya mtumishi wake Daudi,
\v 70 Sa andu wadeda kwa momu gwa walodi wake warikogo katika matuku ga kala.
\v 71 Dimawaditesia kufuma kwa walaghe laghe wedu na kufuma mikonunyi mwa wose wadi zamiwaa.
\v 72 Dimawabonya huwu kuonesha wugoma kwa wakaba wedu, na kukumbuka iagano jake takatifu,
\v 73 Kirawo wachidedie kwa Ibrahimu Aba wedu.
\v 74 Walawie kuthibitisha kwamba kumacha yadimikana kumdumikia ye bila hofu, baada ya kutesiwa kufuma katika mikonu ya walage lage wedu.
\v 75 Katika ueli na hadhi imbiri yake maruwa gedu gose.
\v 76 Hee, na we mwana, dimawawangwa mlodi wa ako igu nanganyi kwa wuja dimawagenda imbiri ya wushu gwa Mzuri ili kumwandalia chia, kuwaandaa wandu kwa ajili ya kucha kwake,
\v 77 Kuwamanyisha wandu wake kwamba, dimawatesiwa kwa chia ya kusamehewa zambi rawe.
\v 78 Iji dima jafumiria kwasababu ya mbazi ya Mlungu wedu, sababu ambayo iruwa toka igu dimajadichea,
\v 79 Kuangaza kwawe wakainga kirenyi na katika kijo cha kufwa. Dimawabonya huwu kuilongoza kugu kwedu chienyi ya amani."
\v 80 Idana, uja mwana akazogua na kuka mweni ndigi ngolonyi na wakaie nyikenyi mpaka maruwa ga kukitokeza kwake kwa Israeli.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Idana katika maruwa ago, ikafumiria kwamba kaisari Agusto wafunyie Agizo akielekeza kwamba iwusigwe sensa ya wandu wose waishii dunienyi.
\v 2 Ihi irikogo ni sensa ya kwanza ibonyekie makati krenio akika gavana wa Siria.
\v 3 Huwo kila umweri akagenda mzinyi kwake kuandikishwa sensa.
\v 4 Naye Yusufu waingiae pia katika mzighwa Nazareti uko Galilaya na wasafirie Yudea katika Mzighwa Bethlehemu, umanjikanagha kama mzighwa Daudi, kwa sababu wafumirie katika mbari ya Daudi.
\v 5 Waghendie uko kukiandikisha andu amweri na Mariamu, ambae wakogho wamshusha na wakogho akiguwiria mwana.
\v 6 Idana yafumirie kwamba, wakika kujamakati ghakegha kukifungaua mwana ghakawadia.
\v 7 Akakifungua mwana wa kiwomi, mvalwawake wa kwanza, akamzungulushia nguwo muwini kumkinga na mbeo mwana. Niko akamwikaandkuko kiholi cha kujisia wanyamandu, kwasababu ndaikogho nafasi nyumbenyirawaghenyi.
\v 8 Katika ieneoijo, warikogho walishawakee mbuwenyi wakilinda makundi gha ng'ondi wawhekio
\v 9 Ghafla, Malaika wa mzuri akawafumiria, na utukufu ghwa mzuri ghukaela kuwazunguluka, na wakee na hofu nangonyi.
\v 10 Niko malaika akawaghoria,"Msaboe, kwasababu nawaredia habari iboie ambayo dimayareda fruraha mbaha kwa wandu wose.
\v 11 Linu mtesi wavalwa kwa ajili yenyu mzinyi mwa Daudi! Ye niekristo mzuri!
\v 12 Iho nio ishara ambayo dimamwanekwa, dimamwandoka mwana wafungwa nguwo na watungura horinyi ja kujisia wanyamandu.
\v 13 Ghafla kwakee na ijeshi baha jambingunyi jikaungana na malaika uyo wakamsifu mlungu, wakideda,
\v 14 "Utukufu kwa mlungu akoighu nanganyi, na amani ike dunienyi kwa wose ambawo adaboiwa nawo."
\v 15 Ikaka kwamba malaika wachameria kuinga kughenda mbingunyi, walisha wakadedana weni kwa weni, "Dighendenyi idana kuja Bethlehemu, na dikawone iki kilambo ambacho chafumiria, ambacho mzuri wadimanyisha."
\v 16 Wakaharakisha kuja, na wakamdoka Mariamu na Yusufu, na wakamwona mwana watungura horinyi ja kujisia wanyamandu.
\v 17 Na wachawona uwu, wakawamanyisha wandu chija warikogho waghoriwa kumuhusu mwana.
\v 18 Wose wasikiere habari ihi washangazighwa na chija chidediwe ni walisha.
\v 19 Ela Mariamu akandelea kutenganya kuhusu ghose wamerie kughasikira, akighatunza moyonyi mwake.
\v 20 Walisha wakawuya wakimtukuza na kumsifu mlungu kwa ajili ya kila kilambo wamerie sikira na kuwona, ngelo tu irikogho yanenighwa kwawhe
\v 21 Ghachafika maruwa ghanane na irikogho nimakati gha kumchula mwana, wakamwanga irina Jesu, irina ambajo wanekighwa kala ni uja malaika kabla inda ndajiserendungwa kifunyi
\v 22 Rawe rikundiwege ra utakaso richaida, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakamgenja hekelunyi kuja Yerusalemu kumwika imbiri ya Mzuri.
\v 23 Sa andu yaandikigwa katika sheria ya Mzuri, "kilamndumuni afunguaga kifu dimawawangwa wafunyie wakfu kwa Mzuri."
\v 24 Wo woruwo wachee kufunya sadaka kulingana na chija chidedwaa katika sheria ya Mzuri, "Jozi ya njiwa angu makinda awi ga njiwa."
\v 25 Guwa, kurikogo na mundu katika Yerusalemu ambae irina jake warikogo akiwangwa Simoni. Mundu uyu wakogo mweni hachi na amchaga Mlungu. Ye wakigo akiwaseria kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Ngolo wa kuela wakogo igu yake.
\v 26 Irikogo yasia funuliwa kwake kuidia kwa Ngolo wa kuela kwamba ye kumachandafua kabla ya kumwona Kristo wa Mzuri.
\v 27 Iruwa jimweri wachee ndenyi ya ihekelu, akilongozwa ni Ngolo wa kuela. Ambapo wavazi wamreda mwana, Jesu, kumbonyia gaja gapasiwe kawaida ya sheria,
\v 28 niko Simoni wamwokera mikonunyi mwake, na wamsifu Mlungu na kudeda,
\v 29 "Idana ruhusu mtumishi wako agende kwa amini Mzuri, kulingana na idedo jako.
\v 30 Kwakuwa meso ghapwa ghauwona utesi wako.
\v 31 Ambao wawoneka kwa meso gha wandu wose.
\v 32 Ye ni nuru kw a ajili ya ufunuo kwa wamataifa na utukufu wa wandu Israel."
\v 33 Aba na mawe wa mwana washangazwa kwa malagho ambagho ghadediwe ighu yake.
\v 34 Niko Simeone akawabariki na akadeda kwa Mariamu mae, "Sikira kwa makini! Mwana uyu dimawaka sababu yakulaghaya na kuokoka kwa wandu wengi katika Israel na ni ishara ambayo wandu wengi dimawaipinga.
\v 35 Pia luwamba ambalodimalwakora nafsi yako mweni, ili kwamba kuririkanya kwa mioyo ya wengi kudhihilika."
\v 36 Mlodi wa kiwaka wawangiwe Ana pia warikogho hekalunyi. Ye wakogho mwai wa Fanueli kufuma ikabila ja Asheli. Wakogho na miaka mingi nanganyi. Na ye wakee na mumi wake kwa miaka saba baada ya kulowana.
\v 37 na niko akaka mkolop kwa miaka themanini na ina. Naye nawahie kuinga hekalunyi na walikogho akindelea kumtasa Mlungu amweri na kufunga na kutasa, kio na dime.
\v 38 Na kwa makatiagho, wachee aja anduweko akawoka kumshukuru mlungu. Waarie kumhusu mwana kwa kilamundu ambae warikogho akiweseria ukombozi ghwa yerusalemu.
\v 39 Wachemeria kila kilambo wakundiweghe kabonya kulingana na sheria ya mzuri, wawurie Galilaya, mzinyi kwawhe, Nazareti.
\v 40 Mwana wazoghue, na akaka na ndighi akiongezeka katika hekima, na neema ya mlungu irikogho ighu yake.
\v 41 Wavazi wake kila mwaka waghendie Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya pasaka.
\v 42 Warikogho naumrighwa miaka kumi na iwi, waghendie sena makati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu.
\v 43 Baada ya kudaa muruwa ghose kwa ajili ya sikukuu, wawoka kuwaya nyumbenyi Ela mdawana Jesu wabakie nyuma mja yerusalemu na wavazi ndawamanyie iji.
\v 44 Wadhanie kwamba weko ikundinyi warikogho wakisafiri najo, huwo wasafirie charo cha siku Niko waanzie kumlola miongonyi mwa mwambari na wamwedu waake.
\v 45 Wachalemwa kumpata, wawurie yerusalemu na waanzie kumlola umo.
\v 46 Ikafumiria kwamba baada ya maruwa adadu, wampatie hekalunyi, akika waketi ghadighadi ya walimu, akiwasikira na kuwakotia maswali.
\v 47 Wose wamsikirieghe washangae na ufahamu ghwake na majibu ghake.
\v 48 Wachamwona, wastaajabu. Mae akamghoria, "Mwanapwa, kwaindoi wadibonyia huwa? sikila ndeo na nyi darikogho dikikulola kwa wasiwasi mbaha."
\v 49 Akamghorika, kwaindoi mrikogho mkinilola? Ndammanyie kwamba lazima nike nyumbeni ya Aba wapwa?
\v 50 Ela ndawaelewi indoi waamaanishie kwa madedo agho.
\v 51 Niko aghaghenda andu amweri nawo mpaka nyumbenyi Nazareti nawarikogho mtii kwawhe. Maye wahifadhie malagho ghose moyoni mwake.
\v 52 Ela Jesu wandolee kuzoghwa katika hekima na kimo, nawazidie kukundwa ni mlungu na wandu
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Idana, katika mwaka gwa kumi na isanu gwa utawala wa kaisari Tiberia, makati Pontio Pilato warikogo gavana wa uyahudi, na filipo mmbari wake warikogo mbaha wa mkoa gwa Iturea na Traniti, na Lisania warikogo mbaha wa mkoa gwa Abilene,
\v 2 na makati ga ukuhani mbaha gwa Anasi na kayafa, Idedo ja Mlungu jamchee Yohana mvalwa wa Zakaria, ijangwenyi.
\v 3 Wasafirie katika mkoa gwose kuzunguluka mweda Yordani, akihubiri ubatizo gwa kutesiwa zambi kwa ajili ya msamaha gwa zambi.
\v 4 Sa andu iandikigwe katika chuo cha madedo ga Isaya mlodi, "Sauti ya mundu alilaga nyikenyi, iboisenyi tayari chia ya Mzuri, gaboisenyi maidio gako gakokie.
\v 5 Kila ibonde dimajachurigwa, kila lugongo na dulugongo dimavasawazishwa, bara bara ripindie dimaragagoigwa, chia riparazie dima ralainishwa.
\v 6 Wandu wose imawauwona utesi gwa Mlungu."
\v 7 Huwo, Yohana akawagoria makutano mabaha ya wandu wamchee wapate kubatizigwa ni ye, "inyo wuvazi gwa choka weni sumu, ani wawonyie kukimbia gadhabu idacha?
\v 8 Veni matunda gaenda noga na kutesiwa zambi, na msawoke kudeda ndoni yenyu, "Dikonae Ibrahimu ambae ni Aba wedu; kwa sababu ndawagoria ya kwamba, Mlungu adimaga kumnulia Ibrahimu wana hata kufumana na magwe aga.
\v 9 Tayari isika jiwikigwa mrinyi gwa midi. Huwo kila mdi usavaga matunda gaboie, hudemwa na kudagwa modonyi.
\v 10 Kisha wandu katika makutano wamkotia wakideda, "Idana dikundigwi dibonyewada?"
\v 11 Wajibie na kuwagoria, "ngelo mundu akona kazu imweri kwa umwi ambae ndadae kabisa, na ambae akona vindo na abonye woruwo uwo."
\v 12 Kisha baadhi ya wawada ushuru wachee pia kubatizigwa, na wakamgoria, "Mwalimu, dikundigwi kubonyai?
\v 13 Akawagoria, "Msawike andu amweri fedha nanganyi kuliko mkundigwi kuwika andu amweri."
\v 14 Baadhi ya maaskari pia wakamkotia wakideda, "Na isi je? Dikundigwi dibonyei? Akawagoria, msawuse fedha kwa mundu wowose kwa ndigi, na msamtuhumu mundu wowose kwa tee. Ridhikenyi na mishahara yenyu."
\v 15 Idana, kwa wuja wandu warikogo na shauku ya kumweseria Kristo achaga, kila umweri wakogo adarikanya moyoni mwake kuhusu Yohana kama ye nie Kristo.
\v 16 Yohana wajibie kwa kuwagoria wose, "Nyi ndawabatiza inyo kwa machi, ela kuko umweri achaga mbae akona ndigi kulikonyi, nasistahili hata kurugua chuga ra vandu vake. Dimawawabatiza inyo kwa Ngolo wa kuela na kwa modo.
\v 17 Ipepeto jake jiko mkonunyi mwake ili kuelesha nicha uwanda gwa kupepetea ngano na kiwika andu amweri ngano kainyi mwake. Ela, dimawagakora makapi kwa modo ambao ndaidimaa kurimika.
\v 18 Kwa maonyo gamwi mengi pia, wahubirie habari riboie kwa wandu.
\v 19 Yohana wamkemia pia Herode mbaha wa mkoa kwa kumlowua Herodia, mka wa mbari wake na kwa maovu gamwi mengi ambago Herode wa kogo wagabonya.
\v 20 Ela baadae Herode wabonyie uovu umwi uzamie nanganyi. Wamrugie Yohana gereszanyi.
\v 21 Kisha yafumirie kwamba, makati wandu wose warikogo wakibatizigwa ni Yohana, na ye Jesu wabatiziwe pia. Makati warikogo akitasa, mbingu rikaruguriwa.
\v 22 Ngolo wa kuela akasea igu yake kwa mafwano gwa kiwili wili sa njiwa, makati ago geni sauti ikacha kufuma mbingunyi ikideda, "We ni mwanapwa mkundwa. Ndaboiwa nanganyi niwe."
\v 23 Idana Jesu mweni, achaanza kufundisha, wakogo na umri upatao miaka thelathini. Wakogo ni mvalwa (sa andu itadhaniwe) wa Yusufu, mvalwa wa Eli,
\v 24 Mvalwa wa Mathati, mvalwa wa Lawi, mvalwa wa Melki, mvalwa wa Yona, mvalwa wa Yusufu,
\v 25 Mvalwa wa matathia, mvalwa wa Amosi, mvalwa wa Nahumu, mvalwa wa Esli, mvalwa wa Nagai,
\v 26 Mvalwa wa Maati, mvalwa wa Matathia, mvalwa wa semeini, mvalwa wa Yusufu, mvalwa wa Yuda,
\v 27 Mvalwa wa Yoanani, mvalwa wa Resa, mvalwa wa Zerubabeli, mvalwa wa shealtieli, mvalwa wa Neri,
\v 28 Mvalwa wa Melki, mvalwa wa Adi, mvalwa wa Kosamu, mvalwa wa Elmadamu, mvalwa wa Eri,
\v 29 Mvalwa wa Yoshua, mvalwa wa Eliezeri, mvalwa wa Yorimu, mvalwa wa Matathi, mvalwa wa Lawi,
\v 30 Mvalwa wa Simeoni, mvalwa wa Yuda, mvalwa wa Yusufu, mvalwa wa Yonamu, mvalwa wa Eliya kimu,
\v 31 Mvalwa wa melea, mvalwa wa mena, mvalwa wa matatha, mwana wa Nathani, mvalwa wa Daudi,
\v 32 mvalwa wa Yese, mvalwa wa obedi, mvalwa wa Boazi, mvalwa wa Salmoni, mvalwa wa Nashoni,
\v 33 mvalwa wa Abinadabu, mvalwa wa Aramu, mvalwa wa Hesroni, mvalwa wa Peresi, mvalwa wa Yuda,
\v 34 mvalwa wa Ykobo, mvalwa wa Isaka, mvalwa wa Ibrahimu, mvalwa wa Tera, mvalwa wa Nahori,
\v 35 mvalwa wa Serugi, mvalwa wa Reu, mvalwa wa Peregi, mvalwa wa Eberi, mvalwa wa Nahori,
\v 36 mvalwa wa Kenani, mvalwa wa Arfaksadi, mvalwa wa shemu, mvalwa wa Nuhu, mvalwa wa Lameki,
\v 37 mvalwa wa Methusela, mvalwa wa Henoko, mvalwa wa Yeredi, mvalwa wa Mahalaleli, mvalwa wa kenani,
\v 38 mvalwa wa Enoshi, mvalwa wa Sethi, mvalwa wa Adamu, mvalwa wa Mlungu.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kisaha, Jesu akika wachua Ngolo wa kuela, wawurie kufuma mweda Yordani, na walongozigwe ni Ngolo ijangwenyi.
\v 2 Kwa maruwa arobaini, na uko wageriwe ni ibilisi; makati ago ndajie chochose, na mwisho gwa makati ago wahisie njala.
\v 3 Ibilisi akamgoria, "ngelo we ni mvalwa wa Mlungu, jiamuru igwe iji kuka mkate."
\v 4 Jesu wamjibie, "Yaandikigwa, 'mundu ndaishi kwa mkate pekee."
\v 5 Kisha ibilisi wamlongozie igu kilelenyi cha lugongo, na akambonyeria gimbikwa rose ra dunia kwa muda mfupi.
\v 6 Ibilisi akamgoria, "Dimanakuneka mamlaka ga kutawala gimbikwa iri rose andu amweri na fahari rake. Nadima kubonya huwo kwa sababu vose va kabidhiwa kwapwa ni vita wale, na ndimaga kumneka wowose ndikundii kumneka.
\v 7 Kwa huwo, ngelo dima wanigogomia na kunitasa, vilambo ivi vose dimavaka vako."
\v 8 Ela Jesu wajibie na kumgoria, "Yaandikigwa, lazima umtase Mzuri Mlungu wako, na lazima udumikie ye mweni keri."
\v 9 Baadae ibilisi wamlongozie Jesu hata Yerusalemu na kumwika sehemu ya igu kabisa ya ijengo ja ihekalu na kumgoria, "ngelo we ni mvalwa wa Mlungu, kidage ndonyi kufuma aha.
\v 10 Kwa sababu yaandikigwa, "Dimawawalagiza malaika wake wakutunze na kukulinda,
\v 11 na dimawakanua igu mikonunyi kwawe ili kwamba usavavire magu yako igu ya igwe."
\v 12 Jesu akijibu wamgorie, "yenenigwa, "usamgerie Mzuri Mlungu wako."
\v 13 Ibilisi achameria kumgeria Jesu, wagendie chia rake na kumsiga hata makati gamwi.
\v 14 Kisha Jesu wawurie Galilaya kwa ndigi ra Ngolo, na habari kumhusu ye rikanea na kusambaa katika mikoa jirani yose.
\v 15 Wafundishie katika masinagogi yawe, na kila umweri wamsifie.
\v 16 Iruwa jimweri wagendie Nazareti, mzi ambago walelewe na kukulia. Sa andu yakee desturi yake wangie isinagoginyi maruwa gha sabato, na wakee kimsi kusoma maandiko.
\v 17 Wakabidhiwe igombo ja mlodi Isaya, huwo, wajirughurie igombo na akalolo andu kuandikigwe,
\v 18 "Ngolo wa Mzuri weko igu yapwa, kwa sababu wanikumbie mavuda kuhubiri habari riboie kwa maskini. Waniduma kutangaza uhuru kwa wafungwa, na kuwabonya huru waja wagandamizwaa,
\v 19 kuutangaza mwaka ambao Mzuri dimawabonyeria wema gwake."
\v 20 Kisha akajiruga igombo, akamwujia kilongozi wa isinagogi, na akakandonyi. Meso gawanda wose warikogo katika isinagogi gamguwie ye.
\v 21 Wawokie kuaria nawo akideda, "Linu iandiko iji jatimizigwa madunyi kwenyu."
\v 22 Kila umweri aja washuhudie chija wachidedie Jesu, na wengi miongonyi mwao washangazigwa ni madedo ga hekima garikogo gakifuma katika momu gwake. warikogo wakideda, uyu ni mdawana tu wa Yusufu, sio huwo?"
\v 23 Jesu akawagoria, "hakika dimamwadeda methali ihi kwapwa, "tabibu, kiponye mweni. Chochose dasikira ukibonya kapernaumu, chibonye aha pia kijijini kwako."
\v 24 Pia wadedie, "hakika ndawagoria inyo, ndakudae mlodi akubalikaga katika isanga jake."
\v 25 Ela ndawagoria inyo loli kwamba kurikogo na wakolo wengi Israeli katika kipindi cha Eliya, makati mbingu icharugwa kusake na vusa kwa miaka adadu na nusu, makati kurikogo na njala mbaha katika isanga jose.
\v 26 Ela Eliya ndadumiwe kwa wowose umweri wawe, ela kwa mkolo umweri tu wakaie serepta karibu na mzi gwa sidoni.
\v 27 Pia, kurikogo na wakoma wengi israeli katika maruwa ga Elisha Mlodi, ela ndakudae ata umweri wawe wakiriwe isipokuwa Naamini mundu wa siia.
\v 28 Wandu wose ndenyi ya isinagogi wachuiwe ni ghadhabu wachagasikira agagose.
\v 29 Wakeekimsi na kumsukumizia shigadi ya mzi, na kumlongoza mpaka andu kuko ukingo gwa lugongo lwa mzi ambapo mzi gwawe gwaagiwe igu yake, ili wadime kumdagandonyi.
\v 30 Ela waidie salama gadigadi yawe na akagenda chia rake.
\v 31 Kisha wateremkie Kapernaumu, katika mzi gwa Galilaya. Sabato imweri wakogo akifundisha wandu ndenyi ya isinagogi.
\v 32 Washangazigwe ni mafundisho gake, kwa sababu wafundishie kwa mamlaka.
\v 33 Idana maruwa ago ndenyi ya isinagogi, kurikogo na mundu warikogo na ngolo ya ipepo chafu, na walilie kwa sauti ya igu,
\v 34 "Dikona indoi na we, Jesu wa Nazareti? wacha kudikora? Ndaichi we ni ani! we ni mweli wa Mlungu!"
\v 35 Jesu wamkemia ipepo akideda, "Nyama kima, na umfume mundu uyu!" Pepo uja achamdaga mundu uja ndonyi gadigadi yawe, wamfumie uja mundu bila ya kumsababishia maumivu yoyose.
\v 36 Wandu wose washangae, na wandelee kuzungumzia ilago ija kila umweri na mbawe. Wakadeda, "Nimadedo ga aina ki aga?" adawaamuru ngolo wachafu kwa mamlaka na ndigi na wadainga."
\v 37 Huwo, habari igu ya Jesu raenee kila gasi katika maeneo gazunguluka mkoa ugo.
\v 38 Kisha Jesu waingie katika mzi ugo na akangia katika iwacha ja Simon. Idana, mkeka wake na simon wakogo adawawa ihoma jibirie na wakamsihi kwa niaba yake.
\v 39 Huwo, Jesu wamsogelee, akaikemia ija homa na ikamsiga. Gafla wakee kimsi na kawoka kuwatawaria.
\v 40 Iruwa jirikogo jikizama, wandu wamredie Jesu kila umweri wakogo mkongo na maradhi ga aina tofauti. Wawikie mikonu yake igu ya kila mkongo na akawakira wose.
\v 41 Mapepo pia gawafumie wengi wawe gakilila kwa sauti na kudeda, "We ni mvalwa wa Mlungu!" Jesu wawakemia mapepo na ndawaruhusie wadede, kwa sababu wamanyie kwamba ye warikogo ni Kristo.
\v 42 Makati kuchapambazuka, wagendie ieneo jisadae wandu. Makutano ya wandu warikogo wa kimlola na wakacha katika ieneo anduweko. Wajaribie kumzuia asagende kula na wo.
\v 43 Ela akawagoria, "Lazima pia nihubiri habari riboie ra ufalme gwa Mlungu katika mizi imwi mingi, kwa wuja ihi nio sababu nadumiwe aha."
\v 44 Kisha waendelee kuhubiri ndenyi ya masinagogi katika uyahudi gwose.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Basi yafumirie makati wandu wamkusanyikia na kumzunguluka Jesu na kusikira idedo ja Mlungu, ambapo warikogo wakakimsi mbai ya ziwa Genesareti.
\v 2 Wawonie mashua iwi rakumba nanga mbai ya ziwa wavuvi warikogo wafuma na wakiosha nyavu rawe.
\v 3 Jesu akangia katika mojawapo ya rija mashua, ambayo irikogo ya simon na kumlomba aigenje machinyi kula kidogo na ndoe kavu. Kisha akaka na kufundisha kufuma mashuenyi.
\v 4 Kudeda, akamgoria simon, "Igenje mashua yako mpaka kilindinyi cha machi nakusera nyavu rako ili kurwa samaki."
\v 5 Simoni wajibie na kudeda, Mzuri, dabonyie kazi kio chose, na ndadiwadie chochose, ela kwa idedo jako, dimanarisela nyavu.
\v 6 Wachabonya huwo wawikie andu amweri kiasi kibaha cha samaki na nguvu rawe rawokie kudusuka.
\v 7 Huwo wawashirie washirika wawe mashuenyi imwi aliwache na kuwatawaria. Wachee na kuri chura mashua rose, kiasi kwmba raanzie kuzama.
\v 8 Ela simoni Petro, achawona huwo, wagwie magotinyi pa Jesu akideda, "inga kwapwa, kwa sababu nyini mundu mweni zambi Mzuri."
\v 9 Kwa sababu washangazigwe, na wose wakogo andu amweri nae, kwa guvuvi gwa samaki warikogo waubonya.
\v 10 Iji jawajumuishe Yakobo na Yohana wavalwa Zebedayo, ambawo warikogo washirika wa Simoni. Na Jesu akamgoria simoni, "usaboe, kwa sababu kuwoka iji aha na kundelea dimawaruwa wandu."
\v 11 Wachazireda mashua rawe ndoe kavu, wasigie kila kilambo na kumnuga ye.
\v 12 Yafumirie kwamba warikogo katika mzi mmoja wapo, mundu wakogo wachua ukoma wakogo uko. Makati achamwona Jesu, wagwie akigogomisha wushu kwake mpaka ndonyi na kumlomba, akideda, "Mzuri, ikika udakundi, wadima kunielesha."
\v 13 Kisha Jesu wagagoa mkonu gwake na kumwada akideda, "Nakundi. Elesheka." Na saa ijayeni ukoma ukamsiga.
\v 14 "Wamlagizie asamgorie mundu wowose, ela wamgoria, "genda chia rako, na ukakibonyerie kwa makuhani na ufunye sadaka ya utakaso gwako, sawa sawa na chija Musa wachiamuru, kwa ushuhuda kwawe."
\v 15 Ela habari kumhusu ye rikanea kula nanganyi, na umati mbaha wa wandu ukacha andu amweri kumsikiria akifundisha na kukirwa makogo gawe.
\v 16 Ela mara kwa mara wakitengie faragenyi na kutasa.
\v 17 Yafumirie siku imweri kati ya iro siku wakogo akifundisha, na warikogo mafarisayo na walimu wa sheria waka aho ambawo wachee wakifumiria vijiji vingi tofauti katika mkoa gwa Galilaya na Yudea, na pia kufuma katika mzi gwa Yerusalemu. Ndigi ya Mzuri irikogo andu amweri nae kukira.
\v 18 Wandu kadhaa wachee, wamdwa mkekenyi mundu waolole, na wakalola chia ya kumwingia ndenyi ili kumtungurisha ndonyi imbiri ya Jesu.
\v 19 Ndawapatie chia ya kumwingira ndenyi kwa sababu ya umati, huwo wajokie igu ya ipaa ja iwacha na kumsera uja mundu ndonyi kuidia vigaenyi, igu mkeka gwake gadigadi ya wandu, imbiri kabisa ya Jesu.
\v 20 Akiguwa imani yawe, Jesu wadedie, "Amwedu, zambi rako wasamehewa."
\v 21 Waandishi na mafarisayo wawokie kuhoji ijo, wakideda, "Uyu ni ani adedaa makufuru? Ni ani adima kumsamehe zambi ela Mlungu mwenikeri?"
\v 22 Ela Jesu, akimanya indoi warikogo wakitenganya, wawajibie na kuwagoria, "kwa indoi mdakotiana iji miongonyi mwenu?
\v 23 Chiao ni rahisi kudeda, 'zambi rako rasamehewa' angu kudeda 'kakimsi ugende?'
\v 24 Ela mmanye ya kwamba mvalwa wa Adamu ako nayo mamlaka dunienyi ya kumsamehe zambi, ndakugoria we, 'wukia, wusa mkeka gwako na ugende nyumbenyi kwako."'
\v 25 Makati gaja geni akawukia imbiri yawe na akawusa mkeka gwake warikogo wautunguria kisha akawuya nyumbenyi kwake akimtukuza Mlungu.
\v 26 Kila umweri washangazigwa na wakamtukuza Mlungu. Wachuiwe ni hofu, wakideda, "Dawona malago gaseko ga kawaida linu."
\v 27 Baada ya malago aga kufumiria, Jesu wafumirie uko na akamwona mwada ushuru wawangiwe Lawi waka ieneo ja kuwikia andu amweri kodi. Akamgoria,: Nnuge."
\v 28 Huwo Lawi wanyanyukie na kumnuga, akisiga kila kilambo nyuma.
\v 29 Kisha Lawi waandae nyumbenyi kwake karamu mbaha kwa ajili ya Jesu. Warikogo wawada ushuru wengi kuja na wandu wengi wakee mezenyi wakija andu amweri nawo.
\v 30 Ela mafarisayo na waandishi wawe warikogo wakiwanung'unikia wanafunzi, wakideda, "kwa indoi mdaja na kunywa na wawada ushuru andu amweri na wandu wamwi wekona zambi?"
\v 31 Jesu wawajibie, "Wandu wekoo katika afya iboie ndawahitaji tabibu, ni waja tu wawaga nio wamhitaji umweri.
\v 32 Sichee kuwawanga wandu weni hachi wapate kutesiwa zambi, bali kuwawanga wengi zambi wapate kutesiwa zambi."
\v 33 Wakamgoria, "Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kutasa, na wanafunzi wa mafarisayo nawo hubonya woruwo. Ela wanafunzi wako huja na kunywa."
\v 34 Jesu akawagoria, "Idadimikana mundu wowose akawabonya wahudhurie arusi ya Mzuri arusi kufunga makati bwana arusi bado weko andu ameri nawo?
\v 35 Ela maruwa dimagacha makati bwana arusi achaingishwa kwawe, kwawe, niko katika maruwa ago dimawafunga."
\v 36 Kisha Jesu waarie pia kwawe kwa mfwano." Ndakudae achanaga kiwande cha nguwo kufuma ivazinyi wishi na kuchidumia kurekebisha ivazi ja kala. ngelo akabonya huwo, dimawairashua nguwo mbishi, na kiwande cha nguwo kufuma ivaziwishi kimacha ndachifaa kudumika na nguwo ya ivazi ja kala.
\v 37 Pia, ndakudae mundu ambae huwika divai mbishi viribenyi vibahabaha. ngelo akabona huwo, divai mbishi kumachayarashua chija chombo, na divai kumachayadika, na viriba kumacha vononeka.
\v 38 Ela divai mbishi lazima iwikwe viribenyi viwishi.
\v 39 Na ndakudae mundu baada ya kunywa divai ya kala, ndukundii mbishi, kwa sababu hudeda, "ya kala ni bora."
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Idana yafumirie sabatonyi kwamba Jesu wakogo akiida gadi gadi ya mbuwa ya nafaka na wanafunzi wake wakogo wakiwaya masuke, waka yasugua kati ya mikonu yawe wakaja nafaka.
\v 2 Ela baadhi ya mafarisayo wakadeda, "kwa indoi mdabonya kilambo ambacho si halali kisheria kuchibonya maruwa ga sabato?"
\v 3 Jesu wawajibie, akideda, "Ndamuwahie kusoma chija Daudi wabonya warikogo na njala, ye nawomi warikogo andu amweri nae?
\v 4 Wagendie katika iwacha ja Mlungu, na akawusa mikate ielie na kuija baadhi, na kuifunyama yakogo halali kwa makuhani kuija."
\v 5 Kisha akawagoria, "mvalwa wa Adamu ni Mzuri wa sababto."
\v 6 Yafumirie katika sabato imwi kwamba wagendie ndenyi ya isinagogi na kuwafundisha wandu uko. kurikogo na mundu ambae mkonu gwake gwa kujo urikogo waolola.
\v 7 Waandishi na mafarisayo warikogo wadamguwa kwa makini kuwona ngelo kumachawamkirakumachamkira mundu maruwa ga sabato, ili wadime kupata sababu ya kumshitaki kwa kubonya ikosa.
\v 8 Ela wamanyie warikogo wadatenganya na akadeda kwa mundu warikogo waolola mkonu, "Wukia, kakimsi aha gadi gadi ya kila umweri." Huwo uyo mundu akawukia na kukakimsi aja.
\v 9 Jesu akadeda kwawe, "Ndawakotia inyo, ni halali maruwa ga sabato kubonya gaboie angu kubonya madhara, kutesia angu kuganona?" Kisha wawaguwie wose na kumgoria uja mundu,
\v 10 "Gagoa mkonu gwako, "Akabonya huwo, na mkonu gwake wakogo wakirwa.
\v 11 Ela wachuiwe ni virea, wakaongeleshana weni kwa weni kuhusu indoi wadapaswa wabonye kwa Jesu.
\v 12 Yafumirie maruwa ago kwamba wagendie lugongonyi kutasa. Wandelee kio kizima kumtasa Mlungu.
\v 13 Ichaka kesho kio, wawangie wanafunzi wake kwake, na akawasagua kumi na iwi kati yawe, ambawo pia wawangie "Walodi."
\v 14 Marina ya waja walodi garikogo simoni (ambae pia wamwangie petro) na Andea mmbari wake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartholomayo,
\v 15 Mathayo, Tomaso na Yakobo mvalwa wa Alfayo, simoni, ambae wawangiwe zelote,
\v 16 Yuda mvalwa wa Yakobo na Yuda Iskariote, ambae wakogo msaliti.
\v 17 Kisha Jesu wasee andu amweri nawo fuma lugongonyi na kukakimsi andu tambarare. Idadi mbaha ya wanafunzi wake warikogo uko, andu amweri na idadi mbaha ya wandu kufuma uyahudi na Yerusalemu, na kufuma pwani ya Tiro na sidoni.
\v 18 Wachee kumsikira na kukirwa makongo gawe. Wandu warikogo wakigaishwa ni Pepo wachafu wakiriwe pia.
\v 19 Kila umweri kwenye ijo ikusanyiko wagerie kumwada kwa sababu ndigi ra ukiraji rakogo rikifumiria ndenyi yake, na wawakirie wose.
\v 20 Kisha wawaguwia wanafunzi wake, na kudeda,"Mwambarikiwa inyo mko maskini, kwa maana ufalme ghwa mlungu ni ghwenyu
\v 21 Mwabarikiwa inyo mko na njala iji aha, kwa maana dimamwa ghudishwa. Mwabarikiwa inyo mlilagaha ijiaha, kwa maana dimamwanyaeka.
\v 22 Mwabarikiwa inyo ambawo wandu wachamiza miwa na kuwatenga na kuwashutumu inyo kwamba mwawa zamie, kwaajili ya mwalwa wa Adamu.
\v 23 Boiwenyi katika maruwa agho na kuburukaburuka kwa furaha, kwa sababu hakikadaimwaka na thawabu mbaha mbingunyi, kwa maana waka aba rawhe wawabonyia waruwo huwao walodi.
\v 24 Ela ole wenyu mko matajili! kwa maana mwameria kupata faraja yenyu.
\v 25 Ole wenyu mko mghudie ijiaha! kwa maana dimamwawona njala baadae. Ole wenyu msekagha ijiaha! kwa maana dimamwalila kubaha kulila baadae.
\v 26 Ole wenyu, mchasifiwa na wandu wose! kwa maana waka abaa rawhe wawabonyia walodi watee woruwo huwo.
\v 27 Ela nadedakwenyu inyo mnisikiragha, wakundenyi walaghelaghe wenyu na kubonyaga boie kwa waja wami zamiwa.
\v 28 Wabarikinyi waja wawalaani inyo na watasienyi waja wawaoneaa.
\v 29 Kwake uja akukabagha idumbu jimweli, muaghukie na ja kawi. Ngelo mundu akakusoka ijoho jako usamzuilie na kazu.
\v 30 Mneke kila akulombagha. Ngelo mundu akakusoka kilambo ambacho ni mali yako, usamlombe akuwajie.
\v 31 Saandu mkundi wandu wawabonyie, na inyo wabonyeeni woruwo.
\v 32 Ngelo mkawakunda wandu wawakundii inyo tu, iyo ni thawabu ki kwenyu? kwa maana ata weni zambi huwakunda waja wawakundii.
\v 33 Ngelo mkawabonyia ghaboie waja wawabonyiagha inyo ghaboie, iyo ni thawabu ki kwenyu? kwamaana hata weni zambi hubonya woruwo.
\v 34 Ngelo mkakopesha vilambo kwa wandu ambawe mdategemea dimawami wujia, iyo ni thawabu ki kwenyu? Ataweni zambi huwakopesha weni zambi, na hutegemea kuwokera kiasi icho cheni sena.
\v 35 Ela wakundenyi walage lage wenyu na wabonyieni gaboie. Wakopesheni na msahofu kuhusu kuwujiriwa, na yhawabu yenyu dima yaka mbaha. Dimamwaka wavalwa wa ako igu, kwa sababu ye mweni waboie kwa wandu wasadae shukrani na wazamie.
\v 36 Iwenyi na mbazi, sa Aba wenyu andu akona mbazi.
\v 37 Msahukumu, na inyo ndamuhukumiwaa. Msalaani, na inyo ndamlaaniwa. Samehenyi wamwi, na inyo dimamwasamehewa.
\v 38 Wanekenyi wamwi, na inyo dimamwanekwa. Kiasi cha ukarimu - dimachadika magotinyi penyu. kwa sababu kwa kipimo chochose mtumiaga kupimia, kipimo icho cheni dimachatumika kuwapimia inyo."
\v 39 Kisha akawagoria mfwano pia, "Je mundu asawonaa adimaga kumlongoza mundu umwi asawonaa? ngelo wabonyie huwo, basi wose kumachawadidimia ishimonyi, je kumachandawadidimia?
\v 40 Mwanafunzi ndaka mbaha kuliko mwalimu wake, ela kila mundu akameria kufundishigwa kwa ukamilifu dimawaka sa mwalimu wake.
\v 41 Na kwa indoi basi udakiguwa kibanzi chiko ndenyi ya iriso ja mmbari wako, na boriti ikoo ndenyi ya iriso jako nduigwaa?
\v 42 Udimawada kumgoria mmbari wako; mmbari, nalomba nichifunye kibanzi chikoo ndenyi ya iriso jako; na we nduguwaa boriti boriti ikoo katika iriso jako mweni? mnafiki we! kwanza ifunye boriti katika iriso jako mweni, niko dimawawona nicha kufanya kibanzi katika iriso ja mmbari wako.
\v 43 Kwa sababu ndakudae mdi uboie uvaga matunda gazamie, wala ndakudae mdi guzamie uvaga matunda gaboie.
\v 44 Kwa sababu kila mdi hutambulika kwa matunda gake. kwa sababu A wandu ndawawaya tini kufuma minjwenyi, wala ndawawaya zabibu kufuma michongomenyi.
\v 45 Mundu aboie katika hazina iboie ya moyo gwake hufanya yaboie, na mundu wazamie katika hazina izamie ya moyo gwake kufunya gazamie. kwa sababu momu gwake hudeda gaja ga uchuraga moyo gwake.
\v 46 Kwa indoi mdaniwanga, 'Mzuri, Mzuri', na bado ndamgabonyaa gaja nidedaga?
\v 47 kila mundu achaga kwapwa na kugasikira madedo gapwa na kugabonyia kazi, dimanamibonyeria andu ako.
\v 48 Adafwana na mundu aagaga. iwacha jake, ambae hutoka ndonyi sena, na kuaga msingi wa iwacha ihu ya lwala imara. Mafuriko ga chacha, maporomoko ga machi gaikaba iwacha, ela ndagadimie kuitikisa, kwa sababu irikogo yaagwa nicha.
\v 49 Ela wowose asikiraga idedo japwa na ndajitiie; mfwano gwake ni mundu aagie iwacha igu ya ndoe kusadae msingi, mweda guchaiseria kwa ndigi, iwacha jija japatie maangamizi mabaha.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Baada ya Jesu kumeria kila kilambo warikogo adadeda kwa wandu wamsikiriege, akangia kapernaumu.
\v 2 Mtumwa fulani wa akida, warikogo wa thamani nanganyi kwake, warikogo mkongo nanganyi na warikogo karibu ya kufwa.
\v 3 Ela akika wasikira kuhusu Jesu, uja Akida wamdumie kilongozi wa kiyahudi, kumlomba ache kumtesia mtumwa wake ili asafe.
\v 4 Wachafika karibu na Jesu, wamsihie kwa bidii na kudeda, "adastahili kwamba udapaswa kubonya huwu kwa ajili yake,
\v 5 kwa sababu adajikunda itaifa jedu, na nie waagie isinagogi kwa ajili yedu."
\v 6 Jesu akaendelea na charo chake andu nawo. Ela kabla ndagendie kula na iwacha, afisa umweri wawadumie wamwedu wake kuaria nae. "Mzuri, usakichose mweni kwa sababu nyi sistahili we kungia darinyi yapwa.
\v 7 kwa sababu ihi siteganyie ata nyi mweni kuwa ndafaa kucha kwako, ela deda idedo tu na mtumishi wapwa dimawaboa.
\v 8 kwani nyi pia ni mundu niwikiwe mamlakenyi na nikona askari ndonyi yapwa. Hudeda kwa uyu "Genda" na hugenda, na kwa umwi, "cho" naye hucha, na kwa mtumishi wapwa 'bonya iki', na ye hubonya."
\v 9 Jesu wachasikira aga washangae, na kuwaagukia makutano warikogo wadamnuga na kudeda."Nawagoria, hata katika Israeli, siwahie kuwona mundu mweni imani mbaha sa uyu.
\v 10 kisha waja warikogo wadumwa wawurie nyumbenyi na kumdoka mtumishi akikamlanzi.
\v 11 fulani baada ya aga, yafumirie kuwa Jesu wakogo adasafiri kugenda mzi uwagwaga Na ini. Wanafunzi wake wakagenda andu amweri nae wakiambatana na umati gwa wandu.
\v 12 Achafika avui na Lango ja jiji guwa, mundu wafwie wakogo wanulwa, na ni mwana wa pekee kwa mae. Warikogo mkolo, na umati gwa wawakilishi kufuma jijinyi warikogo andu amweri nae.
\v 13 Achamwona, Mzuri wamsogelea kwa mbazi mbaha nanganyi igu yake na akamgoria, "usalile."
\v 14 kisha wasogea imbiri akajiwada ijeneza ambajo wanulia muwi, na waja wanulie wakakakimsi akadeda "mdawana nagora wakaia"
\v 15 Mfu akanuka na kuka ndonyi na waanzie kudeda. Kisha Jesu akamkabidhi kwa mae.
\v 16 Kisha hofu ikawachua wose. Wakandelea kumtukuza Mlungu wakideda "Mlodi mbaha wanuliwa miongonyi mwedu" na "Mlungu wawaguwa wandu wake"
\v 17 Hiri habari riboie ra Jesu rae nee Yudea yose na kwa mikoa yose ya jirani.
\v 18 Wanafunzi wa Yohana wamgoria malago aga gose.
\v 19 Niko Yohana akawaduma wawi wa wanafunzi wake na kuwaduma kwa Mzuri kudeda "We nie uja achaga, angu kuko mundu umwi dimguwe?
\v 20 Wachafika avui na Jesu awa wakadeda, "Yohana mbbatizaji waduduma kwako kudeda, 'we ni uja achaga angu kuko mundu umwi dimguwe?'
\v 21 Kwa makati ago wawakirie wandu wengi kufuma katika makongo na mateso, kufuma kwa ngolo wachafu, na kwa wandu wasawonaa wawanekie kuwona.
\v 22 Jesu wajibie na kudeda kwawe. "Baada ya kuka mwagenda andu mwafuma dimamwamanyisha Yohana mchiwonie na kuchisikira. Wasawonaa wadawokera kuwona na wasagendaa wadagenda, weni ukoma wadatakasika, wasasikiraga wadasikira, wafwie wadafufuliwa, na kuka hai sena, masikini wadagoriwa habari riboie.
\v 23 Na mundu ambae ndasigaa kunuamini nyi kwa sababu ya matendo gapwa wabarikiwa."
\v 24 Baada ya waja wadumiwe ni Yohana kuwuya andu wafumie, Jesu akawoka kudeda kwa makutano igu ya Yohana, "Mwagendie shigadi kuwona indoi, mwanzi ukika udatikiswa ni upepo?
\v 25 Ela mwagendie shigadi kuwona indoi, mundu warwie nicha? guwa wandu waja warwaga mavazi ga kigimbikwa na kuishi maisha ga starehe weko kweni nafasi ra wagimbikwa.
\v 26 Ela mdagenda shigadi kuwona indoi, Mlodi? Hee, ndadeda kwenyu na zaidi nanganyi kuliko Mlodi.
\v 27 Uyu nie waandikiwa, "Guwa, namduma mjumbe wapwa imbiri ya meso genyu, aandaaga chia kwa ajili yapwa,
\v 28 Nadeda kweyu, kati ya waja wavalwe ni mndumka, ndakudae mbaha sa Yohana, ela mundu asadae umuhimu nanganyi aishii na Mlungu andu akoye, dimawaka mbaha kuliko Yohana."
\v 29 Na wandu wose wachasikira aga andu amweri na wawada ushuru, watangazie kuwa Mlungu ni mweni hachi. Wakogo kati yawe waja wabatiziwe kwa ubatizo gwa Yohana.
\v 30 Ela mafarisayo na wataalamu wa sheria ra Kiyahudi, ambawo ndawabatiziwe na ye walemie hekima ra Mlungu kwa ajili yawe weni.
\v 31 Sena ndadima kuwa linganisha na indoi wandu wa kivazi iki? wakowada hasa?
\v 32 Wadafwana na wana wasarigaga andu kuko ieneo ja chete, wakaga na kuwagana umweri baada ya umwi wakideda, 'Dapulizie filimbi kwa ajili yenyu, na ndamvinie. Dalila kubaha na ndamlilie.'
\v 33 Yohana mbatizaji wachee ndajie mkate walandanywie divai, na mkadeda "Akona ipepo.
\v 34 Mvalwa wa mundu wacha waja na kunywa na mkadeda, "Angali wamlafi na mlevi, amwedu wa wawada ushuru na weni zambi!
\v 35 Ela hekima yatambulika kuwa ikona hachi kwa wana wake wose."
\v 36 Umweri wa Mafarisayo wamlombie Jesu agende kuja andu amweri nae. Baada ya Jesu kungia iwachenyi ja farisayo, waegemee mezenyi ili aje.
\v 37 Guwa kurikogo na mndumka umweri katika jiji ijo warikogo nazambi. Wagundue kuwa wakogo na zambi. Wagundue kuwa wakogo waka kwa farisayo, akareda chupa ya manukato.
\v 38 Wakeekimsi nyuma yake avui na magu gake uku akilila. Sena wawokie kulowanisha magu gake kwa machozi, na kuifuta kwa njwira chongo chake, akiibusu magu gake na kuivia manukato.
\v 39 Na uja Farisayo warikogo wamwalika Jesu achamwona huwo, akaririkanya mweni akideda, "Ngelo uyu mundu kumachawaka mlodi, kumacha waichi uyu ni ani aina ki ya mndumka amwadaga, ya kuwa ni mweni zambi.
\v 40 Jesu wajibie na kumgoria, "Simoni nkona kilambo cha kukugoria. "Akadeda" "Chidede tu mwalimu!"
\v 41 Jesu akadeda "kurikogo na Walawi gwa wawikwa mkopeshaji umweri. Umweri wakogo adalawigwa dinari maga na asanu na wa kawi walawiwege dinari hamsini.
\v 42 Na warikogo ndawadae magome ga kumshana wawasamehe wose. Idana ni ani dimawamkunda nanganyi?
\v 43 Simoni wamjibie na kudeda, "Nadhani uja wasamehewe nanganyi Jesu akamgoria, "Wahukumu kwa usahihi."
\v 44 Jesu akamuagukia mndumka na kudeda kwa simoni, "udawona uyu mndumka. Nangia nyumbenyi kwako. Nduninekie machi kwa ajili ya magu gapwa, ela uyu, kwa machozi gake, walowanishe magu gapwa na kugafuta kwa njwi rake.
\v 45 Ndunibusie, ela ye, tangu wangirie umu ndasigie kunibusu magu gapwa.
\v 46 Ndugavie magu gapwa kwa mavuda, ela wagavia magu gapwa kwa manukato.
\v 47 Kwa ilago iji, ndakugoria kwamba wakogo na zambi nyingi na wasamehewa nanganyi, na pia wakundie nanganyi. Ela wasamehe ki tineri tu."
\v 48 Baadae akamgoria mndumka, "zambi rako rasamehewa"
\v 49 Waja wakee mezenyi andu amweri nae wakawoka kudedezana weni kwa weni, 'Uyu ni ani mpaka adawasamehe zambi?"
\v 50 Na Jesu akamgoria mundumka, "Imani yako yakutesia. Genda kwa amani"
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Yafumirie muda mfupi baadae kwamba Jesu waanzie kusafiri katika mizi na jiji tofauti, akihubiri na kutangaza habari riboie ra ufalme gwa Mlungu na waja kumi na wawi wagendie andu amweri nae,
\v 2 Woruwo wakafulani warikogo wakirwa kufuma kwa ngolo wachafu na makongo tofauti. Warikogo ni Mariamu wawangiwe magdalena ambae warikogo wafungigwa pepo saba.
\v 3 Yohana mka wa kuza na meneja wa Herode, susana, na waka wamwi wengi, wafunyie mali rawe kwa ajili yawe weni.
\v 4 Na baada ya umati gwa wandu kukwana andu amweri, wakiwemo na wandu wachee kwake fuma mzi tofauti, akaaria nawo kwa kudumia mifwano.
\v 5 "mwaji wagendie kwa mbeu, warikogo akiwa, baadhi ya mbeu iro ragwie mbai ya chia rikawadigwa ndonyi ya magu, na wanyonyi wa angenyi wakarija.
\v 6 Mbeu rimwi ragwie igu ya ndoe ya lwala na richa buka na kuka miche richavunda kwa sababu ndakurikogo na unyevu nyevu.
\v 7 Mbeu rimwi ragwie midinyi ya minjwa, nayo iyo midi ya minjwa ikazogua andu amweri na rija mbeu na rikasongwa.
\v 8 Ela mbeu rimwi ragwie ndoenyi ifaaga na rawae mazao mara igana nanganyi. "Baada ya Jesu kudeda malago aga, wafunyie mbaha sauti, "Wowose akona madu ga kusikira na asikire."
\v 9 Sena wanafunzi wake wakamkotia maana ya mfwano ugo,
\v 10 Jesu akawagoria, 'mwanekigwa upendeleo gwa kumanya kiviso cha ufalme gwa Mlungu, ela wandu wamwi dimawafundishigwa tu kwa mifwano, ili kwamba 'wakiwona wasawone na wakisikira wasaelewe.'
\v 11 Na ihi nio maana ya mfwano ugu. mMbeu ni idedo ja Mlungu.
\v 12 Mbeu rija rigwie mbai mbai ya chia nio waja wandu wajisikiraga idedo, na baadae mwovu shetani hujiwusa kula kufuma moyonyi, ili kwamba wasaamini na kutesiwa.
\v 13 Kisha na rija rigwie lwalenyi ni wandu waja wasikiraga idedo na kujiwokera kwa furaha ela ndawadae miri yoyose, wadaamini tu kwa muda mvui, na makati ga kugeriwa hugwa.
\v 14 Na mbeu rija rigwie injwenyi ni wandu wasikiraga idedo, ela wakiendelea kuzogua husongwa na huduma na utajiri na ubora gwa maisha aga na ndawaa matunda.
\v 15 Ela rija mbeu rigwie ndoenyi iboie ni waja wandu, ambawo ni wanyenyekevu na mioyo iboie, baada ya kujisikira idedo hujiwadiria na jikaka salama na kuva matunda ga kuririmira.
\v 16 Idana, ndakudae hata umweri, awashagataa na kifunuka kwa ibakuli angu kuiwika ndonyi ya kitanda. Badala ya kuwika kina renyi cha taa ili kwamba kila umweri angiagha apate kuiwona.
\v 17 Kwa wuja ndakudae chijivisaa ambacho chisamanyikane, angu chochose chikoo kivisoni ambacho chisamanykane kikika mwangenyi.
\v 18 Kwa huwo kuwa makini andu ukaka udasikira kwa sababu ako nacho, kwake dimawachurigwa nanganyi, ela asadae nacho hata chija kitini akoo nacho dima chawusigwa."
\v 19 Baadae mae Jesu na wambari wake wakacha kwake ndawakaribie kwa sababu ya umati wa wandu.
\v 20 Na wataarifiwe, "Moyo na wambari wako weko aja shigadi wadahitaji kukuwona na we.
\v 21 Ela Jesu wajibie akideda, "mawe wapwa na wambari wapwa ni waja wajisikiraga idedo ja Mlungu na kujitii."
\v 22 Yafumirie siku iumweri katika siku rija Jesu na wanafunzi wake wajokie mtumbwinyi, na akawagoria, "Na duluwuke kimonu cha kawi cha ziwa." Wakandaa mashua yawe.
\v 23 Ela wachawoka kuinga, Jesu akatungura dilo, na dhoruba mbaha yeni upepo, na mashua ya we ikawoka kuchua machi na warikogo hatarinyi mbaha nanganyi.
\v 24 Baadae wanafunzi wake wakacha kwake na kumwusira, wakideda, "Mzuri mbaha! Mzuri mbaha! diko avui kufwa! 'Akawukia na akagukemia upepo na mawimbi ga machi vikatulia na kukaka na utulivu.
\v 25 Sena akawagoria, 'Imani yenyu iko hao? 'wakaboa, washangae, wakadedezana kila umweri na mbawe, "Uyu ni ani, kiasi kwamba adaamuru hata upepo, na machi na hutii?"
\v 26 Wafikie mzinyi gwa Gerasini ikoo luwande lwa nyuma ya Galilaya.
\v 27 Jesu wachasea na kuwadia ndoenyi, mundu fulani kufuma mzinyi, akakwana nae, na uyu mundu warikogo na ndigi ra kira. na wakogo ndaishi nyumbenyi, ela waishie makaburinyi.
\v 28 Wachamwona Jesu akalila kwa sauti, na akagwa ndonyi imbiri yake. Kwa sauti mbaha akideda, Nabonyaa indoi kwako, Jesu mvalwa wa Mlungu akoo igu? Nakusihi, usani adhibu nyi"
\v 29 Jesu waamuru ngolo chafu imu inge mundu uja, kwa wuja maranyingi wampagaa. Hata kama wakogo wafungwa minyororo na kubanwa na kuwikigwa ndonyi ya ulinzi, wachukanyie vifungo na kuendeshigwa ni mapepo hata ijangwenyi.
\v 30 Jesu akamkotia, "Irina jako ni ani?" wajibie akadeda, "Legioni" kwa maana mapepo wengi gangia kwake.
\v 31 Wakandelea kukimsihi usadiamuru digende ishimonyi.
\v 32 Ikundi ja nguwe jirikogo jikilishigwa igu ya duchugongo, wakamsihi awaruhusu wangie kwa awo nguiwe. Na akawaruhusu kubonya huwo.
\v 33 Kwa huwo waja mapepo wakamfuma mundu uja na kungia kwa waja nguwe, na jija ikundi jikakimbia mwinukonyi gwa lugongo hata ziwenyi na wadidimie uko.
\v 34 Waja wandu warikogo wadalissha waja nguwe wachawona chifumirie, wakakimbia na wakafunya taarifa aja mzinyi na shigadi katika mizi iwa zungulukie.
\v 35 Wandu wachasikira ago wagendie kuwona chifumirie, na wakacha kwa Jesu na wakamwona mundu ambae mapepo garikogo gamuinga. Wakogo warwa nicha na mweni akili timamu, waka magunyi kwa Jesu, na waboa.
\v 36 niko umweri wawe wawonie chifumirie wawokie kuwasimulia wamwi jinsi uyu mundu warikogo adalongozigwa ni mapepo andu wakirwa.
\v 37 Wandu wose wa mkoa gwa Wagerasi na maeneo gazungulukie wamlombie Jesu ainge kwawe kwa sababu wakogo na hofu mbaha. Na wangirie mtumbwinyi ili awuye.
\v 38 Mundu uja wafumiwe ni ipepo wamsihie Jesu kugenda nae, ela Jesu akamgoria agende na kudeda,
\v 39 "Wuya nyumbenyi kwako na utale gaja gose ambago Mlungu wakubonyia" Uyu mundu waingie, akitangaza kose katika mzi gwa gwose gaja gose ambago Jesu ahabonyie kwa ajili yake.
\v 40 Na Jesu wawurie, makutano wamkaribishie, kwa sababu wose wakogo wakimweseria.
\v 41 Guwa akcha mundu umweri adawangwa Yairo ni umweri kati ya vilongozi katika isinagogi. Yairo akagwa magunyi kwa Jesu na kumsihi agende nyumbenyi kwake,
\v 42 Kwa sababu wakogo na mwana mwai umweri tu, mweni umri wa miaka kumi na iwi, na wakogo ya kufwa. Na warikogo akigenda, makutano warikogo wakisongana dhidi yake.
\v 43 Mndumka mweni kufuma baga kwa mirongo kumi na iwi wakogo aja na wadumia pesa rose kwa waganga, ela ndakudae wamkire hata umweri,
\v 44 Wachee nyuma ya Jesu na kuwada ipindo ja ivazi jake, na gafla kufumwa baga kukasiga.
\v 45 Jesu akadeda, "Aniambae waniwada?" Wachalega wose, Petro akadeda, Mzuri mbaha, umati gwa wandu wadakusukuma na wadakusonga."
\v 46 Ela Jesu akadeda," mundu umweri waniwadie, maana namanyie ndigi rafuma kwapwa."
\v 47 Mndumka wachawona ya kuwa ndadimaa kavisa wachibonyie, wawokie kutetemeka, akagwa ndonyi imbiri ya Jesu watangazie imbiri ya wandu wose sababu riboyie amwade na wuja andu wakirwa gafla.
\v 48 kisha wadedie kwake, "mwai, imani yako yakubonya uke banana. Genda kwa amani."
\v 49 Warikogo akiendelea kudeda, mundu umweri akacha kufuma nyumbenyi ya kilongozi wa isinagogi, akideda, "Mwai wako wafwa. Usamgaishe mwalimu."
\v 50 Ela Jesu achasikira huwo, wamjibie, "Usaboe Amini tu, na dimawatesiwa."
\v 51 Kisha achangia kweni ijo iwacha, ndaruhusie mundu wowose kungia andu amweri nae, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, ndee wa mwai, na mae.
\v 52 Idana wandu wose warikogo wadalila kubaha na kufunya sauti kwa ajili yake, ela akadeda, "msakabe jogo, ndafwie, ela watungura tu."
\v 53 Ela wakamseka kwa dharau, wakimanya kwa wafwa.
\v 54 Ela ye, akamwada mwai mkonu, akawanga kwa sauti, akideda, "mwanaa, wukia."
\v 55 ngolo yake ikamchea, na akawukia makati ago geni. Akaamrisha kwamba, anekwe kilambo fulani ili aje.
\v 56 Wavazi wake washangae, ela wawaamuru wasamgorie mundu chirikogo chafumiria.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Akawawanga waja kumi na iwi andu amweri, akawaneka uwezo na mamlaka igu ya mapepo gose na kukira makongo.
\v 2 Akawaduma wagende kuhubiri ufalme gwa Mlungu na kukira wakongo.
\v 3 Akawagoria, "Msawawuse chochose kwa ajili ya charo chenyu wala fimbo, wala mkoba, walaa mkate, wala magome wala msawuse kazu iwi.
\v 4 Iwacha jojose mjingiaga, kenyi umo mpaka mchainga andu aho.
\v 5 Na kwa waja wasawokera, mchainga mzi uo, kikung'utenyi luvumbi katika magu genyu kwa ushuhuda igu yawe.
\v 6 Wakainga na kugenda kuidia vijijinyi, wakitangaza habari iboie na kukira wandu kila andu.
\v 7 Idana Herode, mtawala, wasikire gose garikogo gakifumiria wataabikie nanganyi, kwa sababu yadedikana na baadhi kwamba Yohana mbatizaji wafufuka kufuma kwa wafwie,
\v 8 na baadhi kwamba Eliya wameria kufumiria, na kwa wamwi kwamba umweri wa walodi wa kala wafufuka katika wafwie sena.
\v 9 Herode wadedie, "Namchinjie Yohana, ela uyu ni ani nisikiraga habari rake? Na Herode walolie chia ya kumwona Jesu.
\v 10 Makati wachawuya waja wadumiwe, wakamgoria kila kilambo wachibonyie. Akawawusa andu amweri nae, akagenda mwenikeri katika mzi uwangwaga Bethsaida.
\v 11 Ela makutano wakasikira kuhusu iji wakamnuga, na wawakaribishie, na akaaria nawo kuhusu ufalme gwa Mlungu, na wawakira waja wahitajie ukiraji.
\v 12 Maruwa gha kawoka kusia, na waja kumi na iwi wakagenda kwake na kudeda, "Watapanye makutano kwamba wagende katika vijiji va avui na mzinyi wakalole mapumziko na vindo, kwa sababu diko ieneo ja nyikenyi."
\v 13 Ela akawagoria, "Inyo wanekenyi kilambo cha kuja." Wakadeda" Ndadedie zaidi ya viwande visanu va mikate na samamki wawi, isipokuwa kumachadagenda na kugula vindo kwa ajili ya ikusanyiko iji ja wandu."
\v 14 Kurikogo na womi wapataga elfu isanu aja. Akawagoria wanafunzi wake. "Wakalishenyi ndonyi katika makundi ga wandu wapataga hamsini kwa kila ikundi.
\v 15 kwa huwo wakabonya huwo na wandu wakaka ndonyi.
\v 16 Akawusa mikate asanu na samaki wawi na akaguwa mbingunyi, akavibariki, na kivibega katika viwande, akawaneka wanafunzi wake ili wawike imbiri ya makutano.
\v 17 Wose wakaja na wakamguda, na viwande va vindo visangalikie vosho igwe na kuchura ngau kumi na iwi.
\v 18 Nayo ikaka kwamba, warikogo akitasa mwenikeri, Wanafunzi wake wakogo andu amweri nae, na akawakotia akideda, "Wandu hudeda nyi ni ani?"
\v 19 Wajibie, wakadeda, "Yohana mbatizaji, ela wamwi hudeda Eliya, na wamwi hudeda umweri wa walodi wa matuku ga kala wafufuka sena."
\v 20 Akawaghalia, "Ela imyo mwadeda nyiniani?" Wajibie Petro akadeda, "Kristo kufuma kwa mlungu."
\v 21 Ela kwa kuwakasha, Jesu akawaela keza kutomghoria wowose ighuya iji.
\v 22 akadeda kwamba mvalwa wa Adamu lazima ateseke kwa mlagho mengi na kuleghwa niwa ghosi na Makuhani wabaha na waandishi, na dimawabwagha, na maruwa gha kadadu dimawafufuka.
\v 23 Akawaghoria wose,"ngelo mundu wowose akakunda kuninugha, lazima akikane mweni, awase msalaba ghwake kila siku na aninughe.
\v 24 Wowose agheriagha kughatesi maisha ghake ima waghalaghasha, ela wowose alaghashagha mai shaghake kwa faida yapwa, imawaghasha tesi.
\v 25 Je dimjamfaidia indoi mdamu, ngelo akaupata urumwengu ghwose, ela akalaghasha anguakapata hasara ya nafsi yake?
\v 26 Wowose achaniwonia whaya nyi na mdedo ghapwa, ye mvalwa wa Adamu dimawamwonia whaya achaka katika utukufu ghwake na utukufu ghwa Aba na malaika weli.
\v 27 Ela ndawagholia loli, kuko baathi yenyu wakagha kimsi aha, ndawaonjagha umauti mpaka wauwone ufalme ghwa mlungu."
\v 28 Ikafumiria idapata maruwa nane baada ya Jesu kudeda madedo agha kwamba akawawusaandu amweri nae Petro, Yohana, na Yakobo, wakajoka lughongonyi kutosa.'
\v 29 Na warikogho katika kutasa mwonekano ghwa washu ghwake ghwabadilikiwe, na mavazi ghake ghakaka gha chokwa na gha kuela.
\v 30 Na guwa, warikogho womi wawi wakiarianae! wakogho Musa na Eliya.
\v 31 wawonekanie katika utukufu. Waarie kuhusu kuighwa kwake, ilagho ambajo wakaribie kujitimiza Yerusalemu.
\v 32 Idana Petro nawaja warikogho andu amweri nae warikogho katika dilo nzito. Ela wachawakia wauwonie utukufu ghwake na womi wawi wari kogho wakakimsi andu amweri nae.
\v 33 Ika fumiria kwamba warikogho wakiinga kwa Jesu, Petro "Mzuri, ni chakwedu kuka aha na idadipasa dibonye makazigha wandu wadadu. Dibonye jimweli kwa ajiliyako jimweli kwa ajili yaMusa, na jimweli kwa ajili ya Eliya'. Ndaloelewa arikogho akichiaria.
\v 34 Warikogho akideda agho, jikachaidulu na jikawafunika; na waboa wachawona wazungulukwa ani idulu.
\v 35 Sauti ikafuma idulunyi ikadeda, "Uyu ni mwanapwa mteule. Msikienyi ye."
\v 36 Sauti ichanyama kima, Jesu wakogo mwenikeri. Wakee kimumure, na katika maruwa ago ndawamgorie wowose jojose miongonyi mwa wagawonie.
\v 37 Iruwa jifumirie, baada ya kuinga lugongonyi, kusanyiko baha ja wandu jakwana nae.
\v 38 Guwa, mndumumi kufuma ikusanyikonyi wa lilie kwa sauti, akideda, "mwalimu ndakulomba umguwe mwanapwa wa pekee.
\v 39 Udawona ngolo chafu humwada, na mara hukaba jogo, na pia hubonya achanganyikiwe na kufuma ipovu momunyi. Nayo humfuma kwa shida, ikimsababishia maumivu makali.
\v 40 Nawasihie wanafunzi wako kuikemia iinge. Ela ndawadimie."
\v 41 Jesu wajibie akadeda, "Inyo kivazi chisaamini na chipotekie, mpaka lidimanaka na inyo na kuwusiana na inyo? mrede mwanako aho."
\v 42 mdawona warikogo adacha, ngolo chafu ikamgwisha ndonyi na kumtikisa kwa fujo. Ela Jesu waikemia ija ngolo chafu, wamkira mdawana, na wamkabidhi kwa ndee.
\v 43 Wose washngazigwa na ubaha gwa Mlungu. Ela warikogo wakistaajabu wose kwa malago gose gafumirie, akadeda kwa wanafunzi wake,
\v 44 "Madedo gamikee madunyi kwenyu, kwa wuja mvalwa wa adamu dimawafunywa mikonunyi mwa wadamu."
\v 45 Ela ndawaelewe maana ya madedo ago, na gavisigwe mesonyi kwawe, ili wasache wakajielewa. Waboa kumkotia kuhusu idedo ijo.
\v 46 Kisha mgogoro gwawokie kuibuka miongonyi mwao igu ya ani kumacha aka mbaha.
\v 47 Ela Jesu achamanya warikogo wakihojiana mioyoni, kwawe, wamusie mwana mtini, na kumwika luwande lwake,
\v 48 Na akadeda, "Ngelo mundu wowose akamwokera mwana mtini kama uyu kwa irina japwa, aniwokera nyi pia, na wowose akaniwokera nyi, amwokera pia wanidumie, kwa wuja akoo mtini kati yenyu wose nie ako mbaha."
\v 49 Yohana wajibie akadeda, "Mzuri, damwonie mundu akibingisa ipepo kwa irina jako na dikamzuia, kwa sababu ndaapatana na isi."
\v 50 Ela Jesu akamgoria, "Usamzuie, kwa wuja asadae kinyume na inyo ni wa kwenyu."
\v 51 Ikafumiria kwamba, kulingana na maruwa andu geko gakikaribia maruwa gake ga kugenda mbvingunyi, kwa uimara waelekeza wushu gwake Yerusalemu.
\v 52 Akaduma wajumbe imbiri yake, nawo wakagenda na kungia katika kijiji cha wasamaria ili watayarishe mahali.
\v 53 Ela wandu uko ndawamwokerie, kwa sababu wakogo waelekeza wushu gwake Yerusalemu.
\v 54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana wachajiwona iji, wakadeda, "Mzuri ukundi diamuru modo usee ndonyi kufuma mbingunyi uwateketeze?"
\v 55 Ela wawagukie akawakemia.
\v 56 Kisha wagendie kijiji chimwi.
\v 57 Warikogo wakigenda katika chia yawe, mundu umweri akamgoria, "Dimanakunuga kokose ugendaga."
\v 58 Jesu akamgoria, "makoshi ga isakenyi gakona mashimo, wanyonyi waangenyi wakona viota, ela mvalwa wa Adamu ndadae kwa kutungurisha chongo chjake."
\v 59 Niko akamgoria mundu umwi, "Nnuge." Ela ye akadeda, "Mzuri, niruhusu kwanza nigende kumrika Aba wapwa."
\v 60 Ela ye akamgoria, "Wasige wafwie wawarike wafwie wawe, ela we genda ukautengeneze ufalme gwa Mlungu kila andu."
\v 61 Pia mundu umwi akadeda. "Dimanakunuga, Mzuri, ela niruhusu kwanza nikawalage wakoo katika iwacha japwa."
\v 62 Ela Jesu akamgoria ndakudae mundu, akumbaga mkonu gwake kulima na kuguwa nyuma afaaga kwa ufalme gwa Mlungu."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Baada ya malago ago, Mzuri wasague sabini wamwi, na kuwaduma wawi wamkirie katika kila mzi na ieneo watarajie kugenda.
\v 2 Akawagoria, "Mavuno ni mengi, ela wabonyakazi ni watineri. Huwo basi mlombenyi Mzuri wa mavuno, ili kwamba adume kuruwa ruwa wabonya kazi katika mavuno gake.
\v 3 Gendenyi katika mzi. Guwenyi, ndawaduma sa ng'ondi gadigadi ya makoshi ga isakenyi.
\v 4 Msanue mfuko gwa magome, wala mikoba ya wacharo, wala vadu, wala msalamse wowose chienyi.
\v 5 Katika iwacha jojose mjingiaga, kwanza dedenyi, "Amani ike katika iwacha iji.'
\v 6 Ngelo mundu wa amani ako aja, amani yenyu dimayasangalika igu yake, ela ngelo siko, dimanyawuya kwenyu.
\v 7 Bakinyi katika iwacha ijo jenyi na mnywe wa chakifunya, kwa maana mbonyakazi adastahili mshahara gwake. Msahame kufuma iwacha iji kugenda jimwi.
\v 8 Mzi gwose mmingiaga, na wakawawokera jenyi chochose chimwi kwaga imbiri yenyu,
\v 9 na kirenyi wakongo wakoo umo. Dedenyi kwawe; ufalme gwa Mlungu gwacha avui yenyu'
\v 10 Ela katika mzi gwogwose mchangia, na wasawokere, gendenyi shigadi katika barabara na dedenyi,
\v 11 'Hata luvumbi katika mzi gwenyu lunatie magunyi kwedu didalukung'uta dhidi yenyu! ela manyeni iji, ufalme gwa Mlungu gwakaribia.'
\v 12 Ndawagorienyi kwamba maruwa ga hukumu dimayaka ni ustahimilivu nanganyi kwa sodoma kuliko mzi ugo.
\v 13 Ole kwako korazini, ole kwako Bethsaida! ngelo kazi mbaha ribonyikie ndenyi yako kumacha yabonyika Tiro na sidoni, kumachawatesiwa zambi kala nanganyi, wakika ndenyi ya nguwo ra gunia na maivu.
\v 14 Ela dimayaka ustahimilivu nanganyi maruwa ga hukumu kwa Tiro na Sidoni zaidi yenyu.
\v 15 We kapernaumu, udatenganya dimawanuliwa mpaka mbingunyi? Aa, dimawaserigwa ndonyi mpaka kuzimu
\v 16 Awasikiraga inyo adanisiokira nyi, na wowose achalega adanilega nyi, na wowose anilegaga nyi adamlega wanidumie"
\v 17 Waja sabini wawurie kwa furaha, wakideda, "Mzuri, hata mapepo wadaditii katika irina jako."
\v 18 Jesu akawagoria, "Namwonie shetani akigwa kufuma mbingunyi sa radi.
\v 19 Guwa, nawaneka ga kuwadia choka na nge, na ndigi rose ra mlage lage, na ndakudae chochose kwa chia yoyose chiwadhuru.
\v 20 Hata huwo msaboiwe tu katika iji, kwamba ngolo ridawatii, ela boiwenyi nanganyi kwamba marina genyu gaandikigwa mbingunyi."
\v 21 Katika makati gaja geni waboiwe nanganyi katika Ngolo wa kuela, na kudeda, "Ndakutogola we, Aba, Mzuri wa mbingu na dunia, kwa sababu wagavisa malago aga kufuma kwa weni hekima na akili, na kugafunukula kwa wasafundishwaga, sa wana watini, "Hee, Aba, kwa wuja yapendezie mesonyi kwako."
\v 22 "kila kilambo chakabidhiwa kwapwa na Aba wapwa, na ndakudae amanyaga mvalwa ni ani ela Aba, na ndakudae amanyaga Aba ni ani ela mvalwa, na wowose ambae mvalwa hutamani kukifunukula kwake."
\v 23 Akawaagukia wanafunzi, akadeda faragani, "Wabarikiwa wagaoga aga ambago inyo mdagawona.
\v 24 Ndawagoria inyo, kwamba walodi wengi na wagimbikwa watanmanie kuwona malago mgawonaga, na ndawagawonie, na kusikira mgasikiraga, na ndawagasikire."
\v 25 Guwa, mwalimu fulani wa sheria ya kiyahudi wakeekimsi na kumgeria, akideda, "mwalimu nibonyei niipale banana ya kala na kala?"
\v 26 Jesu akamgoria, "Chaandikigwa indoi katika sheria? udaisoma wada?"
\v 27 Wajibie akadeda, "Dimawamkunda Mzuri Mlungu wako kwa moyo gwako gwose, kwa ngolo yako yose, kwa ndigi rako rose, na kwa akilirako rose, na jirani yako sa nafsi yako mweni."
\v 28 Jesu wadedie, "Wajibu kwa usahihi. Bonya uwu na dimawasihi."
\v 29 Ela mwalimu, akitamani kakitalia hachi mweni, Akamgoria Jesu, "Na jirani wapwa ni ani?"
\v 30 Jesu wajibie akadeda, "Mundu fulani wakogo akisea kufuma Yerusalemu kugenda Yeriko. Akagwia kati ya wanyang'anyi, wamsokie mali yake, na kumkaba na kumsiga avui akika nusu wafwie.
\v 31 Kwa bahati kuhani fulani wakogo akisea katika chia iyo, achamwona waidie luwande lumwi.
\v 32 Woruwo mlawi pia, wachafika andu aja na kumwona, akaida luwande lumwi.
\v 33 Ela msamaria umweri, warikogo akibonya charo, waidie aja warikogo mundu uyo. Achamwona, wasukumiwe kwa mbazi.
\v 34 Wamkaribia na kumruga vonda vake, akivia mavuda na divai igu yake. Wamjosa igu ya mnyamandu wake, na kumgenja katika iwacha ja wagenyi na kumtawaria.
\v 35 Iruwa jinugirie wawusie dinari iwi, na akamneka mmiliki wa iwacha ja wagenyi na kumgoria, "mtawarie na chochose cha ziada utumiaga, dimanakushana nichawuya."
\v 36 Ni yuwao kati ya awa wadadu, uteganyaa, wakogo ni jirani kwake ye wagwie kati ya wanyang'anyi?"
\v 37 Mwalimu wadedie, "Ni uja wabonyerie mbazi kwake." Jesu akamgoria, "Genda na ukabonye woruwo uwo."
\v 38 Idana warikogo wakibonya charo, wangirie katika kijiji fulani, na mndumka umweri irina jake matrha wakamkaribisha nyumbenyi kwake.
\v 39 Wakogo na dada awangwie mariamu, wakee magunyi kwa Mzuri na kusikira idedo jake.
\v 40 Ela martha wakinekie shuguli nyingi ra kuandaa mlo. Wagendie kwa Jesu, na kudeda, "Mzuri, ndujali kwamba dada wapwa wanisiga nitaware mwenikeri? Huwo basi mgorie anitawarie."
\v 41 Ela Mzuri wajibie na kumgoria, "Martha, Martha, udagaya igu ya malago mengi,
\v 42 Ela ni kilambo chimweri tu cha muhimu. Mariamu wasagua chiko chiboie, ambacho ndachiinjigwa kufuma kwake."
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Yafumirie makati Jesu warikogo adatasa andu fulani, umweri wa wanafunzi wake wamgoria, "Mzuri, difundishe isi kutasa sa Yohana wawafundishie wanafunzi wake.'
\v 2 Jesu akawagoria, andu mkisali, dedenyi, 'Aba, irina jako jigimbikwe. Ugimbikwa gwako uche.
\v 3 Udineke mkate gwedu gwa kila siku.
\v 4 Udisamehe makosa gedu, ngelo nasi diwasamehe wose wadikosea. Usadilongoze katika kugeriwa."
\v 5 Jesu akawagoria, "Ni ani kwenyu dimawaka na amwedu, ambae dimawagendia kio, na kumgoria, Amwedu niazime mikate adadu.
\v 6 Kwa sababu amwedu wapwa wanichea iji aha kufuma charonyi, na nyi sidae cha kumuandalia.'
\v 7 Na uja ako ndenyi wamjibie, usanitaabishe, mjango wameria kurugwa, na wana wapwa, andu amweri nanyi dameria kutungura kitandenyi. Sidimaga kuwikia na kukuneka we mikate.
\v 8 Ndawagoria, japokuwa ndawukia na kukuneka mikate sa amwedu wake, kwa sababu ya kuendelea kumweseria bila waya, dimawawukia na kukuneka viwande vingi va mikate kulingana na machitaji yako.
\v 9 Nanyi pia nawagorienyi, tesenyi, na inyo dima mwanekwa; lolenyi, na inyo dimamwapata, kabenyi hodi na inyo dimamwaruguriwa.
\v 10 Kwa wuja kila mundu amlombaga dimawawokera, na kila mundu alolaga dimawapata, na kila mundu akabaga hodi, mjango dimawarugulwa kwake.
\v 11 Ni aba uyao miongonyi mwenu, mwanake akimlomba samaki dimawamneka choka badala yake?
\v 12 Angu akimlomba igi dimawamneka nge badalayake?
\v 13 Kwa huwo, ikika nyi mwawazamie mdaishi kuwaneka wanawenyu zawadi riboie, Je, si zaidi nanganyi Aba wenyu wa mbingunyi kwamba diwaneka Ngolo wa kuela awo wamlombaga?"
\v 14 Baadae, Jesu akaka adakemia ipepo, na mundu mweni ipepo wakogo asadeda. Ikaka ipepo jicha mfuma, mundu uyo wadedie kuaria. Umati wastaajabie sena.
\v 15 Ela wandu wamwi wakadeda, uyu adainja mapepo kwa Beelzabuli, mbaha wa mapepo.
\v 16 Wamwi wamgiria na kumkunda awabonyerie ishara kufuma mbingunyi.
\v 17 Ela Jesu wamanyie kuririkanya kwawe na kuwagoria, "kila ugimbikwa uwaganyikaga dima yaka ukiwa, na iwacha jiwaganyikie dima jagwa.
\v 18 Ngelo shetani dimawaka wawaganyika, ugimbikwa gwake dimawakakimsi wada? kwa sababu mwadeda nafunya mapepo kwa Belzabuli.
\v 19 Ngelo nyi ndafunya mapepo kwa Belzabuli, Je wambenyu wadainja mapepo kwa chia iyao? kwa sababu ihi, wo dimawawahukumu inyo.
\v 20 Ela, ngelo ndafunya mapepoo kwa chala cha Mlungu, basi ufalme gwa Mlungu gwamichea.
\v 21 Mundu mweni ndigi akona silaha akalinda iwacha jake, vilambo vake dimavaka salama.
\v 22 Ela akavamiwa na mundu mweni ndigi nanganyi, uja mundu mweni ndigi dimawamsoka silaha rake, na kuriwusa mali rake rose.
\v 23 Ye aseko andu amweri na nyi ako kinyume na nyi, na ye asawikaa andu amweri na nyi hutapanya.
\v 24 Pepo mchafu amfumaga mundu, hugenda na kulola andu kusadae machi ili akisogoshe. Andu akaka waswa, hudeda, 'dimana wuya andu nifumie.
\v 25 Akiwuya na kudoka iwacha jakwanywa na jakanicha.
\v 26 Huwo hugenda na kulola mapepo saba wako wazamie kuliko ye mweni na kuwareda wache wake andu aja. Na hali ya mundu uyo huka izamie kuliko andu ikogo mara ya kwanza."
\v 27 Yafumirie kwamba warikogo akideda malago agho, mndumka fulani wafunyie mbaha sauti yake zaidi ya wose mkutanonyi wa wandu na kudeda "Chabarikiwa kifu chikuvale na matiti unyonye."
\v 28 Ela ye akadeda, wabarikiwa waja wasikiraga idedo ja Mlungu na kujitunza.
\v 29 Makati umati gwa wandu wadakwana andu amweri na kuchurika, Jesu waanzie kudeda "kivazi ichi ni kivazi chizamie. Hulola ishara, na ndakudae ishara wanekwaga nanganyi ya ija ishara ya Yonaa.
\v 30 Maana sa Yona andu wakogo ishara kwa wandu wa Ninawi, niko na mvalwa wa Adamu anduwaka ishara kwa kivazi ichi.
\v 31 Malkia wa kusinyi dimawakakimsi maruwa ga hukumu na wandu wa kivazi ichi na kuwahukumu wo, kwani ye wafumie katika mwisho gwa isanga ili ache asikire hekima ra Solomoni, aha weko ako mbaha kuliko solomoni.
\v 32 Wandu wa Ninawi dimawakakimsi katika hukumu andu amweri na wandu wa kivazi ichi maruwa ga hukumu dimawakihukumu, kwani wo watesiwege zambi rawe kwa mahubiri ga Yona, na nguwa, aha weko akombaha kuliko Yona.
\v 33 Ndakudae mundu wowose, awashaga taa na kuiwika sehemu ya ndonyi ikona kira isawoekaga angu ndonyi ya ngau, ela huwasha na kuwika igu ya kilambo ili kila mundu angiaga adime kuwona mwangza.
\v 34 Iriso ni taa ya muwi. Iriso jako jikika jiboie basi muwi gwako gwose dimagwaka mwangazenyi. Ela iriso jako jikika jizamie basi muwi gwako gwose dimagwaka kirenyi.
\v 35 Kwa huwo, mkihadhari ili mwangaza ukoo ndenyi yenyu usakumbwe kira.
\v 36 Huwo basi, ngelo muwi gwako gwose guko mwangazenyi, na ndakudae sehemu ikoo katika kira, basi muwi gwako dimawaka sawa na taa iwiakaga na kufunya mwangaza kwenyu."
\v 37 Achameria kuaria, Farisayo wamualikie akaje vindo nyumbenyi kwake, na ye Jesu akangia ndenyi na kuka andu amweri nawo.
\v 38 Na mafarisayo washangaie kwa jinsi ambavo ndanawie kwanza kabla ya vindo va kwenyi.
\v 39 Ela Mzuri akawagoria, "Inyo mafarisayo mdaogesha shigadi ya vikombe na bakuli, ela ndenyi yenyu mwachua tamaa na gagazamie.
\v 40 Inyo wandu msadae teganyi, Je ye aumbie shigadi ndaumbie na ndenyi pia?
\v 41 Wanekenyi masikini ghekoo ndenyi, na malago ghose dimaghaka gaelie kwenyu.
\v 42 Ela ole wenyu mafarisayo, kwani mdafunya zaka ya mnanaa na mchicha na kila aina ya mboga ya bustani. Ela mwasiga malago ga hachi na kumkunda Mlungu. Ni muhimu nanganyi kubonya gakoo ga hachi na kumkunda Mlungu, bila kusiga kubonya na ago gamwi pia.
\v 43 Ole wenyu mafarisayo, kwa wuja ndakundi kuka katika vifumbi va imbiri msinagoginyi na kulamsigwa kwa salamu ra heshima chetenyi.
\v 44 Ole wenyu, kwani mdafwana na makaburi gasadae alama ambayo wandu hugenda igu yake pasipo kumanya."
\v 45 Mwalimu umweri wa sheria ra kiyahudi wamjibie na kumgoria, "mwalimu, uchidedaga chidadiudhi pia isi."
\v 46 Jesu akadeda, "Olewenyu, walimu wa sheria! kwani mdawaneka wandu mizigo mibaha wasadimaa kuidwa, ela inyo ndamwadaa mizigo iyo hata kwa imweri ya vala venyu.
\v 47 Ole wenyu, kwa sababu mdagha na kuwika kumbukumbu makaburinyi ga walodi ambawo wabwagieni waka awu wenyu.
\v 48 Huwo inyo mwashuhudia na kukubaliana na chagu wachibonyie waka awu wenyu, kwa sababu hakika wawabwagie walodi ambawo mdaga kumbukumbu katika makaburi gawe.
\v 49 Kwa sababu iyo pia, hekima ya Mlungu idadeda, "Dimanawatumia walodi na mitume nawo dima wawatesa na kuwabwaga baadhi yawe.
\v 50 Kivazi ichi dima chawajibika kwa baga yawalodi wabwagie tangu kuwoka kwa dunia,
\v 51 Kufuma baga ya Abeli hadi baga ya Zakaria, wawabwagie gadigadi ya madhabahu na patakatifu. Hee, ndawagoria inyo, kivazi ichi dimachawajibika.
\v 52 Ole wenyu wa sheria ra kiyahudi, kwa sababu mwawusa funguo ra tegenyi; inyo weni ndamungiaa, na waja wakundii kungia mdawazuia."
\v 53 Baada ya Jesu kungia aja, Waandishi na mafarisayo wampingie na kubishana na ye igu ya malago mengi.
\v 54 Wakigeria kumnasa kwa madedo gake.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kwa makati ago, maelfu mengi ga wandu wakwana andu amweri, kiasi cha kuwona kuwadiana, akawoka kudeda na wanafunzi wake kwanza, "kihadharinyi na adhabu ya mafarisayo ambayo ni unafiki."
\v 2 Na ndakuka na kiviso chikivise ambacho ndachifunukulwaga, wala ilago jivisiwe ambajo ndajimanyikanaga.
\v 3 Na jojose mjidedie katika kira, dimajasikirwa katika mwangaza. Na gogose mgadedie kudunyi ndenyi ya vumba venyu va ndenyi virugiwe ndenyi ya vumba venyu va ndenyi virugiwe dimagatangazigwa igu ya paa ja iwacha.
\v 4 Nawagorienyi amwedu wapwa, msaboe waja waubwagaga muwi na kisha ndawadee kilambo chimwi cha kubonya,
\v 5 Ela dimanamionya ambae dimamwamboa. Mboenyi uja ambae baada ya kuka wabwaga, ako na mamlaka ga kudaga jehanamu. Hee, ndawagoria inyo, mboenyi uyo.
\v 6 Je shamoro wasanu ndawadagwaa kwa sarafu iwi? hata huwo ndakudae hata umweri wawe aliwagwa imbiri ra Mlingu.
\v 7 Ela mmanye kuwa, njwi ra vongo venyu vataligwa. Msaboe. Inyo ni wathamani mbaha kuliko shomoro wengi.
\v 8 Ndawagoria, wowose anikiri nyi ra wandu, mvalwa wa Adamu dimawamkiri imbiri ra malaika wa Mlungu.
\v 9 Ela wowose anikanaga imbiri ra wandu na ye dimawkwana imbiri ya malaika wa Mlungu.
\v 10 Wowose adedaga idedo jizamie igu ya mvalwa wa Adamu, dimawasamehewa, ela wowose amkufuru Ngolo wa kuela, ndasamehewa.
\v 11 Wachawagenja imbiri ra wabaha wa masinagogi, watawala, na weni mamlaka, msaboe igu ya ago na namna ya kudeda katika kukitetea au indoi dimamwachideda,
\v 12 kwa wuja ngolo wa kuela dimawanifundisha namna mdedaga kwa makati ago."
\v 13 Mundu umweri katika ikusanyiko ukamgoria, "mwalimu, mgorie mmbari wapwa aniwagie sehemu ya upalo gwapwa."
\v 14 Jesu wamjibie, ni ani waniwika kuka mwamuzi na mpatanishi kati yenyu?
\v 15 Niko akawagoria, kihadharinyi na kila namna ya tamaa, kwa sababu binana ya mundu ndaiko katika wingi gwa vilambo akonavo."
\v 16 Jesu akawagoria mfwano, akideda, mbuwa ya mundu umweri tajiri javae nanganyi,
\v 17 na akakikotia ndenyi yake, akideda, dimanabonya wada kwani sidae andu kwa kuhifadhi mazao gapwa?
\v 18 Akadeda, dimanabonya huwu. Dimanachukanya kai rapwa ndini na kuga ikoo mbaha, na kugaifadhi mazao gapwa gose na vilambo vimwi.
\v 19 Dimanaigoria nafsi yapwa, "Nafsi, wakiwikia akiba ya vilambo vingi kwa mirongo mingi. Sogoka, uje, unywe na kustarehe."
\v 20 Ela Mlungu akamgoria, ewe mundu mkelu, kio cha linu wadakundi ngolo kufuma kwako, na vilambo vose aviandalie dimavaka indoi?
\v 21 Niko dimayaka kwa kila mundu akiwikiaga mali na si kukitajirisha kwa ajili ya Mzuri.
\v 22 Jesu akawagoria wanafunzi wake, kwa huwo na wagoria msahofu igu ya maisha genyu -- ya kuwa dimamwaja indoi angu ya miwi yenyu - ya kuwa dimamwarwa indoi.
\v 23 Kwa wuja maisha ni zaidi ya vindo, na muwi ni zaidi ya mavazi.
\v 24 Guwenyi wanyonyi wa angenyi, ndawalimaa wala ndawakwashaa. Ndawadae chumba wala kaiya kuhifadhia, ela Aba wenyu huwajisa. Inyo si bora zaidi kuliko wanyonyi!
\v 25 Ni uyao kati yenyu ambae akakigaisha adimaga kuchuria dhiraa imweri katika maisha gake?
\v 26 Ikika basi ndamdimaga kubonya icho kilambo kitini chiko rahisi kwa indoi basi kugaga iya ago gamwi?
\v 27 Guwenyi maruwa -andugamea. Mdagabonyaa kazi wala ndagasokotaa. Ela ndawagoria, hata sulemani katika ugimbikwa gwake gwose ndarwie kama mojawapo ya aga,
\v 28 Ngtelo Mlungu hugarwisha nicha manyasi ga kondenyi, ambago linu geko, na ikesho hudagwa modonyi. Je si zaidi dimawamirwisha inyo? inyo wa imani haba!
\v 29 Msagaye dimamwaja indoi angu dimamwanywa indoi, wala msake na hofu.
\v 30 Kwa wuja mataifa gose ga dunia hugagaiya malago ago. Na Aba wenyu adamanya ya kuwa mdahitaji ago.
\v 31 Ela lolenyi ufalme gwake kwanza, na ago gamwi dimamwazidishwa,
\v 32 Msaboe, inyo ikundi tini, kwa sababu Aba wenyu adaboiwa kuwaneka inyo ugo ufalme.
\v 33 Dangenyi mali renyu mkawaneke masikini, mkibonyie mifuko isishiwaa__hazina ya mbingunyi isakoma, andu ambako wating'a ndawakaribiaga wala nondo ndaidimaga kunona.
\v 34 Kwa wuja andu kuko hazina yako, niko na ngolo yako ichaka.
\v 35 Nguwo renyu ndacharike rafungwe kwa mkanda, na taa renyu rikakikishwe kuwa ridaendelea kuwaka,
\v 36 na mke sa wandu wamguwaga Mzuri wawe kufuma gondenyi ya arusi, ili kwamba akacha na kukaba hodi, dimawamruguria mjango kwa karuwa ruwa.
\v 37 Wabarikiwa waja watumishi, ambawo Mzuri dimawawadoka weko meso. Hakika dimawafunga nguwo yake ndacha kwa mkanda, kisha dimawawaketisha ndonyi kwa vindo, na kisha kuwa tawaria.
\v 38 Ngelo Mzuri imawacha kwa zamu ya kawi uagulinzi, na kuwadoka wakika tayari, dima yaka heri kwa awo watumishi.
\v 39 Zaidi ya ago, mmanye iji, ngelo mzuri mweni iwacha kumachawaichi saa ambayo mting'a adacha, kumachandaruhusu iwacha jake jichukawe.
\v 40 Kenyi tayari pia kwani ndamuichi ni makati ki mvalwa wa Adamu dimawawuya.
\v 41 Petro akadeda, 'Mzuri, udadigoria isi weni ihi mifwano, angu udamgoria kila mundu?
\v 42 Mzuri akawagoria, "Ni ani mtumwa mwaminifu angu mweni hekima ambae Mzuri wake dimawamwika igu ya watumishi wamwi ili awaneke vindo vawe kwa makati mwafaka?
\v 43 Wabarikiwa mtumishi uja, ambae Mzuri wake akicha dimawamdoka akibonya gaja walagizwa.
\v 44 Hakika ndawagoria inyo ya kuwa dimawamwika igu ya mali yake yose.
\v 45 Ela mtumishi uja akideda moyoni mwake, "Mzuri wapwa adachelewa kuwuya; huwo akawoka kuwakaba waja watumishi wa kiwomi na wakiwaka, kisha akawoka kuja, kunywa na kulewa,
\v 46 Mzuri wake uja mytumwa dimawacha katika maruwa asategemea na saa asaimanyaga, na yedimawachamdema viwande na kumwika andu amweri na wasako waaminifu'
\v 47 Mtumishi, amanyaga mapenzi ga Mzuri wake, na ye ndakiandalie wala ndabonyie sawa sawa na mapenzi gake, dimawakabwa viboko vingi.
\v 48 Ela mtumishi asamanyaga mapenzi ga Mzuri wake, ela akabonya gasastahilii adhabu, dimawakabwa viboko vitineri. Kwa wuja ye wanekiwe vingi, hulawiwa kufuma kwake, na ye waaminiwe kwa vingi, kwake dimavaliwiwa vingi nanganyi.
\v 49 Nacha kuwasha modo dunienyi, na ndamtamani uke wawaka kala,
\v 50 Ela nkona ubatizo ambago ndakubazigwa, na nkona mbazi mpaka ukaka gwakamilika!
\v 51 Je mtenganyaa kuwa nacha kureda amani dunienyi? Aa, ndawagorienyi, badala yake naredie mwaganyiko.
\v 52 Tangu ijiaha na kuendelea dima kwaka na wandu wasanu katika iwacha jimweri wawaganyika, na wadadu dimawaka kinyume na wawi, na wawi dima waka kinyume na wadadu.
\v 53 Dimawawaganyika, aba dimawaka kinyume na mwanake, na mwanake dimawaka kinyume na ndee, mawe dimawaka kinyume na mae, mkeke, na mwai dimawaka kinyume na mkeku wake na ye mkeku dimawaka kinyume na mkeku wapwa wake.
\v 54 Jesu akaka adawagoria makutano pia, "Mara mwanaga wadulu gakifumiria magaribi, mdadeda matuku ga vua gawadia, na niko andu iko,
\v 55 Na upepo gwa kusinyi gukavuma,. mdadeda, ndima kwaka na kiruke chibirie, na niko andu iko.
\v 56 Inyo wanafiki, mdadima kutafsiri mwonekano gwa isanga na anga, ela ikakawada ndamdimaga kutafsiri makati ambago geko?
\v 57 Ni kwa indoi kila umweri wenyu asapambanue jiko sahihi kwake kujibonya makati ambapo angalia na nafasi ya kubonya huwo?
\v 58 Maana mkagenda na mkisa wako imbiri ya hakimu, kitahidi kukatana na mkisawako mungali bado mko chienyi asache kugenja kwa hakimu, na hakimu akakugenja kwa ofisa, na ofisa akakudaga gerezanyi.
\v 59 Ndakugoria, ndufumaga uko hadi washana mpaka senti ya mwisho.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Kwa makati agho gheni, kurikogho na baadji ya wandu wamtaarifie ighu ya wagalilaya ambawo Pilato wawabwaghie na kuchanganya bagha yawhe na sadaka rawhe
\v 2 Jesu wajibie na kuwaghoria, "je mdadhani kuwa wagalilaya awa akogho na zambi kuliko wagalilaya wamwi wose nio maana wapatwa ni mabaya agho
\v 3 Aa, ndawaghoria, ela ngelo ndamkundi kutesiwa zambi renyu, na inyo dimamwaangamia waruwo huwo.
\v 4 Angu waja wandu kumi na nane katika siloamu ambawo mnara wagwie na kuwabwagha, mdateganya wo wakogho weni zambi nanganyi kuliko wandu wamwi katika Yerusalemu?
\v 5 Aa, nyi nadeda, elaengo ndamkundi kutesiwa zambirenyu, inyo wose pia dimamwaangamia.
\v 6 Jesu wawaghoria mfwano ughu,"Mundu umweri wako na mtinyi wawalwa katika mbuwa yake na waghendie kuloka matunda ighu ytake elanda patie.
\v 7 Akamghoria mtunzabustani, Guwa, kwa mirango adadu nacha na kugheria kuloka matunda kweni mtinyi ughu ela sipatie. Uudeme kwani urede unonefu wa ndoe?
\v 8 Mtunza bustani wajibie na kudeda,'usighe mrogho ughu ili nighupalilie na kuwika mbolea ighu yake
\v 9 Ngelo ukiva matunda mrongo uchagha, ni vema; ela ngelo ndauvae, ughudeme!"
\v 10 Idana Jesu wakogho akifundisha katika mojawapo ya msinagogi makati gha sabato.
\v 11 Guwo, warikogho mawe umweri ambae kwa mirongo kumi na nane wakogho na ngolo mchafu wa ghudhaifu, na ye wakogho wapinda na ndadae uwezo kabisa ghwa kuka kimsi.
\v 12 Jesu achamwona, wamwangie, "Mawe, wawikwa hurukufuma udhaifunyi wako."
\v 13 Akawika mikono yake ighu yake, mara muwi ghwake ghuka kighaghoa na akamtogola mlungu.
\v 14 Elambaha wa isinagogi wawonie virea kwa sababu Jesu wakogho wamkira maruwa gha sabato. Hawo mtawala wajibie akawagharia makutano 'kuko maruwa sita ambagho ni lazima kubonya kazi. Chonyi kukirwa basi, sikatika maruwa gha sabato.
\v 15 Mzuri wamjibie na akadeda, 'Wanafiki! Ndakudae kila umweri wenyu kurughua punda wako angu ng'ombe kufuma zizinyi na kuwalongoza kumghenja kunywa maruwa gha sabato?
\v 16 Huwo pia mwai wa Abrahamu, ambao shetani wamfunga kwa mirongo kumi na nane, je ndaimpasie kifungo chake chisarughuriwe maruwa gha sabato.
\v 17 Warikogho akideda madedo agho, waja wase wampigie wawonie whaya, bali makutano wase wa wamwi washagilia kwa ajili ya malagho gha ajabu aghabonyie.
\v 18 Jesu akodeda, 'ufalme ghwa mlungu u dafwanana indoi, na nadimagha kuulinganisha na indoi?
\v 19 Ni sambeu ya haradali aiwusie mundu umweri na kuiwa mbuwenyi kwake, na ikamea ikaka mdi mbaha, na wanyonyi wa mbingunyi wakaa gha viota vawhe katika marembwe ghake.
\v 20 Sena akadeda, 'Niufwananishe na indoi ufalme ghwa mlungu?
\v 21 Ni sa chachu ambayo mndumka waiwasie na kuchanganya kwenye vipimo vidadu va mufu hata ghakaumaka."
\v 22 Jesu watembee kila mzi na kijiji chienyi akielekea yerusalemu nakuwafundisha.
\v 23 Mundu umweri akakotia, 'Mzuri, ni wandu wa tineri tu, watesiwagha?" Huwo akawagoria,
\v 24 'Kitahidi kungia kwa kuidia mjango mfinya, kwa sababu wengi dimawagheria na ndawa dima gha kungia.
\v 25 Mara baada ya mmiliki wa iwacha kukakimsi na kurugha mjango, basi dimamwakakimsi shighadi na kukaba hodi mjangonyi na kudeda, Mzuri, Mzuri, dirughurie ye dimawajibu na kuwaghorie, siwaichi inyo wala andu mfumaa,'
\v 26 Niko dimamwadeda, Dajie na kunywa imbiri yako na we wafundishie katika mitaa yedu."
\v 27 Ela ye dimawamjibu, "nawagoria, siwaichi andu mfumaa, ingenyi kwapwa, inyo wabonya gazamie!'
\v 28 Dima kwaka na kifwa na kusaga magego makati mchawawona Abrahamu, Isaka, Yakobo na walodi wose katika ufalme gwa Mlungu, ela inyo weni mwadagwa shigadi.
\v 29 Dimawafika kufuma mashariki, magaribi, kaskazini na kusinyi, na kusogoka katika meza ya vindo va wenyi katika ufalme gwa Mlungu.
\v 30 Na manya iji, wamwisho ni wa kilindiri na wakilindiri dimawaka wa mwisho."
\v 31 Muda mvui baadae, baadhi ya Mafarisayo wa chee na kumgoria, "Genda na fuma aha kwa sababu Herode adakundi kukubwaga."
\v 32 Jesu akadeda, "Gendenyi mkagorie uja koshi wa isakenyi, guwa, ndawabingisa pepo na kubonya ukiraji linu na ikesho, na maruwa ga kadadu dimanatimiza ilengo japwa.
\v 33 Katika hali yoyose, ni muhimu kwa ajili yapwa kuendelea linu, ikesho, na maruwa ganugiriaga, kwa wuja ndaikubaliaga kubwaga mlodi kula na Yerusalemu.
\v 34 Yerusalemu, Yerusalemu, ani adawabwaga walodi na kuwakaba magwe waja wadumiwe kwenyu. Mara ilaga nakundige kuwawika andu amweri vifaranga vake ndonyi ya mbawa rake, ela ndamjikundie iji.
\v 35 Guwa, iwacha jako jatelekezwa. Na nyi ndawagoria, ndamdimaga kuniwona hata mkadachadeda "Wabarikiwa uyo achaga kwa irina ja Mzuri."
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Yafumirie maruwa ga sabato, warikogo akigenda nyumbenyi kwa umweri wa vilongozi wa Mafarisayo kuja mkate, na wo wakogo wakimchunguza kwa avui.
\v 2 Guwa, aja imbiri yake wakogo mundu ambae adagaishwa ni uvimbe.
\v 3 Jesu wawakotia wataalamu katika sheria ya wayahudi na mafarisayo, "Je, ni halali kumkira maruwa gha sababto, angu siko?"
\v 4 Ela wo wakogo kimumure, kwa huwo Jesu akamwada, akamkira na kumruhusu agende chia rake.
\v 5 Na ye akawagoria, "Ni ani kati yenyu ambae akona mwana angu ng'ombe adadimia kisimenyi maruwa ga sabato ndamrudaa shigadi mara imweri?"
\v 6 Wo ndawaridaege uwezo gwa kufunya ijibu kwa malago aga.
\v 7 Makati Jesu wachagundua jinsi waja wakiliwe kwamba wasagua vifumbi va heshima, akawagoria mfwano, akiwagoria,
\v 8 "Makati mkaalikwa na mundu arusinyi, usake katika nafasi ra heshima, kwa sababu idadi mikana waalikigwa mundu ambae ni wakuheshimiwa nanganyi kuliko we.
\v 9 Makati mundu wawaalika inyo wawi akafika, dimawakugoria we, "mbarie mundu uyu nafasi yako," na kisha kwa waya dimawawoka kuwusa nafasi ya mwisho.
\v 10 Ela we ukaalikwa, genda ukake andu kwa mwisho, ili makati uja akualikie akicha, adime kukugoria we, "Amwedu, genda imbiri nanganyi." Niko dimawaka waheshimika imbiri ya wose wakee andu amweri na we mezenyi.
\v 11 Kwa maana kila akiwezaga dimawaserigwa, na ye akiseraga dimawakwezwa.'
\v 12 Jesu pia wamgoria mundu wamua likie, 'andu ufunyaga vindo va dime angu kwenyi, usawaalike amwedu wako angu wambari wako angu jamaa rako angu majirani wako matajiri, ili kwamba wo wasache wakakualika we ukapata malipoi.
\v 13 Badala yake, ukabonya genda, waalike maskini, vilema, wasagendaa na wasawonaa,
\v 14 na we dimawabarikiwa, kwasababu ndawadimaga kukushana. Kwa maana dimawasha nigwa katika ufufuo wa weni hachi."
\v 15 Makati amweri wa waja wakee mezenyi andu amweri na Jesu wachasikira agho, na ye akamgoria, "Wabarikiwa uja ajaga mkate katika ufalme gwa Mlungu!"
\v 16 Ela Jesu akamgoria, "Mundu amweri waandalie gonda mbaha, akaalika wandu wengi.
\v 17 Makati gonda ichaka tayari, wadumie mtumishi wake kuwagoria waja waalikiwe, "chonyi, kwa sababu vilambo vose vasia kuwikwa kala. k'
\v 18 Wose, wawokie kulomba radhi. Wa kilindiri akamgoria mtumishi, 'Nagua mbuwa, lazima nigende kuiwona. Tafadhali unisamehe.'
\v 19 Na umwi akadeda, "Naguwa jozi isanu ra ng'oombe, na nyi ndagenda kuwageria. Tafadhali uniwie radhi.'
\v 20 Na mundu umwi akadeda, "Nalowua mka, kwa huwo sidimaa kucha.'
\v 21 Mtumishi akawuya na kumgoria Mzuri wake malago ago. Uja mweni iwacha wawonie virea akamgoria mtumishi wake; genda karuwa ruwa mitaenyi na katika duchochoro dwa mzi ukawarede aha maskini, vilema, wasawonaa na walemavu."
\v 22 Mtumishi akadeda, 'Mzuri ago ulagizie gabonyeka, na hata ijiaha kuko nafasi.'
\v 23 Mzuri akawagoria mtumishi,;'Genda katika chia mbaha na duchochoro na uwashurutishe wandu wangie, ili iwacha japwa jichue.
\v 24 Kwa maana ndawagoria, katika waja waalikwe wa kilindiri ndakudae atoagha gonda yapwa.'
\v 25 Idana umati mbaha wakogo wadagenda andu amweri nae, na ye akaaguka na akawagoria,
\v 26 Ngelo mundu akicha kwapwa na ye ndamzamiwaga ndee, mae, mkake, wanawake, wambari wake wami na wanduwaka- Hee, na hata maisha gake pia -ndadimaa kuka mwanafunzi wapwa.
\v 27 Mundu asawusaa msalaba gwake na kucha nyuma yapwa ndadimaa kuka mwanafunzi wapwa.
\v 28 Maana ni ani kati yenyu, ambae adatamani kuaga mnara ndaka kwanza akadirie garama kwa mitalo kama akona chijajii ili kukamilisha ijo?
\v 29 Vinginevyo, baada ya kuwika misingi na kulemwa kumeria, wose wawonie dimawawoka kumdhihaki,
\v 30 Wakideda, mundu uyu wawokie kuaga, akaka ndadae ndigi ra kumeria.'
\v 31 Angu mgimbikwa uyao, akakunda kugenda kukabana na mgimbikwa umwi katika kondo, ambae ndakaga ndonyi kwanza na kuwusa ushauri kuhusu ngelo adimaa, andu amweri na wandu elfu ikumi kukabana mgimbikwa umwi achaga igu yake na wandu elfu ishirini?
\v 32 Na ngelo siko, makati ijeshi ja wamwi bado jiko kula, huduma balozi kukunda masharti amani.
\v 33 Kwa huwo basi, wowose kati yenyu ambae ndasigaa vose akoo navo, ndadimaa kuka mwanafunzi wapwa.
\v 34 Mungu gwaboie, ela ukaka munyu gwa lagasha ladha yake, jinsi iyao idimaa kuka munyu sena?
\v 35 Ndagudae matumizi kwa ndoe angu hata kwa mboplea. hudagwa kula. Ye akona madu ga kusikira, na asikire."
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Basi wawada ushuru wose na wamwi weni zambi wachee kwa Jesu na kumsikira.
\v 2 Mafarisayo wose na waandishi wanung'unikie wakideda, "mundu uyu huwakaribisha weni zambi na hata huja nawo."
\v 3 Jesu akadeda mfwano ugu kwakwe, akideda
\v 4 "Ani kwenyu, ngelo akona ng'ondi mia imweri na akilagashigwa na umweri wawe, ndawasigaa waja tisini na kenda nyikenyi, na agende akamlole uja alagarie hata amwone
\v 5 Naye akampata humwika mabegenyi kwake na kuboiwa.
\v 6 Akafika nyumbenyi, huwawanga amwedu wake na jirani rake akawagoria boiweni andu amweri nanyi, kwa wuja ndampata ng'ondi wapwa alagharie.'
\v 7 nawagoria woruwo huwo dimakwaka na fuyraha mbingunyi kwa ajili ya mweni zambi umweri atesigwa zambi rake, zambi ya weni hachi tisini na kenda ambawo ndawadae haja ya kutesiwa zambi.
\v 8 Angu kuko mndumka ani mweni sarafu kumi ra fedha, akalagariwa na sarafu imweri, ndawashaga taa na kukwanya iwacha na kulola kwa bidii hata achaipata?
\v 9 Na akiwona huwanga amwedu wake na jirani rake akawagoria boiwenyi andu amweri na nyi, kwa wuja naipata sena sarafu yapwa nirikogo nailagasha.
\v 10 Hata huwo nawagoria kukona furaha imbiri ya malaika wa Mlungu kwa ajili ya mweni zambi umweri atesigwa zambi umweri atubuye."
\v 11 Na Jesu akadeda, "mundu umweri wakogo na wana wawi.
\v 12 Uja mtini akawagoria ndee, aba nneke sehemu ya mali ini stahilii kuipata. Huwo akawagia mali rake kati yawe.
\v 13 Maruwa si mengi ujamtini akawika andu amweri vose amilikii akagenda isanga ja kula, na uko watapanyie magome gake, kwa gula vilambo asavihitaji, na kutapanya fedha rake kwa anasa.
\v 14 Na yewarikogo wameria kudumia vose njala mbaha yangie isanga jija na ye akawoka kuka katika uhitaji.
\v 15 Akagenda na kukiajiri mweni wa raia wa isanga jija, na ye wamgenjie mbuwenyi kwake kujisia nguwe.
\v 16 Na akaka akitamani kukidisha kwa makanda wajie nguwe kwa sababu ndakudae mundu wamnekie kilambo chochose apate kuja.
\v 17 ela uja mwamtiini wachamaziria moyonyi kwake, wadedie "ni watumishi alinga wa aba nyi niko aha, ndafwa na njala!
\v 18 Dimanainga na kugenda kwa Aba wapwa, na kumgoria, " Aba nawowa igu ya mbingu na imbiri ya meso gako.
\v 19 Sistahili kuwangwa mwanakwo sena; nibonye kama umweri wa watumishi wako."
\v 20 Niko akainga akagenda kwa ndee. Warikogo angali kula ndee wamwonie akamwonia mbazi akakaba isenge na kumkumbatia na kumbusu.
\v 21 Uja mwana akamgoria, "Aba nawosa igu ya mbingu na imbiri ya meso gako sistahili kuwangwa mwanako.'
\v 22 Uja Aba wawagoria watumishi wake, 'jiredenyi kuruwa ruwa ivazi jikoo bora, mkamrwishe mkumbenyi na pete cha lanyi na vadu magunyi.
\v 23 Kisha mredenyi ndama uja anonie mkamchienje dije na kuboiwa.
\v 24 Kwa wuja mwanapwa wakogo wafwa na ye ako hai. Wakogo walagaya nae wawonekaa wakoka kushangilia.
\v 25 Basi uja mwanake mbaha wakogo mbuwenyi. Warikogo akicha na kuikaribia nyumba wasikire sauti ya chumbo na misarigo.
\v 26 Akawanga mtumishi umweri akamkotia malago aga maana yake ni indoi?
\v 27 Mtumishi akamgoria mtini wako wacha ndeo wamchinjia ndama anonie kwa sababu wawuya salama.'
\v 28 Mvalwa mbaha akawona virea akalega kungia ndenyi na ndee wafumie shigadi kumsihi.
\v 29 Ela wamjibie ndee akideda, 'Guwa, nyi nakudumikia kwa mirongo mingi, wala sisowie amri yako, ela nduninekie mwana mburi, ili ili nidime kusherekea na amwedu wapwa.
\v 30 Ela achacha uyu mwanako watapanyie mali yako yose andu amweri na makahaba wamchinjia ndama wawonie.
\v 31 Aba akamgoria, "mwanapwa, we uko andu amweri nanyi maruwa gose na vose niko navo ni vako.
\v 32 Ela yakogo vena kwedu kubonya gonda na kuboiwa, uyu mmbari wako wakogo wafwa, na ijiaha ako hai; wakogo walagaya na ye wawonekaa."
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1
\vJesu wawagoria sena wanafunzi wake, "Kurikogo na mundu umweri tajiri warikogo na meneja, na wataarifiwe ya kwamba meneja uyu adatapanya mali rake.
\v 2 Huwo tajiri akamwanga, akamgoria, "Ni indoi ihi niisikiraga igu yako? funya mitalo ya umeneja gwako, kwa wuja ndudimaa kuka meneja sena.'
\v 3 Uja meneja akadeda moyonyi kwake, Nibonye indoi, maana Mzuri wapwa adanijia chagu chapwa cha umeneja? sidae ndigi ra kulima, na kulomba ndawona waya.
\v 4 Ndaichi ambajo dimanabonya ili nichainjigwa katika chagu chapwa cha uwakili wandu wanikaribishe nyumbenyi kwawe.
\v 5 Huwo wakili akawanga wasile wa Mzuri wake kila umweri akamgoria wa kilindiri; udalawiwa kiasi ki na Mzuri wapwa?
\v 6 Akadeda vipimo mia imweri va mavuda akamgoria 'wusa hati yako ka karuwa ruwa andika hamsini.'
\v 7 Kisha akamgoria umwi na we udalawiwa kiasi ki?' akadeda' vipimo mia imweri va mufu va ngano.' Akamgoria 'wusa hati yako andika themanini.'
\v 8 Uja Mzuri akimsifu meneja dhalimu kwa wuja abonyie kwa werevu. Kwa wuja wana wa urumwengu uhu ni werevu nyingi na hushuhulika kwa gujanja na wandu wa luwande lwake kuliko wakoo wana wa nuru.
\v 9 Na nyi nawagoria kibonyieni amwedu kwa mali ya udhalimu ili ikasowekana wawakaribishe katika makao ga kala na kala.
\v 10 Akoo mwaminifu katika jikoo tinyi nanganyi huka mwaminifu katika jikoo baha pia. na akoo dhalimu katika jikoo tinyi huka dhalimu katika jikoo ibaha pia.
\v 11 Ngelo inyo ndamkogo waaminifu katika maliya udhalimu ni ani achwaamini katika mali ya loli?
\v 12 Na ngelo ndamkogo waaminifu katika kudumia mali ya mundu umwi ni ani awanekaa ikoo yenyu weni?
\v 13 Ndakudae mtumishi adimaga kudumikia wazuri wawi, kwa maana dimawamzamiwa umweri na kukmkunda umwi, ama dimawawadana na uyu na kumzarau uyu. Ndamdimaga kumdumikia Mlungu na mali."
\v 14 Basi Mafarisayo, ambao wakogho wadakunda fedha waghasikira agha ghose na wamdhihakie.
\v 15 Na akawaghoria,"Inyo nio mkidaii hachi imbiri ya wadamu huka ichukizo imbiri ra mlungu.
\v 16 Sheria na walodi varikogho mpaka Yohana achacha. Tangu makati agho, habari riboie ra ufalme ghwa Mlungu hutangazwa, na kila mundu hugheria kukikumba kwa ndighi.
\v 17 Ela ni rahisi kwa mbingu na isanga vitoweke kuliko hata herufu imweri ya sheria isowekane.
\v 18 Kila msighagha mkake na kumlowua mka umwiazini, naye amlowaaa ye wasighiwe ni mumiwake azini.
\v 19 Kurikogho na mundu umweri tajiri warwie nguwo ra rangi ya zambarau na kitani chielie na wakogho akifurahia kila muruwa utajiri ghwake mbaha.
\v 20 Na maskini umweri irini jake Lazaro wawikiwe igetinyi kwake, na akona vonda.
\v 21 Naye wakogho akitamani kughudishwa kwa makombo ghagwie katika meza ya uja tajiri hata makoshi wakacha wakamlonda vonda vake.
\v 22 Ikaka uja masikini wafwie na akawasighwa ni Malaika mpaka kifuenyi kwa Ibrahimu. Uja tajiri nae akafwa akarikwa.
\v 23 Na kuja kuzimunyi akika katika mateso wagha nua meso ghake akamwona Ibrahimu kwa kula na Lazaro kifuenyi mwake.
\v 24 Akalila akadeda,'Aba Ibrahimu, niwonie mbazi umdume Lazaro achove ncha ya chala chake machinyi, auburudishe lumi lwapwa; kwa sababu ndatesighwa katika modo ughu.
\v 25 Ela Ibrahimu akadeda,"Mwanapwa kumbuka ya kwamba katika maisha ghako waghawokera malagho ghako ghaboie, Lazaro vivyo wapatie ghazamie. Ela idana weko aha adafarajiwa na we udaumizwa.
\v 26 Na zaidi ya agho, kwawikighwa ishimo ibaha na ndacha kati yedu, ili waja wakundii kufuma uku kughenda kwenyu wasadime wala wa wandu wa kwenyu wasaluwuke kucha kwendu.
\v 27 Uja tajiri akadeda,"Ndakulomba Aba Ibrahimu, kwamba umdume nyumbenyi kwa abawapwa.
\v 28 kwa wuja nkonawo wambari wasanu ili awakashe, kwa hofu kwamba wo pia dimawacha andu aha pa mateso.
\v 29 Ela Ibrahimu akadeda,"Wanako Musa na walodi. Wasighe wawasikire wo.
\v 30 Uja tajiri akadeda;"Aa, Aba Ibrahimu, elangelo akawaghendia mundu afumagha kwa wafwie dimawatesiwa zambi.
\v 31 Ela Ibrahimu akamghoria,"wasachawesikira Musa ni walodi ndawashawishiwagha hata mundu akifufuka katika wafu
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Jesu akawagoria wanafunzi wake, "Malago ga sababishaga wandu wabonye zambi ndagadae budi kufumiria, ela olewake mundu agasababishaga!
\v 2 Kumacha yaka heri ngelo mundu uyo akarugiwa igwe izito ja kusagia singoni na kudagwa baharinyi, kuliko kumbonya umweri wa awawatinyi abonye zambi.
\v 3 Kilindenyi. Ngelo mmbari wako akakusea mkashe, na ye akatubu msamehe.
\v 4 Ngelo akakusea mara saba kwa iruwa jimweri na mara saba kwa iruwa jimweri akacha kwako akideda, ndatubu, "msamehe!"
\v 5 Mitume wake wakamgoria Mzuri, "Dichurie imani yedu."
\v 6 Mzuri akadeda, "Ngelo kumacha imani sa mbunje ya haradali, kumacha mwadima kuugoria mdi ugu gwa mkuyu, ng'oka na ukabuke baharinyi,' nao kumacha wamtii.
\v 7 Ela ani miongonyi kwenyu ambae akona mtumishi aliamaga mbuwa angu ajisaga ng'ondi, dimawagoria akawuya mbuwenyi, cho karuwa ruwa na ka uje vindo?
\v 8 Je ndamgoriaga, "Niandalie vindo nije, na kifunge mkanda na unidumikie mpaka nichameria kuja na kunywa. Baada ya aho dimawaja na kunywa?
\v 9 Ndamshukuru mtumishi uyo kwa sababu watimiraga gaamriwe?
\v 10 Woruwo huwo nainyo mkameria kubonya mulagiziwe dedenyi "Isi da watumishi distahili. Dabonya tu gaja dapasiwe kubonya.'
\v 11 Yafumirie kwamba warikogo akibonya charo kugenda Yerusalemu, waidie mwanonyi kwa samaria na Galilaya.
\v 12 Warikogo akingia katika kijiji chimweri, uko wakwane na wandu ikumi wakogo na ukoma. Wakakimsi kula.
\v 13 Wakafunya sauti wakadeda "Jesu, Mzuri diwonie mbazi."
\v 14 Achawawona akagoria, "Gendenyi mkakibonyirie kwa makuhani." nawo warikogo wakigenda wakaelewesha.
\v 15 Umweri wawe wacha wona kwamba waboa, akawuja kwa sauti mbaha akimsifu Mlungu.
\v 16 Akaba magoti magunyi kwa Jesu akamshukuru. Ye wakogo msamaria.
\v 17 Jesu wajibie, akadeda, 'Je ndawaeleshike wose ikumi? wako hao waja wamwi kenda?
\v 18 Ndakudae hata umweri wawonekanie kuwuya ili kumtukuza Mlungu, isipokuwa uyu mgenyi?"
\v 19 Akamgoria, "Wukia na ugende chia rako imani yako yakurira."
\v 20 Wachakotiwa ni mafarisayo ufalme gwa Mlungu dimagwacha li, Jesu wawajibie akideda, "Ufalme gwa Mlungu sio kilambo ambacho chadimaga kuwonekaa.
\v 21 Wala wandu ndawachadeda, "Angalia aha! 'angu, 'Angali kuja!' kwa maana ufalme gwa Mlungu uko ndenyi yenyu."
\v 22 Jesu akawagoria wanafunzi wake, "Makati dimagafika ambapo dimamwatamani kuiwona imweri ya maruwa ga mvalwa wa Adamu, ela ndamuiwonaga.
\v 23 Dimawawagoria, 'Guwa, kuja! guwa, aha! ela msagende kuguwa, wala kuwanuga,
\v 24 Sa umeme gwa radi umulikaga katika anga kuwoka luwande lumweri hata lumwi. Huwo ata mvalwa wa Adamu dimawaka huwo katika maruwa gake.
\v 25 Ela kwanza dimayampasa kuteseka katika malago mengi na kulegwa na kivazi ichi.
\v 26 Ngelo irikogo maruwa ga Nuhu, niko dimayaka katika iruwa ja mvalwa wa Adamu.
\v 27 Wajee, wanywee, wakilowua na kulowulwa mpaka iruwa jija ambajo Nuhu wachangia katika safina na igarika jikacha na kuwaangamiza wose.
\v 28 Ndivyo ikogo maruwa ga Lutu, wajie, wanywie, wakiguwa na kudaga, kulima na waagie.
\v 29 Ela iruwa jija Lutu wachainga sodoma, ikanya vua ya modo na kibiriti kufuma mbingunyi ikawaangamiza wose.
\v 30 Huwo niko dimayaka iruwa jija ja mvalwa wa Adamu achafunukulwa.
\v 31 Iruwa ijo, usamruhusu akoo idarinyi ja iwacha asee kuwusa bidhaa rake ndenyi ya iwacha. Na usamruhusu akoombuwenyi kuwuya mzinyi.
\v 32 Mkumbuke mka wa Lutu.
\v 33 WOwose ageriaga kugatesia maisha gake dimawagalagasha, ela wowose agalagashaga maisha gake dimawagatesia.
\v 34 Ndakugoria, kio icho dimakwaka na wandu wawi katika kitanda chimweri. Umweri dimawawusigwa, na umwi dimawasigwa.
\v 35 Dimakwaka na wandu waka wawi wadasaga na faka andu amweri, umweri dimawawusigwa na umwi dimawasigwa."
\v 37 hh
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Kisha akawagoria mfwano gwa namna wapaswaa kutasa daima, na wasakate tamaa.
\v 2 Akadeda, 'Kurikogo na hakimu katika mzi fulani, ambae ndakogo akimboa Mlungu na ndaweshimie wandu.
\v 3 Kurikogo na mkolo katika ijiji ijo, na ye wamgendia mara nyingi, akideda. Ntawarie kupata hachi dhidi ya mpinzani wapwa.'
\v 4 kwa muda mlacha ndakogo tayari kumtawaria, ela baada ya muda akadeda mayonyi kwake,' Ingawa nyi siboaga Mlungu angu kuheshimu mundu,
\v 5 ela kwa wuja uyu mkolo adanigaisha dimanamtawaria kupata hachi yake, ili asache kunikojesha kwa kuni chea mara kwa mara."
\v 6 Kisha Mzuri akadeda, 'sikira andu wadedie uyo hakimu dhalimu.
\v 7 Je Mlungu pia ndachareda hachi kwa wateule wake ambawo wadamlilia dime na kio? Je, ye ndakaga mririmiri kwawe?
\v 8 Nawagoria kwamba dimawareda hachi karuwa ruwa Ela makati mvalwa wa Adamu achacha, Je, dimawadoka amani dunienyi?
\v 9 Niko akawagoria mfwano ugu kwa baadhi ya wandu ambawo wadakiwona weni kuwa weni hachi na kuwamenya wandu wamwi,
\v 10 "Wandu wawi wajokie kugenda hekalunyi kusali: Umweri mfarisayo umwi wada ushuru.
\v 11 Farisayo akakimsi katasa malago aga igu yake mweni, 'Mlungu, ndakushukuru kwa wuja nyi si kama wandu wamwi ambawo ni wanyang'anyi, wandu waseko wadilifu, wazanzi, angu kama uyu mwada ushuru.
\v 12 Ndafunga mara iwi kwa wiki. Ndafunya zaka katika mapato gose nipataga.
\v 13 Ela uja mwada ushuru, wakeekimsi kula, bila ndadimie hata kunua meso gake mbingunyi, akagonga kifua chake akideda, 'Mlungu, nirehemu nyi mweni zambi."
\v 14 Nawagoria, mundu uyu wawurie nyumbenyi akika wataligwa hachi kuliko uja umwi, kwa sababu kila akikwezaga dimawaserigwa, ela kila mundu akinyenyekezaga dimawanuliwa.'
\v 15 Wandu wamredia wanawawe wakoho, ili adime kuwawada, ela wanafunzi wake wachawona ago, wakawazuia.
\v 16 Ela Jesu akawawanga kwake akideda, "Wasigenyi wana watini wache kwapwa, wala msawazuie. Maana ufalme gwa Mlungunyi ni wa wandu sa awo.
\v 17 Amini, nawagoria, mundu wowose asawokeraga ufalme gwa Mlungu sa mwana ni dhairi nda ungiaga.'
\v 18 Mtawala umweri akamkotia, akideda, 'mwalimu uboie, nibonyei ili niipale banana ya kala na kala?'
\v 19 Jesu akamgoria," kwa indoi udaniwanga niboie? Ndakudae mundu ako aboie, ela Mlungu mwenikeri.
\v 20 Udariichi amri- Usazini, usabwage, usauwe, usashuhudie tee, waheshimu ndeo na mayo.
\v 21 Uja mtawala akadeda,' malago aga gose nagawada tangu nikika ndawana.'
\v 22 Jesu achagasikira ago akamgoria, "Wapungukiwa ilago jimweri. Lazima udege vose ukoo navo na uwawage maskini, nawe dimawaka nahazina mbingunyi -kisha cho, uninuge.'
\v 23 Ela tajiri achasikira ago, wahuzunika nanganyi, kwa sababu wakogo tajiri nanganyi.
\v 24 Kisha Jesu, akamwona andu wahuzunika nanganyi akadeda, Jinsi ki dimavaka vikurie kwa matajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu!
\v 25 Maana ni rahisi nanganyi kwa ngamila kuida katika itundu ja sindano, kuliko kwa tajiri kungia katika ufalme gwa Mlungu.'
\v 26 Waja wasikirege ago, wakadeda, 'Ani basi, adimaga kutesiwa?
\v 27 Jesu wajibie, 'malago gasadimikana kwa wadamu kwa Mlungu gadadimikana."
\v 28 Petro akadeda, 'Naam, isi dasiga kila kilambo na dakunuga we.
\v 29 Kisha Jesu akawagoria, Amini, nawagoria kwamba ndakudae mundu wasigie iwacha, angu mka, angu wambari, angu wavazi angu wana, kwa ajili ya ufalme gwa Mlungu.
\v 30 Ambae ndawawokeraga mengi nanganyi katika urumwengu uhu, na katika urumwengu uchaga, banana ya kala na kala.'
\v 31 Baada ya kuwawika andu amweri waja kumi na iwi, akawagoria, 'Guwa, didajoka kugenda yerusalemu, na malago gose ambago gaandikigwa na walodi kuhusu mvalwa wa Adamu dimagakamilishwa.
\v 32 Kwa maana dimawakumbwa mikonunyi mwa wandu wa mataifa na dimawabonyiwa dhihaka na jeuri, na kuchuiwa mada.
\v 33 Baada ya kumbuka viboko dimawabwaga na maruwa ga kadadu dimawafufuka.'
\v 34 Ndawaelewe malago aga, na idedo ijijirikogo javisigwa kwawe, nda ndawaelewe malago gadediwe.
\v 35 Ikaka Jesu achakaribia yeriko, mundu umweri asawonaa wakogo waka mbai ya bara bara akilomba msaada,
\v 36 achasiira umati gwa wandu ukiida wakotie indoi chida fumiria.
\v 37 Wakawagoria kwamba Jesu wa Nazareti adaida.
\v 38 Huwo uja asawonaa akalila kwa sauti, akideda, "Jesu, mvalwa wa Daudi, unirehemu.'
\v 39 Waja wakogo wakisela wamkemia uja asawonaa, wakamgoria anyame kima. Ela ye wazidie kulila kwasauti, "mvalwa wa Daudi, unirehemu.
\v 40 Jesu akakimsi akaamuru mundu uja uredwe kwake. Kisha uja asawonaa wachamkaribia, Jesu akamkotia,
\v 41 'Ukundi ni kubonyei?' akadeda, 'Mzuri, ni kundi kuwona.'
\v 42 Jesu akamgoria, 'upate kuwona. Imani yako yakakira.'
\v 43 Mara hiyo akapata kuwona, akamnuga Jesu akimtukuza Mlungu. Wachawona iji, wandu wose wakamsifu Mlungu.
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Jesu na kuidia ya Yeriko.
\v 2 Na aho kurikogo na mundu umweri awawaga zakayo. Ambae wakogo mbaha wa wawada ushuru sena ni mundu tajiri.
\v 3 Wakogo adageria kumwona Jesu ni mundu wa namna ki, ela ndadimie kuwona kwa sababu ya umati wa wandu, kwa wuja wakogo mvui wa kima.
\v 4 Huwo, wakirie isenge imbiri ya wandu, akajoka igu ya mkuyu ili adime kumwona, kwa sababu Jesu wakaribia kuidia chia iyo.
\v 5 Makati Jesu wachafika andu aja, waguwie igu akamgoria, 'zakayo, sea karuwa ruwa, maana linu ni lazima nisinde nyumbenyi kwako.'
\v 6 Akabonya karuwa ruwa, akasea na kumkaribisha kwa furaha.
\v 7 Wandu wose wachawona ago, wakalalamika, wakideda, 'wagende kumtembelea mundu mweni zambi.'
\v 8 Zakayo akakimsi akamgoria Mzuri, Guwa Mzuri nusu ya mali yapwa nawaneka maskini, na ikaka namsoka mundu wowose kilambo, dimanamwujia mara ina.'
\v 9 Jesu akamgoria, 'Linu wokovu gwafika katika iwacha iji, kwa sababu ye pia ni mvalwa wa Ibrahimu.
\v 10 Kwa maana mvalwa wa mundu wacha kulola na kutesia wandu walagarie.
\v 11 Wachasikira ago, waendelee kuaria na wafunyie mfwano, kwa sababu wakogo avui na Yerusalemu, na wo wadhanie ya kuwa ufalme gwa Nlungu gwakogo avui kuwoneka mara imweeri.
\v 12 Huwo akawagoria, 'afisa umweri wagendie isanga ja kula ili awokere ugimbikwa na kisha awuye.
\v 13 Wawangie watumishi wake ikumi, akawaneka mafungu kumi akawagoria, 'bonyeni zogori npaka nchawuya.'
\v 14 Ela wanachi wake wamzamiwe na huwo wakaduma wajumbe wagende kumnuga na kudeda, 'Ndadikundi mundu uyu aditawale.'
\v 15 Ikaka achawuya nyumbenyi baada ya kubonywa mgimbikwa, akaamuru waja watumishi wakogo wawasigia fedha wawangwe kwake, apate kumanya faida ki waipatie kwa kubonya zogori.
\v 16 Wa kwanza akacha, akadeda, 'Mzuri, ifungu jako jabonya mafungu ikumi nanganyi.'
\v 17 Uyo afisa akamgoria, vema, mtumishi uboie; kwa sababu wakogo mwaminifu katika ilago tinyi, dimawaka na madaraka igu ya mizi ikumi.'
\v 18 Wa kawi akacha, akadeda, 'Mzuri, ifungu jako jabonya mafungu asanu.'
\v 19 Uyo afisa akamgoria, 'Wusa mamlaka igu ya mizi misanu.'
\v 20 Na umwi akacha, akadeda, 'Mzuri ihi fedha yako, ambayo naichi fadhie salama katika kitambaa,
\v 21 Kwa maana naboa kwa sababu we wa mundu ubirie. Udainja chija usakiwika na kukwasha usachiwa.'
\v 22 Uyo ofisa akamgoria, 'kwa madedo yako mweni, dima nakuhukumu, we mtumishi uzamie. Wamanyie kwamba nyi na mundu nibirie, ndawusa nisakiwikaa na kukwasha ambacho siwae.
\v 23 Basi, mbona nduwikie fedha yapwa katika benki, ili nikawuya niwuse andu amweri na faida?
\v 24 Ofisa akawagoria wandu wakogo wakakimsi aho, 'msokenyi ijo ifungu na kumneka uja akona mafungu kumi.'
\v 25 Wakamgoria, 'Mzuri, ye akona mafungu ikumi.'
\v 26 Nawagoria, kila mundu ambaye akonacho dimawanekigwa nanganyi, ela ambae ndadae, hata chija ako nacho dimachawusigwa.
\v 27 Ela awawalagelage wapwa, ambawo ndakundie nike mgimbikwa wawe, waredenyi aha na kuwabwaga imbiri yapwa."
\v 28 Baada ya kudeda ago, waendelee imbiri akijoka kugenda Yerusalemu.
\v 29 Ikaka wachakaribia Bethfage na Bethania, avui na lugongo lwa mizeituni, wawadumie wanafunzi wake wawi,
\v 30 akideda; 'Guendenyi katika kijiji cha jirani. Mkangia dimamwamdoka mwana-punda ndajokiwe bado. Mfunguenyi, mkamrede kwapwa.
\v 31 Ngelo mundu akiwakotia, 'mbona mdamrugua?' dedenyi, "Mzuri adamhitaji."
\v 32 Waja wadumiwe wakagenda wakamwona mwana-punda sa Jesu andu wakogo wawagoria.
\v 33 Warikogo wadamrugua mwana punda wamiliki wakamgoria, 'kwa indoi mdamrugua mwana punda uyu?'
\v 34 Wakadeda, 'Mzuri adamhitaji.'
\v 35 Basi, wakamgenjeria Jesu, wakatandika nguwo rawe igu ya mwana punda na wakamjosa Jesu igu yake.
\v 36 Warikogo akigenda wandu wakatandaza mavazi gawe barabarenyi.
\v 37 Warikogo adasea lugongo lwa mizeituni, jumuiya yose ya wanafunzi waanzie kushangilia na kumtukuza Mlungu kwa sauti mbaha, kwa sababu ya malago mabaha wagawonie,
\v 38 Wakideda, 'Niye mbarikiwa achaga kwa irina ja Mzuri! Amani mbingunyi, na utukufu lugu!'
\v 39 Baadhi ya mafarisayo katika mkutano wakamgoria, mwalimu, wanyama kimishe wanafunzi wako.'
\v 40 Jesu wajibie, akadeda, 'Nawagorienyi, ngelo awawakanyama kima, magwe dimagapaza sauti.'
\v 41 Jesu achagukaribia mzi wagulilie,
\v 42 akideda, laiti kumachawaichi hata we, katika maruwa aga malago ambago gakurediaga amani! ela ijiaha gavisika mesonyi kwako.
\v 43 Kwa wuja maruwa gadacha ambapo walage lage wako dimawaaga iboma avui ni we, nakuzunguluka na kukandamiza kufuma kila luwande.
\v 44 Dimawakugwisha ndonyi we na wana wako. Ndawakusigia hata igwe jimweri igu ya jimwi, kwa sababu ndutambue makati Mlungu warikogo adageria kukutesia.'
\v 45 Jesu wangie Hekalunyi, wawokie kuwabingisa waja wakogo wakidaga,
\v 46 akiwagoria, 'yaandikigwa, 'Iwacha japwa dima jaka iwacha ja sala; ela inyo mwaibonya kuka ipango ja wanyang'anyi."
\v 47 Kwa huwo, Jesu wakogo akifundisha kila siku hekalunyi. Makuhani wabaha na walimu wa sheria na vilongozi wa wandu wakundiege kumbwaga,
\v 48 ela ndawadimie kupata chia ya kubonya huwo, kwa sababu wandu wose wakogo wakimsikira kwa makini.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Ikaka iruwa jimweri, Jesu warikogo akiwafundisha wandu Hekalunyi na kuhubiri injili, makuhani wabaha na walimu wa sheria wamgendia andu amweri na wagosi.
\v 2 Wazungumzie, wakiomgoria, 'Digorie ni kwa mamlaka ki udabonya malago aga? Angu ni ani uyo ambae wakuneka mamlaka aga?"
\v 3 Naye wajibie, akawagoria, 'Na nyi pia dimanamikotia iswali. Nigorieni
\v 4 Ubatzo gwa Yohana. Je, gwafumie mbingunyi ama kwa wandu? '
\v 5 Ela wakajadiliana wo kwa wo, wakideda, 'Dikadeda gwafumie mbingunyi, dimawadi kotia, basi mbana ndammwaminie?
\v 6 Na dikideda; gwafumie kwa wadamu,' wandu wose aha dimawadikaba magwe, maana wose wadaamini kwamba Yohana wakogo mlodi.'
\v 7 Basi, wamjibie ya kwamba ndawamanyie andu gwafuma.
\v 8 Jesu akawagoria, "Wala nyi siwagoriaga inyo ni kwa mamlaka ki ndabonya malago aga."
\v 9 Wawagoria wandu mfwano ugu, "Mundu umweri wawae mbuwa ya mizabibu, akajikodisha kwa wakulima wa mizabibu, na akagenda isanga jimwi kwa muda mlacha.
\v 10 Kwa muda gupangiwe, wamdumie mtumishi kwa wakulima wa mizabibu, kwamba wamneke sehemu ya matunda ga mbuwa ya mizabibu. Ela wakulima wa mizabibu wakamkaba, wakamwuja mikonu- miduhu.
\v 11 Kisha akamduma sena mtumishi umwi nawo wakamkaba, kubonyia gazamie, na wakamwuja mikonu miduhu.
\v 12 Wamduma sena wa kadadu nawo wakamjeruhi na kumdaga shigadi.
\v 13 Huwo Mzuri wa mbuwa akadeda, 'dimadabonya indoi? dimanamduma mwanapwa mkundwa. Labda dimawamheshimu.'
\v 14 Ela wakulima wa mizabibu wachamwona, wajadilie wo kwa wo wakideda, 'uyu nie mpali. Dimbwagie, ili mpalo gwake guko gwedu.'
\v 15 Wakafunya shigadi ya mbuwa ya mizabibu na kumbwaga. Je Mzuri wambuwa dimawawabonyai?
\v 16 Dimawacha kuwaangamiza wakulima wa mizabibu, na dimawawaneka mbuwa iyo wamwi." 'Nawo wachasikira ago, wakadeda, 'Mlungu wa lega'
\v 17 Ela Jesu akawaguwa, akadeda, "Je iandiko iji jikona maana ki? 'igwe wajilegie wajenzi, jaka igwe ja pembenyi.
\v 18 Kila mundu agwaga igu ya igwe ijo, dimawachukanyika viwande. Ela uja ambae dima jamgwia, dima jambonda.'
\v 19 Huwo waandishi na wabaha wa makuhani walolie chia ya kumwada makati ago geni, wamanyie kwamba wakogo wadeda mfwano ugo dhidi yawe. Ela wadeboa wandu.
\v 20 Wamgwie kwa makini, wakaduma wapelelezi wakibonyie kuka wandu wa hachi, ili wadime kupata ikosa kwa hotuba yake, ili kumgenja kwa watawala na weni mamlaka.
\v 21 Nawo wakamkotia, wakideda, "mwalimu, didaichi kwamba adadeda na kufundisha malago ga loli na si kushawishiwa na mundu wowose, ela we hufundisha loli kuhusu chia ya Mlungu.
\v 22 Je, ni halali kwedu kushana kodi kwa kaisari, angu la?"
\v 23 Ela Jesu watambua mtego wawe, akawagoria,
\v 24 "Nibonyerieni dinari. Sura na chapa ya ani iko igu yake?" Wadedie, ya kaisari."
\v 25 Naye akawagoria, 'Basi mnekenyi kaisari geko gake kaisari, na Mlungu geko gake Mlungu.'
\v 26 Waandishi na wabaha wa makuhani ndawaridaege uwezo gwa kukosoa chija wadedie imbiri ya wandu. Wakastaajabu gake na ndawadedie chochose.
\v 27 Baadhi ya masadukayo wakamgendia, waja ambawo wadedaga kwamba ndakudaew ufufuo,
\v 28 Wakamkotia, wakideda, "mwalimu, Musa wadiandikie kwamba ngelo mundu akafiwa na mmbari mweni mka ambae mwana basi adapaswa kumwusa mka wambari wake na kuva nae kwa ajili ya kaka ake.
\v 29 Kurikogo na wambari saba wa kwanza walowaa, akafwa bila kusiga mwana,
\v 30 na wa kawi pia.
\v 31 Wakadadu akamwusa woruwo, woruwo huwo wasaba ndasigie wana wa akafwa.
\v 32 Baadae uja mndumka pia akafwa.
\v 33 Katika ufufuo dimawaka mka wa ani? maana wose saba wakogo wamlowua.'
\v 34 Jesu akawagoria, "Wavalwa wa urumwengu ughu kulowua na kulowolwa.
\v 35 Ela waja wastahili kuwokera ufufuo gwa wafwie na kungia banana ya kala na kala ndawa lowaa wala ndawalowolwa.
\v 36 Wala mdawadimaga kufwa sena, kwa sababu huka sawa sawa na malaika nani wana wa Mlungu, wavalwa wa ufufuo.
\v 37 Ela hiyo wafwie wadafufuliwa, hata, hata Musa wabonyerie mahali katika habari ra kichaka, aja wamwangie Mzuri sa Mlungu wa Ibrahimu na Mlungu wa Isaka na Mlungu wa Yakobo.
\v 38 Idana, ye si Mlungu wa wafwie, bali wa weko hai, kwa sababu wose huishi kwake."
\v 39 Baadhi ya walimu wa sheria wamjibie, 'mwalimu, wajibu vema.'
\v 40 Ndawathubutu kumkotia maswali gamwi nangnayi.
\v 41 Jesu akawagoria, "kiwada wandu wadadeda kwamba Kristo wa mvalwa wa Daudi?
\v 42 Maana Daudi mweni adadeda katika zaburi: Mzuri wamgoria Mzuri wapwa: ka mkonu gwa kujo,
\v 43 Mpaka niwawike walage lage wako ndonyi ya magu gako.'
\v 44 Daudi adamwanga Kristo 'Mzuri', basi akakawada mvalwa wa Daudi?"
\v 45 Wandu wose warikogo wakimsikira akawagoria wanafunzi wake,
\v 46 Kihadharinyi na waandishi, wakundii kusela warwa mavazi malacha, na wakundi salamu maali=umu chetenyi na vifumbi va heshima katika masinagogi, na maeneo ga heshima karamunyi.
\v 47 Wo pia huja nyumba ra wakolo, na wadakibonya wadasali sala ndacha. Awa dima wawokera hukumu mbaha nanganyi.'
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Jesu waguwie akawawona weni matajiri warikogo wadawika zawadi rawe hamzinenyi.
\v 2 Akamwona mkolo umweri maskini akiwika senti rake iwi.
\v 3 Huwo akadeda, "Loli nawagorienyi, uyu mkolo masikini wawika nyingi kuliko wamwi wose.
\v 4 Hawa wose wafunya iri zawadi kufuma katika vingi wakonavo. Ela uyu mkolo, katika umaskini gwake, wafunya fedha rose wakogo naro kwa ajili ya kuishi kwake."
\v 5 Makati gamwi warikogo wakideda igu ya ihekalu, namna andu jakogo japambigwa na magwe gaboie na matoleo, wadedie,
\v 6 "Kwa habari ya malago aga mgawonaga, maruwa dimagacha ambago ndakudae igwe mweri ambajo ndajibomolewa."
\v 7 Huwo wakamkotia, wakadeda, "mwalimu, malago aga dimagafuma li? Na indoi dimayaka ishara kwamba aga malago geko avui kufumiria?"
\v 8 Jesu wajibie, "Mke waangalifu kwamba msaembiwe kwa sababu wengi dimawacha kwa irina japwa, wakideda, 'Nyi nie; na muda gwakaribia'. Msawanuge.
\v 9 Mkasikira kondo na vurugu vurugu msaboe, kwa sababu aga malago lazima gafumirie kwanza, ela mwisho ndagufumiria karuwa ruwa."
\v 10 Kisha akawagoria, "{Itaifa dimajanuka kukabana na itaifa jimwi, na ufalme igu ya ufalme umwi.
\v 11 Dimakwaka na matetemeko mabaha, na njala natauni katika gasi tofauti. Dimakwaka na matukio ga kutisha na ishara ra kutisha kufuma mbingunyi.
\v 12 Ela kabla ya malago aga gose, dimawawika mikonu yawe igu yenyu na kuwatesa, kuwagenja masinagoginyi na magereza, kuwareda imbiri ra wagimbikwa na weni mamlaka kwa sababu ya irina japwa.
\v 13 Ihi dimayawaruguria fursa kwa ushuhuda gwenyu.
\v 14 Kwa huwo amuenyi miongonyi kwenyu kutaondaa kutandanya kwenyu mapema,
\v 15 kwa sababu dimanawaneka madedo na hekima, ambayo walage lage wenyu wose ndawadimaa kuipanga angu kuiokana.
\v 16 Ela dimamwalegwa pia na wavazi wenyu, wambari wenyu, jamaa renyu na amwedu renyu, na dimawawabwaga baadhi yenyu.
\v 17 Dimamwazamiwa na kila umweri kwa sababu ya irina japwa.
\v 18 Ela ndakudae hata unjwi umweri wa vongo venyu ulagayaga.
\v 19 katika kuririmira dimamwarikira nafsi renyu.
\v 20 Mchawona Yerusalemu yazunguluka kwa majeshi, basi manyeni kwamba unonefu gwake gwa karibia.
\v 21 Aho waja wakoo Yudea wakimbirie lugangonyi, na waja wakoo gadi gadi ya jiji wainge, na msawasige wakoo vijiji kungia.
\v 22 Maana aga ni maruwa ga kiasi, ili kwamba malago gose gaandikiwe gapate kutimilika.
\v 23 Ole ni kwa waja wakoo na inda na kwa waja wanyonyeshaga katika maruwa ago! kwa maana dimakwaka na adhambaha igu ya isanga, na gadhabu kwa wandu awa.
\v 24 Na dimawaangwa kwa ncha ya luwamba na dimawawusigwa mateka kwa mataifa gose, na Yerusalemu dima yawadigwa na wandu wa mataifa, mpaka makati ga wandu wa mataifa uchakamilika.
\v 25 Dimakwaka na ishara katika iruwa, mweri na nyenyeri. Na katika isanga dimakwaka na dhiki ya mataifa, katika ukata tamaa kufuma na mlilo gwa bahari na mawimbi.
\v 26 Dimakwaka na wandu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia malago ga fumaga kufuma igu ya dunia. Kwa maana ndigi ra mbingu dimaratikiswa.
\v 27 Kisha dimawamwona mvalwa wa Adamu akicha madulunyi katika ndigi na utukufu mbaha.
\v 28 Ela malago aga gachawoka kufumiria, kenyi kimsi, nuenyi vongo venyu, kwa sababu ukombozi gwenyu gwasogea avui."
\v 29 Jesu akawagoria kwa mfwano, "uguwenyi mtini, na midi yose.
\v 30 Ikafunya machipukizi, mdakiwonia weni na kumanya kwamba kiangazi tayari chiko avui.
\v 31 Woruwo huwo, mchawona malago aga gadafumiria, inyo manyeni ya kwamba ufalme gwa Mlungu gwakaribia.
\v 32 Loli, nawagorienyi, kivazi ichi ndachiidaga, mpaka malago aga gose gachafumiria.
\v 33 Mbingu na isanga dimaraida, ela madedo gapwa ndagaidaga kamwe.
\v 34 Ela kiguwenyi weni, ili kwamba mioyo yenyu isache lemewa na ufisadi, wulevi, na magaisho ga maisha aga. Kwa sababu jija iruwa dima jawachea gafla
\v 35 sa mtego. kwa sababu dimayaka igu ya kila umweri akaga katika wushu gwa dunia ndazi.
\v 36 Ela mke tayari makati gose, mtase kwamba dima mwaka imara va kutosha kugaepuka aga gose gachafumiria, na kukakimsi imbiri ra mvalwa wa Adamu."
\v 37 Huwo makati ga dime wakogo akifundisha hekalunyi na kio wafumie shigadi, na kugenda kuka meso katika lugongo luwangwaga lwa mzeituni.
\v 38 Wandu wose wamchea keshokio mapema ili kumsikirandenyi ya ihekalu.
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 Basi sikukuu ya mkate usakumbagwa chachu yakogo yakaribia, ambayo idawangwa pasaka.
\v 2 Makuhani wabaha na waandishi wakajadiliana namna ya kumbwaga Jesu, kwa sababu wawaboa wandu.
\v 3 Shetani akangia ndenyi ya Yuda Iskariote, umweri wa waja wanafunzi kumi na iwi.
\v 4 Yuda akagenda kujadiliana na wabaha wa makuhani na wagosi namna ambavyo dimawamkabidhi Jesu wawe.
\v 5 Waboiwe, na kukatana kumneka fedha.
\v 6 Ye waridhie, na walolie fursa ya kumkabidhi Jesu kwawe kula na ikundi ja wandu.
\v 7 Maruwa ga mikate isakumbigwa chachu gakafika, ambapo ng'ondi wa pasaka lazima afunyigwe.
\v 8 Jesu akawaduma Petro na Yohana, akadeda, "Gendenyi mkadiandalie vindo va pasaka ili dichedije."
\v 9 Wakamkotia, "Hao udakundi digabonye ago maandalizi?"
\v 10 Akawajibu, 'sikirenyi, mchaka mwangia mzinyi, mndu mumi ambae wadwa mtungi gwa machi dimawakwona inyo. Mnugenyi nyumbenyi ambayo dimawangia.
\v 11 Kisha mgorienyi Mzuri wa iwacha, "mwalimu adakugoria, "chiko hao chumba cha wagenyi, andu ambako dimanaja pasaka na wanafunzi wapwa?"
\v 12 Dimawamibonyeria chumba cha gorofenyi ambacho cheko tayari. Bonyeni maandalizi umo."
\v 13 Huwo wakagenda, na wakadoka kila kilambo sa andu wawagoria. Kisha wakaandaa vindo va pasaka.
\v 14 Taimu richafika wakee na waja mitume.
\v 15 Kisha akawagoria, "Nkona shauku mbaha ya kuja sikukuu ihi ya pasaka na inyo kabla ya kuteswa kwapwa."
\v 16 kwa maana nawagorienyi, sijaga sena mpaka ichatimizigwa katika ufalme gwa Mlungu."
\v 17 Kisha Jesu akawusa kikombe, na achameria kushukuru, akadeda, "Wushenyi iki, na mwagiane inyo kwa inyo.
\v 18 Kwa maana ndawagoria, sinywaga sena mvalogwa mzabibu, mpaka ufalme gwa Mlungu uchacha."
\v 19 Kisha akawusa mkate, na achashukuru, akaubega, na kuwaneka, akideda, "uhu ni muwi gwapwa ambago gwafunyigwa kwa ajili yenyu. Bonyeni uwu kwa kunikumbuka nyi."
\v 20 Akwusa kikombe woruwo uwo baada ya vindo va kio ukideda, "kikombe iki ni iagano wishi katika baga yapwa, ambayo yadika kwa ajili yenyu.
\v 21 Ela guwenyi. Uja anisaliti ako andu amweri nanyi mezenyi.
\v 22 Kwa maana mvalwa wa Adamu kwa loli agenda chia rake sa andu yaamuliwa. Ela ole kwa mundu uja ambae kuidia ye mvalwa wa Adamu asalitiwa!"
\v 23 Wakawoka kukotiana wo kwa wo, ani miongonyi mwao ambae kumachawabonya ilago iji.
\v 24 Kisha gakafumiria mabishano gadigadi yawe kwamba ni ani adhaniwaa kuka mbaha kuliko wose.
\v 25 Akawagoria, "Wagimbikwa wa wandu wa mataifa wako na ubwana igu yawe, na waja wekona mamlaka igu yawe wadawangwa waheshimiuwa watawala.
\v 26 Ela ndaikundigwi kabisa kuka huwu kwenyu inyo. Badala yake, siga uja ambae ni mbaha kati yenyu ake sa mtinyi. Na uja ambae ni wa muhimu nanganyi ake sa adumikaga.
\v 27 Kwa sababu uyao wa mbaha? Je si uja akaga mezenyi? Na nyi bado ni kati yenyu sa adumikaga.
\v 28 Ela inyo nio ambawo mwaendelea kuka nanyi katika kugeriwa kwapwa.
\v 29 Ndawanek inyo ugimbikwa, kama wuja Aba andu wanieka nyi ugimbikwa,
\v 30 kwamba mpate kuja na kunywa mezenyi kwapwa ugimbikwenyi kwapwa. Na dimwawaka vifumbinyi va enzi mkizihukumu kabila kumi na iwi ra israeli.
\v 31 Simoni, simoni, manya kwamba shetani walomba awapate ili awapepete sa ngano.
\v 32 Ela nakutesia, kwamba imani yako isalemwe. Baada ya kuka wawuya sena, waiwarishe wambari wako."
\v 33 Petro akamgoria, "Mzuri, neko tayari kugenda na we gerezanyi na hata katika mauti."
\v 34 Jesu wajibie, "Ndakugoria Petro jogolo ndalilaga linu, kabla ndakunukanie mara adadu kwamba udanimanya."
\v 35 Kisha Jesu akawagoria, "Nichagenja inyo bila mfuko, ngau ya vindo, iruwa vadu, Je mwagoduiwa ni kilambo?" Wajibie "Aa."
\v 36 Kisha akawagoria, "Ela ijiaha, kila mweni mfuko, na auwuse andu amweri na ngau ya vindo. Uja ambae ndadae luwamba yampasa adage ijoho jake agule umweri.
\v 37 Kwa sababu nawagoria, gose ambago gaandikigwa kwa ajili yapwa lazima gatimilie; Na wawusigwa kama mundu ambae adachukanya torati." kwa sababu chija tabiriwe kwa ajili yapwa chidatimizigwa."
\v 38 Kisha wakadeda, "Mzuri guwa! iri aha luwamba iwi." Na akawagoria"idatesha."
\v 39 Baada ya vindo va kio, Jesu waingie, sa ambavyo wakogo akibonya mara kwa mara, akagenda lugongo lwa mizeituni, na wanafunzi wakamnuga.
\v 40 Wachafika wawagoria "tasenyi kwamba msangie katika kugeriwa."
\v 41 Akagenda kala na wo sa mdaga gwa igwe, akakaba magoti akatasa,
\v 42 akideda, Aba, ngelo udakundi, niinjie kikombe ichi. Ela si kama ndikundii nyi, ela mapenzi gako gabonyeke."
\v 43 Kisha malaika kufuma mbingunyi akamfumiria, akamkumba ndigi.
\v 44 Akika katika kuuguwa, akatasa kwa dhati nanganyi, na ijasho jake jikaka sa matone mabaha ga baga gakidondoka ndonyi.
\v 45 Makati wachawukia kufuma katika malombi gake, wachee kwa wanafunzi, na akawadoka watungura kwa sababu ya huzuni yawe,
\v 46 na akawakotia,' kwa indoi mdatungura? wukienyi mtase, kwamba msangie katika kugeriwa."
\v 47 Makati warikogo bado akiaria, guwa ikundi baha ja wandu jikafumiria, na Yuda umweri wa mitume kumi na iwi akiwalongoza. Akacha avui na Jesu akambusu,
\v 48 ela Jesu akamgoria, "Yuda Je adamsaliti mvalwa wa Adamu kwa busu?"
\v 49 Makati waja warikogo avui na Jesu wachawona ago gadafumiria, wakadeda, "Mzuri, Je diwakabe kwa luwamba?"
\v 50 Kisha umweri wawe akamkaba mtumishi wa kuhani mbaha, akamdema kudu kwake kwa kujo.
\v 51 Jesu akadeda, "ihi idatosha. Na akawada kudu kwake, akamkira.
\v 52 Jesu akadeda kwa kuhani mbaha, na kwa wabaha waihekalu, na kwa wagosi wachee kinyume chake, "Je mdacha kana kwamba mdacha kupambana na mnyang'anyi, na marungu na malwamba?
\v 53 Nirikogo andu amweri na inyo maruwa gose hekalunyi, ndamwikie mikonu yenyu igu yapwa. Ela ihi ni saa yako, na mamlaka ga kira."
\v 54 Wakamwada ya kuka wawasha modo katika uja uwanda gwa ndenyi na wachameria kuka ndonyi andu amweri, Petro akamnuga kwa kala.
\v 55 Baada ya kuka wawasha modo katika uja uwandagwa ndenyi na wachameria kuka ndonyi andu amweri, Petro akaka gadi gadi yawe.
\v 56 Mtumishi umweri wa kiwaka akamwona Petro warikogo waka katika mwanga ufumanaga na modo, akamguwa akamgoria, "Uyu mundu pia wakogo andu amweri nae."
\v 57 Ela Petro wakanie, akadeda, "mndumka, nyi simmanyaa."
\v 58 Baada ya muda kidogo, mundu umwi akamwona akadeda "We pia ni umweri wawe." Ela petro wajibie, "Mndumumi, nyi sie."
\v 59 Baada ya kama isaa jimweri huwu, mndumuni umweri wasisitizie akadeda, "Loli kabisa uyu mundu pia wakogo andu amweri nae, maana wa mgalilaya."
\v 60 Ela Petro akadeda, "mndumumi, sijiichi udedaa." Na mara, makati akiaria, jogolo akalila.
\v 61 Akaaguka, Mzuri akamguwa petro. Na petro akajikumbuka idedo ja Mzuri, aja achamgoria, "kabla ya jogolo kulila linu, dimawanikana nyi mara adadu."
\v 62 Akigenda shigadi, petro akalila kwa uchungu mwingi.
\v 63 Kisha waja womi warikogo wakimlinda Jesu, wakamdhihaki na kumkaba.
\v 64 Baada ya kumfunika meso, wakamkotia, wakideda, "Tabiri! ani wakukaba?"
\v 65 Wakaaria malago gamwi mengi kinyume cha Jesu na kumkufuru ye.
\v 66 Mara ichaka keshokio, wagosi wa wandu wakwa na andu amweri, wabaha wa wa makuhani na waandishi. Wakamgenja barazenyi,
\v 67 Wakideda, "Ngelo we ni Kristo, digorie." Ela ye akawagoria, "ngelo ni kuwagoria, ndamniamini,
\v 68 na ngelo ni kamikotia ndamnijibu."
\v 69 Ela kuwoka ijiaha na kuendelea, mvalwa wa Adamu dimawaka waka mkonu gwa kujo gwa ndigi ya Mlungu.
\v 70 Wose wakadeda, "kwa huwo we wa mvalwa wa Mlungu?" Na Jesu akawagoria, "Inyo mwadeda nyi nie."
\v 71 Wakadeda, "kwa indoi bado didahitaji sena ushahidi? kwa sababu isi weni dasikira kufuma katika momu gwake mweni."
\c 23
\cl Sura 23
\p
\v 1 Mkutano gwose wakakimsi, wakamgenja Jesu imbiri ya pilato.
\v 2 Wakawoka kumshutumu, wakideda, "Damdoka mundu uyu akipotosha itaifa jedu, kwa kukataza disafunye kodi kwa kaisari, na akideda kwamba ye mweni ni Kristo, mgimbikwa."
\v 3 Pilato akamkotia, akideda, "Je we wa mgimbikwa wa wayahudi?" Na Jesu wamjibie akideda, "We wadeda huwo."
\v 4 Pilato akamgoria kuhani mbaha na makutano, "siwonaa ikosa kwa mundu uyu."|
\v 5 Ela wo wasisitizie, wakideda, "waka akiwachochea wandu, akifundisha katika uyahudi yose, kuwoka Galilaya na ijiaha ako aha."
\v 6 Pilato achasikira aga, akakotia ngelo mundu uyo ni wa Galilaya?
\v 7 Wachatambua kuwa wakogo ndonyi ya utawala gwa Herode, akamgenja Jesu kwa Herode, ambae nae wakogo Yerusalemu kwa maruwa ago.
\v 8 Herode achamwona Jesu, waboiwe nanganyi kwa sababu wakundie kumwona kwa mengi. Wasikira habari rake na watamanie kuwona umweri ya miujiza ikibonywa na ye.
\v 9 Herode wamhojie Jesu kwa madedo mengi, ela Jesu ndamjibie chochose.
\v 10 Makuhani wabaha andu amweri na maaskari wake, wamuanyira na kumdhihaki,.
\v 11 Herode andu amweri na maaskari wake, wamuanyira na kumdhihaki, na kumrwisha mavazi gaboie, kisha akamwuja Jesu kwa pilato.
\v 12 Herode na Pilato wakaka wa amwedu kuanzia maruwa ago, (kabla ya aho wakogo walage lage).
\v 13 Pilato akawawanga andu amweri makuhani wabaha na watawala na umati gwa wandu,
\v 14 Akawagoria, "mwaniredia mundu uyu sa mundu awalongozaga wandu wabonye gazamie, na siwonie ikosa kwa mundu uyu kuhusu malago gose ambago inyo mdamshitaki ye.
\v 15 Aa, wala Herode, kwa maana wamwuja kwedu, na guwa ndakudae chochose wakibonya kistahiliii adhabu ya kifo.
\v 16 kwa huwo basi dimanamuadhibu na kumsigiria.
\v 17 (idana, pilato adawajibika kumsigiria mfungwa umweri kwa wayahudi makati ga iskukuuu).
\v 18 Ela wose wakakaba jogo andu amweri, wakideda, "Muinje uyo, na dirugurie Baraba!"
\v 19 Baraba wakogo ni mundu ambae wawikigwa gerezenyi kwa sababu ya uasi fulani katika jiji na kwa kubwaga.
\v 20 Pilato akawagoria sena, akitamani kumsigira Jesu.
\v 21 Ela wo wakabaga jogo, wakideda, "msulubishe, msulubishe."
\v 22 Akawakotia kwa mara ya kadadu, 'kwa indoi, uyu mundu wabonya maovu ki? sipatie ikosa jistahili adhabu ya kifo kwake. Kwa huwo nichameria kumuadhibu dimanamsigiria."
\v 23 Ela wasisitizie kwa sauti ya igu, wakikundi asulubiwe. Na sauti rawe ramshawishie pilato.
\v 24 Huwo pilato waamua kuwaneka matakwa gawe.
\v 25 Akamsigiria uja wamkundie ambae warugwie kwa kusababisha gasia na kubwaga. Ela akamfunya Jesu kwa matakwa gawe.
\v 26 Warikogo wadamgenja, wamwada mundu umweri awangwaga simoni wa ukirene, akifumiria katika isamga, wakamtwika msalaba ili agunue, akimnuga Jesu.
\v 27 Umati mbaha gwa wandu, na wandu waka ambawo wahuzunikie na kulila kubaha kwa ajili yake, wakogo wakimnugiria.
\v 28 Ela akawagukia, Jesu akawagoria, mwai ra Yerusalemu, msalilie nyi, bali kililienyi inyo wemi na kwa ajili ya wana wenyu.
\v 29 Guwa maruwa gadacha ambago dimawadeda, "Wabariwa wasavaga na vifu visavaga, na matiti ambago ndaganyonyeshie.
\v 30 Niko wachawoka kuigoria lugongo, 'Digwienyi, 'na dachugongo, 'mdifinike.'
\v 31 Maana ngelo wakibonya malagalaga ikika mdimwishi, ikakawada ukika gwaoma?"
\v 32 Womi wamwi, wahalifu wawi, wagenjigwa andu amweri nae ili wabwage.
\v 33 Wachafika andu kuwagwaga ifuvu ja chongo, niko wakamsulubisha andu amweri na waja wahalifu, umweri luwande lwa kujo na imwi luwande lwa kumosho.
\v 34 Jesu, wadedie, "Aba, uwasamehe, kwa wuja ndawaichi jija wabonyaa. "Nawo wakakaba kura, kuwagia mavazi gake.
\v 35 Wandu wakogo wakakimsi wakiguwa uku watawala wakimdhihaki, wakideda, "wawatesia wamwi. Idana akitesie mweni, ngelo wa Kristo Mlungu, mteule."
\v 36 Askari pia wammenya, wamkaribia ye na wakamneka siki,
\v 37 wakideda, "Ngelo we mgimbikwa wa wayahudi kitesie mweni."
\v 38 Kurikogo pia na alama igu yake iandikigwe "UYU NIE MGIMBIKWA WA WAYAHUDI."
\v 39 Umweri wa waalifu wasulubishiwe, wamuanyira akideda, "We si Kristo? kitesie mweni na isi"
\v 40 Ela uja umwi wajibie, akimkemia na akideda, "Je we ndumbonyaga Mlungu, na we weko katika hukumu iyo yeni?
\v 41 Isi diko aha kwa hachi, kwa maana isi didawokera chija distahili kwa matendo gedu. ela mundu uyu ndabonyie chochose chizamie."
\v 42 Na wachurie, "Jesu, nikumbuke uchangia katika ugimbikwa gwako."
\v 43 Jesu akamgoria, "Amin ndakugoria, linu huwu dimawaka andu amweri na nyi paradiso."
\v 44 Aho irikogo avui saa ya sita, kira kikacha igu ya isanga jose hata isaa ja kenda,
\v 45 Mwanga gwa iruwa gwarimikie. Kisha ipazia ja hekalu jikawaganyika gadigadi kuwokia igu.
\v 46 Akilila kwa sauti mbaha, Jesu wadedie, "Aba mikonunyi kwako naiwika ngolo yapwa, "Baada ya kudeda aga, akafwa.
\v 47 Makati akida achawona gabonyekie wamtukuzie Mlungu akideda, "Hakika uyu wakogo mundu mweni hachi."
\v 48 Makati umati gwa wandu wachee andu amweri kushuhudia wachawona malago gabonyekie, wawurie uku wakikaba vifua vawe.
\v 49 Ela waka amwedu wake, na wanduwaka wamnugie kufuma Galilaya, wakeekimsi kwa kula wakigwa ago malago.
\v 50 Guwa, kurikogo na mundu awagwaga Yusufu, ambae ni umweri wa ibaraza, mundu aboie na mweni hachi,
\v 51 (wakogo ndakubaliane na maamuzi angu matendo gawe), kufuma Armathaya, mzi gwa kiyahudi, ambao urikogo ukiweseria ufalme gwa Mlungu.
\v 52 Mundu uyu, wamkaribia pilato, akalomba anekwe muwi gwa Jesu.
\v 53 Wamsera, na akazungulushia sanda, na akawika katika ikaburi jirikogo jachongigwa katika igwe, ambajo ndakudae wawahie kurikwa.
\v 54 Irikogo ni siku ya maandalizi, na sabato idakaribia.
\v 55 Wanduwaka, wachee nawo kufuma Galilaya, wamnugie, na wakawona ikaburi na jinsi muwi gwake andu ulaziwe.
\v 56 Wawurie na kuwoka kuandaa manukato na marashi. Kisha iruwa ja sabato wasogokie kwa mujibu gwa sheria.
\c 24
\cl Sura 24
\p
\v 1 Mapema nanganyi iruwa ja kwanza ja juma, wachee kaburinyi, wakireda manukato ambago wakago wagaandaa.
\v 2 Wakadoka igwe javingirishwa kula na ikaburi.
\v 3 Wakangia ndenyi, ela ndawaudokie muwi gwa Mzuri Jesu.
\v 4 Yafumirie kwamba, makati wachanganyikiwa kuhusu iji, gafla, wandu wawi wakeekimsi gadi gadi yawe warwa mavazi ga kuela.
\v 5 Wandu waka wakika wachua hofu na wakigogomisha wushu rawe ndonyi, wakawagoria wandu waka, "kwa indoi mdalola akoo hai miongonyi mwa wafwie?
\v 6 Ndeko aha, ela wafufuka! kumbukenyi andu wadedie na inyo warikogo angali Galilaya,
\v 7 akideda kwamba mvalwa wa Adamu lazima afunyigwe mikonunyi mw wandu weni zambi na aslibishwe, na iruwa ja kadadu, afufuke sena."
\v 8 Waja wanduwaka wakakumbuka madedo gake,
\v 9 na wakawuya kufuma kaburinyi na wakawagoria malago aga gose waja kumi na umweri na wamwi wose.
\v 10 Basi Maria magdalena, Joana, Maria mawe wa Yakobo, na wandu waka wamwi andu amweri nawo wakafunya taarifa iri kwa walodi.
\v 11 Ela ujumbe uhu ukawaneka sa mzaha tu kwa walodi, na ndawawaminie waja wanduwaka.
\v 12 Hata huwo Petro wawukie, na kakimbia kugenda kaburinyi, na wachungulie na kuguwa ndenyi, wawonie sanda yeni keri. Petro kisha akaingia akagenda nyumbenyi kwake, akistaajabu indoi ambacho cha fumiria.
\v 13 Na guwa, wawi miongonyi kwawe warikogo wakigenda iruwa ijo jeni katika kijiji chimweri chiwangwaga Emmau, ambacho chakogo maili sitini kufuma Yerusalemu.
\v 14 Wakajadiliana wo kwa wo kuhusu malago gose gafumirie.
\v 15 Ikafumiria kwamba, makati warikogo wakijadiliana na kukotiana maswali, Jesu akaseguda avui akaambatana nawo.
\v 16 Ela meso gawe gazuiliwa katika kummanya ye.
\v 17 Jesu akawagoria, "Indoi ambacho inyo wawi mdachiaria makati mdatembea?" Wakeekimsi J wakiwonekana na huzuni.
\v 18 Umweri wawe, irina jake cleopa, wamjibie, "Je we wa mundu pekee aha Yerusalemu ambae ndamanyaga malago gafumirie uko maruwa aga?"
\v 19 Jesu akawagoria, "malago ki?" wakamjibu," malago kuhusu Jesu mnazareti, ambae wakogo mlodi, muweza katika matendo na madedo imbiri ra Mlungu na wandu wose.
\v 20 Na kwa jinsi ambayo wabaha wa makuhani na vilongozi wedu andu wafunya kuhukumiwa kifo na kumsulubisha.
\v 21 Ela daaminie kwamba ye nie awawikaga huru Israeli. Hee, kula na aga gose, ijiaha ni iruwa ja kadadu tangu malago aga gafumirie.
\v 22 Ela pia, baadhi ya wanduwaka kufuma katika ikundi jedu wadishangazie, baada ya kuwapo kaburinyi keshokio mapema.
\v 23 Wachausowa muwi gwake, wakacha, wakideda kwamba wawonie pia maono ga malaika wadedie kwamba ako hai.
\v 24 Baadhi ya womi ambawo wakogo andu amweri na isi wagendie kaburinyi, na kunuga ni kama wuya wanduwaka andu wadedie. Ela ndawamwonie ye."
\v 25 Jesu akawagoria, "Inyo wandu wakelie na weni mioyo mizito ya kuamini yose ambayo walodi wadeda!
\v 26 Je ndaikogo lazima Jesu kuteseka kwa malago aga, na kungia katika utukufu gwake?"
\v 27 Kisha kuwoka kufuma kwa Musa na walodi wose, JAesu akawafsiria malago gamhusu ye katika maaandiko gose.
\v 28 Wachakaribia chija kijiji, uko warikogo wakigenda, Jesu akabonya kana kwamba adaendelea imbiri.
\v 29 Ela wamlazimisha, wakideda, "ka andu amweri na isi, maana idaelekea kwenyi na siku ni kama yadua." Huwo Jesu akangia kugenda kuka andu amweri nawo.
\v 30 Yafumirie kwamba, makati waka nawo kuja, wowusie mkate, akagubariki, na kuguchukanya, akawaneka.
\v 31 kisha meso gawe gakaruguriwa, wakamuichi, na akainga gafla imbiri ya meso gawe.
\v 32 Wakadedeshana weni kwa weni, "Huwo mioyo uedu ndaiwakie ndenyi yedu, makati wachaaria naisi chienyi, makati wachadifungulia maandiko?"
\v 33 Wakanyanyuka saa iyo yeni, na kuwuya Yerusalemu; Wakawadoka waja kumi na umweri na umweri waka andu amweri, na waja wakogo andu amweri nawo,
\v 34 wakideda, "Mzuri wafufuka loliloli, na wamfumiria simoni."
\v 35 Huwo wawagoria malago gafumirie chienyi, na namna Jesu wadhihirishwa kwawe katika kuubega mkate.
\v 36 Makati wa kiaria malago ago, Jesu mweni wakeekimsi gadigadi yawe, na akawagoria, "Amani ike kwenyu."
\v 37 Ela waboa na kuchuiwa na hofu, na wakatenganya kwamba wawonie ngolo.
\v 38 Jesu akawagoria, kwa indoi mdafadhaika? kwa indoi maswali gaadanuka mioyoni kwenyu?
\v 39 Guwenyi mikonu yapwa na magu gapwa, kwamba ninyi mweni. Niwadenyi na mwone. Kwa maana ngolo ndaidae nyama na maindi, sa andu mniwonaga nyi kuka navo."
\v 40 Achameria kudeda uwu, akawabonyeria mikonu yake na magu gake.
\v 41 Warikogo bado na furaha ichanganyiokane na kuto kuamini, na kustaajabu, Jesu akawagoria, "Je mkona kilambo chochose cha kuja?"
\v 42 Wakamneka kiwande cha samaki wakoriwe.
\v 43 Jesu akakiwusa, na kukija imbiri yawe.
\v 44 Akawagoria, "Andu nirikogo na inyo, nawagoria kwamba gose gaandikiwe sherienyi ya Musa na walodi na zaburi lazima gatimilike."
\v 45 Kisha akarugua akili rawe, kwamba wadime kugaelewa maandiko.
\v 46 Akawagoria, "kwamba yaandikigwa, Kristo lazima ateseke, na kufufuka sena kufuma katika wafwie maruwa ga kadadu.
\v 47 Na kutesiwa zambi na msamaha gw zambi lazima kuhubiriwe kwa irina jake kwa mataifa gose, kuwokia kufumiria Yerusalemu.
\v 48 Ninyo mwamashahidi wa malago aga.
\v 49 Guwa, ndawagenjeria ahadi ya Aba wapwa igu yenyu. Ela weserienyi aha jijinyi, mpaka mcharwiswa ndigi kufuma igu.
\v 50 Kisha Jesu akawalongoza shigadi mpaka wachakaribia Bethania. Akanua mikonu yake igu, na akawabariki.
\v 51 Ikafumiria kwamba, makati warikogo akiwabariki, wawasigie na akanuliwa igu kuelekea mbingunyi.
\v 52 Basi wakamtasa, na kuwuya Yerusalemu nafuraha mbaha.
\v 53 Waendelee kuka hekalunyi, wakimbariki Mlungu.

1669
44-JHN.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,1669 @@
\id JHN
\ide UTF-8
\h Yohana
\toc1 Yohana
\toc2 Yohana
\toc3 jhn
\mt Yohana
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Mwanzonyi kwarikogo na idedo, na Idedo warikogo na Mlungu, na Idedo wakogo ni Mlungu.
\v 2 Uyu, idedo, mwanzonyi warikogo na mlungu.
\v 3 Vilambo vose vabonyekie kudi ye, na pasipo ye ndakudae hata kilambo chimweri chikogo chabonyeka.
\v 4 Ndenyi yake kurikogo na binana, na iyo banana yarikogo nuru ya wanadamu wose.
\v 5 Nuru yang'araga kirenyi, wala kira ndaichi rimishie.
\v 6 Kwarokogo na mundu adumiwe kufuma kwa Mlungu, ambae irina jaka aliitwa Yohana.
\v 7 Wachee kama shahidi kushuhudia kuhusu ija nuru, ili kurumba wose wadime kuamini kuidia ye.
\v 8 Yohana ndakogo ija nuru, bali wachee ihi ashuhudie kuhusu ija nuru
\v 9 Iyo yakogo nuru ya loli ambayo yakogo idacha katika duwa yamkumba nuru kila umweri.
\v 10 Wakogo katika dunia yaumbigwe kuwadia ye, na dunia ndaimanyie.
\v 11 Wachee kwa vilambo vake, na wandu waka ndawamwokerie.
\v 12 Bali kwa waja wengi wamwokerie, ambawo waaminie irina jake, kwa mapenzi ga mundu, bali kwa Mlungu,
\v 13 Ambawo wavalwe, siyo kwa baga, wala kwa mapenzi ga muwi, wala kwa mapenzi ga mundu, bali kwa Mlungu mweni.
\v 14 Naye Idedo wabonyikie muwi na akaishi miongonyi mwedu, diworie utukufu wake, utukufu kama mundu pekee wa kipekee achee kufuma kwa Aba, wachua neema na loli.
\v 15 Yohana washuhudie kuhusu ye, na wapaazie sauti akideda, "Uyu niye ambae nadedie habari rake nikideda, "Uja achaga baada yapwa ni mbaha kuliko nyi, kwa sababu warikogo kabla yapwa."
\v 16 Kwa kuwa kufuma katika utimilifu gwake, isi wose dawokera dueri kipawa baada ya kipawa.
\v 17 Kwa kuwa sheria yaredigwe kuidia Musa. Neema na loli vachee kuidia Jesu Kristo.
\v 18 Ndakudae mwanadamu amwonie Mlungu wakati gogose. Mundu pekee ambae ni Mlungu, eko katika laga ya Aba, wambonyie ye amanyikane.
\v 19 Na ugu nigo ushuhuda gwa Yohana wakati makuhani na walawi wadumigwe kwake na wayahudi kumkotia, We nani?"
\v 20 Bila kusita sita na ndakania, bali wajibie, "Nyi siyo Kristo."
\v 21 Huwo wakamkotia, "Kwa huwo we wani idana? We wa Eliya? Akadeda, "Nyi siye." Wakadeda, We nani? Akajibu," Hapana."
\v 22 Kisha wakamzera, "We nani? ili kwamba diwaneke ijibu wadiduma"? ukishuhudiaga we mweni?"
\v 23 Akadeda, "Nyi na sauti yake alilaga kireti; Inyoosheni chia ya Mzuri, kama lodi Isaya adedie."
\v 24 Basi kwarikogo na wandu wadumwa aja kufuma kwa mafarisayo, wakamkotia na kudeda,
\v 25 "Kwa indoi udabatiza kumbe we siyo Kristo wala Eliya wala walodi?"
\v 26 Yohana akawajibu akideda, "Nabatiza kwa machi. Hata huwo, miongonyi mwenyu adasimama mundu msamwichi.
\v 27 Uyu niye achaga baada yapwa. Nyi sistahili kulegeza chuga ra vandu vake."
\v 28 Malago aga gatendekie uko Bethania, kimonu cha Yohani, andu amboko Yohana wakogo akibatiza.
\v 29 Ituku jinugirie Yohana wamwonie Jesu akicha kwake akadeda, "Ngowa mwana ng'ondi wa Mlungu aiwusaga zambi ya urumwengu!
\v 30 Uyu niye nidedie habari rake nikideda, ye achaga nyuma yapwa ni mbaha kuliko nyi, kwa kugora warikogo kabla yapwa.'
\v 31 Simmanyie ye, ela yabonyikie huwo ilikwamba afunuliwe katika Israeli, kwamba nachee nikibatiza kwa machi."
\v 32 Yohana washuhudie, "Niwonie Ngolo akishuka kufuma mbingunyi mfano gwa njiwa, na yabakie igu yake.
\v 33 Nyi simmanyie ela ye anidumie ili nibatize kwa machi wanigorie, 'Uja ambae awonaga Ngolo akishuka na kukaia igu yake, uyo ni ye abatizae kwa Ngolo mtakatifu.'
\v 34 Nawona na nashuhudia kwamba uyu ni mwana wa Mlungu."
\v 35 Sena ituku jinugirie Yohana wakogo wasimama andukumweri na wanafunzi wake wawi."
\v 36 Wamwonie Jesu akisela na Yohana akadeda, "Ngowa, mwana ng'ondi wa Mlungu!"
\v 37 Wanafunzi wawi wamsikire Yohana akideda aga wakamnuga Jesu.
\v 38 Sena Jesu wagukie na kuwawona wanafunzi waja wakimnuga, na akawazera, mwakundi indoi?" wakajibu, "Rabbi, (maana yake "mwalimu; waishi hao?"
\v 39 Akawazera, choonyi na mwone." kisha wagendie na kuwona andu akogo akiishi wakee andu kumweri nae ituku ijo, kwa kugora yakogo yapata kama saa ikumi huwu.
\v 40 Umweri wa waja wawi wamsikirie Yohana akideda na kisha kumnuga Jesu wakogo ni Andrea, mbari wake simoni Petro.
\v 41 Akamwona mbari wake simoni na akamzera, "Dapata masihi" (ambae yatafsiri waga kuwa ni Kristo).
\v 42 Akamreda kwa Jesu. Jesu akamngwa na akadeda, "We ni simoni mwana wa Yohana" uwangwa wa kefa," (maana yake 'Petro').
\v 43 Ituku jinugirie wakati Jesu kuinga kugenda Galilaya, wampatie filipo na akamzera, "Nimnuge Nyi."
\v 44 Filipo wakogo ni mwenyezi wa Bethaida, muzi gwa Andrea na Petro.
\v 45 Filipo wampatie Nathanieli na kumzera, Dampata uja ambae Musa raandikie habari rake katika sheria na walodi. Jesu mwana wa Yusufu, kufuma Nazareti.
\v 46 Nathanieli akamzera, "Je kilambo chiboie cha dima kufuma Nazareti?" Filipo akamzera, choo na uwone,"
\v 47 Jesu akamwona Nathanieli akicdha kwake akadeda, "Ngowa, mwasraeli loli loli, asadae wutee ndenyi yake."
\v 48 Nathaniel, akamzera, "Wanimanya wadenyi."
\v 49 Nathanieli akajibu "Rabi we wa mwana wa Mlungu! We wa mzuri wa Israeli"!
\v 50 Jesu akajibu akamzera, kwa kwa sababu nikugorie "nakuonie ndonyi ya mtini' je waamini? wonaga matendo mabaha kuliko aga."
\v 51 Jesu akadeda, Amini amini namizera mriwonaga mbingu rikifunguka na kuwaona malaika wa kijoka na kusea igu ya mwana wa Adamu."
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Baada ya matuku adadu, kwarikogo na harusi uko kana ya Galilaya na mae wa Jesu warikogo uko.
\v 2 Jesu na wananfunzi wake warikogo walikuwa katika harusi.
\v 3 Wakati wasiriwa divai, mae wa Jesu akamzera, ndawadae divai."
\v 4 Jesu akajibu, "Muka iyo inihusuki nyi? Muda gwapwa nyi bado ndagutimie."
\v 5 Mae akawazera watumishi, "Chochose awazeraga bonyenyi."
\v 6 Basi kwarikogo na ziro sita ra magwe aja iwikiwe kwa ajili ya kunawa katika sikukuu ra wayahudi, kila jimweri jarikogo na ujazo nzio uwi idadu.
\v 7 Jesu akawazera, Richurenyi machi ziro ra magwe." Wakachura hadi igu.
\v 8 Kisha akawazera waja watumishi, "Wusenyi kiasi cha ijaha na mgeje kwa muhudumu mbaha wa meza." Wawabonya kama wandu walagizwa.
\v 9 Muhudumu mbaha wagaonjie gaja machi ga kogo gabadilika na kuwa divai, ila ndawaichi uko gafuma (Ela watumishi wadaya machi wamanyie ukogafuma). Kisha akawamwanga bwana harusi na
\v 10 kumzera, "kila umweri waanzaa kuwahudumia wandu divai isaboie na wakameria kulewa wawaneka divai isaboie. Ela we waitunza divai iboie hadi ijiaha"
\v 11 Miujiza ugu gwa kana ya Galilaya, gwakogo niyo mwanzo wa ishara ra miujiza aibonye Jesu, akifunua utukufu gwake, huwo wanafunzi wake wakamwamini.
\v 12 Baada ya ihi, Jesu, mae, wambari wake na wanafunzi wagendie katika muzi gwa kaprenaumu na wakakaia uko kwa matuku matineri.
\v 13 Basi pasaka ya wayahudi yakogo yafika avui, huwa Jesu akagenda Yerusalemu.
\v 14 Akawadoka ring'ombe, na njiwa ndenyi ya ihekelu. Pia na wabadilisha magome warikogo waka ndenyi ya ihekelu.
\v 15 Jesu akaboia mjeledi kugoka vifundo, akawafunya wose wakogo katika ihekalu, ikifumisha ng'ombe na ng'ondi. Akadia magome ga wabadilisha magome na kupindua meza rawe.
\v 16 Kwa wadagaji wa njiwa akawazera, "Funyenyi vilambo iwi kula na andu aha, sigenyi kuibonya nyumba ya Aba wapwa kwakaia andu kwa soko."
\v 17 Wanafunzi wake wakakumbuka kuwa yakogo yaandikwa, "Wivu gwa nyumba yako gunijaga."
\v 18 Wabaha wa kiyahudi wakajibu, wakamzera, Ni ishara ki uibonyeraga kwa sabababu dagabonya malago aga?"
\v 19 Jesu akawajibu, jibomowenyi Ihekalu iji nanyi nijiaga ga baada ya matuku idadu."
\v 20 Kisha wabaha wa wayahudi wakadeda, "Yagarimie miaka arobaini na sita kuijiaga ihekalu iji nawe wadadeda ujigaga kwa matuku adadu?"
\v 21 Ingawa, ye adedie ihekalu akimaanisha muwi gwake.
\v 22 Huwo baadae baada ya kufufuka kwake kufuma kwa wafu, wanafunzi wake wakakumbuka kuwa wadedie huwo, wakaamini maandiko na kauli ihi ambayo Jesu warikogo wameria kudeda.
\v 23 Basi akogo Yerusalemu wakati gwa Pasaka, wakati gwa sikukuu wandu wengi waaminie irina jake, kuwaona ishara ya miujiza aibonyie.
\v 24 Ela Jesu ndakogo na imani nawo kwa sababu wawamenyie wanadamu wose.
\v 25 Ndahitajie mundu wowose kumzera kuhusu andu weko wanadamu kwa sababu wamanyie chiko ndenyi yawe.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Basi kwarikogo na farisayo ambae irina jake Nikodemo, umweri wa wajumbe wa ibaraza ja wayahudi.
\v 2 Mundu uyu wamnugie Mzuri Jesu nakio na akamzera, "Rabi, daichi ya kugora we wa mwalimu kufuma kwa Mlungu, kwa maana ndakudae mundu adimanya kutenda ishara iri rose Mlungu akalemwa kukaia anduku mweri nae."
\v 3 Jesu akajibu, "Amini amini, mundu ndadima ga kuinga katika wuzuri gwa Mlungu akalemwa valwa mara ya kawi."
\v 4 Nikodemo akadeda, "mundu adimaga kuvalwa akika mgosi? Ndadimaga kungia kifunyi kwa mae mara ya kawi na kuvalwa, je adimaga wada?"
\v 5 Jesu akajibu, "{Amini, amini mundu akalemwa valwa kwa maci na kwa ngolo, ndadimaga kungia katika wuzuri gwa Mlungu.
\v 6 Chavalwa kwa muwi ni muwi, na chavalwa kwa ngolo na ngolo.
\v 7 Usashangae kwa sababu nakuzerie, 'ni lazima kuvalwa mara ya kawi.'
\v 8 Upepo gwa uvumaga kokose gukundi na sauti yake mwaisikira, ela ndamwichi gufumaga nako wala gugendaga nako. Niko iko hali ya kila wavalwa na ngolo.
\v 9 Nikodemo akajibu, kwa kudeda, "Malago aga gadimika wada?"
\v 10 Jesu akajibu, "We wa mwalimu wa Israeli, hata nduichi malago aga?
\v 11 Amini, amini, nakugoria, chija dichiichi dachishuhudia kwa chija dachiwona. Ela ndamwokeraga ushuhuda gwedu.
\v 12 Kama nawagoria malago ga aha dunienyi na ndamwamini, mdimaga wada kuamini kama nikawagoria malago ga mbingunyi?
\v 13 Mara ndakudae wajiko igu kufuma mbingunyi isipokuwa ye washuka, mwana wa Mlungu.
\v 14 Kama wuja Musa andu wamwiinua choka ijangwenyi, huwo huwo mwana wa Adamu ela ainuliwe,
\v 15 Ili kwamba wose wamwamini wapate binana ya kala na kala.
\v 16 Kwa maana jinsi ihi Mlungu wagundie urumwengu, kwamba akamfunya mwanake wa pekee, ili kwamba mundu wowose amwaminie asaangamie bali ake na binana ya kala na kala.
\v 17 Kwa sababu Mlungu ndamdumie Mwanake dunienyi ili aguhukumu ulumwengu, bali kwamba urumwengu guokolewa katika ye.
\v 18 Amwamini ye ndahukumiwaga. Ye asamwamini tayari wahukumiwa kwa sababu ndajiamini irina ja mwana pekee wa Mlungu.
\v 19 Ihi niyo sababu ya hukumu, ya kwamba nuru yacha urumwengunyi, ela wanadamu wakakunda kira nanganyi kuliko kwa sababu matendo gawe gako go mawiwi.
\v 20 Kila mundu atendaga gazamie waichukiaga nuru wala ndachaga nurunyi ili matendo gake gasache wikwa wzi.
\v 21 Ela, ye atende loli wachaga nurunyi ili matendo gake gawonekane kwamba gatendwa kwa utiifu gwa Mlungu.
\v 22 Bada ya aga, Jesu andukumweri na wanafunzi wagendie katika isanga ya Yuduea. Uko wafumie muda andukumweri nawo na wakogo akibatizwa.
\v 23 Idana Yohana pia warikogo akibatiza uko Ainea avui. Wandu wakogo wakicha kwake na kubatizwa,
\v 24 Kwa kugora Yohana wakogo wadagiwe igerezanyi.
\v 25 Kisha kwafumirie mabishano kati ya wanafunzi wa Yohana ba Myahudi kuhusu sikukuu ra utakaso.
\v 26 Wakagenda kwa Yohana wakamzera, "Rabi, ye ukogoo nae kimono cha mweda Yordani, ye ushuhudie habari rake, ngowa, adabatiza na wose wadagenda wadamnuga."
\v 27 Yohana akajibu mundu ndadimaga kuwokera kilambo chochose isipokuwa kama wanekwa kufuma mbingunyi.
\v 28 Inyo weni mwashuhudie kugora nadedie kuwa, 'nyi siya Kristo', baada yake nadedie, 'nadumwa imbiri yake.'
\v 29 Ye eko na bibi harusi ni mzuri harusi. Idana mwaamwawe wa mzuri harusi, asimamaga na kusikira waboirwa nanganyi kwa sababu ya sauti ya mzuri arusi. Ihi idana ni kuboirwa wapwa kwatimilika.
\v 30 Adapaswa kuzidi, nanyi napaswa kupungua.
\v 31 Ye afumaga igu, ako igu ya gose. Ye eko wa urumwengu wafumaga urumwengunyi na waarikogo malago ga ki urumwengu. Ye afumaga mbingunyi weko igu ga gose.
\v 32 Ye washuhudia gaja wagawona kugasikira, ela ndakudae awokeraga ushuhuda gwake.
\v 33 Ye wakona ushuhuda gwake wahakikisha kuwa Mlungu ni mloli.
\v 34 Kwa sababu ye mwaduma ni Mlungu waaviaga madedo ga Mlungu. Kwa kugora ndamnekaga Ngolo kwa kipimo.
\v 35 Aba wamkundi mwana na wamneka vilambo vose mikonunyi kwake.
\v 36 Ye amwaminie mwana akonayo binana ya kala na kala, ela kwa ye aseko nitii mwana ndawonaga binana, bali ghadhabu ya Mlungu yashikamana igu yake.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Basi Jesu kumanya kugora Mafarisayo wasikira kugora Jesu warikogo awanuga na kuwabatiza zaidi ya Yohana,
\v 2 (Ingawa Jesu mweni warikogo ndabatizaga ila wanafunzi wake).
\v 3 Wafumie judea na akagenda Galilaya.
\v 4 Huwo yarikogo muhimu kuidia samaria.
\v 5 Na akafika katika muzi gwa samaria, guwangwaga sikari, avui na ieneo ambajo Yakobo wamnekie mwanake Yusufu.
\v 6 Na kisima cha Yakobo chakogo aho. Jesu wakogo wakola kwa ajili ya charo na akakaia avui na kisima. Yakogo muda gwa dime.
\v 7 Muka msamaria wachee kudaya machi, na Jesu akamzera, "Nineke machi ninywe."
\v 8 Kwa sababu wanafunzi wake warikogo wagenda rawe mjini kugua vindo.
\v 9 Uja muka akamzera, "Ikaia wada we Myahudi, kunilomba nyi muka msamaria, kilambo cha kunywa?
\v 10 Jesu akamjibu, "kama wamanyige karama ya Mlungu, na uja akugoria 'Nineke machi, 'Wamlombaga, na wakunekaga machi ga binana."
\v 11 Muka akajibu, "Mzuri ndudae ndoo ya kudaia, na kisima ni kilacha. Ugapataga hao machi ga binana?
\v 12 Je we nimbaha, kuliko aba wedu Yakobo, ambae wadinekie kisima ichi, na ye mweni na wana wake andukumweri na mifugo yake wanywaga machi ga kisima ichi?"
\v 13 Je akijibu, "Wowose anywaga machi aga apataga kou sena,
\v 14 Ela ye anywaga machi nimnekaga ndapataga kau sena. Badala yake machi nimnekaga ndapataga kau sena. Badala yake machi nimnekaga gakaia chemi chemi ibubujikaga hata kala na kala."
\v 15 Uja muka akamzera, "Mzuri, nagalomba machi ago ili nisapate kau, "Mzuri, nagamba macji ago ili nisapate kau, na nisagae kucha aha kudaya machi."
\v 16 Jesu akamzera, "Genda mwanage migo kisha uwuie."
\v 17 Muka akamzera, "Sidae mndu wa womi." Jesu akamjibu, "Wadeda nicha, "Sidae mndu wa womi;
\v 18 Kwa maana wakaia na womi wasanu, na umweri ambae ukonae ijiaha siyo mndu wa womi wako. Katika iji wadeda loli!"
\v 19 Muka akamzera, "Mzuri wawona ya kugora we walodi.
\v 20 Aba wedu waabudie katika lugongo ulu. Ela inyo mwadeda ya kugora Yerusalemu niyo mwadeda ya kugora Yerusalemu niyo sehemu ambayo wandu wapaswa kuabudu."
\v 21 Jesu akamjibu, "Muka, niamini, wakati gudacha ambapo ndamuabudu Aba katika lugongo ulu au Yerusalemu.
\v 22 Inyo wandu mwaabudu chija msakiichi, ela isi daabudu dichi ichi, kwa sababu wokovu kufuma kwa wayahudi."
\v 23 Hata huwo, wakati udacha, na idana uko aha, wakati waabudu uwo loli wadima mwabudu Aba katika ngolo na loli, kwa sababu Aba awalola wandu wa namna iyo kuwa wandu wake namwabudu.
\v 24 Mungu ni Ngolo, na waja wamwabudu wapaswa kumuabudu kwa ngolo na loli."
\v 25 Muka akamgora, "Naichi kugora masihi adacha, (awangwaga Kristo). Uyo akacha wadima digoria gose."
\v 26 Jesu akamgoria, "Nyi udedaga nae niye."
\v 27 Wakati ugo gweni wanafunzi wake wakawuya. Nawo washangaie kwa indoi wakogo akagoria na muka, ela ndakudae athubutue kumkotia, "wakundi indoi?" kwa indoi udaaria nae?"
\v 28 Huwo muka akasiga ziro yake na akagenda mjini na akawazera wandu,
\v 29 Choonyi mumwone mundu wakigoria malago gapwa gose nigabonyie, je yadimika akawa nie Kristo?"
\v 30 Wakafuma mjini wakacha kwake.
\v 31 Wakati wadime wanafunzi wake wamsihie wakideda, "Rabi ja vindo."
\v 32 Ela ye wawagorie, "Nyi nikonavo vindo msaichi inyo."
\v 33 Wanafunzi wakagoriana, ndakudae wamredia kilambo chochose cha kuja, "Je, waredie?"
\v 34 Jesu akawazera, "vindo vapwa nikibonya makundo gake ye waniduma na kutimiza kazi yake.
\v 35 Je, ndamdedaga, 'Bado mieri isanu na mavuno gakaiga tayari?' Nawagorienyi ngowenyio mbuwa niko tayari kwa mavuno!
\v 36 Ye akwashaga wabonyekera mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya binana ya kala na kala, ili kwamba ye awaga nae akwashaga waboiriwe andukumweri.
\v 37 Kwa kugora msemo ugu ni gwa loli, 'umweri wadima wa na umwi akakwashe.'
\v 38 Nawadumie kukwasha ambacho ndamsigaie, wamwi wabonyie kazi na inyo mwangia katika kuboiwa kwa kazi yake."
\v 39 Wasamaria wengi katika muzi guja wamwaminie kwa sababu ya taarifa ya uja muka arikogo akishuhudia, 'Anigorie malago gose nigabonyie."
\v 40 Huwo wasamaria kucha wakamsihi akaie andukumweri nawo na akakaia kwawo kwa matuku awi.
\v 41 Na wengi nanganyi wakamwamini kwa sababu ya idedo jake.
\v 42 Wakamzera uja muka, "Daamini siyo tu kwa madedo gako, kwa sababu isi weni dasikira, na idana daichi kugora hakika ye ni mwokozi wa urumwengu."
\v 43 Baada, ya matuku ago awi, akainga na kuelekea Galilaya.
\v 44 Kwa sababu ye mweni warikogo watangaza kugora nasi ndadae heshima katika isanga jawe mweni.
\v 45 Kucha kufuma Galilaya, wagalilaya wamkaribishie, Warikogo wawona malago gose agabonyie Yerusalemu sikukuunyi, kwa sababu na wo pia wakogo wahudhuria sikukuuunyi.
\v 46 Wachee sena kana ya Galilaya uko abadilishie machi kuka divai. Kwarikogo na ofisa ambae mwana wake warikogo ni mkongo uko kapernaumu.
\v 47 Kusikira kuwa Jesu wafumie Judea na kugenda Galilaya, wagendie kwa Jesu na kumsihi asee amboise mwanake, ambae warikogo avui kufwa.
\v 48 Niko Jesu akamzera, "Inyo mkalemwa ni kuwona ishara na maajabu ndamdimaga kuamini/
\v 49 Kilongozi akadeda, "Mzuri sea ndonyi kabla mwanapwa ndaligisire kufwa."
\v 50 Jesu akamzera, "Genda kwanako ni mlazi." Uja mundu akaamini idedo ajidedie Jesu na akagenda chia rake.
\v 51 Akogo akisea, watumishi wake wambokerie na kumzera mwanako eko banana.
\v 52 Huwo akawakotia ni muda ki wapatie nafuu. Wakajibu, "Inyo muda gwa sea saba homa ikamsigiria."
\v 53 Niko ndee akammanya kugora ni muda guja gweni Jesu adedie, "mwanake eko banana." Huwo ye na familia yake wakaamini.
\v 54 Ihi yarikogo ni ishara ya kawi aibonyie, Jesu kufuma Yudea kugenda Galilaya.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Baada ya aha kwarikogo na sikukuu ya Wayahudi na Jesu wajokie kugenda Yerusalemu.
\v 2 Na kuja Yerusalemu kwarikogo na birika mjangoji na ng'ondi, jikogo jiki wangwa kwa lugha ya kiebrania Bethzatha, najo jikona matao asanu.
\v 3 Idadi mbaha ya wakogo yarikogo, vipofu, viwete, au waolola wakogo watungura katika matao ago, {Zingatia: madedo ga mshalolo gwa 3 ndagawonekanaga katika nakala iboie ra kala." Wakiwesaria machi kutibuliwa.") kwa hakika wakati fulani malaika washukie ndenyi ya Mzuri na kugatibue machi.
\v 4 Kwa huwo, uja ambae warikogo wa kwanza kungia ndenyi baada ya machi kutibuliwa akabonyigwa mlazi kufumana na chochose chikogo cha mwada kwa wakati ugo.
\v 5 Na mundu umweri wakogo wawawa kwa muda gwa miaka thelathini na nane wakogo ndenyi ya matao.
\v 6 Jesu kumwona watungura ndenyi ya matao na baada ya kumanya kugora watungura aja kwa mtacha Jesu akamzera, "Je wakundi kukaia mzali?"
\v 7 Uja mkongo akamjibu, "Mzuri sidae mundu, wa kuniwika katika birika wakati machi gatibuliwa. Wakati nidageria kungia mundu umwi adanikiria."
\v 8 Jesu akamzera, "Wukia na uwuse igodoro jako na ugende."
\v 9 Mara uja mundu aboisiwa, akawusa kutanda chake na akagenda. Na ituku ijo yarikogo ituku ja sababto.
\v 10 Huwo wayahudi wakamzera uja mundu waboisiwa, "Linu ni ituku ja sababto, na nduhusiga kudwa igodoro jako."
\v 11 Akajibu, ye waniboisa nie wanizera "wusa igodoro jako na ugende?"
\v 12 Wakakotia, "Ni ani wakuzera "uwusa igodoro jako na udende?"
\v 13 Ingawa, uja waboiswa ndammanyie, kwa sababu Jesu warikogo wainga kwa siri kwa kuwa kwarikogo na wandu wengi katika sehemu iyo.
\v 14 Baada ya aho Jesu wamdokie uja mundu ihekalunyi na akamzera, "Ngowa wabowa! usabonye zambi sena usachepatwa ni ilago jizamie nanganyi.
\v 15 Uja mundu akagenda na kuwagoria wayahudi kugora Jesu nie waniboisa.
\v 16 Huwo, kwa sababu ya malago ago wayahudi wamtesie Jesu, kwa sababu waponyie malago aga ituku ja sababto.
\v 17 Jesu akawazera, "Aba wapwa wabonyaga kazi hata ijiaha nanyi nabonya kazi."
\v 18 Kwa sababu iyo wayahudi wakazidi kumlola ili wabwage siyo tu kwa sababu ya kuchukanya sabato, bali kwa kunga Mlungu Aba wake, akikibonya kuwa sawa na Mlungu.
\v 19 Jesu akawajibu, 'Amini, amini, mwana ndadimaga kilambo chochose isipokuwa chija ambacho wamwona Aba wake achibonya, kwa kugora chochose Aba akibonyaga nicho na mwana achibonyaga.
\v 20 Kwa kugora Aba wamkundi mwana, na ambonyere kila kilambo achibonyaga na wadima mbonyera malago mabaha kuliko aga ili kwamba mzidi kushangaa."
\v 21 Kwa kugora kama wuja ambavyo Aba kandu awafufuaga wafu na kuwaneka binana, halikadhalika misana pia wamnekaga wowose amkundi.
\v 22 Kwa kugora Aba ndamuhukumu wowose, bali wamneka mwana hukumu yose.
\v 23 Ili kwamba wose wamheshimu mwana kama wuja mwana andu amheshimu Aba. Ye amheshimu mwana ndamheshimu Aba wamnduma.
\v 24 Amini, amini ye asikiraga idedo japwa na kumwamini ye waniduma akonayo banana ya kala na kala na ndahukumiwaga. Badala yake waida kufuma mautinyi na kungia binanenyi.
\v 25 Amini, amini nawagoria wakati gadacha na ijiaha gweko ambago wafu wadima sikira sauti ya mwana wa Mlungu, na wose wasikiraga waduma wasihi.
\v 26 Kwa kugora kama wuja Aba eko na banana ndenyi yake mweni.
\v 27 Kadhalika wamneka mwana kuwa na binana ndenyi yake, na Aba wamneka mwana mamlaka ili kwamba ahukumu kwa kuwa ni mwana wa Adamu.
\v 28 Mshangazwe ni iji, kwa kuwa wakati gadacha ambawo wafu wose weko makaburinyi wadima isikira sauti yake
\v 29 nao wadima fuma shigadi; kwa wabonyie gaboie kwa ufufuo gwa binana, na watenda gazamie kwa ufufuo gwa hukumu.
\v 30 Sidimaga kubonya kilambo chochose kufuma kwapwa mweni. Kama andu nisikiraga, niko mhukumu na hukumu yapwa ni ya haki kwa kuwa silolaga makundo gapwa, bali makundo gake waniduma.
\v 31 Kama nikakishuhudia nyi mweni, ushuhuda gwapwa ndagwakaga gwa loli.
\v 32 Kuko umwi ashuhudiaga kuhusu nyi na naichi kwa hakika ushuhuda anishuhudiaga ni gwa loli.
\v 33 Mwaduma kwa Yohana nae wanishuhudia loli.
\v 34 Hata huwo, ushuhuda niguwokeraga ndagufumaga kwa mwanadamu. Nadeda aga iliu kwamba mdime kuokolea.
\v 35 Yohana wakogo ni taa ikogo ikiwaka na kumeremeta, na mwakogo tayari kuboirwa kwa muda mlacha nuru yake.
\v 36 Ushuhuda nikonago ni mbaha kuliko guja gwa Yohana, kwa kazi ambaro Aba waninekie kurikamilisha, iro kazi niribonyaga rashuhudia kugora Aba waniduma.
\v 37 Aba waniduma ye mweni washuhudia kuhusu nyi. Ndamuwakie kusikira sauti yake wala kuwona umbo jake wakati gogose.
\v 38 Ndakudae idedo jake jikakakaia ndenyi yenyu kwa kugora ndamumwamini ye wadumwa.
\v 39 Mwagachunguza maandiko mkadhani ndenyi yake kuko binana ya kala na kala, na ago maandiko ga shuhudia habari rapwa na
\v 40 ndamkundi kucha kwapwa ili mpate binana ya kala na kala
\v 41 Siwokeraga togolo kufuma kwa wandu.
\v 42 Ela naichi kugora ndamdae lukundo lwa Mlungu ndenyi yenyu inyo weni.
\v 43 Nacha kwa irina ja Aba wapwa, ndadimie kuniwokera kama umwi akacha kwa irina jake mwabokeraga.
\v 44 Je, mdimaga kuamini inyo ambawo mwawokera togolo kufuma kwa kila umweri wenyu ela ndamlolaga togolo ifumaga kwa Mlungu wa pekee?
\v 45 Msadhani nyi nadima washitaki imbiri ra Aba. Awashitaki inyo ni Musa, ambae inyo mwawika matumaini genyu kwake.
\v 46 Kama mwakogo mwamini Musa, mwaniamini nyi kwa sababu waandikie kuhusu habari rapwa.
\v 47 Kama ndamuamini maandiko gake, mdimaga kuamini madedo gapwa?
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Baada ya malago aga, Jesu wagendie chuwandera Bahari ya Galilaya, pia yawangwaga Bahari ya Tiberia.
\v 2 Mkutano mbaha gwakogo gukimnuga kwa sababu wawonie ishara aribonbonyie kwa wakogo wakongo.
\v 3 Jesu wajokie igu hadi luwande lwa lugongo na akakaia uko na wanafunzi wake.
\v 4 Na pasaka, sikukuu ya Wayahudi yakogo yafika avui).
\v 5 Jesu kuwusira meso gake igu na kuwona umati mbaha gwacha kwake, akamzera Filipo, "Digendaga hao kugua mikate ili awa wadime kuja?"
\v 6 (Ela Jesu wagadedie aga kwa Filipo kwa kumgeria kwa ye mweni wamanyie achibonyaga).
\v 7 Filipo akamjibu, "Hata mikate ya thamani ya dinari mia mbili ndayatoshaga hata kilaumweri kupata hata kipande kitini."
\v 8 Andrea, umweri wa wanafunzi wake mbari wake simoni Petro akamzera
\v 9 Jesu, "kuko ndawana aha akona mikate isanu na samaki wawi, ela ihi ifaaga indoi kwa wandu wengi namna ihi?"
\v 10 Jesu akamzera, "wakarishenyi wandu ndonyi" (kwarikogo na nyasi nyingi andu aja). Huwo wami wafika elfu isanu wakakaia ndonyi.
\v 11 Kisha Jesu akawusa ija mikate isanu akashukuru akawagia waja wakogo wakandonyi. Huwo huwo akawawagia samaki kwa kadiri ya uja wahitaji.
\v 12 Wandu kumeria kuguda, akawazera wanafunzi wake, "vikusanye vipande va samaki, na bakia ili kwamba chisalagae chochose."
\v 13 Basi wakakwanya na kuchura vikau ikumi na viwi, vipande va mikate isanu ya shayi vipande vasazwa ni waja wajie.
\v 14 Kisha wandu kuwona ishara ihi waibonya wakadeda, "Loli uyu nie uja nabii achaga urumwengunyi."
\v 15 Jesu kumanya kugora wakogo wakundi kumwada ili wabonye kuwa mzuri wao, akakitenga, sena akagenda lugongonyi ye mwenikeri.
\v 16 Kufikia na wenyi, wanafunzi wake wakosea kugenda iriwinyi.
\v 17 Wakaijoka mtumnbwinyi na wakogo wakinuwuka kuelekea kapernaumu. (Kia chakogo changia na Jesu wakogo bado ndaligisire kucha kwawo.
\v 18 Wakati ugo upepo gubirie gwakogo gukuvuma, na bahari yakogo ikiendelea kuchafuka.
\v 19 Sena wanafunzi wake wakogo wakaba makasia kama ishirini na asanu au thelathini, wakamwona Jesu akisela igu ya bahari gukufikia mtumbwi, na wakaboa.
\v 20 Ela akawazera, "Ni nyi! msaboe."
\v 21 Sena wakogo tayari kumdwa mtumbwinyi, na mara mtumbwi gwafikie isangenyi andu wakogo wakigenda.
\v 22 Ituku jinugirie, mkutano gukogo gwasimama luwande lwa bahari wawonie kuwa ndadae mtumbwi gumwi isipokuwa guja ambago Jesu na wanafunzi wake wakogondawaujokie ela wanafunzi wake wakogo wagenda rawe weni.
\v 23 (Ingawa, kwarikogo na baadhi ya mtumbwi yafuma tiberia avui na andu waja mikate baada ya Mzuri kufunya shukrani).
\v 24 Wakati makutano kumanya kuwa siyo Jesu wala wanafunzi wake wakogo kija, wo weni wajokie ndenyi ya mtumbwi wakagenda kapernaumu wakimlola Jesu.
\v 25 Baada ya kumpata luwande lumwi lwa iriwa wakamkotia, "Rabi wachee kunu?"
\v 26 Jesu akawajibu, akawazera, Amini, amini, mdanilola nyi, siyo kwa sababu namwonie ishara, bali kwa sababu mwajie mikate na kuguda.
\v 27 Sigenyi kuvibonyia vazi vindo vidumu hata kala na kala. Vija ambavo mwana wa Adamu adima waneka, kwa kugora Mlungu Aba wawika mhuri igu yake."
\v 28 Kisha wakamzera, "Ni ndoi dapaswa kubonya ili kuribonya kazi ra Mlungu?"
\v 29 Jesu akajibu, "Ihi niyo kazi ya Mlungu: kwamba mwamini ye wadumwa."
\v 30 Basi wakamzera, "Ni ishara ki uribonyaga, kwamba dadima kuriwona na kukuamini? wadima bonya indoi?
\v 31 Aba wedu wajie manna ijangwenyi, kama yaandikwa, "Wawanekie mikate kufuma mbingunyi ili waje."
\v 32 Kisha Jesu akawajibu, Amini, amini siyo Musa wanekie mkate kufuma mbingunyi, bali Aba wapwa nie awanekaga mkate gwa loli kufuma mbingunyti.
\v 33 Kwa kugora mkate gwa Mlungu ni guja gushukaga kufuma mbingunyi na kugupatia binana urumwengu.
\v 34 Basi wakamzera, "Mzuri dipate ugu mkate wakati wose."
\v 35 Jesu akawazera, Nyi nie mkate gwa binana, ye achaga kwapwa ndapataaga njala na ye aniaminie ndahisi kau kamwe."
\v 36 Ingawa wawagorie kwamba, mwaniwona nabado ndamwamini.
\v 37 Wose ambawo Aba aninekaga wachaga kwapwa, na wowose achaga kwapwa simdagaa shigadi kabisa.
\v 38 Kwa kugora nashuka kufuma mbingunyi, siyo kwa ajili ya kubonya makundo gapwa, bali makundo gake wanichuma.
\v 39 Na aga niyo makundo gake waniduma, kwamba nisamlagashe hata umweri wa waja wanineka, bali niwafufuaga ituku ja mwisho.
\v 40 Kwa kugora aga nigo makundo ga Aba wapwa, kwamba wowose amngowaga mwana na kumwamini apate binana ja kala na kala, nanyi nimfufuaga ituku ja mwisho.
\v 41 Kisha wayahudi wakanung'unikia kumhusu ye kwa sababu wadedie, "Nyi na mkate gushukie kufuma mbingunyi."
\v 42 Wakadedaga, "Uyu siyo Jesu mwana wa Yusufu, ambae ndee na mae dawaichi? Ikaia wada ijaha adede, 'Nashuka kufuma mbingunyi?"
\v 43 Jesu akajibu, akawazera "Msanung'unika miongonyi mwenyu weni.
\v 44 Ndakudae mundu achaga kwapwa akalemwa rudwa ni Aba wapwa waniduma, nanyi nadima mfufua ituku ja mwisho.
\v 45 Kwa kugora yaandikwa katika walodi; wadimafundisha ni Mlungu; kila wasikira na wakifunza kufuma kwa Aba, wachaa kwapwa.
\v 46 Sio kwamba kuko mundu wamwona Aba, isipokuwa ye afumie kwa Mlungu- wamwona Aba.
\v 47 Amini, amini ye aaminie akona binana ya kala na kala.
\v 48 Nyi na mkate gwa binana.
\v 49 Wakaba redu wajie manna ijangwenyi na wakafwa.
\v 50 Ugu nigo mkate gushukaga kufuma mbingunyi, ili kwamba mundu aguje sehemu yake ili asafwe.
\v 51 Nyi na mkate guishi ambago gwashuka kufuma mbingunyi. Kama mundu wowose akaja sehemu ya mkate ugu, wadima ishi kala na kala, mkate nigufunyaga ni muwi gwapwa kwa ajili ya banana ya urumwengu."
\v 52 Wayahudi wakasirika weni kwa weni na wakaanza kubishana wakideda, "Mundu uyu adimaga wada kudineka muwi gwake diguje?"
\v 53 Kisha Jesu akawazera, "Amini, amini mkalemwa ni kuguja muwi mwana wa Adamu na kuinywa baga yake, ndamkaga na binana ndenyi yenyu.
\v 54 Wowose agujaga muwi gwapwa na kuinywa baga yapwa wadima wakaia na binana ya kala na kala, nanyi nadima mfufua ituku ja mwisho.
\v 55 Kwa kugora muwi gwapwa ni vindo va loli, na baga yapwa ni kinywaji cha loli.
\v 56 Ye ajaga muwi gwapwa na kuinywa baga yapwa akaiga ndenyi yapwa, nanyi ndenyi yake.
\v 57 Kama Aba akona banana andu waniduma, na andu niishi kwa sababu ya Aba, na ye pia wadima ishi kwa sababu yapwa.
\v 58 Ugu nigo mkate gushukaga kufuma mbingunyi, sio kama wuja wakaaba wajie na kufwa. Ye agujaga mkate ugu wadima ishi kala na kala.
\v 59 Jesu wagadekie malago aga ndenyi ya isinagogi akogo akifundisha uko kapernaumu.
\v 60 Niko wengi wa wanafunzi wake kusikira aga, wakadeda, "Iji ni ifundisho igumu nani adima ga kujiwokera?"
\v 61 Jesu kwa sababu wamanyie ya kugora wanafunzi wake wakogo wakijinung'unukia ilago iji, akawazera je ilago iji jakwanza?
\v 62 Bsi akaiga wada mkamwona mwana wa Adamu akishuka kufuma ukoarikogo kabla?
\v 63 Ni Ngolo nie afunyaga banana. Muwi ndagufaidii kilambo chochose. Madedo nagadeda kwenyu ni ngolo na ni binana.
\v 64 Basi kuko wandu kati yenyu wasaamini,"kwa sababu Jesu wamanyie tangu mwanzo uja ambae asadimaga kuamini na ye ambae wamsaliti.
\v 65 Akawazera, ni kwa sababu ihi nawazerie kwa ndakudae mundu adimaga kucha kwapwa isipokuwa waanekwa ni Aba.
\v 66 Baada ya aga wanafunzi wake wengi wawukie nyuma na ndawaambatane nae sena.
\v 67 Jesu akawazera waja ikumi na wawi, "Je na inyo mwakundi kuinga?"
\v 68 Simoni Petro akamjibu, "Mzuri digende kwani, we ukona madedo ga binana ya kala na kala,
\v 69 na haamini na kumanya kuwa we ni mtakatifu wa Mlungu."
\v 70 Jesu akawazera, "Je nyi siwasague inyo, na umweri wenyu ni ibilisi?
\v 71 Idana wakogo akiaria kuhusu Yuda, mwana wa Simoni iskariote, kwa kugora wakogo ni ye akikaia umweri wa waja ikumi na wawi, ambae nie wamsaliti Jesu.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Na baada ya malago aga Jesu wadambie huwu katika Galilaya, kwa sababu ndakudae kugenda Uyahudi kwa sababu wayahudi wakogo wakibonya mipango ya kum-bwaga.
\v 2 Idana sikukuu ya wayahudi,. sikukuu ya viwanda, yarikogo avui.
\v 3 Niko wambari wake wakamzera, "Inga andu aha ugende Uyahudi, ili kwamba wanafunzi wakowagawone matendo ugabonyaga.
\v 4 Ndakudae abonyaga jojose kwa siri iwapo ye mweni wakundi amanyikane wazi. Iwapo wabonyaga malago aga, kibonyere we mweni kwa urumwengu."
\v 5 Hata wambari wake pia ndawamuaminie.
\v 6 Niko Jesu akawazera, "Wakati gwapwa ndaguligisire kufika bado, ela wakati gwenyu kila mara guko tayari.
\v 7 Urumwengu ndagudimaga kumichukia inyo, bali gumichukiaga nyi kwa sababu nagushuhudia kugora matendo gake ni maovu.
\v 8 Jokenyi kugenda sikukuunyi; nyi sigendaga sikukuunyi ihi kwa sababu muda gwapwa ndaguligisire bado."
\v 9 Baada ya kudeda malago aga kwawo, wabakie Galilaya.
\v 10 Hata huwo, wambari wake wakogo wagenda sikukuunyi, niko nae akagenda, siyo kwa wazi bali kwa siri.
\v 11 Wayahudi wakogo wakimlola sikukuunyi na kudeda, "Eko hawo?"
\v 12 Kwarikogo na majadiliano mengi miongonyi mwa makutano igu yake wamwi wadedie, 'Ni mundu aboie." Wamwi wadedie," Hapana, wawapotoshaga makutano."
\v 13 Hata huwo ndakudae waariya wazi igu yake kwa kuwaboa wayahudi.
\v 14 Wakati sikukuu kufika gadigadi, Jesu wajokie kugenda ihekelunyi na kuanza kufuyndisha.
\v 15 Wayahudi warikogo wakishangaa na kudeda kwa jinsi ki mundu uyu waichi malago mengi? Ndasomie kamwe."
\v 16 Jesu akawajibu na kuwazera, 'Mafundisho gapwa siyo gapwa, bali ni gake waniduma.
\v 17 Iwapo wowose akundaga kubonya makundo gake ye, amanyaga kuhusu mafundisho aga, kama gafumaga kwa Mlungu, au kama nadeda kufuma kwapwa mweni.
\v 18 Kila adedaga gafumaga kwake mweni walolaga utukufu gwake, bali kila alolaga utukufu gwake ye wamduma, mundu uyo niwa loli, na ndenyi yake ndakudae kulemwatenda hachi.
\v 19 Musa ndawanekie inyo sheria? Ela ndakudae hata umweri kati yenyu atendaga sheria kwa indoi mwakundi kunibwaga?
\v 20 Makutano wakajibu, "Ukona pepo. Nani akundi kukubwaga?"
\v 21 Jesu akajibu na akawazera, "Natenda kazi imweri, na inyo wose mwashangazwa kwa sababu yake.
\v 22 Musa awawanekie tohara (SIyo kwamba yafumie kwa Musa, bali ija jamie kwa wakaaba), na katika sabato mwamtahiri mundu.
\v 23 Iwapo mundu awokeraga tohara katika ituku ja sabato ili kwamba sheria ya Musa isachukanywe, kwa indoi mdanikasirikia nyi kwa sababu nam-bonya mundu kuwa binana kabisa katika sabato?
\v 24 Msahukumu kulingana n mwonekano, bali hukumunyi kwa hachi.
\v 25 Baadhi yawe kufuma Yerusalemu wakadeda, "siye uyu wamlolaga kum-bwaga?
\v 26 Na ngowa, adeda wazi wazi, na ndawadedaga chochose igu yake. Ndaidimikaga ikiwa kwamba vilongozi waichi loli kugora uyu ni Kristo, yadimika kuwa?
\v 27 Daichi uyu mundu wafumie huwo. Kristo akacha, hata huwo, ndakudae amanyaga hawo wafuma nako."
\v 28 Jesu wakogo akipaza sauti yake ihekelunyi, akifundisha na kudeda, "Inyo wose mwaichi nyi na mwaichi uko nafuma nako. Sichee kwa nafasi yapwa, bali ye waniduma ni wa loli, na ndamumwiichi ye.
\v 29 Na muichi ye kua sababu nafuma kwake na wanidumie."
\v 30 Warikogo wadaageria kumwa-da ela ndakudae hata umweri awusirie mkonu gwake igu yake kwa sababu saa yake yakogo bado kufika.
\v 31 Hata huwo, wengi katika makutano wamwaminie. Wadedie, "Kristo akacha, abonyaga ishara nyingi kuliko waribonya mundu uyu?"
\v 32 Mafarisayo wawasikire makutano wakinong'onezana malago aga kuhusu Jesu, na wabaha wa makuhani na mafarisayo wakaduma maafisa ili kumwa-da.
\v 33 Niko Jesu akadeda, "Bado kuko muda kitambo nikaia andukumweri na inyo, na baadae nigendaga kwake ye waniduma.
\v 34 Mwadima nilola wala ndamnionaga, kuja nigenda nako, ndamdimaga kucha."
\v 35 Kwa huwo Wayahudi wakadedanya weni kwa weni, "Mundu wadima genda huwo kwamba disadime kumwona? Agendaga kwa watawanyikie kati ya wayunani na kuwafundisha wayunani?
\v 36 Ni idedo ki iji wajideda; Mnilolaga wala ndamniwonaga; kuja nigendaga ndamdimaga kucha'?"
\v 37 Idana katika ituku ja mwisho, ituku ibaha ja sikukuu, Jesu wasimamie akapaza sauti, akideda, "Ikiwa wowose akona kau, na acha kwapwa anywe.
\v 38 Ye aniaminie nyi, kama maandiko gadedie, kufuma ndenyi yake itiririkaga mieda ya machi ga binana."
\v 39 Ela wadedie aga kuhusu Ngolo, ambae wo wamwamini wadima m-bokera; Ngolo wakogo bado kufunyigwa kwa sababu Jesu wakogo ndaligisire kutukuzwa bado.
\v 40 Baadhi ya makutano, kusikira madedo aga, wadedie, "Loli uyu ni mlodi."
\v 41 Wamwi wadedie, "Uyu ni Kristo." Ela wamwi wadedie, "indoi, Kristo adima kufuma Galilaya?
\v 42 Maandiko ndagadedie kugora Kristo afumaga katika ukoo gwa Daudi na kufuma Bethlehemu, kijiji ambacho Daudi wakogo?
\v 43 Huwo, aja gukafumiria mgawanyiko katikati ya makutano kwa ajili yake.
\v 44 Wamwi kati yawe wam-bwadaga, ela ni ndakudae wanyosha mikonu yake igu yake.
\v 45 Niko waja maofisa wakawuya kwa wabaha wa makuhani na mafarisayo, nawo wawazera, "kwa indoi ndamwu-redie?"
\v 46 Maafisa wakajibu, "Ndakudae mundu wawahi kuaria kama uyu kabla."
\v 47 Niko mafarisayo wakawajibu, "Na inyo pia mwapotoshwa?
\v 48 Kuko wowose kati ya watawala amwamini, au wowose wa mafarisayo?
\v 49 Bali awa makutano wasaichi sheria wakalaniwe."
\v 50 Nikodemu akawazera (ye amgendie Jesu aho kala, akika umweri wa mafarisayo),
\v 51 "Je sheria yedu yamhukumu mundu isipokuwa wasikiriwa kwanza na kumanya achibonyaga?"
\v 52 Wajibie na kumzera, "Na we pia wafumie Galilaya? Lola na uwone kwamba ndakudae mlodi wafuma Galilaya."
\v 53 (Zingatia: Baadhi ya madedo ga Yohana 7: 53 - 8:11 ndageko katika nakala bora ra kala). Kisha kila mundu wagendie nyumbenyi kwake.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 (Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu). Jesu wagendie lugongo lwa mizeituni.
\v 2 Mapem asubuhi akacha sena ihekelunyi, na wandu wose wakamgendia; akaka na kuwafundisha.
\v 3 Waandishi na mafarisayo wakamreda muka awadigwe katika kitendo cha kuzini. Wakamwika gadi gadi.
\v 4 (Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu). Niko wakamzera Jesu, "Mwalimu, muka uyu wawa-diwa katika uzinzi, katika kitendo kabisa.
\v 5 Idana, katika sheria, Musa wadiamuru kuwaponda magwe wandu kama awa, ugora wada igu yake?
\v 6 Wadedie aga ili kumtega ili kwamba wapate ilago ja kumshtaki, ela Jesu akagogoma ndonyi akaandika katika ardhi kwa chala chake.
\v 7 (Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu). Waendelee kumkotia, wasimamie na kuwazera, "Ye asadae zambi miongonyi wenyu, awe wa kwanza lauponda magwe.
\v 8 Akagora seana ndonyi akaandika katika ardhi kwa chala chake.
\v 9 (Zingatia: Ngowa ufafanuzi gwa Yohana 7: 53 - 8: 11 aho igu). kusikira ago, wakainga umweri baada ya umweri, kuanzia eko mgosi mwishonyi Jesu wasigiwe mweni keri, andukumweri na uja muka akogo gadi gadi yawe.
\v 10 Jesu wasimamie na kumzera, "muka, wakogo wakushitaki wako hawo? Ndakudae hata umweri wakuhukumu?"
\v 11 Akadeda, "Ndakudae hata umweri Mzuri." Jesu akadeda, "Hata nyi sikuhukumu. Genda chia rako, kuanzia ijiaha na kuendelea usatende zambi sena."
\v 12 Sena Jesu akaria na wandu akideda, "Nyi na nuru ya urumwengu; ye aninuga ndaselaga kirenyi bali akaia na nuru ya binana."
\v 13 Mafarisayo wakamzera, "Udakishuhudia mweni." ushuhuda gwako siyo gwa loli."
\v 14 Jesu wawajibie akawazera, "Hata kama nikishuhudia mweni, ushuhuda gwapwa ni loli. Naichi andu nifumie na kuja nigendaga, ela inyo ndamuichi andu uko nifumie au kuja nigendaga.
\v 15 Inyo mwahukumu ki-muwi, nyi simhukumu wowose.
\v 16 Nyi hata nikahukumu, hukumu yapwa ni loli kwa sababu siko nyimweni, bali niko andukumweri na Aba waniduma.
\v 17 Niko, katika sheria yenyu yaandikwa kwamba ushuhuda gwa wandu wawi ni loli.
\v 18 Nyi nie nikishuhudia, na Aba anidumie anishuhudia."
\v 19 Wakamzera, "Aba wako ako hao?" Jesu akajibu, "Nyi ndemniichi wala Aba wapwa ndamuiichi, kama mwakogo mwaniichi nyi, mwammanyaga na Aba wapwa pia."
\v 20 Wadedie madedo aga akika avui na hazina akogo akifundisha ihekelunyi, na ndakudae hata umweri wam-mwada kwa sababu saa yake yakogo bado kufika.
\v 21 Basi akawazera sena, "Nagenda chia rapwa, mnilolaga na mfwaga katika zambi renyu. Kuja nigenda, ndamdimaga kucha."
\v 22 Wayahudi wakadeda "Akibwaga mweni, ye ambae wadedie, 'kuja nigendaga ndamdimaga kucha'?"
\v 23 Jesu akawazera, "Mwafuma ndonyi, nyi nafuma igu. Inyo ni wa urumwengu ugu; nyi siyo wa urumwengu ugu.
\v 24 Kwa huwo, mfwaga katika zambi renyu. Vinginevyo muamini kugora NYI NIYE, mfwaga katika zambi renyu."
\v 25 Kwa huwo wakamzera, "we wani? Jesu akawazera, Gaja niwagorie tangu mwanzo.
\v 26 Nikonago mengi ga kuaria na kuhukumu igu yenyu. Hata huwo, ye anidumie ni wa loli, na malago wagasikire kufuma kwake, malago aga nagadeda kwa urumwengu."
\v 27 Ndawamwelewe kwamba wakogo akiaria nawo kuhusu Aba.
\v 28 Jesu akadeda, "Mkamwinua igu mwana wa mundu, niko mmanyaga kuwa NYI NIE, na kwamba sibonyaga jojose kwa nafsi yapwa. kama Aba awafundishie, na ndeda malago aga.
\v 29 Ye anidumie eko andukumweri nanyi, na ye ndamsigie nyi mwenikeri, kwani kila mara nabonyaga gaja gampendezaga."
\v 30 Wakati Jesu akideda malago aga, wengi wamwaminie.
\v 31 Jesu akadeda kwa waja wayahudi wamwaminie, "Ikiwa mkaia katika idedo japwa, niko mkaia wanafunzi wapwa loli.
\v 32 na inyo mwadima imanya loli, na loli yadima wawika huru."
\v 33 Wakamjibu, "Isi na kivazi cha Ibrahimu na kamwe ndadigisire kuka indoi ndonyi ya utumwa gwa wowose; udedaga wada, "Diwikwaga huru?"
\v 34 Jesu akawajibu, "Amini, amini namigoria, kila abonyaga zambi ni mtumwa wa zambi.
\v 35 Mtumwa ndakaga nyumbenyi wakati gose, mwana wadumu matuku gose.
\v 36 Kwa huwo, ikakai mwana akawawika huru, mkaia huru loli kabisa."
\v 37 Naichi kugora inyo ni kivazi cha Ibrahimu; mdalola kuuibwa-ga kwa sababu idedo japwa ndajidae nafasi ndenyi yenyu.
\v 38 Nadeda malago ambago nagawona andukumweri na Aba wapwa, na inyo wuja mdabonya malago ambago mwagasikire kufuma kwa waka ndeo wenyu."
\v 39 Wajibie na kumzera, mwabonyaga kazi ra Ibrahimu.
\v 40 Hata ijiaha mwalola kunibwaga, mundu wawagoria loli kugora nasikire kufuma Mlungu. Abrahamu ndabonyie huwu.
\v 41 Mdabonya kazi ra aba wenyu." wakamzera, "Ndadivalwe katika uzinzi, dikanae Aba umweri, Mlungu."
\v 42 Jesu akawazera, "Kwa kugora Mlungu ni Aba wenyu, mwakundaga nyi, kwa maana nafuma kwa Mlungu; wala si chee kwa nafasi yapwa, bali ye waniduma.
\v 43 Kwa indoi ndamgaelewaga madedo gapwa? kwa sababu ndamdimaga kurumagia kugasikira madedo gapwa.
\v 44 Inyo niwa wenyu, shetani, na mwakundi kunitenda tamaa ra aba wenyu Wakogo m-bwagaji tangu mwanzo na ndadimaga kusimama katika loli kwa sababu loli ndaiko ndenyi yake. Akadede tee, adadeda kufuma asilinyi kwake kwasababu ni mtee na aba wa tee:
\v 45 Hata ijiaha, kwa sababu nadeda iko loli, ndamniamini.
\v 46 Nani kati yenyu anishuhudiaga kugora ni kona zambi? ikakaia nadeda iko loli, kwa indoi ndamniamini?
\v 47 Ye eko wa Mlungu wagasikiraga madedo ga Mlungu, inyo ndamgasikiraga kwa sababu inyo ndwa wa Mlungu."
\v 48 Wayahudi wakamjibu na kumzera, ndadidedie loli kugora we ni msamaria na ukona pepo?"
\v 49 Jesu akajibu, si dae pepo; ela namheshimu Aba wapwa, inyo ndamniheshimu.
\v 50 Silolaga utukufu gwapwa; kuko na umweri alolaga na kuhukumu.
\v 51 Amini, amini nawaambia, iwapo wowose ajiwadaga idedo japwa, ndawonaga mauti kamwe."
\v 52 Wayahudi wakamzera, "Idana damanya kugora pepo. Abrahamuy na walodi wafuye, ela udadeda, 'Ikiwa mundu ajiwadaga idedo japwa, ndajaga mauti."
\v 53 We ndwa mbaha kuliko aba wedu Abrahamu afuye, sinyo? walodi pia wafuye We wakibonya kuwa wani?"
\v 54 Jesu aakajibu, "Ikiwa nikimtukuzaga nyi mweni, utukufu gwapwa ni dueri.
\v 55 Inyo ndammanyege ye, ela nyi namwaichi ye. Ikiwa nidedaga simuichi nikaia kama inyo, na mtee. Hata huwo, namwichi na madedo gake nagwada.
\v 56 Aba wenyu Abrahamu washangilie andu awonaga ituku japwa, wawonie na akaboiwa.
\v 57 Wayahudi wakamzera, "Ndufikishie umwi gwa miaka hamsini bado, nawe wamwona Ibrahimu?"
\v 58 Jesu akawazera, "Amini, amini, nawagoria, kabla Abrahamu ndajisire valwa, NYI NEKO."
\v 59 Niko wakashowa magwe wapate kumkaba, ela Jesu akakivisa na akafuma shigadi ya ihekalu.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Wakati, Jesu akogo akideda, wamwonie mundu kipofu tangu kuvalwa kwake.
\v 2 Wanafunzi wake wakamkotia, "Rabi, nani atendie zambi, mundu uyu au wavazi wake, hata avalwe?"
\v 3 Jesu akajibu, "Sinyo uyu mundu wala wavazi wake watendie zambi, bali kazi ra Mlungu nipate kufunuliwa kuidia kwake.
\v 4 Dapaswa kubonya kazi rake ye anidumie wakati bado ni dime kio chidacha wakati ambapo ndakudae adimaga kubonya kazi.
\v 5 Wakati niko urumwengunyi, nyi na nuru ya urumwengu."
\v 6 Baada ya Jesu kudeda malago aga, akachuya ardhinyi, akabonya itope kwa mada, na akamvia uja mundu mesonyi na jija itope.
\v 7 Akamzera, genda- kisimamenyi cha siloam (yatafsiriwa kama wadumwa')."kwa huwo uyo mundu akagenda, nawa, na akawua adawona.
\v 8 Majirani wa uja mundu na waja wamwona mwanzo kama mlombaji wadedie, Je! uyu siyo siyo uja mundu akogo akikaia na kulomba?" wami wadedie, "Ni ye."
\v 9 Na wamwi wadedie, "Hapana, bali wafwanane nae." Ela warikogo akideda." Ni nyi."
\v 10 Wakamzera." Idana meso gako gafunguliwe wada?"
\v 11 Wajibie, mundu awangwaga Jesu wabonyie itope na kuvivia meso gapwa na kunizera, 'Genda siloam ugende nawa. Kwa huwo nikagenda, na nikanawa, na nikapata kuwona sena."
\v 12 Wakamzera," Ako huwo?" Akajibu, "siichi."
\v 13 Wakamgenja uja mundu awahie kukaia kipofu kwa mafarisayo.
\v 14 Nayo yakogo ituku ja sabato wakati Jesu akabaisa itope na kugafumbua meso gake.
\v 15 Niko sena mafarisayo wakamkotia wa wawawada. Akawazera, "Wawikie itope mesonyi kwapwa, nikanawa na idana nadima kuwona."
\v 16 Baadhi ya mafarisayo wakideda, "mundu uyu ndafumie kwa Mlungu kwa sababu ndaiwadaga sabato." Wamwi wakadeda," Idimikaga wada mundu ekona zambi kubonya mgawanyiko kati yawo.
\v 17 Niko wakamkotia uja kipofu sena, "Udedaga wada igu yake kwa sababu wagafungue meso gako?" kipofu akadeda, "Ni mlodi."
\v 18 Hata wakati ugu wayahudi ndawamuaminie kwamba warikogo kipofu nae wapata kuwona mpaka wakawawanga wavazi wake ye arikogo kipofu.
\v 19 Wawakotie wavazi, Je, uyu ni mwana wenyu mdadega warikogo kipofu? wadima wada Idana kuwona?"
\v 20 Huwo wavazi wake wakamjibu "Daichi kugora uyu ni mwana wenyu na kwamba wavalwe kipofu.
\v 21 Jinsi ki idana adawona, ndadiichi, na ye wamfumbua meso gake, ndadimuiichi. Mkotienyi ye ni mundu mlazi. Adima kukieleza mweni."
\v 22 Wavazi wake wadedie malago aga, kwa sababu warikogo wadawaboa wayahudi. Kwa wuja wayahudi warikogo wakubaliana tayari kuwa, ikiwa wowose wadima- wakiri kuwa Jesu ni Kristo, wadima tengwa na isinagogi."
\v 23 Kwa sababu ihi, wavazi wake wadiadie, "Ni mundu mlazi, mkotienyi ye mweni."
\v 24 Kwa huwo kwa mara ya kawi, wam-bangie uja mundu awabireje kukaia kipofu na kumzera, "Mneke Mlungu utukufu. Daichi kugora mundu uyu ni mundu ako na zambi."
\v 25 Niko uja mundu akajibu." Ake ni akona zambi nyi siichi. Kilambo chimweri ni chichi: narikogo kipofu, na ijiaha nawona."
\v 26 Niko wakamzera, "Wakubonyia indoi? Wagafumbue wada meso gako?"
\v 27 Akajibu, "Nameria kuwagoria tayari, na inyo wasikirie! kwa indoi mwakundi kusikira sena? Nainyo ndamkundi kuwa wanafunzi wake pia, sivyo?
\v 28 Wakamwanyira na kudeda, "We ni mwanafunzi wake, ela isi da wanafunzi wa Musa.
\v 29 Daichi kugora Mlungu waarie na Musa, ela kwa uyu mundu, ndadiichi kuja afumie nako."
\v 30 Uja mundu akajibu na kuwazera, "kwa indoi, iji ni ilago ja kushangaza, kwamba ndamuichi afumie nako, na bado wafumbue meso gapwa.
\v 31 Daichi kugora Mlungu ndawasikiraga wekona zambi, ela ikakaia mundu wowose mwabudu Mlungu na kubonya makundo gake, Mlungu wamsikiraga.
\v 32 Tangu kuanza kwa urumwengu ndailigisire kamwe kusikirwa kwamba wowose wagafumbua meso ga mundu wavalwa kipofu.
\v 33 Ikiwa mundu uyu ndafumie kwa Mlungu, ndabonyaga chochose."
\v 34 Wajibie na kumzera, "Wavalwe katika zambi kabisa, na we udadifundisha isi?" Niko wamwingisa kufuma isinagoginyi.
\v 35 Jesu wasikire kugora wamwinja isinagoginyi. wampatie na kumzera, "kumwamini mwana wa mundu?"
\v 36 Wajibie na kudeda, "Nani, Mzuri, ili nanyi nipate kumwamini?"
\v 37 Jesu akamzera, "Wamwona, naye uariaga nae niye."
\v 38 Uja mundu akadeda, "Mzuri, Naamini." Niko akamsujudia.
\v 39 Jesu akadeda, "Kwa hukumu nacha katika urumwengu ugu ili kwamba waja wasaonaga wapate kuona nawaja wawonaga wake vipofu.
\v 40 Baadhi ya mafarisayo warikogo andukumweri nae wakasikira madedo ago na kumkotia, "Na isi pia da vipofu?"
\v 41 Jesu akawazera, "Kama mwakogo vipofu, ndamwakaga na zambi. Hata huwo, ijiaha mdadeda, 'Dawona, zambi yenyu idakaia."
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Amini, amini, nawazera uja asangiaga kwa kuidia mjango gwa izzi ja ng'ondi, ela adajoka kwa chia imwi, mundu uyu ni mting'a na mnyang'anyi.
\v 2 Ye angiaga mjangonyi ni mlisha wa ng'ondi.
\v 3 Kwake mlindiri wa mjango wamruguliaga. Ng'ondi ra sikiraga sauti yaake na wariwangaga ng'ondi rake kwa marina gawe na kuwafunya shigadi.
\v 4 Akawafunya shigadi awo weko wake, wawanega, na ng'ondi kumnuga, kwa sababu waichi sauti yake.
\v 5 Ndawamnuga mgenyi ela badala yake wadima mwepuka, kwa sababu ndawaniichi sauti ra wagenyi."
\v 6 Jesu wadedie mfano ugu mzawe, ela ndawagaelewe malago aga ambago warikogo akideda kwawo.
\v 7 Jesu akadeda nawo sena, "Amini, amini, nawazera, Nyi na mjango gwa ng'ondi.
\v 8 Wose wanikirie ni wating'a na ni wanyang'anyi, ela ng'ondi ndawasikire.
\v 9 Nyi na mjango. Wowose angiaga kuidia kwapwa, wadima okolewa, angiaga ndenyi na kufuma, nae wadima wakipatia malisho.
\v 10 Mting'a ndadacha isipokuwa kuiwa, kubwaga na kuangamiza. Nacha ili kwamba wapate binnana na wakaie nayo tele.
\v 11 Nyi na mlisha mwema. Mlisha mwema wagufunyaga uhai gwake kwa ajili ya ng'ondi.
\v 12 Mtumishi waajiriwa, na siyo mlisha, ambae ng'ondi siyo mali yake, wawaona makoshi ga kireti wadacha na kuwakimbia ng'ondi.
\v 13 Na makoshi ga kireti wawa-da na kuwatawanya. Wakimbiga kwa sababu ni mtumishi wa kuajiriwa wa na ndawajali ng'ondi.
\v 14 Nyi na mlisha mwema, na nawaichi weko wapwa, nawo weko wapwa waniichi nyi.
\v 15 Aba waniichi, nanyi namwiichi Aba, nanyi nagufunya uhai gwapwa kwa ajili ya ng'ondi.
\v 16 Nikona ng'ondi wamwi ambawo siyo wa iziz iji. Awo pia, yanipasa kuwareda, nawo wadimasikira sauti yapwa ili kwamba kukaie na ikundi jimweri na mlisha umweri.
\v 17 Ihi niyo sababu Aba wanikundi: Ni gufunye yhai gwapwa halafu niguwuse sena.
\v 18 Ndakudae aguwusaga kufuma kwapwa, ela nyi nagufunya nyimweni. Nikona mamlaka ga kugufunya, na nikonago mamlaka ga kuguwusa pia. Najiwokera ilagizo iji kufuma kwa Aba."
\v 19 Mgawanyiko sena gukafumiria kati ya wayahudi kwa sababu ja madedo aga.
\v 20 Wengi wao wakadeda, "Akona pepo na ni mkilalu. Kwa indoi mwamsikira?"
\v 21 Wamwi wakadeda, "Aga siyo madedo ga mundu wapagawa ni pepo. Pepo jadima kufungua meso ga kipofu?"
\v 22 Niko ikacha sikukuu ya kuwikwa wakfu jerusalemu.
\v 23 Wakogo wakati gwa mbeo, na Jesu wakogo akisela ihekelunyi katika ukumbi gwa selemani.
\v 24 Niko wayahudi wakamzunguluka na kumzera, "Mpaka li wadima wadiwika katika mashaka? kama we wa Kristo, digorie wazi.
\v 25 Jesu akawajibu, "Nameria kuwagoria ela ndamwamini: kazi niribonyaga kwa irina ja Aba wapwa, iro ra shuhudia igu yapwa.
\v 26 Hata huwo ndawaamini kwa sababu inyo siyo ng'ondi wapwa.
\v 27 Ng'ondi wapwa waisikiraga sauti yapwa, nawaichi nawo waninuga nyi.
\v 28 Nawaneka binana ya kala na kala, ndawaangamia kamwe, na ndakudae hata umweri adimaga kuwanyakua kufuma mikonunyi kwapwa.
\v 29 Aba wapwa, aninekie awo, ni mbaha kuliko wamwi wose, na ndakudae hata umweri ekona uwezo wa kuwanyakua kufuma mkonunyi kwa Aba.
\v 30 Nyi na Aba da umweri."
\v 31 Wakadwa magwe ili wamponde sena.
\v 32 Jesu akawajibu, "Nawabonyera kazi nyingi riboie kufuma kwa Aba. Kwa kazi riao katiga iro mwakundi kuniponda magwe?"
\v 33 Wayahudi wakamjibu, "Ndadikupondaga magwe kwa kazi yoyose iko iboie, ela kwa kukufuru, kwa sababu we, uko mundu, wakibonya kuwa Mlungu."
\v 34 Jesu akajibu, "Ndaiandikiwe katika sheria yenyu, "Nadedie, "Inyo ni Mlungu?"
\v 35 Ikiwa wa-wa-wangie Mlungu, kwa waja ambawo idedo ja Mlungu jawachee (na maandiko ndagadimaga kuchukanyigwa),
\v 36 Mwadeda igu ya uja ambae Aba wamfunyie na kumduma katika urumwengu, 'Udakufuru; kwa sababu nadedie;, 'Nyi na mwana wa Mlungu'?
\v 37 "Ikiwa sibonyaga kazi ra Aba wapwa, msaniamini.
\v 38 Hata huwo, ikiwa naribonya, hata kama ndamiamini, riamininyi kazi ili kwamba mdime kumanya na kumanya kwamba Aba weko ndenyi yapwa nanyi neko ndenyi ya Aba."
\v 39 Wakageria sena kumwada Jesu, ela wagendie chia rake kufuma mikonunyi kwawe.
\v 40 Jesu akagenda chia rake sena kimonu cha Yordani sehemu ambayo Yohana awakogo akibatiza kwanza, na akakaia uko.
\v 41 Wandu wengi wakacha kwa Jesu. Waendelee kudeda, "Yohana loli ndabonyie ishara yoyose, ela malago gose wagadeda Yohana igu ya uyu mundu ni ga loli."
\v 42 Wandu wengi dimamwamini Jesu apo.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Basi mundu umweri irina jake ni Lazaro wakogo mkonago. Wafumie Bethania, kijiji cha Mariamu na dadae Mrtha.
\v 2 Wakogo ni Mariamu uja amvirie Mzuri Marhamu na kumfuta magu gake kwa njwi rake, ambae mbari wake ni Lazaro akogo ni mkongo.
\v 3 Niko wakadeda awa wadumie ujumbe kwa Jesu na kudeda, "Mzuri, ngowa uja umkundi adawa-wa."
\v 4 Jesu kusikira akadeda, "Ukongo ugu siyo gwa mauti, ela, badala yake ni kwa ajili ya utukufu gwa Mlungu ili kwamba mwana wa Mlungu apate kutukuzwa katika ugo ukongo."
\v 5 Jesu wamkundie martha na dadie na Lazaro.
\v 6 Kusikira kuwa Lazaro ni mkongo, Jesu wakaie matuku awi zaidi andu arikogo.
\v 7 Niko baada ya iji wawagorie wanafunzi wake. "Digendenyi uyahudi sena."
\v 8 Wanafunzi wakamzera, "Rabi, wayahudi wagerie kukuponda magwe, na we wakundi kuwua uko sena?
\v 9 Jesu akawajibu, "Saa ra dime ni ikumi na iwi? mundu akasela na dime ndadimaga kukuwa, kwa sababu adawona kwa nuru ya dime.
\v 10 Hata huwo, ikiwa wadime sela na kio, akuwaa kwa sababu nuru ndaiko ndenyi yake."
\v 11 Jesu akadeda malago aga, na baada ya malago aga, akawazera, "Mwaawedu wedu Lazaro watungura, ela nidagenda ili kwamba mpate kumwusira kufuma dilonyi."
\v 12 Niko wanafunzi wakamzera, "Mzuri, kama watungura, wadima wukia.
\v 13 Wakati ugu Jesu wakogo akiaria habari ra kifwa cha Lazaro, ela wo wadhanie wazungumzia igu ya kutungura dilo.
\v 14 Niko Jesu akazungumza nawo wazi wazi, "Lazaro wafwa.
\v 15 Nikona kuboirwa kwa ajili yenyu, kwamba sikogo kuja ili kwamba mpate kuamini. Digendenyi kwake."
\v 16 Basi Tomaso, awawingiwe pacha, wawagorie wanafunzi wambwawe, "Na isi digendenyi pia digende fwa andu kumweri na Jesu."
\v 17 Wakati Jesu kucha, wadokie kwamba Lazaro tayari wakogo kaburinyi matuku ana.
\v 18 Nayo Bethania yarikogo avui na Yerusalemu kama kilometa arobaini na isanu huwu.
\v 19 Niko Martha akasikira kuwa Jesu adacha, akagenda kuwona nae, ela Mariamu waendelee kukaia nyumbenyi.
\v 20 Niko Martha ndasikire kuwa Jesu adacha, waendelee kukutana na ye, ela Mariamu waendelee kuka nyumbenyi.
\v 21 Niko martha akamzera Jesu, "Mzuri, kama warikogo aha, kaka wapwa ndarifwaga.
\v 22 Hata ijiaha, naichi ya kuwa jojose ujilombaga kufuma kwa Mlungu, wadimakupatia."
\v 23 Jesu akamzera, kakio wadima fufuka sena."
\v 24 Martha akamzera, naichi kwamba wadima fufuka katika ufufuo ituku ja mwisho."
\v 25 Jesu akamzera, "Nyi na ufufo na binana, ye aniaminie, ingawa afwaga, hata huwo akaia adaishi,
\v 26 na ye aishie na kuamini nyi ndafwaga. Udaamini iji?"
\v 27 Akamzera, "Ndiyo, Mzuri naamini kwamba wa wakristo, mwana wa Mlungu, ye achaga katika urumwengu."
\v 28 Kumeria kudeda iji, akagenda chia rake na kumwa-nga dadie wa mariamu faraghanyi.
\v 29 Mariamu kusikira aga, akawikira shwashwa na kugenda kwa Jesu.
\v 30 Naye Jesu warikogo bado kucha ndenyi ya kijiji, bali wakogobado andu wakwana na Martha.
\v 31 Niko Wayahudi wakogo na Mariamu katika nyumba na waja wakogo wakimfariji, kumwona akiwukia shwashwa na kufuma shigadi, wakamnuga, wadhanie kuwa adagenda kaburinyi ili agende lila uko.
\v 32 Niko Mariamu, akafika aja Jesu akogo wamwona na, akagwa ndonyi ya magu gake na kumzera, "Mzuri, kama wakogo aha, mbari wapwa ndafwaga."
\v 33 Jesu kumwona adalila, na Wayahudi wachee andukumwei nae wakogo wakilila pia. Waombolezie katika ngolo na kufadhaika,
\v 34 akadeda, "Mwamtungurisha hawo? wakamzera, Mzuri, choo unguwe."
\v 35 Jesu akalila.
\v 36 Niko Wayahudi wakadeda, "Ngowa andu amkundie Lazaro!"
\v 37 Ela wamwi kati yawe wakadeda, "Siyo uyuy, mundu agafumbue meso ga uja akogo kipofu, ndadimie kum-bonya uyu mundu asafwe?"
\v 38 Niko Jesu, hali akiomboleza nafsinyi kwake sena, wagendie kaburinyi. Iji aha yakogo mbaga, na igwe jawikwa igu yake.
\v 39 Jesu akadeda, "Jinyenyi igwe." Martha, dadadie wa Lazaro, ye afuye, akamzera Jesu, "Mzuri, kwa muda ugu, muwi gukaga gwavunda, kwa sababu wakaia maiti kwa matuku ana."
\v 40 Jesu akamzera, "Nyi sikogorie ya kwamba kama ukawini, uguwonaga utukufu gwa Mlungu?"
\v 41 Kwa huwo wakajiinja igwe. Jesu akainua meso gake igu na kudeda, "Aba, nashukuru kwa kugora wanisikiraga.
\v 42 Naichi kwamba wanisikira mara rose, ela ni kwasababu ya ikusanyiko ambajo jasimama kumzunguluka kwamba nadedaga, ili kwamba wapate kuamini kuwa we waniduma."
\v 43 Baada ya kudeda aga, wakemie kwa sauti mbaha, "Lazaro, fuma shigadi."
\v 44 Mfu akafuma shigadi wafungwa mikonu na magu kwa sahanda ra kurikia, na wushu gwake gwafungiwe na kitambaa." Jesu akawazera, "Mfunguenyi mumsige agende."
\v 45 Niko wayahudi wengi wachee kwa mariamu na kuwona Jesu wachibonya, wakamwamini.
\v 46 Ela baadhi yao wakagenda kwa mafarisayo na kuwagoria malago wagabonya Jesu.
\v 47 Niko wabaha wa makuhani na mafarisayo wakakusanyika andu kumweri katika ibaraza na kudeda, "Dibonyaga indoi? mundu uyu adabonya ishara nyingi.
\v 48 Ikiwa dimsigaa uyu mwenikeri, wose wadima mwamini, Warumi wachaga na kuwusa vose andu kwedu na isanga jedu."
\v 49 Hata huwo, mundu umweri kati yawe, kayafa, akogo kuhani mbaha mwaka ugo, akawazera, "Ndamuichi chochose kabisa.
\v 50 Ndamfikiria kwamba yafua kwa ajili yenyu kwamba mundu umweri yapasa kufwa kwa ajili ya wandu kuliko isanga jose kuangamia."
\v 51 Aga ndagadie kwa sababu yake mweni, badala yake, kwa kugora warikogo kuhani mbaha mwaka guja, watabirie kwamba Jesu afwaga kwa ajili ya isanga;
\v 52 na siyo kwa isanga jinekeri, bali Jesu apate kuwakusanya wana wa Mlungu ambawo watawanyika sehemu ya isanga.
\v 53 Kwa huwo kuanzia ituku ijo na kuendelea wakapanga namna ya kumwa-ga Jesu.
\v 54 Jesu ndaselie sena wazi wazi kati ya Wayahudi, bali waingie aho na kugenda isanga jiko avui na ijangwa katika muzi guwangwa ga Efrahim, u. Aho wakee na wanafunzi.
\v 55 Basi pasaka ya Wayahudi yarikogo avui, na wengi wakajoka kugenda Yerusalemu shigadi ya muzi kabla ya pasaka ili wapate kukitakasa weni.
\v 56 Warikogo wakimlola Jesu, na kuaria kila umweri wakogo wasimama ihekalunyi, "Mfikiri indoi? kwamba ndachaga sikukuunyi?"
\v 57 Wakati ugu wabaha wa makuhani na mafarisayo wakogo wafunya amri kwamba ikiwa umweri akamanya Jesu andu eko, apaswa kufunya taarifa ili kwamba wapate kumwa-da.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Matuku sita kabla ya pasaka, Jesu wagendie Bethania ukoeko Lazaro, ye ambae wamfufue kufuma wafu.
\v 2 Basi wakamwandalia vindo va kwenyi uko, na Martha akamtumikia, wakati ugo Lazaro wakogo umweri wawe na waja wakaia vindonyi andu kumweri na Jesu.
\v 3 Kisha Mariamu akawusa rati ya manukato gaboisiwe kwa nardo safi, gekona samani mbaha, akamvia Jesu magunyi, na kumfuta magu kwa njwi rake; nyumba yose ikachua harufu ya manukato.
\v 4 Yuda Iskarote, umweri wa waja wanafunzi wake, ambae nie amsaliti Jesu, akadeda,
\v 5 "Kwa indoi manukato aga gasadagwe kwa dinari miaidadu na wakanekwa wakiwa?"
\v 6 Naye wagadedie ago, siyo kwa kuwa-wonia mbazi wakiwa, bali kwa sababu warikogo mting'a: ye nie awadie mfuko gwa magome na wakogo awusa baadhi ya viwikwa aho kwa ajili yake mweni.
\v 7 Jesu wadedie, "Msige awike eko nacho kwa ajili ya ituku ja mariko gapwa.
\v 8 Wakiwa mkaia nawo matuku gose, ela ndamkaia nanyi matuku gose."
\v 9 Basi umati mbaha gwa wayahudi wapatie kumanya ya kuwa Jesu ako uko, nawo wakacha, siyo kwa ajili ya Jesu tu, ila wamwone na Lazaro ambae Jesu wamfufue kufuma kwa wafu.
\v 10 Nawo wabaha wa makuhani wakabonya shauri ili wamwage Lazaro,
\v 11 Maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi wagendie rawe na wakamwamini Jesu.
\v 12 Na ituku ja kawi yake umati mbaha wachee sikukuunyi. Kusikira ya kuwa Jesu adacha Jerusalemu,
\v 13 Wawusie matawi ga midi ya mitende na kufuma shigadi kugenda kumlaki na wakaba jogo, "Hosana! Wabarikiwa ye achaga kwa irina ja Mzuri, Mzuri wa Israeli."
\v 14 Jesu wampatie mwana- punda akamjoka, kama wuja iandikiwe,
\v 15 "Usaboe, binti sayuni, ngowa, Mzuri wako adacha wajoka mwana punda."
\v 16 Wanafunzi wake ndawagaelewe malago aga aha kwanza, ela Jesu kutukuzwa, niko wakakumbuka ya kuwa malago aga waandikiwe ye na yakugora watendie malago aga kwake.
\v 17 Basi jija ikundi ja wandu wakogo andukumweri na Jesu wakati akimwa-nga Lazaro kufuma kaburinyi, wakashuhudia kwa wamwi.
\v 18 Na yakogo kwa sababu ihi pia kwamba ikundi ja wandu wagendie kumlaki kwa sababu wasikire ya kugora waibonyie ishara iyo.
\v 19 Mafarisayo wakadedanya wo kwa wo, "Ngowa, iji aha ndamdimaga kubonya jojose, ngowa, urumwengu gwgenda kwake."
\v 20 Idana baadhi ya wayahudi wakogo miongonyi mwa waja wakogo wakigenda abudu sikukuunyi.
\v 21 Awa wagendie kwa Filipo, ambae wafumie, "Mzuri, isi datamani kuwona Jesu."
\v 22 Filipo akagenda akamzera Andrea, Andrea na Filipo wakagenda na kumgoria Jesu.
\v 23 Jesu akawajibu, akadeda, "Saa yafika kwa ajili ya mwana wa Adamu kutukuzwa.
\v 24 Amini, amini nawagoria, chembe ya ngano ikalemweni kugwa katika isanga ikafwa, yakaia hali inyo yeni, bali ikafwa, ivaga matunda mengi.
\v 25 Ye akundi uhai gwake wadima- gulagasha, bali ye angu zamiwaga uhai gwake katika urumwengu ugu wadimagusalimisha hata binana ya kala na kala.
\v 26 Mundu wowose akamtumikia nyi, na aninuge, nanyi niko, niko na mtumishi wapwa andu akaiga. Mundu wowose akanitumikia, Aba wadima- mheshimu.
\v 27 Idana ngolo yapwa yafadhaika: nanyi nidedie? Aba, uniokoe katika saa ihi? Ela ni kwa kusudi ihi naifikia saa ihi.
\v 28 "Aba, ujitukuze irina jako." Kisha sauti ikacha kufuma mbingunyi na kudeda." Najitukuza nanyi nijitukuzaa sena."
\v 29 Basi mkutano gwasimama avui nae wakasikira, wakadeda kugora kwakaia na ngurumo. Wamwi wadedie, "Malaika wadeda nae."
\v 30 Jesu akajibu na kudeda, "sauti ihi ndaichee kwa ajili yapwa, bali kwa ajili yenyu.
\v 31 Idana hukumu ya urumwengu ugu yeko: Idana mbaha wa urumwengu ugu adagwaa shigadi.
\v 32 Nanyi nikainuliwa igu ya isanga, niwarudaga wose kwapwa."
\v 33 Wagadidie aga akibonyera ni mauti ki afwaga.
\v 34 Mkutano wakamjibu, "Isi nasikire katika sheria ya kugora Kristo wadima dumu kala na kala. Nawe udadedaga wada, 'mwana wa Adamu lazima ainuliwe igu? Uyu mwana wa mundu nani?"
\v 35 Basi Jesu akawazera, "Nuru yaduaga andukumweri na inyo muda kidogo. Gendenyi maadamu mkonayo nuru, ili kira chisache kudima. Ye agenda kirenyi ndaichi ukaagendaga nako.
\v 36 Mwadugu nayo nuru, iamininyi nuru iyo ili mpate kuwa wana wa nuru." Jesu wadedie aga nakisha akagenda chia rake akakiwisha wasamwone.
\v 37 Ingawa Jesu wabonyie ishara nyingi namna iyo imbiri yawe, bado ndawamwaminie.
\v 38 Ili jitimie idedo ja mlodi Isaya, ajidedie: "Mzuri, nani arisadikie habari redu? Na mkonu gwa Mzuri wafunuliwa ani?"
\v 39 Niyo sababu wo ndawaaminie, maana Isaya wadedie sena,
\v 40 "Wawapofisha meso, na waribonya rikurie ngolo rawe; wasache wakawona kwa meso gawe na wakamanya kwa ngolo rawe, na wakaongoka nanyi nikawabisa."
\v 41 Isaya wadedie madedo ago kwa kugora waguwonie utukufu gwa Jesu na habari rake.
\v 42 Walakini, hata wabaha wengi wamwaminie Jesu, ela kwa sababu ya mafarisayo, ndawandikie ili wasache wanatengwa na isinagogi.
\v 43 Wakundie togolo ra wanadamu kuliko togolo rafumaga kwa Mlungu.
\v 44 Jesu akapaza sauti na kudeda, "Ye aniaminie nyi, ndaniaminie nyi tu bali ye waniduma nyi,
\v 45 nae aniwonaga nyi amwona ye waniduma.
\v 46 Nyi nacha kama nuru urumwengunyi ili kila mundu aniaminie nyi asakaie kirenyi.
\v 47 Ikiwa mundu wowose wadima gasikira madedo gapwa ela asagawade, nyi simhukumu, maana sichee ili niuhukumu urumwengu, bali niguokoe urumwengu.
\v 48 Ye anilegaa nyi asagubali madedo gapwa akonae amhukumue: Idedo ijo najinena nijo jihukumu ituku ja mwisho.
\v 49 Maana nyi sinenie kwa nafsi yapwa tu. Bali ni Aba anigenjie, ye mweni wanilagiza nigane naga na nigadedaga.
\v 50 Nanyi naichi ya kugora ilagizo jake ni binana ya kala na kala, basi ago ninenaga nyi kama Aba wanigoria, niko ninenaga kwawo."
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Idana kabla ya sikukuu ya Pasaka, kwa sababu Jesu, wamanyie kugora saa yake yafika ambayo afumaga katika dunia ihi kugenda kwa Aba, akiwa wawakunda wandu wake ambawo warikogo dunienyi, wawakundie kuchumba.
\v 2 Na ibilisi warikogo wawikwa tayari katika ngolo ya Yuda Iskariote, mwana wa Simoni, kumsaliti Jesu.
\v 3 Jesu wamanyie kugora Aba wawika vilambo vose katika mkonu yake na kwamba wafuma kwa Mlungu na warikogo adagenda sena kwa Mlungu.
\v 4 Wawikie vindonyi na akaala ndonyi ivazi jake ja shigadi, kisha awusa itaulo akakifunga mweni.
\v 5 Kisha akakumba machi katika ikabuli na akaanza kuwaogesha magu wanafunzi wake na kuwafuta na itaulo mbijo wakifungie ye mweni.
\v 6 Akacha kwa simoni Petro, na Petro akamzera, "Mzuri, wakundi kuniogesha magu gapwa?"
\v 7 Jesu akajibu na kumzera, "Nijhibonyaga ndujiichi ijiaha, ela wadima elewa baadae."
\v 8 Ptro akamzera, "Ndunioneshaga magu gapwa kamwe." Jesu akajibu. "Ikiwa sikuogeshaga, ndukalaga na sehemu andukumweri nanyi."
\v 9 Simoni Petro akamzera, "Mzuri, usaniogeshe magu gapwa tuu, bali pia na mikonu na chongo chapwa."
\v 10 Jesu akamzera, "Wowose ambae wameria kuoga ndahitaji kuoga isipokuwa magu gake, na wakaia safi muwi gake gose, inyo mwakaia safi, ela siyo wose."
\v 11 Kwa kugora Jesu wamanyie uja amsaliti, ili niyo sababu wadedie, siyo wose mwakaia safi."
\v 12 Wakati Jesu akogo wa-waogesha magu gawe na akawusa ivazi jake na kukaia sena, wa-wazerie, "Je mwaelewa chija ambacho nawabonyia?
\v 13 Mwanitii nyi "Mwalimu" na Mzuri ihi mwaeleda loli, maana niko niko.
\v 14 Ikiwa nyi Mzuri na mwalimu, na waogesha magu genyu, inyo pia yawapasa kuwaogesha wambenyu magu.
\v 15 Kwa kugora nawaneka mfano ili kwamba inyo pia mbonye kama nyi andu mbonya kwenyu.
\v 16 Amini, amini, nawazera, mtumwa siyo mbaha kuliko mzuri wake, wala uja ambae wadumwa himbaha kuliko uja eko mtumwa.
\v 17 Ikiwa waichi malago aga, wabarikiwa ukaga tenda.
\v 18 Sidedaga kuhusu inyo wose, kwa kugora nawaichi waja ambawo nawasegua bali nadeda aga ili kwamba maandiko gadime kutimizwa: "Ye ajaga mkate gwapwa waniinulia gumbe yake.'
\v 19 Nawagoria iji ijiaha kabla ndajiligisire kufumiria ili kwamba jikafumiria, mdime kuamini kuwa nyi NIYE.
\v 20 "Amini, amini nawagoria aniwokeraga nyi wam-bokera ambae amduma, na uja aniwokeraga nyi wam-bokera uja anidumie nyi."
\v 21 Wakati Jesu kugadeda aga, wasumbukie ngolonyi, washuhudie na kudeda, "Amini, amini, nawagoria kwamba umweri wenyu wadima wanisaliti."
\v 22 Wanafunzi wake wakaguwana, wakishangaa ni kwa ajili yaniwa-wazerie.
\v 23 Kwarikogo katika meza, umweri wa wanafunzi wake waegama lagenyi kwa Jesu uja ambae Jesu wam-kundie.
\v 24 Simoni Petro wamkotie mwanafunzi uyu na kudeda, "Digoria ni uyao ambae kwake adaaria."
\v 25 Mwanafunzi uja waegama lagenyi kwa Jesu na akamzera, "Mzuri, nani?"
\v 26 Kisha Jesu akajibu, "Ni kwake uja nichovyaa kipande cha mkate na kumneka." Huwo kuchovya mkate, wanekiwe Yuda mwana wa Simoni Iskariote.
\v 27 Na baada ya mkate, shetani wamgirie. Kisha Jesu akamzera, "Chija ambacho wakundi uchibonye chibonye shwa shwa."
\v 28 Idana ndakudae mundu katika meza amanyie sababu ya Jesu kudedda ilago iji kwake.
\v 29 Baadhi yawe wadhanie kugora, kwa sababu Yuda wa-wadie mfuko gwa magome, Jesu wamgorie Gua vilambo divihitaji kwa ajili ya sikukuu." au kugora adapaswa kufunya kilambo kwa waki-wa.
\v 30 Baada ya Yuda kuwokera mkate, wafumie shigadi shwa shwa na yarikogo na kio.
\v 31 Wakati Yuda wakogo wainga, Jesu wadedie "Idana mwana wa Adam watogolwa, na Mlungu wa togolwa kuidia ye.
\v 32 Mlungu wadima mtogola ye mweni, na wadima mtogola shwa.
\v 33 Wana wakoho, niko andukumweri nanyi kitambo kidogo. Mwadima nilola, na andu nawagoria wayahudi, "Niko nigendaga, ndam-dimaga kucha, idana nawagoria inyo, pia.
\v 34 Nawaneka amri mpya, kwamba mkundane, kama nyi andu niwakundie inyo, huwo na inyo yamipasa kukundana inyo kwa inyo.
\v 35 Kwa ajili ya iji wandu wadima manya kwa inyo ni wanafunzi wapwa, ikiwa mkona lukundo kwa kila umweri na umwi."
\v 36 Simoni Petro wa mzera, "Mzuri, udagenda hawo?" Jesu akajibu, "Andu nigendaga kwa ijiaha ndudimaga kuninuga, ela uninuga baadae."
\v 37 Petro akamzera, "Mzuri, kwa indoi nisakunuge hata ijiaha? Nyi nigafunyaga maisha gapwa kwa ajili yako."
\v 38 Jesu akajibu, "Je, ugafunyaga maisha gako kwa ajili yapwa? Amini, amini na kugoria, ijogolo ndajikemaga kabla ndunikanie mara kadadu."
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 "Usaruhusu ngolo yako kuwa katika mahangaiko. Udamwamini Mlungu niamini pia na nyi.
\v 2 Katika nyumba ya Aba wapwa kuko makazi mengi ga kukeia, kama ndaya kaga huwo, nakogo nakugoria, kwa huja nidagenda kukuandalia andu kwa ajili yako.
\v 3 Kama nikagenda na kuwaandalia andu niko pia na inyo mkaie.
\v 4 Mwaichi chia andu nigendaga."
\v 5 Tomaso akamzera Jesu, "Mzuri, ndadiichi andu ugendaga, Je! Didamaga kuimanya wadachia?
\v 6 Jesu akamzera, "Nyi niyo chia, loli, na binana; ndakudae adimaga kucha kwa Aba isipokuwa kuidia kwapwa.
\v 7 Kama mwanimanyaga nyi, mangu mwammanye na Aba wapwa pia, kuanzia ijia na kuendelea mwa-mwiichi na mwamwona ye."
\v 8 Filipo akamzera Jesu, "Mzuri, diwonyere Aba, na huwo ikakaia yatosha."
\v 9 Jesu akamzera, "Nakogo andu kumweri na inyo kwa muda mlacha, na bado nduniichi nyi Filipo? wowose waniwona nyi wamwona Aba; Jinsi ki udadeda, 'Diwonyere Aba?
\v 10 Ndamwamini kuwa nyi niko ndenyi ya Aba, na Aba eko ndenyi yapwa? madedo nigadedaga kwenyu sidedaga kwa ikusudi japwa mweni, badala yake, ni Aba aishi ndenyi yapwa atendaga kazi yake.
\v 11 Niamini nyi, kwamba niko ndenyi ya Aba, na Aba eko ndenyi yapwa; kadhalika niamini nyi kwa sababu ya kazi rapwa hasa.
\v 12 Amini, amini, nawagoria, ye aniamini, nyi kazi rija niriwonyaga, ariwonyaga kazi iri pia; na awonyaga hata kazi mbaha kwa sababu na genda kwa Aba.
\v 13 Chochose mkalomba katika irina japwa, niwonyaga ili kwamba Aba adima kutukuzwa katika mwana.
\v 14 Kama mkalomba kilambo chochose katika irina japwa, ijo niwonaga.
\v 15 Kama mkanikunda, mriwadaga amri rapwa.
\v 16 Na nimlombaga Aba, Nae wadima waneka msaidizi umwi ili kwamba udime kuwa andukumweri nanyi kala na kala,
\v 17 Ngolo wa loli. Urumwengu ndagudimaga kumwokera ye kwa sababu ndamwonaga, au kummanya ye, hata huwo inyo, mwa-muichi ye, kwani wakaia andukumweri nanyi na akaga ndenyi yenyu.
\v 18 SImsigaa inyo wenikeri, Niwuiya kwenyu.
\v 19 Kwa muda kilambo, urumwengu ndauniwonaga sena, ela inyo mwaniwona. Kwa sababu naishi, na inyo mwadima ishi pia.
\v 20 Katika ituku ijo mmanya kwamba nyi neko ndenyi ya Aba, na kwamba inyo niko ndenyi yapwa, na kwamba nyi neko ndenyi yenyu.
\v 21 Wowose ariwadaga amri rapwa na kuritenda, nie umweri ambae wanikundi nyi, na ambae wanikundi nyi wadimakundwa ni Aba wapwa, na nimkundaga na nikiwonyeraga nyi mweni kwake."
\v 22 Yuda (Siye Iskariote) akamzera Jesu, "Mzuri, Je! Ni ndoi kwedu na siyo kwa urumwengu?
\v 23 Jesu akajibu akamzera, "kama wowose anikundi ajiwadaga idedo japwa. Aba wapwa wadima mkunda, na dichaga kwake na dibonyaga makao gedu andu kumweri nae.
\v 24 Wowose ambae ndanikundi nyi, ndawadaga madedo gapwa. Idedo ambajo mkasikira sijo japwa bali ja Aba ambae wanidumie.
\v 25 Nagadedaga malago aga kwenyu, wakati bado naishi miongonyi mwenyu.
\v 26 Hata huwo, mfariji, Ngolo mtakatifu, Aba wadima mduma kwa irina japwa, adima wafundisha malago gose na awawonyaga mkumbuke gose ambago nagadeda kwenyu.
\v 27 Amani nawaneka amani yapwa inyo. Siwanekaga ihi kama urumwengu gufunyaga. Msaiwonye ngolo renyu kuwa na mahangaiko, na wowa.
\v 28 Mwasikire wuja niwagorie, 'Nagendaga chia rapwa, na nimwiga kwenyu; kama mwanikundiege nyi, mwakaiga na kuboiwa kwa sababu nidegenda kwa Aba, kwa kugora Aba ni mbaha kuliko nyi.
\v 29 Idana nameria kuwagoria kabla ndailigisire kufumiria ili kwamba, wakati ikafumiria, mdime kuamini.
\v 30 Sidedaga na inyo madedo mengi, kwa kugora mbaha wa dunia ihi adacha. Ye akona ndigi igu yapwa,
\v 31 Ela ili kwamba urumwengu gupate kumanya kwamba namkundi Aba, nabonya ambacho Aba wanilagiza nyui, na diinge andu aha.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Nyi na mzabibu gwa ugu loli, na Aba wapwa ni mkulima wa mzabibu.
\v 2 Kila itawi ndenyi yapwa ambajo ndajivaga itunda, nawasafisha kila tawi ambajo java itunda wajiinjaga ili kwamba jidime kwa nanganyi.
\v 3 Inyo tayari mwakaia safi kwa sababu ya ujumbe ambago nameria kuwagoria.
\v 4 Mke ndenyi yapwa, na nyi ndenyi yenyu kama itawi jisadimaga kuwa jinekeri jikalemwa kaia mzabibunyi, kadhalika na inyo, mkalemwa kaia ndenyi yapwa.
\v 5 Nyi na mzabibu, inyo ni matawi. Adumuye ndenyi yapwa nanyi ndenyi yake, mundu uyu wavaa matunda mengi, kwa kugora pasipo nyi ndamdimaga kubonya ilago jojose.
\v 6 Ikiwa mundu wowose ndasali ndenyi yapwa, adagwaa, kama itawi na kuoma; Wandu wakusanyaga matawi na kuya-daga modonyi, na kuteketea.
\v 7 Ikiwa mwadima dumu ndenyi yapwa, na kama madedo gapwa gakadumu ndenyi yenyu, lombenyi jojose mjikundi, na inyo mwadima-bonya.
\v 8 Katika iji Aba wapwa watukuzwa, kwamba mdava matunda mengi na kwamba ni wanafunzi wapwa.
\v 9 Kama Aba wapwa anikundie nyi, nyi pia wanakunda inyo; dumunyi katika lukundo lwapwa.
\v 10 Ikiwa mwadima-wada amri rapwa, mwadima dumu katika lukundo lwapwa-kama andu dawada amri na Aba rapwa na kudumu katika lukundo lwake.
\v 11 Nadeda malago aga kwenyu ili kwamba kuboiwa kwapwa ikaie ndenyi yenyu na ili kwamba kuboiwa kwenyu kuwonyeke kuwa timilifu.
\v 12 Ihi niyo amri yapwa, mkundane inyo kwa inyo kama andu niwakundie inyo.
\v 13 Ndakudae mundu akona lukundo mbaha kuliko ugu, kwamba agafunye maisha gake kwa ajili ya wambuya wake.
\v 14 Inyo mwa wambuya wapwa ikiwa mgawonyaga gaja niwalagiza.
\v 15 Siwwangaga watumwa, kwa kuwa mtumwa ndaichi chija achiwonyaga mzuri wake. Nawa-wanga inyo wambuya, kwa sababu nawajulishenyi malago gose ambago nagasikira kufuma kwa Aba.
\v 16 Ndamnisague nyi nawasague inyo na kuwawika mgende vaa matunda, na itunda jenyu jipate kuykaia. Ihi iko huru ili kwamba chochose mbonyaga kwa Aba kwa irina japwa, awanekaga.
\v 17 Malago aga nawalagiza, kwamba mkundane kila mundu na mbawe.
\v 18 Kama urumwengu, gwawakundaga mmanye kwamba nyi kabla ndauwachukie inyo.
\v 19 Kama mkogo wa urumwengu, urumwengu gwawakundaga kama wa kwawe, Ela kwa sababu inyo nawasague kufuma katika urumwengu, na kwa ajili ihi urumwengu gwa chukiaga.
\v 20 Kumbukenyi idedo ambajo nawagorie, 'Mtumwa sio mbaha kuliko mzuri wake; Ikiwa wamtesie idedo japwa, wajiwadaga ja kwenyu pia.
\v 21 Wadima watendea malago aga gose kwa ajili ya irina japwa kwa sababau ndawamuichi uja waniduma.
\v 22 Kama sichege na kuwazera, ndawawonyaga zambi; ela ijiaha ndawadae udhuru kwa zambi yawe.
\v 23 Anichukiaga nyi wamchukiaga Aba pia.
\v 24 Ikiwa siwabonyie kazi miongonyi mwawo ambawo ndakudae umweri waniwona, ndawakaga na zambi; ela idana wawonya gose awiwawona na wanichukia nyi na Aba wapwa.
\v 25 Iji jafumiria ili kwamba idedo jitimie ambajo jaandikwa katika sheria yawe: Wanichukia nyi bila sababu.'
\v 26 Wakati mfariji wacha, ambae nimdumaga kwenyu kufuma kwa Aba, uyu nie Ngolo wa loli, ambae wafuma kwa Aba, wadima nishuhudia.
\v 27 Inyo pia mwanishuhudia kwa sababu mwakogo andu kumweri nanyi tangu mwanzo.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Nawagoria malago aga ili msadime kukwazwa.
\v 2 Wawafunyaga shigadi ya masinagogi; hakika saa idacha ambajo kila awabwa-gaa wadima fikiri kuwa adawonya kazi iboie kwa ajili ya Mlungu.
\v 3 Wadima watendea malago aga kwa sababu ndawamuichi Aba wala ndawaniichi nyi.
\v 4 Nawagoria malago aga ili kwamba wakati gukafika wa aga kufumiria, mwadima kugakumbwa na najisi nawadogoria mdime wo. Siwagorie kuhusu malago aga tangu mwanzo kwa sababu nakogo andukumweri na inyo.
\v 5 Japokuwa, idana nagenda kwa uja waniduma, ela ndakudae hati yenyu anikotiaga, "Udagenda hawo?"
\v 6 Kwa sababu nadeda madedo aga kwenyu, huzuni yachua ngolonyi kwenyu.
\v 7 Hata huwo, nawagoria loli: ni nicha kwenyu nikainga; kwa maana nikalemwa inga, mfariji ndachaga kwenyu, ela nikagenda ni mdumaga kwenyu.
\v 8 Akacha, uyo mfariji wadima guthibitisha urumwengu kuhusiana na zambi, kuhusiana na hachi na kuhusiana na hukumu.
\v 9 Kuhusiana na zambi, kwa sababu ndawaniaminie nyi,
\v 10 kuhusiana na hachi, kwa sababu ngenda kwa Aba, na ndamniwonaga sena;
\v 11 na kuhusiana na hukumu kwa sabababu mbaha wa urumwengu ugu wahukumiwa.
\v 12 Niko nago mengi aga kuwagoria, ela ndamgaelewaga iji aha.
\v 13 Ela, ye, Ngolo wa loli, akacha wadima walongoza katika loli yose; kwa kuwa ndadedaga kwa ajili yake mweni, ela gogose agusikiraga, agadedaga malago aga, na wadimagadhihirisha kwenyu malago ga chaga.
\v 14 Ye wadima anitukuzaga nyi, kwa sababu agawusaga malago gapwa na wadima gatangaza kwenyu.
\v 15 Vilambo vose akonavyo Aba ni vapwa; kwa huwo, nadeda kwamba Ngolo awusaga malago gapwa na wadima gadhihirisha kwenyu.
\v 16 Bado muda mvui ndamniwonaga sena na baada ya muda mvui sena, mniwonaga."
\v 17 Baadhi ya wanafunzi wake wakagoriana, "Nindoi adigoriaga, "muda mvui, na ndamniwona sena; na, kisha, muda mvui mniwonaga, na sababu nage kwa Aba?"
\v 18 Kwa huwo wakadeda, "Ni kilambo ki achidedaga, "Bado muda mvui? Ndaichi vo adedaga."
\v 19 Jesu wawonie kuwa watamanie kumkotia, nae akawazera, "Mwakikotia inyo weni kuhusu iji, andu na deda, 'Bado muda mvui, ndamdiwonaga sena, na baada ya ya muda mvui mniwonaga'?
\v 20 Amini, amini, nawagoria, mlilaga na kuomboleza, ela urumwengu gwadima shangilia, mwadima kaia na huzuni ela yenyu yadima geuka kukaia kuiboirwa.
\v 21 Muka wakaga na huzuni wakati akona uchungu kwa sababu wakati gwa kuva gwafika; ela akava mwana, ndakukumbukaga sena maumivu kwa sababu ya kuboiwa kwake kwamba mwana wavalwa dunienyi.
\v 22 Inyo pia mkona huzuni ijiaha, ela niwawonaga sena, na ngolo redu riboiwaga na ndakudae adimaga kuinja kuboiwa kwenyu.
\v 23 Ituku ijo ndamnitiaga maswali. Amini, amini, nawagoria, mkalomba jojose kwa Aba, aminekag kwa irina japwa.
\v 24 Mpaka iji aha ndamlombie jojose kwa irina japwa, lombenyi, na inyo mwokeraga ili kwamba kuboiwa kwenyu kukamilika.
\v 25 Naaria na inyo kwa luga isaelekaga, ela saa idacha ambapo sidedaga kwa luga isaelewekaga ela badala yake niwagoria wazi wazi kuhusu Aba.
\v 26 Ituku ijo mlombaga kwa irina japwa, na siwagoriga kwamba mlombaga kwa Aba kwa ajili yenyu;
\v 27 Kwa kugora Aba mweni wawakundi kwa sababu mwaniamini kuwa nafuma kwa Aba.
\v 28 Nafumie kwa Aba na nacha urumwengunyi na nagenda kwa Aba."
\v 29 Wanafunzi wake wakamzera, "wawona, ijiaha udadeda wazi wazi na ndumiaga mafumbo.
\v 30 Idana, daichi kwamba waichi malago gose, na nduhitaji mundu wowose akukotie maswali kwa sababu ihi daamini kuwa wafuma kwa Mlungu.
\v 31 Jesu akawajibu, "idana mwaamini?"
\v 32 Ngowa, saa idacha, na hakika yafika, ambapo mtawanyikaga kila umweri na kwa wa kwawe mnisigaa mweni. Ela siko nyi mweni kwa sababu Aba weko nanyi.
\v 33 Nawagoria malago aga ili kwamba ndenyi yapwa mkaie na amani. Dunienyi kuko na matatizo, ela kinekenyi ngolo, nagushinda urumwengu.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Jesu wagadedie malago aga; kisha akainua meso gake kuelekea mbingunyi na akadeda, "Aba, saa yawadia, mtukuze mwanako ili na mwana nae akutukuze we -
\v 2 Kama wuja andu umpate mamlaka igu ya vose vikona muwi ili awaneke binana ya kala na kala wajiwose wampatie.
\v 3 Ugu nio binnana ya kala na kala: kwamba wakumanye we, Mlungu wa loli na wa pekee, na ye umdumie, Jesu Kristo.
\v 4 Nakutukuza aha dunienyi, na kuikamilisha kazi uninekie niwabonye.
\v 5 Idana, Aba, unitukuze nyi andukumweri na we mweni kwa utukufu guja nirikogo nago andukumweri na we kabla ya urumwengu kuumbwa.
\v 6 Najifunue irina jako kwa wandu uninekie aha dunienyi. Warikogo wandu wake; ela wanikabidhie nyi. nawo wajiwadie idedo jako.
\v 7 Iji aha wamanya kwa kila kilambo wanineka nyi chafuma kwako,
\v 8 Kwa madedo gaja unipatie nyi-- nameria kuwaneka wo, madedo ago. Wagawokerie na loli wakamanya ya kugora nyi nafuma kwako, na wakaamini kuwa we nie waniduma.
\v 9 Nawalombia wo. Sigulombiaga urumwengu bali waja wanineka kwa kugora wo ni wako.
\v 10 Vilambo vose ambavo ni vapwa ni vako, na vija ukonavo we ni vapwa; nanyi natukuzwa katika ivo.
\v 11 Nyi siko sena urumwengunyi, bali wo weko urumwengunyi, nanyi ijiaha nacha kwako. Aba mtakatifu, watunze kwa irina jako jija wanineka isi ili wo nawo wake na umoja, kama wuja nyi na we diko na umoja.
\v 12 Nirikogo nawo, nawalindirie kwa irina uninekie, nawalindirie, na ndakudae hata umweri wawe walagaya isipokuwa mwana wa upotevu, ili kwamba maandiko gatimie.
\v 13 Idana nidacha kwako, ela nidadedaga urumwengunyi ili kwamba kuboiwa kwapwa kukamilishwe ndenyi yawo weni.
\v 14 Na waneke idedo jako; urumwengu gwawachukia kwa sababu wo siyo wa urumwengu, kama wuja nyi niseko wa urumwengu.
\v 15 Siwalombiaga kwamba uwafunye urumwengunyi bali uwalindie na uja mwovu.
\v 16 Wo siwo wadunia kama wuja nyi niseko wa urumwengu.
\v 17 Uwawike wakfu kwako mweni katika loli, idedo jako niyo loli.
\v 18 Wanidumie urumwengunyi, nanyi nawaduma urumwengunyi.
\v 19 Kwa ajili yawo nyi mweni wakifunya kwako ili kwamba na wo wakifunye kwako kwa ija loli.
\v 20 Siyo awa tu niwalombia, bali na waja waamini kuidia idedo jawo.
\v 21 ili kwamba wo nawo wawe na umoja, kama wuja we Aba, andu uko ndenyi yapwa nanyi ndenyi yako. Nawalombia ili kwamba wo pia wadime kuwa ndenyi yedu ili ili urumwengu gudime kuamini kuwa we nie waniduma.
\v 22 Utukufu guja wanineka nyi nawaneka wo, ili kwamba wadime kuwa na umoja, kama wuja isi diko na umoja -
\v 23 Nyi ndenyi yawe, nawe ndenyi yedu, ili wadime kukamilishwa katika umoja; ili urumwengu gumanye kuwa hakika we nie waniduma, na kuwa kunda, kama wuja we andu wanikunda, nyi.
\v 24 Aba, chija wanineka nyi- Natamani kwamba wo pia wadima kuwa andukumweri nanyi andu niko ili wadime kuwona utukufu wapwa, guja wanineka: Kwa kugora we wanikundie nyi kabla ya kuumbwa kwa msingi ya urumwengu.
\v 25 Aba ekona hachi, urumwengu ndaguguichi we, ela nyi nakuichi we, na waichi kwamba wanidumie.
\v 26 Najiwonyie irina jako jimanyikane kwawo na nijibonya jimanyikane ili kwamba jija ikundo ambajo kwa ijo wanikundie nyi jidime kuwa ndenyi yawo, na nyi nidime kuwa ndenyi yawo."
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Baada ya Jesu kudeda madedo aga, waingie na wanafunzi wake kuielekea ivwasi ja kidron, ambako kwarikogo na bustani, ambako ye na wanafunzi wake wakangia ndenyi yake.
\v 2 Idana uja Yuda, akundie kumsaliti, nae wajimanyie ineno ijo, kwani Jesu wakogo akigenda iji ieneo mara kadhaa akika na wanafunzi wake.
\v 3 Nae Yuda, baada ya kuwa wapata ikundi ja maskari na maafisa kufuma kwa wabaha wa makuhani, wakacha wakiwa na taa, kurunzi na silaha.
\v 4 Nae Jesu, hali akimanya kila kilambo chikogo chikiwonyeka dhidi yake, wakifunyirie imbiri akawakotia, "Nani amlombaga?"
\v 5 Nawo wakamjibu, "Jesu wanazareti." Jesu akamzera, "Nyi nie" Nae Yuda amsalitie, warikogo wasimama andukumweri na waja askari.
\v 6 Kwa huwo kuwagoria, "Nyi nie" wawurie kinyume na kugwa ndonyi.
\v 7 Halafu akawakotia sena, "Nnai mumlombaga? Nawo wakamjibu sena "Jesu mnazareti."
\v 8 Jesu akawajibu, "Nameria kuwagoria kuwa Nyi nie, kwa huwo kama ndanilola nyi, wasigenyi awa wami wagende."
\v 9 Aga garikogo huwo ili jija ededo jitimilike; aja akideda, "katika waja wanineka, simlagashie hata umweri."
\v 10 Niko simoni Petro, akogo na upanga, akafuata na kumdema kudu kwa kujo mtumishi wa kuhani mbaha. Na irina jake mtumishi uja jarikogo malko.
\v 11 Jesu akamzera Petro, "Wuja upanga gwako alenyi kwake. Kwa indoi nisakinywee kikombe chija wanineka Aba?"
\v 12 Basi jija ikundi ja askari na jemedari, na watumishi wa wayahudi, wamwadie Jesu na kumfunga.
\v 13 Nawo wakamlongoza kwanza mpaka kwa Anasi, kwani ye wakogo mwa-mwana wa kayafa, ambae nie akogo kuhani mbaha wa mwaka ugo.
\v 14 Idana kayafa nie akogo wanineka ushauri Wayahudi yampasie mundu umweri afwe kwa ajili ya wandu.
\v 15 Simoni Petro wamnugie Jesu, na huwo huwo mwanafunzi umwi. Na uja mwanafunzi wakogo akimanyikana kwa kuhani mbaha, nae akangia andu kumweri na Jesu katika ibehewa ja kuhani mbaha;
\v 16 Ela Petro wakogo wasimama shigadi ya mjango. Basi uja mwanafunzi akogo akimanyika kwa kuhani mbaha wafumie shigadi. akagenda kuaria na uja muka mtumishi akogo akilindia mjango na kumngira Petro ndenyi.
\v 17 Basi uja kijakazi akogo akilindia mjango, wamzerie Petro, "Je we siyo umweri wa waja wafuasi wa uyu mundu?" Nae akadeda, nyi sie."
\v 18 Na waja watumishi na wabaha wakogo wakisimama andu aja, wakora modo kwa maana, wadogo na mbewo, na huwo wakogo wakioda modo ili kupata kiruke. Nae Petro wakogo nawo, akioda modo akika wasimama.
\v 19 Kuhani mbahawamjibie Jesu igu ya wanafunzi wake na mafundisho gake.
\v 20 Jesu akamjibu, "Nagugoria wazi wazi urumwengu, Nyi nafundishie mara kwa mara masinagoginyi na ihekalu andu ambapo Wayahudi wakusanyikaga. Nanyi sidedie jojose katika siri.
\v 21 Kwa indoi wanikotie? wakotienyi wanisikira igu ya chija nachideda. Awa wandu waichi malago gaja nigadedaga.
\v 22 Jesu kumeria kudeda huwo, umweri wa wabaha akogo wasimama akamkaba Jesu kwa mkonu gwake na kisha akadeda "Je, huwo niko ikupasaga kumjibu kuhani mbaha?"
\v 23 Nae Jesu akamjibu, "Kama nadeda ilago jojose jizamiebasi uke shahidi kwa indoi wanikaba?
\v 24 Niko Anasi kumgenja Jesu kwa kuyafa kuhani mbaha akikaia wafungwa.
\v 25 Idana simoni Petro wakogo wasimama akijipashaa josto mweni. Halafu waja wandu wakamzera, "Je, we pia si umweri wa wanafunzi wake?" Akakana akideda "Nyi sie."
\v 26 Umweri wa watumishi wa kuhani mbaha, ambae wakogo m-mbari wa uja mdumwa womi ambae Petro wamdemie kudu wadedie, "Je si we nkuwonie nae kuja bustaninyi?"
\v 27 Petro akakana sena, na mara ijogolo jikakama.
\v 28 Kisha wakamwusa Jesu kufuma kwa keyefa mpaka praitorio. Yakogo asubuhi na mapema. Wo weni ndawagirie ija praitorio ili wasache wakanajisika na kuija pasaka.
\v 29 Kwa huwo Pilato akawagendia. Ni ishitaka ki jimuhusu uyu mundu?"
\v 30 Wakamjibu na kumzera, "Kama uyu mundu ndakogo mtenda maovu, ndadamredaga kwako."
\v 31 Pilato akawazera, "mwusenyi inyo weni, mgende mhukumu kulingana na sheria yenyu." Nawo wayahudi wakamzera, "Sheria ndaidiruhusu isi kumwa-ga mundu wowose."
\v 32 Wadedie aga ili idedo ja Jesu jitimilike, idedo ambajo wakogo wameria kudeda igu ya aina ya kifwa chake.
\v 33 Basi Pilato akangia sena Praitorio amwanga Jesu, akamzera, "Je, we wamzuri wa wayahudi?"
\v 34 Jesu akamjibu, "Je, we wanikotia iswali iji kwa sababu wakundi kumanya au kwa sababu wamwi wakudima ili unikotie nyi?"
\v 35 Nae Pilato akamjibu, "Nyi si myahudi, au sivyo?" Isanga jako na kuhani mbaha niwo wakureda kwapwa; we wabonya indoi?
\v 36 Jesu akamjibu, "Uzuri gwapwa siyo gwa urumwengu ugu, kama uzuri gwapwa gwakogo na sehemu katika urumwengu ugu watumwa wapwa wanikabaniaga ili nisafunyigwe kwa wayahudi kwa loli uzuri gwapwa ndafumie aha" Basi
\v 37 Pilato akamzera, "Je, we basi wa-mzuri?" Jesu akajibu, "we niko udedaga kuwa nyi na mzuri, kwa sababu ihi nyi nyi navalwe na nikaie shahidi wa ija loli. Wowose wa iyo loli wasikiriaga sauti yapwa.
\v 38 Pilato akamzera, "Loli ni ndoi?" Nae kunena kudedaga aga akagenda kwa wayahudi na kumzera siwonaga ki jojose mundu uyu.
\v 39 Inyo mkona utamaduni gunibonyaga nimfungulie mfungwa umweri wakati wa Pasaka. Je, mwakunda nimfungulie mzuri wa wayahudi."
\v 40 Kisha wakabei jogo wakideda, siyo uyu, difungulie Baraba." Nae Baraba wakogo mnyang'anyi.
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Basi Pilato wamchuwa Jesu na kumchapa.
\v 2 Wale maaskari wsokotie miiba na kutengeneza taji. Wawika juu ya kichwa cha Jesu na kumvada ivazi la rangi ja zambarau.
\v 3 Wamjia na kudeda, "We mfalme wa wayahudi! na kisha kumbonya kwa mikono yao.
\v 4 Kisha Pilato watoka nje na kuwagoria wandu, "Lolenyi nawaleteenyi huyu mundu kwenyu ili mmanye kwamba nyi sikulola hatia jojose ndani jake."
\v 5 Kwa huwo Jesu akafuma nje; alikuwa amevaa itaji ya miiba na ivazi ja zambarau. Niko Pilato akawagoria, "Lolenyi mundu huyu apa!"
\v 6 kwa huvo makati kuhani mbaha wa wambaha wamwonie Jesu, wakakaba jogo wakideda, "Msulubishe." Pilato akawagoria, "Mwusenyi nyi wenyewe mkamsulubishe, kwa kuwa nyi siona hatia ndani yake."
\v 7 Wayahudi wakamjibu Pilato, "Nyi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo inampasa kufwa kwa sababu wo wajifanyie kuwa mvalwa wa Mlungu."
\v 8 Pilato wasikie madedo gaja alizidi kuogopa,
\v 9 akainga Praitorio tena na kuwagoria Jesu, "Nyi watokie unwapi? Hata huvo, Jesu hakudedaga.
\v 10 Kisha Pilato akawagoria, "Je, wewe hudedaga na nyi? Je, wo hujui kuwa nyi nina mamlaka ja kukufungua na mamlaka ja kukusulubisha?"
\v 11 Jesu akamjibu, "Usingekuwa na ndigi zidi yangu kama usingepewa toka juu. Kwa huwo, mundu aliyenitoa juu. Kwa huwo, mtu aliye nitoa kwako ana zambi mbaha."
\v 12 Kutokana na jibu hili, Pilato akataka kumwacha huwu, ela wayahudi wakakaba jogo wakideda, "Kama wamwachie huwu basi nyi si amwedu wa Kaisari."
\v 13 Pilato wasigiaga madedo aga, akamleta Jesu nje kisha akakaa kwenye kifumbi cha hukumu mahali pale wamanyikana kama sakafu, ela kwa Kiebrania, Gabatha.
\v 14 Siku ya maandalizi ya Pasaka ilipo fika, panapo taimu wa saa sita. Pilato akawagoria wayahudi, "Lolenyi mfalme wenu uyu hapa!"
\v 15 Wakakaba jogo, "Muinje, muinje, msulubishe!" Pilato akawagoria, "Je, nimsulubishe mfalme wenyu?" Naye kuhani mkuu akajibu, "nyi hatuna mfalme isipokuwa kaisari."
\v 16 Niko Pilato wamwuse Jesu kwao ili asulubiwe.
\v 17 Nawo wamwusie Jesu, nae akatoka, hali ameubeba msalaba wake mweni mpaka kwenye ieneo liitwalo fuvu la chongo, kwa kihebrania huitwa Golgotha.
\v 18 Niko walipo msulubisha Jesu, pamoja naye wandumumi wawi, imwi upande ugu na mwingine upande ugu, na Jesu katika yao.
\v 19 Kisha Pilato waandikia alama na kuiweka ugu ya msalaba. Hapo paandikiwe: JESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI.
\v 20 Wengi wa wayahudi wasomie alama iyo kwani mahali pale alisulubishigwa Jesu palikuwa karibu na mji. Alama inyo waandikiwe kwa kiebrania, kwa kirumi na kwa kiyunani.
\v 21 Kisha wambaha wa makuhani wa wayahudi wakamwambia Pilato, "Usaandike, 'Mfalme wa wayahudi; bali ye alisema nyi ni mfalme wa wayahudi."
\v 22 Naye Pilato akawajibu, "Niliyoandika niandikie."
\v 23 Baada ya askari kumsulubisha Jesu, wamwusiye ivazi jake na kugawaga katika mafungu manne, kila askari fungu imwi, huvo huvo na kanzo, idana ile kazu haikuwa imeshonwa bali ilikuwa imefumwa yote tokea juu.
\v 24 Kisha wakadedanya wo kwa wo, "Tuirashue, bali tukabe ikura ili kuona itakuwa ya ani."Ihi lilitokea ili lile iandiko jitimizwe, lile isemajo waligawanya nguo jangu, na ivazi jangu wakalikaba ikura."
\v 25 Askari wafanyie mambo aga. Mawe gake Jesu, dada wa mawe gake, mariamu mke wa kleopa na mariamu Magdalena - wandu waka hawa walikuwa wachasimama karibu na msalaba wa Jesu.
\v 26 Jesu wamwonie mawe yake pamoja na yule mwanafunzi aliyenipenda wachasimama karibu, akawagoria mawe yake, "Mwanake, lolenyi, ona mwano ugu hapa!"
\v 27 Kisha akawaambia yule mwanafunzi. "Lolenyi, ugu hapa mawe yako. "Tokea saa ijo yule mwanafunzi akamwusiye kwenda nyumbani kwawe.
\v 28 Baada ya hilo, Hali Jesu akijua kuwa yote yadua kudua ili kutimiza imaandiko, akadeda, "Nawona kau."
\v 29 Chombo chakogo chachua siki kilikuwa kiwekiwe pale, kwa huvo wawekie sifongo iliyojaa siki juu ya ufito wa hisopo, wakamwekea momunyi mwake.
\v 30 Naye Jesu alipoionja ijo, akadeda, "Yadua." kisha akagogomesha chongo chake, akaikabidhi ngolo lake.
\v 31 Kwa vile ilikuwa ni wakati wa maandalio, na kwa sababu miili haikutakiwa iwe juu wakati wa sabato (kwa kuwa sabato ilikuwa siku yakogo), wayahudi walimwomba pilato kuwa magu yao wale waliokuwa wasulubishiwe ichukanywe, na kwamba miili yao iseriwe.
\v 32 Niko askari walipokuja na kuchukanya magu ya mundu wa kwanza na wapili aliyekuwa amesulubiwa pamoja na Jesu.
\v 33 wafikie Jesu, wamkutie tayari alikuwa wafwa, kwa huvo waichukanywe magu gake.
\v 34 Hata huvo, umweri wa askari wamkoriwa Jesu ruvarunyi kwa mkuki, na mara yakafuma mai na baga.
\v 35 Naye amwonie ili ametoa ushuhuda, na ushuhuda wake ni loli, Ye wachua kuwa wanenaga ni cha loli ili pia muamini.
\v 36 Mambo haya yalikuwa ili lija ineno lanenwaga lipate kutimia, "Hakuna hata umweri utakaovunjwa."
\v 37 Tena andiko lingine hudeda, "Wadamlola ye wakoriwa"
\v 38 Baada ya mambo haya Yusufu wa Arimathaya, kwa vile alikuwa mwanafunzi wa Jesu, ela kwa siri kwa kuwaogopa wayahudi, wamwomba pilato kwamba achukue mwili wa Jesu. Na ye pilato akampa ruhusa. kwahiyo Yusufu akaja kuondoa mwili wa Jesu.
\v 39 Na ye Nikodemo ambaye alileta mranganyiko wa mane mane na udi, yapata uzito wa ratili mia imwi.
\v 40 Kwa huvo wachukua mwili wa Jesu wakaufanga kwenye shanda ya ya kitani na pamoja na yale manukato, kama ilivyokuwa desturi ya wayahudi wakati wa kuzika.
\v 41 Mahali ambapo Jesu wasulubiwe kulikuwa na bustanyi; ndani ya ilja bustanyi kulikuwa na ikaburi ipya ambalo hakuna mundu alikuwa amawahi kuzikwa humo.
\v 42 Basi, kwa kuwa ilikuwa siku ya maandalia kwa wayahudi, na kwa vile lile kaburi lilikuwa karibu, basi wamzungurushie Jesu ndenyi yake.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Mapema siku ya wosi ya juma, waduaga bado chira, mariamu magdalena alikuja kaburini; akalola lile igwe jangiwa kaburini.
\v 2 Kwa hiyo wakimbia mbio kwenda kwa simoni petro na kwa yuja mwanafunzi mwingine ambae Jesu wambonyie, kisha akawaambia, "wamwusa Mzuri kaburini, nasi hatujui kuja wamzungulushie."
\v 3 Kisha petro na yuja mwanafunzi mwingine wakafuma kuelekea kaburini.
\v 4 Wose wakabiwe kwa pamoja; yule mwanafunzi mwingine wakimbirie kwa nanganyi ya petro na kufika kaburini wa wosi.
\v 5 Akasimama na kisha kuguwa kaburini; akaiona ile shsnda.
\v 6 Kisha simoni petro na ye akafika akainga ndenyi ya kaburi. Akaiona ile shanda ya kitana yatungura pale
\v 7 na ija leso iliyokuwa chongonyi pake dimayatungura mbarimwenikeri.
\v 8 Niko yule mwanafunzi mwingine na ye wadimainga ndenyi ya ikaburi; wakawonia na kuamini.
\v 9 Kwa kuwa hadi awakati huo walikuwa bado ndawagamanyie mandiko kwamba yamlazimie Jesu wadimafufuka katika wafu.
\v 10 Kisha wanafunzi wadimaenda tena nyumbemyi kwa wo.
\v 11 Hata huvo, mariamu alikuwa amesimama kaburini akilia, alivyokuwa waendelee kulia alisimama kisha akaguwa kaburini.
\v 12 Akona malaika wawi wenye sura ya chiru wakaie umweri chongoni na mwingine maguunyi andu ambapo Jesu alikuwa wadimatungura.
\v 13 Nawo akawagoria, "Muka, kwanini wadima lila?" Naye akawagoria, "Ni kwa sababu wamwusie Mzuri wangu, njami simanyie anduwamwike."
\v 14 Aguriwa deda hayo, wadimageuka na kumwonie Jesu amesimama. Ela gamanyie kama likuwa Jesu.
\v 15 Naye Jesu akamgoria, "Mawe, kwa nini ulilaga? umlola anyi?" na ye huku akizani kuwa mtunza ibustani akamgoria, "Mzuri, kama nyi wamwusa, nivorie ukowamvika, na nyi wadimamwusa."
\v 16 Jesu akamgoria, "Mariamu." Naye akageuka mweni na kumgoria kwa kiaramu, "Raboni; yaani ihi ni kudeda, "Mwalimu."
\v 17 Jesu akawagoria, "Usaniguse, kwani bado sirapaa wadimakwenda kwa Aba; bali ugende kwa ndugu zangu ukadimawagorie kuwa nadimapaa kwenda kwa Aba wapwa ambae pia ni Aba wapwa, Mlungu wangu na Mlungu wapwa."
\v 18 Mariamu magdalena akaja kuwagoria wanafunzi, "Nimwonie Mzuri," na kwamba amewaambia mambo gaja.
\v 19 Na irikogo jioni, siku ya imwi ya juma, na mijango ikiwa jarugu mahali wanafunzi wakogorio kwa kuwahofia wayahudi, Jesu wadimakuja na kusimama katikati yao na kuwagoria, "Amani igwe kwenyu."
\v 20 Alipokwisha deda gaja akawaonyera mikonu gake na ruvaru rake. Nawo wanafunzi wamwonie Mzuri wavuriwe.
\v 21 Kisha Jesu akawagoria tena, "Amani iwe na inyo. kama vile Aba waniduma nyi, nikougo na mi nawadumie nyi."
\v 22 Jesu wadimakwisha deda ago, akawavuvia akawagoria, pokeenyi Ngolo Mtakatifu.
\v 23 Jojose wadima samehewa; na waja wadimagawafungie wadima fungwa."
\v 24 Tomaso, umweri wa waja kumi na iwi, aliye itwa Dismas, hakuwa na wanafunzi wenzake Jesu wadimakuja."
\v 25 Waja wanafunzi wengine wamgoria baadaye, "Wadima mwona Mzuri." Na ye akawagoria, "kama siwonie alama za misumari katika mikonu jake, na kuwika vidole vangu kwenye hizo alama, napia kuwika mkonu wangu kwenye ruvaru wake sidima amini."
\v 26 Baada ya siku nane wanafunzi walikuwa chumbenyi tena, na ye Tomaso alikuwa pamoja nawo. Wakati mijango ilipokuwa yafungiwe Jesu alisimama katikati ya wo. na akadeda, "Amini na igwe nanyi."
\v 27 Kisha akawagoria Tomaso, leta kidole chako na uone mikonu yapwa; Leta hapa mikonu yapwa na uwike kwenye ruvaru wapwa; wala usiwe asiyeamini bali aamini."
\v 28 Naye Tomaso akajibu na kumgoria, "Mzuri wangu na Mlungu wangu.
\v 29 Jesu akamgoria, kwa kuwa waniwona, waamini. Wabarikiwa wo waamini pasipo kuwona."
\v 30 Kisha Jesu wafanya ishara nyingi mbele ya wanafunzi, ambajo hazijawahi andikiwe katika kitabu iki,
\v 31 bali hizi yaandikwa ili kwamba muweze kuamini kwamba Jesu ndiye Kristo, mvalwa wa Mlungu, na kwamba dimaamini muwe na binana katika jina jake.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Baada ya mambo haya Jesu alijidhihilisha sena kwa wanafunzi katika Bahari ya Tiberia; hivi ndivo alivyojizihirisha mweni:
\v 2 Simon petro arikogo pamoja na Tomaso aitwae Dismas, Nathanaeli wa kana ya Galilaya, wavalwa wa Zebedayo na wanafunzi wengine wawi wa Jesu.
\v 3 Simon Petro akawagoria, "Nyi nadimaenda kuvua samaki." Na wo wakamgoria, "Sisi, pia dadimagenda nawe." Wadimagenda wakainga kwenye mashua, ela usiku huo wote wadima pata chochose.
\v 4 Na asubuhi kwadima kucha, Jesu alisimama ufukweni, na wo wanafunzi hawakutambua kuwa alikuwa Jesu.
\v 5 Kisha Jesu akawagoria, "Wadawana, mna chochose cha kuja?" nawo wakamjibu, "Hapana."
\v 6 Akawagoria, "Sherenyi nyavu upande wa kujo wa mashua, nanyi mtapata kiasi." Kwa huvo wadima sherenyi wavu nawo ndawadimie kujivuda sena kwa sababu ya wingi wa cha samaki.
\v 7 Basi yuja mwanafunzi ambae Jesu alimpenda akamwambia petro, "Ni Mzuri." Naye simon Petro aliposikia kuwa ni Mzuri, wakogo ivazi jake (ndakogondarikuwa recha), kisha akajidaga baharinyi.
\v 8 Wale wanafunzi wengine wakacha kwenye mashua (kwani ndawakogo avui na pwani), nao warikogo wakiruda zija nyavu zilizokuwa rachuwa samaki.
\v 9 Walipofika ufukweni, wawonie modo wa mkaa pale na juu jake kulikuwa na samaki na mkate.
\v 10 Jesu akawagoria, "Leteni baadhi ya samaki mwavuaijiaha."
\v 11 Basi Simoni Petro akajoka na wakakokota uja wavu ndadimachua samaki wabaha, kiasi cha samaki 153; japo wakogowengi, uja wavu ndaurashukie.
\v 12 Jesu akawagoria, "Choonyi mpate kufungua momu." Hakuna hata umweri wa wanafunzi aliethubutu wadima uliza, "Wewe ni ani?" Walijuwa kuwaalikuwa ni Mzuri.
\v 13 Jesu akacha, akachukua uja mkate, kisha akawapa, ndadimafanya nikohugo na kwa waja samaki.
\v 14 Ihi ilikuwa mara ya kadadu kwa Jesu kujidhihirisha kwa wanafunzi wake baada ya kufufuka toka wafu.
\v 15 Baada ya kuwa ndadimafungua momu, Jesu akamgoria Simoni petro, "Simon mvalwa wa Yohana je, wanikunda imi kuliko awa?" Petro akajibu, "Ndio, Mzuri, "Wewe wachua kuwa nakukunda. "Jesu akamgoria, "Lisha wana ng'ondi wapwa."
\v 16 Akamgoria mara ya iwi, "Simon mvalwa wa Yohana, je, wanikunda?" Petro akamgoria, "Ndiyo, Mzuri; wewe wachua kuwa nakukunda. "Jesu akamgoria, "Chunga ng'ondi wapwa."
\v 17 Akamagoria tena mara ya kadadu, "Simon, mvalwa wa Yohana, Je wanikunda?" Naye Petro wahuzunikie kwa vile anduamgorie mara ya kadadu, "Mzuri waichi gose; unamanya kuwa nakukunda." Jesu akamgoria, Lisha ng'ondi wapwa.
\v 18 Amini, amini, nakuambia, ndadima wadawana wavarie kuvanguwo mweni na kugenda kokose ukukundi; Ela nikakaia mgosi, wadimanyosha mikonu yapwa, na mwingine wadimakuvisha nguwo na kukugenda kokose wadimagenda kwenda.
\v 19 Jesu akadeda aya ili ndadimaonyesha ni aina ki ya kifwa ambacho Petro angemtukuza Mlungu. Baada ya kuwa wadedie haja, akamgoria Petro, "Ninuge."
\v 20 Petro wageukie na kumwona yuja mwanafunzi ambae Jesu alimpenda akawanuga- yuja ndie anakiegemeza lageni kwa Jesu wakati wa vindo va kweni na kumkotia, "Mzuri, ni ani adimagakukusaliti?"
\v 21 Petro wamwonie na kisha akamkotia Jesu, "Mzuri, Huyu mundu wadimabonya nini?"
\v 22 Jesu akamjibu, "Kama nagenda abaki mpaka ukacha, ilo idakuhusu nini?" Nifuate."
\v 23 kwa huvo habari ihi iwonekanaga miongonyi mwa waja ndugu, kwawanafunzi huyo hakufwa. Ela Jesu ndamgorie petro kuwa, mwanafunzi hugo ndafwaga, "Kama nataka ye abaki mpaka ntakapokuja idakuhusu?"
\v 24 Huyu ndie mwanafunzi dimatoa ushuhuda gwa mabo aja, na ndiye alieandika mambo aja, wamanyie yakuwa ushuhuda wake ni loli.
\v 25 Kuna mambo mengine gamusi ambajo Jesu alifanya. kama kila umweri jaandikwaga, nadhani kwamba urumwengu wenywe ndwatoshaga kuviwika vitabu ambavo raandikwaga.

1900
45-ACT.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,1900 @@
\id ACT
\ide UTF-8
\h Matendo ya Mitume
\toc1 Matendo ya Mitume
\toc2 Matendo ya Mitume
\toc3 act
\mt Matendo ya Mitume
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Kitabu cha kala nachiandikie, Theofilo, nikideda gose Jesu wawokie kubonya na kufundisha,
\v 2 Mpaka ituku ambajo ye wawpkoeriwe igu. Ihi yerikogo baada ya kufunya amri kuidia Ngolo mtakatifu kwa walodi akogo waisagua.
\v 3 Baada ya mateso gake ye wawonekane kwawo akika banana pia na vithibitisho vingi vikishuhudia. Kwa matuku arobaini wakidhihirishie kwawo, na waarie kuhusu wuzurigwa Mlungu.
\v 4 Arikogo akikwana andu kumweri nawo, wawaamrie wasainge Yerusalemu, ela wawesera kwa ajili ya ahadi ya Aba, ambayo, wadedie, "Mwasikie kufuma kwapwa.
\v 5 Kwamba Yohana wabatizie kwa machi, ela mwadima batizwa kwa Ngolo Mtakatifu katika matuku aga matineri."
\v 6 Na wakati wakutanika andu kumweri wakamkotia, "Mzuri, hiri ugu niyo uwawujiaga israeli wuzuni?"
\v 7 Ye akawagoria, "siyo sawa kwenyu kumanya wakati au majira ambago Aba wakusudia kwa mamlaka gake mweni."
\v 8 Ela mwokeraga ndigi, wakati Ngolo Mtakatifu achga igu yenyu, na inyo mkaia mashahidi wapwa kose katika Yerusalemu na Uyahudi yose na samaria mpaka mwisho gwa isanga."
\v 9 Mzuri Jesu kumeria kugadeda aga, wakika waguwa igu, ye wainuliwe igu ni idulu jikafunika wasamwone kwa meso gawe.
\v 10 Wakati waguwa mbingunyi kwa makini akigenda, gafla, wandu wawi wasimamie gadi gadi yawe warwa nguwo ra chokwa.
\v 11 Wadedie, "Enyi wandu wa Galilaya, kwa indoi mwasimama aha mkiguwa mbingunyi?" Uyu Jesu wapaa igu mbingunyi wadima wawia kwa namna ija kama andu mwamwona akigenda mbingunyi.
\v 12 Niko wakawuya Yerusalemu. Kufuma lugongonyi lwa mizeituni, ambalo luko, avui na Yerusalemu, mwendo gwa ituku ja sabato.
\v 13 Kufika wakaenda ghorofanyi warikogo wakikaia. Nawo ni Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Thomaso, Batholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
\v 14 Wose waungane kama mundu umweri, kwa juhudi warikogo wakiendelea katika malombi. Andu kumweri na awo warikogo waka, mariamu maye wa Jesu, na wakakakiye.
\v 15 Katika matuku gaja Petro wasimamie gadi gadi ya mbari, kama wandu 120, akadeda,
\v 16 Mbari, Yarikogo ni lazima kwamba maandiko gatimizwe, ambapo kala Ngolo mtakatifu wadedie kwa momu gwa Daudi kuhusiana na Yuda ambaye wawaelekezie waja wambwada Jesu.
\v 17 Kwa kugora ye warikogo umweri wedu na wawekerie ifungu jake ja faida katika ihi huduma."
\v 18 (Idana mundu uyu waguwe ieneo kwa chija achiwokerie kwa uwiwi gwake na aho wagfue akikirisha chongo, muwi gukabarika na vifu vake vose gakakaia mwari gakadika.
\v 19 Wose waishie Yerusalemu wasikire kuhusu iji, huwo ieneo ijo wakajibwaga kwa luga yawe "Akeidama" ijo ni "mbuwa ya baga.")
\v 20 Kitabunyi cha zaburi yaandikwa, "wesera ieneo jake jike igacho na isaruhusiwe hata umweri kuishi aja, na 'Ruhusu mundu umwi awuse nafasi yake ya wulongozi.'
\v 21 Iyo ni muhimu, kwa huwo, umweri wa womi ambawo waambatane naisi wakati Mzuri Jesu akifumana kungia katika yedu,
\v 22 Kuwoka ubatizonyi gwa Yohana mpaka ituku jija awusiwe igu, lazima ake shahidi wa ufufuo andu kumweri na isi.
\v 23 "Wawikwa imbiri womi wawi, Yusufu awamgwawa na Mathia.
\v 24 Wo walombie wakideda, "We Mzuri, umanye ngolo na wandu wose, huwo wika mwari ni uyao kati ya wawi awa ambaye wamsagua
\v 25 Kuwusa nafasi katika huduma na ulodi, ambapo Yuda wabonyie uwiwi na kugenda andu kwake."
\v 26 Wakakaba kura kwa ajili ya we, na kura ikamguwa Mathia ambaye wataliwe andu kumweri na waja walodi ikumi na umweri.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kufika ituku ja Pentekoste, wose warikogo andu kumweri sehemu imweri.
\v 2 Gafla ikafumiria muungurumo kufuma mbingunyi kama upepo guboie. Ukaguchura nyumba yose wakogo wakaia.
\v 3 Aho rika wafumiria chumi, kama chumi ra modo ragawanyika, rikakaia igu yawe kila umweri wawo.
\v 4 Wose wakachurwa ni Ngolo mtakatifu na waanza kudeda kwa luga rimwi, kama uja Ngolo kandu wajalia kudeda.
\v 5 Idana warikogo wayahudi warikogo wadaishi Yerusalemu, wacha Mlungu, kufuma kila isanga ndonyi ya mbingu.
\v 6 Ngurumo iri kusikiriwa, ikundi ja wandu jikacha andu kumweri na wakika na wasi wasi kwa sababu kila mundu wasikire wakideda kwa luga yake mweni.
\v 7 Waduae na kushangazwa, wo wadedie, "Loli, awa wose wadadeda siwo wagalinganya?
\v 8 Kwa indoi isi dawasikira, kila umweri katika luga davalwa naro?
\v 9 Waparthia na wamedi na waelamu, na awo waishi mesopotamia, uyahudi, na kapadokia, na katika ponto na Asia,
\v 10 Katioka frigia, pamfilia, katika misri, na sehemu ya libya hata kirene, na wagenyi kufuma rumi,
\v 11 Wayahudi na waongofu, wakrete na waarabu, dawasikira wakiaria katika luga redu kuhusu kazi ra uweza gwa Mlungu."
\v 12 Wose warikogo waduwaa na kutatanishwa; wadedane weni kwa weni, "Ihi ikona maana ki?"
\v 13 Ela wami wadhihakie wakideda, "Awa wachurwa kwa mvinyo mbishi."
\v 14 Ela akakimsi andu kumweri waja ikumi na imweri, akapaza sauti, akawazera wandu wa Yudea na wose waishi aha Yerusalemu, iji jimanyikane kwenyu, sikirenyi kwa makini madedo gapwa.
\v 15 Wandu awa ndewalewiwe kama andu mdhaniaga, sababu saa iri ni asubuhi saa idadu.
\v 16 Ela iji jirikogo jadedwa kuidia kwa Mlodi Yoeli.
\v 17 Ikaga katika matuku ga mwisho, Mlungu wadedie, nidedaga Ngolo wapwa kwa wandu wose. Wana wenyu na wai wenyu wadimafunya ulodi, wadawana wenyu wadimawona mgomo, na wagosi wenyu wadima lola ndodo.
\v 18 Kwa wuja igu ya watumishi wapwa watumishi wapwa wa kinaka katika matuku ago, nidiaga Ngolo wapwa, nawo wadima tabiri.
\v 19 Nibonyeraga maajabu igu angenyi na ishara ndonyi dunienyi baga, modo na mafusho ga mosi.
\v 20 Na iruwa jikaguswa kukaia kira na mweri kuwa baga, kabla ya kucha ituku ja ajabu ja Mzuri.
\v 21 ikaia kwamba kila umweri ambaye ijiwangaga irina ja Mzuri wadimaokoka.'
\v 22 Wandu wa Israeli, sikirenyi madedo aga: Jesu wa Nazareti, mwadamu wathibitishwa ni Mlungu kwenyu kwa matendo ga uweza na maajabu, na ishara ambaro Mlungu kuidia ye gadi gadi yenyu, kama inyo weni kandu mwiichi-
\v 23 kwa sababu ya mpango gwakusudiwa tangu imbiri, na maarifa ga Mlungu, wafunyigwe, na inyo kwa mkonu ya wandu wahalifu, mwamsulubishie na kubwaga,
\v 24 ambaye Mlungu wamwiinue, akainja uchungu gwa mauti gake, kwa sababu ndadimikie kwake kumilikiwa ni ye.
\v 25 Huwo Daudi adadeda kuhusu ye Namwomie Bwana daima imbiri ya wushu gwapwa, ye weko mkonu gwapwa gwa kujo huwo basi sisegurwa
\v 26 Kwa kuwa ngolo yapwa yakogo ma kuboima lumilwapwa gwaboirishiwe. Pia muwi gwapwa gwedi maisha katika ujasiri.
\v 27 Ndwisigaa nafsi yapwa igende kuzimu wala nduruhusu Mtakatifu wako kuwona uozo
\v 28 We wadhihilisha kupwa chiara bina na; wedime nibonya nichue kuboirwa imbiri ye wushu gwako;
\v 29 Mbazi, nadima kudeda kwenyu kwa ujasiri kuhusu aba wendu Daudi: ye wafaye na akarikwa, na ikaburijake jeko andukumweri na isi hata huwu linu.
\v 30 Huwo, werikogo nabii na wamenyie kugora Mlungu wapaie kwa kirawo kwake, kwamba wadimawika umweri katika uzao gwake kifumbimyi cha enzi.
\v 31 Wagiwonie iji mapema, na akadeda kuhusu ufufuo gwa Kristo, 'Wala nderikogo wasigwa kuzimu, walamuwi gwake ndaguvu ndie.'
\v 32 Uyu Jesu- Mlungu wamfufue, ambaye isi wose da mashahidi.
\v 33 Kwa huwo, akika wanuigwa katika mkonu gwa kujo gwa Mlungu, na akiwa. wawakera ahadi ya Roho Mtakatifu kufuma kwa aba, ye wamimina ihi ahadi, ambaye inyo mdawona na kusikira.
\v 34 Kwani Daudi ndapaie kugenda mbingunyi, lakini akadeda, 'BWANA wadedie kwa Bwana wapwa,
\v 35 "Kaia mkonu gwapwa gwa kujo, mpaka nikawabonya adui wako kifumbi kwa ajili ya magu gako.
\v 36 Kwahuwo nyumba yose y6a Israeli na imanye kwa hakika kwamba Mlungu wabonya ye kuwa Bwana na kristo, uyu Jesu ambae mwamsulubishie."
\v 37 Idana kusikira huwo, wakakorwa katika ngoro rawe, waka mzera Petro na mitume mizima, "Wambari, dibonye wada?"
\v 38 Na Petro akawazera, "Tubunyi na Mbatizwe, kila umweri wenyu, katika irina ja Jesu Kristo kwa ajili ya msamaha gwa zambi renyu, na muwekeraa zawadi ya Roho mtakatifu.
\v 39 Kwanikwenyu ni ahadi na kwa wana wenyu na kwa waja wose weko kula, wandu wengi kadri Bwana Mlungu wedu kandu awawanga."
\v 40 Kwa madedo mengi washuhudie na kuwasihi; wadedie "Jiokoenyi mfume katika kivaziichi kiwiwi."
\v 41 Niko wakayabokera madedo gake na wakabaatizwa, aho akaongezeka katika ituku ijo kama nafsi elfu idadu.
\v 42 Wakaendelea katika mafundisho ga mitume na ushirikiano, katika kugubega mkate na katika malombi.
\v 43 Hofu ikacha igu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara rikabonyeka kuidia mitume.
\v 44 Wose waaminie warikogo andukumweri na kuwa vilambo vawe kwa andukumweri,
\v 45 na wauzie vilambo na miliki rawe na kurigawanya kwa wose kulingana na hitaji ja kila umweri.
\v 46 Huwo ituku baada ya ituku waendelee wakiwa na ilengo jimweri katika ihekalu, na wabegie mkate kayenyi, nawashirikie vindo kwa kuboiwa na unyenyekevu gwa ngolo;
\v 47 Wamsifie Mlumgu na wakika na kibali na wandu wose. Bwana wawaomgoze ituku kwa ituku ambawo wakogo wakiokolewa.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Idana Petro na yohana warikogowanaelekea katika ihekalu wakati gwa malombi saa kenda.
\v 2 Mundu fulani, kiwete tangu kuvalwa, werikogo ikichwalwa kila ituku na wakogo akitungurishigwa katika mjango gwa ihekalu guwagwaga mzuri, ili adime kulomba sadaka kufuma kwa wandu wakogo wakielekea ihekalunyi.
\v 3 Kuwawona Petro na Yohana wadakaribia kuingiaihekalunyi, akawalomba sadaka.
\v 4 Petro, akamkazia meso, andukumweri na Yohana, wadedie, "diguwe isi."
\v 5 Kiwete awaguwa, akitazamia kuwokera kilambo fulani kufuma kwawo.
\v 6 Lakini Petro akadeda, lakini chija nikanacho nifunyaga kwako. Katika irina ja Jesu kristo wanazariti, gendi."
\v 7 Petro akiamwusa kwa mkonu gwake gwa kujo, na akamwusira igu, maraimweri magu gake na vifundo va maindi gake vikapata ndigi.
\v 8 Akaburuka igu, mundu kiwete wasimamamie na akaanza kugenda, akangia ihekalunyi andukumweri na Petro na Yohana, akigenda, akiburuka, na kumtongola Mlungu.
\v 9 Wandu wose wamwonie akigenda na kumtongola Mlungu.
\v 10 Wakamanya kwamba ni muja mundu ambaye warikogo akika akilomba sadaka mjangonyi mzuri gwa ihekalu, wachurigue ni mshangao na kustaajabu kwa sababu ya chija cha fumiria kwake.
\v 11 Namna arikogo wawadiria Petro na Yohana, wandu wose kwa andukumweri wakakimbiria ukumbinyi guwangwaga gwa Sulemani, wakashangaa nanganyi.
\v 12 Petro kujiwoma iji, ye akawajibu wandu, "Enyi wandu waIsraeli, kwa indoi mdashangaa? kwa indoi mdaga elekeza meso genyu kwedu, kana kwamba dambomya uyu agende kwandigi redi weni au uchaji wedu?"
\v 13 Mlungu waIbrahimu, na wa Isaka, na waYakobo, Mlungu wa Aba wedu, wamtukuza mtumishi wake Jesu. Uyu niye ambaye inyo mwamkabidhie na kumlega imbiri ya wushu gwa Pilato, japo ye warikogo waamue kumsigiraia huru.
\v 14 Mwamlegie Mtakatifu na Eko na Haki, nabadala yake mkakunda mbwagaji asigiriwe huru.
\v 15
\vInyo mwambagie Mfalume wa binana, ambaye Mlungu wa mfufue kufuma kwa wafu -Isi da mashahidi gwa iji.
\v 16 Idana, kwa imani katika irina jake, mundu uyu ambaye mwambonana kumanya, wabonyiwe kuwa na ndigiimani anbayo idadia kwa Jesu yamnekie ye afya ihi kamilifu imbiri yenyu inyo wose.
\v 17 Idana, mbari, naichi kwamba mwabonyie katika ukelu, nika pia wabonyie vilongozi wenyu.
\v 18 Ela malago ambago Mlungu wawagorie mapema kwa miomu ya walodi wose, kwamba uyu Kristo wadima wateseka, idana wagatimiza.
\v 19 Kwa huwo, tubunyi na mgeuke, ili kwamba zambi renyu ridime kuinjigwa kabisa, kusudi riche nyakati ra kuburudika kufumana na kuwepo kwa Mzuri;
\v 20 na kwamba adime kumduma Kristo ambaye wateuliwa kwa ajili yedu, Jesu.
\v 21 Ye niye ambae lazima mbingu rimbokere vilambo vose, ambavo Mlungu wadedie kala na kala kwa miomu ya walodi watakatifu.
\v 22 Hakika Musa wadedie, 'Mzuri Mlungu wadima inua mlodi kama nyi kufuma katika mbari wenyu mwadima msikira kila kilambo ambacho wadima wagoria inyo.
\v 23 Yadima fumiria kwamba kila mundu ambae ndasikiraga kwa mlodi uyo wadimaangamizwa kabisa afume kati ya wandu.'
\v 24 Niyo, na walodi wose kufuma samweli na waja wanugiria baada yake, wadedie na watangazie matuku aga.
\v 25 Inyo ni wana wa walodi na wa ilagano ambajo Mlungu wajibonyie andu kumweri na wakawawa, kama andu adedie kwa Abrahamu, 'katika mbeu yako familia rose ra dunia ridimabarikiwa.'
\v 26 Baada ya Mlungu kumwinua mtumishi wake, wamdumie kwenyu kwanza, ili awabariki inyo kwa katika uwiwi gwenyu.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Wakati Petro na Yohana warikogo wakiaria na wandu, makuhani na mlindiri wa ihekelu na masadukayo wakawagendie.
\v 2 Warikogo waudhika nanganyi kwa sababu Petro na Yohana warikogo wawafundisha wandu kuhusu Jesu na kutangaza igu ya kufufuka kwake kufuma kwa wafu.
\v 3 Wawadie na kuwawika igerezanyi hadi asubuhi inugirie, kwani tayari yakogo kwenji.
\v 4 Ela wandu wengi warikogo wasikira ujumbe warikogo waamini, na idadi ya womi wakogo waamini wakadiriwe kuwa elfu isanu.
\v 5 Hata kufika asubuhi ituku jinugurie, kwamba wabaha wawe, wagosi na waandishi, kwa andu kumweri wakubanyikie Yerusalemu.
\v 6 Anasi kuhani mbaha warikogo, na kayafa, na Yohana na Iskanda, na wose warikogo ni mbari wa kuhani mbaha.
\v 7 Warikogo wawawika Petro Yohana gadi yawe, wawakotei?"
\v 8 Kisha Petro, akiwa wachua Ngolo mtakatifu, akawazera, "Inyo wabaha wa wandu, na wagosi,
\v 9 Kama isi ituku ja linu dahojiwa kuhusu itendo jiboie jibonyigwa kwa mundu uyu mkongo - kwa namna ki mundu uyu wabonyiwe mlazi?
\v 10 Hebu jimanyikane ijo kwenyu na kwa wandu wose katika Israeli, kwamba kwa irina ja Jesu Kristo wa Nazareti, ambaye mwasulubishwe, ambaye Mlungu wamfufue kufuma kwa wafu, ni kwa chia yake kwamba mundu uyu wasimamie aha imbiri yedu akika ekona afya.
\v 11 Jesu Kristo ni igwe ambajo inyo wajenzi nawajimenyie, ela ambajo jabonyiwe kuwa igwe ibaha ja pembenyi.
\v 12 Ndekudae wokovu katika mundu uwiwi wowose uja. kwa maana ndakudaye irina jimwi ndonyi ya mbingu wanekiwe wandu, ambajo kwa ijo dadima kuokolewa."
\v 13 Idana kuwona ujasiri gwa Petro na Yohana, na wakagundua kwamba warikogo ni wandu wa kawaida wasadae elimu, washangaie, waka manya kwamba Petro na Yohana wakogo andukumweri na Jesu.
\v 14 Kwa sababu wamwonie uja mundu waboisigwa wasimama andukumweri nawo, ndewakogo na kilambo cha kudeda dhidi ya iji.
\v 15 Ela wakogo wasamaria kuwaamuru walodi iinge imbiri wo kwa wo.
\v 16 Wadedie, diwabonyaga wada wandu awa? Ni loli kwamba wo gumanyikame ni kila umweri aishi Yerusalemu, ndedidimaga kujilega ijo.
\v 17 Ela, ili kwamba ilago iji jisaenee miongonyi mwa wandu, hebu diwabonye wasadede sena kwa mundu wowose kwa irina iji.
\v 18 Wawamanyie Petro na Yohana ndenyi na kuwaamuru kamwe wasadede wala kufundisjha kwa irina ja Jesu.
\v 19 Ela Petro na Yohana wajibie na kuwagoria, "kama ni sahihi mesonyi kwa Mlungu kuwatii inyo kuliko Mlungu kuwatii inyo kuliko Mlungu, hukumunyi inyo wenyi.
\v 20 Maana isi ndedimaga kusiga kugadeda malago ambago daga wona na kugasikira."
\v 21 Baada ya kuwaonya nanganyi Petro na Yohana, wawasigie wagende. Ndewedimie kupata sababu yoyose ya kuwaazibu, kwa sababu wandu wose wakogo wakimgola Mlungu kwa chija chikogo chabonyeka.
\v 22 Mundu akogo wabonyekera muujiza gwa uponyaji wapatie kukaia na umwi gwa zaidi ya miaka arobaini.
\v 23 Baada ya kuwasiga huru, Petro na Yohana wachee kwa wandu wawe na kuwataarifu gose ambago makuhani wabaha na wagosi warikogo wawagoria.
\v 24 Kugasikira, wapaazie sauti rawe kwa andu kumweri kwa Mlungu na kudeda, "Mzuri we uumbie mbingu na dunia na bahari na kila kilambo ndenyi yake,
\v 25 We ambaye, kwa Ngolo mtakatifu, kwa momu gwa aba wedu Daudi, mtumishi wako, ulisema, "kwa indoi wandu wa masanga wabonya gasia, na wandu watafame malago gasafaa?
\v 26 Wazuri wa dunia wakipangie andukumweri na watawala wakusanyika kwa andu kumweri dhidi ya Mzuri na dhidi ya masihi wake."
\v 27 Ni hakika, Herode na Pontio Pillato, andukumweri na wandu wa masanga na wandu wa Israeli, wakusanyikie kwa andu kumweri katika muzi ugu dhidi ya mtumishi wako mtakatifu Jesu, ambaye wamwirie mavuda.
\v 28 Wakusanyikie kwa andu kumweri kubonya gose ambago mkonu gwake na mapenzi gako gagaamuriye tangu mwanzo kabla ndegafumiria.
\v 29 Idana, Mzuri, gaguve matisho gawe, na ugenda wajalia watumishi wako kujideda ilago kwa ujasiri gose.
\v 30 Ili kwamba ukanyoosha mkonu gwako kuboisa, ishara na maajabu vidime kufumiria kuidia irina ja mtumishi wako mtakatifu Jesu."
\v 31 Kumeria kulomba, ieneo ambajo wakusanyikie kwa andu kumweri jikotikiswa, na wose wakachurwa ni Ngolo mtakatifu, na wadedie ilago ja Mlungu kwa ujasiri.
\v 32 Idadi mbaha ya waja waaminie warikogo na ngolo jumweri na ngolo umweri na ndakudaye hata umweri wawe adedie kwamba chochose amilikie chakogo chake mweni, badala yake wakogo na vilambo vose shiriki.
\v 33 Kwa ndigi mbaha walodi warikogo wakutangaza ushuhuda gwawe kuhusu ufufuo gwa Mzuri Jesu, na neema mbaha yakogo igu yawe wose.
\v 34 Ndekukogo na wowose miongonyi mwawo apungukiwe ni mahitaji, kwa sababu wandu wose wakogo na hati ra viwacha au nyumba, wawuzie na kureda magome ga vilambo virikogo vauzwa.
\v 35 na kuviwika ndonyi ya magu ga walodi. Na mgawanyo gwabonyiwe kwa kila muumini, kulingana na kila umweri arikogo na ihitaji.
\v 36 Yusufu, mlawi, mundu kufuma kipro, wanekiwe irina ja Barnabasi na walodi (inyo ikitafsiriwa, ni mwana wa faraja).
\v 37 Akika na mbuwa, wajiuzie na akareda magome, akariwika ndonyi ga magu ga walodi.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Huwo, mundu umweri ariwangwaga Anania, na Safira mkake, wadagie sehemu ya mali,
\v 2 na wakiwa sehemu ya magome wadagie (mkake, pia wajimanyie ijo0, na akareda sehemu ibakie na kuiwika magunyi ga mitume.
\v 3 Lakini Petro akadeda,"Anania, kwa indoi shetani waichura ngolo yako kudeda tee kwa Roho mtakatifu kuwisa sehemu ya mali ya mbuwenyi?
\v 4 Wakati ndeidagiwe, ndaikogo ni maliyako? Na baada ya kudagwa, ndeikogo ndonyi ya uamuzi gwako? yakee wada uelime ilago iji ngolonyi kwako? Nduwa embie wanadamu, bali wamwemba Mlungu.
\v 5 "katika kusikira madedo aga, Anania akangwa ndonyi akadema roho. Na hofu mbaha iwachue wose wajisikire iji.
\v 6 Wadawana wakacha imbiri na kumkumba katika shanda, na kumgenja shigadi nakumrika.
\v 7 Baada ya mmasaa adadu huwu, mkake akangia ndenyi, asamanye ni ndoi cha mfumiria.
\v 8 Petro akamzera, "Nigorie, kama mwadagie mbura kwa samani iyo"Akadeda, "Hee, kwa samani iyo."
\v 9 kisha Petro akamzera, "Yohana wada kwamba mwapatana kwa andukumweri kumgeria Roho wa Bwana? Ngowa, magu ga waja wamrika mago iko mjangoni, na wadima kudwa na kukugenja shigandi."
\v 10 Gafla akagwa magunyi kwa petro, akadema roho, na waja wada wana wakacha ndenyi wakamdoka wafwa. Wakamdwa kumgenja shigandi, na kumrika avui na mumii.
\v 11 Hofu mbaha ikacha igu ya ikanisa ilanzi, na igu ga wose wagasikire malango aga.
\v 12 Ishara nyingi na maajabu warikogovafumiria miongoni mwa wandu kuidia mikonu ya mitume. Warikogo andukumweri katika ukumbi gwa Sulemani.
\v 13 Lakini, ndekundae mundu umwi tofauti akogo na ujasiri gwa kuambatana nae; hata huwo, wanekigwe heshima ya igu ni wamdu.
\v 14 Na pia, waumini wengi warikogo wakiongezeka kwa Bwana, idadi mbaha ya womi nawake.
\v 15 Kiasi kwamba hata wawadwae wakogo mita enyi, na kuwatungurisha vita ndenyi na makochinyi, ili kwamba Petro akika akadeda, kirerende chake chidimeigu yawe.
\v 16 Aho pia, idada mbaha ya wandu wachee kufuma mizi izungulukie yerusalemu, wakiwareda wakongo na wose wapagawa ni Ngolo wachafu, na wose waboiswa.
\v 17 Ela kuhani mbaha wainukie, na wose wakogo andukumweri nae (ambawo ni wa idhehebu ja masadukayo, na wakachurwa ni wivu
\v 18 Wakanyoosha mikonu yawe kuwawada walodi na kuwawika ndenyi ja igereza ja jumla.
\v 19 Na wakati gwa kio malaika wa Mzuri akairugua mijango ja igereza na kuwalongoza shigadi na kudeda,
\v 20 "Gendenyi, simamenyi ihekalunyi na kuwazera wandu madedo gose ga walazi ugu."
\v 21 Kusikira iji, wangirie ihekalunyi wakati gwa mazie zie na kufundisha ela, kuhani mbaha waichee na wose wakogo nae, na kuitisha ibaraza jose kwa andu kumweri, na wagosi wose wa wandu wa Israeli, na kuwaduma igerezanyi ili kuwareda walodi.
\v 22 Ela watumishi wagendie, ndewadokie igerezanyi wawurie na kufunya taarifa,
\v 23 "Dadokie igereza jarugwa nicha kamare, na walinzi wasimama mjangonyi, ela dikogo dikinguwa, ndediwonie mundu ndenyi."
\v 24 Idana wakati jemedari wa ihekalu na makuhani wabaha kusikira madedo aga, wangiriwe ni shaka mbaha kwa ajili yawe wakiwaza jikaiaga wada ilago iji.
\v 25 Kisha umweri akacha na kuwazera "Wandu mwawawika igerezanyi wasimama ihekalunyi na wadafundisha wandu."
\v 26 Huwo jemedari wagendie andukumweri na watumishi, na wakawareda, ela bila ya kubonya vungu, kwa sababu wawaboie wandu wadimga kuwakaba kwa magwe.
\v 27 kumeria kuwareda, wawawikie imbiri ya baraza. Kuhani mbaha akawahoji
\v 28 akideda, "Dawamurie msafundishe kwa irina iji, na bado mwaichwa Yerusalemu kwa ifundisho jenyu, na kutamani kureda baga ya mundu uyu igu yedu."
\v 29 Ela Petro na walodi wakajibu, "Lazima dimtii Mlungu kuliko wandu.
\v 30 Mlungu wa Aba wedu wamfufue Jesu, mumbwagie, kwa kumtundika igu ya mudi.
\v 31 Mlungu wamtukuzie katika mkonu gwake gwa kujo, na kumbonya kuwa nbaha na mwaokozi, kufunya toba kwa Israeli, na msamaha gwa zambi.
\v 32 Isi na mashahidi wa malago aga, na Ngolo wa kuela, ambaye Mlungu wamfunya kwa waja wamtii."
\v 33 Wajumbe wa ibaraza kusikira huwu, wakawadwa ni hasira wakakunda kuwabwaga walodi.
\v 34 Ela farisayo awagiwe Gemalieli, mwalimu wa sheria, aheshimiwe ni wandu wose, wasimamie na kuwaamuru walodi wawusigwe shigadi kwa muda mvui.
\v 35 Kisha akawazera, "wawi wa Israeli, kenyi makini nanganyi na chija mchipendekezaga kuwabonya wandu awa.
\v 36 Kwa sababu, kala ridie, Theuda wawukie na kujidai kuwa mundu mbaha, na idadi ya wandu, wafikia mia ina wakamnuga. Wabwagiwe, na wose warikogo wakimtii watawanyikie na kulagaya.
\v 37 Baada ya mundu uyu, Yuda mgalilaya, wakiusirie matuku gaja ga kuandikwa sensa, akaruda wandu wengi nyuma yake. Na ye pia walagarie na wose wakogo wakimtii watawanyike.
\v 38 Idana nawagoria, kieupusheenyi na wandu awa na muwasige wenu, kwa sababu kama mpango ugu ni kazi ihi ni ya wandu idagwaa.
\v 39 Ela kama ni ya Mlungu, ndemdimaga kuwazeria, mwadima mkakidoka hadi mdashindana na Mlungu." Huwo, washawishikie na modo gake.
\v 40 kisha wawangie walodi ndenyi na kuwapa na kuwaamuru wasanene kwa irina ja Jesu, na wakawasiga wagende rawe.
\v 41 Wangie imbiri ja ibaraza wakiboiwa kwa sababu wataliwa kuwa wastahili kuteseka na kulemwa heshimiwe kwa ajili ya irina iyo.
\v 42 Kwa huwo, kila ituku ndenyi ya ihekalu na kufuma nyumba hadi nyumba waendelee kufundisha na kuhubiri Jesu kuwa ni Masihi.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Idana katika matuku aga, wakati idadi ya wanafunzi ikikaia idachurika, ilalamika ja wayahudi wa kiyunani ja wakie dhidi ya waebrania, kwa sababu wajane wawe warikogo wadalwika katika mgao wa kila ituku ja vindo.
\v 2 Walodi ikumi na iwi wawangie ikusanyiko jose ja wanafunzi na kudeda, "siyo sahihi kwedu kujisiga idedo ja Mlungu kuhudumia mezenyi.
\v 3 Kwa huwo, mbari, saguenyi, omi saba, kfuma miongonyi mwenyu, wandu wabole, wachua Ngolo na hekima, ambawo dadima kuwakabizi huduma ihi.
\v 4 Na isi dadima endelea kala na kala katika kulomba na katika huduma ya ya idedo."
\v 5 Hotuba yawe ikakupendeza kutano gose. Huwo, wakamsagua Stefano, mundu wachurwa imani na Ngolo wa kuela, na Filipo, Prokoro, Nikanoni, Timoni, Parmera, na Nikolau mwongofu kufuma Antiokia.
\v 6 Waumini wawaredie wandu awa imbinye walodi, walombia na baadae wakawawikia mikonu yawe.
\v 7 Huwo, idedo ja Mlungu jaenee, na idadi ya wanafunzi yazidie kuchurika uko Yerusalemu, na idadi mbaha ya makuhani wakaitii imani.
\v 8 Na Stefano, achie neema ya ndigi, wakogo akibonya maajabu na ishara mbaha miingonyi mwa wandu.
\v 9 Ela aho wakanuka baadhi ya wandu wafuasi wa Isinagogi jiwangwa wa isinagogi ja machuru, na ja wakirene na ja waeskanderia, na baadhi kufuma kilikia na Asia. Wandu awa wakogo wakihojiana na Stefano.
\v 10 Ela, ndewadimie kushindana na hekima na Ngolo ambayo Stefano warikogo akitumia katika kuzungumza.
\v 11 Kisha wawashawishie baadhi ya wandu kwa siri kudeda, "Dasikira Stefano akizungumza madedo ga kufuru dhidi ya Musa na dhidi ya Mlungu.
\v 12 Wawashurutishie wandu, wagosi, na waandishi, na kumgesha Stefano, wakambwada, na kumreda imbiri ya ibaraza.
\v 13 Wawaredie mashahidi wa tee, wadedie, "mundu uyu ndasigaa kudeda madedo gazamie dhidi ya ieneo iji kuela na sheria.
\v 14 kwani damsikira akideda kwamba uyu Jesu wa Nazareti wadimanona andu aha na kurigalusa desturi dakabiziwa ni Musa."
\v 15 Kila umweri arikogo katika ibaraza, akaelekeza meso gake kumguwa Stefano, nawo wakawona wushu gwake gwakogo kama wushu gwa malaika.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Kuhani mbaha akadeda, "malago aga ni ga loli"?
\v 2 Stefano akadeda, "mbari na wakaaba wapwa, ni sikirienyi nyi: Mlungu wa mtukufu wa mfumirie aba wedu Abrahamu wakati arikogo mesopotamia, kabla nderishie Harani;
\v 3 akamzera; inga katika isanga jako na jamaa wako na ugende katika isanga nikubonyereaga.'
\v 4 Kisha akainga katika isanga ja uka idayo akaishi Harani, kufuma aho, baada ya ndee kufwa, Mlungu akamreda isangenyi iji, waishi ijiaha.
\v 5 Ndamnekie chochose kama irisi gwake, ndekedege na sehemu waahidiwe hata kabla yakupata mwana kuwa wadima nekwa isanga kama milki yaake na uzao gwake.
\v 6 Mlungu wadedie na ye huwu, ya kwamba wazao wake magu waishi katika isanga ja ugenyinyi, na kwamba wenyezi wa uko wadima wabonya kuwa watumwa wao na kuwabonyi lage lage kwa muda gwa miaka mia ina.
\v 7 Na Mlungu akadeda, nadimajihukumu isanga ambajo jimibonyaa mateka, na baada ya aho wadima wafuma na kuniabudu katika sehemu ihi.
\v 8 Na akamneka Abrahamu iagano ja tohara, huwo Abrahamu akawa aba wa isaka akamtahiri Yakobo, na Yakobo akawa aba wa wakawawa wedu ikumi na wawi.
\v 9 Wakawawa wedu wakamwonea wivu Yusufu wakamdaga katika isanga ja Misri, na Mlungu wakogo andukumweri na ye,
\v 10 na akamwokoa katika mateso gake, na akamneka fadhili na hekima imbiri ya Farao mfalme wa Misri. Farao akambonya ake mtawala igu ya Misri na igu ya nyumba yose.
\v 11 Basi kukakaia na njala mbaha na mateso mengi katika isanga ja Misri na kanani na aba wedu ndewapatie vindo.
\v 12 Ela Yakobo kusikira koko nafaka Misri, waudumie aba wedu kwa mara ya kwanza.
\v 13 Katika charo cha kawi Yusufu akakibonyera kwa wambari wake, familia ya Yusufu ikamanyika kwa Farao.
\v 14 Yusufu akawaduma wambari wake kugenda magoria Yakobo aba wawe ache Misri, andukumweri na jamaa wake, jumla ya wandu wose ni sabini na isanu.
\v 15 Huwo Yakobo akasea Misri, kisha akafwa ye andu kumweri na aka aba wedu.
\v 16 Wakawusigwa hata shekemu wakarikwa katika ikaburi ambajo Abrahamu waguliwe kwa vipande vya magome kufuma kwa wana wa Homori uko shekemu.
\v 17 Wakati gwa ija ahadi ambayo Mlungu wamwahidie Abrahamu kufika avui, wandu wakiwa wachurika uko Misri,
\v 18 Wakati ugo wainukie Mzuri umwi igu ya Misri, Mzuri asiichi kuhusu Yusufu.
\v 19 Uyu Mzuri umwi akawaembia wandu wedu na kuwatenda gazamie aba wedu, na kuwadaga wana wawe wakoho ili wasaishi.
\v 20 Katika kipindi icho Musa wavalwe, warikogo aboie imbiri ya Mlungu, akaelewa mieri idadu katika myumba ya aba wake.
\v 21 Wakati akidagwa, binti wa Farao akamwusa akamlela kama mwanake.
\v 22 Musa wafundishiwe mafundisho gose ga kimisri, warikogo na ndigi katika madedo na matendo.
\v 23 Ela baada ya kutimiza miaka arobaini, ikamchea katika ngolo yake kuwaselia wambari wake, wana wa Israeli.
\v 24 Kumwona mwisraeli akibonyiwa gazamie, Musa wamtee na kulipiza kisasi akogo akimwonea kwa kumkaba mmisri:
\v 25 akifikiri kuwa wambari wake wadima manya kugora Mlungu wadima waokoa kwa mikonu gwake, ela ndawamanyie.
\v 26 Ituku janugiria akagenda kwa baazi ya waisraeli wakogo wakigombana, akageria lawapatanisha, akideda, mabwana, Inyo ni wambari, mbona mdakosea inyo kwa inyo,?
\v 27 Ela wamkosea jirani wake akasukumia kula, na kudeda, 'Nani wabonya mtawala na muhukumu wedu?
\v 28 We wakundi kunibwaga, kama andu wabwaga mmisri iguo?"
\v 29 Musa akakimbia baada ya kusikira huwo, akaka mgeni katika isanga ja midiani, uko akakaia aba wa wana wawi.
\v 30 Baada ya miaka arobaini kuida, malaika wakamfumiria katika ijangwa ja lugongo lwa sinai, katika mwali gwa modo ndenyi ya kitela.
\v 31 Wakati Musa kuwona modo, washangaiwe na kustaajabu chija wachiwona, na akageria kuchisoogelea ili kuchiguwa, sauti ya Mzuri ikamchea ikideda,
\v 32 Nyi na Mlungu wa aba wenyu, Mlungu wa Abrahamu, na wa Israeli, na wa Yakobo: Musa wakakamie na ndasulubiwe kunguwa.
\v 33 Mzuri akamzera, "Kuwa vandu vaho, andu wa simama ni andu kutakatifu.
\v 34 Nawona mateso ga wandu wapwa weko Misri, Nasikira kuwawa kwawo nanyi nasea ili niwaokowe, idana choo, nadima kuduma we Misri.'
\v 35 Uyu Musa ambae wamlegie, wakati wakideda, nani wakubonya mtawala na mwamuzi wedu? _ werikogo ni ye ambaye Mlungu wamdumie ake mtawala na mkombozi.
\v 36 Musa wawakirishie kufuma misri baada ya kubonya miujiza na ishara uko misri na katika bahari ya sahamu, na katika ijangwa kwa kipindi cha miaka arobaini.
\v 37 Ni Musa uyu niye awagorie wandu wa Israeli kuwa, 'Mlungu wadima wainuliwa nabii kufuma miongonyi mwa wambari wenyu, nabii kama nyi.
\v 38 Uyu ni mundu ambae werikogo katika mkutano ijangwenyi na malaika ambae wadedie na katika lugongo sinai. uyu nie mundu ambae warikogo na waka aba wedu, uyu ni mundu ambae wawokeria idedo jiko banana na kudipatia isi.
\v 39 Uyu ni mundu ambae aba wedu walegie kumtii, wamsukumie kula, na katika ngolo rawe waageukie Misri.
\v 40 Katika kipindi icho wamzerie Haruni, dibonyie Milungu idima kudilongoza. Uyu Musa, akogo akidilongoza kufuma katika isanga ja misri, ndadiamanyie chimokie.'
\v 41 Huwo wakaboisa ndama kwa matuku ago na wakafanya sadaka kwa iyo sanamu na wakaboiwa kwa sababu ya kazi ya mikonu yawe.
\v 42 Lakini Mlungu wawageuzie na kuwa neka waabudu nyenyeri ra enyi, kama andu ya andilewa kitabunyi cha manabii, 'Je mwanifunyia nyi sadaka ra wanyama mwawachinja ijangwenyi kwa muda gwa miaka arobaini nyumba ya israeli?
\v 43 Mwakubali ihema ja kukwania ja Moleki na nyenyeri ya Mlungu refani, na picha mwaiboisa na kuwaabudu wo: na niwagenaga kula nanganyi ya Babeli.'
\v 44 Aba wedu warikogo na ihema ja kukwania ja ushuhuda ija ngwenyi, kama Mlungu andu waamuru akideda na Musa, kwamba waboisaga kwa mfano gwa guja waguwona.
\v 45 Ija ni ihema ambajo aba wedu, kwa wakati wao, waredigwe katika isanga ni Joshua. Ihi ya fumirie wakati wakingia kumiliki isanga ambajo Mlungu wawawingie kabla ya uwapa gwa aba wedu, Ihi yake huwu hadi matuku ga Daudi,
\v 46 ambaye wapatie kibali mesonyi ga Mlungu; na kulomba kulola makao kwa Mlungu wa Yakobo.
\v 47 Lakini Selemani wamwagie nyumba ya Mlungu.
\v 48 Hata huwo Akoigu ndaishi nyumbenyi ra agwa mikonu; ihi ni kama nabii adedie;
\v 49 Mbinguni kifumbi chapwa cha enzi, na dunia ni sehemu ya kuwikia magu gapwa, Nyumba yaaina ki mniagiapa?, wadeda Bwana: au ni hawo sehemu yapwa ya kusogekia?,
\v 50 Siyo mkonu gapwa gwambonya ivi vilambo vose?'
\v 51 Enyi wandu wokana singo rikurie msatahiliwe ngolo na madu, kila mara mdapinga Roho Mtakatifu; mdatenda kama aba wenyu andu wabonyie.
\v 52 Ni nabii ki katika manabii ambae aba wenyu ndewamtesia? wawabwagie manabii wose wafumirie kabla ya ujio gwa umweri akona Haki; na idana mwawia wasaliti na wabwagaji wake pia;
\v 53 enyi wandu mwawokera sheria ija galagizwa ni Malaika lakini ndewiwodie."
\v 54 Kisha wajumbe wa ibaraza kusikira malago aga, wakoriwe ngolo rawe, waka msagia magego Stefano.
\v 55 Lakini ye, akika wachua Roho Mtakatifu, akangowa mbingunyi kwa makini na akawona utukufu gwa Mlungu; na kumwona Jesu wasimama mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\v 56 Stefano akadeda."Ngowa naona mbingu rafunguka, na Mwana wa Adamu wa simama mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\v 57 Lakini wajumbe wa ibaraza wakakaba jogo kwa sauti ra igu, wakiziba madu gawe, wakamkimbilria kwa andukumweri,
\v 58 Wakamdaga shigadi ya muzi na wakamkaba magwe! na mashahidi wa kuruwa nguo rawe ra shagadi na kuwika ndonyi au na magu ga kijana awangiwe Sauli.
\v 59 Wakati wadamkaba magwe Stefano, waendelea kumwanga Bwana na kudeda, "Bwana Jesu, wokera roho yapwa"
\v 60 Akakaba magoti na kuwanga kwa sauti mbaha "Bwana, usawatalie zambi ihi." Kumeria kudeda aga akadema roho.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Sauli warikogo makubalionyina kifwa chake. Ituku ijo niko aanzie kuwatesa kinyume cha ikanisa jiko Yerusalemu, na waaminio wose watawanyikie katika majimbo ya yudea na samaria, isipokua mitume.
\v 2 Wandu wachamlungu wamrikie stephano na kubonya maombolezo mabaha igu yake.
\v 3 Lakini sauli wajidhwne sana ikanisa, Wagendie nyumba kwa nyunba na kuwaburutashigadi waka na womi, na kuwadaga igerezenyi.
\v 4 Waaminio ambawo wakogo watawanyika bado wajihubirie idedo.
\v 5 Filipo akasema katika muzi gwa samaria na akamtangaza kristo uko.
\v 6 Baada ya makutano kusikira na kuwa na ishara alibonyie filipo, wakawika umakini igu ya chija wachideda.
\v 7 Kufuma aho wadu wengi wasikare pepo wachama wawafumie wandu uku wakilila kwa sauti mbaha, na wengi waololie na viwate wabaisiwe.
\v 8 Na kwa rikogo na kuboirwa kubaha katika muzi.
\v 9 Lakini kwerikogo na mundu umweri katika muzi guja riha jake ni simoni ambaye werikogo akibonya usawiambago wagutumae kuwashangaza wandu wa isanga ja samaria, wakati wakudeda kugora ye wi mundu muhimu
\v 10 Wasamaria wose tengu mtini hata mbaha, wakansikiria wakadeda; mundu uyu ni ija naligi ya mlungu ambayo nimbaha."
\v 11 Wakemsikiria, kwa kugura wawashangaziekwa mda mlacha kwa usawi gwake.
\v 12 Lakini wakati kumeria kuamini kuwa filipo wahubirie igu ya uzuri gwa mlungu na igu ya irina sa Jesu kristo, waabatiziwe womi kwa waka.
\v 13 Na simoni mweni waaminie'. baada ya kubatizwa, waendelee kukaria na filipo kuona ishara na mrujiza ikogo ikibonyeka, washangaie.
\v 14 Wakati mitume ya yerusalimu kusikira samaria yabokera idedo ja mlungu, wakawaduma petro na yohana.
\v 15 Wakati wakisea wakawalombia kwanba wabokere Roho mtakatifu.
\v 16 Mpaka muda ugo, Roho mtakatifu werikogo ndawashukie hata wawo warikogo tu wabaatiziwe kwa irina ja Bwana Jesu.
\v 17 Niko petro na yohana wakawawikia mikonu, nawo wakabokera Roho mtakatifu.
\v 18 Wakati simoni kuwona kwamba Roho mtakatifu wafunyigwa kuidia kuwikiwa mikonu ni mitume, akakunda kuwaneka magome.
\v 19 Akadeda "Ninekenyi ihi ndigi, illi kila ni mwii kiga mikonu awokere Roho mtakatifu."
\v 20 Lakini petro akamzera, magome ga kio andu kumweri na we lagaria kila, kwa sababu wadhani kugora karamea ya mlungu yapatikanaga kwa magome.
\v 21 Ndudae eshemu katika itago iji kwa sababu ngolo yako siyo myoofu imbiri ra mlungu.
\v 22 Huwo basi tubu mawiwi gako na kulomba mlungu labda wadima samehewa fikra ra ngolo yako.
\v 23 Kwa kugora nawana uko katika sumu ya uchungu na kifungo cha zambi."
\v 24 Simoni akajibu na kudeda, "Mlombienyi Mzuri kwa ajili yapwa, kwa kugora malago gose mwaria gadima kufumiria.
\v 25 Wakati Petro na Yohana warikogo washuhudia na kuhubiri idedo ja Mzuri, wawie Yerusalemu kwa chia iyo, wahubirie injili katika vijiji vingi wasamaria.
\v 26 Basi malaiaka wa Mzuri akadeda na Filipo na kudeda, "Angaza na ugende kusini katika chia igendaga ndonyi ya Yerusalemu kuelekea Gaza." (Chia ihi iko katika ijangwa).
\v 27 Akaangaza na kugenda. Ngowa, kwarikogo na mundu wa Ethiopia. Awikiwa igu ya hazina yake yose, na ye wakogo wagenda Yerusalemu kuabudu.
\v 28 Warikogo akiwua wakaia igarinyi kwake akisoma chuo cha nabii isaya.
\v 29 Ngolo akadeda na Filipo, "Sogea karibu na igari iji ushikamane najo
\v 30 Huwo Filipo akagenda isege, akamsikira akisoma katika chuo cha nabii isaya, akadeda, Je, waichi uchisomaga?"
\v 31 Muethiopia akadeda, "nidimaga wada mundu akalemwa nilongoza?"
\v 32 Idana ifungu ja maandiko akogo akisoma muethiopia na iji, kuchinjwa, na kama ng'ondi wanyarie kimya, ndafungue momu:
\v 33 kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake yainjigwe: Nani wadimaeleza kivazi chake? maisha gake adaariwa habari rake gainjigwa katika isanga."
\v 34 Huwo towashi akamkotia Filipo, na kudeda, nakulomba, ni nabii uyao ambaye adaariwa habari rake, ni kuhusu ye, au ra mundu mzima"?
\v 35 Filipo akaanza kuaria, waanzie kwa iandiko iji ja isaya kumhubiria habari ra Jesu.
\v 36 Wakika chienyi, wakafika machinyi, towashi akadeda, "Ngowa, kuko na machi aha ni ndoi chizuia nisabatizwe?,
\v 37 Madedo aga, "Huwo muethiopia akajibu "naamini kwamba Jesu Kristo ni mwana wa Mlungu, ndageko maandikonyi ya kala). Niko muethiopia akaamuru igari jisimame.
\v 38 Wagende ndenyi ya machi, andukumweri Filipo na Towashi, Filipo akawambatiza.
\v 39 Wakati wafuma machinyi, Ngolo wa Mzuri ikamgenja Filipo kula, towashi ndembonie, akagenda chia yake akishangilia.
\v 40 Ela Filipo akafumiria Azoto. Waidie mkoa uja na kuhubiri injili katika mizi yose mpaka mkafika.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Ela sauti, waendelee kudea vitisho hata kwa kifwa kwa wanafunzi wa Mzuri, wagendie kwa kuhani mbaha
\v 2 na kumlomba barua kwa ajili ya masinagogi uko Dameski, ili kwamba akampata mundu eko katika chia ija, ake mundu wa womi au muka, awafunge na kuwareda Yerusalemu.
\v 3 Hata akidamba, yafumirie kwamba akifika avui na Demeski, gafula ikamwangaza kose kose nuru kufuma mbingunyi;
\v 4 na ye akagwa ndonyi na akasikira sauti ikimzera, "sauli, mbona wamtesa nyi?"
\v 5 Sauli akajibu, waani we Mzuri? Mzuri akadeda, "Nyi na Jesu uniuzi,
\v 6 Ela inuka, ngia mjini, nawe wedima zerigwa gakupasa kutenda
\v 7 Waja wandu wadamba andukumweri na sauli wakamnyama kima, wakisikira sauti, wasawone mundu.
\v 8 Sauli akainuka katika isanga na kufungua meso gake, ndadimie kuona wamwada mkonu wakamreda mpaka Dameski.
\v 9 Kwa matuku adadu ndawonaa, ndajaa wala ndanywaa.
\v 10 Basi kwarikogo na mwanafunzi Dameski irina jake Anania, Mzuri wadedie na ye katika maono, "Anania." Na akadeda, "Ngowa, niko aha Mzuri.
\v 11 "Mzuri akamzera, "wukia ugende chia rako katika mtaa guwangwaa Nyofu, na katika nyumba ya Yuda na ugende kotia mundu kufuma Tarso awangwaa sauli, maana waduaga lomba;
\v 12 na wawonie katika maono mundu irina jake Anania akangia na kuwekea mikonu igu yake ili kwamba apate kuona.
\v 13 Ela Anania akajibu, "Mzuri, nasikira habari ra mundu uyu kwa wandu wengi, kwa kiasi ki andu atendee gazamie watakatifu wa uko Yerusalemu;
\v 14 Aha akona mamlaka kufuma kwa kuhani mbaha kumwada kila umweri ajiwangiga irina jako.
\v 15 Ela Mzuri akamzera, "Genda, kwa maana ye ni chombo teule kwapwa, kuwusie irina japwa imbiri ya masanga na wazuri na wana wa israeli.
\v 16 Maana niwawonyeraga geko mengi gampasaga kuteswa kwa ajili ya irina japwa."
\v 17 Anania akagenda, akangia aja nyumbenyi, Akamwekea mkonu akadeda, mbari sauli, Mzuri Jesu, akufumirie katika chia wakati udacha, waniduma upate kuwona sena na uchurigwe Ngolo wa kuela.
\v 18 Gafula vikagwa mesonyi kwake vilambo kama magamba, akapata kuwona, akasimama, akabatizwa, akaja vindo na kupata ndigi.
\v 19 Akakaia andu kumweri na wanafunzi uko Demeski kwa matuku mengi.
\v 20 Wakati ugo gweni akamtangaza Jesu katika masinagogi, akideda kwamba ye ni mwana wa Mlungu.
\v 21 Na wose wasikira washangaie na kudeda, siyo mundu uyu awanonie wose wajiwanga irina iji uko Yerusalemu? Na aha wachee kwa ikusudi ja kuwafunga na kuwagenja kwa makuhani."
\v 22 Ela sauli wawezeshiwe kuhubiri na kuwabonya wayahudi warikogo wakika Dameski wachanganyikiwe na kuthibitisha ya kugora uyu ni ye Kristo.
\v 23 Baada ya matuku mengi, wayahudi wakabonya ishauri andu kumweri ili wambwage.
\v 24 Ela mpango wawaguka manyikana na sauli, wakamvizi mjangonyi mdime na kio wapate kumbwaga.
\v 25 Ela wanafunzi wake wamwusie na kio wakamzera kuidia ukutenyi, wakamsera ndonyi nguunyi.
\v 26 Na sauli kufika Yerusalemu wajaribie kukiunga na wanafunzi ela werikogo wakimboa. Wasasaidi kuwa ye ni mwanafunzi.
\v 27 Ela Barnaba akamwusa na kumgenja kwa walodi, Na akawaelekeza jinsi sauli kandu ambonie Mzuri chienyi na Mzuri andu adedie na ye, na jinsi sauli ahubirie kwa irina ja Jesu uko Dameski.
\v 28 Wakwane nawo wakingia na kufuma Yerusalemu. Akadeda kwa ujasiri kwa irina, ja Mzuri Jesu,
\v 29 akihosiana na wayahudi wa kiyunani ela wakigeria mara kwa mara kubwaga.
\v 30 Wakati mbari, kumanya ilago ijo wamwusa mpaka kaisaria na wamgenje mpaka Tarso.
\v 31 Basi ikanisa jose katika uyahudi, Galilaya na samaria, jakogo na sere, na jikaagwa, na kusela katika hofu ya Mzuri na faraja ya Ngolo wa Kuela, ikanisa jikazogua kwa kuchurika idadi.
\v 32 Kisha yafumirie Petro akogo akizunguluka uchuwande rose ra mkoa, akawaseria waumini wakaia katika muzi gwa Lida.
\v 33 Akamwona uko mundu umweri irina jake Ainea, mundu uyo wakogo kitandenyi miaka nane, maana wakogo waolola.
\v 34 Petro akamzera, "Ainea, Jesu Kristo akuboise, wikia na ukialie kitanda chako," mara akawikia.
\v 35 Na wandu wose wakogo wakikaia Lida na shoroni kumwona mundu uyo, wakamgeukia Mzuri.
\v 36 Kwarikogo na mwanafunzi Yafa awangwaga Tabitha, ambajo jatafsiriwe kama "Dorcas" Uyu muka wachue kazi riboie na matendo ga rehema agabonyie kwa wakiwa.
\v 37 Yafumirie katika matuku ago akawawa na anafwa, kumsafisha wakamjosa chumba cha igu na kumtungurisha.
\v 38 Kwa kugora Lida yakogo avui na Yafa, na wanafunzi wasikire kwamba Petro warikogo uko, wakaduma wandu wawi kwake, wakamsihi, "choo kwedu bila kusoriwa."
\v 39 Petro akawikia na akaingia andukumweri nawo. kufika, wamridie katika chumba cha igu. Na wajane wose wasimamie avui nae wakilila wakibonyera ikoti na nguwo ambaro Dorcas wawashomee wakati akikaia andukumweri nawo.
\v 40 Petro akawafunya wose shigadi ya chumba, akakaba magoti akalomba, kisha akageukia muwi, akadeda, "Thabitha, wikia". Akafusira meso gake na kumbpona Petro akaka ndonyi.
\v 41 kisha Petro akamneka mkonu gwake ambusira, na kuwawanga waumini na wajane akawakabizi kwawo akika banana.
\v 42 Ilago iji jikamanyikana yafa yose, na wandu wengi wakamwamini Mzuri.
\v 43 Ikafumirie Petro akakaia matuku mengi Yafa andukumweri na mundu awangwaa simoni, mboisa mirongo.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Kurikogo na mundu fulani katika muzi gwa kaisaria, irina jake awangiwe Kornerio, wakogo mbaha wa kukosi cha kiitalia.
\v 2 Warikogo mcha Mlungu wamwabudue Mlungu na nyumba yake yose, wafunyie magome mengi kwa wayahudi na walombie kwa Mlungu matuku gose.
\v 3 Muda gwa kenda ra dime, akawona maono malaika wa Mlungu adacha kwake. Malaika akamzera. "kornelio!
\v 4 Kornelio akamguwa malaika na wakogo na hofu mbaha nanganyi akadeda "Ihi ni ndoi mgosi?" malaika akamzera "Malombi gako na zawadi rako kwa wakiwa rajoka igu kama kumbukumbu kwa Mlungu."
\v 5 Idana duma wandu kugenda muzi gwa Yafa kumreda mundu umweri awangwaga simoni ambaye pia wawangwaga Petro.
\v 6 Wakaa na mboisa mirongo awangwaga simoni ambaye nyumba yake mbai ya bahari."
\v 7 Baada ya malaika akogo akideda nae kuinga, kornelio akawawanga watumishi wa nyumbenyi kwake wawi, na askari akogo akimwabudu Mlungu kati ya maaskari wakogo wakimtumikia.
\v 8 Kornelio wawagorie gose gafumiria na akawaduma Yafa.
\v 9 Ituku jinugirie muda gwa saa sita akika chienyi na wadakaribia mzinyi, Petro akajoka igu darinyi kulomba.
\v 10 Na pia akaka na njala na wahitajie kilambo cha kuja, ela wakati wandu wadeka vindo, akabonyerwa maono,
\v 11 akawona anga yafunguka na chombo chidasea na kilambo fulani kama nguwo mbaha ikisea ndonyi ardhini katika kona rake rose ina.
\v 12 Ndenyi yake kwarikogo na aina rose ra nyamandu wakona magu ana na watambalaga igu ya ardhi, na nyonyi wa angenyi.
\v 13 Sena sauti ikadeda kwake "wikia, Petro chinja na uje."
\v 14 Ela Petro akadeda "siyo huwo, Mzuri kwa sababu siligisire wahi kuja kilambo chochose najisi na kichafu.
\v 15 Ela sauti ikacha kwake sena kwa mara yaa kawi "Achitakasie Mlungu usawange najisi wadakichafu."
\v 16 Ihi yafumirie mara kadadu, na chija chombo chikaka chawusigwa sena angenyi.
\v 17 Na wakati Petro akiwa katika hali ya kuchanganyikiwa igu ya ago maono gamaanisha ga indoi, Ngowa, wandu wakogo wadumwa ni kornelio wakasimama imbiri ya ilango, wakikotia chia kugenda nyumbenyi.
\v 18 Na wakawanga na kukotia kama simoni ambaye pia wawangiwe petro wakogo waka aja.
\v 19 Wakati ugo petro akogo akiwaza igu ya ago maono, Ngolo akadeda nae, "Ngowa wandu wadadu wadakulola.
\v 20 Wukia na usee ndonyi na ugende nawo. Usaboe kugenda nawo, kwa sababu nawaduma."
\v 21 Petro akasea ndonyi kwawo kudeda, Nyi ni uja mumlola. Kwa indoi mwacha?"
\v 22 Wakadeda, "Akida umweri irina jake kornelio, mundu wa haki na wakundaa kumwabudu Mlungu, na wandu wamdedaa nicha katika isanga jose ja kiyahudi, wagoriwa ni malaika wa Mlungu kukuduma ili kugenda nyumbenyi kwake, ili asikire ujumbe kufuma kwako."
\v 23 Petro akawakaribisha kungia ndenyi na kukaia andu kumweri nae. Asubuhi ye yanugiria akawukia akagenda andukumweri nae, na wambari watineri kufuma Yafa waka ambatana nae.
\v 24 Ituku jinugirie wakacha kaisaria. Na kornelio werikogo akiwasera, na wakogo wawanga andu kumweri wambari wake na marafiki wake avui.
\v 25 Wakati Petro akingia ndenyi, kornelio akamlaki na kuigogoma hadi ndonyi magunyi kwake kwa kumheshimu.
\v 26 Ela petro akamusira na kudeda "mama, nyi mweni pia na mwanadamu."
\v 27 Wakati petro akika adadeda nae, akagenda ndenyi akadoka wandu wakusanyika andu kumweri.
\v 28 Akawazera, "Inyo weni mwaichi kugora siyo sheria ya kiyahudi kushirikiana au kuseliana na mundu ambae siyo wa isanga iji. Ela Mlungu wanibonyera nyi kuwa sipaswaa kumbanga mundu wowose ni najisi au mchafu.
\v 29 Na ndio maana nacha bila kubisha, nadumwa kwa ajili iyo. Kwa huwo nimkotie kwa indoi mwadumiwe kwa ajili yapwa."
\v 30 Kornelio akadeda, "matuku ana gaida, wakati kama ugu narikogo nalomba muda wa saa kenda nadime ndenyi ya nyumba yapwa, Nikawona imbiri yapwa mundu wasimama akiwa na mavazi ga chokwa,
\v 31 Akanizera "kornelio malombi gako gasikiriwa ni Mlungu, na zawadi rako kwa wakiwa rakaia ukumbusho imbiri ra Mlungu.
\v 32 kwa huwo duma Yfa na agendembanga mundu umweri awangwawa simoni ache kwako, ambaye pia wawangwawa petro, ambaye waishi kwa mboisa mirongo umweri awangwawa simoni ambaye nyumba yake iko mbai ya bahari.
\v 33 Zingatia: mstari ugu,: Naye akacha wadima deda na inyo,"ndaguko katika maandiko ga kala.
\v 34 Niko Petro akafungua momu gwake wa kudeda "loli, naamini kugora Mlungu ndadimaa kukaia ya upendeleo.
\v 35 Badala yake, kila isanga mundu wowose amwabudu na kubonya matendo ga haki adakubalika kwake.
\v 36 Waichi ujumbe agufunyie kwa wandu wa Israeli, akitangaza habari riboie ra sere kuidia Jesu Kristo ambae ni Mzuri wa wose.
\v 37 Inyo weni mwaichi itikio ja fumiria, ambajo jafumirie Yudea yose na jaanzie Galilaya, baada ya ubatizo ambago Yohana watangazie.
\v 38 situkio jamhusu Jesu Kristo jinsi Mlungu andu amkumbie mavuda kwa Ngolo wa kuela na kwa ndigi. wagende akibonya gaboie na kuboisa wose watesekie na ibilisi, kwa kugora Mlungu warikogo andu kumweri nae.
\v 39 Isidamashahidi wa malago gose agabonyie katika masonga ga uyahudi na Yerusalemu - uyu ni Jesu wambwagie na kumtundika mudinyi.
\v 40 Uyu mundu Mlungu wamfufue ituku ja kadadu na kumneka kumanyikana.
\v 41 Si kwa wandu wose, lakini kwa mashahidi wasagulwe kabla ni Mlungu. -isiweni, dijie nae na kunywa nae baada ya kufufuka kufuma kwa wafu.
\v 42 Wadilagiza kuhubiri kwa wandu na kushuhudia kuwa uyu nie ambaye Mlungu wamsagua kuwa mwamuzi wa weko benana na wafu.
\v 43 Katika ye manabii wose washuhudie, ili kwamba kila aaminie katika ye wadime wokera msa, aha gwa zambi kuidia irina jake."
\v 44 Wakati Petro akiendelea kudeda aga, Roho Mtakatifu akawachura wose warikogo wakisikiria ujumbe gwake.
\v 45 Wandu waja wahusikaga na kikundi cha waumini watahariwe- waja wose wachee na Petro-washangaziwe, kwa sababu ya karama ra Roho mtakatifu adiriwe pia kwamasanga.
\v 46 Kwa kugora wasikire awa wa masanga wadaaria kwa luga rimwi na kumwabuduMlungu.
\v 47 "Kuko mundu wowose adima kuzwa machi ili wandu wasbaatizwe, wandu awa wambokerie Roho Mtakatifu kama isi?"
\v 48 Niko akaamuru waabatizwe kwa irina ja Jesu Kristo. Baadaye wakamlomba wake nae kwa matuku kadhaa.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Mitume na wambari waja wakiogo uko Yudea wasikire kugora wamasanga wajiwokera idedo ja Mlungu.
\v 2 Petro kucha uko Yerusalemu, jija ikundi ja wandu watahiliwe wakaanzakumkosoa, wakideda,
\v 3 "Washikamana na wandu wasatahiriwe na kuja nawo!"
\v 4 Lakini Petro waanzie kueleza itukio kwa kina, akideda,
\v 5 Nakogo nalomba katika muzi gwa Yafa, na nikawona maono ga chombo chikisea kwapwa.
\v 6 Nachiguwie na kufikiri igu yake. Nikawona nyamandu rikana magu ana waishiwo katika isangu na nyamandu ra isakengi watambalaa na nyonyi wa angenyi.
\v 7 Kisha nikasikira sauti ikideda nanyi, "Wukia, Petro, chinja na uje!
\v 8 Nikadeda, "Siyo huwo, Bwana, momunyi kwapwa ndekuligisire kungia kilambo chochose chiseko kitakatifuau kichafu."
\v 9 Lakini sauti ikajibusena kufuma mbingunyi, chija Mlungu wachitangaza kuwa ni safi, usachiwangae najisi,
\v 10 Ihi ya fumirie mera kadadu, na kila kilambo churusiwaga mbingunyi sena.
\v 11 Ngowa, wakati ugo wandu wadadu warikogo wasimama imbiri ya nyumba ijo dikogo; wadamwa kufume kuisaria kucha kwapa.
\v 12 Roho akamgoria kugenda nawo, na nisatofautiane nawo. Awa womi sila wakagenda andukumweri na nyi na dengendie nyumbenyi ya mundu umweri.
\v 13 Wadigoria waja andu amwonia Malaika wasimama ndenyi ya nyumba yake akadeda, "Nideme yafa nigende mreda Simoni ambaye irina jake jimuri ni Petro.
\v 14 Adedaga ujumbe kwako katikaugo wadima okoka we na nyumba yako yose."
\v 15 Nirikogo naanza kudeda nawo, Roho mtakatifu akscha igu yawe kema andu achae kwedu mwanzoni.
\v 16 Nakumbuka anadedo ga Bwana, andu adedie, "Yohana wabatizie kwa machi; lakini mwadime baatizwa kwa Roho mtakatifu."
\v 17 Pia kama Mlungu wafunga zawadi kama iroadinekie isi nikiamini katika Bwana Jesu kristo, nyi nani, kwamba nadima kumpinga Mlungu?
\v 18 Kusikira malago aga, ndewawujie, bali wa mtogolie Mlungu na kudeda"Mlungu wafunya toba kwa ajili ya wa masanga pia."
\v 19 Basi waamini ambawo mateso gaanzie kifwenyi cha stefano watawanyikie kufuma Yerusalemu: waamini awa wagendie kula, hadi mpaka foinike, Kipro na Antiokia. Wawagorie ujumbe kuhusu Jesu mwenikeri kwa Wayahudi na siyo kwa umwawaye wose.
\v 20 Lakini baanzi yawo ni wandu kufuma Kipro na Krene, wachee Antiokia na kudeda na wayunani na kumhubiria Bwana Jesu.
\v 21 Na mkomu gwa Bwana gwakogo andukumweri newo, na wandu wengi waaminie na kumwangukia Bwana.
\v 22 Habari rawo rikafikia madunyi mwa ikanisa ja Yerusalemu! na wakamduma Barnaba agenda mpaka Antiokia.
\v 23 Kucha kuwona kwama ya Mlungu akaboiwa; na akawakumba ngolo wose kubaki na Bwana katika ngolo rawe.
\v 24 Kwa sababu warikogo mundu mwema na wachuiwa na Roho mtakatifu na imani na wandu wengi wakachurika katika Bwana.
\v 25 Baadaye Barnaba wagendieTerso kumwona Sauli.
\v 26 Kumpata, akamreda Antiokia. Akakai kwa mwaka mlazi wakakusanyika andukumweri na ikanisa na kuwafundisha wandu wengi. Na wanafunzi wakawangwa wakristo kwa mara ya kwanza uko Antiokia.
\v 28 Na katika matuku aga manabii wakasea kufuma Yerusalemu mpaka Antiokia.
\v 27 Umweri wawe ni Agabo nijo irina jake, akasimama akiashiriwa ni Roho kuwa njalaibirie urumwengunyi kose. Ihi yafumirie wakati gwa matuku ga kludio.
\v 29 Kwa huwo, wanafunzi, kila umweri kanduafarikiwe, waamue kugenja misaada kwa wambari wako Uyahudi.
\v 30 Wabonyie huwu; wadumie mengome kwa mkonu gwa Barnaba na Sauli.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Wakati ugo Mzuri Herode akanyoosha mkonu gwake kwa baadhi ya waja wafuma ikusanyikonyi ili kuwatesa.
\v 2 Akawanga Yakobo mbari wake Yohana kwa upanga.
\v 3 Baada ya kuwona kugora idawapendeza wayahudi, akamwada na petro sena. Ihi yakogo wakati gwa mikate isashashie.
\v 4 kumwada, akamwika igerezanyi na akawika kikosi vina va askari ili alindiriwe, werikogo akitarajia kunganja kwa wandu baada ya pasaka.
\v 5 Petro akawikwa igerezanyi, ela malombi ga kabonywa kwa bidii na ikusanyiko kwa ajili yake kwa Mlungu.
\v 6 Ituku kabla Herode ndagendie kumfunya, kio icho petro arikogo watungura gadi gadi ya maaskari wawi, akikaia wafungwa na minyororo iwi, na walinzi imbiri ya mjango warikogo wakilindia igereza.
\v 7 Gowa, malaika wa Mzuri gafula wakamfumiria nuru ikalangala ndenyi. Akamkaba petro lumwangunyi na kumwusira akideda, "wikiashwashwa." niko minyororo akogo wafungwa ikafunguka kufuma mikonunyi kwake.
\v 8 Malaika akamzera, "Rwaanguwo rako na mwaavadu vako." Petro akabonya huwo. Malaika amzera, "Rwaa ivazi jako na uninuge."
\v 9 Huwo Petro akamnuga malaika na akafuma shigadi. Ndaminie chabonyigwa ni malaika kama ni cha loli. Wadhanie adawona maono.
\v 10 Baada ya kuidia ilindo ja kawi, wakafika igetinyi ja chuma ja kungiria kugenda mjini, jikaruguka jeni kwa ajili yawo. Wakafuma shigadi wakosea mtaenyi, mara malaika akamsiga.
\v 11 Petro akimanya, akadeda, "Idana naamini kugora Mzuri wadumie malaika wake ili kunifunya katika mkonu ya Herode, na kwa matarajio ga wandu wose wa uyahudi."
\v 12 Baada ya kumanya aga, akacha nyumbenyi kwa mariamu maye wa Yohana ambae ni Markoi, wakristo wengi wakusanyikie wakilomba.
\v 13 Kukaba hodi mlangonyi gwa kizuizi, mtumishi umweri mwai awangwaa Roda akacha kurugua.
\v 14 kumanya ni sauti ya petro, kwa kuboiriwa akalemwa kugurugua mjango, badala yake, akakimbia ndenyi ya chumba, kuwajulisha kugora petro wasimama imbiri ya mjango.
\v 15 Huwo, wakadeda kwake, "We wa mwendawazimu" ela wakazie kuwa ni loli ni ye. Wakadeda "Uyo ni malaika wake."
\v 16 Ela petro waendelea kukaba hadi, na kufungua mjango wakamwona, na wakashangaa nanganyi. Petro akawanyamazisha kwa mkonu kimya kimya na akamzera jinsi Mzuri andu amfunyie igerezanyi akadeda,
\v 17 Wajulishe aga malago Yakobo na wambari wake." kisha akainga akagenda sehemu imwi.
\v 18 kufikia na dime, kukaia na huzuni mbaha kati ya asakari kuhusiana na chafumiria kwa petro.
\v 19 Baada ya Herode kulomba na mwonie akawakotia walinzi na akaamuru wabwage. Akagenda kufuma uyahudi mpaka kaisaria na kukai uko.
\v 20 Herode warikogo na hasira igu ja wandu wa Tiro na Sidoni. Wakagenda kwa andu kumweri kwake. Wakawa na umbuya na Blasto msaidizi wa muri, ili awataware. Kisha wakalomba sere, kwa sababu isanga jawe jiwakeriwe vindo kufuma katika isanga ja Mzuri.
\v 21 Ituku jikusadiwe Herode warwae mvazi ga kiwuzuri na kukaia kifumbinyi chake cha wuzuri, na ake wahutubia.
\v 22 Wandu wakakaba jogo, Ihi ni sauti ya Mlungu wala siyo sauti ya mwanadamu!"
\v 23 Mara gafula malaika akamkaba, kwa sababu ndamkie Mlungu utukufu, akajingwa ni ichango na akafwa.
\v 24 Ela idedo ja Mlungu jikazogua na kusambaa.
\v 25 Baada ya Barnaba na sauli kukamilisha huduma yawe wakafuma aja wakawuga Yerusalemu, wakamwusa na Yohana irina ja kuvalwa ni Marko.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Idana katika ikanisa ja Antiokia, kwarikogo na baazi ya walodi na walimu. Warikogo Barnaba, simoni (awangiwe Nigeri). Lukio wa kirene, Maomi (mbari aseko wa baga wa Herode kilongozi wa mkoa), na sauli.
\v 2 Wakogo wakimwabudu Mzuri na kufunga, Ngolo wa kuela wadedie, "Nitengenyi mbai Barnaba na sauli, waibonye kazi nawawangia."
\v 3 Baada ya ikanisa kufunga, kulomba na kuwika mikonu yawe igu ya wandu awa, wakawasiga wagende.
\v 4 Kwa huwo Barnabas na sauli wamtiie Ngolo wa kuela na wasarie kudekea selekia, kufuma uko usafirie baharinyi kuelekea kisiwa cha kipro.
\v 5 Wakogo katika muzi gwa salami, wajitangazie idedoja Mlungu katika masinagogi ga wayahudi. Pia warikogo andu kumweri na Yohana Marko kama wasaidizi wawe.
\v 6 Kugenda katika kisiwa chopse pafo, wadekie mundu fulani msawi, myahudi nabii wa tee, ambae irina jake jakogo ni Bar Jesu.
\v 7 Msawi uyu washirikiane na liwali sergio Paulus, wakogo mundu akona akili. Mundu uyu wawakongie Barnaba na sauti, kwa sababu wahitajie kusikira idedo ja Mlungu.
\v 8 Ela Elima "Uja msawi" (huwo niko irina jake jikafumiriwe) wawapingie, wajaribie kumgalusa ujaliwali afuma imaninyi.
\v 9 Ela sauli awangiwe Paulo, warikogo wachurigwa ni Ngolo wa kuela, akamkazia meso
\v 10 na akadeda "Ewe mwana wa Ibilisi, wachurigwa ni aina rose ra udanganyifu na uzaifu. We ni adui wa kila aina ya haki. Ndukama kurigalusa chia ra Mzuri, ra nyooka, je udimaga?
\v 11 Idana gowa, mkonu gwa Mzuri guko igu yako, na ukaia kipofu. Ndujiwonaga iruwa kwa muda." mara imweri idulu na kira vikagwa igu ya Elimas; akaanza kuzunguluka aja akilomba wandu wamlongoza kwa kumwada mkonu.
\v 12 Baada ya liwali kuwona chafumiria, akaamini, kwa sababu washangaziwe kwa mafundisho kuhusu Mzuri.
\v 13 Idana Paulo na wakamwawe wadumbie machinyi kufuma pafo na wakafika perge katika pamfilia. Ela Yohana wawasigie na kuuya Yerusalemu.
\v 14 Paulo na amwawe wadambie kufuma perge na wafika Antiokia ya pisidia. Uko wagendie katika isinagogi ituku ja sababto na kuka ndonyi.
\v 15 Baada ya sheria na manabii, vilongozi wa isinagogi wawadumie ujembe wakideda, "Mbari, kama mkana ujunbe gwa kukumba ngolo wandu aha, dedenyi"
\v 16 Kwa huwo Paulo wasimamie na kuwapangie mkonu, wadedie, "Womi wa Israeli na inyo mumtii Mlungu, sikirenyi.
\v 17 Mlungu wa awa wandu wa Israeli wawasague waka aba wedu na kuwabonya wandu wengi wakikaia katika isanga ja Misri na kwa mkonu gwake kuinuliwa walongozie shigadi yake.
\v 18 Kwa miaka arobaini wawammagie katika ijangwa.
\v 19 Baada ya kuganona masanga saba katika isanga ja kaanani, wawanekie wandu wedu isanga ja wa kwa kupala.
\v 20 Matuku aga gose gafumirie zaidi ya miaka mia ina na hamsini, Baada ya vilambo ivi vose, Mlungu wawanekie waamuzi mpaka samweli Nabii.
\v 21 Baada ya ay, wandu walombie Mzuri, huwo Mlungu wanekie sauli mwana wa Kishi, mundu wa ikabila ja Benjamini, kuwa Mzuri kwa miaka arobaini.
\v 22 Kisha baada ya Nlungu kumuinja katika Uzuri, wamwinue Daudi kwamba mzuri wawo. Yerikogo ni kuhusu Daudi kwamba Mlungu wadedie, 'Nampata Daudi mwana wa Yese kuwa mundu apendezwaye ni ngolo yapwa; ambae wadima bonya kila kilambo nichikundi.'
\v 23 Kufuma ukoonyi kwa mundu uyu Mlungu wairedie Israeli mkombozi, Jesu, kama aahidie kubonya.
\v 24 Iji jaanzie kufumiria, kabla ya Jesu kucha, Yohana kwanza watangazie ubatizo gwa toba kwa wandu wose wa Israeli.
\v 25 Naye Yohana arikogo akibwagiria kazi yake, wadedie, "mwanifikiri nyi nani? Nyi siyo uja. Ela sikirienyi, achaga nyuma yapwa, sistahili kulegesha vadu magu gake.'
\v 26 Wambari, wana wa ukoo gwa Abrahamu, na waja ambao kati yenyu mwamuabaudu Mlungu, ni kwa ajili yedui kwamba ujumbe ugu gwa ukombozi gwadumwa.
\v 27 Kwa waja waishiwo Yerusalemu, na watawala wao, ndawamanyie kwa uhalisia, na wala ndawamanyie ujumbe gwa walodi ambawo wasomwaga kila sabato, kwa huwo watimizie ujumbe gwa walodi kwa kumhukumu kufwa Jesu.
\v 28 Japokuwa ndawapatie sababu iboie kwa kifwa ndenyi yake, wamlombie pilato ambwage.
\v 29 Kumeria malago gose gaandikiwe kuhusu ye, wamserie kufuma ndigi na kumtungurisha kaburinyi.
\v 30 Ela Mlungu wamfufue kufuma wafu.
\v 31 Waonekane kwa matuku mengi kwa waja wagendie andu kumweri na ye kufuma Galilaya kuelekea Yerusalemu. Wandu awa idana ni mashahidi wa wandu.
\v 32 Huwo dawaredia habari riboie kuhusu ahadi wanekio wakewawa wedu.
\v 33 Mlungu wawikie ahadi iri kwedu, wana wao, katika ijo wamfufue Jesu na kumwuja sena katika binana. Iji pia jaandikiwe katika zaburi ya kawi, we wamwanapwa, linu na kaia Aba wako'
\v 34 Pia kuhusu uloli ni kwamba wamfufue kufuma wafu ili kwamba muwigwake gusanoneke, wadedie huwu, Ni kupatia utukufu na baraka halisi ra Daudi'
\v 35 Ihi niyo sababu kudeda pia katika zaburi imwi, "Ndairuhusu mtakatifu wako kuwaona uozo.'
\v 36 Kwa kugora baada Daudi kutumikia makundo ga Mlungu katika kivazi chake watungurie, watungurishiwe andu kumweri na aba wake, na wawonie uharibifu,
\v 37 Ela wafufuliwa ni Mlungu ndaguwonie uharibifu.
\v 38 Huwo na imanyikana kwenyu, wambari, kuidia kwa mundu uyu, msamaha gwa zambi gwahubiriwa.
\v 39 Kwa ye kila aaminiye adataliwa haki na malago gose ambago sheria ya Musa ndege wapatie hachi.
\v 40 Huwo basi kenyi waangalifu kwamba kilambo wachiarie walodi chisafumirie kwenyu.
\v 41 Ngowa, inyo mdharau, na mgende shangaa na mgende angamia, kwa uja nabonya kazi katika matuku genyu, kazi ambayo ndemdimaga kuiamini, hata kama mundu wadima waeleza."
\v 42 Wakati paulo na Barnaba kuinga wandu walomba wadede madedo aga ituku ja sabato ichaga.
\v 43 Wakati mkutano gwa isinagogi kusia, wayahudi wengi na waongofu thabiti wamanyie paulo na Barnaba, ambawo wadedie nawo na wawahimizie waendelee katika neema ya Mlungu.
\v 44 Sabato inugirie, karibu mzi mlazi gwa kusanyikie kusikira idedo ja Mlungu.
\v 45 Wayahudi kuwona makutano, wacheweni wivu na kudeda madedo gapingie vilambo vidediwe ni paulo na wamwanyirie.
\v 46 Ela paulo na Barnaba wadedie kwa ujasiri na kudeda, "Yarikogo ni muhimu kwamba idedo ja Mlungu jidediwe kwanza kwenyu. Kwa kugora mwajisukumia kula kufuma kwenyu na kukiwona kuwa ndemstahilie binana ya kala na kala, angalienyi dimigeukiaga masanga.
\v 47 Kama ambavyo Mzuri wadiamuru, akideda, 'Nawawika inyo kama nuru kwa wandu wa masanga, kwamba mrede wokovu kwa chuwande rode ra dunia."
\v 48 Masanga kusikira iji, waboiwe na kujitogola iji idedo ja Mzuri. wengi wasaguliwe kwa binana ya kala na kala waaminie.
\v 49 Idedo ja Mzuri jaienee isanga jose.
\v 50 Ela wayahudi wawasilie wakifunyie na waka muhimu, pia na vilongozi wa mzi. Aga gachochee mateso dhidi ya Paulo na Barnaba na wawadagie shigadi ya miano ya mzi.
\v 51 Ela paulo na Barnaba wakung'utie luvumbi lwa magu gawe. Kisha wakagenda mzi gwa ikonia.
\v 52 Na wanafunzi wachurigwe ni kuboirwa andu kumweri na Ngolo wa kuela.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Ikafumiria ndenyi ya Ikonia kwamba Paulo na Barnaba wangirie andukumweri ndenyi ya isinagogi ja wayahudi na kudeda namna ambawo ikundi ibaha ja wandu wayahudi na wayunani waaminie.
\v 2 Ela wayahudi wasatii wawachochee akili wamasanga na kuwabonya kuwa wazamie dhidi ya wambari.
\v 3 Kwa huwo wakaie uko kwa muda mlacha, wakideda kwa ujasiri kwa ndigi ya Mzuri, uku akifunya uthibitisho kuhusu ujumbe gwa neema yake. Wabonyie huwu kwa kufunyaa ishara na maajabu vibonywe kwa mikonu ya Paulo na Barnaba.
\v 4 Ela ieneo ibaha ja muzi jagawanyikie baadhi ya wandu warikogo andu kumweri na wayahudi, na baadhi andukumweri na walodi.
\v 5 Wakati wamasanga na wayahudi kugeria kuwashawishi vilongozi wawe kuwabonyia ulage lage kuwaponda magwe paulo na Barnaba,
\v 6 Kujimanya ijo na kukimbiria katika mizi ya likaonia, listra na Derbe, na maeneo gazungulukaga aja,
\v 7 na uko waihubirie injili.
\v 8 Na uko Listra kwarikogo na mundu umweri akogo akikaia, ndakogo na ndigi magunyi gake. Kilema kufuma kifunyi kwa maye, ndawalie kuwadia.
\v 9 Mundu uyu wamsikire Paulo akideda. Paulo wamkazie meso na akawona kwamba wakogo na imani ya kuboiswa.
\v 10 Huwo wadedie kwake kwa sauti ya igu, "Simama kwa magu gako." Na uja mundu akaburuka igu na kuanza kuwadia.
\v 11 Umati kuwona wachibonya paulo, waka inua sauti rawe, wakideda katika lahaja ya kilikaonio, "Mlungu yadishukia kwa namna ya binadamu."
\v 12 Wakamwanga Barnaba "Zeu," na Paulo "Herme" kwa sababu wakogo mdedaji mbaha.
\v 13 Kuhani wa zeu, ambaye ihekalu jake jarikogo shigadi ya muzi, waredie idume ja ng'ombe na ludingo lwa maruwa mpaka ilangonyi ja muzi, ye na umati wakundie kufunya sadaka.
\v 14 Ela walodi, Barnaba na Paulo, kujisikira iji, wakarashua mavazi gawe na kwa shwa shwa wakagenda shigadi umatinyi, wakilila.
\v 15 na kudeda, "Inyo wandu, kwa indoi mdabonya malago aga? Na isi pia dabinadamu diko na hisia kama rakwenyu. Dawaredia habari riboie, kwamba mgeuke kufuma vilambo visafaa na kumwekea Mlungu eko banana, aumbie Mbingu, dunia na bahari na kila kilambo chiko.
\v 16 Katika nyakati raida, wawaruhusie masanga kusela katika chia rawe weni.
\v 17 Ela bado, ndaingie pasipo shahidi, katika iyo wabonyie nicha na akawapatia vua kufuma mbingunyi na nyakati ra mazao, akiwachura ngolo rawe kwa vindo na kuboiwa"
\v 18 Hata kwa madedo aga, Paulo na Barnaba kwa shida wazuie umati kuwafunyia sadaka.
\v 19 Ela baadhi ya wayahudi kufuma Antio kila na Ikonia wachee kushawishi umati. Wakamkaba magwe Paulo na kumburuta hadi shigadi ya muzi, wakidhani wakogo wagwa.
\v 20 Hata huwo wanafunzi wakogo wasimama avui nae, wawikie wakangia muzinyi. ituku ja kawi, wagendie Derbe na Barnaba.
\v 21 Baada ya kufundisha injili katika mzi uja na kuwabonya wanafunzi wengi, wawie Litra, hadi Ikoniamu, na hadi Antiokia.
\v 22 Waendelee kuamirisha nafsi ra wanafunzi na kukumbwa ngolo kuendelea katika imani, akadeda, "Lazima dingie katika uzuri gwa Mlungu kwa kuidia mateso mengi."
\v 23 Wakogo wawateua kwa ajili yawe wagosi wa kila ikusanyiko ja waaminio, na wakiwa walomba na kufunga, wawakaboidhie kwa Mzuri, ambae wawo wamwaminie.
\v 24 Kisha waidie katika Pisidia, wafikie pamfilia.
\v 25 Wakati wakideda madedo katika Parga, waseie kugenda Atalia.
\v 26 Kufuma uho wajokie meli hadi Antiokia ambako warikogo wakifunya kwa neema ya Mlungu kwa ajili ya kazi ambayo idana wakogo waikamilisha.
\v 27 Kufika uko Antiokia, na kujisanya ikusanyiko ja andu kumweri wakafunya taarifa ya malago ambago Mlungu wabonyie kwawo, na jinsi kandu awafungulie mjango gwa imani kwa wandu wa masanga.
\v 28 Wakaie kwa muda mkacha na wanafunzi.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Wandu fulani waseie kufuma uyahudi na kuwafundisha wambari, wakideda, "mkalemwatahiriwa kama desturi ya Musa, ndamdimaa kuokolewa."
\v 2 Wakati Paulo na Barnaba wakogo na mapambano na mjadala andu kumweri nawo, wambari waamue kwamba Paulo, Barnaba, na wamwi kadhaa wagende Yerusalemu kwa walodi na wagosi kwa ajili ya iswali iji.
\v 3 Kwa huwo, kwa kudumwa kwawo na ikanisa, waidie Foinike na samaria wakitangaza kugewawa kubaha kwa wambari wose,
\v 4 Kucha Yerusalemu, wakaribishwe ni ikanisa walodi na wagosi, na wawasiishie taarifa ya malago gose ambago Mlungu wabonyie andu kumweri nawo.
\v 5 Ela wandu fulani waaminio, wakogo katika ikundi ja mafarisayo, wasiwaaminie na kudeda, "ni muhimu kuwatahiri na kuwaamuru waiwade sheria ya Musa."
\v 6 Huwo walodi na wagosi wasimamie andu kumweri kujifikiria iji iswala.
\v 7 Baada ya majadiliano malacha, Petro wasimamie na kudeda kwawo, "wambari mwaichi kwamba kitambo chiboie chiidie Mlungu wabonyie chaguo kati yenyu, Kwamba kwa momu gwapa masanga wasikire idedo ja injili, na kuamini.
\v 8 Mlungu, aichi ngolo, adashuhudia kwawo, adawoneka Ngolo wa kuela, kama andu wabonya kwedu;
\v 9 na daboisie utofauti kati yedu na wo akiibonya ngolo rawe safi kwa imani.
\v 10 kwa huwo, kwa indoi ndamjaribu Mlungu kwamba muwike nira igu ya singo ra wanafunzi ambawo hata aba wedu wala isi ndadime kustahimili?
\v 11 Ela daamini kwamba dadima okolewa kwa neema ya Mzuri Jesu, kama warikogo."
\v 12 Ikusanyiko jose janyamarie wakogo wakimsikira Barbara na Paulo wakogo wakifunya taarifa ya ishara na maajabu ambago Mlungu wabonyie andukumweri nawo kati ya wandu wa masanga.
\v 13 Kusiga kudeda, Yakobo akajibu akideda, wambari nisikirienyi.
\v 14 Simoni waeleze jinsi kutunza Mlungu kwa neema wawaterie masanga ili kwamba akipatie kufuma kwawo wandu kwa ajili ya irina jake.
\v 15 Madedo ga walodi gakubaliana na iji kama endu jaandikwa.
\v 16 Baada ya malago aga niwia na kuiga sena ihema ja Daudi, jiguie ndonyi, nadima uinua na kuihusisha uharibifu gwake,
\v 17 ili kwamba wandu wabakie wamlole Mzuri, andu kumweri na wandu wa masanga wawawingiwe kwa irina japwa.'
\v 18 Huwu niyo adedaga Mzuri abonyie malago aga gamanyikane tangu enzi ra kala.
\v 19 Huwo basi, ushauri gwapwa ni, disawapatie wasi wandu wa masanga wamgeukia Mlungu;
\v 20 Ela diandike kwawo kwamba wajiepushe kula na uharibifu gwa sanamu, tamaa ra uasherati, na va kunyoirwa, na baga.
\v 21 Kufuma vivazi va wagosi koko wandu katika kila muzi wahubiria na, kumsoma Musa katika masinagogi kila sabato."
\v 22 kwa huwo ikawonekana kugora yawapendeza walodi na wagosi, andu kumweri na ikanisa jose, kumsagua Yuda awangiwe Barnaba, na kuwaduma Antiokia andukumweri na Paulo na Barbara.
\v 23 Waandikie huwu, "Walodi, wagosi na wambari, kwa wambari wa masanga weko Antiokia, shamu na kulikia, salamu.
\v 24 Dasikire kwamba wandu fulani ambawo ndediwapatie amri iyo, wafumie kwedu na wawataabisha kwa mafundisho gareda wasi nafsinyi kwenyu.
\v 25 Kwa huwo yawonekana nicha kwedu wose kusagua wandu wa kuwaduma kwenyu andukumweri na wakundwa wedu Barnaba na Paulo,
\v 26 Wandu weko hatarinyi maisha gawe kwa ajili ya irina ja Mzuri Jesu Kristo.
\v 27 Kwa huwo damduma Yuda na sila, wadima wagoria malago ago.
\v 28 Kwa kugora ya wonekana nichya kwa Ngolo wa kuela na kwedu kulemwa wika igu mzigo mbaha kuliko malago aga geko ga lazima.
\v 29 Kwamba mgeuke kufuma vilambo vifunyiwaga kwa sanamu, baga, vilambo va kunyorwa, na uasherati. kama mkiwikaga kula na ivi, ikaia nicha kwenyu. kwa herinyi."
\v 30 Huwo basi, kutawanyishwa, waserie Antiokia, baada ya kukusanya ikusanyiko andu kumweri, wawasilishie barua.
\v 31 Wakogo waisoma, waboiwe kwa sababu ya kukumbwa ngolo.
\v 32 Yuda na Sila, na walodi, wawakumbie ngolo wambari kwa madedo mengi na kuwakumba ndigi.
\v 33 Baada ya kukaia muda fulani uko, watawanyishiwe kwa sere kufuma kwa wambari kwa waja wawaduma.
\v 34 [ Ela yawonekane nicha silakubaki uko ]
\v 35 Ela Paulo na wami wakaie Antiokia andu kumweri na wamwi wengi, ambapo wafundishie na kuhubiri idedo ja Mzuri.
\v 36 Baada ya matuku kadhaa Paulo wadedie kwa Barnaba, "nadiwue idana kuwaselia wambari katika kila muzi dahubiri idedo ja Mzuri, na kuwawona andu weko.
\v 37 Barnaba wahitajie pia kumwusa andu kumweri nawo Yohana awangiwe Marko.
\v 38 Ela Paulo wafikirie kuwa ndeikogo nicha kumwusa Marko, awasigie uko Pamfilia na ndaendelee nawo katika kazi.
\v 39 Kisha aho kufumiria mabishano mabaha kwa huwo wakatengana, na Barnaba wamwusie Marko na kudumba kwa meli mpaka Kipro,
\v 40 Ela Paulo wamsague sila na kuinga, baada ya kukabidhiwa ni mbari katika neema ya Mzuri.
\v 41 Na wagendie kuidia shamu na kilikia, akiimarisha makanisa.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Paulo pia kucha Derbe na Lystra; na ngowa, aja kwarikogo na mwanafunzi awangwaga Timotheo, ni mdawana avalwe ni muka wa kiyahudi ambaye ni muumini na aba wake ni mgiriki.
\v 2 Wandu wa Listra na Ikonia wamshuhudie nicha.
\v 3 Paulo wamkundie ili adambe nae, huwo akamwusa na kumtahiri kwa sababu ya wayahudi wakogo uko kwani wose wamanyie kuwa aba wake ni mgiriki.
\v 4 Wakogo wakigenda waidie mizi na kufunya malagizo kwa makanisa ili kugatii malagizo ago gaandikiwe ni walodi na wagosi uko Yerusalemu.
\v 5 Huwo makanisa gakaimarishwa katika imani na waaminie waongezeka kwa idadi kila ituku.
\v 6 Paulo na mbawe wakagenda Firigia na Galatia, kwani Ngolo wa Mlungu wawalegie kuhubiri idedo uko ijimboji ja Asia.
\v 7 Kukaribia Misia, wagerie kugenda Bithenia, ela Ngolo wa Jesu akawalegeshia.
\v 8 Kwa huwo wakaida Misia wakacha mpaka muzi gwa Troa.
\v 9 Maono gamfumirie Paulo na kio, kwarikogo na mundu wa makedonia wasimama, akimwanga na kudeda "Choonyi mditaware kunu makedonia."
\v 10 Paulo kuwona maono, mara dikajiandaa kugenda makedonia, akimanya kugora Mlungu wadiwangie kugenda kuwahubiria injili.
\v 11 Huwo nikainga kufuma Troa, nikagenda imweri kwa imweri Samothrake, na ituku janugiria likafika muzi gwa Neapoli.
\v 12 kufuma aho nikagenda Filipo ambawo ni umweri gwa muzi wa makedonia, muzi muhimu katika wilaga na utawala gwa kirumi na dikakaia matuku kadhaa.
\v 13 Ituku ja sabato, dagendie shigadi ya ilango kwa chia ya mweda, sehemu ambago dadhanie kukaia na andu kwa kubonyia malombi. Dakee ndonyi na kuoaria na wakamawe wachee andu kumweri.
\v 14 Muka umweri awangwaga Lidia, muuzaji wa zambarau, kufuma katika muzi gwa Tiatira, amwabudu Mlungu, wadisirikie. Mzuri wamfungue ngolo yake na kuwika maana ni madedo gadediwe ni Paulo.
\v 15 Baada ya kubatizwa, ye na nyumba yake yose, wadihie na kudeda, "kama mwaniona kugora nyi na wanafunzi katika Mzuri, basi nawasihi magie na kukaia kwapwa". Akadisihi nanganyi.
\v 16 Ikawa kwamba, dikogo dagenda endu kwalomba, mwai umweri akogo na pepo ra utambuzi akakwana naisi. Wamredie bwana wake faida nyingi kwa kubashiri.
\v 17 Mka uyu wamnugie Paulo andukumweri na isi. Akikaba jogo na kudeda "Awa womi ni watumishi wa Mlungu ambae ni mbaha, amitangazia inyo habari ra wokovu."
\v 18 Wabonye huwo kwa matuku mengi, ela Paulo akikaia wakasirishwa ni itendo ijo akafuma na kumsiga mara imweri.
\v 19 Mabwana wake kuona ya kugora itumaini ja faida yawe jainga, wawadirie Paulo na sila na kuwaburuta chetenyi imbiri ya wekona mamlaka.
\v 20 Kuwafikisha kwa mahakimu, wadedie, "Awa womi ni Wayahudi na wasababisha gasi mbaha katika muzi gwedu.
\v 21 Wadafundisha malago ambago siyo sheria isi kugawokera wala kuganuga kama Warumi."
\v 22 Umati ukawaiukia kinyume Paulo na sila, mahakimu wakarashua nguwo rawe na kuwarua na kuamuru wachapwe viboko.
\v 23 Baada ya kuwachapa viboko vingi, wakawadaga igerezanyi na kumuamuru askari wa igereza kuwalinda nicha.
\v 24 Baada ya kuwokera amri iyo, askari wa igereza wawadage katika chumba chendenyi ya igereza na kuwafunga magu gawe katika sehemu wawahifadhi.
\v 25 Wakati gwa kio cha manane, Paulo na sila wakaka wadalomba na kubora ra kumtogola Mlungu, uku wafungwa wami wakiwasikira,
\v 26 Gafla kukafumiria itetemeko ibaha na misingi ya igereza ikatingishwa, mijango ya igereza ikarunguka, na minyororo ya wafungwa wose ikalegeshwa.
\v 27 Mlindiri wa igereza akawikia kufuma dilonyi na akawona mijango yose ya igereza yarugulwa, huwo akawusa upanga gwake maana wakundie kukibwaga kwa sababu wafikirie wafungwa wose watoroka,
\v 28 Ela, Paulo akakaba jogo kwa sauti mbaha, akideda "usadhuru kwa sababu wose deko andu aha."
\v 29 Mlindiri wa igereza walombie taa riredwe na akangia ndenyi ya igereza kwa shwa shwa, akikakama na kuboa, akawangwea Paulo na sila,
\v 30 na kuwafunya shigadi ya igereza na kudeda, "Waheshimiwa ni bonye indoi ili nipate kuokoka?"
\v 31 Nao wakamzera, "mwamininyi Mzuri Jesu nawe wadima okoka andukumweri na nyumba yako."
\v 32 Wadedie idedo ja Mzuri kwake, andukumweri na wandu wose wa nyumbenyi kwake,
\v 33 Mlindiri wa igereza wawausie na kio chija na kuwagesha sehemu wavarika, andukumweri na wandu wa nyumbenyi kwake wakabatizwa shwa.
\v 34 Akawareda Paulo na Sila nyumbenyi kwake na kuwatengea vindo. Nae akakaia na kuboiwa nanganyi andukumweri na wandu wa nyumbenyi kwake kwa sababu wamwaminie Mlungu.
\v 35 Kufikia na dime, mahakimu wadumie ujumbe kwa uja mlindiri wa igereza wakideda, "Waruhusu kwa uja waja wagende",
\v 36 mlindiri wa igereza akamjulisha Paulo igu ya madedo ago kugora, "mahakimu wadumie ujumbe ni ruhusu mwinge: hiwo fumenyi shigadi na mgende kwa sere."
\v 37 Ela Paulo akawazera, "wadikabie hadharenyi, wandu ambawo ni warumi bila kudihukumu na waamue kudidaga igerezanyi, halafu idana wakundi kudifunya kwa siri? Hapana, ndaidimikaga, wo wache weni kudifunya andu aha."
\v 38 walindiri wakajulisha mahakimu igu ya madedo aga, mahakimu wakaboa nanganyi aja wakimanya kugora Paulo na Sila ni warumi.
\v 39 Mahakimu wakacha na kuwsihi wafume, na kuwafunya shigadi ya igereza, wakawalomba Paulo na sila wafume shigadi ya muzi wawo.
\v 40 Kwa huo Paulo na sila wakafuma shigadi ya igereza wakacha nyumbenyi kwa lidia Paulo na Sila kuwawona mbari, wakawakumba ngolo na kisha wakainga katika muzi ugo.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Na wakiidia katika mizi ya Amfipoli na Apolonia, wachee mpaka muzi gwa Thesalonike amboko kwarikogo na isinagogi ja wayahudi.
\v 2 Kama andu iko kawaida ya Paulo, wagendie mizawe, na kwa muda wa matuku adadu ga sabato wajadiliane nawo igu ya maandiko.
\v 3 Werikogo akiwarugulia maandiko na kuwaeleza kuwa, yampasie Kristo ateseke na kisha kufufuka sena kufuma kwa wafu.
\v 4 Baadhi ya Wayahudi washawishikie na kuungana na Paulo na Sila, andu kumweri na wagiriki wacha Mlungu, waka wengi waongofu na ikundi ibaha ja wandu.
\v 5 Ela baadhi ya wayahudi wasioamini, wachuriwa ni wivu, wagendie chetenyi na kuwawusa baadhi ya wandu wawiwi wakakusanya umati wa wandu andu kumweri, na kusababisha gasia mjini, kisha wakaivamia nyumba ya Josoni, wakikunda kuwa wada Paulo na sila ili kuwareda imbiri ra wandu.
\v 6 Ela kuwasowa, wakamwada Yason na baadhi wambari wamwi na kuwagenja imbiri ya maofisa wa muzi, wakikaba jogo. "Awa womi wagumbindue urumwengu wafika mpaka uku pia,
\v 7 Womi awa wakaribishwa ni Yasoni wadaihalifu sheria ya kaisari, wadedaa kuko Mzuri umwi awangwaga Jesu"
\v 8 Umati na maofisa wa muzi, kusikira malago ago wangiriwe ni wasi wasi.
\v 9 Baada ya kuwa wameria kuwusa magome ga thamani ya walindiri kufuma kwa Yasoni na wamwi, wawasigie wagende.
\v 10 Kio chija wambari wamdumie Paulo na Sila Beroya. Na kufika kuja wagendie katika isinagogi ja wayahudi.
\v 11 Wandu waja warikogo wakana kukala kubaha kuliko waja wandu wa Thesalonike, kwa sababu warikogo na utajiri wa kujiwokera idedo kwa akili rawo, na kuchunguza maandiko kila ituku ili kuwona kama madedo gadedwa niko geko.
\v 12 Kwa huwoo wengi wao waaminie, wakika waka wekona ushawishi mbaha gwa kigiriki na womi wengi.
\v 13 Ela wayahudi wa Thesalonike kugundua kwamba Paulo adatangaza ja Mlungu uko Beroya, wagendie uko na kuchochea na kisha kuanzisha gasia kwa wandu.
\v 14 Kwa shwa shwa, wambari wakamgenja Paulo kwa chia ya iriwenyi, ela sila na Timotheo wakabaki aja.
\v 15 Waja wambari wamgenjie Paulo wagendie nae hadi Athene, wakamsiga Paulo uko wawokerie malagizo kufuma kwake kuwa, sila na Timotheo wache kwake kwa shwa shwa kadri idimikanaga.
\v 16 Na wakati akiwa wesera uko Athene, ngolo yake yakasirishiwe ndenyi yake kwa jinsi awonie muzi kandu gwachua sanamu nyingi.
\v 17 Huwo akajadiliana katikaisinagogi na wayahudi waja wamchaga Mlungu na kwa waja wose wakwana nawo kila ituku chetenyi.
\v 18 Ela baadhi ya wanafalsafa wa waepikureo na wastoiko wakamkabili. Na wamwi wakadeda, "Ni ndoi achidedaga uyu mdedaji mkoho? wamwi wakadeda, "yawonekana adahubiri bvahari ra Mlungu mgeni," kwa sababu adahubiri habari ra Jesu na ufufuo.
\v 19 Wakamwusa Paulo na kumreda Areopago, wakideda, "Dadima kumanya aga mafundisho mapya ugadedaga?
\v 20 Kwa sababu udareda malago mapya katika madu gedu. Kwa huwo dakundi kumanya aga malago gakana maana ki?"
\v 21 (Na wandu wose wa Athene andukumweri na wagenji weko mizawe, watumiriaga muda wawo aidha katika kudeda na kusikiria igu ya ilago ipya.)
\v 22 Kwa huo Paulo akasimama gadi gadi ya wandu wa Areopago na kudeda, "Inyo wandu wa Athene, nawona kuwa inyo ni wandu wa dini kwa kila namna,
\v 23 Kwani katika kuida kwapwa na kuguwa vilambo vyenyu va kuabudu, nawona madedo gaandikwa mojawapo ya madhabahu genyu, ikideda "KWA MLUNGU ASAMANYIKANE". Huwo basi, uyo mumwabudu pasipo kummanya, ni ye niwajulisha inyo.
\v 24 Mlungu waumbie dunia na kila kilambo chikondenyi, kwa kugora ni Mzuri wa mbingu na isanga, ndadimaga kukaia katika mahekalu gabonyigwa ni mikonu.
\v 25 Na pia ndatumikiwaga ni mikonu ya wanadamu kana kwamba wakundi kilambo kwawo, kwani ye mweni wawanekaga wandu binana na pumzi na vilambo vimwi vose.
\v 26 Kuidia mundu umweri, wabonyie masanga gose ga wandu waishio igu ya wushu gwa dunia, na akawawikia nyakati na miano katika maeneo waishi.
\v 27 Kwa huwo, wakundigwi kumlola Mlungu, na yamkini mwafikie na kumpata, na kwa uhakiki ndeko kula na kila umweri wedu.
\v 28 Kwake daishi, nasela na kuwa na binana yedu, kama uja mtunzi wenyu umweri wa ishairi akideda 'da wavalwa wake.'
\v 29 Kwa huwo, ikiwa wose da wavalwa wa Mlungu ndadipaswaga kufikiri kuwa uumlungu ni kama zahabu, au shaba, au magwe, sanamu yachongwa kwa ustadi na mawazo ga wandu.
\v 30 Kwa huwo, Mlungu wanyamakirie nyakati rija ra ujinga, ela idana adaamuru wandu wose kila andu wapate kutubu.
\v 31 Ihi ni kwa sababu wawika ituku ajikundi kuhukumu dunia kwa haki kwa mundu ambae wamsague. Mlungu wafunyie uhakika gwa mundu uyu kwa kila mundu aja akimfufua kufuma kwa wafu.
\v 32 Na wandu wa Athene kusikira habari ra kufufuliwa kwa wafu, baadhi yawe wakamdhihaki Paulo, ila wamwi wakadeda "Dikusikiria sena kwa habari ra ilago iji"
\v 33 Baada ya aho, Paulo akawasiga.
\v 34 Ela baadhi ya wandu waungane nae wakaamini, akiwemo Dionisio mwareopago, na muka awangwaga Damari na wamwi andu kumweri nawo.
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Baada ya malago ago, Paulo waingie Athena kugenda koritho.
\v 2 Uko akampata Myahudi awagwaga Akwila mundu wa ikabila ja ponto, ge na mkake awangwaga prisila wachee kufuma uko Italia, kwa sababu Klaudia waamuruwe wayahudi wose wainge Roma; Paulo akacha kwao;
\v 3 Paulo akaishi na kubonya kazi nawo kwani ye wabonyaga kazi ifwanane na yawo. Wo warikogo ni waboisa mahe.
\v 4 Paulo akajichiliana nawo katika isinagogi kila ituku ja sabato. Wawashawishie wayahudi andukumweri na wagiriki.
\v 5 Lakini Sila na Timotheo kucha kufuma Makedonia, Paulo wasukumwe ni Roho kuwashuhudia wayahudi kuwaJesu nie kristo.
\v 6 Wakati wayahudi kumpinga na kumdhihaki, huwo paulo akakung'uta ivazi jake imbiri yawo, na kuwazera, "Baga yenyu na ike igu ya vongo vyenyu wenyi; Nyi sidae hatia kufuma ijia na kuendelea, na wagendia masanga."
\v 7 Huwo akaingia kufuma aja akagenda nyumbenyi kwa Tito Yusto, mundu amwabudu Mlungu. Nyumba yake iko avui na isinagogi.
\v 8 Kristo, kilongozi wa isinagogi andukumweri na wandu wa nyumbenyi kwake wakamwamini Bwan. Wandu wengi wakorintho wamsikire Paulo akideda na waamini na kubatizwa.
\v 9 Bwana akamzera Paulo na kio kwa chia ya maono,"usaboe, lakini deda na usanyamakome,
\v 10 Kwani vyoi neko andukumweri nawe na ndakudae ajaribu kukudhuru, maana niko na wandu wengi katika muzi ugu."
\v 11 Paulo akakera uko kwa muda gwa mwaka gumweri na miezi sita akifundisha idedo ja Mlungu miongoni mwawo.
\v 12 Lakini Galio kubonywa mtawala wa Akaya, wayahudi wasimamie andukumweri kinyume na Paulo na kumgenja imbiri ya kifumbi cha hukumu.
\v 13 Wakideda, "mundu uyu wawashawishi wandu wamwabudu Mlungu kinyume cha sheria."
\v 14 Wakati pauloakikunda kudeda, Galio akawazera wayahudi, Inyo wayahudi, kama yakogo ni ikosa au uhalifu, yakaga halali kuwa shughulikia.
\v 15 Lakini kwa sababu ni maswali, gahusuyo madedo na marina, na sheria renyu, basi hukumunyi inyo wenu. Nyi sitamanikuwa hukumu kwa habari ya malago aga."
\v 16 Galio akawaamuru wainge imbiri ya kifumbi cha hukumu.
\v 17 Huwo, wakamwada sosthene, kilongozi wa isinagogi, wakamkaba imbiri ya kifumbi cha hukumu. Lakini Galio ndajalie wachibonya.
\v 18 Paulo, baada ya kukaia aja kwa muda mlacha, wawasifgie wambari na kugenda kwa meli siria andukumweri na prisila na Akwila kabla ya kuinga bandarinyi, waarie mavunga gake kwani wakogo waapa kuwa mnadhiri.
\v 19 Kufika Efeso, Paulo wamsigie Prisila na Akwila aja, lakini ya mweni akangia isinagoginyi na kujadiliana na wayahudi.
\v 20 Kumgoria Paulo ake nawo kwa muda mlacha ya walegie.
\v 21 Lakini akaingia kwawo, akawazera, "Niwuya ga sena kwenyu, ikiwa ni mapenzi ga Mlungu"Baada ya aho, akainga kwa meli kufuma Efeso.
\v 22 Paulo kutua kaisari, akajoka kugenda kuwalamsa Ikanisa ja Yerusalemu, kishaakasea ndonyi kwa ikanisa ja Antiokia
\v 23 Baada ya kukaia kwa muda aja, paulo waingie kuidia maeneo ga Galatia naFrijia na kuwakumba ngolo wanafunzi wose.
\v 24 Myahudi umweri awangwaga Apolo, avalwe ukoAlexandria, wachee Efeso0. Wakogo na ufasaha katika kudeda na hodari katika maandiko.
\v 25 Apolo wakogo waelekezwa katika mafundisho ga Bwana. Kwajinsi akogo na nabii katia Roho, waarie na kufundisha kwa usahihi malago gamsu Jesu ila wamanyie tu ubatizo gwa Yohana.
\v 26 Apolo akanza kuaria kwa ujasri katika ihekalu. Lakini prisla na Akwila kumsikira, wankabonya umbuya naye na wakamwelezaa igu ya chia ra Mlungu kwa usahihi.
\v 27 Kutamani kuinga kugenda Akaya, wambari wamkumbie ngolo na kuwaandikia barua wanafunzi weko Akaya ili wapate kumwokara. Kuwasihi, kwa neema wawatawarie nanganyi waja waaminio.
\v 28 Kwa ndigi rake na maarifa, Apolo wawazidie wayahudi hadharenyi akibonyera kuidia maandiko ga kuwa Jesu nie kristo
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Ikakaia kwa mba Apolo warikogo korintho, Paulo akaida nyanda ra igu na kufika katika muzi gwa Efeso, na akadoka wanafunzi kadhaa uko.
\v 2 Paulo awazera, "Je, mwawokere Ngolo wa kuela mkiamini?" wakamzera, "Hapana, ndadimie hata kusikira kuhusu Ngolo wa kuela."
\v 3 Paulo wadedie, "Idana inyo mwabatiziwe wada?" wakadeda, "Katika ubatizo wa Yaohana.
\v 4 Basi Paulo akajibu, "Yohana wabatizie kwa ubatizo gwa toba. Akawazera waja wandu kwamba wapaswa kuwaamini uja ambae wachaga baada yake, yaani, Jesu."
\v 5 Wandu kusikira habari, ihi wabatizwa kwa irina ja Mzuri Jesu.
\v 6 Na ikakai Paulo kuwika mikonu yake igu yawe, Ngolo wa kuela akacha igu yawo na wakaanza kunena kwa luga na kutabiri.
\v 7 Jumla yawo warikogo womi wapataa ikumi na wawi.
\v 8 Paulowagendie katika isinagogi akanena kwa ujasiri kwa muda gwa mieri idadu. Warikogo akilongoza majadiliano na kuwaruda wandu kuhusu malago gahusu wuzuri gwa Mlungu.
\v 9 Ela wayahudi wamwi warikogo wakaidi na wasatii, waanzie kudeda gazamie kuhusu chia ya Kristo imbiri ya umati. Basi Paulo wasigane nawo na akawatenga waaminio kula nawo. Nae waanzie kudeda kila ituku katika ukumbi gwa Tirano.
\v 10 Ihi ya endelee kwa miaka iwi, kwa huwo wose waishi katika Asia wasikire idedo ja Mzuri, wose Wayahudi ma wayunani.
\v 11 Mlungu wakogo akibonya matendo mabaha kwa mikonu ya Paulo,
\v 12 kwamba hata wakogo waboisiwe, na ngolo chafu rawafumie, wakati wawusa leso na nguwo rafuma mwiwinyi kwa Paulo.
\v 13 Ela kwarikogo wayahudi wawungaga pepo wa damba kuidia ieneo ijo, wakijitumia irina ja Jesu kwa ajili ya matumizi gawe wenyi. Wakiwazera waja warikogo na pepo wachafu; wakideda, "Nawaamuru mfume kwa irina ja Jesu ambae Paulo adamhubiri?
\v 14 Wabonye aga warikogo wakana na umbari na kuhani mbaha wa kiyahudi, skewa.
\v 15 Ngolo wachafu wakajibu, "Jesu namwiichi, na Paulo namwiichi, ela inyo mwa wakani?"
\v 16 Yuja ngolo mchafu ndenyi ya mundu akawaburukia wawungaga pepo na akavota ndigi na kuwakaba. Niko wakakimbia kufuma ija nyumba wakikaia kibigiri na kujeruhiwa.
\v 17 Ilago iji jikamanyikana kwa wandu wose, wayahudi na wayunani, ambao uko E4feso. Wakawa na hofu nanganyi, na irina ja Mzuri jikazidi kuheshimiwa.
\v 18 Pia wengi wa waumini wachee na kuungana na wakadhihirisha matendo gazamie wagobonyie.
\v 19 Wengi wakogo wakibonya uganga wakakusanya vitabu nawe, wakavikora imbiri ya kila mundu. Wakati wo kutale thamani ya vilambo ivo, yarikogo vipande hamsini elfu va magome.
\v 20 Huwo idedo ja Mzuri jikaenea kwa upana nanganyi katika ndigi.
\v 21 ya Paulo kukamilisha huduma yake kuja Efeso, Ngolo akamlomgoza kugenda Yerusalemu kuidia Makedonia na Akaya, Akadeda, "Baada ya kukaia uko, yanipasa kuiwona Rumi pia."
\v 22 Paulo akawaduma makedonia wanafunzi wake wawi, Timotheo na Erasto, ambawo wakogo wamtawara. Ela ye mweni akabaki Asia kwa muda.
\v 23 Wakati ugo kwafumirie gasia mbaha uko Efeso kuhusu ija chia.
\v 24 Sonara umweri irina jake Demetrio, ambaye waboisie visanamu va fedha va Mlungu Diana, waredie biashara mbaha kwa mafundi.
\v 25 Huwo akawakusanya mafundi wa kazi iyo na kudeda," Waheshimiwa, mwaichi kwamba katika biashara ihi isi dangira magome mengi.
\v 26 Mwaona na kusikira kwamba, si tu aha Efeso, bali karibia Asia yose, uyu Paulo wawashawishi na kuwageuza wandu wengi. Adadeda kwamba ndakudae Mlungu ambayo yabonyiwe kwa mikonu.
\v 27 Na tu iko hatari kwamba biashara yedu ikaga ndeihitajikaa sena, ela pia na ihekalu ja mlungu muka ambae ni mbaha Diana adima kuwusiwa kuwa ndadae maana. Sena wadimaga na dunia ya mwabudu."
\v 28 Kusikira aga, wachuiwe ni hasira na wakakaba jogo, wakideda, "Diana wa Waefeso ni mbaha."
\v 29 Muzi wose ukachua gasia, na wandu wakakimbia andukumweri ndenyi ya ukumbi gwa michezo. Wakawawada wachero wambawo na Paulo, Gayo na Aristariko, wafumie makedonia.
\v 30 Paulo wakundie kungia katika umati umati wa wandu, ela wanafunzi wamzuie.
\v 31 Pia, baadhi ya maofisa wa mkoa gwa Asia ambawo wakogo wambuja wake wakangenjia ujumbe gwa ndigi kumlomba asangie katika ukumbi gwa michezo.
\v 32 Baadhi ya wandu warikogo wakideda kilambo ichi na wamwi ilago jija, kwa sababu umati gwa wandu gwakogo gwachanganyikiwa. Wengi wawo ndawadimie hata kumanya kwa indoi wachee andukumweri.
\v 33 Wayahudi wakamreda Iskanda shigadi ya umati wa wandu na kumweka igu imbiri ya wandu.
\v 34 Ela kumanya kuwa ye ni myahudi, wose wakakaba jogo kwa sauti imweri kwa muda gwa nasaa awi, "Diana ni mbaha wa waefeso.
\v 35 Baada ya karani wa muzi kunyamarishwa umati, wadedie, Inyo womi waefeso, nani asaichi kwamba muzi ugu wa efeso ni mtunzaji wa ihekalu ja Diana mbaha na ija picha yagwa kufuma mbingunyi?
\v 36 kuwana basi kwamba malago aga ndagadimikaga, dapaswa kuwa na utulivu na msabonye chochose kwa shwa shwa.
\v 37 Kwa maana mwawanga wandu awa aha mahakamenyi ambao sio wating'a wa ihekalu wala siwo wa mkufuru Mlungu wedu muka.
\v 38 Kwa huwo, kama Demetrio na mafundi weko andukumweri nae wekona mashaka dhidi ya mundu wowose, wahakama riko mweri na maliwali weko. Na waredwe imbiri ya ishauri
\v 39 Ela kama we ukalola chochose kuhusu malago gamwi, gadima shugulikiwa katika kikao habari.
\v 40 Kwa loli diko katika hatari ya kutuhumiwa kuhusu gasia ituku iji. Ndakudae sababu ya machafuko aga, na ndedimaga na uwezo wa kugaeleza.
\v 41 Baada ya kudeda aga, akawatawanya makutano.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Baada ya gasia kudua, Paulo akawawanga wanafunzi na kuwakumba ngolo. Kisha kuwalaga na akainga kugenda Mekodonia.
\v 2 Nae kuida mikoa iyo na wakogo akiwakumba ngolo waamini, akainga uyunani.
\v 3 Baada ya ye kuwa aja kwa muda wa mieri idadu, njama rikakundwa dhidi yake ni wayahudi akogo ako avui kudamba kwa chia ya bahari kuidia makedonia.
\v 4 Waandamane nae hadi Asia wakogo Sopatro, mwana wa Pircho kufuma Berea, Aristariko na sekundo, wose kufuma waamini wa Wathesalonike, Gayo na Derbe, Timotheo, Tikiko na Trofimo kufuma Asia.
\v 5 Ela wandu awa wameria kukiria na wakogo wadiweseria kuja Troa.
\v 6 Kwa chia ya bahari kufuma Filipi ya matuku ga mikate isakumbiwe ngwadu, na katika matuku asanu dikawadoka uko Troa. Dekee uko kwa matuku saba.
\v 7 Hata ituku ja kwanza ja wiki, dikogo dakusanyika andu kumweri ili kugubega mkate, Paulo waarie na waamini. Wakogo akipanga kuinga hadi kio cha manane.
\v 8 Kwarikogo na taa nyingi katika chumba cha igu ambako dakogo dakusanyika andu kumweri.
\v 9 Katika idirisha wakogo wakaia mdawana umweri irina jake utiko, ambae wakogo waelemewa ni dilo nzito. Hata Paulo akogo akihutubu kwa muda mlacha, udawana uyu, akika wadetungura, akagwa ndonyi kufuma gorofa ya kadadu na akashoigwa akika wafwa.
\v 10 Ela Paulo waseie ndonyi, akikinyoosha ye mweni igu yake, akamkumbatia. Kisha akadeda, "Msakate tamaa, kwa kuwa ako banana."
\v 11 Kisha akajoka sena gorofanyi na akagubega mkate, akaja. Baada ya kuaria nawo kwa muda mlacha hadi alfajiri akainga.
\v 12 Wakamreda ujaa kijana akikaia banana wakafarijika nanganyi.
\v 13 Isi weni dakirie imbiri ya Paulo kwa meli na dikaelekea Aso, ambapo isi dapangie kumwusa Paulo uko. Ichi nicho ye mweni wakundie kubonya, kwa sababu wapangie kugendaia nchi kavu.
\v 14 Kudifikia uko Aso, dikampakia melingi dikagenda mitilene.
\v 15 Kisha isi dikatweka kufuma uko na ituku ja kawi dikifika luwende lwa kawi wa kisiwa cha kio. Siku inugirie, dikawasili kisiwa cha samo, na kesho yake dikafika muzi gwa milego.
\v 16 kwa sababu Paulo warikogo waamua kudamba kuidia Efeso, ili kwamba asatumie muda gose katika Asia, kwa maana werikogo na haraka ya kuwahi Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya Pentekoste, kama yadimikaga ye kubonya huwo.
\v 17 Kufuma milego akaduma wandu hadi Efeso na akawawanga wazzee waikanisa.
\v 18 kufika kwake, akawazera, inyo weni mwaichi tangu ituku ja kwanza nikiwadia aha Asia, jinsi nikogo kwenyu muda wose.
\v 19 Namtumikia Mzuri kwa unyenyekevu wose na kwa mbori na mateso ganipatie nyi kwa hilara wayahudi.
\v 20 mwaichi jinsi ambapo sikizuie kutangaza kwenyu kilambo chochose ambacho chakogo muhimu, na jinsi nawafundisha wazi wazi na pia kugenda nyumba kwa nyumba.
\v 21 mwaichi jinsi nyi niendelee kuwaonya wayahudi na wayunani igu ya toba kwa Mlungu na imani katika Mzuri wedu Jesu.
\v 22 Na idana, gowenyi nyi nikika namtii Ngolo wa kuela kuelekea Yerusalemu, nisagamanye malago ambago adima nifumiria nyi kunu,
\v 23 ila kwa kugora Ngolo wa kuela wanishuhudia nyi katika kila kila muzi na adadeda kwamba minyororo na mateso niyo viniseraga.
\v 24 Ela nyi sifikirie kwamba maisha gapwa ni kwa chia yoyose ya thamani kwapwa, ili nidime kumeria mwendo gwapwa na huduma naiwokera kufuma kwa Mzuri Jesu, kuishuhudia injili ya neema ya Mlungu.
\v 25 Na idana ngowa, naichi kwamba wose, miongoni mwa waja nagenda kuwahubiri wuzuri, ndamniwona wushu sena.
\v 26 Kwa huwo nawashuhudia linu ihi, kwamba sedae hatia kwa baga ya mundu wowose.
\v 27 kwa maana sikuzie kuwatangazie makundo gose ga Mlungu.
\v 28 Kwa huwokenye waangalifu igu yenyu inyo weni, na igu ya ikundi jojose ambajo Ngolo wa kuela wawawika inyo kuwa waangalizi. Kenyi waangalifu kujichunga ikusanyiko ja Mzuri, ambajo wajigue kwa baga yake mweni.
\v 29 Naichi kwamba baada ya kuinga kupwa, makoshi ga kireti gabirie gadima ngia kwenyu, na wasajiwonee mbazi ikundi.
\v 30 Naichi kwamba hata miongonyi mwenu weni baadhi ya wandu wadima cha na kudeda malago mapotovu, ili kuwaruda wanafunzi wawanuge wo.
\v 31 Kwa huwo mke meso. Kumbukenyi kwamba kwa miaka idadu sidime kusiga kuwafundisha kila umweri wenyu kwa mbori kio na dime.
\v 32 Na idana nyi nawakabidhi kwa Mlungu, na kwa idedo ja neema yake ambajo jadima kuwajenga na kuwaneka urithi andu kumweri nawo wose wawikwa wakfu kwa Mlungu, na kwa idedo ja neema yake, ambajo jadima kuwajenga na kuwaneka urithi andu kumweri nawo wose wawikwa wakfu kwa Mlungu.
\v 33 Sitamanie magome, dhahabu au mavazi.
\v 34 mwaichi inyo weni kwamba mikonu ihi yanipatia mahitaji gapwa mweni na mahitaji ga waja warikogo andu kumweri nanyi.
\v 35 katika malago gose niminekie mfano gwa jinsi ipasanga kuwatawaria wanyonge kwa kubonya kazi, na jinsi mpaswaga kukumbuka madedo ga Mzuri Jesu, madedo ambago ye mweni wadedie." Ni heri kufunya kuliko kuwokera."
\v 36 Baada ya kudeda namna ihi, wakabie magoti akalomba andukumweri nawo.
\v 37 Wose wakalila nanganyi na kumguya Paulo singeni na kumbusu.
\v 38 Wahuzunikie zaidi ya gose kwa sababu ya chija ambago wadeda, kwamba kamwendawa wonaga wushu gwake sena. Kisha wakamsindikiza merikebunyi.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Wakati dikogo dasigana nawo, dadamba baharinyi, dikafika moja kwa moja muzi gwa kosi, na kesho yake dikafika muzi gwa rodo, na kufuma uko dikafika muzi gwa patara.
\v 2 Kupata meli iruwukaa kugenda Foirike, dajokie dikadamba.
\v 3 kufika imbiri ya kisiwa cha kipro, dikaisiga luwande lwa kumosho, dikadamba hadi siria, diwika nanga katika muzi gwa Tiro, kwa sababu uko niko meli yakogo ipakuliwe shehena yake.
\v 4 Baada ya kuwawona wanafunzi, dikakaia uko matuku saba. Wanafunzi awa wakamzera Paulo kuidia kwa Ngolo kwamba ye asawadie Yerusalemu.
\v 5 Hata kutimiza matuku gaja, isi nikainga dikagenda redu. Wose andukumweri, na wakawawe na wana wawe, wadaisindikizie katika chia redu hadi dikafuma shigadi ya muzi. Kisha dikakaba magoti pwani, dikalomba, dikalagana kila umweri.
\v 6 Dikajoka meli, uku nawo waauya mzinyi kwawo sena.
\v 7 Hata kumeria charo chedu kufuma Tiro, dikafika Tolemai. Aja dalamusie wambari, na kukaia nawo kwa ituku jimweri.
\v 8 Kesho yake daingie dikagenda kaisaria. Isi dikangia nyumbenyi kwa Filipo, mhubiri wa injili, akogo umweri wa waja saba, na isi dikaka andukumweri nae.
\v 9 mundu uyu wakogo na wayi bana mabikira ambawo watabirie.
\v 10 Baada ya kukaia uko kwa matuku kadhaa, ambawo watabirie.
\v 11 Ye wachee kwedu na akawusa mkanda gwa Paulo, kwa ugo wakifungie maguu na mikonu yake mweni na kudeda, "Ngolo wa kuela wadedie huwu," wayahudi wa Yerusalemu wadima mfunga mundu amiliki mkanda ugu, nawo wadima mkabidhi mikonunyi kwa wandu wa masanga."
\v 12 kusikira malago aga, isi na wandu wakogo wakiishi andu aja damsihie Paulo asajoke kugenda Yerusalemu.
\v 13 Niko Paulo akajibu, "mbonyaa indoi, mdalila na kunichukanya ngolo yapwa? kwa maana niko tayari, siyo tu kufungwa, ela pia kufungwa uko Yerusalemu kwa ajili ya irina ja Mzuri Jesu."
\v 14 Kwa wuja Paulo ndakundie kushawishiwa, dasigie na kudeda, "Basi makundo ga Mzuri gabonyeke."
\v 15 Baada ya matuku aga, dawusie mifuko yedu na dikajoka Yerusalemu.
\v 16 Baadhi ya wanafunzi kufuma kaisaria pia wanugane na isi. Wakamreda mundu uumweri awangwawa mnasoni, mundu wa kipro, mwanafunzi wakala, ambae dakee nae.
\v 17 kufika Yerusalemu, wambari wadikaribishie kwa kuboirwa.
\v 18 Kesho yake Paulo wagendie andukumweri na isi kwa Yakobo, na wagosi wose wakogo.
\v 19 Baada ya kuwalamsa, wawanekie taarifa imweri baada ya imwi ya malago ambago Mlungu atendie miongonyi kwa masanga kwa kuidia huduma yake.
\v 20 Wakati wasikira ago, wakamtogola Mlungu, na wakamzera, "waona, mbari koko maelfu walinga waamini miongoni mwa wayahudi, wo wose wakona nia ya kuwada sheria.
\v 21 Wagoriwa kuhusu we, kwamba udafundisha wayahudi waishi kati ya masanga kusigana na musa, na kwamba udawagoria wasawatahiri wana wawo, na wasanuge desturi ra kale.
\v 22 Dapaswa dibonye indoi? Bila shaka wadima sikira kwamba we wacha.
\v 23 Huwo bonya chija isi dikuworiaga iji aha: diko na wandu bana ambawo wawika nadhiri.
\v 24 Wawuse wandu awa na ujitakase mweni andukumweri nawo, na uwashanie garama rawe, ili wadime kuara vongo vawe. Huwo kila umweri apate kumanya kwamba malago wagoriwa kuhusu we ni ga tee. Wadima jifunza kwamba we pia wanugaa sheria.
\v 25 Ela kwa habari ra masanga ambawo wakaia waumini, daandikie na kufunya malagizo kwamba wapaswa kujiepusha na vilambo vafunyigwa dhabihu kwa sanamu, na baga, kufumana na chija chanyorwa na wajiepushe na uasherati."
\v 26 Niko, Paulo wawusie womi, na ituku ja kawi, akajitakasa mweni andu kumweri nawo. Akangia ihekalunyi, kutangaza kipindi cha matuku ga kukitakasa, hadi sadaka ikufunyigwe kwa ajili ya kila umweri wawo.
\v 27 Matuku agosaba kujikia avui kudua, baadhi ya wayahudi kufuma Asia wakamwona Paulo Hekalunyi, na makutano wakazamiwa, na wakamnyoshea mikonu.
\v 28 Warikogo wakaba jogo, "Wandu wa israeli, disaidienyi. Uyu ni uja mundu awafundishaga wandu kila andu malago ambawo ni kinyume na wandu, sheria, na andu aha. Pia wawareda wayunani katika ihekalu na kureda najisi andu aha patakatifu."
\v 29 Kwa kugora mwanzoni wakogo wamwona Trofimo muefeso akika andukumweri nae mjini, nawo wadhanie kwamba Paulo wamredie ihekalunyi.
\v 30 Muzi gose gwakogo na taharuki, na wandu wakakimbia andu kumweri na kumwada Paulo. Wakamfunya shigadi ya ihekalu, na mijango mara ikarugwa.
\v 31 Warikogo wakigeria kumwaga, habari ramfikie mbaha wa ijeshi ja walindiri kuwa Yerusalemu yose yachua gasia.
\v 32 Mara iyo akewawusa askari na Jemedari akagukimbiria umati. Wakati wandu kumwona mbaha wa ijeshi na askari, wakasiga kumkaba Paulo.
\v 33 Kisha mbaha wa jeshi wakae avui nae na akamwada Paulo, na akaamuru afungwe minyororo iwi. Akamkotia ye na ni na wabonya indoi.
\v 34 Baadhi ya wandu umati wakogo wapayuka kilambo, ichi na wamwi chimwi. Kwa kugora jemedari ndadimie kuwagoria chochose kwa sababu ya rija jogo, akaamuru Paulo aredwe ndenyi ya ngome.
\v 35 Basi kufika ngazinyi, akawusigwa ni askari kwa sababu ya gasia ra umati.
\v 36 Maana umati wa wandu wamnugie na waendelee kukaba jogo, "mwinjenyi uyu!"
\v 37 Paulo akogo akiredwa ndenyi ya mgome, wamgorie mbaha wa majeshi, "Nadima kukugeria kilambo?" uja mbaha wa majeshi akadeda, "Je udadeda kiyunani?
\v 38 Je, we sie uja mmisri ambae awali walongozie uasi na wawusie magaidi elfu ina kireti?"
\v 39 Paulo akadeda, "Nyi na myahudi, kufuma muzi gwa Tarso ya kilikia. Nyi na raia wa muzi maarufu. Na walomba, mniruhusu niarie na wandu."
\v 40 Wakati jemedari kumneka ruhusa, Paulo akakimsi ngazinyi na akabonya ishara kwa wandu kwa mkonu gwake. Wakati kukogo na ukimya nanganyi, akaaria nawo kwa kihebrania. Akadeda,
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 "Wambari na aba wapwa, sikirenyi utetezi gwapwa nigubonyaga kwenyu ijiaha."
\v 2 Makutano kusikira Paulo akideda nawo kwa kiebrania, wakatulia. Akadeda,
\v 3 "Nyi na myahudi, navalwa muzi gwa Tirso ieneo ja kitikia, ila napatie elimu katika muzi ugu, magunyi kwa Gamilieli. Nafundishiwe kulingana chia sahihi ra sheria ra aba wedu. Nyi niko na bidii ya Mlungu, kama inyo wose mko linu.
\v 4 Nawatesia kwa chia ihi hadi kufwa, naka wafunga wami kwa waka na kuwadaga igerezanyi.
\v 5 Hata kuhani mbaha na wagosi wose wadima kufunya ushahidi kwmba nawokerie barua kufuma kwawo kwa ajili ya wambari wakoo Domeski, kupwa nyi kudamba kugenda uko. Marikogo niwarede wandu Yerusalemu kwa chia ili wafungwe na kuadhibiwa.
\v 6 Yafumirie kwamba aja rikogo nikidamba niko avui na Demeski, majira ga dime gafula nuru mbaha ikafumiria mbingunyi ikaanza kumiangamiza.
\v 7 Nikagwa ndonyi na kusikira sauti ikinizera, 'sauli, sauli kwa indoi udaniudhi?'
\v 8 Nikajibu, we nani, Mzuri?' Akanizera, 'nyi na Jesu mnazareti ambae we udaniudhi.'
\v 9 Waja wakogo nanyi waionie nuru, ila ndawasikire sauti ya uja wadeda nanyi.
\v 10 Nikadeda, 'Nibonye indoi, Mzuri? Mzuri akanizera, 'simama na ungie Dameski, uko wadima goriwa kila kilambo upaswaga kubonya.'
\v 11 Sidime kuwona kwa sababu ya mwangaza gwa nuru ija, niko nikagenda Dameski kwa kulongozwa ni mikonu ya waja wakogo nanyi.
\v 12 Uko nika kwana na mundu awangwaga Ananla, wakogo mundu awadie sheria na aheshimikaga imbiri ya wayahudi wose waishi uko.
\v 13 Akacha kwapwa, akasimama imbiri yapwa, na kudeda, "Mbari wapwa sauli, upate kuona. kwa muda uja weni nikamwona.
\v 14 Akadeda, 'Mlungu wa aba wedu wakusagua we upate kumanya makundo gake, kumwona uja akona hachi, na kusikira sauti ifumaa kinywenyi chake.
\v 15 Kwa sababu wedima kaa shahidi kwake kwa wandu wose igu ya wagawona na kusikira.
\v 16 Basi ijiaha kwa indoi udawaseria? Wikia, ubatizwe, ugende ogesha zambi rako, ukijiwanga irina jake,'
\v 17 Baada ya kuwuya Yerusalemu, na nikogo nikisali ndenyi ya ihekalu, ikafumiria kwamba nikanekwa maono
\v 18 Nikamwona akanizera, Hima wa fuma Yerusalemu shwa shwa, kwa sababu ndewa kubali ushuhuda gwako kuhusu nyi.'
\v 19
\19Nikadeda, 'Mzuri, wo weni waichi nawafungie igerezanyi na kuwakaba waja wakuaminie katika kila isinagogi.
\v 20 Na baga ya Stephano shahidi wako ikidiwa, nyi pia nakogo nasimama avai na kukubali na nakogo nalindia nguwo ra waja wamwaga,
\v 21 Ela wanizerie, Enenda, kwa sababu nyi nikudumaga ugende kula kwa wandu wa masanga."
\v 22 Wandu wakamruhusu adede igu ya idedo iji. Ela baadae wapazie sauti na kudeda, "mwinje mndu uyu katika isanga kwa siyo sahihi aishi."
\v 23 Wakogo wakipaza sauti, na kudaga mavazi gawe na kudaga luvumbi igu.
\v 24 Jemedari mbaha akaamuru Paulo aredwe ngomenyi. Akaamuru akotiwe uku adakabwa mijeredi, ili ye mweni amanye kwa indoi wakogo wamkabia jogo namna ija.
\v 25 Hata wakogo wamfunga kwa luga, Paulo akamzera uja akida wasimama avui nae. Je! ni haki kwenyu kumkaba mundu mrumi na bado ndahukumiwe?"
\v 26 Uja akida kusikira madedo aga, akagenda kwa Jemedari mbaha na kumzera, akideda, "wakundi kubonya indoi? kwa maana mundu uyu ni mrumi."
\v 27 Jemedari mbaha akacha na kumzera, "Nigorie, je we ni raia wa Rumi?" Paulo akadeda, "He."
\v 28 Jemedari akamjibu," Ni kuidia kiasi kibaha cha magome niko nikapata uraia." Ela Paulo akamzera, "Nyi na Mrumi kwa kuvalwa."
\v 29 Basi waja wakotayari kugenda kumkotia wakainga na kumsiga wakati ugo gweni. Na Jemedari nae akaboa, kumanya kuwa Paulo ni mrumi na kwa sababu wafungwa.
\v 30 Ituku jinugirie, jemedari mbaha wakundie kuimanya iloli kuhusu mashtaka ga wayahudi dhidi ya Paulo. Huwo akamfungua vifungo vake akaamuru wabaha wa makuhani na ibaraza jose wakwane. Akamreda Paulo ndonyi, na kumweka gadi gadi yawe.
\c 23
\cl Sura 23
\p
\v 1 Paulo wakawguwa umweri kwa umweri wandu waibaraza na kudeda, Wambni wapwa, naishi imbiri pa Mlungu kwa dhamira iboie hadi iji aha.
\v 2 Kuhani mbaha Ananaia awaamuru waja wasi mama auui nae wamkaba kinywa chake.
\v 3 Niko Paulo akamzera, "Mlungu akukabaga we, ukute gwa viwa chokaa. Waka gukini hukumu kwa sheria, nawe waamuru ni kabwe kinyume cha sheria?"
\v 4 Waja wakogo wasimama avui nae wakadeda, "Huwo niko umwanyiraga kuhani mbaha wa Mlungu?"
\v 5 Paulo akadeda, "Wambari wapwa, nyi simanyiekwamba uyu ni kuhani mbaha. kwa kuwa yaandikwa, nduzungumza vizamie igu ya mtawala wa wandu wako."
\v 6 Paulo kuwona kwamba luwande lumweri la ibaraza ni masadukayo na wamwi mafarisayo, akaapaza sauti na kudeda," Waambari wapwa, nyi na mafarisayo, mwana wa mafarisayo. Ni kwa sababu ihi namtegemea kwa ujasiri ufufuo gwa wafu nihukumiwaga nawo."
\v 7 Kudeda aga, malumbano mabaha gakufumiria baina ya mafarisayo na masadukayo, na mkutano kugawanyika.
\v 8 Kwani Masadukayo wadedaga ndakudae ufufuo, malaika wala ndakudae ngolo, ila mafarisayo wadedaga aga gose geko.
\v 9 Gasra mbaha ikafumiria na baadhi ya waandishi wakogo luwande lwa mafarisayo wakakimsi kujadili, wakideda, "ndadiwonie chochose chizamie dhidi ya mundu uyu. Ni wada kama ngolo au malaika wadeda nae?"
\v 10 Wakati kwafumirie hoja mbaha, mbaha wa majeshi waboie kwamba Paulo warashurwaga vipande ra wo, huwo akaamuru wanajeshi wasee ndonyi na kumwusa kwa ndigi kufuma kwa wajumbe wa ibaraza, na mreda ngomenyi.
\v 11 Kio chanugiria Mzuri wasimamie avui nae na kudeda, "usaboe, kwa kugora wanishuhudia pia katika Roma."
\v 12 Kuela, baadhi ya wayahudi wabonyie agano na kuwanga laana igu yawe weni: wadedie ya kwamba ndewajaga wala kunywa chochose mpaka wakamnuga Paulo.
\v 13 Kwakogo na wandu zaidi ya arobaini ambawo wabonyie njama ihi.
\v 14 Wakagenda kwa wabaha wa makuhani na wagosi na kudeda, "Dakiwika isiweni laanenyi mbaha, disaje chochose hadi dikamwaga Paulo.
\v 15 Huwo idana ibaraza jimzere jemedari mbaha amrede kwenyu, kama kwamba mdaamua kesi yake kwa usahihi. Kwedu isi diko tayari kumwanga kabla ndechee aha."
\v 16 Ela mwana wa dadie Paulo akasikira kwamba kwarikogo na njama, akagenda akangia ndenyi ya ngome na kumgoria Paulo.
\v 17 Paulo akamwanga akida umweri akadeda, "muwuse ndawana uyu kwa jemedari, maana akanaidedo ja kumwogeria."
\v 18 Basi akida akamwusa uja mdawana akamgenja kwa jemedari mbaha akamzera, Paulo uja mfungwa waniwangie akakunda nikuredie mdawana uyu kwako. Akona idedo ja kukugoria."
\v 19 Uja jemedari mbaha akumwada kwa mkonu akakitenga naye mbai, na akamkotia, "Ni kitambo ki ukundi unigerie?"
\v 20 Mdawana uja akadeda, "wayahudi waja tana kukulomba umrede Paulo kesho ibarazenyi kana kwamba wakundi kupata habari rake kwa usahihi nanganyi.
\v 21 Basi we usakubali kwa maana wandu zaidi ya arobaini wadamvizia. Wakifunga kwa laana, wasaje wala wasanywe mpaka wambwage. Hata ijiaha wako tayari, wakiwesera kibali kufuma kwako."
\v 22 Basi uja jemedari mbaha akamsiga mndawana agende chia rake, baada ya kumlagiza "Usamgorie mundu wowose ya kugora waniarifu aga."
\v 23 Akawawanga maakida wawi akadeda watayarishenyi askari mia iwi kugenda kaisaria na askari wajoka farasi sabini, na wakama mikuki mia iwi, mwingaga zamu ya kadadu ya kio.
\v 24 Akawazera kuwika wanyama tayari ambae Paulo wadima mtumia na kumwus salama kwa Feliki Gavana.
\v 25 Akaandika barua kwa namna ihi,
\v 26 Klaudio Lisia kwa liwali mtukufu feliki, salamu.
\v 27 mundu uyu wawadiwe ni wayahudi wakafikia avui kumwaga, niko nikagenda andukumweri na kikosi cha askari nikamwokoa, kupata habari ya kugora ye ni raia wa kirumi.
\v 28 Nakundie kumanya kwa indoi wamshitakie, huwo nikamgenja ibarazenyi.
\v 29 Nikawona kwamba wakogo washitakiwa kwa ajili ya maswali ga sheria yawe, walandashitakiwe ilago jojose ja kustahili kubwagwa wala kufungwa.
\v 30 Kisha ikamanyikana kwapwa kwamba kokonjama dhidi yake, huwo kwa shwa shwa nikamduma kwako, na kuwalagiza wamshitakiaga pia warede mashitaka dhidi yake imbiri yako. Wakalagana."
\v 31 Basi waja askari wakatii amri: wakamwusa Paulo wakamgenja Anti patri nakio.
\v 32 Ituku januguria, maaskari wengi wakawasiga woja wajoka farasi wagende andukumweri nae, nawo wakawuja chia rawe ngomenyi yawe.
\v 33 Na wajoka farasi kufika kaisaria, na kumneka liwali ija barua, wakamwika Paulo imbiri yake.
\v 34 Nae liwali kusoma barua, akamkotia Paulo wafumie ijimbo ki, kumanya ni mundu wa kilikia,
\v 35 akadeda," Nikusikiriaga we wakacha waja wakushitaki," akaamuru awikkwe katika ikulu ya Herode.
\c 24
\cl Sura 24
\p
\v 1 Baada ya matuku asanu. Anania kuhani mbaha, baadhi ya wagosi na mdedaji umweri awangwaga Tertulo, wakagenda aja. Wandu awareda mashitaka dhidi ya Paulo kwa Gavana.
\v 2 Paulo kukimsi imbiri ya Gavana, Tertulo akaanza kumshitaki na kudeda kwa Gavana, "kwa sababu yako nikona sere mbaha, na kwa maono gako nikona sere mbaha, na kwa maono gako gareda mageuzi gaboie katika isanga jedu;
\v 3 basi kwa shukrani yose dawokera kila kilambo achibonyaga, wasalam mheshimiwa Feliki
\v 4 Lakini nisakukojese nanganyi, nakusihi unisikiriemadedo matineri kwa fadhili rako.
\v 5 Kwa maana dapata mundu uyu mkorofi, na adasababisha Wayahudi wose kuasi dunienyi. Tena nikilongozi wa madhabahu ga wanazorayo.(zingatia: sehemu ya madedo ga mshololo ugu 24:6
\v 6 Na sena wajaribie kujikumba ihekalu unajisi huwa dikamwada; ndakuko katika nakala bora ra maandiko ga kala).(zingatia: mshololo ugu
\v 7 Lisiasi, afisa, wachee na amvusa kwa ndigi mikonunyi kwendu, ndaguko katika nakala bora ra maandiko ga kala.
\v 8 Ukamkotia paulo kuhusu malago aga, hata wadima kukifunza ni kilambo ki damshitakia?"
\v 9 Wayahudi nawo wakamshitaki paulo, wakadeda kwamba aga malago gakogo loli.
\v 10 Liwali kumpungia mkonu ili Paulo adede, Paulo akajibu "Naichi ya kugora kwa miaka mingi wakogo mwamuzi wa isanga iji, na niko na boirwa kukieleza nyimweni kwako.
\v 11 Na daima kuhakiksha kugora ndagaidie matuku zaidi ya ikumi na iwi tangu nijokie kugenda kuabudu Yerusalemu.
\v 12 Na kunidoka ihekalunyi sibiahame na mundu wowose, na sibonyie fujo katika makutano, wala katika masinagogi wala ndenyi ya muzi,
\v 13 na wala ndawadimage kuhakikisha kwa mashtaka wagashtakiaga dhidi yapwa.
\v 14 Ila nakiri ihi kwako, ya kugora kwa chia ija waiwangaga idhehebu, kwa chia iyo namtumikia Mlungu na aba wedu. Nyi na mwaminifu kwa gose geko sherienyi na maandiko ga walodi.
\v 15 Niko na ujasiri guja gweni kwa Mlungu ambawo hata nawo wadeguweseria, kucha ufufuo gwa wafu, kwa wose wekona hachi na wasadae haki pia,
\v 16 na kwa iji, nidabonya kazi ili nike na dhamira isadae hatia imbiri ya Mlungu na imbiri ya wandu kuidia malago gose.
\v 17 Idana baada ya miaka mingi nacha kureda msaada kwa isanga japwa na zawadi ya magome.
\v 18 Kubonya huwu, wayahudi fulani wa Asia wakanidoka ndenyi ya sherehe ya utakaso utakaso ndenyi ya ihekalu, bila ikundi ja wandu wala gasia.
\v 19 Wandu awa ambawo yawapasie kukaia imbiri yako iji aha na idede chija weko nacho igu yapwa kama wakona idedo jojose.
\v 20 Au wandu awa weni na wadede ni ikosa ki wajiwona kwapwa nikisimama imbiri ya ibaraza ja kiyahudi,
\v 21 isipokuwa kwa ajili ya kilambo chimweri na chideda kwa sauti nikisimama gadi gadi yawe, ni kwa sababu ya ufufuo gwa wafu inyo mdani hukumu."
\v 22 Feliki wakogo wataarifiwa nicha kuhusu chia, na akagualisha mkutano. Akadeda," Lisia jemedari akacha kunu isi kufuma Yerusalemu nifunyaga maamuzi dhidi ya mashitaka genyu."
\v 23 Niko akamwamuru akida amlindie Paulo, ila ake na nafasi na hata asakaie mundu wakuwalegeshea wambuya wake wasamtaware wala wasamselie.
\v 24 Baada ya matuku kadhaa, Feliki akawuya na Drusila mkakawakogo myahudi, akaduma kumwanga Paulo na akasikira kufuma kwake habari ra imani ndenyi ya Kristo Jesu.
\v 25 Ila Paulo akogo akijadiliana nae kuhusu haki, kukaia na kiasi na hukumu ichaga, Feliki akapata hofu akajibu," genda kula kwa ijiaha, ila nikapata muda sena, nikuwangaga."
\v 26 Muda ugo gweni, wategemee kugora, Paulo wadima mneka magome kwa huwo wambangie mara nyingi akaaria nae.
\v 27 Ila miaka iwi kuida, Porkio Festo akakaia liwali baada ya Faeliki, ila Feliki wakundie kukipendekeza kwa wayahudi, huwo akamsiga Paulo ndonyi ya uangalizi.
\c 25
\cl Sura 25
\p
\v 1 Niko Festo akangia katika ijimbo ijo na baada ya matuku adadu akagenda kufuma kaisaria hadi Yerusalemu.
\v 2 Kuhani mbaha na Wayahudi mashuhuri wakareda shutuma dhidi ya Paulo kwa Festo, na wakadeda kwa ndigi kwa Festo.
\v 3 Na wakamlomba Festo fadhili igu ya habari ra Paulo apate kumwaga Yerusalemu ili wadime kumwaga chienyi.
\v 4 Ela Festo akajibu kugora Paulo warikogo mfungwa katika kaisaria, na kwamba ye mweni awiaga uko shwa shwa.
\v 5 Wadedie "kwa huwo, waja ambawo wadima, kugenda uko na isi kama kilambo chizamie kwa mundu uyu wapaswa kumstaki."
\v 6 Baada ya kukaia matuku nane au ikumi na zaidi, akawia kaisaria. Na ituku jinugirie akakaia katika kifumbi cha hukumu na kuamuru Paulo aredwe kwake.
\v 7 Kufika, Wayahudi kufuma Yerusalemu wakasimama avui, wakafunya mashtaka mengi mazito ambawo ndawadimie kugathibitisha.
\v 8 Paulo wakitetee na kudeda, 'si dhidi ya irina ja wayahudi, siyo igu ya ihekalu, na siyo igu ya kaisaria, nabonya gazamie.
\v 9 Ela Festo wakundie kukipendekeza kwa waya hadi, na huwo akamjibu Paulo kwa kudeda, 'Je, wakundi kwenda Yerusalemu na kuhukumiwa nanyi kuhusu malago aga uko?'
\v 10 Paulo wadedie,' nasimama imbiri ya kifumbi cha hukumu cha kaisaria ambapo napaswa kuhukumiwa. Siwakosee wayahudi, kama we andu uichi nicha.
\v 11 Ikiwa nakosa na kama nabonya chistahili kifo, silegaa kufwa. Ela kama shutuma rawe si kilambo, ndakudae mundu adimaga kunikabidhi kwawo. Namlomba kaisari.'
\v 12 Baada ya Festo kudeda na ibaraza akajibu, "udamlomba kaisari, ugendaga kwa kaisari,"
\v 13 Baada ya matuku kadhaa, Mzuri Agripa na Bernike wafikie kaisaria kubonya ziara rasmi kwa Festo.
\v 14 Baada ya kukaia aho kwa matuku mengi, Festo wawasilishie kesi ya Paulo kwa Mzuri, Akadeda, mundu umweri wasigiwe aha ni Feliki kama mfungwa.
\v 15 Nikogo Yerusalemu makuhani wabaha na wagosi wa wayahudi waredie mashtaka igu ya mundu uyu kwapwa, nawo wakotie igu ya hukumu dhidi2 yake.
\v 16 kwa iji nyi nawajibie kwamba siyo desturi ya waroma kufunya kumfunya mundu kwa upendeleo baada yake, mtuhumiwa apaswa kuwa na nafasi ya kuwakabili wastaki wake na kukitetea dhidi ya tuhuma iro.
\v 17 Kwa huwo, kucha andukumweri aha, sidimie kuwesera, ela ituku janugiria nakee katika kifumbi cha hukumu na kuamuru mundu uyo aredwe ndenyi.
\v 18 Wakati wastaki wasimama na kumshtaki, najifikirie kwamba ndakudae mashtaka mabaha garedwa dhidi yake.
\v 19 Baada yake, wakogo na mabishano fulani andukumweri nae kuhusu dini yawe na kuhusu Jesu ambaye wakogo wafwa, ela Paulo adai kugora kuwa weko banana.
\v 20 Nakogo nafumbwa jinsi ya kuchunguza isuala iji, na nikamkotia kama wagendaga Yerusalemu kuhukumiwa kuhusu malago aga.
\v 21 Ela Paulo kuwangwa awikwe ndonyi ya ulindiri kwa ajili ya uamuzi gwa Mzuri, niamurie awikwe hata nichamgenja kwa kaisari.'
\v 22 Agripa warie wa Festo, "Nakundi pia kumsikiria mundu uyu." Festo, akadeda, "kesho wadima msikira."
\v 23 Huwo kesho yake Agripa na Bernike wafikie na sherehe nyingi, wafikie katika ukumbi na maafisa wa kijeshi, na wandu mashuhuri wa muzi. Na Festo kufunya amri, Paulo akamredwa kwawo.
\v 24 Festo akadeda," Mzuri Agripa, na wandu wose ambawo mko aha andukumweri na isi, mwawona mundu uyu, jumuiya yose ya wayahudi uko Yerusalemu na aha pia wakunda niwashauri, na wo wakakaba jogo kwapwa kwamba asaishi.
\v 25 Nawonie kwamba ndabonyie jojose jistahili kifo, ela kwa sababu wamwanga Mzuri, naamue kumgenja kwake.
\v 26 Ela sidae kilambo dhahiri cha kuandika kwa Mzuri. Kwa sababu ihi, namreda kwako, hasa kwako we, Mzuri Agripa, ili nipatie kuwa kilambo cha kuandika kuhusu kesi.
\v 27 Kwa kugora nawona ndaidae maana kumgenja mfungwa na bila kubonyera mashtaka gamkabili.
\c 26
\cl Sura 26
\p
\v 1 Huwo Agripa akamzera Paulo, waruhusiwa kujitetea." Niko akanyoosha mikonu gwake akajitetea huwu.
\v 2 "Nakiwona niko na furaha, Mzuri Agripa, ili kubonya kesi yapwa imbiri yako linu dhidi mashtaka gose ga wayahudi.
\v 3 Hasa, kwa sababu we wa mtaalamu wa desturi ra wayahudi na wastahili. Huwo nakulomba unisikirie kwa uvumilivu.
\v 4 Loli, wayahudi wose waichi jinsi nikogo nikiishi tangu udawana gwapwa katika isanga japwa uko Yerusalemu.
\v 5 Waniichi tangu mwanzo na wapaswa kukubali kwamba naishie kama mfarisayo, idhehebu jikana msimame gubirie dininyi yedu.
\v 6 Idana nasimama aha nihukumiwe kwa sababu nyi nagowie ahadi ambayo Mlungu wabonyie na aba wedu.
\v 7 Ihi ni ahadi ambayo makabila gedu ikumi na awi gatumaini kuwokera kama wakamwabudu Mlungu kwa bidii kio na dime. Nikwa ajili ya itumaini iji, Mzuri Agripa, kwamba wayahudi wadanishtaki.
\v 8 Kwa indoi wowose kati yenyu adafikiri ni ajabu kwamba Mlungu wafufua wandu?
\v 9 Wakati gumweri nafikirie nyi mweni kwamba nabonyaga malago mengi dhidi ya irina ja Jesu wa Nazareti.
\v 10 Nabonyie aga katika Yerusalemu, Nawafungie waamini wengi igerezanyi, na nakogo na mamlaka kufuma kwa wabaha wa makuhani kubonya huwo, na wakati wadabwagwa, nakabie kura dhidi yawe.
\v 11 Mara nyingi nawaadhibie katika masinagogi gose na nagerie kuwabonya waikane imani yawe. Narikogo na hasira nanganyi igu yawe na nawawingisie hata katika mizi ya ugenyinyi.
\v 12 Wakati nikogo nikibonya aga, nagendie Dameski, nikika na mamlaka na malagizo kufuma kwa makuhani wabaha;
\v 13 nikogo chienyi wakati gwa dime, Mzuri, nawonie mwanga kufuma igu mbingunyi gukogo gubirie kuliko iruwa na gwa meremeta kudizunguluka nyi na wandu wakogo wakidamba andu kumweri nanyi.
\v 14 Isi wose kugwa ndonyi, nikasikra sauti ikideda nanyi ikideda katika luga kiebrania, sauli, sauli! kwa indoi udanitesa? Ni vigumu kwako kugubaka iteke mchokoo.
\v 15 Niko nikadeda, we wami, Mzuri? Mzuri akajibu, Nyi na Jesu ambae udanitesa.
\v 16 Idana inuka usimame kwa magu gako, kwa sababu kwa ikusudi iji nyi nawona kwako, na kuteuliwa kuwa mtumishi na shahidi igu ya malago ambago waichi kuhusu nyi idana na malago nikubonyeraga baadae.
\v 17 na nikuokoaga kufuma kwa wandu na wandu wa masanga ambapo nakuduma,
\v 18 kuwusira meso gawe na kuwafunya kirenyi kugenda mwangenyi na kufuma ndigi nyi ra shetani wamgeukia Mlungu, ili wapate kuwokera kufuma kwa Mlungu msamaha gwa zambi na urithi ambawo nawaneka wose nawatenga kwa imani iko kwapwa.
\v 19 Huwo, Mzuri Agripa, sidimie kuasi maono ga mbingunyi,
\v 20 Ela kwa waja weko katika Dameski kwanza, na kisha Yerusalemu na isanga jose ja Yudea, na pia kwa wandu wa masanga ga mwi, nahubirie kugora watubu na kumgeukia Mlungu, wabonye matendo gastahili toba.
\v 21 Kwa sababu iyo wayahudi yaniwadie ihekalunyi wakageria kunibwaga.
\v 22 Mlungu wanitawarie mpaka ijiaha. huwo nasimama na kushuhudia kwa wandu wakawadia na kwa waja wabaha igu ya waja ambawo walodi na Musa wadedie gafumiriaga na siyo vimwi,
\v 23 kwamba Kristo lazima wadima teseka na wadima kaia wa kwanza kufufuka kufuma kwa wafu na kutangaza kwa wayahudi na wandu wa masanga.
\v 24 Paulo kumweria kukitetea, Festo wadedie kwa sauti mbaha. Paulo, we wamwenda waamini! masomo geko gakubonya ukaie mwenda wazimu.
\v 25 Ela Paulo akadeda, nyi siyo mwenda wazimu, mheshimiwa Festo, ela kwa ujasiri nadeda madedo ga uloli mduhu.
\v 26 kwa kugora Mzuri waichi kuhusu malago aga, na huwo mdeda kwa uhuru kwake, kwa maana na niko na uhakika kwamba ndakudae jojose jawisigwa kwake, kwa kugora iji ndajibonyie mbai.
\v 27 Je, waamini walodi, Mzuri Agripa? Naichi kwamba waamini.'
\v 28 Agripa akamzera Paulo, kwa muda mvui wadima kunishawishi nyi na kunibonya mkristo?
\v 29 Paulo akadeda, "Namlomba Mlungu kwamba, kwa muda mvui au mlacha, siyo we tu bali pia wose wanisikiraga linu, wake kama nyi ela bila ihi minyororo ya igereza."
\v 30 Niko Mzuri akasimama, na liwali, na Bernike pia, na waja wakogo wakaia andu kumweri nawo,
\v 31 Kuinga ukumbinyi wadede wo kwa wo na kuideda, mundu uyu ndastahilie kifo wala kifungo.'
\v 32 Agripa akamzera Festo, " mundu uyu wadimaga kuwikwa huru kama ndademaga rufani kwa kaisari.
\c 27
\cl Sura 27
\p
\v 1 Kuamuliwa kwamba dakundigie didawmbe kwa machi kugenda Italia, wakamkabidhi Paulo na wafungwa wamwi kwa afisa umweri wa ijeshi ja kiroma awangiwe julio, wa kikosi cha Agustani.
\v 2 Dikajoka meli kufuma Adra nitamu, ambayo yakogo idambe mbai mbai ya pwani ya Asia.
\v 3 Ituku jinugirie dikadua nanga katika muzi gwa sidoni, ambapo Julio wamtendee paulo kwa ukarimu na akamshukuru wawo.
\v 4 kufuma aho dikagenda baharinyi dikadamba kuzunguluka kisiwa cha kipro, kwa sababu upepo gwakogo gukidikabili.
\v 5 Baada ya kuwa damba katika machi gako avui na kulikia na Pamfilia, dikacha mira, muzi gwa lisia.
\v 6 Aja uja ofisa wa jeshi ja kiroma, akaidoka meli kufuma Alexandria ambayo ye kogo idambe kuelekea Italia. Akadijosa ndenyi yake.
\v 7 Baada ya kukaia dadamba mbeeri kwa matuku mengi na hatimaye dikaka dafika kwa wasi avui na kinidas, upepo ndagudinihusie sena kuelekea chia iyo, huwo dikadamba mbai mbai ya kiju cha krete dikigukinga upepo, mkabala na salmone.
\v 8 Dikadamba mbai mbai ya pwani kwa ugumu, mpaka dikafika andu kuwangwaga Fari Haveni ambayo iko avui na muzi gwa lasi.
\v 9 Dakogo dawusa muda mungi nanganyi, na muda gwa mfungo gwa kiyahudi gwakogo gwaida pia na idana yakogo ni hatari kuendelea kudamba. Huwo Paulo akadionya,
\v 10 na kudeda, "womi, nawona charo ambacho dakundi dichuwuse chikaga na madhara na hasara nyingi, siyo tu ya mzigo na meli, ela pia ya maisha gedu."
\v 11 Ela ofisa wa jeshi ja kiroma akamsikira zaidi bwana wake na mmiliki wa meli, kuliko malago gaja ambago gazungumziwe ni Paulo.
\v 12 kwa sababu bandari ndaikogo sehemu rahisi kukaia wakati gwa mbeo, mabaharia wakashauri didambe kufuma aja, ili kwa namna yoyose dikadima kugufika muzi gwa foinike, dike aja wakati gwa mbeo. Feinike ni bandari uko krete, na yaguwa kaskazini ni mashariki na kusini mashariki.
\v 13 Upepo gwa kusini kuanza kuvuma mboeri, mabaharia wakafikiri wapata chija ammbacho wakogo wakichihitaji. Wakakua nanga na kudamba mbai mbai ya krete avui na pwani.
\v 14 Ela baada ya muda mvui upepo, mkali guwangwa gwa kaskazini mashariki, gukaanza kudikaba kufuma kimomu ya kisiwa.
\v 15 Wakati meli kulemewa na kulemwa kugukabili upepo, dikakubaliana na hali iyo, dikakdeda mbishwa nigo.
\v 16 Dikakimbia kuidia kuja luwande gukogo gukiwukinga upepo gwa kisiwa chiwangwaga kauda, na kwa taabu nanganyi dafanikiwe kuguokoa mtumbwi.
\v 17 Baada ya kuwa wairuda, watumie luga kufunga meli. Waboie kugora dadimaga kugenda ieneo ja msanga mungi ja syiti, huwo wakasera nanga na wakaendeshwa mbai mbai.
\v 18 Dakabiwe kwa ndigi nanganyi na dhoruba, huwo ituku jinugirie mabaharia wakanza kudaga mizigo kufuma melinyi.
\v 19 Ituku ja kadadu, mabaharia wakaanza kugafunya machi kwa mikonu yawe weni.
\v 20 Wakati ambapo iruwa na nyenyeri ndandiangazie kwa matuku mengi, bado dhoruba mbaha yadikabie, na matumaini kwamba daokolewaga gaingie.
\v 21 Baada ya kugora wagenda muda mlacha bila vindo, aho Paulo akasimama gadi gadi ya mabaharia akadeda, "womi, mwapaswa mnisikirie, na ndadakuga nanga kufuma krette, ili kupata aga madhara na hasira.
\v 22 Na idana nawafariji mnikumbe ngolo, kwa sababu ndakukaia upotevu maisha gadi yenyu, isipokuwa hasara ya meli tu.
\v 23 Kwa sababu kio cha ida malaika wa Mlungu, ambae uyu Mlungu nyi na wake, na ambae na mwabudu pia, malaika wake wasimamie mbai yapwa.
\v 24 na kudeda, "usaboe Paulo. Lazima usimame imbiri ya kaisari, na ngowa, Mlungu katika wema gwake wakuneka awa wose ambawo wadadamba andukumweri nawe.
\v 25 Huwo, womi, kinekenyi ngolo, kwa sababu namwamini Mlungu, kwamba ikaie kama nagoriwa.
\v 26 Lakini lazima divavike kwa kukabwa katika baadhi ya visiwa."
\v 27 Kufika ituku ja kumi na nane, dikogo dikiendeshwa uko na uko bahari ya Adratik, kama kio cha manane huwu, mbaharia wafikirie kwamba wakaribia isanga jiomie.
\v 28 Watumie milio kupima kina cha machi na wakapata mita thelathini na sita, baada ya muda mvui wakapima sena wakapata mita ishirini na saba.
\v 29 Waboie kwanza dadima kugonga miamba, hguwo wakasera nanga ina kufuma katika sehemu ya kuwekea nanga na wakalomba asubuhi magu yacha mapema.
\v 30 Waja mabaharia warikogo walola namna ya kuitelekeza ija meli na wariserie machinyi boti ndini ra kuokolea maisha, na wakajifunya kwamba wadaga nanga kufuma sehemu ya imbiri ya boti.
\v 31 Ela uja Paulo akawazera uja askari wa jeshi ja kiroma na waja askari," Ndamdimaga kuokoka isipokuwa awa wandu wadabaki melinyi."
\v 32 kisha waja askari wakadema luga ra ija boti na ikasigwa iwusiwe ni machi.
\v 33 Wakati mwanga gwa asubuhi gukogo gwafumiria, Paulo akawasihi wose angalau waje kotineri. Akadeda "Iji ni ituku ja ikumi na nane mdawesera bila kuja, ndamjie kilambo chochose.
\v 34 Huwo nawasihi muwuse vindo vitineri, kwa sababu ihi ni kwa ajili ya kuishi kwenyu, na ndakudae hata unywele gumweri gwa vongo venyu gulagaa.
\v 35 kumeria kudeda ago, akawusa mkate akamshukuru Mlungu imbiri ya meso ga kila mundu. kisha akagubega mkate akaanza kuja.
\v 36 kisha wose wakakumbwa ngolo na wo wakawusa vindo.
\v 37 Dakogo wandu 2766 ndenyi ya meli.
\v 38 kumeria kuja na kutosha, wakibonya meli kuka nyepesi kwa kudaga ngano ndenyi ya bahari.
\v 39 kufika na dime, ndawaimanyie isanga jiomie, ela wakaona sehemu ya isanga jiomie yangia machinyi ikogo na msangaga mungi. wakajadiliana wadima kuiendesha meli kuelekea aho.
\v 40 Huwo wakarilegesha nanga wakarisiga baharinyi. Katika muda ugo gweni wakarilegeza chuga ra itanga na wakainua sehemu ya imbiri kuelekea kuja kuko upepo, huwo wakaelekea uko msanga mungi.
\v 41 Ela wakacha andu ambako mikondo iwi ya machi ikwanga, na meli ikaelekea msangagenyi. Na ija sehemu ya imbiri ya meli ikakwama aja na ndadimie kufuma, ela sehemu ya imbiri ya meli ikaanza kuchukanyika kwa sababu ya kubia kwa mawimbi.
\v 42 mpango wa waja askari gwakogo ni kuwabwaga wafungwa, ili kwamba ndakudae ambae waogeleaga na kutoroka.
\v 43 Ela uja askari wa ijeshi ja kiroma wakogo wakundi kumwokoa Paulo, huwo akagusimamisha mpango gwawe, na akawaamuru waja ambawo wadima kuogerera, waburuke kufuma melinyi kwanza na wagende isangenyi jiomie.
\v 44 kisha womi wamwi waduma nugiria, wamwi igu ya vipande va mbao na wamwi igu ya vilambo vimwi kufuma melinyi. Kwa chia ihi ikafumiria kwamba wose dadimafika salama isanga jiomie.
\c 28
\cl Sura 28
\p
\v 1 Kufikishwa salama, nikamanya kwamba kisiwa cha wangwaa malta.
\v 2 Wandu wenyezi wa aja si tu kwamba wadinekie ukarimu gwa kawada, bali wawashie modo na kudikaribisha wose, kwa sababu ya vua na mbeo ikogo ikiendelea.
\v 3 Ela Paulo akogo wakusanya mzigo gwa ngwi na kugukumba modonyi, choka mtini akona sumu akafuma aja ngwinyi kwa sababu ya guja mruke, na akalizungulusha mkonunyi kwake.
\v 4 Wandu wenyezi wa aja kuwona mnyamandu adaning'inia kufuma mkonunyi gwake, wakadedanya weni kwa weni, "mundu uyu hakika ni mbwagaji ambae watoroka baharinyi ela haki ndaimruhusu kuishi."
\v 5 Ela ye akamdagia uyo mnyamandu katika modo na ndapatie madhara gogose.
\v 6 Wo wambeserie afure kwa homa au agwe gafula na kufwa. Ela baada ya kuguwa kwa muda mlacha kawaida kwake, wagalusie mawazo gawe na kudeda warikogo Mlungu.
\v 7 Basi andu aja avui kwarikogo na ardhi ambayo yakogo mali ya mbaha wa kisiwa, mundu awangiwe Pablio. Wadikaribishie na kudikarimu kwa matuku adadu.
\v 8 Yafumirie kwamba ndee wa pablio wawadiwe ni homa na ukongo gwa kuhara. Na Paulo kumgendia, akalomba, akawika mikonu igu yake, na kumboisa.
\v 9 Baada ya iji kufumiria, wandu wamwi aja kisiwenyi wakogo wadawawa pia wagendie na wakaboisiwa.
\v 10 Wandu wakadiheshimu kwa heshima nyingi. Dikogo dawandaa kudamba kudamba, wadinekie vija divikundie.
\v 11 Baada ya mieri idadu, dadambie ndenyi ya meli ya iskanda ambayo yakogo yakabwa ni mbeo aha kisiwenyi, ambawo vilongozi wake warikogo wambari wawi mapacha.
\v 12 Baada ya kuwa datua katika muzi gwa sirakusa, dakaie aja matuku adadu.
\v 13 kufuma aja dadambie dikafika katika muzi gwa Regio. Baada ya ituku jimweri upepo gwa kusini gwafumirie gafula, na baada ya matuku awidikafika katika muzi gwa putoli.
\v 14 Uko dawadokie baadhi ya wambari na dakaribishiwe ihi dikacha rumi.
\v 15 kufuma uko waja wambari, baada ya kuwa wasikira habari redu, wachee kudiwokera chete cha Apias na Hotel idadu. Paulo kuwawona waja wambari wamshukurue Mlungu akakikumba ujasiri.
\v 16 kungia Roma, Paulo waruhusiwa kuishi mwenikeri andu kumweri na uja askari akogo akimlindia.
\v 17 Basi yakogo baada ya matuku adadu Paulo wangie andukumweri waja womi wakogop vilongozi kati ya wayahudi kucha andukumweri wadedie kwawo, "Wambari andukumweri na kwamba sibonyie ikosa jojose kwa wandu awa au kubonya kinyume na taratibu ra maaba wedu wadikirie, nafunyigwe kama mfungwa kufuma Yerusalemu hadi mikonunyi ya Warumi.
\v 18 Baada ya kunihoji, watamanie kunisiga huru kwa sababu kwakogo ndakudae sababu kwapwa nyi ya kustahili adhabu ya kifo.
\v 19 Ela waja wayahudi kudeda kinyume cha shauku yawe, nalazimie kudema rufaa kwa kaisaria, japokuwa ndaikogo kana kwamba nareda mashtaka igu ya isanga japwa.
\v 20 kwa sababu ya kudema kwapwa rufaa, huwo nalombie kuwona na kudeda na inyo. Ni kwa sababu ya chija ambacho israeli akona ujasiri kwa icho, nafunyigwe na kifungo ichi.
\v 21 Kisha wakamzera, "Ndedilingisire kuwokera barua kufuma Yudea kuhusu we, wala ndakudae mbari wacha na kufunya taarifa au kudeda idedo jojose jizamie kuhusu we.
\v 22 Ela dakundi kusikira kufuma kwako udafikiri indoi kuhusu iji ikundi ja wandu awa, kwa sababu yamanyikane kwedu kwamba jadeda kinyume kila andu."
\v 23 Wakogo watenga ituku kwa ajili yake, wandu wengi zaidi wamchee andu akogo akiishi. Wadedie jija ilago kwawo na kushuhudia kuhusu wuzuri gwa Mlungu. Wagerie kuwashawishi kuhusu Jesu, kwa namna rose iwi kufuma katika sheria ra Musa na kufuma kwa walodi, kuanzia asubuhi hadi kwenyi.
\v 24 Baadhi yawe washawishikie kuhusu malagoo gaja gadedigwe, wakati wami ndawaaminie.
\v 25 Kushindwa kukubaliana wo kwa wo, wangie baada ya paulo kujideda ilago iji jimweri, "Ngolo wa kuela wadedie nicha kuidia isaya mlodi kwa waka aba wedu.
\v 26 Wadedie, "genda kwa wandu awa udede," kwa madu genyu mwadimasikira, ela ndamwelewaga, Na kwa meso genyu wadima wona ela ndammanyaga.
\v 27 kwa ajili ya ngolo ra wandu awa yakaia dhaifu, madu gawe gasikira kwa taabu, wabonya meso gawe, ili kwamba wasache manya kwa meso gawe, na kusikira kwa madu gawe na kuelewa kwa ngolo rawe na kugeuka sena, na nawaboisaga."
\v 28 kwa huwo, mdapaswa kumanya kwamba ugu wokovu gwa Mlungu gwagenjwa kwa wandu wa masanga, na wadimasikira." (Zingatia: mshololo ugu
\v 29 "Wakati akogo wadeda malago aga, wayahudi wangie, wakika na mashindano mabaha kati yawe, "ndaguko katika nakala bora ra kala).
\v 30 Paulo wakaie katika nyumba yake ya kupanga kwa miaka yose iwi, nawawakaribishie wose wachee kwake.
\v 31 Wakogo akihubiri wuzuri gwa Mlungu na wakogo akifundisha malago igu ya Mzuri Jesu Kristo kwa ujasiri gose. Ndakudae amzuie.

882
46-ROM.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,882 @@
\id ROM
\ide UTF-8
\h Warumi
\toc1 Warumi
\toc2 Warumi
\toc3 rom
\mt Warumi
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, mdumwi wa Jesu Kristo, awangiwe kuwa mlodi na kutengwa kwa ajili ya injili ya Mlungu.
\v 2 Ihi niyo ija injili achidimiwe kala kuidia walodi wake katika maandiko matakatifu.
\v 3 Ni kuhusu mwana wake, avalwe kufuma ukoo gwa Daudi kwa jinsi ya mubi.
\v 4 Ye watangaziwe kuwa mwana wa Mlungu kwa ndighi ya Ngolo ya kuelewa kwa ufufuo gwa wafu, Jesu Kristo Bwana wedu.
\v 5 Kuidia ye dawokera neema na ulodi kwa utii gwa imani kati ya masanga ghose, kwa ajili ya irina jake.
\v 6 Kati ya masanga agha, inyo pia mwawangwa kuwa wa Jesu Kristo.
\v 7 Barua ihi ni kwa wose weko Rumi, wakundiwe ni Mlungu, wawangiwe kuwa wandu watakatifu. Neema naike kwenyu, na sere kufuma kwa Mlungu Aba wedu na Mzuri Jesu Kristo.
\v 8 Wosi, namshukuru Mlungu wapwa katika Jesu Kriisto kwa ajili yenyu wose, kwa sababu imani yenyu yahubiriwa katika masanga wose.
\v 9 Kwa huwo Mlungu ni shahisi wapwa, ambaye na mdumikiagha kwa ngolo yapwa katika injili ya mwana wake, jinsi nidumuwo katika kuwataja.
\v 10 Kala na kala nalomba katika malombi gapwa kwamba kwa chia yoyose nipate misisho kura na mafanikio ijiaha kwa lukundo kwa Mlungu katika kucha kwenyu.
\v 11 Maana natamani kuwaona, ili nipate kuwaneka inyo baadhi ya karama ra ngolonyi, nipate kuwaimarisha.
\v 12 Yaani, natazamia kukumbwa ngolo pamoja na inyo, kwa chia ya imani ya kila umweri wedu, yenyu na yapwa.
\v 13 Idamu mbari, sikundi msowe kumanya kwamba, mara kengi nakusudia kucha kwenyu, ela nazuiliwa mpaka ijiaha. Nakundie huwu ili kuka na matunda kwenyu kama andu kuko pia miongonyi mwa wandu wa masanga.
\v 14 Nalawiwa ni wayunani na wagenyi pia, wakalie na wakelu.
\v 15 Kwa huwo, kwa luwande lwapwa, nyi niko tayari kutangaza injili kwenyu pia inyo niko uko Roma.
\v 16 Kwa huwo siiwoniagha waya injili, kwa uwo ni uweza wa Mlungu kuredaa wokovu kwa kila aaminiye, kwa myahudi wosi na kwa Myunani pia.
\v 17 Kwa huwo haki ya Mlungu yadhihirishwa kufuma imani hata imani, kama andu yaandikwa, "Ako na hachi wadimaishi kwa imani.|
\v 18 Kwa huwo ghadhabu ya Mlungu yadhihirishwa kufuma Mbingunyi dhidi ya uasi na ulaghelaghe wose wa wandu, ambao kwa chia ya udhalimu waivisaa loli.
\v 19 Ihi ni kwa sababu, wose ghadimikaa kumanyika ighu ya Mlungu ni wazi kwao. Kwa huwo wawamanyisha.
\v 20 Kwa huwo malagho ghasawonekanagha nicha gha mwari tangu kuumbwa kwa urumwengu. Gaelewekagha kuidia vilambo naumbwa. Malagho agha ni uwe gwake gwa kala na kala na asili ya wurungu. Matokeo ghake, wandu awa ndewadae udhuru.
\v 21 Ihi ni kwa sababu, ingawa kuhusu Mlungu, ndewa mtukuzie ye kama Mlungu, wala ndewamnekie shukrani. Badala yake, wakee wakelu katika mawazo ghawe na ngodorawe wekona wukelu yakumbiwe kira.
\v 22 Wakiwangie wei wakale, ela wakaka wakelu.
\v 23 Wagalusie utukufu wa Mlungu asadae kunokera kwa mfano wa sura ya binadamu akona kunona na ya nyonyi, ya nyamandu vikona magu ana na viumbe vitambalaa.
\v 24 Kwa huwo Mlungu wawasighie wanughe tamaa ra ngolo rawhe kwa uchama, kwa mubiyawhe kufedheheshwa baina yao.
\v 25 Ni wo waghalusie loli ya Mlungu kuka tee, na ambawo waabudie na kudumikia viumbe badala ya Muumbaji ambaye watogholwaa kala na kala.
\v 26 Kwa sababu ihi, Mlungu wawasighie wanughe tamaa rawhe ra waya, kwa kuwa waka wawe wagalusie matumizi ghawe gha asili kwa jija jiko kinyume na asili.
\v 27 Hali kadhalika, womi wakasigha matumizi ghawo gha asili kwa waka wae na kuwaewa ni tamaa dhidi yawhe weni. Awa warikogho womi ambao wabonya na womi wambawe ghasapasaa, na ambawo wawekerie adhabu ya wastahili upotovu wawhe.
\v 28 Kwa sababu walegie kuwa na Mlungu katika fahamu rawhe, wawasihgie wanughe akili rawhe risafugha.
\v 29 Wachuriwa ni udhalimu wose ulaghelaghe, tamaa na kuzama. Wachurigwa ni wivu, ubwaghaji, kondo, kuemba, na nia izamie.
\v 30 Wo pia ni waghunaji, wasingiraji na wakana kumzamiwa Mlungu. Wakana vurugu, kiburi na majunu. Wo ni watungaghazamie, na wasatii wazazi wao.
\v 31 Wo ndewadae ufahamu, ndewaaminikagha, ndewadae lukundu gwa asili na wasadae na mbazi.
\v 32 Walewagha kanunira Mlungu, na kwamba wandu wabonyagha malagho gha jinsi iyo wastahili kufwa. Ela siyo wabonyagha agho, wo pia wakubalianaa na waja wabonyagha malagho agho.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa huwo dekundae udhuru we uhukumu ye, kwa kughora katika ghaja uhukumuye umwi, akikumba hatienyi mweni. Kwa maana we uhukumuye udabonya malagho ghaja gheni.
\v 2 Ela daishi hukumu ya Mlungu ni ya loli ighu yawhe wabonyagha malagho kama agho.
\v 3 Ela wetsfsksri iji, we ambaye wahukumu waja wabonyagha malagho agho ingawa nawe wabonyagha malagho agho gheni. Je wadima waepuka hukumu ya Mlungu.
\v 4 Au wafikiri kutineri nanganyi ighu ungi wa wema gwake, kusoriwa kwa adhabu yake na kurumaghia wake? Je, nduichi kwa wema wake gwapaswa kukuelekeza katika toba?
\v 5 Bali kwa kadiri ya ugumu gwako na kwa ngolo gwako kusadae na toba wakiwekea mwenu akiba ya ghadhabu kwa ituku jija ja ghadhabu, yaani, ituku jija ja ufunuo gwa hukumu ya hachi ya Mlungu.
\v 6 Ye wadima mshana kila mundu kipimo sawa na matendo ghake.
\v 7 Kwa waja ambawo kwa uthabiti wa matendo ghaboie walola kutogholwa, heshima na kutokunoneka, amenekagha ulanzi gwa kala na kala.
\v 8 Ela kwa waja wabinafsi, wasatii loli bali watii dhuluma, ghadhabu nakirea chiboie chichagha.
\v 9 Mlungu wadima wareda wasi na shida ighu ya kila nafsi binadamu wabonya mawiwi, kwa myahudi wosi, na kwa Myunani pia.
\v 10 Ela togholo, heshima na sere ichagha kwa kila mundu abonyagha ghamboie, kwa myahudi wosi na kwa myunani pia.
\v 11 Kwa kughora ndakudae upendeleo kwa Mlungu.
\v 12 Kwa kughora kama wuja wasowa pasipo sheria wadima laghaya pasipo sheria, na kama wuja wengi wasuwie kulingana na sheria wadima hukumiwa kwa sheria.
\v 13 Kwa kughora si wasikiriaji wa sheria wakana hachi imbiri ra Mlungu, bali ni waja waitendagha sheria niwo wahesabiwagha hachi.
\v 14 Kwa kughora, wandu wa masanga, ambawo ndewadaye sheria, wabonya kwa asili malagho gha sheria, wao, wawia sheria kwa nafsi rawhe ingawa wo ndewadae sheria.
\v 15 Kwa iji wabonyera kwamba matendo ghakundikane kwa mujibu gwa sheria ghaandikwa ndenyi ya ngolo rawhe. Dhamiri rawhe pia rawashuhudia wo, na mawazo ghawe weni ama wawashitakiagha au rawalindaa owo wenu.
\v 16 Na pia kwa Mlungu. Agha ghadimafumiria katika matuku ambagho Mlungu wedimarihukumu siri ra wandu wose. Sawa sawa na injili yapwa, kwa chia ya Jesu Kristo.
\v 17 Digore kwamba wakiwanga mweni myahudi, wakaia katika sheria, shangilia kwa kukitogho katika Mlungu.
\v 18 Ghamanye lukundo lwake, na kupima malagho ambagho ghatofautiana nagho, baada ya kulaghizwa ni sheria.
\v 19 Na didede kwamba ukona ujasiri kwamba we mweni ni kilongozi wa kipofu, mwanga kwa waja weko kirenyi.
\v 20 Msahihishaji wa wakelu, mwalimu wa wana na kwamba akonayo katika sheria jinsi ya elimu na uloli.
\v 21 We basi, uhubirie wami, je, ndukifundishaa wemweni? We uhubiri kutokiwa, je we waibagha?
\v 22 We udedaa usazini, je, wazini? We uzamiwaa ni sanamu, je waibagha Hekalunyi?
\v 23 We ukitogholaa katika sheria, je ndemfedheheshaa Mlungu katika kuchikanya sheria?
\v 24 Kwa maana "irina ja Mlungu jafedheheshwa kati ya wandu wa masanga kwa sababu yenyu," kama andu yaandikwa.
\v 25 Kwa maana kuchulwa loli kwafaa kama ukatii sheria, ela kama we wa mkiukaji wa sheria, kuchulwa kwako kudaka kulemwa chulwa.
\v 26 Basi, ikako, mundu asachulwe adaendelea kuwada makunda gha sheria, je kulemwa chulwa kwake ndekuwusiwa kana kwamba wachimwa?
\v 27 Na ye asachulwe kwa asili ndehukumu mwaa kama akatimiza sheria? Ihi ni kwa sababu ukona maandiko ghaandikwa kwa kuchulwa pia ela wamkiukaji wa sheria!
\v 28 Kwa kughora ye siyo myahudi eko kwa hali ya shighadi, wala kuchulwa siyo kuja ambako ni kwa shighadi tu katika muwi.
\v 29 Ela ye ni myahudi eko kwa ndenyi, na kuchulwa ni kwa ngolo, katika ngolo, katika ngolo, si katika iandiko. Togholo ya mundu wa namna iyo ndaifumagha na wandu bali yafumaa kwa Mlungu.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kisha ni faida ki ukanayo myahudi? Na faida ya kuchulwa ni ndoi?
\v 2 Ni nicha nanganyi kwa kila chia. Awali ya ghose, wayahudi wakabidhiwe ufunuo kufuma kwa Mlungu.
\v 3 Ela, ikaawada iwapo baadhi ya wayahudi ndiwadae na imani? Je, kulemwa amini kwawo kwedima bonya waaminifu gwa Mlungu kuwa batili?
\v 4 La hasha. Badala yake, sigha Mlungu awonekane kuwa loli, hata kama kila mundu ni mtee, kama kandu iandikigwe, "Yakwamba udime kuwonekana kuwa uko na hachi katika madedo ghako, na udime kushinda ukangia katika hukumu."
\v 5 Ela ikaka uwiwi gwedu gwabonyera hachi ya Mlungu, didedei? Mlungu siyo dhalimu akifunya ghadhabu yake, je ako huwo? Na deda kufumana na mantiki ya kiudamu.
\v 6 La hasha! Ni jinsi ki basi Mlungu wedima ghuhudumu urumwengu?
\v 7 Ela ikakaia loli ya Mlungu kuidia tee rapwa wafunya togholo tele kwa ajili yake, kwa indoi bado nahukumiwa kama akona dhambi?
\v 8 Kwa indoi disadede, kama kandu dasingiziwa na kama wamwi kandu wathibitisha kwamba dadeda, "Diwonye uwiwi, ghamboie ghache"? Hukumu ighu yawhe ni hachi.
\v 9 Ni indoi basi? Dikitetea isi weni? Ndekudae kabisa. Kwa kughora isi dawatuhumu wayahudi na wayunani wose kandu kumweri, ya kughora wako ndonyi ya dhambi.
\v 10 Ihi ni kama andu yaandikwa. "Ndekudae ekona hachi, hata umweri.
\v 11 Ndekudae mundu ambaye wedimalewa. Ndekudae mundu ambaye adamlola Mlungu.
\v 12 Wose wagheuka. Wo kwa andu kumweri wakawa dewadae maana. Dekudae abonyaa ghaboie, la, hata umweri.
\v 13 Marangi ghawe ni ikaburi jiko mwari. Chumi rawo raemba. Sumu ya choka iko ndanyi ya miomu yawhe.
\v 14 Vinywa vawe vachua laana na wuchungu.
\v 15 Maghu ghawe ghakana mbio kuidia bagha.
\v 16 Uharibifu na mateso ghako katika chia rawo.
\v 17 Wandu awa ndewesiremanya chia ya sere.
\v 18 Ndekudae hofu ya Mlungu imbiri ya meso yawhe."
\v 19 Idamu damanya kwamba chochose sheria idedea, yadeda na waja wako ndonyi ya sheria. Ihi ni ili kwamba kila kinywa chifungwe, na huwo kwamba urumwengu wose ghudime kuwajibika kwa Mlungu.
\v 20 Ihi ni kwa sababu ndekudae muwi ghutaliwaa hachi kwa matendo gha sheria imbiri ya meso ghake. Kwa kughora kuidia sheria kwachaa ufahamu gwa dhambi.
\v 21 Ela idana pasipo sheria, hachi ya Mlungu yamanyikana,. Yashuhudiwe sheria na walodi,
\v 22 Iyo ni hachi ya Mlungu kuidia imani ya Jesu Kristo kwa waja wose waamini. Maana ndekudae tofauti.
\v 23 Kwa kughora wose wabonya dhambi, na kupungukiwa ni utukufu gwa Mlungu.
\v 24 Wataliwa hakudueri kwa neema yake kwa chia ya kukomboliwa ghuko katika Kristo Jesu.
\v 25 Kwa kughors Mlungu wafunyie Kristo Jesu ake upatanisho kwa chia ya imani bagha yake. Wamfunyie Kristo kama ushahidi gwa hachi yake, kwa sababu kuringisiria dhambi raida.
\v 26 Katika kurumaghia kwake. Agha ghose ghafumirie ili kubonyera hachi yake wakati uyu gwa iji aha. Ihi yakee ili adime kukuthibitisha mweni kuwahaki mundu wowose kwa sababu ya imani katika Jesu.
\v 27 Kuko hao basi kukitoghola? kwatengwa. Kwa misingi ki? misingi ya matendo? Hapana, ela kwa misingi ya imani.
\v 28 Huwo dahitimisha kwamba mundu wataliwagha hachi kwa imani pasipo matendo gha sheria.
\v 29 Au Mlungu ni wa wayahudi tu? Je ye siyo Mlungu wa wandu wa masanga pia ndiyo ni wa masanga pia.
\v 30 Ikaka kwa loli Mlungu ni umweri, wadima wakalia hachi wachuliwe kwa imani, na wasachuliwe kwa chia ya imani.
\v 31 Je, isi daibatilisha sheria kwa imani? La hasha! kinyume cha agho, isi dabatilisha sheria.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Dadima dedai sena kughora Abrahamu, Aba wedu kwa jinsi ya muwi, wapatikana?
\v 2 Kwa kughora ikiwa Abrahamu wataliwe hachi kwa matendo, wakegha na sababu ya kukitoghola, ela si imbiri ya Mlungu.
\v 3 Kwani maandiko ghadedai? "Abrahamu wamwaminie Mlungu, na akataliwa kwake kuwa hachi."
\v 4 Idana kwa mundu abonyaa kazi, mashono ghake ndeghatiliwagha kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.
\v 5 Ela kwa mundu asabonyagha kazi bali adamwamini ye ambaye amtalia hachi aseko mtumwa, imani yake mundu uyo wataliwa kuwa hachi.
\v 6 Daudi pia wanenaa baraka ighu ya mundu ambaye Mlungu wamtalia hachi pasipo matendo.
\v 7 Wadedie, "Wabarikiwa waja ambawo mawiwi ghao ghasamehewa na ambawo dhambi rawo rafunuikiwa.
\v 8 Wabarikiwa mndu uja ambaye Mzuri ndamtaliagha Dhambi.
\v 9 Basi je baraka irini kwa waja wachulwa tu, au pia kwa waja wasachulwe? kwa kughora didedagha, kwa Abrahamu imani yake yataliwe kuwa ni hachi."
\v 10 Huwo yataliwe wada basi? wakati Abrahamu warikogho katika kuchulwa, au kabla ndachulwe? Haikuwa katika kuchulwa, bali katika ndaichulwe.
\v 11 Abrahamu wawokerie alama ya kuchulwa. Ihi yerikogho muhuri gwa ija hachi ya imani akogho nayo tayari kabla ya kuchulwa. Matokeo gha ishara ihi ni kwamba wabonyekie kuwa Aba wa wose waaminio, hata kama weko katika kale mwachulwa. Ihi ikana maana kwamba hachi yadimataligwa kwao.
\v 12 Ihi pia ya maanishie kuwa Abrahamu wabonyekei Aba wa kuchulwa siyo tu kwa waja wafumanagha na kuchulwa, bali pia waja warinughaa chayo ra Aba wedu Abrahamu. Na ihi niyo imani ekonayo kwa wasachulwe.
\v 13 Kwa kughora ndeikogho kwa sheria kwamba ahadi yafunyigwe kwa Abrahamu na kivazi chake, ahadi ihi ya kwamba wakagha wapaliwa isanga. isipo kuwa, ikogho kuidia hachi ya imani.
\v 14 Kwa kughora waja wa sheria niyo wapali, imani yaka duhu, na ahadi yabatilika.
\v 15 Kwa sababu sheria yaredagha ghadhabu, ela aja ambapo ndekudae sheria, pia ndekudae kulematii.
\v 16 Kwa sababu ihi iji jafumiriagha kwa imani, ili ike kwa neema. Matokeo ghake, ahadi ni dhahiri kwa uvazi wose. Na wavalwa awa sii tu waja wa ichi sheria, bali pia waja ambao ni wa imani ya Abrahamu. Kwa kughora ye ni Aba wedu isi wose.
\v 17 Kama andu yaandikwa, "Nakubonya we kuwa Aba wa masanga menngi." Abrahamu werikogho katika uwepo gwa uja amwaminiye, yaani, Mlungu ambaye wawanekagha warimu ilanzi na kugawanga malagho ambayo ndagheko ili ghadimike kukaia.
\v 18 Licha gha hali rose ra shighadi, Abrahamu kwa ujasiri wa mwaminie Mlungu kwa matuku ghajagha. Huwo akawa Aba wa masanga mengi, kulingana na chia cha dedwa,"... Niko ghukagha wuvalwa gwako."
\v 19 Ye ndakogho dhaifu katika imani. Abrahamu wakirie kughora muwi wake mweni wakee kufwa werikogho na umwi gwa avui miaka ighana jimweri. Pia wakubaliane na hali ya kufwa ya kifu cha sara.
\v 20 Ela kwa sababu ya ahadi ya Mlungu, Abrahamu ndasitie katika kulemwaamini. Bali, wakumbigwe ndighi katika imani na wamtogholie Mlungu.
\v 21 Warikogho akimanya hakika ya kuwa chija ambacho Mlungu waahidi, werikogho pia na uwezo gwa kukimalisha.
\v 22 Kwa huwo ihi pia yataliwe kwake kuwa ni hachi.
\v 23 Idana ndaiandikigwe tu kwa faida yake, kwamba yataligwe kwake.
\v 24 Yaandikigwe kwa ajili yedu pia, kwa wawikiwa kutaligwa, isi ambao daamini katika ye amfufue Mzuri wedu Jesu kufuma kwa warimu.
\v 25 Uyu ni uja ambaye wafunyigwe kwa ajili yedu na kufufuliwa ili dipate kutaliwa hachi.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Kwa kughora dataliwa hachi kwa chia ya imani, diko na sere na Mlungu kwa chia ya Bwana wedu Jesu Kristo.
\v 2 Kuidia ye isis pia dikona fursa kwa chia ya imani katika neema ihi ambayo ndenyi yake dasimana. Daboirwa katika ujasiri adinekagha Mlungu kwa ajili ya baadaye, ujasiri ambagho dedimashiriki katika utukufu gwa Mlungu.
\v 3 Siyo iji tu, ela pia daboirwa katika mateso ghedu. Daichi kwamba mateso ghavaa kurumaghia.
\v 4 Kurumaghia kwavaa kukubalika, na kukubalika kwa vaa ujasiri kwa ajili ya baadaye.
\v 5 Ujasiri ughu ndeghukatishaa tamaa, kwa sababu lukundo lwa Mlungu gwadiwa katika ngolo redu kuidia Ngolo mtakatifu, ambaye wafunyigwe kwedu.
\v 6 Kwa andu darikogho diduagha dhaifu, kwa wakati muafaka Kristo wafunye kwa ajili ya wokovu.
\v 7 Kwa kughora ikavikurie umweri kufuma kwa ajili ya mundu akona haki. Ihi ni kwamba, pengine mundu mangu wathubutu kufwa kwa ajili ya mundu aboie.
\v 8 Ela Mlungu wahakikisha lukundo lwake mweni kwedu, kwa sababu wakati derikogho ndediligisire wekana dhambi, Kristo wafuye kwa ajili yedu.
\v 9 Kisha zaidi ya ghose, idana kwa kuwa dataligwa haki kwa bagha yake, dedimaokolewa kwa huwo kufuma katika ghadhabu ya Mlungu.
\v 10 Kwa kughora, ikiwa wakati dirikogho maadui, dapatanishwe na Mlungu kwa chia ya kufwa cha mwanake, zaidi ranganyi, baada ya kuwa dameria kupatanishwa, didimaokolewa kwa maisha ghake.
\v 11 Siyo huwu tu, bali pia dedimaboirwa katika Mlungu kuidia Mzuri Kristo, kuidia ye ambaye idana dawokera upatanisho ughu.
\v 12 Kwa huwo basi, kama kuidia mundu umweri yangirie isangenyi, kwa ihi kifwa changirie kwa chia ya dhambi. Na kifwa chikasambaa kwa wandu wose, kwa sababu wose wabonyie dhambi.
\v 13 Kwa kughora hadi sheria, dhambi yarikogho isangenyi, ela dhambi ndaitalikagha wakati ndakudae sheria.
\v 14 Hata huwo, kifwa chatalie kufuma Adamu hadi Musa, hata ighu ya waja ambawo ndewabonyie dhambi kama kule mwatii kwa Adamu ambaye ni mfano ye ambaye wachagha.
\v 15 Ela hata huwo, zawadi ya dueri siyo kama ikosa kwa kuwa ikaka kwa ikosa ja umweri wengi wafunye, zaidi nanganyi neema ya Mlungu na zawadi kwa neema ya mundu umweri, Jesu Kristo, yazidi kuchurika kwa wengi.
\v 16 Kwa kughora zawadi siyo kama matokeo gha uja ambaye wabonyie zambi kwa kughora kwa luwande lumwi, hukumu ya dhambi yachee kwa sababu ya ikosa ja mundu umweri. Ela kwa luwande lumwi, kipawa cha dueri chifumagha katika kutaligwa hachi baada ya makosa mengi chachee.
\v 17 Kwa kughora, kwa ikosa ja umweri, kifwa chatawalie kuidia umweri, zaidi nanganyi waja ambao wadama wokera neema nyingi pamoja na kipawa cha hachi wadimatawala kuidia maishagha umweri, Jesu Kristo.
\v 18 Huwo basi, kama kuidia ikosa jimweri wandu wose wachee hukumunyi, ingawa kuidia itendo jimweri ja hachi kwa chee kutaliwa hachi ya maisha kwa wandu wose.
\v 19 Kwa kughora kama kuidia kulemwa tii kwa mundu umweri wengi wabonyigwe wekona dhambi, huwo kuidia utii wa umweri wengi wadima wabonywa wekona haki.
\v 20 Ela sheria yangirie andu kumweri, ili kwa ikosa jidime kuenea. Ela ambako dhambi yazidie kukaia nyingi, neema yachurikie hata zaidi.
\v 21 Ihi yafumirie ili kwamba, kama dhambi kandu itawalie katika kifwa, ndiyo hata neema yadima kutalwa kuidia hachi kwa ajili ya maisha gha kala na kala kuidia Jesu Kristo Mzuri wedu.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Didedea indoi idana? Diendelee katika dhambi ili neema ichurike?
\v 2 La hasha. Isi defwa katika dhambi didimagha sena kuishi katika iyo?
\v 3 Je ndamuichi ya kuwa wajawabatizwa katika Kristo wabatiziwe katika mauti ghake?
\v 4 Dirikogho darikiwe andu amweri naye kuidia ubatizo katika kifwa. Ihi yabonyikee ili kwamba kama wuja Kristo awekiwe ighu mauti kuidia utukufu gwa Aba, ili kwamba naisi didome kusale katika upya gwa maisha.
\v 5 Kwa kughora ikiwa daunganishwa andu kumweri naye katika mfano wa kifwa chake, pia dedimaunganishwa katika ufufuo gwake.
\v 6 Isi daichi huwu, undu wedu gwa kala wasulubiwe andu kumweri naye, ili kwamba muwi gwa dhambi kunonigwa. Ihi yafumirie ili kwamba disiendelee kukaia kutumwa wa dhambi.
\v 7 Ye afuye wabonyigwe ikona hachi kulingana na dhambi.
\v 8 Lakini kama dafunye andu kumweri na Kristo, daamini kwamba dedima daishi andu kumweri naye pia.
\v 9 Daichi kwamba Kristo wafufuliwe kufuma katika wafu, na kwamba siyo mfu sena. Kifwa natichi mtawala sena.
\v 10 Kwa kughora habari ya kifwa afuye kwa dhambi, wafuye mara jimweri kwa ajili ya wose. Hata huwo, maisha aishi, waishi kwa ajili ya Mlungu.
\v 11 Kwa chia iyo, nainyo pia ndapaswa kukitala kuwa wafu katika zambi, bali mbinana kw Mlungu katika Kristo Jesu.
\v 12 Kwa sababu iyo usaruhusu dhambi itawale muwi wako ili kusudi udime kurithi tamaa rako.
\v 13 Usafunye sehemu ra muwi gwako katika dhambi kama vilambo visadae na hachi, bali kifunyenyi inyo weni kwa Mlungu, kama weko banana kufuma mautinyi. Na rifunyeni sehemu ra miiwi yenyu kama kilambo va hachi kwa Mlungu.
\v 14 Msairuhusu dhambi imitawale. Kwa kughora ndemko ndonyi ya sheria, bali ndonyi ya neema.
\v 15 Ni ndoi basi? Ditende dhambi kwa kughora ndidiko ndonyi ya sheria, bali ndonyi ya neema? La hasha.
\v 16 Nda muichi ya kughora kwake ye ambaye mwakifunyagha weni kama wadumishi nie ambaye inyo mdeka wadumishi wake, ye mpaswaa kumitii? Ihi ni loli hata kama inyo mwa watumwa katika dhambi ambayo idaghejia mauti, au watumwa wa utii gughe njia hachi.
\v 17 Ela ashukuriwe Mlungu! kwa kughora mwarikogho watumwa wa dhambi, ela mwatii kufuma ngolonyi ija ifundisho mnekigwe.
\v 18 Mwabonyagwa huru kufuma zambinyi, na mwabonywa watumwa wa hachi.
\v 19 Nadeda kama mundu kwa sababu ya madhaifu ya miiwi yedu. Kwa kughora kama wuja kandu mwafunya viungo va miiwi yenyu kwa watumwa wa uchama na wuwiwi, kwa jinsi iyo iyo, idana funyeni viungo vya miiwi yenyu kuwa watumwa wa hachi kwa wutakaso.
\v 20 Kwa kughora mrikogho watumwa gwa dhambi, mwarikogho huru mbali na hachi.
\v 21 Kwa wakati ugho, mwarikogho na itunda ki kwa malagho ambagho kwa ijiaha mdawona waja kwa agho? kwa kughora matokeo gha malagho agho ni kifwa.
\v 22 Ela kwa kughors idsns mwabonywa huru mbali na dhambi na mwabonyeka watumwa kwa Mlungu, mkona itunda kwa ajili ya wutakaso. Ifumirio ni binana ya kala na kala.
\v 23 Kwa kughora mshahara gwa dhambi ni mauti, bali zawadi ya dueri ni Mlungu ni binana ya kala na kala katika Kristo Jesu Mzuri wedu.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Au ndemwichi, wambari wapwa (kwa kughora nadeda na wandu waichi sheria), kwamba sheria yamtawalagha mundu akogho banana?
\v 2 Kwa kughora muka walowolwa wafungwa ni sheria kwa uja mndu wawomi wake arikogho banana, ela ikakai mndu wa womi wake, wadimafwa, akagha wawikwa huru kufuma sheria ya ndoa.
\v 3 Huwo basi, wakati mumi wake akogho akiishi, akaka adaaishi na mndu mumi umwi, adimawangwa mzinzi. Ela ikaka mumi wake wafwa, ako huru dhidi ya sheria, huwo ndekaghe mzinzi ikaka adaishi na mndu wawomi mzima.
\v 4 Kwa huwo, wambari wapwa, inyo pia mwabonyigwe waja kwa sheria kwa chia ya muwi gwa Kristo. Yakaia huwu ili mpate kuunganishwa na umwi, kwa uyo ambaye wafufuliwe kufuma wafu ili didime kumvalia Mlungu matunda.
\v 5 Kwa kughora dirikogho katika hali ya muwi, tamaa ra dhambi rawusiriwe katika viungo vedu kwa chia ya sheria na kuivaia mauti matunda.
\v 6 Ela idana dafunguliwa kufuma katika sheria. Daifuya ija hali idifungie. Ili isi dipate kutumika katika hali mpya ya Ngolo, na isi katika hali ya kala ya iandiko.
\v 7 Didedie idana? sheria ni dhambi? La hasha. Hata huwo, sirimanyagha dhambi, ndayakagha kwa chia ya sheria. Kwa kughora simanyagha kutamani kama sheria ndayaridedagha, usatamani."
\v 8 Ela dhambi yapatie nafasi kwa ija amri na ikareda ndenyi yapwa kila aina ya kutamani. Kwa kughora dhambi pasipo sheria yafwa.
\v 9 Nanyi nirikogho binana aho wosi bila sheria, ela ikacha ija amri, dhambi yapatie mbinana, nanyi wikafwa.
\v 10 Ija amri na ambayo yaredagha binana yaghalikie kukaia mauti ghapwa.
\v 11 Kwa kughora dhambi yapatie nafasi kwa ija amri na ikaniemba. Kuidie ija amri, yanibwaghie.
\v 12 Huwo sheria ni takatifu, na ija amri ni takatifu, ya hachi na sere.
\v 13 Huwo basi ija iko sere yakogho maidi ghapwa nyi? Isake huwo kamwe. Ela dhambi, ili iwonekane kuwa ni dhambi hasa kuidia ija sere, yaredie mauti ndenyi yapwa.
\v 14 Kwa kughora daichi ya kughora sheria asili yake ni ngolonyi, ela nyi na mundu wa muwinyi. Nauzwa ndonyi ya utumwa gwa dhambi.
\v 15 Kughora nibonyagha, sijielewagha dhahiri. Kwa kughora jiji nijikundagha kujibonya, sijibonyagha, na jija jinizamiagha, nijo wijibonyagha.
\v 16 Ela kama nikajitanda jija nisajikundagha, nakubaliwa na sheria ya kughora sheria nisere.
\v 17 Ela idana sinyi nafsi yapwa nitendagha ijo, bali ni ija dhambi ikaia ndenyi yapwa.
\v 18 Kwa kughora naichi ya kughora ndenyi yapwa, yaani ndenyi ya muwi, ndejikagha ilagho ja sere. Kwa kughora tamaa ya jiko sere jiko ndenyi yapwa, ela sijitendagha.
\v 19 Kwa kughora jija ja sere nijikundagha sijitendagha, bali jija iwiw nisajikundi nijo nijitendagha.
\v 20 Idana kama natenda jija niosajikundi, si nyi nafsi nijibonyagha, bali ni ija dhambi ikaia ndenyi yapwa.
\v 21 Namanya, sena, yeko kanuni ndenyi yapwa ya kukunda kutenda jiko sere, ela uwiwi hakika gweko ndenyi yapwa.
\v 22 Kwa kughora naiboirwa sheria ya Mlungu kwa undu gwa ndenyi.
\v 23 Ela nawona kanuni iko tofauti katika viungo va muwi gwapwa. Yakaba kondo dhidi ya kanuni mpya katika akili rapwa. Yanibonya nuji mateka kwa kanuni ya dhambi iko katika viungo va muwi gwapwa.
\v 24 Nyi na mundu wa huzuni! Nani aniokogha na muwi ughu gwa mauti?
\v 25 Ela Lakini shukrani kwa Mlungu kwa Jesu Kristo Mzuri wedu! Huwo basi. Nyi mweni kwa akili yapwa naitumikia sheria ya Mlungu. Bali, kwa muwi naitumukia kanuni ya dhambi.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Kwa huwo basi, ndekudae hukumu ya adhabu ighu yawhe weko katika Kristo Jesu.
\v 2 Kwa kughora kanuni ya ngolo wa binana uja ghuko katika Kristo Jesu yanibonya nyi kukaia huru mbali na kanuni ya dhambi na mauti.
\v 3 Kwa kughora chija ambacho sheria yalemiwe kubonya kwa sababu yakogho dhaifu katika muwi, Mlungu wabonyie. Wamndumie mwanake wa pekee kwa mfano gwa muwi gwa dhambi akaie sadaka ya dhambi, na akaihukumu dhambi katika muwi.
\v 4 Wabonyie huwu ili malagizo gha sheria ghatimizwe ndenyi yedu, isi disaendeleagha kwa kunugha malagho gha muwi, bali kwa kunugha mambo gha ngolo.
\v 5 Waja wanughaa muwi waghafirii malagho gha muwi, ela waja wanughaa ngolo waghafikiri malagho gha ngolo.
\v 6 Kwa kughora nia ya muwi ni mauti, bali nia ya ngolo ni binana na sere.
\v 7 Ihi ni kwa sababu ija nia ya muwi ni uadui ighu ya Mlungu, kwa maana ndaitii sheria ya Mlungu, wala ndedimagha kuitii.
\v 8 Waja waunughaa muwi ndewadimagha kumpendeza Mlungu.
\v 9 Hata huwo, ndemko katika muwi bali katika ngolo, kama ni idi kwamba ngolo wa Mlungu waishi ndenyi yenyu. Ela kama mundu ndendaye ngolo wa Kristo, ye si wake.
\v 10 Kama Kristo weko ndenyi yako, muwi gwafwa kwa malagho gha dhambi, bali ngolo iko banana kwa malagho gha hachi.
\v 11 Ikakaia ngolo wa uja amfufur Jesu kufuma kwa wafu waishi ndenyi yenyu, ye uja amfufue Kristo kufuma katika wafu ainekagha pia miwi yenyu ya mauti binana kwa chia ya ngolo wake, aishi ndenyi yenyu.
\v 12 Huwo basi, wambari wapwa, isi na wadeni, ela siyo kwa muwi kwamba diishi kwa jinsi ya muwi.
\v 13 Kughora ikawa mwaishi kwa jinsi ya muwi, mko avui kufwa, ela ikiwa kwa ngolo mdaghabisa matendo gha muwi, nainyo mwadimaishi.
\v 14 Kwa huwo kama ambavyo wengi walongozwaa ni ngolo wa Mlungu, awa ni wana wa Mlungu.
\v 15 Kwa kughora ndemi mbokerie ngolo wa utumwa sena hata muboe. Badala yake mwabokerie ngolo ya kubonywa kuwa wana, ambayo kwaagho dalila, "Abba, Baba!"
\v 16 Ngolo mweni washuhudiagha andu kumweri na ngolo redu ya kuwa tu dawana wa Mlungu.
\v 17 Ikakaia tu wana, basi tu dawapali andu kumweri na Kristo, ikiwa kwa loli dateseka na ye ili dipate kutogholwa andu kumweri naye.
\v 18 Kwa kughora naghatala mateso gha wakati ughu kuwa sio kilambo nikalinganisha na utukufu wafunuliwa kwedu.
\v 19 Kwa kughora viumbe wose pia watazamia kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mlungu.
\v 20 Kwa kughora uumbaji pia waitishiwe ndonyi ya ubatili, siyo kwa hiari yake, ila kwa sababu yake ye.
\v 21 Kwamba uumbaji gwenu nao gwaiwikiwe huru na kufunyigwa katika utumwa gwa uharibifu, na kungikwa katika uhuru gwa utukufu gwa wana wa Mlungu.
\v 22 Kwa kughora daichi ya kuwa uumbaji nagho pia ghudawawa na kuteseka kwa uchungu andu kumwerihata ijiaha.
\v 23 Siyo huwo tu, ila na isi weni dikona malimbuko gha ngolo - isi pia dawawa katika nafsi redu, dikuwasera kubonywa wana, yaani ukombozi wa miwi yedu.
\v 24 Kwa kughora kwa taraja iji daokolewe ela kilambo chatarajiwa chikiwonekana ndekudae taraja sena, kwa kughora nani akitarajiagha chija akiwonagha.
\v 25 Bali dikakitarajia kilambo disachimwonagha, nachiwesera kwa saburi.
\v 26 Kwa jinsi iyo iyo, Ngolo naye waditawariagha katika udhaifu wedu, kwa kughora ndidiichi kulomba jinsi idipasagha, ela Ngolo mweni wadilombagha kwa kuwa wakusadimikagha kutamkwa.
\v 27 Naye aichunguzagha ngolo waimanyaa akili ya Ngolo, kwa sababu walombagha kwa niaba yawhe waamini kulingana na mapenzi gha Mlungu.
\v 28 Naisi daichi ya kuwa kwa wose wamkundaa Mlungu, ye wabonyaa malagho ghose andu kumweri kwa wema, kwa waja wose wawangwa kwa ikusudi jake.
\v 29 Kwa sababu waja wose rawamanyie tangu asili, pia wawasaghue tangu asili wafananishwe na mfano wa mwana wake, ili ye akaie mvalwa wa wosi miongonyi mwa wambari wengi.
\v 30 Na waja awasaghue tangu asili, awo wawawangie pia. Na waja awangie, awo wawatalie hachi. Na wa awatalie hachi, awo pia akatoghola.
\v 31 Didedei basi ighu gha malagho agha? Mlungu akaka luwande lwedu, nanieko ighu yedu?
\v 32 Ye asamsighiriagha mwana wake mweni bali wafunyie kwa ajili yedu isi wose asowa wada kudikirimia na malagho ghose andu kumweri naye?
\v 33 Nani adima kuwashitaki wateule wa Mlungu? Mlungu niye adimagha kuwatalia hachi.
\v 34 Nani awahukumiagha adhabu? Kristo Jesu niye afuye kwa ajili yedu, na zaidi gha agho, ye pia wafufuliwe. Naye adatawala andu kumweri na Mlungu andu kwa heshima, na sena niye adilombiagha isi.
\v 35 Nani aditengagha na lukundo lwa Kristo? Dhiki au shida, au mateso au njala, au kibigiri au hatari au upanga?
\v 36 Kama yaandikwa, "kwa faida yako dabwagwa nadimkutwa. Dataliwe kama ng'ondi wa kuichinjwa."
\v 37 Katika malagho agha ghose isi na zaidi ya washindi katika ye adikundie.
\v 38 Kwa kughora nadima kushawishika kwamba wala mauti. Wala binana wala malaika, wala mamlaka, wala vilambo viko, wala vilambo vichagha, wala ndighi,
\v 39 Wala ghako ighu, wala ghako ndonyi, wala kiumbe chochose chija ndachimagha na lukundo lwa Mlungu, ambaye ni Kristo Jesu Mzuri wedu.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Na deda loli katika Kristo. Sidedaa tee, na dhamira yapwa yashuhudiagha andu kumweri nenyi katika Ngolo Mtakatifu.
\v 2 Kwamba kuko huzuni mbaha na maumivu ghasadugha ndenyi ya Ngolo yapwa.
\v 3 Kwamba mangu natamani nyi mweni kwa aniwa na kutengwa kula na Kristo kwa ajili ya kubonyeka wana, wa jamii yapwa katika muwi.
\v 4 Wo ni Waisraeli. Wakana na hali ya kubonyeka wana, wa utukufu, wa malaghano, na zawadi ya sheria, kumwasa Mlungu, na ahadi.
\v 5 Wo ni watangulizi ambako Kristo wacha kwa heshima kurwa muwi ughu ambaye ye ni Mlungu wa wose. Naye atogholwe kala na kala. Amina.
\v 6 Ela siyo kwamba ahadi ra Mlungu radema kutimia. Kwa huwo siyo kila mundu amba ni Israeli ni mwuisraeli halisi.
\v 7 Sivyo hata kwa uzao gwa Abrahamu kuwa ni wana wake halisi. Ela, "ni kuidia isaka uzao gwako wadiwangwa."
\v 8 Ihi ni kwamba, wana wa muwi siyo wana wa Mlungu. Ela wana wa ahadi wadaghuwa kuka kama uzao.
\v 9 Kughora iji nija idedo ja ahadi: "katika majira agha nichagha, na sara adima nekwa wana."
\v 10 Siyo iji tu, ela baada ya Rebeka kupata inda kwa mundu umweri, Isaka Aba wedu.
\v 11 Kwamba wana wakaie bado ndewavalwe na wakirogho ndebonyie ilagho jojose jiboie au jizamie, ili kwamba ikusudi ja Mlungu kulingana na wachunguzi jisimame, wala siyo kwa matendo, ela ni kwasababu ya uja awangaa.
\v 12 Yadediwe kwake, "Mbaha wadima mdumikia mtini."
\v 13 Kama andu iandikiwe: "Yakobo namkunde, ela Esau namzamiwe."
\v 14 Basi sena dadimadeda indoi? Je koko udhalimu kwa Mlungu? la hasha.
\v 15 Kwa kughora adadeda kwa Musa, "nadima kaia na Rehema kwa uja nidimaa kumrehemu, na nadima kaia na mbazi kwa uja nimboniagha mbazi."
\v 16 Kwa huwo basi, siyo kwa sababu ya ye akundie, wala siyo kwa sababu ya ye ambaye wakimbiagha, ela ni kwa sababu ya Mlungu, ambaye wabonyeragha rehema.
\v 17 Kwa kughora maandiko maandiko ghadedagha kwa Farao, "kwa ikusudi iji maalum nakuinue, ili kwamba nibonyere ndighi rapwa katika we, na ili kwamba irina japwa jitangazwe katika isanga jose."
\v 18 Huwo basi, Mlungu huwa wakaia na rehema kwa wowose amkundi, na kwa ambaye wamkundi wabonyagha kuwa mkaidi.
\v 19 Kisha wadimadeda kwapwa, "kwa indoi bado edawona ikosa? Ni uyao ambaye wastamili makosa ghake?"
\v 20 Kinyume chake, mwanadamu, we nani ajibu kinyume na Mlungu? kuko uwezekano wowose kwa chafinyangwa kudeda kwa mfinyanzi, "kwa indoi wanibonyie huwu nyi?"
\v 21 Je mfinyanzi huwa ndedae hachi ighu ya ndoe kubonya kilambo kwa matumizi maalum kufumana na ibonge jija, na kilambo chimwi kwa matumizi gha kila ituku?
\v 22 Niwada kama Mlungu, ambaye ekona utayari wa kubonyera ghadhabu yake na kubonya ndighi yake kumanyika, wastamili kwa kurumaghia kwa kukosha vilambo va ghadhabu vaandaliwa kwa kuangamiza?
\v 23 Ni wada kama wabonyie huwu ili kwamba abonyere wingi gwa utukufu gwake ighu ya vombo va rehema, ambavyo wamerie kuvindaa kwa ajili ya utukufu?
\v 24 Ni wada kama wabonyie ihi pia kwedu, ambaye pia wadu wangie, situ kufuma kwa wayahudi ela pia kufuma kwa wandu wa masanga?
\v 25 Kama andu adedagha pia katika Husea."Niwawanga wandu wapwa ambao ndewekogho wandu wapwa ambao ndewakogho wandu wapwa, na mkundwa wake ambaye ndakundiwe.
\v 26 Na yadima kwamba aja idediwe kwawe, 'Inyo awa wandu wapwa,' aja wadima wangwa,' wana wa Mlungu eko banana."
\v 27 Isaya adalila kuhusiana na Israeli, kama hesabu ya wana wa Israeli yakagha kama msanga gwa bahari, ikagha ni masalia ambao wadima okolewa.
\v 28 Kwa kughora Mzuri ajiwusagha idedo jake ighu ya isanga, mapema na kwa utukufu.
\v 29 Na kama jinsi Isaya adedie awali, "kama Mzuri wa majeshi ndedisighie nyuma uzao kwa ajili yedu, nakagha kama sodoma, na dabonywagha kama Gomora.
\v 30 Didedagha indoi basi? kwamba wandu wamasanga ambao wakogho ndewalolagha hachi, wapatie hachi, hachi kwa imani.
\v 31 Ela Israeli, ambaye walolie sheria ya hachi, ndefikie.
\v 32 Kwa indoi siyo huwo? kwa sababu ndewe ilolie kwa imani, bali kwa matendo. Wakikuwie ighu ya igwe ja kukuwa,
\v 33 Kama andu iandikiwe, ngowa matungurisha igwe ja kukuwa katika sayuni na mwamba gwa kusowa. Ye ambaye waamini katika iji ndepata waja.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Mbri ni ya ngolo yapwa na iombi japwa kwa Mlungu ni kwaajili yawhe, kwa ajili ya wokovu wawe.
\v 2 Kwa kuwa nawashuhudia wakona juhudi kwa ajili ya Mlungu, ela siyo kwa ajili ya wufahamu.
\v 3 Kwa kuwa ndewaichi hachi ya Mlungu, na walola kuagha hachi yawhe weni. Ndewekoiro watiifu kwa hachi ya Mlungu.
\v 4 Kwa kuwa Kristo ndiye utimilifu gwa sheria kwaajili ya kila mundu aaminiye.
\v 5 Kwa kuwa Musa waandika kuhusu hachi ambayo wachegha kufumana na sheria: "mundu wabonyagha hachi ya sheria wedimaishi kwa hachi ihi."
\v 6 Ela hachi ambayo yafumanagha na imani yadedagha huwu, 'usadede ngolonyi kwako mbingunyi?' (Ihi ni kumreda Kristo nelunyi).
\v 7 Na usadae, 'naniwadima sea katika ishimo?'" (Ihi ni, kumreda Kristo ighu kufuma kwa wafu).
\v 8 Ela yadedagha indoi? "Idedo jiko avui nawe, katika kinywa chako na katika ngolo yako." Ijo ni idedo ja imani, ambajo datangaza.
\v 9 Kwa kuwa kama kwa kinywa chako wamkiri Jesu ya kuwa ni Mzuri, na kuamini ngolonyi kwako kwamba Mlungu wamfufue kufuma kwa wafu, wadima okoka.
\v 10 Kwa kuwa kwa ngolo mundu waaminiena kupata hachi, na kwa kinywa wakiri na kupata wokovu.
\v 11 Kw kuwa iandiko jadedagha, "Kila amwaminie ndaaibikagha.
\v 12 Kwa kuwa ndekudae tofauti kati ya Myahudi na Myunani. Kwa kuwa Mzuri uja uja ni Mzuri wa wose, na ni tajiri kwa wose wambaghagha.
\v 13 Kwa kuwa kila mundu ambaye wajiwangagha irina ja Mzuri wadima okoka.
\v 14 Kwa jinsi ki wadima kummbanga y7e ambaye ndewalighisi rekumwamini? Na jinsi ki wadima kuamini katika ye ambaye nde wemsikirie? Na wakisikiria wada pasipo muhuri?
\v 15 Ni jinsi ki wadima kuhubiri, isipokuwa wadadumwa? - kandu yaandikwa, "Jinsi ki ghaboie maghu gha waja ambao watangaza habari ra kuboirwa ra malagho ghaboie!"
\v 16 Ela wose ndewasikirie injili. kwa kuwa Isaya wadedagha, "Mzuri, nani asikire ujumbe gwedu?"
\v 17 Huwo imani yachagha kufumana na kusikira, na kusikira kwa idedo ja Kristo.
\v 18 Ela nadeda, "Je ndewesikire?" Niyo kwa hakika nanganyi. "Sauti yawhe yafuma kufuma shughadi katika isanga jose, na madedo ghawe kughenda mwisho gwa dunia."
\v 19 Zaidi ya ghose, nadeda, Je Israeli ndamanyie? Wose MUsa wadeda, "Dadima wachokoza kuwakumba wivu kwa wandu ambao siyo isanga kwa chia ya isanga jisadae welewa, ni wachache agha hadi mzamiwe.
\v 20 Na isanga ni jasiri nanganyi na wadedagha, "Napatikane ni waja ambao ndenilolie. Nawonekana kwa waja ambao ndewenihitajie."
\v 21 Ela kwa Israeli wadedagha, matuku ghose nanyooshie mikonu yapwa kwa wasatii na kwa wandu wakurie."
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Basi naghora wawaleghei wake? Hata kidogo. Kwa kughora nyi pia na mwisraeli, wa ukoo gwa Abrahamu, wa ikabila ja Benyamini.
\v 2 Mlungu ndawalaghie wandu wake, wawamanyie tangu mwanzo. Je ndamwichi Mlungu ighu ya Israeli?
\v 3 "Mzuri, wawabwagha walodi wako, nawo wabomua madhabahu ghako. Nyi mwenikeri nasangalika, nawo wadabola binana yapwa
\v 4 Ela ijibu ja Mlungu jadeda indoi kwako? "Natunza kwa ajili yapwa wandu elfu saba ambawo ndewamkabiagha maghoti Baali."
\v 5 Hata huwo, wakati ughu gwa ijiaha pia kuko wabakia kwa sababu ya uchaguzi gwa neema.
\v 6 Ela ikakai ni kuwa neema, siyo sena kwa matendo. Vinginevyo neema ndeikagha sena neema.
\v 7 Ni ndoi basi? Ilagho ambajo Israeli werikogho akijilola, ndechipalie, bali wateule wachipatie, na wamwi wakumbigwe kulemea.
\v 8 Ni kama andu yaandikwa: "Mlunguwawanekie ngolo ya ubutu, meso ili wasawone, na madu ili wasasikire, mpaka linu huwu."
\v 9 Naye Daudi agore, "Sigha meza rawe na rike wavu, mdegho luwande lwa kukulwa, na kusharikia kisasa dhidi yawhe.
\v 10 Sigha meso ghawhe ghakumbwe kira ili wasadime kuwona, ughende waghoghomesha mighongo yawhe kala na kala
\v 11 Basi naghora, "Je, wakuwa hata kugwa?" Isake huwo kamare. Badala yake, kwa kulemwa kwawe, wokovu gwafika kwa masanga, ili wo weni wakumbwe wivu.
\v 12 Idana ikakaia kulemwa kwawo ni utajiri gwa urumwengu, na kama hasara yawo ni utajiri gwa masanga, ni kiasi ki zaidi ikagha kukamilika kawo?
\v 13 Na idana nadeda na inyo wandu wa masanga. Kwa kughora nakaia mlodi kwa wandu gwa masanga ghamwi, wakivunia huduma yapwaa.
\v 14 Labda nadima wakumba wivu weko muwi ghumweri na nyi. Labda dadima wawokoa baadhi ya whe.
\v 15 Kughora ikakaia kulegwa kwawe ni maridhiano gha dunia, kuwokeriwa kawe kukaawada ila mbinana kufuma kwa wafu?
\v 16 Kughora matunda gha muri ni akiba, maremwe nagho kadhalika.
\v 17 Ela baadhi gha marembwe ghademwa, kughora we irembwe isaka ja mzeituni, wapandikiziwe kati yawhe, na kama washirikie andu kumweri nawe katika miri ya utajiri gwa mzeituni.
\v 18 Usakitoghole ighu gha marembwe. Ela kama wakisifu, siyo we ambaye udatawara miri, bali miri idakitawara we.
\v 19 Basi wadimaghora, "Marembwe ghademiwe ili nipate kupandikizwa katika ijina."
\v 20 Iyo ni loli. Kwa sababu ya kulemwa amani kwa wo wademiwe, ela we wasimamie imara kwa sababu ya imani yako. Usikifikirie we mweni kwa hali ya ighu nanganyi, bali bowa.
\v 21 Kwa kughora ikakaia Mlungu ndeghasighie marembwe gha asili ndakuhudumiagha we pia.
\v 22 Gowa, basi, matendo ghaboie na kubia kwa Mlungu. Kwa luwande lumweri, kubia kwachee ighu gwa wayahudi ambawo waghuye. Ela kwa luwande lumwi, wema gwa Mlungu gwa chagha ighu yako, kama udumu katika wema wake. Vinginevyo we pia wadima demwa.
\v 23 Na pia, kama ndewaendeleagha katika kulemwa amini kwawo, wadimapandikiza sena. Kwa kughora Mlungu ekona uwezo wa kupandikiza sena.
\v 24 Kwa kughora ikakaia inyo mwadimwe shighadi kwa ghuko kwa asili mzeituni gwa isakenyi, na kinyume cha asili mwapandikiziwe katika mzeituni ghuko ghuboie, siyo zaidi nanganyi awa Wayahudi, ambawo ni kama marembwe gha asili kudima kupandikizwa sena ndenyi gwa mzeituni gwawe wenyi?
\v 25 Kwa kughora wambari sikundi mmanye, kuhusiana na siri ihi, ili kwamba msake na hekima katika kufikiri kwenyu wenu. Siri ihi ni kwamba kukua kwafumiria katika Israeli, hadi kukamilika kwa masanga andu kuchagha.
\v 26 Huwo Israeli wose wadimaokoka, kandu yuandikwa: "kufuma sayuni achagha Mkombozi. Wadima inja umwi kwafuma kwa Yakobo.
\v 27 Na iji jikaia ighano japwa andu kumweri nawo, wakati niririinjagfha dhambi rawe."
\v 28 Kwa luwande ghumweri kuhusu injili, wada zamiwa kwa sababu yenyu. Kwa luwande lumwi kufumana na uchaghuzi gwa Mlungu, wakundwa kwa sababu ya wakawawa.
\v 29 Kwa kughora zawadi na wito gwa Mlungu ndeghubadilikagha.
\v 30 Kwa kughora awali inyo mwerikogho mwamuasi Mlungu, Ela ijiaha mwaibokera rehema kwa sababu ya kuasi kwawo.
\v 31 Kwa chia iyo yeni, idana awa wayahudi waasi. Matokeo ghake ni kwamba kufumana na mbazi mwajaliwa inyo wadima pia kuwokera rehema.
\v 32 Kughora Mlungu wawafunga wandu wose katika uasi, ili adime kuwawonia mbazi wose.
\v 33 Jinsi riko mbaha utajiri na hekima na maarifa gha Mlungu! Nderichunguzikagha hukumu rake, na chia rake nderighundilikagha!
\v 34 "Kughora nani waimanya chia ya Mzuri? Au ni nani wakakia mshauri wake?
\v 35 Au nani wosi anekie kilambo Mlungu, ili ashanigwe sena?"
\v 36 Kwa kughora kufuma kwake, na kwa chia yake, vilambo vose veko. Kwake ghuke utukufu kala na kala. Amina.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kwa huwo nawasihi, kwa mbazi rake Mlungu, ifunyeni miwi yenyu ikaie dhabihu iko banana, takatifu, ikubaliagha kwa Mlungu. Ihi niyo ibada yeenyu iko na maana.
\v 2 Wala msaifuatishe nama ya dunia ihi, bali muaghusw kwa kubonywa upya nia renyu. Bonyeni huwu mpate kumanya mapenzi gha Mlungu gheko ghaboie, ghakumpendeza na ghakamilika.
\v 3 Kwa kughora nadeda, kwa sababu ya neema nanekwe, kwamba kila mundu ambaye weko miongonyi mwenyu ndapaswagha kufikiri zaidi ighu yake mweni kuliko ipasagha kufikiri. Bali, yampasa kufikiri kwa hekima kama ambavyo Mlungu wawaneka kila umweri kiasi fulani cha imani.
\v 4 Kwa kughora nikona viungo vingi katika muwi ghumweri, ela siyo viungo vose vikona kazi imweri.
\v 5 Woruwo huwo, isi diko wengi da muwi ghumweri katika Kristio, na viungo kila umweri kwa mbawe.
\v 6 Dekona karama riko mbalimbali kwa kadiri ya neema mwanekwa. Ikiwa karama ya mundu ni ulodii, na ibonyeke kwa kadiri ya imaninyake.
\v 7 Ikakaia karama ya mundu ni huduma, na itumike. Ikakaia umwi akona karama ya kufundisha, basi, afundishe.
\v 8 Ikakaia karama ya mundu ni faraja. basi, afaraji. Ikakaia karama ya mundu ni kufunya, abonye huwo kwa ukarimu. Ikakaia karama ya mundu ni kulongoza, na jibonyeke kwauangalifu. Ikiwa karama ya mundu ni katika kubonyera mbazi na jibonyeke kwa kuboirwa.
\v 9 Lukundo lusake na unafiki. Zamiwenyi ni uwiwi wadirienyi gheko ghaboie.
\v 10 Kuhusu lukundo gwa mbari, kundanenyi inyo kwa inyo. Kuhusu heshima, heshimianenyi inyo kwa inyo.
\v 11 Kuhusu bidii, msakaie waleghuku. Kuhusu ngolo, ike ni shauku. Kuhusu Mzuri, mtumikienyi.
\v 12 Boiwenyi katika ujasiri mkonagho kuhusu matuku ghachagha. Muke na subira katika matatizo ghenyu. Mdumu katika kulomba.
\v 13 Mshiriki katika mahitaji gha waumini. Lolenyi chia nyingi ra kubonyera ukarimu.
\v 14 Wakundienyi baraka wose wawatesagha inyo, muwabariki na wala msawalaani.
\v 15 Boriwenyi andukumweri na waboiwagha, lilenyi andu kumweri na walilagha.
\v 16 Muke na nia imweri inyo kwa inyo. Msafikiri kwa kujunuka, ela wakubali wandu wa hali ya ndonyi. Msake na hekima ighu gha mawazo ghenyu wenyi.
\v 17 Msamshane mundu wowose uwiwi kwa uwiwi. Bonyenyi malagho ghaboie mesonyi kwa wandu wose.
\v 18 Kama idadimikena, kama iwikiwe kwenyu, mkaie na sere na wandu wose.
\v 19 Wapenzi, msakisharirie kisasa inyoweni, ela ibarienyi ghadhabu ya Mlungu, kwa kughora yaandikigwe, " 'kisasi ni chapwa; nyi napatie, wadeda Mzuri.
\v 20 "Ela ikakaia adui wako akona njala, mlishe. Akakaia akona kau, mwenyweshe. Kwa kughora ukubonya huwo, wadima wampalia maka gha modo ighu ya chongo chake."
\v 21 Usalemwe ni kuzama, bali ushinde kuzama kwa wema.
\c 13
\cl Sura13
\p
\v 1 Kila nafsi na ike na utii kwa mamlaka gha ighu, kwa kughora ndekudae mamlaka isipokuwa yafuma kwa Mlungu. Na mamlaka riko rawikwa ni Mlungu.
\v 2 Kwa huwo ambaye adapinga mamlaka agho apinga amri ya Mlungu, na waja waipingagha wadima wokera hukumu ighu yawhe weni.
\v 3 Kwa huwo watawala siyo itishiyo kwa watendagha wema, bali kwa watendagha maovu. Je udatamani kulemwaboa malaka? Bonya gheko ghaboie, na waditogholwa nagho.
\v 4 Kwa kughora watumishi gwa Mlungu kwako kwa ajili ya wema. Bali kama wadima tenda gheko maovu, boa, kwa Kwa huwo ndadwagha upanga bila sababu. Kwa huwo ni mtumishi wa Mlungu, mlipa kisasi kwa ghadhabu ighu ya uja abonyagha uovu.
\v 5 Kwa huwo idakupasa litii, siyo tu kwasababu ya ghadhabu, bali pia kwa sababu ya dhamira.
\v 6 Kwa ajili ihi pia udalipa kodi. Kwa huwo wekona malaka ni watumishi wa Mlungu, ambawo wadaendelea kubonya ilagho iji.
\v 7 Mshanenyi kila umweri ambaho wadawadai: kodi kwa astahiliye kodi, ushuru kwa astailiye ushuru, hofu kwa astailiye hofu, heshima kwa astailiye heshima.
\v 8 Msadaiwe ni mundu kilambo chochose, isipokuwa kukundana inyo kwa inyo. Kwa huwo ye amkundiye jirani wake watimiza sheria.
\v 9 Kwa kughora, "Nduzini, ndubaghaa, nduibagha, ndutamani," na kama kuko amri zima pia, ya jumlishwa katika sentesi ihi: "wadima mkunda jirani wako kama we mweni."
\v 10 Lukundo ndaghumuru jirani wa mundu kwa huwo, lukundo ni ukamilifu gwa sheria.
\v 11 Kwa sababu ya iji, mwaichi wakati, kwamba tayari ni wakati gwa kufuma katika dilo. Kwa kughora wokovu wedu gwakaribiya zaidi ya wakati ghuja daamini wosi.
\v 12 Kio chaendelea, na dime idakaribia. Na diwike mbai matendo gha kira, na dirwe silaha ra nuru.
\v 13 Na dienende sawa sawa, kama katika nuru, siyo kwa sherehe ra wovu au ulevi. Na disaende katika zinaa au tamaa isadimagha kudhibitiwa, na siyo katika fitina au wivu.
\v 14 Bali dimrwe Mzuri Jesu Kristo, na disawike nafasi kwa ajili ya muwi, kwa tamaa rake.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Mbokerenyi wowose ambaye ni dhaifu katika imani, bila kufunya hukumu kuhusu mawazo ghake.
\v 2 Mndu umweri akona imani ya kuja chochose, umwi ambaye ni dhaifu wajaa mbagha tu.
\v 3 Mundu ambaye wajaa kila kilambo asamdharau ye wajaa kila kilambo. Na ye ambaye ndajagha kila kilambo asamhukumu umwi ambaye wajagha kila kilambo. Kwa kughora Mlungu wameria kumbokera.
\v 4 We nani, we ambaye udamhukumu mtumishi ambaye ni miliki ya mundu umwi? Ni imbiri ya Mzuri wake kwamba wasimamagha au wagwagha. Ela wadimainuliwa, kwa kughora Mzuri wadimagha kumbonya asimame.
\v 5 Mundu umweri wathamini ituku jimweri kuliko jimwi. Umwi wathamani kila ituku sawa sawa. Hebu kila mundu na ashawishike katika akili yake mweni.
\v 6 Ye ambaye wawadagha ituku, wawadaa kwa ajili ya Mzuri. Na kwa ye ajagha, wajagha kwa ajili ya Mzuri, kwa kughora wamnekagha Mlungu shukrani. Ye ambaye ndajaghaa, wakizuiyagha kulemwajaa kwa ajili ya Mzuri. Ye pia wafunyagha shukrani kwa Mlungu.
\v 7 Kwa kughora ndekudae aishi kwa nafsi yake, na ndekudaye afwagha kwa ajili yake mweni.
\v 8 Kwa kughora ikiwa daishi, daishi kwa ajili ya Mzuri. Na ikiwa dafwagfha, dafwagha kwa ajili ya Mzuri. Basi ikiwa daishi au dafwagha da mali ya Mzuri.
\v 9 Kwa kughora ni kwa ikusudi iji Kristo wafuye na akaishi sena, kwamba akaie Mzuri wa wose wafu na weko binana.
\v 10 Ela we kwa indoi wamhukumu mbari wako? Na we, kwa indoi udamdharau mbari wako? kwa kughora isi wose dadimasimama imbiri ya kifumbi cha hukumu cha Mlungu.
\v 11 Kwa kughora yaandikwa, "kama andu niishivyo," asema Mzuri," kupwa nyi kila ighoti jadima kabwa, na kila lumi lwadimafunya togholo kwa Mlungu."
\v 12 Huwo basi, kila umweri wedu wadima wafunya hesabu yake mweni kwa Mlungu.
\v 13 Kwa huwo. desaendelee sena kuhukumiana, ela badala yake amua huwu, kwamba ndekudae awikagha kikwazo au madegho kwa wambari wake.
\v 14 Naichi na nashawishika katika Mzuri Jesu, kwamba ndekudae kilambo chiko najisi cheni. Ni kwaye tu adhani kuwa chochose ni najisi, kwa kughora kwake ni najisi.
\v 15 Ikaakaia kwa sababu ya vindo mbari wako adahuzunika, ndeselagha sena katika lukundo. Usamnone kwa vindo vako mundu ambaye kwa ajili yake Kristo wafue.
\v 16 Huwo msaruhusu matendo ghenyu ghamboie ghakasababisha wandu kuwadhihaki.
\v 17 Kwa kughora ufalme gwa Mlungu siyo kwa ajili ya vindo na kinywaji, bali ni kwa ajili ya hachi, sere, na kuboirwa katika Ngolo Mtakatifu.
\v 18 Kwa kughora ye amtumikiagha Kristo kwa jinsi ihi wakubalika kwa Mlungu na wakubalika kwa wandu.
\v 19 Kwa huwo basi, na dinughe malagho gha sere na malagho ambagho gha mwanga. Mundu na umwi.
\v 20 Usanone kazi ya Mlungu kwa sababu ya vindo. Vilambo vose kwa loli ni safi, ela vazamie kwa mundu uja ambaye wafaa na kumsababishia ye kukuwa.
\v 21 Ni nicha kulemwagha nyama, wala kunywa divai, wala chochose ambacho kwa icho mbari wako wadima kwazwa.
\v 22 Iri imani maalumu uko naro, riweke kati yako mweni na Mlungu. Wabarikiwa uja ambaye wakihukumu mweni katika chija achikubali.
\v 23 Eko na mashaka wahukumiwa akaka adaja, kwa sababu ndeifumagha na imani. Na chochose chisafumanagha na imani nidhambi.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Idana isi diko na ndighi dapaswa kughuwusa udhaifu gwa weko dhaifu, na ndedipaswagha kukipendeza weni.
\v 2 Kila umweri wedu ampendeze jirani wake kwani ni ilagho jimboie, kwa ilegho ja kumwagha.
\v 3 Kwani hata Kristo ndekipendezie mweni. Badala yake, yekee kama andu yaandikwa, "matusi ghs waja wakuanyira ghanipata nyi."
\v 4 Kwa chochose cha kiria kuandikwa, chaandikiwe kwa kwa kudieleza, kwa ikusudi kwamba kuidia kurumaghia na kuidia kukumbwa ngolo na maandiko dakagha na ujasiri.
\v 5 Idana Mlungu wa kurumaghia na wa kukumba ngolo amineke kukaia na nia sawa kwa kila umweri kulingana na Jesu Kristo.
\v 6 Adima kubonya huwu kwa nia imweri mdime kumtoghola kwa momu ghuwenyi Mlungu na Aba Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 7 Kwa huwo mbokerenyi kila umweri, kama wuja Kristo awawekerie, kwa utukufu gwa Mlungu.
\v 8 Kwani nadeda kwamba Kristo wabonywa mtumishi gwa kuchulwa kwa niaba ya uloli gwa Mlungu. Wabonyie huwu ili kwamba adime kuthibitisha ahadi rafunyiogwa kwa waka Aba,
\v 9 na kwa masanga kumtukuza Mlungu kwa neema yake. Kama ambawo yaandikwa, "Kwa huwo nifunyagha togholo kwako miongonyi mwa masanga na kubora togholo kaatika irina jako."
\v 10 Tena yadeda, "Mboirwenyi, inyo wandu wa masanga, andukumweri na wandu wake.
\v 11 Na sena, mtogholenyi Mzuri, inyo masanga ghose, sigha wandu wa masanga ghose wamtoghole ye."
\v 12 Sena Isaya wadeda, kwadima kaia na ijina ja Yese, na umweri awikiagha kutawala ighu ya masanga, masanga wakagha naitumaini katika ye."
\v 13 Idaana Mlungu wa itumaini awachure na kuboiriwa ghose na sere kwa kuamini, ili kwamba mdime kuchumba katika itumaini, kwa ndighi ya Ngolo Mtakatifu.
\v 14 Nyi mweni pia nashawishiwa ni inyo, wambari wapwa. Nashawishiwa kwamba pia inyo weni mwachurigwa ni wema, mwachurigwa ni masanga ghose. Nashawishiwa kwamba, inyo mwadima pia kuhimizana kila umweri na mbawe.
\v 15 Ela naandika ujasiri kuchumba kwenyu ighu ya malagho fulani ili kuwa kumbusha sena, sababu ya kipawa nanekwa ni Mlungu.
\v 16 Kipawa ichi chakogho kwamba mdime kuwa mtumishi wa Jesu Kristo adumiwe kwa masanga, kukifunya kama kuhani wa injili ya Mlungu. Nadimagha kubonya huwu ili kufunya mwapwa kwa masanga kuke kwa kubaliwe, kwa tengwa na Mlungu kwa chia ya Ngolo Mtakatifu.
\v 17 Huwo kuboiriwa kwapwa iko katika Kristo Jesu na katika malagho gha Mlungu.
\v 18 Kwani sidimagha kuthubutu kudeda jojose isipokuwa kwamba Kristo wakamilisha kuidia kupwa utii gwa masanga. Aga malagho ghatimizwa kwa idedo na itendo,
\v 19 Kwani ndighi ra ishara na maajabu, na kwa ndighi ra Ngolo Mtakatifu. Ihi yarikogho ili kwamba kufunya Yerusalem, na kuzungulukia kula kama Iliriko, nidime kuiwusa shighadi kwa ukamilifu injili ya Kristo.
\v 20 Kwa chia ihi nia yapwa yakaia kutangaza injili, ela siyoandu Kristo wamanyikane kwa irina, ili kwamba nisadime kuagha ighu ya msingi gwa mundu umwi.
\v 21 Kama andu yaandikwa: "Ambawo kwa ye ndewadaye habari rawhe wachee wadima mwona na waja ambawo ndewemsikire wadima mmanya.
\v 22 Kwa huwo narikogho pia nazuiliwa mara kengi kucha kwenyu.
\v 23 Ela idana, sidae sena sehemu yoyose katika mikoa ihi, na nakogho nikitamani kwa miaka mingi kucha kwenyu.
\v 24 Huwo mara ghose nikaghenda Hispania, natumaini kuwaona nikiidia, na kudima kughenjwa chia yapwa ni inyo, baada ya kuwa naboiriwa ushirika na inyo kwa muda.
\v 25 Ela idana didaghenda Yerusalemu kuwahudimia waumini.
\v 26 Huwo ya wapendezie wandu wa Makedonia na Akaya kubonya changizo maalumu kwa wakiwa miongonyi mwa waumini uko Yerusalemu.
\v 27 Niyo, yakogho kwa lukundo wao, na hakika, wakee wadeni wao. Huwo ikakaiaa masanga washirikie katika malagho ghawe gha kiroho, wadaiwa na wo pia kuwahudumia katika mahitaji gha vilambo.
\v 28 Kwa huwo, wakati nakamilisha huwu na kuika na utoshelevu gwa itunda iji kwawo. nyi nadimaghenda chienyi andu kumweri na inyo uko Hispania.
\v 29 Naichi kwamba, wakati nikicha kwenyu, nichagha katika utimilifu gwa baraka ra Kristo.
\v 30 Idana nidawasihi, wambari, kwa Mzuri wedu Jesu Kristo, na kwalukunda gwa Ngolo, kwamba mshiriki andukumweri nayi katika malombi ghenyu kwa Mlungu kwa ajili yapwa.
\v 31 Lombenyi kwamba nidime kuokolewa kufuma kwawo wasadae utii katika Yudea, na kwamba huduma kuwokeriwa ni waumini.
\v 32 Lombenyi kwamba nadima kucha kwenyu kwa kuboiriw kuidia mapenzi gha Mlungu, na kwamba nadima kukaia andu kumweri nainyo, kupata kusoghoka.
\v 33 Na Mlungu wa sere akaiya andu kumweri nainyo wose. Amina.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Namkabizi kwenyu Fibi dadiye wenyu, ambaye ni mtumishi wa kanisa ambajo jiko kenkrea,
\v 2 ili kwamba mwadima kumbokera katika Mzuri. Bonyeni huwu katika kicho cha thamani cha waamini, na msimame andu kumweri naye katika ilagho jojose akagha na uhitaji najo. Huwo ye mweni wakaie mhudumu wa wengi, na kwaajili yapwa nyimweni.
\v 3 Mlamuse Priska na Akila, wabonya kazi andu kumweri nanyi katika Kristo Jesu,
\v 4 Ambawo kwa maisha ghapwa waghahatarishie maisha ghawe weni. Nafunya shukrani kwawo, na siyo tu nyi, bali pia kwa makanisa ghose ya masanga.
\v 5 Jilamuse ikanisa ambajo jiko nyumbenyi kwawo. Mlamuse Epanieto mkundwa wapwa, ambae ni mwalwa wa wosi wa Kristo katika Asia.
\v 6 Mlamuse mariamu ambaye wabonyie kazi kwa bidii kwa ajili yenyu.
\v 7 Mlamuse Androniko na Yunia, Jamaa wapwa, na wafungua andu kumweri nanyi. Ni wa muhuimu miongoni mwa Walodi, ambawo pia wakirie kummanya Kristo kabla yapwa.
\v 8 Mlamuse Ampliato, mkundwa wapwa katika Mzuri.
\v 9 Mlamuse Ubano, mbonya kazi andu kumweri nanyi katika Kristo, na Stakisi mkundwa wapwa.
\v 10 Mlamuse Apele, akundwe katika Kristo. Walamuse wose ambawo weko katika nyumba ya Aristobulo.
\v 11 Nilamuse Herodioni, jamaa wapwa. Nilamusie wose weko katika nyumba ya Narkiso, ambawo weko katika Mzuri.
\v 12 Nilamusie Trifaina na Trifosa, wabonya kazi kwa bidii katika Mzuri. Mlamusie Persisi mkundwa, ambaye watenda kazi kuchumba kwa Mzuri.
\v 13 Nilamusie Rufo, asaghulwe katika Mzuri ni mae na mawe wapwa.
\v 14 Mlamusie Asinkrito, Flegon, Herme, Patroba, Herma, na wambari wose weko andu kumweri nawo.
\v 15 Nilamuse Filologo na Yulia, Nerea na dadie, na Olimpa, waumini wose weko andukumweri nawo.
\v 16 Nilamusie kila umweri kwa ibusu Itakatifu. Makanisa ghose katika Kristo ghawalamusa.
\v 17 Idana nawasihi, wambari, kutafakari ighu gha awo ambawo wasababisha mghawanyiko na vipingamizi. Waghenda kinyume na mafundisho ambagho mwameria kukufunza. Aghukenyi mfume kwawo.
\v 18 Kwa huwo wandu kama awa ndewamtumikia Kristo Mzuri, bali vifu vawe wenyi kwa madedo ghawe laini na pongezi ra tee wadaemba ngolo ra wasadae hatia.
\v 19 Kwa mfano gwa wenyu mwamfikia kila umweri. Kwa huwo, naboirwa ighu yenyu, ela namikunda inyo mke na busara katika hali ya wema, na kulemwa kukaia na hatia imbiri.
\v 20 Mlungu wa sere ndechelewagha kumwangamiza shetani ndonyi ya chunyo renyu. Neema ya Mzuri Jesu Kristo akaie andu kumweri nainyo.
\v 21 Timotheo, mbonya kazi andu kumweri nanyi, amilamusa na Lukio, Yasoni na Sospeter, jamaa wapwa.
\v 22 Nyi Tertio, naandika waraka ughu, namilamusa katika irina ja Mzuri.
\v 23 Gayo anitunzie na kwa ikanisa jose jamilamusa. Erasto, mtunza hazina wa muzi, anilamusa, andu kumweri na Kwarto ambaye ni mbari.
\v 24 (Zingatia: katika nakala halisi ra wosi, mstari ughu ndaghuko. Gowa warumi 16: 20 "Neema ya Mzuri Jesu Kr
\v 25 Idana kwake ye uja uwezo kubonya msimame kulingana na injili na mafundisho gha jesu Kristo, kulingana na ufunuo gwa siri ya cisua kwa mida mlacha.
\v 26 Ela idana yameriwa kufunuliwa na kubonywa kumanyikana na maandiko gha ulodi kulingana na amri ya Mlungu wa kala na kala utii gwa imani miongoni mwa masanga ghose?
\v 27 Kwa Mlungu mwenekeri ekona hekima, kuidia jesu Kristo, like na utukufu kala na kala yose. Amina

848
47-1CO.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,848 @@
\id 1CO
\ide UTF-8
\h 1 Wakorintho
\toc1 1 Wakorintho
\toc2 1 Wakorintho
\toc3 1co
\mt 1 Wakorintho
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, wawngiwe ni Kristo Jesu kuka walodi kwa mapenzi gha Mlungu, na sosthene mmbari wedu,
\v 2 Kwa nyumba ya Mlungu ikoo korintho, kwa waja ambawo wawikigwa wakfu katika Kristo Jesu, ambawo wawangiwe kuka wandu weli. Didawaandikia pia waja wose wajiwa ghanga irina ja Mzuri wedu Jesu Kristo katika andu kose, Mzuri wawe na wedu.
\v 3 Neema na sere ike kwenyu kufuma kwa mlungu Aba wedu na Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 4 Maruwa ghose ndamshukuru Mlungu wapwa kwa ajili yenyu, kwa sababu ya neema ya Mlungu ambayo Kristo Jesu wawaneka.
\v 5 Wamibonya kuka matajiri, katika kila chia katika wudedi na andu amweri na maarifa ghose.
\v 6 Wamibonya matajiri, sa ushuhuda kuhusu Kristo ya kwamba wathibitishwa kuka loli miongonyi kwenyu.
\v 7 Kwa hawo ndamghodukiwagha ni karama ra ngolo, sa andu mkona tunu ya kuweserea wafunuo gwa Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 8 Dimawamiimarisha inyo pia hata mwisho, ili msalaumiwe iruwa ja Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 9 Mlungu wa mwaminifu ambae wawanga inyo katika ushirika wa mvalwa wake, Jesu Kristo Mzuri wedu.
\v 10 Idana ndawasihi kaka na dada rapwa, kuidia irina ja Mzuri wedu Jesu Kristo, kwamba wose mkubali, na kwamba kusake na miwaghanyiko miongonyi kwenyu. Ndawasihi kwamba mlungane andu amweri katika nia imweri na katika ikusudi jimweri.
\v 11 Kwani wandu wa iwacha ja kloe wanitaarifu kuwa kunona mwaghanyiko ghuende leagha miongonyi kwenyu.
\v 12 Nkona maana ihi: kila umweri wenyu hudeda, "Nyi na waPaulo", angu "Nyi na wa Apolo", angu "Nyi na wa Kefa" angu "Nyi ni wa Kristo."
\v 13 Je! Kristo wawaghanyika? Je! Paulo wasulibiwa kwa ajili yenyu? Je! mwabatizigwa kwa irina ja Paulo?
\v 14 Ndamshukuru Mlungu kuwa simbatizie wowose, isipokuwa Krispo na Gayo.
\v 15 Ihi yakogho kwamba ndakudae wowose kumacha wadeda mwabatizigwa kwa irina japwa.
\v 16 (Pia nawabatizie wa iwacha ja stephania. Zaidi ya aho, simanyaa kwamba mwabatiza mundu umwi wowose).
\v 17 Kwa wuja, Kristo ndanidumie kubatiza bali kuhubiri injili, Ndanidumie kuhubiri kwa madedo gha hekima gha kidamu, ili kwamba ndighi ya msalaba gwa Kristo isiinjiligwe.
\v 18 Kwa wujaujumbe gwa msalaba ni upuuzi kwa waja wa fwagha. Ela kwa waja ambawo Mlungu adawatesia, ni ndighi ya Mlungu.
\v 19 Kwa wuja yaandikigwa, "Dimanainona hekima ya weni busara. Dimanaghunona ufahamu gwa weni akili."
\v 20 Ako hao mundu akona busara? Ako hao mweni elimu? ako hao mdedaji mshawishi wa dunia ihi? Je, Mlungu ndaighusie hekima ya dunia ihi kuka ghukeli?
\v 21 Tangu dunia yaka katika hekima yake ndaimmanyie Mlungu, yampendezie Mlungu katika ghukeli gwawhe gwa kuhubiri ili kutesia waja waaminii.
\v 22 Kwa Wayahudi hukotia ishara ra miujiza na kwa wayunani hulola hekima.
\v 23 Ela didamhubiri Kristo wasulubiwe, akoo kikwazo kwa wayahudi na waghukeli kwa wayunani.
\v 24 Ela kwa waja ambawo wawangiwe ni Mlungu, Wayahudi na wayunani, didamhubiri Kristo sa ndighi na hekima ya Mlungu.
\v 25 Kwa wuja ghukeli gwa Mlungu ghukona hekima kuliko ya wadamu, na udhaifu gwa Mlungu ghakona ndighi zaidi ya wadamu.
\v 26 Guwa wito gwa Mlunguighu yenyu, kaka na dada rapwa. Si wengi wenyu mwakogho na hekima katika viwango va kidamu. Si wengi wenyu mwakogho na ndighi. Si wengi wenyu mwavalwa katika ubaha.
\v 27 Ela Mlungu wasaghua vilambo vikelu va dunia ili kuvikumba whaya veni hekima. Mlungu wasaghua chikoo dhaifu katika dunia kuchikumba whaya chikona ndighi.
\v 28 Mlungu wasaghua chija chikoo cha hali ya ndonyi na chimenyiwe katika dunia. Wasaghua hata vilambo ambavo ambavo ndavitaliwe kuka kilambo, kwa kuvibonya si kilambo vilambo vikoo na thamani.
\v 29 Wabonyie huvu ili asake wowose akoo na sababu ya kukivuna imbiri rake.
\v 30 Kwa sababu ya chija Mlungu wabonya, idana mkondenyi ya Kristo Jesu, ambae wabonyeka hekima kwa ajili yedu kufuma kwa Mlungu. Wakogho hachi yedu ueli na ukombozi.
\v 31 Sa matokeo, sa andu iandiko jidedaa, "Akisifuu, akisifu katika Mzuri."
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Nichacha kwenyu kaka na dada rapwa, sichee kwa madedo gha ushawishi na hekima sa andu nahubirieloli ivisikie kuhusu Mlungu.
\v 2 Naamua kutomanya chochose nirikogho miongonyi kwenyu isipokuwa Jesu Kristo, na ye wasulubiwe.
\v 3 Na nakogho na inyo katika ghudhaifu, na katika hofu, na katika kutetemeka nanganyi.
\v 4 Na ujumbe wapwa wa kuhubiri kwapwa ndaukogho katika madedo gha ushawishi na hekima. Badala yake, ghakogho katika kumdhihirisha ngolo na ya ndighi.
\v 5 Ili kwamba imani yenyu isake katika hekima ya wadamu, bali katika ndighi ya Mlungu.
\v 6 Idana dida iaria hekima miongonyi kwa wandu walanzi, ela si hekima ya dunia ihi, angu ya watawala wa matuku agha, ambawo wadaida.
\v 7 Badala yake, didaiaria hekima ya Mlungu katika uloli ghuvisikie, hekima ivisikie ambayo Mlungu waisaghua kabla ya matuku gha utukufu gwedu.
\v 8 Ndakudae wowose wa watawala matuku agha waimanyie hekima ihi, ngelo kumacha waimanya katika matuku ghaja, wasingelimsulubisha Mzuri wa utukufu.
\v 9 Ela sa andu yaandikigwa, "Malaghoambagho ndakudae iriso jaghawona, ndakudae kudu kwaghasikira, mawazo ndaghateganyie, malagho ambagho Mlungu waghaandaa kwa ajili ya waja wamkundii ye."
\v 10 Agha ni malagho ambagho Mlungu waghafunukula kwedu kuidia Ngolo, kwa wuja Ngolo huchunguza kila kilambo, hata malagho gha ndenyi gha Mlungu.
\v 11 Kwa wuja ani wamanyagha mawazo gha mundu, isipokuwa ngolo ya mundu ndenyi yake? Huwo pia, ndakudae amanyagha malagho gha ndenyi gha Mlungu, isipokuwa ngolo wa Mlungu.
\v 12 Ela ndadiwokerie ngolo ya dunia, ela ngolo ambae adafuma kwa Mlungu, ili kwamba didime kumanya kwa uhuru malagho dinekiwe ni Mlungu.
\v 13 Didadeda malagho agha kwa madedo, ambagho hekima ya mundu ndaidimagha kufundisha, ela ambagho Ngolo hudifundisha. Ngolo hutafasiri madedo gha kingolo kwa hekima ya kingolo.
\v 14 Mundu aseko wa kingolo ndawokeraa malagho ni gha Ngolo wa Mlungu, kwa wuja agho ni upuuzi kwake. Ndadimagha kughamanya kwa sababu ghadatambuliwa kingolo.
\v 15 Kwa uja wakingolo huhukumu malagho ghose. Ela huhukumiwa ni wamwi.
\v 16 "Ani adimagha kughamanya mawazo gha Mzuri, ambae adimagha kumfundisha ye?" Ela dikona mawazo gha Kristo.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Na nyi, kaka na dada rapwa, sidedie na inyo sa wandu kingolo, ela kama na wandu wa kimuwi. Kama na wana watinyi katika Kristo.
\v 2 Nawanyweshie mariwa na si nyama, kwa wuja ndamkogho tayari kwa kuja nyama. Na hata iji aha ndamkee tayari.
\v 3 Kwa wuja inyo bado ni wa muwinyi. Kwa wuja wivu na majivuno ghadawonekaa miongonyi kwenyu. Je, ndamuishi kulingana na muwi, na je ndamtembaa sa kawaida ya kidamu?
\v 4 Kwa wuja umweri hudeda, "Ndamnugha Paulo" Umwi hudeda "Ndamnugha Apolo," ndamuishi sa wadamu?
\v 5 polo ni ani? na Paulo ni ani? Watumishi wa uja mmwaminiye, kwa kila ambae Mzuri wamnekie ijukumu.
\v 6 Nyi nawae, Apolo akakumba machi, ela Mlungu akazoghusha.
\v 7 Kwa huwo, si wawe wala wakumbie machi akona chochose. Ela ni Mlungu azoghushagha.
\v 8 Idana awagha na akumbagha machi wose ni sawa, na kila umweri dimawawokera ujira gwake kulingana na chaghu chake.
\v 9 Kwa wuja isi da wabonya kazi wa Mlungu, inyo ni bustani ya Mlungu,. ijengo ja Mlungu.
\v 10 Kufumana na neema ya Mlungu ninekiwe sa mjenzi mbaha, naghuwikie msingi, na umwi adaagha ighu yake. Ela mundu ake makini jinsi andu adaagha ighu yake.
\v 11 Kwa wuja ndakudae umwi adimagha kuagha msingi ghumwi zaidi ya ghuaghiwe, ambagho ni Jesu Kristo.
\v 12 Idana, ngelo umweri wenyu adaagha ighu yake kwa dhahabu, fedha, magwe gha zoghori, midi, nyasi, angu nyasi.
\v 13 Chaghu chake dimachafunukulwa, kwa mwangaza gwa dime dimagwai dhihirisha. Kwa wuja dima yyadhihirishwa kwa modo. Modo dimaghwwagheria ubora gwa chaghu gwa kila umweri wabonya.
\v 14 Ngelo chochose mundu waaghie dimachasangalika, ye dimawawokera zawadi.
\v 15 Ela ngelo chaghu chamundu chikateketea kwa modo, dimawapata hasara. Ela ye mweni dima watesiwa, sa wuja kuepuka katika modo.
\v 16 Ndammanyaa kuwa inyo ni ihekalu ja Mlungu na kwamba Ngolo wa Mlungu adaka ndenyi yenyu.
\v 17 Ngelo mundu akajinona ihekalu ja Mlungu, Mlungu dimawanona mundu uja. Kwa wuja ihekalu ja Mlungu ni eli, na huwo na inyo.
\v 18 Mundu asakiembie mweni, ngelo wowose miongonyi kwenyu adadhani akona hekima katika matuku agha, ake sa "Wakelie" niko dimawaka na hekima.
\v 19 Kwa wuja hekima ya dunia ili ni ghukeli imbiri ra Mlungu, kwa wuja yaandikigwa, "Huwanasa weni hekima kwa kila rawe"
\v 20 Na sena "Mzuri adaichi mawazo gha wenibusara ni ubatili.
\v 21 Huwo mundu asakivunie wadamu! kwa wuja vilambo vose ni venyu.
\v 22 Ngelo ni Paulo, angu Apolo, angu Kefa, angu dunia, angu maisha, angu kifwa, angu vilambo vikoo, angu vichagha kuka. vose ni venyu.
\v 23 Na inyo ni wa Kristo na Kristo ni wa Mlungu.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Huwu niko mundu aditale isi, sa watumishi wa Kristo na wawakilishi wa viviso va loli va Mlungu.
\v 2 Katika iji, kikundigwi kwa uwakili ni kwamba wake wa kutumainiwa.
\v 3 Ela kwapwa nyi ni kilambo kitinyi nyanganyi kuka ndahukumiwa wa inyo angu hukumu ya kidamu. Kwa wuja sikihukumu hata nyimweni.
\v 4 Sikihukumu nyi mweni, ihi ndaidae maana kwa nyi na mweni hachi, Ni Mzuri nianihukumu.
\v 5 Kwa huwo, msadae hukumu ighu ya jojose kabla ya makati, kabla kwa Mzuri. Dima waghareda nurunyi malagho ghavisikie kirenyi na kufunukula makusudi gha mioyo. Niko kila umweri dima wawokera sifa yake kufuma kwa Mlungu.
\v 6 Idana, kaka na dada rapwa, nyi mweni na Apolo natumia kanuni iri kwa ajili yenyu, ili kwamba kufuma kwedu mwadima kikifunza maana ya wudedi, "usaghende zaidi ya andu chaandikigwa". Ihi ni ni kwamba ndakudae umweri wenyu akivunaye ighu ya umwi.
\v 7 Maana ni ani awonagha tofauti kati yenyu na umwi? Ni indoi ukoonacho nduchiwokerie utu? ngelo wasia kuwokera utu, kwa indoi mdakivusa sa andu ndabonyie huwo?
\v 8 Tayari mko navo vose ambavo kumacha mwakundi! Tayari mwaka na utajiri! mwawoka kutawala na kwamba mdamiliki mwema ili kwamba dimi liki andu umweri na inyo.
\v 9 Kwa huwo ndadhani Mlungu wadiwika isi walodi sa kudionyesha wa mwisho katika mstari gwa maandamano na sa wandu wahukumiwe kubwagwa. Daka sa itamasha kwa urumwengu, kwa malaika na kwa wadamu.
\v 10 Isi da wakilie kwa ajili ya Kristo, ela inyo ni we ni hekima katika Kristo. Dawanyonge, ela inyo mkona ndighi. Mdaheshimiwa, ela isi dida menyigwa.
\v 11 Hata saa ihi dikona njalia na kau, ndadidae makazi.
\v 12 Didabonya kazi kwa bidii, kwa mikonu yedu weni. Dikamenyigwa, didabariki. Makati dikatesigwa, didaririmira.
\v 13 Dikonyirwa, didawuja kwa kuhoa. Daka, na tu bado dida taligwa kuka sa kulegwa na dunia na takataka kwa malagho ghose.
\v 14 Siandika malagho agha kuwawaisha inyo, ela kuwawuja inyo sa wana wapwa niwa kundi.
\v 15 Hata kama mkona walimu makumi elfu katika Kristo, ndamdae aba wengi. Kwa wuja naka aba wenyu katika Kristo jesu kuidia injili.
\v 16 Huwo ndawasihi mniige nyi.
\v 17 Iyo inyo sababu namduma kwenyu Timotheo, mkundwa wapwa na mwana mwaminifu katika Mzuri. Dimawanikumbusha chia rapwa katika Kristo, sa andu nikifundishagha kila andu na kila nyumba ya Mlungu.
\v 18 Idana baadhi yenyu wadakisifu, wakibonya kana kwamba sichagha kwenyu.
\v 19 Ela dimanacha kwenyu kilambo, sa Mlungu akakundi. Niko dimaichi si madedo ghawe tu wakisifu, ela dimanawona ndighi rawe.
\v 20 Kwa wuja ufalme gwa Mlungu ndaukagha katika madedo bali katika ndighi.
\v 21 Mkundi indoi? Nicha kwenyu na chaghu angu kwa lukundo na katika ngolo ya kuhoa.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Dasikira taarifa kwa kukona zinaa miongonyi kwenyu, aina ya zinaa ambayo ndaiko hata ghadi ghadi ya wandu wa mataifa. Dikona taarifa kwamba umweri wenyu adatungura na mka wa ndee.
\v 2 Na inyo mdakisifu! Badala ya kuhuzunuka? uja wabonyie huwo adapaswa kuinjigwa miongonyi kwenyu.
\v 3 Ingawa siko andu amweri na inyo kimuwi ela neko na inyo kingolo, nameria mhukumu ye wabonyie huwu, sa wuja nakogho.
\v 4 Mka kwana andu amweri katika irina ja Mzuri wedu Jesu, na ngolo yapwa yeko aja ngelo kwa ndighi ra Mzuri wedu Jesu, na meria mhukumu mundu uyu.
\v 5 Nameria kumkabidhi mundu uyu kwa shetani ili kwamba muwi gwake ghunonigwe, ili ngolo yake idime kutesiwa katika iruwa ja Mzuri.
\v 6 Majivuno ghedu sikilambo chiboie. Ndammanyagha chachu kidogo hunona idonge lanzi?
\v 7 Kieleshenyi inyo weni chachu ya kala, ili kwamba mke idonge wishi, ili kwamba mke mkate ghusa chachuligwa. Kwa wuja, Kristo, mwana ng'ondi wedu wa pasaka wameria kuchinjigwa.
\v 8 Kwa huwo disherehekee karamu si kwa chachu ya kala, chachu ya tabia izamie na uovu. Badala yake, disherehekee na makate ghusa kumbagwa chachu gwa unyenyekevu na loli.
\v 9 Naandikie katika barua yapwa kuwa msachangamane na wazinzi.
\v 10 Sikona maana wazinzi wa dunia ihi, angu na weni tamaa angu wanyang'anyi angu waabudu sanamu kwa kuka kula nawo, basi kumachayawapasa muinge dunienyi.
\v 11 Ela idana ndawaandikia kuto kichanganya na wowose awangwagha kaka angu dada katika Kristo ela adaishi katika uzinzi angu ambae ni mweni kutamani, angu mnyang'anyi, angu mwabudu isanamu, angu aanyiragha angu mlevi. Wala msacheja na ye mundu wa namna ija.
\v 12 Kwa huwo dima nakihusisha wada kuwa hukumu wakoo shighadi ya nyumba ya Mlungu? Badala yake, inyo ndamuwahukumie wakoo ndenyi ya nyumba ya Mlungu?
\v 13 Ela Mlungu adawahukumu wakoo shighadi. "Muinjenyi mundu azamie miongonyi kwenyu"
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Umweri wenyu achagha na itatizo na mbawe, adathubutu kughenda kwa mahakama ya wasadae hachi kuliko imbiri ya waumini?
\v 2 Ndammanyagha kuwa waumini dimawahukumu urumwengu? Na ngelo dimamwahukumu urumwengu, ndamdimagha kuamua malagho ghasadae muhimu?
\v 3 Ndammanyagha kuwa dimadawahukumu malaika? kwa kiasi chiao zaidi, dadima kuamua malagho gha maisha agha?
\v 4 Ngelo didadima kukuhukumu malagho gha maisha agha, kwa indoi mdathubutu kughenja mashitaka imbiri ya wasakakimsi nyumbenyi kwa Mlungu?
\v 5 Ndadeda agha kwa waya gwenyu. Ndakudae mweni busara miongonyi kwenyu wa kutosha kuwika malagho sawa kati ya mmbari na mmbari?
\v 6 Ela sa andu ikogho iji aha, mwa mini umweri hughenda mahakamenyi dhidi ya muamini umwi, na mashitaka agho huwikwa imbiri ya hakimu asaaminii!
\v 7 Uloli ni kwamba kuko matatizo ghadighadi ya wakristo gharedieghe kala ugaisho kwenyu. Kwa indoi msateseke kwa ghazamie? kwa indoi mdakubali kuembiwa?
\v 8 Ela mwabonya ghazamie na kuembia wamwi, na awo ni kaka na dada renyu!
\v 9 Ndammanyagha kwamba wasadae hachi ndawailpala ufalme gwa Mlungu? msaamini tee. Waasherati, waabudu isanamu, wazinzi, wafiraji, walawiti,
\v 10 Wating'a, wachoyo, walevi, wanyang'anyi, waanyiragha ndakudae miongonyi kwawe aghupala ufalme gwa Mlungu.
\v 11 Na awo wakogho baadhi yawe ni inyo. Ela mwameria kutengigwa kwa Mlungu, ela mwabonywa hachi imbiri ra Mlungu katika irina ja Mzuri Jesu Kristo na kwa ngolo wa Mzuri wedu.
\v 12 "Vilambo vose va halali kwapwa", ela si kila kilambo kikona faida. "Vilambo vose va halali kwapwa," Ela sitawaliwagha na chimweri cha huwo.
\v 13 "Vindo ni kwa ajili ya kifu, na kifuni kwa ajili ya kifu," ela Mlungu dimawavitowesha vose. Muwi ndaghuumbiwe kwa ajili ya ukahaba, badala yake, muwi ni kwa ajili ya Mzuri, na Mzuri dima wautawaria muwi.
\v 14 Mlungu wamfufua Mzuri na isi pia dimawadifufua kwa ndighi rake.
\v 15 Ndammanyagha kwamba miwi yenyu ikona mlunganyiko na Kristo? mwadima wada kuvifunya vilingo va Kristo na kughenda kuvi lunganisha na kahaba? Ndaidimikanagha!
\v 16 Ndammanyagha kwamba alunganaa na kahaba waka muwi umweri na ye? ngelo iandiko jidedagha," wawi dimawaka muwi umweri.
\v 17 Ela alunganagha na Mzuri adaka ngolo imweri andu amweri na ye.
\v 18 Ikimbienyi zinaa! " kila zambi aibonyagha mundu ni shighadi ya muwi ghake. Ela zinaa, mundu hubonya zambi dhidi ya muwi gwake mweni.
\v 19 Ndammanyagha kuwa miwi yenyu ni ihekalu ja Ngolo wa kuela, akagha ndenyi yenyu, uja ambae mwanekigwa kufuma kwa Mlungu? Ndammanyagha kwamba si inyo weni?
\v 20 Kwamba mwagaligwa kwa thamani. Kwa huwo mtogolenyi Mlungu kwa miwi yenyu.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Kuhusu malagho mwaniandikia: Kukona makati ambapo ni nicha mnduni asatungure na mkake.
\v 2 Ela kwa sababu ya magherio mengi gha zinaa kila mndumuni ake na mkake, na kila mndumka ake na mumi wake.
\v 3 Mumi adapaswa kumneka mka hachi yake yandaa, na vija veni, mka nae kwa mumi wake.
\v 4 Simka akona mamlaka ighu ya muwi gwake, ni mumi. Na vija veni mumi naye mdadae mamlaka ighu ya muwi gwake, bali mka ako nayo.
\v 5 Msanyimane mkatungura andu amweri, isipokuwa mwakubaliana kwa taimu maalum. Bonyeni huwo ili kupata taimu ra malombi. Kisha mdadima kuwuriana sena andu amweri, ili kwamba shetani asache akawagheria kwa kusowa kiasi.
\v 6 Ela ndadeda agha malagho kwa hiari nasi kama amri.
\v 7 Ndatamani kila umweri kumachawaka sanyi andu neko. Ela kila umweri akona karama yake kufuma kwa Mlungu. Uyu akona karama ihi, na uja akona karama ija.
\v 8 Kwa wasalowolwa nawakelu ndadeda kwamba, ni nicha kwawe ngelo wakasangalika bila kulowolwa, sa andu niko nyi.
\v 9 Ela kama ndawadimaa kukizuia, wadapaswa kulowolwa. Kwa wuja heri kwawe kulowolwa kuliko kuwaka tamaa.
\v 10 Idana kwa waja walowolwe ndawaneka amri, sionyi bali ni Mzuri. "Mka asitengane na mumi wake."
\v 11 Ela ngelo akakitenga kufuma kwa mumiwake, abaki huwo bila kulowolwa, angu vinginevyo apatane na mumi wake."
\v 12 Ela kwa wasangalikie, ndadeda nyi, si Mzuri- kwamba ngelo mmbari wowose akona mka asaamini na adaridhika kuka na ye, ndapaswagha kumsigha.
\v 13 Ngelo mndumka akona mumi asaamini, na ngelo adaridhika kuka na ye, asamsighe.
\v 14 Kwa mumi asaamini adatakaswa kwa sababu ya imani ya mkake. Na mndumka asaamini adatakaswa kwa sababu ya mumi wake aamini. Vinginevyo wana wenyu kumachawaka wasaelie, ela kwa loli watakasigwa.
\v 15 Ela mwenzi asaamini akiinga na aghende. Kwa namna iyo, kaka angu dada ndarugwa na vilawo vawe, Mlungu wadiwanga diishi kwa amani.
\v 16 Umanya wada ngelo mndumka, huenda dimawamtisa mumi wako? Angu uichi wada ngelo mndumumi, huenda dimawamtesia mkako?
\v 17 Kila umweri tu aishi maisha sa andu Mzuri wawawaghia, kila umweri sa andu Mlungu wawawanga wo. Uhu ni mwongozo wapwa kwa makanisa ghose.
\v 18 Weko warikogho wachulwa wacha wangwa kuamini? Asagherie kuinja alama ya tohara yake. Weko wowose wawangiwe katika imani ndachuligwe? Ndapaswaa kuchuligwa.
\v 19 Kwa iji aidha wachulwa wala asachulwagha ndakudae matatizo. Cheni matatizo ni kutii amri ra Mlungu.
\v 20 Kila umweri abaki katika wito andu wakogho achawangwa na Mlungu kuamni.
\v 21 Wakogho mtumwa makati Mlungu wacha kuwanga? Usajali kuhusu iyo. Ela ngelo udimagha kuka huru, bonya huwo.
\v 22 Kwa umweri wawangiwe ni Mzuri sa mtumwa ni mundu huru katika Mzuri. Sa wuja, umweri akoo huru wawangiwe kuamini ni mtyumwa wa Kristo.
\v 23 Mwameria kuguliwa kwa thamani, huwo msake wa tumwa wa wadamu.
\v 24 Kaka na dada rapwa, katika maisha ghoghose kila umweri wedu diwangiweghe kuamini, dibaki sa wuja.
\v 25 Idana, waja wose ambawo ndawalowue kamwe, sidae amri kufuma kwa Mzuri. Ela ndawaneka maoni ghapwa sa andu neko. Kwa mbazi ra Mzuri, riaminikaa.
\v 26 Kwa huwo, ndateganya huwo kwa sababu ya ugaisho, ni vyema mndumuni abaki sa andu weko.
\v 27 Warughurwa kwa mndumka na kirawo cha ndoa? Usakunde uhuru kufuma kwa hiyo. Ukona uhuru kufuma kwamka angundalowolwe? Usalole mka.
\v 28 Ela ngelo ukalowua, ndabonyie zambi. Na ngelo mndumka ndalolwolwe akalowolwa, ndabonyie zambi. Bado waja walowuana wadapata magaisho gha aina tofauti. Na nyi mkundi niwaepushe agho.
\v 29 Ela nadeda huwu, kaka na dada rapwa, muda ni mvui. Tangu ijiaha na kuendelea, waja wakona waka wake kama ndawadae.
\v 30 Wose wekona huzuni wakibonye sa andu wakogho ndawadae huzuni, na wose waboiwagha, ngelo wakogho ndawaboiwagha, na wose waghulagha kilambo chochose, ngelo ndawamilikie chochose.
\v 31 Na wose washuhulikagha na urumwengu, wake sa andu ndawashuhulike nagho. Kwa wuja mitindo ya dunia idafikia mwisho gwake.
\v 32 Ndakundi mke hurui kwa magaisho ghose. Mndumuni asalowaa adakihusisha na vilambo vimhusuu Mzuri, namna ya kumboia ye.
\v 33 Ela mndumunia alowuee hakihusisha na malagho gha dunia, namna ya kumboia mkake,
\v 34 Wawaghanyika. Mndumka asalowolwaa angu mwaihakihusisha na vilambo kuhusu Mzuri, namna ya kukitenga katika muwi na katika ngolo. Ela mndumka alowolwe hukihusisha kuhusu vilambo va dunia, namna ya kumboia mumi wake.
\v 35 Nadeda huwu kwa faida yenyu weni, na siwikagha madegho kwenyu. Nadeda huwu kwa waja ya hachi, ili kwamba mdadima kukiwika wakfu kwa Mzuri bila kikwazo chochose.
\v 36 Ela ngelo mundu adatenganya mdadimaa kumbonyia kwa heshima mwai wake, kwa sababu hisia rake rikona ndighi nanganyi, sigha alowuane naye sa andu akundii. Siyo zambi.
\v 37 Ela ngelo wabonya maamuzi kutokulowua, na ndakudae haja ya lazima, na ngelo adadima kutawala tunu yake, dimawabonya vena ngelo ndamlowua.
\v 38 Huwo, amlowuaa mwai wake adabonya vema, na wowose ambae adaghua kutolowua dimawabonya vema zaidi.
\v 39 Mndumka warugwa ni muwi wake makati akohai. Ela ngelo muni wake akafwa, ako huru kulowolwa na wowose amkundi, ela katika Mzuri tu.
\v 40 Bado katika maamuzi ghapwa, dimawaka na furaha zaidi ngelo akaka sa andu weko. Na ndatenganya kuwa na nyi pia nkona Ngoloi wa Mlungu.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Idana kuhusu vindo vifunyiweghe sadaka kwa isanamu: didaichi ya kwamba "isi wose dikona maarifa." Maarifa hureda majivuno, bali lukundo huagha.
\v 2 Ikika mundu wowose adadhani kwamba adamanya ilagho fulani, mundu uyo bado ndammanyagha sa andu impasaa kumanya.
\v 3 Ela ikika umweri wapo akamkunda Mlungu, mundu uyo adamanyikana na ye.
\v 4 Basi kuhusu kuja vindo vifunyiweghe sadaka kwa isanamu: didaichi kuwa "isanamu si kilambo katika dunia ihi," na ya kuwa ndakudae Mlungu ila umweri tu."
\v 5 Kwa maana kuko wengi wawangwaa milungu ikika ni mbingunyi angu dunienyi, sa andu wakoo "milungu ya wazuri wengi."
\v 6 "Ijapokuwa kwedu kuko Mlungu umweri tu ambae ni Aba, vilambo vose vafumie kwake, na isididaka kwake, na Mzuri umweri Jesu Kristo, ambae kwake vilambo vose veko, na kwa ye isi deko."
\v 7 Hata huwo, ujuzi ughu ndaukondenyi ya kila umweri. Badala yake, wamwi washiriki ibada ra isananmu aho kala, na hata ijiaha wadaja vindo ivi kana kwamba ni kilambo chifunyiwe sadaka kwa isanamu. Dhamiri rawe rapotoshwa kwa wuja ra dhaifu.
\v 8 Ela vindo ndavidithibitisha isi kwa Mlungu. Isi si wazamie nanganyi kama disicheja, wala waboiwe nanganyi ikeka dimadaja.
\v 9 Ela kenyi makini kwamba uhuru wenyu usake sababu kumkwaza na akoo dhaifu katika imani.
\v 10 Hebu teganya kwamba mundu wakuwona, we ukoo na ujuzi, udaja vindo katikaihekalu ja isanamu. Dhamiri yake mundu uyo ndaithibitikagha hata ye naye aje vilambo vifanyiweghe sadaka kwa isanamu?
\v 11 Kwa huwo kwa sababu ya ufahamu gwako gwa uloli ighu ya asili ya isananmu, kaka angu dada yako akoo dhaifu, ambae pia Kristo wafwa kwa ajili yake, adaangamizwa.
\v 12 Huwo, ukabonya zambi dhidi ya kaka na dada rako na kurijeruhi dhamiri rawe rikoo dhaifu, mdabonya zambi dhidi ya Kristo.
\v 13 Kwa huwo, ikika vindo vidasababisha kumkwaza kaka angu dada, sijagha nyama kamwe, ili nimsababishe kaka angu dada wapwa kugwa.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Nyi si huru? Nyi si walodi? Nyi simwonie Jesu Mzuri wedu? inyo si matunda gha chaghu chapwa katika Mzuri?
\v 2 Ikika nyi si walodi kwa womwi, angalau na mlodi kwenyu inyo. Kwa maana inyo mwa uthibitisho wa ulodi gwapwa katika Mzuri.
\v 3 Uhu nio utetezi gwapwa kwa waja wanichunguza nyi.
\v 4 Je ndadidae hachi ya kuja na kunywa?
\v 5 Ndadidae hachi kuwusa mkaaminie sa andu wabonyagha walodi wamwi, na wambari wa Mzuri, na kefa?
\v 6 Angu ni nyi mwenikeri na Barnaba ambawo didapaswa kubonya chaghu.
\v 7 Ni ani abonyagha chaghu sa mlangalanga kwa gharama rake mweni? Ni ani awagha mzabibu na asaje matunda ghake? Angu ni ani alishagha ikundi asanywe mariwa ghake?
\v 8 Je ndadeda agha kwa mamlaka gha kidamu? sheria nayo ndaidedagha agha?
\v 9 Kwa wuja yaandikigwa katika sheria ya Musa, "Usamrughe ng'ombe momu apulapo nafaka," Ni loli kwamba aha Mlungu adajali ng'ombe?
\v 10 Angu je ndadedaa agho kwa ajili yedu? yaandikigwa kwa ajili yedu, kwa sababu ye alimagha nafaka idampasa kulima kwa matumaini, na ye akwashagha idampasa akwashe kwa matarajio gha kushiriki katika makwasho.
\v 11 Ikika dawae vilambo va ngolonyi kwenyu, Je! ni idedo baha kwedu dikikwasha vilambo va mwinyi kufuma kwenyu?
\v 12 Ikika wamwi wapatie hachi ihi kufuma kwenyu, Je! isi si zaidi? Hata huwo, ndadiilawie hachi ihi. Badala yake, daririmirie malagho ghose badala ya kuka kikwazo cha injili ya Kristo.
\v 13 Ndammanyagha kuwa wose wabonyagha chaghu hekalunyi hupata vindo vawe kufuma hekalunyi? madhabahunyi hupata sehemu ya chija chifunyiwe madhabahunyi?
\v 14 Kwa jinsi iyo yeni, Mzuri walagize ya kuwa wose waitangazagha injili sharti wapate kuishi kufumana na iyo injili.
\v 15 Ela siwalawie hachi rose iri. Na siandikagha agha ili ilagho jojose jibonyeke kwa ajili yapwa. Ni heri nyi nifwe kuliko mundu wowose kubatilisha hakukukisifu kwapwa.
\v 16 Maana ikika ndaihubiri injili, sidae sababu ya kusifu, kwa sababu ni lazima nibonye huwu. Na ole wapwa nikasowaihubiri injili.
\v 17 Kwa maana nikibonya huwu kwa hiari yapwa nikona thawabu. Ela ikika si kwa hiari, bado nikona ijukumu ninekiwe kuka wakili.
\v 18 Basi thawabu yapwa ni indoi? ya kuka ni kaburi, dima naifunya injili pasipo gharama na bila kudumia kwa utimilifu gwa hadhi yapwa nikoo nayo katika injili.
\v 19 Maana japo naka huru kwa wose, nabonyika mtumwa wa wose, ili kwamba mdime kuwapata wengi zaidi.
\v 20 Kwa wayahudi nakogho sa myahudi, ili niwapate wayahudi. Kwa waja wakoo ndonyi ya sheria, nakogho sa umweri wawe akoo ndonyi ya sheria ili niwapate waja wakoo ndonyi ya sheria. Nabonyie huwo ingawa nyi binafsi sikogho ndonyi ya sheria.
\v 21 Kwa waja wakoo shighadi ya sheria, nakogho kama umweri wawe shighadi ya sheria, ingawa nyi binafsi sikogho shighadi ya sheria ya Mlungu, bali ndonyi ya sheria ya Kristo. Nabonyie huwo ili niwapate waja wakoo shighadi ya sheria.
\v 22 Kwa wakoo wanyonge nakogho mnyonge, ili niwapate wakoo wanyonge. Naka hali rose kwa wandu wose, ili kwa chia rose nipate kuwatesia baadhi.
\v 23 Nanyi mdabonya malagho ghose kwa ajili ya injili, ili nipate kushiriki katika baraka.
\v 24 Ndammanyagha ya kuwa katika isenge wose washindanagha hukaba isenge, ela awokeragha tuzo ni umweri? Huwo kabenyi isenge ili mpate tuzo.
\v 25 Mwana misarigho hukizuia katika yose awapo katika mafunzo. Awo hubonya huwo ili wawokere taji inonekagha, ela isi didakimbia ili dipate taji isanonekagha.
\v 26 Kwa huwo nyi sikimbiagha bila sababu angu ndaka bana ngumi sa kukaba hewa.
\v 27 Ela ndautesa muwi gwapwa na kuubonya samtumwa, ili kwamba nichameria kuwahubiri wamwi, nyi mweni nisake wakulegwa.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Nkundi inyo mmanye kaka na dada rapwa, ya kuwa Aba redu wakogho ndonyi ya idulu na wose waida katika bahari.
\v 2 wose wabatiziwe wake wa Musa ndenyi ya idulu nandenyi ya bahari,
\v 3 Na wose wajie vindo vija veni vangolo.
\v 4 Wose wanywie kinywaji chija chani cha ngolo. Maana wanywie kufuma katika lwaka lwa ngolo lwanughie, na lwala luja lurikogho ni Kristo.
\v 5 Ela Mlungu ndaboiwe nang'anyi na wengi wawe, na maiti rawe rasambazigwa ijangwenyi.
\v 6 Basi malagho agha ghose ghakogho mifwano kwedu, ili isi disake wandu wakutamani ghazamie sa andu wo wabonya.
\v 7 Msake waabudu isananmu, saandu wamwi wakogho. Ihi ni saandu iandikiwe, "Wandu wakee ndonyi wakija na kunywa, na wanuka kuvina kwa tamaa ra mapenzi."
\v 8 Disabonye uasherati sa andu wengi wawe wabonya. Wakafwa iruwa jimweri wandu ishirini na idadu elufu kwa sababu iyo.
\v 9 Wala disamgherie Kristo, sa andu wengi wawe wabonya na wakanonigwa kwa choka.
\v 10 Na pia msanung'unike, sa andu wengi wawe wanung'unika na kunonigwa na malaika kwa mauti.
\v 11 Basi malagho agho ghabonyeka sa mifwano kwedu. Ghakaandikigwa ili kudikasha isi - difikiliwe ni miisho ya kala.
\v 12 Kwa huwo kila akiwonagha wakakimsi ake makini asachegwa.
\v 13 Ndakudae gherio jawapatie inyo jisakogho kawaida ya wadamu. Ela Mlungu wa mwaminifu. Ndawasighaa mgheriwe kuida uwezo gwenyu. Andu amweri na gherio ye dimawananeka mjango wa kufumiria, ili madima kustahimili.
\v 14 Kwa huwo, wakundwa wapwa, ikimbienyi ibada ya isanamu.
\v 15 Nadeda nainyo sawandu weni akili, ili muamue ighu ya njidedagha.
\v 16 Kikombe cha baraka dibariki, si ushirika gwa bagha ya Kristo? mkate ghuja dighubengagha, si ushirika gwa muwi gwa Kristo?
\v 17 Kwa wuja mkate ni umweri, isi dikoowengi da muwi umweri. Isi wose dawokera mkate umweri kwa andu amweri.
\v 18 Waguwenyi wandu wa Israeli: Je! waja wose wajagha dhabihu si washiriki katika madhabahu?
\v 19 Ndadeda indoi basi? ya kuwa isananmu ni kilambo? Angu ya kuwa vindo vifunyiweghe sadaka kwa isanamu ni kilambo?
\v 20 Ela ndadeda ighu ya vilambo vija wavifunyagha sadaka wandu wapagani wa mataifa, ya kuwa wadafunya vilambo ivi kwa mapepo nasi kwa Mlungu. Na nyi sikundi inyo kushirikiana na mapepo!
\v 21 Ndamdimagha kunywea kikombe cha Mzuri na kikombe cha mapepo. Ndamdimagha kuka na ushirika katika meza ya Mzuri na katika meza ya mapepo.
\v 22 Angu damkumba Mzuri wivu? Dikona ndighi zaidi yake?
\v 23 "Vilambo vose va halali," Ela si vose vifaagha. "Vilambo vose va halali," Ela si vose viwaghagha wandu.
\v 24 Ndakudae hata umweri kumachawokera ghaboie ghake tu. Badala yake, kila umweri kumachawalola ghaboie gha mbawe.
\v 25 Mdimagha kuja kila kilambo chidaghagwa chetenyi bila kukotia - kotia kwa ajili ya dhamiri.
\v 26 Maana "dunia ni mali ya Mzuri, na vose viichuragha."
\v 27 Na mundu asaamini akawaalika kuja, na mkundi kughenda, mji chochose awanekagha pasipo kukotia maswali gha dhamiri.
\v 28 Ela mundu akawaghoria, "Vindo ivi vafumana na sadaka ya wapagani," msaje. Ihi ni kwa ajili yake wawagherie, na kwa ajili ya dhamiri.
\v 29 Nanyi simaanisha renyu, bali dhamiri ya uja umwi. Maana kwa indoi uhuru gwapwa uhukumiwe na dhamiri ya mundu umwi?
\v 30 Ikika nyi ndatumia vindo kwa shukrani, kwaindoi nianyirwe kwa kilambo ambacho nashukuru kwacho?
\v 31 Kwa huwo, chochose mjagha angu kunywa, angu chochose mbonyagha, bonyeni ghose kwa ajili ya utukufu gwa Mlungu.
\v 32 Msawasoweshe wayahudi angu wayunani, angu nyumba ya Mlungu.
\v 33 Gherienyi saandu nyi nigheriagha kuwaboia wandu wose kwa malagho ghose. Silolaa faida yapwa mweni, bali ya wengi. Nami ndabonya huwu ili wapate kutesiwa.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Mnughenyi nyi, saandu na nyi nimnughagha Kristo.
\v 2 Idana ndawasifu kwa sababu ya wuja andu munikumbuka gha katika malagho ghose. Ndawasifu kwa sababu mwaghawhada wawokero sa andu mwaghareda kwenyu.
\v 3 Basi nkundi mmanye ya kuwa Kristo ni chongo cha kila mndumaini, na ye mndumuni ni chongo cha mndumka, na yakuwa Mlungu ni chongo cha Kristo.
\v 4 Kila mndumuni alombagha angu afunyagha wulodi akika wafinika chongo adakiaibisha chongo chake.
\v 5 Ela kila mndu mka alombagha angu kufunya wulodi hali chongo chake chekika mwari adakiaibisha chongo chake. kwa maana ya sawasawa na sawanyolewa.
\v 6 Ikika ngelo mndumka nda finikigwa chongo chake, na ademwe nnyi rake rike vui. Maana ikika ni whaya mndumka kudema nywi rake angu kunyolewa, basi afinike chongo chake.
\v 7 Kwani ndaimpasaa mndumuni kufinika chongo chake, kwa sababu ye ni mfwano na utukufu gwa Mlungu. Ela mndumka ni utukufu gwa mndumuni.
\v 8 Maana mndumuni ndamfumie kwa mndumka. Bali mndumka wafumie kwa mndumumi.
\v 9 Wala mndumumi ndaumbigwe kwa ajili ya mndumka. Bali mndumka waumbigwe kwa ajili ya mndumumi.
\v 10 Ihi nio sababu mndumka adapaswa kuka na ishara ya mamlaka ighu ya chongo chake, kwa sababu ya maika.
\v 11 Hata huwo, katika Mzuri, mndumkandeko mwenikeri pasipo mndumumi, angu mndu mumi pasipo mndu mka.
\v 12 Maana sa wuja mndumka wafumie kwa mndumumi, vija veni mndu mumi wafumie kwa mndu mka. Na vilambo vose hufuma kwa Mlungu.
\v 13 Hukumunyi weni: Je! ya sahihi mndu mka amlombe Mlungu hali chongo chake chikika mwari?
\v 14 Je hata asili yake pia ndaiwafundishagha ya kwamba mndu mumi akika na njwi ndacha ni waya kwake?
\v 15 Je asili ndaiwafundishagha ya kwamba mndu mka akika na njwi ndacha ni utukufu kwake? maana wanekigwa rija njwi ndacha sa ivazi jake.
\v 16 Ela ikika mundu wowose akundii kubishana ighu ya iji, isi ndadidae namna imwi, wala nyumba ra Mlungu.
\v 17 Katika malagizo ghanughagha, nyi siwasifu. Maana mkwanagha andu amweri, sio kwa faida bali kwa hasara.
\v 18 Maana kwanza, ndasikira ya kuwa mkwanagha nyumbenyi ya Mlungu, kuko miwaghanyiko katia yenyu, na kwa sehsmu ndaamini.
\v 19 Kwa maana ya lazima ike msuguano kati yenyu, ili kwamba waja wakubaliweghe wamanyikane kwenyu.
\v 20 Kwa maana mkwanagha, mjagha sio vindo na Mzuri.
\v 21 Mjagha, kila umweri huja vindo vake mweni kabla wamwi ndawaajie. Hata uyu akona njala, na uyu walewa.
\v 22 Je ndakudae mwacha gha kujia na kunywea? daimenya nyumba ya Mlungu na kuwafedhehesha wasadae kilambo? Nidede indoi kwenyu? niwasifu? siwasifuu katika iji!
\v 23 Maana nawokerie kufuma kwa Mzuri chija ambacho nawaneka inyo ya kuwa Mzuri Jesu, kio chija wacha salitiwa, wawusie mkate.
\v 24 Baada ya kushukuru, wauchukanyie na kudeda, "Uhu nio muwi gwapwa, ukoo kwa ajili yenyu. Bonyeni huwu kwa kunikumbuka nyi."
\v 25 Na woruwo huwu akawusa kikombe baada ya kuja, na kudeda, "Kikombe ichi ni iagano wishi katika bagha yapwa. Bonyeni huwu mara nyingi kila mchanywa, kwa kunikumbuka nyi."
\v 26 Kwa kila taimu mchaja mkate ughu na kuchinywea kikombe, mdaitangaza mauti ya Mzuri mpaka achacha.
\v 27 Kwa huwo, kila aujagha mkate angu kuchinywea kikombe icho ya muwi na bagha ya Mzuri.
\v 28 Mundu akihoji mweni kwanza, na huwo auje mkate, na kuchinywea kikombe.
\v 29 Maana ajagha na kunywa bila kupambanua muwi, huja na kunywa hukumu yake mweni.
\v 30 Ihi nio sababu wengi kati yenyu ni wakogho na dhaifu, na baadhi yenyu wafwa.
\v 31 Ela dikakichunguza weni ndadihukumiwa.
\v 32 Ela dikahumiwagha ni Mzuri, didawujwa, ili disache hukumiwa andu amweri na dunia.
\v 33 Kwa huwo, kaka na dada rapwa, mkakwana mpate kuja, wesereanenyi.
\v 34 Mundu akika na njala, na aje nyumbenyi kwake, ilikwamba mkakwana andu amweri isake kwa hukumu. Na kuhusu malagho ghamwi mughaandikie, dimana waelekeza nikacha.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kuhusu karama ra ngolonyi, kaka na dada rapwa sikundi msowe kumanya.
\v 2 Mwamanyagha ya kuwa mrikogho wapagani mwalongoziwe kunugha sanamu risadedagha, kwa chia rorose mwalongo zigwe naro.
\v 3 Kwa huwo, nkundi mmanye kwamba ndakudae wowose adedagha kwa Ngolo wa Mlungu akideda, "Jesu wa Mzuri," isipokuwa katika Ngolo wa kuela.
\v 4 Basi kukona karama tofauti tofauti, bali ngolo ni ye uja.
\v 5 Na kukona huduma tofauti tofauti, bali Mzuri ni ye uja.
\v 6 Na kukona aina tofauti ra chaghu, ela Mlungu ni ye uja abonyagha chaghu rose katika wose.
\v 7 Basi kila umweri hunekigwa wafunuo gwa Ngolo kwa faida ya wose.
\v 8 Maana mundu amweri wanekigwa ni Ngolo idedo ja hekima, na umwi idedo ja maarifa kwa Ngolo uja eni.
\v 9 Kwa umwi humneka imani kwa Ngolo uja eni, na kwa umwi karama ya uhonyaji kwa Ngolo umweri.
\v 10 Kwa umwi matendo gha ndighi, na umwi wulodi. Na kwa umwi uwezo gwa kupambanua ngolo, umwi aina tofauti ra lugha, na kwa umwi tafsiri la lugha.
\v 11 Ela Ngolo ni uja eni abonyagha chaghu iri rose, kumneka kila mundu karama kwa kadiri ya uchaguzi gwake mweni.
\v 12 Kwa maana sa wuja muwi ni umweri, nao ukona vilungo vingi, na vilungo vose ni va muwi uja eni, woruwo huwo na Kristo.
\v 13 Kwa maana katika Ngolo umweri isi wose dabatiziwe kuka muwi umweri, kwamba dawayahudi angu wayunani, kwamba dawatumwa angu huru, na wose danyweshigwe Ngolo umweri.
\v 14 Kwa maana muwi si kilungo chimweri, bali ni vingi.
\v 15 Ikika kughu dimakwadeda, "Kwa wuja nyi si mkomu, nyi si sehemu ya muwi, iyo ndaijibonyagha kutokuwa sehemu ya muwi.
\v 16 Na ikika kudu dima kwadeda, "kwa wuja nyi si iriso, nyi si sehemu ya muwi," iyo ndaijibonyagha kutokuwa sehemu ya muwi?
\v 17 Ngelo muwi gwose dimagwaka iriso, kumacha kwaka hao kusikira? ngelo muwi gwose ghukaka kudu, kumacha hao kunusa?
\v 18 Ela Mlungu wawikie kila kilungo cha muwi andu kwake sa andu wapangie mweni.
\v 19 Na ngelo vose kumacha vaka kilungo chimweri, muwi kumacha gwaka hao?
\v 20 Huwo idana vilungo ni vingi, ela muwi ni umweri.
\v 21 Iriso ndajidimagha kuughoria mkonu, "sidae haja na we." Wala chongo nda chidimagha kughaghoria maghu sidae haja na inyo."
\v 22 Ela vilungo va muwi viwonekagha kuka na heshima kidogo vidahitajika zaidi.
\v 23 Na vilungo va muwi didhanii vikona heshima kidogo, dida vineka heshima zaidi, na vilungo vedu visadae mvuto vikona kuboa zaidi.
\v 24 Na idana vilungo vedu heshima, kwa wuja tayari vikona heshima. Ela Mlungu wavilunganisha vilungo vose andu amweri, na wavineka heshima zaidi vija visa heshimiwaa.
\v 25 Wabonyie huwo ili kusake na mwaghanyiko katika muwi, bali vilungo vose vitunzane kwa lukundo lwa umwri.
\v 26 Na makati kilungo chimweri chikavirika, vilungo vose vavarika andu amweri. Angu makati kilungo chimweri chikaheshimiwa, vilungo vose viboiwe andu umweri.
\v 27 Idana inyo ni muwi gwa Kristo, na vilungo kila chimweri chenikeri.
\v 28 Na Mlungu wawikie katika nyumba ya Mlungu wosi tume, kawi walodi, kadadu waalimu, kisha waja wose wabonyagha matendo mabaha, kisha karama ra uponyaji, waja wasaidianagha, waja wabonyagha chaghu cha kulongoza, na wose wakoo na aina tofauti ra lugha.
\v 29 Je isiwose da walodi? isi wose dawa loli? isi wose da waalimu? Je isi wose didabonya matendo gha miujiza?
\v 30 Je isi wose dikona karama ya uponyaji? isi wose didaaria kwa lugha? isi wose dida tafsiri lugha?
\v 31 Lolenyi nanganyi karama rikoo mbaha. Nanyi dima nawaonesha chio ikoo bora zaidi.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Didede kwamba ndadeda kwa lugha ra wadamu na ra malaika. Ela ngelo sidae lukundo, naka shaba ililagha angu upatu uvumagha.
\v 2 Na kwamba nkona karama ya walodi na ufahamu gwa loli rivisikie na maarifa, na kwamba nkonayo imani ya kusamira lughogho. Ela ngelo sidae lukundo, nyi si kilambo.
\v 3 Na didede kwamba ndafanya milki yapwa gwapwa ili nikorwe modo. Ela ngelo sidae lukundo, ndainifaidiagha kilambo.
\v 4 Lukundo huririmira na hufadhili. Lukundo ndakusifu angu kukivuna. Ndaludae kiburi.
\v 5 Angu ukorofi. Ndalulolagha malagho ghake, ndaluwonagha uchungu karuwaruwa, wala ndautalagha ghazamie.
\v 6 Ndaluboiwagha na udhalimu. Badala yake, huboiwa katika loli.
\v 7 Lukundo huririmira malagho ghose, huamini malagho ghose, lukona ujasiri katika malagho ghose, na hustahimili malagho ghose.
\v 8 Lukundo huririmira ndalukomagha. Ikika kukona walodi, wose dimagwaida. Ikika kukona lugha, dimarakoma. Ikika kukjo na maarifa, dimaghaida.
\v 9 Kwa wuja didamanya kwa sehemu na didabonya walodi kwa sehemu.
\v 10 Ela ikacha ija kamili, ija iseko kamili dimayaida.
\v 11 Nirikogho mwana, nadedie sa mwana, natenganyie sa mwana, naamua sa mwana. Nirikogho mundu mlanzi, nawikie kula nanyi malagho gha kiwana.
\v 12 Kwa wuja idana didawona wushu kwa wushu. Iji aha ndamanya kwa sehemu, ela makati ghaja dinamanya nanganyi ngelo na nyi nimanyi kanagha nanganyi.
\v 13 Ela idana malagho agha adadu ghadadumu: Imani, tumaini jichagha, na lukundo. Ela jikoo baha zaidi ya agha ni lukundo.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Lulolenyi lukundo na kutamani nanganyi karama ra ngolonyi, zaidi nanganyi mpate kufunya walodi.
\v 2 Maana ye adadedagha kwa lugha ndadedagha na wandu bali hudeda na Mlungu. Maana ndakudae aelewagha kwa sababu adeda malagho gha visikie katika Ngolo.
\v 3 Ela ye afanyagha walodi, adeda na wandu na kuwaagha, kuwakumba ngolo, na kuwafariji.
\v 4 Ye adedagha kwa lugha hakiagha mweni, ela ye afunyagha walodi haiagha nyumba ya Mlungu.
\v 5 Idana ndatamani kwamba inyo wose mdede kwa lugha. Ela zaidi ya agho, ndatamani ya kwamba mfunye wulodi. Ye afunyagha walodi ni mbaha kuliko ye adedagha kwa lugha (labda akeweko wa kutafsiri), ili kwamba nyumba ya Mlungu ipate kuagwa.
\v 6 Ela idana, kaka na dada rapwa, nikicha kwenyu na kudeda, isipokuwa ndadeda na inyo kwa chia ya wafunuo, angu kwa chia ya maarifa, angu walodi, angu kwa chia ya ifundisho.
\v 7 Ikika vilambo visadae uhai sa filimbi angu kinubi vikalemwa kufunya sauti rikoo na tofauti, dima yatambulika wada ni chombo ki chidavinwa?
\v 8 Kwa maana ikika kwagumu dimayafunya sauti isamanyikanagha, ni jinsi ki mundu dimawamanya ya kuwa nitaimu ya kukiandaa kwa kondo?
\v 9 Woruwo huwo na inyo, mkafunya kwa lumi idedo jisijo dhamiri, ni jinsi ki mundu dimawaelewa mchidedagha? Dimamwaka mkiaria, na ndakudae awaelewagha.
\v 10 Ndakudae shaka kwamba kuko lughonyingi tofauti dunienyi, na ndaakudae hata imweri isadae maana.
\v 11 Ela ikika siichi maana ya lugha, dimanaka mghenyi kwake ye adedagha, na ye adedagha dimawaka mghenyi kwapwa.
\v 12 Woruwo huwo na inyo. Kwa wuja mdatamani nanganyi kuwona udhi hirisho gwa Ngolo, kundenyi kwamba mzidi nanganyi kiagha nyumba ya Mlungu.
\v 13 Huwo, ye adedagha kwa lugha na alombe anekigwe kutafsiri.
\v 14 Kwa maana nikalomba kwa lugha, ngolo yapwa kulomba, ela akili rapwa ndaridae matunda.
\v 15 Nibonyei? Dimanatasa kwa ngolo yapwa, ela pia dima natasa kwa akili rapwa. Dimanabora kwa ngolo yapwa, na dimanabora kwa akili rapwa pia.
\v 16 Vinginevyo, ukamsifu Mlungu kwa ngolo, ye akoo mghenyi dimawaitikia wada "Amina" andu afunyagha shukurani, akika ndaghamanyagha udedagha?
\v 17 Maana ni loli we udashukuru vema, ela uja umwi ndaaghagwa.
\v 18 Ndamshukuru Mlungu kwa wuja nadeda kwa lugha zaidi ya inyo.
\v 19 Ela katikanyumbaya Mlungu ya heri nidede madedo asanu kwa ufahamu gwapwa ili nipate kwafundisha wamwi, zaidi ya kudeda madedo kumi elfu kwa lugha.
\v 20 Kaka na dada rapwa, msake wana katika kutenganya kwenyu. Badala yake, kukusiana na ghazamie, kenyi sa wana wakoho. Ela katika kuteganya kwenyu mkake wandu walanzi.
\v 21 Yaandikigwa katika sheria, "Kwa wandu waa lugha imwi na kwa momu ya waghenyi dimanadeda na wandu awa. Wala hata huwo ndawanisikira," adeda Mzuri.
\v 22 Huwo, ndimi ni ishara, sio kwa waamini, bali kwa wasaamini, bali kwa ajili yawe waaminii.
\v 23 Aya, ikika nyumba ya Mlungu yose ya Mzuri andu amweri na wose wadede kwa lugha, na waghenyi na wasaamini wangia, Je ndawadimaa kudeda kwamba mkona wazimu?
\v 24 Ela akika wose mdafunya walodi na asaaminii angu mghenyi akangia, dimawashawishiwa na ghose aghasiragha. Dimawahukumiwa na ghose ghadedwagha.
\v 25 Viviso va moyo gwake kumachavafunukulwa. Matokeo ghake, kumachawagwa kifudifudi na kumtasa Mlungu. Kumacha wakiri ya kwamba Mlungu ako kati yenyu.
\v 26 Indoi chinughiriagha basi, kaka na dada rapwa? mkwanagha andu amweri, kila umweri akona zaburi, mafundisho, mafunuo, lugha angu tafsiri. Bonyeni kila kilambo ili kwamba muiaghe nyumba ya Mlungu.
\v 27 Ngelo wowose adadeda kwa lugha, wakeweko wawi angu wadadu, na kila umweri katika zamu. Na mundu lazima atafsiri chidediwe.
\v 28 Ela ngelo ndakudae mundu wa kutafsiri, basi kila umweri wawe ake kimumure ndenyi ya nyumba ya Mlungu. Basi kila umweri aarie mwenikeri na Mlungu.
\v 29 Na walodi wawi angu wadadu wadede, na wamwi wa sikirie kwa kupambanua chidediwe.
\v 30 Ela ujawakee akafukunulwa ilagho katika huduma, uja ambae wakogho adadeda na anyame kima.
\v 31 Kwa wuja kila umweri wenyu adadima kufunya wulodi umweri baada ya umwi ili kwamba kila umweri adime kukifunza na wose wadime kukumbwa ngolo.
\v 32 Kwa wuja ngolo na walodi riko ndonyi ya waangalizi wa walodi.
\v 33 Kwa wuja Mlungu sio Mlungu wa machafuko, bali wasere. sa ande yeko katika nyumba ra Mlungu rose ra waaminii.
\v 34 Yawapasa wandu waka wake kimumure katika nyumba ya Mlungu. Kwa wuja ndawaruhusiwagha kuaria. Badala yake, wadapaswa kuka katika unyenyekevu, sa andu pia sheria idedagha.
\v 35 Ngelo kuko chochose wadatamani kukifunza, basi wawakotie womi wawe nyumbenyi. Kwa wuja ni whaya kwa mndumka kuaria katika nyumba ya Mlungu.
\v 36 Je idedo ja Mlungu jafumie kwenyu? Je jawafikia inyo tu?
\v 37 Ngelo mundu akakiwona kuwa wa mlodi angu wa ngolonyi idampasa aghamanye malagho ndiwaandikiagha ya kwamba ni maagizo gha Mzuri.
\v 38 Ela akalemwa kumanyagha, msighenyi asamanywe.
\v 39 Huwo basi, kaka na dada rapwa, kundenyi nanganyi kufunya walodi, na msamzuie mundu wowose kudeda kwa lugha.
\v 40 Ela malagho ghose ghabonyeke kwa uzuri na kwa utaratibu.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Idana ndawakumbusha, waka dada na wa kaka, ighu ya injili niwahubirie, ambawo mwawokerie na kukakimsi kwa iyo.
\v 2 Ni katika ijili ihi mwatesiwa, ngelo mkajwada imara idedo niwahubirie inyo, isipokuwa mwaaminie utu.
\v 3 Sa andu kwanza naiwokerie kwa umuhimu nairedie kwenyu sa andu yeko: kwamba kufumana na maandiko, Kristo wa kwa ajili ya dhambi redu,
\v 4 Kufumana na maandiko warikiwe, na kwamba wafufukiruwa ja kadadu.
\v 5 Na kwamba wamfumie kefa, kisha kwa kwawaja kumi naiwi.
\v 6 Kisha wawafumie kwa makati amweri waka kaka na waka dada zaidi ya maghana asanu. Wengi wawe bado weko hai, ela baadhi yawe watungura dilo.
\v 7 Kisha wamfumie Yakobo, kisha walodi wose.
\v 8 Mwisho gwa yose, wanifumia nyi, sa wuja kwa mwana wa valwe katika makati ghaseko sahihi.
\v 9 Kwa wuja nyi na mtinyi kati ya walodi. Sistahili kuwangwa mtume, kwa sababu naitesie nyumba ya Mlungu.
\v 10 Ela kwa neema ya Mlungu neko sa andu neko, na neema yake kwapwa ndaikogho utu. Badala yake, nabonyie bidii kuliko wose. Ela ndaikogho nyi, bali neema ya Mlungu ikoondenyi yapwa.
\v 11 Kwa huwo ngelo ni nyi angu wo, didahubiri huwo na didaamini huwo.
\v 12 Idana ngelo Kristo wahubiriwa sa wafufukie kwa wafwie, ikewada baadhi yenyu mdede ndakudae ufufuo gwa wafwie.
\v 13 Ela ngelo ndakudae ufufuo gwa wafwie, basi hata Kristo pia ndafufukie.
\v 14 Na ngelo Kristo ndafufukie, huwo mahubiri yedu ni utu, na imani yenyu ni utu.
\v 15 Na dapatikana kuka mashahidi watee kumhusu Mlungu, kwa sababu damshuhudia Mlungu kinyume, kudeda wamfufua Kristo, makati ndamfufue.
\v 16 Ngelo ikika wafwie ndawafufuliwagha, Jesu pia ndafufuliwe.
\v 17 Na ngelo Kristo ndafufuliwe, imani yenyu ni utu na bado mko dhambinyi renyu.
\v 18 Huwo hata waja wafwie katika Kristo pia waangamia.
\v 19 Ikika kwa maishaagha ghenikeri dikona ujasiri kwa matuku gha chagha ndenyi ya Kristo, wandu wose, isi niwa kuwoniwa mbazi zaidi ya wandu wose.
\v 20 Ela idana Kristo wafufuka kufuma kwa wafwie, matunda gha kwanza gha waja wafwie.
\v 21 Kwa wuja kifwa chacha kuidia mdamu, pia kuidia mdamu ufuagwa wafwie.
\v 22 Kwa wuja ngelo katika Adamu wose wadafwa, huwo pia katika Kristo wose wadabonywa hai.
\v 23 Ela kila jimweri katika mpango gwake: Kristo, matunda gha kwanza, na kisha waja wakoo wa Kristo dimawabonywa hai makati gha kucha kwake.
\v 24 Niko dimawaka mwisho, aja Kristo achakabidhi ufalme kwa Mlungu Aba. Ihi ni aja achakomesha utawala gwose na mamlaka yose na ndighi.
\v 25 Kwa wuja lazima atawale mpaka achawika walaghelaghe wake wose ndonyi ya chwao rake.
\v 26 Mlaghe laghe wa mwisho kunonoigwa ni kifwa.
\v 27 Kwa wuja "Wawika kila kilambo ndonyi ya chwao rake." Ela ikadeda "wawikakila kilambo," ni wazi kwamba ihi ndaihusisha waja wawikie kila kilambo ndonyi yake mweni.
\v 28 Makati vilambo vose vawikigwa ndonyi kwake ye ambae waviwika vilambo vose ndonyi yake. Ihi dima yafumiria ili kwamba Mlungu Aba akeghose katika vose.
\v 29 Angu pia dimawabonyai waja wabatiziwe kwa ajili ya wafwie? ngelo wafwie ndawafufuliwa kabisa, kwa indoi sena wadabatizigwa kwa ajili yawe?
\v 30 Na kwaindoi diko katika hatari kila taimu?
\v 31 Kaka na dada rapwa, kidia kukisifu kwapwa katika inyo, ambayo nko nayo katika Kristo Jesu Mzuri wedu, ndatangaza huwu: ndafwa kila siku.
\v 32 Idanifaidia indoi, katika mguwo wa wadamu, ngelo nakabana na wanyamandu wabirie huko Efeso, ngelo wafwie ndawafufuliwa? "Sigha na kunywa, kwa wuja ikesho didafwa."
\v 33 Msaembiwe: "Makundi ghazamie ghadanona tabia iboie.
\v 34 "Mke na kiasi! mke katika hachi! msaendelee maarifda gha Mlungu. Ndadeda huwu kwa waya gwenyu.
\v 35 Ela mundu umwi dimawadeda, "Jinsi ki wafwie wadafufulwa? Na wo dimawacha na aina ki ya muwi?"
\v 36 We wakelie nanganyi! chija uwae ndachidimagha kuwoka kuzoghua isipokuwa chafwa.
\v 37 Na chija uwagha sio muwi ambagho dimagwa zoghua, bali ni mbeu ibukie. Idimagha kuka ngano angu kilambo chimwi.
\v 38 Ela Mlungu dimawaineka muwi sa andu akundii, na katika kila mbeu muwi gwake mweni.
\v 39 Miwi yose ndaifwanana. Isipokuwa, kuko muwi umweri wa wadamu, na muwi ghumwi gwa wanyamandu, na muwi ghumwi gwa wanyonyi, na umwi kwa ajili ya samaki.
\v 40 Pia kukona miwi ya mbingunyi na miwi ya dunienyi. Ela utukufu gwa miwi ya Mbingunyi ni aina imweri na utukufu gwa dunienyi ni ghumwi.
\v 41 Kuko na utukufu gwa iruwa, na utukufu ghumwi gwamweri, na utukufu ghumwi gwa nyenyeri. Kwa wuja nyenyeri imweri idatofautiana na nyenyeri imwi katika utukufu.
\v 42 Huwo niko uko pia ufufuo gwa wafwie. Chiwagwa chidanoneka, na chibukagha ndachinonekaa.
\v 43 Chawalwa katika matumizi gha kawaida, cjidabukishwa katika utukufu. Chawalwa katika ghudhaifu, chidabukishwa katika ndighi.
\v 44 Chawalwa katika muwi gwa asili, chidabukishwa katika muwi gwa kingolo. Ngelo kuko muwi gwa asili, kuko muwi gwa kingolo pia.
\v 45 Huwo pia yaandikigwa, "Mundu wa kwanza Adamu wa bonyekie ngolo iishii." Adamu wa mwisho wabonyekie ngolo ifunyagha uhai.
\v 46 Ela wa kingolo ndachee kwanza bali wasili, na kisha wa kingolo.
\v 47 Mundu wa kwanza ni wa dunia, waaghiwe kwa mavumbi mundu wa kuwi adafuma mbingunyi.
\v 48 Sa uja waaghiwe kwa mavumbi, huwo pia waja waaghiwe kwa mavumbi. Sa wuja mundu wa mbingunyi andu weko, huwo pia waja wa mbingunyi.
\v 49 Ngelo ambavo adadwa mfwano gwa mundu wa mavumbi, dimadadwa mfwano pia gwa mundu wa mbingunyi.
\v 50 Idana ndawaghoria, kakana dada rapwa, kwamba muwi na bagha ndavidimagha kuupala ufalme gwa Mlungu. Wala wa kumneka kupala wa kutomneka.
\v 51 Guwa! ndawaghoria inyo kiviso cha loli: Ndadifwagha wose, bali wose dimadabadilishwa.
\v 52 Dima dabadilishwa katika makati, katika kufumba na kufumbua kwa iriso, katika igunda ja mwisho. Kwa wuja igunda dimajalila, na wafwie dimawafufuliwa na hali ya kutononeka, na dimadabadilishwigwa.
\v 53 Kwani ughu gwa kunoneka lazima urwegwa kutononeka, uhu gwa kufwa lazima ghurwe gwa kutokufwa.
\v 54 Ela makati agha gwa kunoneka ghukirwishawa gwa kutononeka, na ughu gwa kufwa ghukishwa gwa kutokufwa, niko dimagwacha mdedo ambagwo gwaandikigwa, "Kifwa chamilwa katika ushindi."
\v 55 "Kifwa, ushindi gwako hao? kifwa, uko hao uchungu gwako?"
\v 56 Uchungu gwa kifwa ni dhambi, na ndighi ya dhambi ni sheria.
\v 57 Ela shukurani kwa Mlungu, adinekagha isi ushindi kuidia Mzuri wedu Jesu Kristo!
\v 58 Kwa huwo, wakundwa kaka na dada rapwa, kenyi iniara na msatikisike. Daima ibonyeni kazi ya Mzuri, kwa sababu mdaichi kuwa kazi yenyu katika Mzuri sio utu.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Idana kuhusu michango kwa ajili ya waumini, sa andu naelekeza nyumba ra Mlungu na Galatia, woruwo huwo mdapaswa kubonya.
\v 2 Katika iruwa ja kwanza ja wiki, kila umweri wenyu awike kilambo fulani mbai na kuchihifadhi, ngelo mdimagha. Bonyeni huwo ili kwamba kusake na michango makati nikicha.
\v 3 Na nikafika, wowose mumsaghuagha, dima namduma andu amweri na barua kufunya sadaka yenyu uko yerusalemu.
\v 4 Na ngelo ya sahihi kwa nyi kughenda pia, dima waghenda andu amweri na nyi.
\v 5 Ela dimanacha kwenyu, makati ndaidia makedonia. Kwa wuja dima naidia makedonia.
\v 6 Labda nadima kuka na nyi angu hata kumeria majira gha mbeo, ili kwamba mdime kuni tawaria katika charo chapwa, kokose nighendagha.
\v 7 Kwa wuja sitarajiagha kuwawona ijiaha kwa muda mvui. Kwani ndatumaini kuka na inyo kwa taimu fulani, ngelo Mzuri dimawaniruhusu.
\v 8 Ela dima naka Efeso mpaka pentekoste,
\v 9 Kwa wuja mjango mshabwa warughurwa kwa ajili yapwa, na kuko walaghe laghe wengi wani pingagha.
\v 10 Idana makati Timotheo akicha, mwonenyi kwamba weko na inyo pasipo kuboa, adabonya kazi ya Mzuri, sa andu nabonya.
\v 11 Mundu wowose asammenye. Mumtawarie katika chia yake kwa sere, ili kwamba adime kucha kwapwa. Kwa wuja ndamtarajia ache andu amweri na wambari.
\v 12 Idana kuhusiana na mmbari wandu Apolo. Namkumbie ngolo nanganyi kuwatembelea inyo andu amweri na wambari. Ela waamua kutokucha kwa ijiaha. Hata huwo dimawacha makati akona nafasi.
\v 13 Mke meso, kenyi kimsi imara, mbonye kama wanduwomwi, mke na ndighi.
\v 14 Basi ghose mghabonyagha ghabonyeke katika lukundo.
\v 15 Mdaichi kaya ya stefania. Mdaichi kwamba wakogho waaminiwa kwanza uko Akaya, na kwamba wa kiwika weni hudumenyi ya waumini. Na ijiaha ndawasihi, kaka na dada rapwa,
\v 16 Kenyi wanyenyekevu kwa wandu sa avo, na kwa kila mundu atawariagha katika chaghu na wabonya kazi andu amweri na isi.
\v 17 Na ndaboiwa kwa ujio gwa stefania, Fotunato, na Akiko wakakimsi andu ambako inyo kumacha mwapaswa kuka.
\v 18 Kwa wuja waiboisha ngolo yapwa na yenyu. Kwa huwo idana, wamanyeni wandu sa awa.
\v 19 Nyumba ra Mlungu ra Asia ghaduma salamu kwenyu Akila na Priska wadamisalimu katika Mzuri, andu amweri na nyumba ya Mlungu ikoo nyumbenyi kwawe.
\v 20 Kaka na dada rapwa wose wadawasalimu. Salimianenyi kwa ibusu eli.
\v 21 Nyi, Paulo, ndaandika huwu kwa mkonu gwapwa.
\v 22 Ngelo wowose ndamkundi Mzuri, basi laana ike ighu yake. Mzuri wedu, cho!
\v 23 Neema ya Mzuri Jesu ike na inyo.
\v 24 Lukundo lwapwa luke andu amweri na inyo katika Kristo Jesu.

523
48-2CO.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,523 @@
\id 2CO
\ide UTF-8
\h 2 Corinthians
\toc1 2 Corinthians
\toc2 2 Corinthians
\toc3 2co
\mt 2 Corinthians
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo mlodi wa Kr4isto Jesu kwa lukundo wa Mlungu na Timotheo mmbari wedu kwa ikanisa ja Mlungu. Jiko korintho na waumini wose weko kwa mkoa wose Akaya.
\v 2 Neema ndaike kwenyu na amani kufuma kwa Mlungu Aba wedu na Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 3 Na atogolwe Mlungu wa Aba wa Mzuri Jesu Kristo yee ni Aba wa rehema na Mlungu wa faraja rose.
\v 4 Mlungu wadifariji isi kwa mateso ghedu ghose ili kughora didime kuwafariji waja weko kwa mateso dwafariji wazina kwa faraja ijaeni ambayo Mlungu waidimie kudifariji isi.
\v 5 Kwa andu kama vuja mateso gha Kristo ghachurikana kwa ajili yedu. Huvo faraja yedu yachurikana kuidia Kristo.
\v 6 Ela kama dagaishigwa ni kwa ajili ya faraja yedu na weokovu gwedu, na kama dadafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenyu. Faraja yenyu idabonya chaghu nicha mkishiriki amaghesho kwa kurumaghia kama isi pia ditesekaa.
\v 7 Na ujasiri wedu ighu yenyu ni thabiti. Daichi kughora kama vuja ambawo mdashiriki maghesho huvo huvo mdashiriki faraja.
\v 8 Kwa andu ndakikundi inyo muke wakelu, wambari kuhusu maghesho diko nagho uko Asia. Davonereriwe sana na vuja didimaa kudwa., hata kwamba ndadirikogho hata na matumaini gha kuka sena.
\v 9 Loli dakogho na hukumu ya kifwa ighu yenyu. Ela iyo yakogho ni yakudibonya isi disake na tumaini ighu yenyu inyo veni. Badala yake divike matumaini kwa Mlungu, afufuagha vyafuie.
\v 10 Wadiokoliye isi kufuma agho maafa na kifwa na adiokoagha sena diwike ujasiri wedu kwa yee na kughora adikombolagha sena.
\v 11 Abonya huwu kama vuja inyo pia mditawaliagha kwa kulomba ghunyu. Huvo wengi wafunyaa shukrani kwa ajili yedu kwa ajili ya lukundo lwa neema danekwa isi kuidia kulomba kwa wengi.
\v 12 Dajivunia ili ushuhuda gwa dhamiri yedu kwa andu ni kwa nia iboie na usafi wa Mlungu kughora daghee weni kwa isanga. Dabonya huvu hasa na inyo na sio kwa rehema ya isanga ela badala yake ni kwa neema ya Mlungu.
\v 13 Ndadivandikia jojose ambacho damdimagha kusoma au kumanya niko na ujasiri.
\v 14 Kwamba kwa luvande mwameria kumanya na mko na uja siri kwamba kwa iruva Mzuri Jesu dikaa sababu yenyu kwa ajili ya kiburi chenyu, kama andu mkagha kwedu.
\v 15 Kwa kuwa nakogho na ujasiri kuhusu iji nakundieghe kucha kwenyu kwanza ili kughora mdime kuvokera faida ya kuseliwa mara kavi.
\v 16 Nakogho napanga kuwasekia wakati nikighenda makedonia. Sena nakundiagha kuwaselia sena nikuvuya kufuma makedonia na sena inyo kunitumia wakati nikighenda uyahudi.
\v 17 Nirikogho nikitenganya namna ihi, je, nakogho na sitasita? Je nipanga malagho vya kudumu ili kughora nidede ni loli na sikundi kwa wakati ghumweri.
\v 18 Ela kama vuja Mlungu eko mwaminifu," Ndadidekagha ghose" Ndiyo" na "ndadikundi."
\v 19 Kwa andu mwana wa Mlungu Jesu Kristo ambaye Silvano, Timotheo nanyi ndadimtangazie ghadi yenyu. Sio "Loli" na "Ndadikundi." Badala yake yee wakati wose ni" loli."
\v 20 Kwa andu ahadi ni Mlungu ni "loli" kwa yee. Huvo pia kuidia yee dadeda "Amina" kwa utukufu wa Mlungu.
\v 21 Idana ni Mlungu ambae dasibitishwa isi andu amweri naye kwa Kristo, na wadidiumie isi.
\v 22 Wavikie mhuri ighu yedu na wadinekie ngolo kwa ngolo redu kama dhamana ya jija ambajo.
\v 23 Bada yake namsihi Mlungu kushuhudia nyii kwa sababu inibonyie nisacha Korintho ni kwamba nisavalemee inyo.
\v 24 Ihi sio kughora dagheria kuhakiki jinsi imani yenyu ikundigwi kuka. Badala yake dabonya andu amweri na inyo kwa ajili ya faraja yenyu kama mkaghakimbi kwa imani yenyu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa andu naamuye kwa luvande lwapa nyiwani kughora sachaa sena kwenyu kwa hali ya uchungu.
\v 2 Kughora nawasabababishiagha nyii ela ni uja ambae wawarigwa na nyii?
\v 3 Naandikie kama nabonya niboiwe nikonagho ujasiri kuhusu inyo wose kughora raha yapwa ni saha ijaija mkonago inyo wose.
\v 4 Kwa andu nawaandikie inyo kufumana na maghesho mbaha na dhiki ya ngolo na mbori nyingi sikundie kuwabonya inyo maumivu. Badala yake nakundie mmanye lukundo lwakila ni nikonago kwa ajili yenyu.
\v 5 Kama koko wowose wasababisha maumivu, ndewasababishi tu kwapwa. ela kiwango fulani bila kubonya kubia kwenyu inyo wose.
\v 6 Iyo adhabu ya mndu uyo kwa wengi idatosha.
\v 7 Kwa huwo nawakumba badala ya adhabu, yakundi kumsamehe na kumfariji. Banyeniji huvu ili kughora asadime kulemwa na uchungu gwazidi.
\v 8 Kwa huwo nawakumba ngolo kuthibitisha lukundo wenu wazeni kwa ajili yake.
\v 9 Ihi niyo sababu naandika, ili kughora nidime wagheria na kumanya kua kama ni kwa kila kilambo.
\v 10 Kama mkamsamehewowose na nyii pia msamehe mndu uyo. Chija nachisamehe kama nasamehe chochose-chasamehewa kwa faida yenyu kwa kuwa uwepo gwa Kristo.
\v 11 Ihi ni kughora shetani asache akadibonyia tee kwa andu isi sio wajinga kwa mipango yake.
\v 12 12 Mjango gwarughulwa kwapwa na Mzuri nikicha kwenyu isanga ja Troa kuihubiri injili ya Kristu aja.
\v 13 Hata huvo sikogho na imani ya ngolo kwa andu simdokie mmbari wapwa Tito aja huwo nawasighie na kuvuja makedonia.
\v 14 Ela atogoliwe Mlungu, ambaye kwa Kristo mara ghose wadilongozaga isi kwa ushindi kuidia isi dagotesha harufu iboie ya maarifa ghake andu kose.
\v 15 Kwa andu isi kwa Mlungu, ni harufu iboie ya Kristo wose ghadi ya waja waokolewe naghadi ya waja wanonekiwagha.
\v 16 Kwa wandu ambagho wanonekiwaga ni harufu kufuma kifwa hadi kifwa, kwa waja waokolewa gha, ni harufu iboie kufuma vulazi. Ni ani aboie vindu ivi?
\v 17 Kwa kua isi sio kama wandu wazima wadaghagha idedo ja Mlungu kwaa faida, Badala yake kwa kuboa kwa nia dadeda kwa Kristo, kama vuja dadumwa kufuma kwa Mlungu imbiri ja Mlungu.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Je, daanza kukitogola venisena? ndadikundi barua ya mapendekezo kwenyu au kufuma kwenyu kama baadhi ya wandu, je, dakundi?
\v 2 Inyo veni niborua yedu ya mapendekezo yaandikwa kwa ngolo redu. Imanyikaga na kusomwa na wandu wose.
\v 3 Na mdabonyera kuwa inyo ni barua kufuma kwa wina bali kwa ngolo wa Mlungu eko banana ndaianikwe ighu ya vibao va magwe bali ighu ya vibao ngolo ya vadamu.
\v 4 Na ighu nigho ujasiri deko ngogho kwa Mlungu kuidia Kristo.
\v 5 Ndadikiamini Veni kwa kudai chochose kama kufuma kwenyu, badala yake kukiamini kwedu kwela fuma kwa Mlungu.
\v 6 Ni Mlungu ambae wadibonya didime kuka watumishi wa ilagano ipya. Iji ni ilagano sio kwa barua bali ni ja ngolo, kwa kua barua yabwaghagha ela ngolo idafunya banana.
\v 7 Idana chaghu cha kifwa irikogho ichongiwe kwa herufi ighu ya magwe yachee kwa namna ya utukufu kwamba wandu wa israeli ndewaguwie imweri kwa imweri kuko wushu wa Mlungu gha Mussa. Ihi ni kwa sababu ya utukufu wa wushu gwake, utukufu ambagho gwakoo gwa afwa.
\v 8 Je, chago cha ngolo ndachikagha na utukufu nicha.
\v 9 Kwa andu kama huduma ya hukumu yakogo na utukufu ni mara ilingo zaidi huduma ya hachi kuisiriza sana kwa utukufu.
\v 10 Ni loli kughora, chija cha bonyigwa utukufu kwanza ndachidae utukufu sena kwa heshima ihi kwa sababu ya utukufu gwazidi.
\v 11 Kwa kua kama chija ambacho cha ida chakoo na utukufu!
\v 12 Kwa kua dakiamini huvo, dikona ujasori sana.
\v 13 Ndadiko kama Musa, avikie utaji ighu ya usu wake, ili kugora wandu wa israeli wasadime kuguva imweri kwa umweri kuko mwisho gwa utukufu ambago gwakogo ghudalaghaya.
\v 14 Ela manyenyi izao jakogo chafungwa, hata mpaka iruva iji utaji ghufunyigwe bado ghudasangalika ighu ya usu msomaji wa igono ja kala. Ndaisire kuwikwa mwari, kwa kuwa ni kwa Kristo mweni ainjiwe kula.
\v 15 Ela hala linu, wakati ghoghose musa asomigwa utaji ndegukaa ighu ya ngolo yawe.
\v 16 Ela mundu akighuka kwa Mzuri, utaji adachinjiwa.
\v 17 Idana Mzuri ni ngolo, kuko na ngolo wa Mzuri kuko uhuru.
\v 18 Idana isi wose, andu amweri na usu riwawikie utaji, ndawonagha utukufu ga Mzuri. Dabadilishwa gwa ndenyi ya mvonekano waghinja ghuja wa utukufu kufuma shahada imweri ya utukufu kughenda zima, kama ikogho kufuma kwa Mzuri, ambae ni ngolo.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kwa andu kwa sababu dikona huduma ihi na ambao daivokera rehema ndadikata tamaa.
\v 2 Badala yake dalegha chia rose ra waya na. Rikivisiye reni wa dhamira ya kila mundu imbiri ya Mlungu.
\v 3 Ela kama injili yedu yakivisee, yakivisie kwa waja tu wanonekiwaa.
\v 4 Kwa kusaghua kwawe, Mlungu wa isanga iji wawaima fahamu rawe risaamini matokeo ghake dawadimaa kuvona mwangaza gha injili na utukufu gwa Kristu ambaye ni mfano gwa Mlungu.
\v 5 Kwa kuwa ndakinuagha isi weni, bali Kristo Jesu kama Mzuri na isi weni kama watumishi wenyu kwa ajili ya Jesu.
\v 6 Kwa andu Mlungu nie ambaye wadedie, mwanga nguangazagha kufuma kirenyi, waangazie kwa ngolo redu, kufuma mwanga gwa maarifa gwa utukufu wa Mzuri kwa uwepo gwa jesu Kristo.
\v 7 Ela dekona hazina ihi kwa vombo vya ndoe, ili kughora imanyike kwa ndighi mbaha sana ni ya Mlungu na sio yedu.
\v 8 Dagaya kwa kila hali, ela lakizi dadingaishiwaa. Davona shaka ela ndadajali na kuinja tamaa.
\v 9 Dalegwa ela ni ndadisire kudagwa dadagwa ndonyi ela ndadibwagwaa.
\v 10 Maruva ghose didanulwa kwa muvi gwedu kifwa cha Jesu, ili kughora ulanzi Jesu uvonekane pia kwa mivi yedu.
\v 11 Isi diko banana maruva dafunyiwe kifwa kwa ajili ya Jesu, ili kughora ulanzi wa uwonekane kwa ajili ya mivi yedu ya kidamu.
\v 12 Kwa kughora, ihi kifwa kidabonya chaghu ndenyi yedu, bali ulanzi udabonya chaghu ndenyi yedu.
\v 13 Ela dikona ngolo ijaija ya imani kufwanana na chija cha andikigwa: "Naaminie na huwo nadedie, isi pia daamini, na huwo pia didadeda.
\v 14 Daichi kughora uja wa mfufua Mzuri Jesu pia adifufuagha isi andu amweri na inyo kwa uwepo wake.
\v 15 Kila kilambo ni kwa ajili yedu ili kughora kwa karidi ya neema idima kugota wa wandu wengi shukurani rizidi kuchurikana kwa utukufu gwa Mlungu.
\v 16 Huwo ndadinjaa tamaa, japokuwa kwa shighadi didakola, kwa ndenyi didabonyigwa upya iruva hadi iruv.
\v 17 Kwa kipindi ichi kivui, maghesho agha mavui ghadadiandaa isi kwa ajili ya umilele ghulemere gwa utukufu ghuasiriza vipimo vose.
\v 18 Kwa huwo ndadighuvagha kwa ajili ya vilambio ambavo vivonekanaa, bali kwa jili ya vilambo visevonekanaa. Vilamba didima kuvivona ni va muda tu bali vilambo deviwonekanaa ni vya milele.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Daichi kughora kama masikani gha isanga ambagho dakaa aho ghakanoneka dekonagho ighocho kufuma kwa Mlungu. Ighacho jisabonyiwagha kwa mikono ya wandu, bali ni ighacho ja milele kwa Mlungu.
\v 2 Kwa kuwa kwa hema ihi didawawa dikitamani kurushigwa kwa maskani ghedu mbingunyi.
\v 3 Dalamani kwa ajili ya ihi kwa kughora kuirwa dedivonekanaa kuwa deko kibigiri.
\v 4 Kwa hakika wakati deko ndenyi ya hema ihi dawawa dekiremeriwa, ndekundi kurumaghia badalla yake dakundi kurushigwa ili kughora chija chikogho chafwa chidime kumiligwa na ulanzi.
\v 5 Uja wadiandaa isi kwa kilambo ichi ni Mlungu, amba wadinekie isi ngolo kama ahadi ya chija chi chaa.
\v 6 Kwa hio mke na ujasiri maruva ghose, mke kughora wakati deko igha chonyi kwa miwi deko kula na Mzuri.
\v 7 Kwa kuwa dasela kwa imani sio kwa kuwona, kwa huvyo dekona ujasiri.
\v 8 Ni keba dike kula kufuma kwa muvi na ighachonyi andu amweri na Mzuri.
\v 9 Kwa huwo didaibonya kuwa ilengo jedu, kama ikiwa ighacho au kula dimendeze yee.
\v 10 Kwa andu lazima wose diwonane imbiri ya kifumbi cha hukumu cha Kristu ili kughora kila umweri adime kuwokera chija chimsittahili kwa malagho abonyie kwa muvi ikiwa ni kwa kuboa au kwa kuzama.
\v 11 Kwa hiyo kwa kumanya hufu ya Mzuri dawashawishi wandu jinsi diko ivonekana wazi na Mlungu nina tumaini kwa idamanyikana pia kwa dhamira renyu.
\v 12 Ndadigheriagha kuwashawishi inyo sena kuvona isi kama waloli, badala yake dawaneka inyo sababu ya kuringia kwa ajili yedu ili kughora mdime kua na jibu kwa waja wakinua kuhusu mwonekano ela sio chija kiko ndenyi ya ngolo.
\v 13 Kwa andu ikiwa kama duburukiwa na akili ni kwa ajili ya Mlungu na kama deko kwa akili redu timamu ni kwa ajili yenyu.
\v 14 Kwa kuwa lukundo ni Kristo wadishurutisha, kwa kua dekona uhakika na iji, kuwa mdu umweri wafwie kwa ajili ya wose na kwa huvo wose wafwie.
\v 15 Na Kristo wafwie kwa ajili ya wose ili kughora waja wasangalikaa wasangalike sena kwa ajili yao weni, badala yake lazima wasangalike kwa ajili yake yee ambaye wafwie na wafufukie.
\v 16 Kwa sababu ihi kuvoko ijiaha na kuendelea ndadimhukumu mndu kufwanana na viwango viwango vya wadamu, ingawa aho kiambiri dagurie Kristo wa namna ihi, ela iji aha ndadimhukumu wowose kwa namna ihi sena.
\v 17 Kwa huvo ikiwa mundu wowose weko ndenyi ya Kristo yee ni kiumbe kipya, malagho gha kala ghaida, guvenyi ghaka mpya.
\v 18 Vilambo vyose ivi vyafuma kwa Mlungu wekona upatanisho isi kwake mweni kuidia Kristo na wadinekie huduma ya upatanisho.
\v 19 Huvo ni luvande, kwa Kristo Mlungu wekona upatanisho ulimwengu gwake mweni, sio kutaliwa maghesho ghake dhidi ghake. Adedimikana gwedu ujumbe gwa lukundo.
\v 20 Kwa huvo dateuliwa kama wawakilishi wa Kristo, kama kughora Mlungu wakogho akibonya rufaa yake kuidia isi dawasihi inyo kwa ajili ya Kristo mpatanishwe kwa Mlungu.
\v 21 Wabonyie Kristo ake sadaka kwa ajili ya maghesho ghedu, yee ni yee ni ye ambae ndabonyie dhambi wabonyie huvu ili didime kubonya hachi ya Mlungu kwa yee.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Na kwa huvo kubonya chaghu andu amweri dawasihi inyo msavokere neema ya Mlungu kuseko matokeo.
\v 2 Kwa kughora wadeda, wakati gwakundwa nakogho masikini kwenyu, na kwa maruva gha wokovu nawatanyarie, guvenyi iji aha ni wakati gwa kundigwa, ghuvenyi iji aha ni iruva ja wokovu.
\v 3 Ndadivikagha igwe ja kungiria imbiri ya mndu wowose kwa kua ndadikundi huduma yedu iredigwe kwa sifa izamie.
\v 4 Badala yake didakihakiki weni kwa matendo ghedu ghose kwamba da vatumishi wa Mlungu da vatumishi wakee kwa vungu wa kurumaghia maghesho, dhiki, kukua kwa maisha.
\v 5 Kukabwa, vifungo, kondo, kwa kubbonya chaghu kwa bidii, kwa kuvosa dilo nakio kwa njala.
\v 6 Kwa kuela maarifa, kurumaghia, wema, kwa ngolo muelesho, kwa lukundo halisi.
\v 7 Da watumishi wake kwa ilagho ja loli, kwa ndighi ya Mlungu deko na silaha ya hachi kwa jili ya mkonu gwa kugia na wa kumosho.
\v 8 Dabonya chaghu kwa hekima na kumenyigwa, kwa kashfa na sifa, dahudumiwa kama watee na imbe da wa loli.
\v 9 Dabonya chaghu kana kughora ndadimanyikaa na imbe dimanyikaa nicha didabonya chaghu kama wafwaa na guva bado dikaiyagha didabonya chaghu kama watesiwaa kwa ajili ya matendo ghedu ela sio kama wahukumiwa hata kufwa.
\v 10 Dabonya chaghu kama wekona masikitiko ela maruva ghose dekona raha dabonya chaghu kama masikini, ela dilajirishaa venge dibonyaa chaghu kana kughora ndadipataa kilambo bali kama didamiliki kila kilambo.
\v 11 Dadedie uloli wose kwenyu, Wakorintho, na ngolo yedu yafunguka kwa ubaha.
\v 12 Ngolo redu ndaizuiwagha na isi bali mngiwaa na ni hisia renyu weni.
\v 13 Idana kwa kuwangusa kwa hachi nidadeda kama kwa wanake - ruguenyi ngolo renyu kwa ubaha.
\v 14 Msarungiwe andu amweri na wasaamini, kwa andu koko uhusiano ki ghadi ya haki na uasi na kuko ushirika ki ya nuru na kira?
\v 15 Ni mapatano ki Kristo, adadima nagho na Beliari? Au yee aaminiye akona sehemu ki andu amweri na asaaminiye?
\v 16 Na kuko mapatano ki gheko ghadi ya hekalu na Mlungu na sanamu? kwa andu isi ni hekalu ja Mlungu ako banaa kama ambawo Mlungu adedie, "nikagha ghadi yenyu na kusela ghadi yenyu nikagha Mlungu wenyu, nao wakagha wandu wapwa."
\v 17 Kwa huvo, "fumenyi ghadi uyao, na kusigwa nao," adeda Mzuri. "Msawade kilambo kichafu, na niwakaribishaa inyo.
\v 18 Ni kaa ndeo wenyu na inyo mkaa wanapwa na wakioni na wakivaka," adeda mzuri mweni.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Wapendwa wapwa, kwa andu dekona ahadi iri ndadiboie veni kwa kila ilagho ambajo jidadibonya kuka wachafu kwa mivi yedu na ngolo na dilole utakatifu kwa hofu ya Mlungu.
\v 2 Bonyeni nafasi kwa ajili yenyu ndadimkosee mndu wowose ndadimvavirie mndu wowose. Ndadinuie kwa faida ya mndu wowose.
\v 3 Nadeda iji sio kwa kuwalaumu. Kwa andu nadedie kughora mko ngolonyi kwedu isikufwa andu amweri na kuishi andu amweri.
\v 4 Neko na ujasiri mungi ndenyi yenyu na nidaringa kwa ajili yenyu nacha faraja, nachua rha hata ghadi ya maghesho ghedu ghose.
\v 5 Dachee makedonia, mivi yedu ndaikogho na kusoghoka badala yake dapatie wasi kwa chia rose kwa kukabwa kondo luvande lwa shighadi na hofu luvande lwa ndenyi.
\v 6 Ela Mlungu afarijie wainjie tamaa wadifarijie kwa kucha kwa Tito.
\v 7 Naikogho kwa kucha kwake tu kughora Mlungu, wadifarijie yakoo pia faraja rita Tito arivokerie kufuma kwedu yee wadighorie lukundo mbaha mkonago, huzuni yenyu, na mkogho na wasi wasi kwa ajili yapwa huvo nazidi kuka na raha zaidi.
\v 8 Hata ingawa waraka gwapwa wawabonyie kwa ajili yapwa wawabonyie kuvavirika nyii sijuti ela nidajutia wakati nivonie waraka ugho ghubonyiwe inyo kuka na huzuni. Ela mwakoo na huzuni kwa muda mvui.
\v 9 Idana nakona raha. Si kwa kughora mwakoa na wasi, ela kwa kughora huzuni renyu rivarede kwa toba mwapatiwe na huzuni ya kiMlungu huvyo mwaghirishiwe si kwa hasara kwa sababu yedu.
\v 10 Kwa kughora huzuni ya kimlungu yareda toba ambayo yakamilisha wokovu bila ya kuka na maghesho. Huzuni ya kidunia hata huvo yaredaa kifwa.
\v 11 Guwenyi huzuni ihi ya ki Mlungu yavae azima ki mbaha ndenyi yenyu. Jinsi kiazima yakoo mbaha ndenyi yenyu kuthibitisha kughora ndamkoo na hatia kwa jinsi ki uchungu gwedu, bidii yenyu na shauku yenyu ni kuvona kughora haki idapaswa kubonyeka! kwa kila ilagho mwajithibitisha weni kuseka na hatia.
\v 12 Ingawa nawaandikie inyo si aandikie kwa ajili ya makosa wala si kwa mndu atesiwe ni maghesho naandikiwe ili kughora uthabiti gwa ngolo renyu kwa ajili yedu ibonyiwe kumanyika kwenyu imbiri ya meso gha Mlungu.
\v 13 Ni kwa ajili ya ihi kughora dafarijika kwa nyongeza ya faraja yedu veni daboiwe pia hata zaidi kwa sababu ya raha ya Tito, kwa andu ngolo yake yaoreshiwe na inyo wose.
\v 14 Kwa andu kama mwarumaghie kwake kuhusiana na inyo, sikogho na waya. Kinyuyme chake kama tu kila idedo dijidedie kwenyu jokoo loli maringo ghedu kuhusu inyo kwa tito ghathibitikaa kuwa loli.
\v 15 Lukundo lwake kwa ajili yenyu hata ni mbaha nicha akakumbuka utii gwenyu wose jinsi mumkaribishie yee kwa hofu na kukakama.
\v 16 Naboiwa kwa kughora nekona ujasiri kamili ndenyi yenyu.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Sena wambari wapwa, dawaghoria habari ya neema ya Mlungu wanekiwe makanisa gha makedonia.
\v 2 Maana wavokeri wakigheriwa kwa wasi mungi, wungi ila raha yawe na umasikini wao ghukogho mungi ghuwachurie utajiri wa ukarimu wao.
\v 3 Maana utashuhudia kughora kwa uwezo wao na kukidima kwao na zaidi ya kukidima kwao kwa kwa hiari yao weni wafunyie vilambo vose.
\v 4 Wakidilomba sena andu amweri ni kudiembeleza kwa ilagho ja neema ihi, na shirika ihi ya kuwahudumia watakatifu.
\v 5 Sena wabonyie huvu si kama dutumainie tu bali kiambiri wakifunyie nafsi rawe kwa Mzuri na kwedu pia kwa lukundo lwa Mlungu.
\v 6 Hata dikamuona Tito kwaneka nemaihi kwenyu kama vuja yee andu akirie kuianzisha.
\v 7 Ela kama mkoo na vungi gwa malaghoi ghose imani na idedo na elimu, bidii yose na lukundo gwenyu kwedu isi basi huvo huvo mpate vungu gwa neema ihi pia.
\v 8 Sidedaa ihi kuwamuru bali kwa bidii ya wandu vengi kughiria unyofu gwa lukundo gwedu.
\v 9 Maana mwaichi neema ya Mzuri wedu Jesu Kristo. Jinsi akoo masiki kwa ajili yedu. Ingawa wakoo tajiri ili kughora inyo mpate kuka matajiri kwa masikini gwake.
\v 10 Nnyi kwa ilagho iji nafunya ishauri japwa, maana idedo iji jawaboia inyo mkirie, yapata mwaka, japo ya kubonya hata na kukunda pia.
\v 11 Ela idana timirenyi kuja kubonya nako, ili kama vuja mkoo tayari kukunda huvo huvo mke tayari kutimira kwa kadiri ya mkogho navyo.
\v 12 Maana kama ni yeko, yakundigwa kwa kadiri ya eko navo mtu, si kadiri ya eseko navo.
\v 13 Maana kama sidea agho ili vazima vapate raha na inyo mapate wasi.
\v 14 Basi malagho ghake sawa sawa wakati ughu wa ijiaha vungi gwedu ghuwafae upungufu gwao ili na vungi gwao gwuwatae inyo mkipungukiwa ili malagho ghake sawa sawa.
\v 15 Kama iandikiwe akwanyie vingi kuisiriza wala yee akwanyie vitinari ndapungukiwe.
\v 16 Ela atogoliwe Mlungu akumbae bidii ija ija kwa ajili yenyu kwa ngolo ya Tito.
\v 17 Maana avokerie loli ghaja maono sena uku akizidi kuka na bidii, wadambie kughenda kwenyu kwa hiari yake mweni.
\v 18 Na andu amweri nae dikamduma mmbari uja ambaye rake kwa injili ragota makanisa ghose.
\v 19 Wala si huvo tu bali wasagulwe na makanisa asele andu amweri na isi kwa ilagho ja neema ihi anduditumikia ili Mzuri agimbikwe ananyika utayari kwedu.
\v 20 Dikijiveria na ilango iji mndu asache akidilaumu kwa malagho gha karamu ihi ditumikia.
\v 21 Dikikiria kuteganya gheko ghabaia si imbiri ya Mzuri tu na imbiri ya wadamu.
\v 22 Na andu amweri na dawadumie mimbari wedu dimvonie mara nyingi kwa malagho mengi kuwa na bidii na iji aha wekona bidii zaidi sana kwa kughora weko natumaini mbaha eko najo kwedu.
\v 23 Basi mndu akukunda habari ra Tito, yee ni mshirika wapwa na mbonya chaghu andu amweri nanyi kwa ajili yenyu, sena akakunda habari ra mbari redu, vooni walodi va makanisa na watukufu wa Kristo.
\v 24 Basi wabonyerenyi imbiri ya makanisa hakika ya lukundo gwenyu na ya kukitogola kwedu kwa ajili yenyu.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Kwa ilagho ja kuwahudumia watakatifu sidae haja ya kuwaandikia.
\v 2 Maana naichi utajiri gwenyui niutogolaa kwa ajili yenyu kwa makedonia kughora. Akaya wakoo tayali tangu mwaka mlazi na bidii yenyu yawakumba ngolo vengi navo.
\v 3 Ela nawadumie avo wambari ili kukitogola kwedu kwa ajili yenyu kusaaguke kwa ilagho iji mpate kuka tayari kama nidedie.
\v 4 Kusudi wakacha wamakedonia andu amweri nanyi, na kuwadoka ndamsire kuka tayari disache ngia waya isi disadede inyo kwa iji ijo ya kutumaini.
\v 5 Basi nevona yakuwa ni lazima niwakashe wambari ava wakirie kufika kwenyu na kuboisa mapema karam yenyu mwaiahidi tangu kala, ili ike tayari na huvu ike kama kipawa wala sio kama kilambo chifungiwa kwa choyo.
\v 6 Ela nadeda ilagho iji. Avagha kutineri dima wakwasha kutineri. Avagha kwa ukarimu akwashaa kwa ukarim.
\v 7 Kila mndu na abonye kama andu waamua ngolonyi kwaka si kwa huzuni wala si ndonyi maana Mlungu wamkundi yee afunyaa kwa ngolo ya kuela.
\v 8 Na Mlungu adima kuwachura kila neema kwa vungi ili inyo mkaka na riziki ra kila namna marwa ghose mpate kuisiriza sana kwa kila ilagho jiboie.
\v 9 Kama anduiandikiwe "watapanya wawaneka masikini hachi yake yakagha milele."
\v 10 Na yee amnekaa mbeu aenda kuva mkate gwa vindo awaneka mbeu na kuva na kuisiriza naye awachuriaa vindo na haki yedu.
\v 11 Mkijirishwa kwa vilambo vose mpate kuka na ukarimu ghose ghumpatia Mlungu shukrani kwa chaghu chedu.
\v 12 12 Maana utumishi gwa huduma ihi ndaghuwatimizia watakatifu riziki ragodua tu, bali kuisiriza sana kuka na faida kwa kutogola kungi mnekwaa Mlungu.
\v 13 Kwa andu mkagheriwa kwa watumishi ugho. wadamgimbika Mlungu kwa ajili ya Kristo na kwa ajili ya ukarimu gwenyu mwabonyerie woo na vandu vose.
\v 14 Nao weni wakilomba dua kwa ajili yenyu wamivonia hamu kwa kughora na neema ya Mlungu yasiriza sana ndeni yenyu.
\v 15 Mlungu agimbikwe kwa kughora kipawa chake disadimaa kukitogola kama idimikaa.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Basi nyii Paulo, mweni mweni nawasihi kwa kuhowa na kamberi wa Kristo nyii niko aorie nikika anduamweri na inyo bali naseko na akona ujasiri kwenyu.
\v 2 Naam mdalomba kughora nikika nisake na ujasiri kwa uthabiti ambagho nataka kuka nagho ighu ya waja wateganyaa ya kuwa isi daghenda kwa jinsi ya muvi.
\v 3 Maana ingawa daghenda kwamuvi ndadibonyaa kondo kwa ajili ya muvi.
\v 4 Maana silaha ra kondo yenyu si ra muvi bali rekona uwezo kwa Mlungu hata kungwisha ngome.
\v 5 Dikagwisha mawazo na kila kilambo chavukia kikivusiraa ighu ya elimu ya Mlungu, na kukiteka nara kila tenganyi ipate kumgimbika Kristo.
\v 6 Sena dikaka tayari kupataliza maghesho ghose kuti kwenyu dikagota.
\v 7 Gheguvenyi gheko imbiri ya meso ghenyu mndu akakiduma mweni ya kuwani mndu wa Kristu, nateganye huvu pia ndengi kwake yakua kama yee eko mndu wa Kristo huvo huvo na isi.
\v 8 Maana nijapokitogola zaidi kutineri kwa ajili ya mamlaka ghedu, nadekiwe ni Mzuri didime kuwaagha wala si kuwagwisha, sivonagha waya.
\v 9 NIsache nikavonekana kana kwamba nakundi kuwaembia kwa nyaraka rapwa.
\v 10 Maana wadeda," nyaraka rake ra remere, hodari bali akaka mweni muvinyi na mkongo nadedo ghakesi kilambo."
\v 11 Mndu kama uyo na atenganye huvu. Y kughora jinsi diko kwa malagho kwa nyaraka diseko niko diko kwa malagho dikaka.
\v 12 Kwa kuwa ndadigheria kukitala andu amweri na baadhi yavo wakitogola weni, wala kufwanana navo bali voo veni wakikipima ndenyi yawe na ndenyi yawe davadae akili.
\v 13 Ela isi ndadikitoghola zaidi ya kadiri yedu, bali kwa kadiri ya kipimo dipimiwa na Mlungu, yaani kadiri ya kufika hata kwenyu.
\v 14 Maana ndadikivusira ndenyi yedu uidia, kana kughora ndadiwafikia inyo kwa kughora dakirie kufika mpaka kwenyu kwa injili ya Kristo.
\v 15 Wala ndadikitogola zaidi ya kadiri yedu yaani kwa maghesho gha wandu wengi bali dikaka na matumaini gha kughora imani yedu ikaka divusiriwa kwenyu kwa kadiri ya kipimo chedu na kupata mwengere.
\v 16 Hata dikahubiri injili kwa isanga njiko imbiri uidia isanga jenyu, disakitonge kwa kipimo cha mndu mzima kwa malagho ghasasia kuboisigwa.
\v 17 "Ela yee akitogolaa, na akitogole kwa Mzuri."
\v 18 Maana mndu mweni wakundigwa si yee akilogole, bali yee atogoligwe na Mlungu.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Ela mwavusiana nayi kwa upumbavu gwapwa kutineri naam mvusiana nanyi.
\v 2 Maana nawavonia vuivu. Vuivu gwa Mlungu kwa kuwa wakadeda mndumuni umweri ili nimrede Kristo bikira aboie.
\v 3 Ela nachelea kama vuja choka amuembie. Hawa kwa hila yake asache awanona kuririkanya kwenyu, mkaghusigha unyofu na kuboa kwa Kristo.
\v 4 Maana yee achaa akihubiri Jesu mzima ambaye isi ndadidimhubirie au mkavokera ngolo zima msavokerie au injili nzimamsaikundie mdabonya nicha kurumaghiana naye.
\v 5 Maana naichi ya kuwa nyii sipungukiwe na kilambo weko nacho walodi weko wabaha.
\v 6 Ela ijapokuwa nyii na mndu asaichi kudeda ihi si hali yapwa kwa elimu, ila kwa kila idedo dajithibitishiwa kwenyu.
\v 7 Je, nabonya maghesho kwe kuembeleza ili inyo mgimbikiwe, kwa kughora nawahubirie injili ya Mlungu bila mwengere.
\v 8 Nawasokie makanisa mazima mali yao. Nikivusa mwengere yapwa ili niwahudumie inyo.
\v 9 Nanyi ikogho andu amweri na inyo na kukunda simremerie mundu maana awo wambari wacha kufuma makedonia wamirikie kadri ya mahitaji ghapwa nisawaremerie hata kutineri sena nakilindia.
\v 10 Kama vuja vuja loli ya Kristo iko ndenyi yapwa ndakudae mndu wakurigha momu kwa kukitogola uku kwa miano ya Akaya.
\v 11 Kwa indoi? je nikwa kughora siwakundi inyo mlungu waichi.
\v 12 Ela najibonya, ili niwaleghe awo walolagha nafsi wasaipate nafasi ili kughora kwa idedo ijo wakitolaa wavonekane kama isi.
\v 13 Maana wandu kama awo ni walodi wa tee wabonya chaghu kwa hila wakiaghusaa wake mfano gwa waKristo.
\v 14 Wala sio ajabu maana shetani mweni wakiangusaa ake mfano gwa malaika wa kuela.
\v 15 Basi si ilagho ibaha watumishi wake navo wakikia ghusa wake mfano wa watumishi gwa hachi ambawo mwisho gwake dimagwaka nicha na chaghu chawe.
\v 16 Nadeda sena mndu asadhani ya kuwa nyii na mpumbavu ela avitenganyiaa huvu, mnikunde kama mpumbavu ili nyii nanyi mdime kukitogola ingawa kutineri.
\v 17 Nijidedaa sijidedaa ilagizo ja Mzuri bali kama kwa mpumbavu kwa ujasiri ughu gwa kukitogola.
\v 18 Kwa andu wengi wakitogola kwa jinsi ya muvi nyii nanyi nakitogola.
\v 19 Inyo kwa kughora mkono akili mdavusiana na wajinga kwa kuboiwa.
\v 20 Maana mwavusiana na mndu kiwakumba utumwenyi akiwamita akiwaela nyara akikinua akiwakaba vushunyi.
\v 21 Nadeda kwa jinsi ya kukidhilikana kughora isi dakoo wakongo, ela akaka mndu akonagho ujasiri kwa jojose -- nadeda kijinga nyii nanyi nekonagho ujasiri.
\v 22 Woo si waebrania? nanyi pia woo si waisraeli? na nyi pia, uzao ni uzao wa Ibrahimu? na nyi pia.
\v 23 Woo ni wahudumu wakristo? {Nadeda kikilawu.} Nyi ni zaidi kwa maghesho kuisiriza sana kwa kufungwa kuisiriza sena kwa kukabwa kuidia kiasi kwa kifwa mara nyingi.
\v 24 Kwa wayahudi mara kasanu napatie mapigo arobaini kasoro jimweri.
\v 25 Mara kadadu nakabiwe wa bakora mara kamweri nakabiwe kwa magwe mara kadadu na chukanyiwe ijahazi kuchwa kucha nadapata kuka kilindinyi.
\v 26 Kwa varo mara nzima hatari la meda hatari la wating'a hatari kwa itaifa japwa hatari kwa mataifa mazima, hatari ra mizi hatari ra majangwa hatari ra bahari hatari ra wambari wa tee.
\v 27 Kwa maghesho na kugaya kwa kukesha mara nzima kwa njala za kau kwa kufuga mara nzima kwa mbeo na kwa kibigiri.
\v 28 Bahari ya malagho gha shighadi gheko ghamicheaa kila iruva nigho maangamizi gha makanisa ghose.
\v 29 Nani eko mkongo nisake mkongo nanyi? nani wakwanza nanyi nisazamiwe?
\v 30 Ikabidhi kukitogola, nikitogolaa malagho gha wukongo gwapwa.
\v 31 Mlungu Aba wa Mzuri Jesu, eko Mtukufu hata milele, waichi kughora sidedaa tee.
\v 32 Uka Dameski liwali wa mfalme Areta wakoo akiulindia mzi wa wadameski ili kuniwada.
\v 33 Nanyi nikaserigwa ndenyi ya ngau kwa idirisha ja ukulenyi nikaokoka kwa mikonu yake.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Sindae kudikukitogola ijapo ndaiboie ela niteganyaa maonona mafunuo gha Mzuri.
\v 2 Na namuichi mndu umweri kwa Kristo idapata ijiaha miaka ikumi na ina kughora wakoo kwa muvi siichi Mlungu waichi mndu uyo wavusiriwe ighu mpaka mbingu ya kadadu.
\v 3 Nanyi namuichi mndu uyo-- kughora wakoo kwa muvi siichi kughora wakoo shighadi muvi siichi Mlungu waichi.
\v 4 Yakuwa wavuisiriwe mpate ponyaji akasikira madedo ghasamanyikaa ambagho haijuzu mdamwagha dede.
\v 5 Kwa malagho gha mndu kama uya nakitogola ela kwa ajili ya nafsi yapwa sikutogolaa isipokuwa kwa habari ya udhaifu gwapwa.
\v 6 maana kama nakundieghe kuykitogola sakaa mpumbavu kwa kughora nadedaa loli, ela nakizuia ili mndu asanitalie zaidi ya agho eko nagho kwapwa au kughasikira kwapwa.
\v 7 Na makundi nisadime kukitogola kuida kiasi kwa vungi gwa mafunuo agho nanekiwe mwinjwa kwa muvi, mjumbe wa shetani ili anikabe nisache nikaringa kuida kiasi.
\v 8 Kwa ajili ya kilambo icho namuembelezie Mzuri mara kadadu kughora kinifume.
\v 9 Nae akanighoria neema yapwa ukutosha maana uweza gwapwa ghutimia kwa udhaifu. Basi nikitogolaa kwa udhaifu gwapwa kwa raha nyingi, ili uweza gwa Kristo ghuke ighu yapwa.
\v 10 Kwa andu naboiwa ni udhaifu na udhaifu na vifwa, na taabu na wasi kwa ajili ya Kristo maana nikika dhifu niko neko na ndighi.
\v 11 Naka mpumbavu inyo mwanilazimisha maana yanikundie nitogoliwe na inyo kwa andu sikogho ndonyi ya walodi wakoo na ndighi kwa jojose ijapo si kilambo.
\v 12 Loli ishara ra walodi rabonyiwe ghadi ghadi yenyu kwa saburi yose kwa ishara na maajabu na miujiza.
\v 13 Maana nikilamba ki mwapungukiwa kuliko makanisa mazima ila kwa andu nyii siwaremerie? mnifuire vugho ughuu.
\v 14 Guwenyi ihi mara kadadu ya nyii kuka tayari kucha kwenyu wala siwaremeriaa, maana sivilolaa vilambo venyu bali nidawalola inyo maana ndaiwakundi vana kuvika akiba kwa wavazi. Bali wavazi kwa wanake.
\v 15 Nnyi kwa raha nyingi dima nalapanya sena nilapanyaa kwa ajili ya ngolo renyu, je kadiri nikoo nawakunda sana, napungukiwa kukundwa?
\v 16 Ela ndaike huvo nyii siwaremerie bali kwakua akalie nawanekie kwa hila.
\v 17 Je, mndu wowose nimdumiie kwenyu kwa mndu uyo nawavusie kilambo?
\v 18 Namkashie Tito, nikamduma mmbari uja umweri naye. Je, ndaghendie kwa ngolo uja mwezi na kwa chwao rija reni.
\v 19 Mmanyaa hachi iji aha ya kuwa nakidhuru kwenyu imbiri ya Mlungu dadeda kwa Kristo na agho ghose wakundwa ni kwa ajili ya kuwa agha inyo.
\v 20 Maana navavika gisache wandoka si kama vuja nidimaa kuwadoka nivonekana kwenyu si kama vuja mkundi nisacxhe nikandoka kabla fitina na vuivu na virea na kondo na kusingizia na kugunana na maringo na ghasia.
\v 21 Inyo nikacha sena Mlungu wapwa asachenizamiwa kwenyu nanyi ni wazamiwa vengi wasovie tangu aho kiambiri wasatubie uchafu na uasherati na ufisadi waubonyie.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Ihi niyo mara kadadu ya nyii kucha kwenyu kwa momu ya mashahidi vavi au wadadu kila ilagho jimanyikanaa.
\v 2 Nakiria kuwaghoria na kama mirikoa mara ya kawi huvo ijiaha niseko nawaghoria wazi awo wabonya dhambi tangu aho na wazima wose kughora nikacha sivonaa mbazi.
\v 3 Kwa kuwa mwalola dalili ya Kristu adedaa ndenyi yenyu ambae sio mkongo kwenyu bali akona uweza ndenyi yenyu.
\v 4 Maana wasulubiwe kwa udhaifu, ela nakaia kwa ndighi ya Mlungu maana isi na isi da dhaifu kwa yee ela dikaa anduamweri naye kwa uweza gwa Mlungu ghuko kwenyu.
\v 5 Kigherienyi veni kughora mweko kwa imani jisilibisheni veni. Au ndamkiichi veni kughora Jesu Kristo weko ndenyi yenyu isipokuwa mwalengiwe.
\v 6 Ela natumaini kama mwaichi ya kuwa isi ndadisingiwe.
\v 7 Na isi dalomba Mlungu msabonye jojose jiko jizamie si kwamba isi divonekane dakundigwa, ela inyo mbonye jiko jiboie ijapo isi ni kama walegwa.
\v 8 Maana ndedidimaa kubonya ilagho jojose kinyume cha loli, bali kwa ajili ya loli.
\v 9 Maana adaboiwa, iwapo isi dhaifu na inyo mwaka mahodari sena dalomba iji najo dijimiliki kwenyu.
\v 10 Kwa ajili iyo naandika agha niseko ihi nikaka nisabonye kubia kwa kadiri ya uwezo ghuja ninekiwe ni Mzuri kwa kuagha wala si kwa kubomoa.
\v 11 Hatimae wambari mkenicha mtimire mfarijike mnia mamweri, mkaie kwa amani na Mlungu wa lukundo akaia anduamweri na inyo.
\v 12 Lamsenyi kwa busu takatifu.
\v 13 Watakatifu wose wadalamsa.
\v 14 Neema ya Mzuri Jesu Kristo na lukundolwa Mlungu na ushirika gwa ngolo mtakatifu ghukaie na inyo maruva ghoise.

294
49-GAL.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,294 @@
\id GAL
\ide UTF-8
\h Wagalatia
\toc1 Wagalatia
\toc2 Wagalatia
\toc3 gal
\mt Wagalatia
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Nyi ni paulo mtume. Nyi sio mtume kufuma kwa wandu wala kuidia kwa mundu, lakini kulidia kwa Jesu Kristo na Mlungu Aba amfufuye kufuma kwa wafu.
\v 2 Pamoja na mbari wose na nyi, nagaandikia makanisa ga galatia.
\v 3 Neema ike kweny na binana ifume kwa Mlungu Aba wedu na mzuri Jesu Kristo.
\v 4 Akifunyie mweni kwa ajili ya dhambi redu ili kwamba adikombole na matuku aga uovu, kutokana na matuku aga wedu na Aba.
\v 5 Kwake uke utukufu milele na milele.
\v 6 Nidangaa kwamba mdaagukia shwashwa uhi injili nzima. Nidashangaa kwamba mdaagukia kula kufuma kwake ye awawaingie kwa neema ya Kisto.
\v 7 Ndakundae Injili imwi, lakinai koko baadhi ya wandu wadima wamisasishienyi inyo wasi na kukunda kufanya injili ya Kristo.
\v 8 L akini hata ike ni isi au malaika kufumana Mlungu kuitangaza kwenyu injili tofauti na ija diitangazie kwenyu, na mkokotera.
\v 9 Kama andudiko deda kiambiri, na indana na deda tana, "kama koko mndu wakutangazia kwenyu injili tofauti na mwiwokerie na mkoteria."
\v 10 Wakati idana huru nidalola kumanya gwa wandu au Mlungu? Nidalola kuwafurahisha wandu? kama nidendelea kugeria kuwafurahisha wandu nyi sio mtumishi wa Kristo.
\v 11 Mbari nakundi inyo mmanye kwamba injili niitangazie ndaifunga na wadu.
\v 12 Siwokerie kufuma kwa mndu, wala sifundishwe. Badala yake ikaka ni kwa ufunuo gwa Jesu Kristo kwapwa.
\v 13 Mwadima kusikira igu ya maisha gaapwa ga nyuma katika dini ya kiyahudi, andu akee nikijitese kwa kubia nyumba ya Mlungu zaidi ya kipimo na kijimeria.
\v 14 Narikogho nidendelea katika dini ya ya kiyahudi zaidi ya mbari rapwa wengi wayahudi. Narikogho na bidii sana katika tamaduni ra Aba wedu.
\v 15 Lakini Mlungu wanikundie kunisagua ndenyi yapwa, ili kwamba nimtangaze ye miongoni mwa wandu nmagaga. wala silolie ushauri gwa muwi na mbaga.
\v 16 Wacha mwona idafaa kumrisha mwanake ndenyi kwapwa, ili niwahubiri wanduhabari rake, aja sibonye shauri ni wandu wakona muwi na bagha.
\v 17 Na sijokie kuganda Yerusalem kwa waja warikogho mitume kabla yapwa. Badala yake nagendie uarabuni na baadae kuvua dameski.
\v 18 Niko baada ya miakaidadu nikagoka kugenda Yerusalem kumselia kefa, nikakaiya naye kwa matuku ikumi na asanu.
\v 19 Lakini siwonie mitume wamwi isipokuwa Yakobo mbariyake na Bwana.
\v 20 Nguwa imbiri ya Mlungu, siembiaga kwa wunja wandiko kwenyu.
\v 21 Niko nigendie mikoa ya shamu na kilikia.
\v 22 Sikee nikimaanyikana kwa meso kwa nyumba ya Mlungu ya uyahudi gaja garikogo katika Kristo,
\v 23 Lakini warikogo wakisikiana tu, "Ye arikogo akiditesa indana adatangaza imani irikogo akiinona."
\v 24 Warikogo warikimwika Mlungu kwa ajili yapwa.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 BVaada ya miaka ikumi na ina naligendie sena Yerusalemu pamoja na Barinaba pia nikumbusa Tito pamoja nanyi.
\v 2 Nikagenda kwa kwawuja Mlungu kukibenyiria kwapwa kwaba yanipasie kugenda nikubiku imbiri yao injili ambayo nikawatangazia kwa wadu wa isanga kwa buja nikadeda kwa kisivo kwa dedigwa kuwa vilongozi muhimu nikabonya huwa ili kuhakiisha nalikogo sikimbiaga au nikakimbia duu.
\v 3 Kwaja hata Tito akilongo pamoja na nai alikongo mtunani walazimishigwa kuchulwa jifumriwa.
\v 4 Ilago iji jikufumria kwa buja ya wambari watee washee kwa kisivo kupelekeza uhuru dikayanago nao katika Kristo Jesu. mbaditamani kutubonya isi kuwa watumwa wa sheria.
\v 5 Dadifumirie kubati hata kwa saa jimweri ili kwamba injili ya loli bila kuangusa kwenyu.
\v 6 Lakini waja wadedingwa kuwa wechikogo vilongozi dawshangee chochose kwapwa. Chochose wakabusa wakikibaya dekee na maana kwabue upendeleo wa wadu. Mlungu dakundie upendeleo wa wadu.
\v 7 Badala yake wambona kwamba namini kuitangaza injili kwa waja ambao kuchukulwa yalikogo kama Petro atangaze injili kwa kuchuwa
\v 8 Kwa maana Mlungu abonyie chagundenyie ya petro kwa buja yuutumwa kwa waja huluwa pia akabonya changu denyi yapwa kwa wadu wa isanga.
\v 9 Wakati Yakobo Kefa na Yohana wamatikane kuwa wagaa Kanisa, waminyee neema wanekingwe nyi wakadibokera katika ushirika nyi na Barnaba. Isanga livi ki kwamba diendekwa wadu wa isanga naili kwamba wadima kugenda kwa waja kuchulwa.
\v 10 Pia wakadikunda isi kukumbuka mkabaa nyi pia narikogo nidatamani kubonya ilago iji.
\v 11 Wakati Kefa akacha Antiokia nikamkaba waziwazi kwa buja walikogo wakosea.
\v 12 Kabla ya wadu kadhaa kucha kufuma kwa Yakobo Kefa alikogio akili pamoja na wadu wa isanga kwa buja wadu wakasha akusiga, kugenda kufuma kwa wadu wa isanga isanga alikogo adabou wadu ambao wakakunda kusulwa.
\v 13 Bolubo wayahudi wazima kubwadana unafiki hugu pamoja na Kefa matokeo gake yarikogo kwamba hata Barnaba akabusigwa na unafiki bwabwe.
\v 14 Lakini nikapona kwamba wakogo daanuga injiliya loli nikangolia Kefa ibili yaus wose kama iyo ni wayahudi lakini mdishwi tabia za wadu isanga badala ya tabia za kiyahudi kwa ini mdawalazimisha wadu wa isanga kuishi kama wayahudi.
\v 15 Isi ambao ni wayahudi kwa kuvalwa na siyo mwadu wa isanga benve zambi
\v 16 Kutumanya kwa mba ndakundae kutulighwa haki kwa matendo ya sheria badala yake kutalighwa haki kwa imani ndenyi ya Jesu Kristo dikasha kwa imani ndenyi ya Kristo Jesu ili kwamba kutaligwa haki kwa mimani denyi ya Kristo na siyo kwa matendo ya sheria dakudae mubwi ukundao kutalwa haki.
\v 17 Kwabuja kama dikimlolaa Mlungu haki deyi ya Kristo didakidoka beni pia kua kuweni zambi, je kristo wafige wabonywa mtumwa wa zambi? siko hube.
\v 18 Maana kama nikiaga itegemeo ambajo daua jikafuya nidakibonyeria mweni kwa kudusua sheria.
\v 19 Kuidia sheria nikafwa kwa sheria kwa luwo napaswa kuishi kawa ajiliya Mlungu.
\v 20 Natesiga pamoja na sionyi nsana ninaeishi bali Kristo anaishi denipa, maisha niyoishi katika mubii nina ishi kwa imani deyi mwana Mlungu ambae wanikunda na nakakifunya kwa ajili yapwa.
\v 21 Wadeyi nema ya Mlungu maana kama haki yamikogo kuidia sheria basi Kristo wanikoga wafwa.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 wagalatawakelu, ni riso ki jhikongo jhavha nona? Je Jesu Kristo ndabonyiriwe kama msulubiwa imbiri ya meso ghenyu?
\v 2 Nyii nakundi kuanya ijhi kufuma kwenyu. Je mwamvhokerie ngolo kwa malagho gha sheria angu kwa kuamini chijha masirika?
\v 3 Je inyo mwavhajinga kiasi iki? Je mwaanza katka ngolo mbwaghirie katika muvhi?
\v 4 Jemwagaie kwa malagho mengiduhu, kama lolighakogho gha gha duhu?
\v 5 Je ye afunyagha ngolo kwenyu wakubonya malagho gha ndighi imbiri yenunyu wabonyagha kwa malagho gha sheria angu kwa kusikira anduamweri na imani?
\v 6 Ibrahimu "wamwanie Mlungu akatalighwa kua ako na haki."
\v 7 Kwa maana ijha ijha manyenyi kughora, vhajha vhamwamii ni vhana vha Abrahamu.
\v 8 Iandiko jhalabiriwe kughora Mlungu wavhatali agha haaki vhanadamu vha mataifa, kwa chia ya imani. Injili yahubiriwe kwanza kwa: "Ibrahimu kufumana nawe mataifa ghose ghabarikiwagha."
\v 9 Ili baadae vhajha vhakana imani vhabarikiwa andu amwe na Ibrahimu ambaye wakogho na imani.
\v 10 vhajha ambagho vhategemea malagha gha sheria vhako ndonyi ya laana. kwani ghaakiwe, "walaaniwe kila mundu ambaye ndavhadanagha na malagho ghose ghaandikiwe katika kitabu cha sheria kughabonya ghose."
\v 11 Indana ni wazi kughora Mlungu damtaliaagha ghaboie hata umweri kwa sheria, "kwa andu akona haki dima wakaija kwa imani."
\v 12 Sheria ndaifumanaa na imani lakini, badala yake "Ambae kubonyinghwa malagho gha kwa sheria dima wakaia kwa sheria."
\v 13 Kristo wadiokombolie kufumana na laana ya sheria wakati wabonyikie laana kwa ajili yedu, kwa andu yaandikiwe, "Walaaniwe kila mundu avhanikiwe ighu ya madi."
\v 14 nia ya kogho kughora, baraka ambaro rakoghokwa Ibrahimu racheeghe kwa vhandu vha mataifa kwa Kristo Jesu, ili divhokere ahadi ya ngolo kuidia imani.
\v 15 vhambari, naaria kwa maana kidamu. hata wakati ambagho iagano gha mundu jhamerie kuvhikwa imara, ndakudae dimankumenya angu kuchuria.
\v 16 Idana ahadi yadediwe kwa Ibrahimu na "kwa kivhazi" chake, ndaidiwe kwa vhivhazi kubonyera vungi baadae kwa mundu mweni "kwa kivazi chako" ambaye ni Kristo.
\v 17 Idana adeda huvhu, sheria ambayo yacheemiaka 430 baadae, ndainja iagano jha nyuma jhivhikiwe ni Mlungu.
\v 18 Kwa andu vhurusi ghwacheghe kwa chia ya sheria, ndaghwachagha kwa chia ya ahadi. Lakini Mlungu wafunyie duhu kwa Ibrahimu kwa chia ya ahadi.
\v 19 Kwa indoi sheria yafunyiwe? yachuriwe kwa ajili ya ya makosa, mpaka kivhazi cha Ibrahimu ache kwa vhajha ambagho ni vhakilagha. Sheria yavhikiwe kwa kusukumwa kwa kuidia malaika kwa mkonu ghwa mkwanyi.
\v 20 Idana mkwanji kuleganya zaidi ya mndu mmweri, bali Mlungu ni umweri mwanekeri.
\v 21 Kwa iyo sheria yeko kinyume na ahadira bMlungu? La hasha! kwakuwa kama sheria yari kogho yafunyiwe yari kogho na ndighi ya kureda luvhazi haki yapatikanagha kwa sheria.
\v 22 Lakini badala yake iandiko jhafungie malagho ghose ndonyi ya zambi. Mlungu wabonyie huvhu ili kwamba ahadiyake ya kudikombola kwa isi kwa imani kwa Jesu Kristo adime kuvha kanya nkwa vhajha vhaamini.
\v 23 Lakini kabla ya imani katika Kisto ndeisire, kucha dakogho dafungwa na kuka ndonyi ya sheria hata ghuche ufunuo ghwa imani.
\v 24 Kwa hiyo sheria yabonyikie kilongozi wedu hata Kristo achee, ili kwamba ditaliwe haki kwa imani.
\v 25 Idana kwakuwa imani yachee, ndadiko sena ndoni ya mrindiri.
\v 26 Kwa andu inyo vhose mwa vhana vha Mlungu kuidia imani katika Kristo Jesu.
\v 27 Vhose mwabaatizwa kwa Kristo mwamrwa Kristo.
\v 28 Ndakudae mnyahudi wala nyunani, mtumwa wa la huru, mwna vhomi wala mwana vhaka kwakuwa inyo vhose mwa umweri kwa Kristo Jesu.
\v 29 Kama inyo mwa vhaKristo, basi ni vhuvhazi vha Ibrahimu, vhapali kwa mujibu wa ahadi.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Nadeka kwamba maadamu mpali ni mwana, ndedae tofauti na mtumwa, hata ingawa ni mmiliki wa mali yose.
\v 2 Badala yake, ako ndonyi ya baangalizi na wadhamini mpaka wakati ghwabikwa ni Aba wake.
\v 3 Kadhalika pia na isi, direkogo bana, dabwadiriwe utu mwenyigwa kanuni ra kwanzara urumwengu.
\v 4 Lakini wakati sahihi kufika, Mlungu wamdumie mwanake, mvakwa ni mka, mvalwa ndonyi ya sheria.
\v 5 Wabonyie hubu ili kubakombola baja barikogo ndonyi ya sheria, ili kwamba nibokere hali ya kuwa kama wana.
\v 6 Kwa sababu inyo ni wana, Mlungu wamdimie Roho wa mwanake ndenyi ya ngolo redu, Roho ambangaga, "Abba, Baba."
\v 7 Kwa sababu ihi we ndwa mtumwa sena bali wa mwana. Kama we wa mwana, basi we pia wa mpali kuidia kwa Mlungu.
\v 8 Hata kabla, wakati ndimkogo mkinimanya Mlungu, mwarikogo watumwa kwa baja ambabo kwa asili sibo Milungu kabisa.
\v 9 Lakini idana kwamba mwammanya Mlungu, au kwamba Mlungu wa mimanya, kwa indoi mdabuya sena kanunyi dhaifu ra kwanza risadae thamani? Je mwakundi kuwa watumwa sena?
\v 10 Mwabwada kwa ungalifu ituku maalumu, miandamo ya mieri, majira na miaka. Ni daboa kwa ajili yenyu.
\v 11 Nidaboa kwamba kwa namna fulani nakisumbua dueri.
\v 12 Nabasihi, mbari, mke kama Niko, kwa kuwa pia naka kama andu mko. Ndamninoniee.
\v 13 Bali mwaichi kwamba yarikogo ni kwa sababu ya kubongo hwa mubi kwamba nakuhubirie injili kwenyu kwa mara ya kwanza.
\v 14 Ingawa hali yapwa ya mubi yababakie katika ijaribu, au kunilega. Badala yake mwanibokerie kama malaika wa Mlungu, kana kwamba na Kristo Jesu mweni.
\v 15 Kwa hubo iko hao idana kumboirwa kwenyu? kwa kuwa nashuhudia kwenyu kwamba, ikadiminikana, mwakuaga meso genyu na kunineka njii.
\v 16 Hubo idana, je nakaia adui wenyu kwa sababunabagoria loli?
\v 17 Baba lola kwa shauku, bali siyo kwa nicha. Bakundi kuwatanya nanyi ili mubanuge.
\v 18 Ni ni8cha daima kuwa na shauku kwa sababu riko riboie na siyo tu wakati niko pamoja nainyo.
\v 19 Wana wapwa watini, na bwabwa uchungu kwa ajili yenyu mpaka Kristo aumbike ndenyi yenyu.
\v 20 Nakundiege kukaia aja pamoja na inyo idana kugalusa sauti yapwa, kwa sababu nako nako na mashaka juu yenyu.
\v 21 Nigorienyi, inyio inyo ambao mdatamani kuwa ndonyi ya sheria ndamsikikrie sheria idedai?
\v 22 Kwa kuwa yaandikwa kwamba Abrahamu arikogo na wana wa kibomi babi, umweri kwa uja mkatumwa na umwi kwa mka huru.
\v 23 Hata buja uja wa mtumwa wavalwe kwa mubi tu, bali uja wa muka huru wavalwe kwa ahadi.
\v 24 Malago aga gadima kuelezwa kwa kutumia mfano, kwa kuwa baka awa wafanane na malagano abi. Moja wapio kufuma katika lugongo lwa sinai. Wavaa wana ambao ni atumwa uyu ni Hajiri.
\v 25 Idana Hajiri ni lugongo sinai guko Arambunyi. Gwa fananishwa na Yerusalemu ya ijiaha, kwa kuwa ni mtumwa na wanawake.
\v 26 Bali Yerusalemu ambayo iko igu ni huru, na ihi niyo mawe wedu.
\v 27 Kwa kuwa yaandikwa, "Boirwa, we muka uko mgumba we musavaa. Kaba luvu na ukabe jogo kwa kuboirwa, we ambaye ndudae mabaro ga kuva. Kwa maana bengi ni wana mgumba, zaidi ya baja ba uja ambaye akona mudu wa bomi."
\v 28 Idana mbari, kama Isaka, inyo mwawana wa kilanga.
\v 29 Kwa uja ambao mundu ambaye wavalwe kwaa mujibu wa mubi gw Roho. kKwa ijiaha ni bujabuja.
\v 30 Maandiko ga goraha bada? "Mwiinje muka mtumwa pamoja na mwanake wa kibomi. Kwa kuwa mwana wa muka mtumwa ndapalaa pamoja na mwanamuka huru."
\v 31 Kwa hubo, mbari isi siyo wana wa muka mtumwa, bali ni wa muka huru.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Ni kwa sababu Kristo wandikie uhuru ili dike uhuru. Hivyo ghokenyi imara walamsawawe sena katika kongwa la utumwa.
\v 2 Guwa, ni Paulo, ni mwghoria kwamba ikiwaimamwanchulwa, Kristo ndawafaidia kwa chia yoyose ija.
\v 3 Sena wamshuhudia kila mdumuni atahiriwe kwamba anapaswa kujibu kwa sheria yose.
\v 4 Mwatenngwa kula na Kristo wajawose" watatighwa haki" kwa sheria mwagwakula na neema
\v 5 Maana kwa chia ya ngolo, kwa imani daweseria ujasiri wa haki.
\v 6 Katika Kristo Ysu huchulwa aukutochulwa na kudae maana yoyose. ninani yenikeri iboja kazi kuidia lukundo ndiyo humaanisha kilambo.
\v 7 Mwakogho mkikimbia nija. nani waghirie kutokutii loli.
\v 8 Ushawishi wabonya huwa ndaghufuma kwake ye awahawgarinyo.
\v 9 Gwadu havieri danona idone ilazi.
\v 10 Nikona matumaini na inyo katika Mzuri kwamba ndamtenganyagha kwa chia imweri yoyose. Wowose uja awapotoshagha imawadiwa hukumu yake ye mweni wowose uja.
\v 11 Uambari, kama inaendelea kutangaza kuchulwa, kwa indoi bado nidateswa? Kwa ilagha ija ambajo ni kizuizi cha msalaba dudina kunonighwa.
\v 12 Ni kwakuudisho ghwapwa kwa wajawa vilongoso walongoza laghe imawakatitenga weni.
\v 13 Mlunggu wawagie nyio, mbari, kwenye uhuru. ghwenyu fulsa kwa muvi. Badala yake kwa lukundisho mtesiane inyo kwa inyo.
\v 14 Kwa vunja sheria yose yakamilika katika amri nayo ni "Nilazima umpendeze jirani wako kama wemweni.
\v 15 Lakini kama mkalumana na kujana, kinyumweni kwamba msakha iwa inyoalaghe iwe inyo kwa inyo.
\v 16 Nadedda selenyi kwa ngolo na wala ndamtimizagha taraa va muvi.
\v 17 Kwa waja muvi ghukona lainaa mbaha mbali ya ngolo, na ngolo tamaa mbaha zidi ya muvi. Iri vidapingana kila umweri na mbawe. matokeo ni kwamba hdambonya vilambo mtamani kuvibonya.
\v 18 Lakini kama ngolo ada wakirisha inyo ndamko mdeni ya sheria.
\v 19 Idauu matendo gha muvi ghanekana nagho ni ushati, wachafu, ufisadi,
\v 20 Ibada ya sanamu, udawi, nadui, kondo, husuda, kiuwaka hasira, kushindana, faraka, mvaghinyo ghwa madhefu.
\v 21 Wivu, Ulevi, ulafi mambo ghamvi kama agho. Nawakanya inyoi kama iwaonya mwanzonyi, kwamba wabonyaa malagho kama agho wakurisi Ufalme wa Mlungu.
\v 22 Lakini ituvuda ngolo ni lukindo, furaha, amani, kuririvuira, ukarimu, wadoghumpo iye, imani,
\v 23 Kukoa na kiasi, ndakundae sheria dhidi ya malagho kama agho.
\v 24 Waja wa Jesu Kristo waghuu avilubishie mvuianduamweri na shauku na tamaa valwe nizamiye.
\v 25 Kama akiishi kwa ngolo pia imewasela kwa ngolo.
\v 26 Diseke na kujivuna, disachokozana la umweri na mbawe wala disavoniane wivu.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Vhambari, Ikwa mundu wavhadwa uovunyi, inyo mkovha kingolo, mdawiwa kumvhajha huyo mmbari katika ngolo ya kuhoa. Hutumkighuvha vheni ili msaghariwe.
\v 2 Mvhusane mizigho, na kwa iyo ima mwaika milisha sheria ya Kristo.
\v 3 Ikiwa mundu yoyose adakivhona ni bora naimbesi kindu, adakiembia mweni.
\v 4 Kila mmweri na apime chaghu chake, kisha imawaka na kindu mweni mweni keri cha kukisifu, bila ya kukifwananisha mweni na mndu yoyose.
\v 5 Maana kila mndu imawavhusa mzigho ghwake mweni.
\v 6 Mndu afundishiwe ilagho lazima ambhari she ghajha ghabhoie mwalimu wake.
\v 7 Mkaiembie, Mlungu ndadhihakiwa kila avhagha mndu, nicho wakwashaa pia.
\v 8 Kila avhagha mbeu katika asili yake ya zambi ima wakwasha unonefu, lakini yeavhagha mbeu ngolonyi, ima wakwasha bhana na ghwa kala na kala kufuma kwa ngolo.
\v 9 Disakole katika kubonya ghabhoie, maana kwa wakati ghwake ima dakwasha kama ndadifwa ngolo.
\v 10 Huvho basi wakati dikaka na nafasi dibonye ghabhoie kwa kila mmweri. Dibonye ghabhoie zaidi hasa kwa vhajha andu vheko ndenyi ya imani.
\v 11 Ghuvhenyi ubahaghwa ghabhoie niriandikie kwa mkonu wapwa mweni.
\v 12 Vhajha vhakundii kubonya ghabhoie kwa mtazamo ghwa muvhi nio vhamibonyia ndighimchulwe. vhabonyaa huvho kwa sababu vhasa ingie matesonyi gha msalaba ghwa kristu.
\v 13 Maana hata avho vhahulwe vheni ndavhai vhwada sheria. Badala yake vhadakundi inyo mchulwe ili vhadime kukivunia mivhi yenyu.
\v 14 Isafumirie nikakivuna ela kwa msalaba ghwa mzuri wedu Jhesu Kristu. Nikatika ye ulimwengu ghwa sulubiwa kwapwa na nyi katika ulimwengu.
\v 15 Kwakuwa ndaijalisha kuchulwa angu kutochulwa kuwa ni kindu. Badala yake vhuvhazi mpya ni muhimu.
\v 16 Kwa vhose vhenye kuishi kwa kanuni hi, vhake na amani na rehema ike lughu kwavhwe vhose, na lughu ya israel ya Mlungu.
\v 17 Tangu ijhi aha mndu yoyose asani taabishe, maana nadwa chapa ra Jhesu muvhinyi mwapwa.
\v 18 Neema ya mzuri wedu Jhesu Kristu ike na ngolo renyu, vhambari. amina.

302
50-EPH.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,302 @@
\id EPH
\ide UTF-8
\h Waefeso
\toc1 Waefeso
\toc2 Waefeso
\toc3 eph
\mt Waefeso
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, mtume wa Kristo Jesu kwa lukundo lwa Mlungu, kwa waliotangwa kwa ajili ya Mlungu weko Efeso na ambawa ni nwaaminifu wa Kristo Jesu.
\v 2 Neema ike kwenyu na amani ifunagha kwa Mlungu Aba wedu na Mzuri Jesu Kristo.
\v 3 Mlungu na Aba wa Mzuri wedu Jesu Kristo anekwe sifa. Ni ye adibariki kwa kila baraka ra kingolo, katika andu kwa mbingu ndenyi ya Kristo.
\v 4 Kabla ya kuumbigwa urumwengu Mlungu wadisaghuye isi ambawa daamini kwa Kristo waasaghue isi ili didime kuka watakatifu na disalaumikagha imbiri yake.
\v 5 Katika lukundo Mlungu wadisaghue kiambiri kwa kudivusa kama wanake kwa chia ya Jesu Kristo wabonyie huwu kwa sababu wapendezigwe kuboya chiecha machitamani.
\v 6 Matokeo ghake ni kughora Mlungu adatukuzwa kwa neema ya Utukufu gwake ihi michowadipatia utu kwa chia ya mkundwa wake.
\v 7 Kwa wuja katika mkundwa wake, dikona ukombozi kuidia bagha yake, kutesiwa dhambi. Dinonajo iji kwa wuja gwa utajiri wa neema yake.
\v 8 Wabopnyie neema ihi kukanyingi kwa ajili yedu katika hekima na kuelewa.
\v 9 Mlungu wabonyie imanyikane kwendu ili loli yakivisa ya mpango, kufumana na hamu ifunyiriwe ndeni ya Kristo.
\v 10 Wakati nyakati ratimia kwa utkufu wa mpango wake, Mlungu adavirika ndua mweri ila kilambo cha mbingunyi na cha isanga ndenyi ya Kristo.
\v 11 Katika Kristo darikogha daghaghulwa na kukusudiwa kabla ya wakati. Ihi yafumane na mpango wabanyagha vilambo voche kwa kusudi la mapenzi ghake.
\v 12 Mlungu wabonyie huwo ile kwamba dike didime kuwapo kwa sifa ya utukufu ghwake. Jarikogho wakiambiri kuka na ujasiri ndenyi ya Kristo.
\v 13 Yarikogho kwa chia ya Kristo kwamba mwashire ilagho ja loli ili kueleshiwa kwedu kwa chia ya Kristo, yarikoghokatika ye pia daamini na kukumbigwa mhuri ni ngolo mtakatifu aahidiwe.
\v 14 Ngolo niyodhamana ya kupata kwedu mpaka umiliki ghuichapatikana yakogha ni kwa sifa utukufu wake.
\v 15 Kwa sababu ihi, tangu wakati ni desikira kuhusu imani yenyu ndenyi ya Mzuri Jesu na kuhusu lukundo wenyu kwa waja wose ambao watengwa kwa ajili myake.
\v 16 Sisighie kumtongola Mlungu kwa ajili yenyu na kuwataja katika kutaja kwapwa.
\v 17 Nataja kwamba Mlungu wa Mzuri wedu Jesu Kristo, Aba wa utukufu, anekwagha ngolo ya heshima, mafunuo gha ufahamu.
\v 18 Nidataja kwamba meso ghenyu gha ngolonyi ghakupwe nuru kwa inyo kumanya ni indonyi ujasiri ghwa kuwagwa kwenyu, nataja kwamba mmanye ujasiri wa utukufu wa mpali gwakwe miongoni kwa waja waliotengwa kwa ajili yake.
\v 19 Nataja kwamba imanye wubaha ghuzi igho ghwa ndighi yake ndeni yedu ambao daamini ugho wubaha ukifuma na kazi katika dighi rake.
\v 20 Ighi ni dighi ibonyie kazi deni ya Kristo wakati gha Mlungu alipo nifufua kufuma wafyie na kumkaribisha katika ukuu wake wa kujwo katika andu pa mbingu
\v 21 Wambikie Kristo ighu mbali na utawala, mamlaka ndighi enzi na kila irinajuwagha wamkarishe Jesu sio tu kwawakati ughu lakini kwa wakati ghuchaa pia
\v 22 Mlungu amevitiisha vilambo viondanyi ya maghu gha Kristo, wambauyie ye chongo ighu ya vilambo vose katika kanisa.
\v 23 Ni kanisa kughora nigho muvi wake ukamilifugwake ambaye hujaza vilambo vose katika chia rose.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kama waja arikogho mwafa katika makosa na dhambi renyu.
\v 2 Yarikogho katika agha ni kughora kiambiri mwarendie kulingana na nyakati ra ulimwengu ughu. Mwirikogho mtighenda kwa kunugha mtawala wa mamlaka ya anga. Ihi niyo ngolo yake uja abonya kazi katika wana wa kuasi.
\v 3 Isi wose aho kiambiri darikogho miongonyi mwa awaasaminin darikogho kudighenda kwa namna ya tamaa mzamie ra miivi yedu. Darikogho dikibonya mapenzi gha muvi na ufahamu gwedu. Darikogho kwa asili wana wa ghadhabu kama wamwi.
\v 4 Lakini Mlungu ni mwinyi wa rehema kwa sababu ya lukundo kwake lubaha wadikundie isi.
\v 5 Wakati dirikogho wafwie katika makosa ghedu wadiredie andu amweri katika maisha mapya ndeni ya Kristo. Ni kwa neema kughora mwaokolewe.
\v 6 Mlungu wadifufue adumweri kudibonya andu mwweri katika andu kwa mbingu ndenyi ya Kristo Jesu.
\v 7 Wabonyi huwu ili nyakati richagha kudibonyara utajiri mbaha gwa neema yake. Wadibonyera isi hili kwa chia ya wema gwake ya Kristo Jesu.
\v 8 Kwa neema mwaokolewa kwa chia ya imani. Na ihi ndaifumie kwenyu. Ni zawdi ya Mlungu
\v 9 Daifumagha na matendo matokeo ghake aseko umweri wa kukisifu.
\v 10 Kwa sababu isi da kazi ya Mlungu daumbigwa katika Kristo Jesu kubonya matendo gha boie. Ni matendo agha ambagho Mlungu wakapangie luma lwakala ra kwa ajili yedu, ili disele katika agho.
\v 11 Kwa hiyo kumbukenyi kughora aho kala mwirikogho watu wa mataifa kwajinsi ya muvi. Mda waghwa "msekwa na tohara" kwa chija chiwaghugha tohara muvi ibonyiwagha tohara muvi ibonyiwagha kwa mikonu ya wandu.
\v 12 Kwa wakati ugho mwarikogha mwatengwa na Kristo, mwakogho wageni kwa watu va israeli, mwarikogho wageni kwa agano cha ahadi. Ndamkogho na loli gwa wakati ghuchaa mwarikogho bila Mlungu katika ulimwengu.
\v 13 Lakini ijiha katika Kristo Jesu inyo ambawa aha kiambiri mwarikogho mbali na Mlungu mwaredighwa avui na Mlungu kwa bagha ya Kristo.
\v 14 Kwa maana ye niye amani yedu wabonyie wawili kuka umweli kwa muvi gwake waghunoie ukuta gwa utengano ambagho warikogho watenganisha ugho wadui.
\v 15 Kwamba wakomeshie sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mdu umweri mpya andenyi yake akabonya amani.
\v 16 Wabonyie huwu ili kuwapatisha makundi gha watu muvi kuka mdu umweri kwa Mlungu kuidia msalaba kwa najili ya msalaba akaghudidimiza waadui.
\v 17 Jesu wachee na watangaza amani kwenyu inyo mrikogho kuka na amani kwa waja varikogho avui
\v 18 Kwa maana kwa chia ya Jesu isi wose wawidikona nafsi kwa uja ngolo umweri kungia kwa Aba.
\v 19 Hivyo basi watu wa mataifa si wasafiri na wagenyi sena. Bali ni mwenyezi andu amweri na waja watengwa kwa ajili ya Mlungu na mazuri katika nyumba ya Mlungu.
\v 20 Mwaghiwe ighu ya msingi wa mitume ria manabii Kristo Jesu mweni warikogho igwe ibaha cha mbai.
\v 21 Katika ye ujengo jose chaungamanishwa andu amweri na kukua kama hekalu ndeni ya Mzuri.
\v 22 Ni ndenyi yake niyo nanyi mdaaghwa andu amweri kama andu kwa kuishi kwa Mlungu katika ngolo.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kwa sababu ihi nyi Paulo, ni mfungwa wa Jesu Kristo kwa ajili ya mataifa.
\v 2 Na amini kughora mwasikira juu ya kazi ya mema ya Mlungu aninekie kwa ajili yenyu.
\v 3 Nidamandia kufumana na jinsi ufunuo ghuko kufunuliwa kwapwa. Ughu ni loli ikifisaye ambagho nighuandikie kwa kifupi kwenye bama imwi.
\v 4 Ukasoma kuhusu agha, udima kumanya busara yapwa katika loli hii ikiusie kuhusu Kristo.
\v 5 Kwa makalo ghamwi loli ihi ndaibonyiwe imanyike kwa mana wa watu. Ila kwa igiaha gwarikiwe wazi kwa ngolo kwa mitume walio tengwa na manabii.
\v 6 Loli ihi yakivisie ni kughora watu wa mataifa ni mataifa ni washiriki wapenda na wazuri wapendu wa muvi. Ni washiriki andu amweri na ahadi ra Kristo Jesu kuidia injili.
\v 7 Na kwa ingi nabonyeka mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mlungu ifunyiwe kwedu kuidia utendaji gwa ndighi rake.
\v 8 Mlungu wafunyie zawadi ihi kwapwa, japo kwa nyi ni mundu mtini wa wose katika waja walio tengwa kwa ajili ya Mlungu. zawadi ihi ni kughora inatupasa kuwatangazia mataifa injili ikom na utajiri uzio chunguzika gwa Kristo.
\v 9 Inanipasa kuwatangazia wadu wose ighu ya undoi ni mpango gwa Mlungu gwa ziki ughu ni mpango ambagho wakivisa kwa matuku mengi ghaide, na Mlungu ambaye waviumbie vilambo vyose.
\v 10 Ihi yariko kwamba, kuidia kanisa wazuri na mamlaka katika gosi na mbingu wapate kumanya gosi nyingi ra asili ya hekima ya Mlungu.
\v 11 Agha ghafuniwekuidia mpango gwa hala na kala ambagho wakavushilisue ndenyiya Kristo Jesu Mzuri wedu.
\v 12 Kwa wuja katika Kristo diko na ujasiri na kudima kungia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yedu kwake.
\v 13 Kwa huwo nawalomba msakate tamaa kwa sababu ya mateso ghapwa kwa ajili yenyu. Agha ni utukufu gwedu.
\v 14 Kwa sababu ihi nakaba magoti kwa Aba.
\v 15 Ambaye kwaye kila lukolo mbinguni na ighu ya ianga yamagha ya irina.
\v 16 Nidalomba apate kuwaneemesha kufumana na utukufu gwake. Awabonye imara kwa ndighi kuidia ngolo wake, ambaye yu ndenyi yedu.
\v 17 Na tasa kwa Kristo ake ndenyi ya ngolo renyu kuidia imani.
\v 18 Ni datasa kwamba mke na shina na msingi gwa lukundo lwake, mke katika lukundo lwake ili mdime kuna uya andu amweri na wate waaminio jinsi ya upana na walacha na kimo na kina cha lukundo lwaKristo.
\v 19 Nidatasa kwamba mmanye wabaha gwa lukundo lwa Kristo ambagho ghudazidi kumanya mboye agha ili mchurighwe na ukamilifu ghose gwa Mlungu.
\v 20 Na ighi aha kwake ye adimanyagha kubanya kila ilagho, zaidi ya ghose dighatobagha au dighawezagha kuidia ndighi yake ibonya kazi ndeni yedu.
\v 21 Kwake ye kuke utukufu ndeni ya kanisa na Kristo Jesu kwa mbari rose kala na kala. Amina.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kwa kuwa kama mfungwa kwa ajili ya Mzuri, nikawsa msela sawasawa na kuwagwa ambako Mlungu wawangie.
\v 2 Muishi kwa unyenyekevu mbaka na upole na kuririmira. Mkidwayona katika lukundo.
\v 3 Bonyeni bidii kughutunza umoja gwa Ngolo katika kifungo cha imani.
\v 4 Kuko muvi ghumweri na Ngolo imweri, kama ambagho pia mwirikogho mwangwa katika loli watarajia mweri la kumegwa kwedu.
\v 5 Na kuko Mzuri umweri na imani mweri, mbatizo ghumweri.
\v 6 Na Mlungu umweri na Aba wa wose ye akaighu ya ghose, na katika ghose na andeni ya ghose.
\v 7 Kwa kila umweri wedu wamekiwe kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
\v 8 Ni kama maandiko ghadedagha. "Wapaiye ighu sana, wakurishiye mateka utumwa. Akafunya vipawa kwa watu."
\v 9 Ni indoi maana ya "wapaie" isipokuwa kughora waseie pia gosi ra isi ra isanga?
\v 10 Ye ambaye waseiye ni mundu ujamweni ambae pia wapaie kula ighu ya mbingu rose. Wabinyie huvu ili uwepo gwake katika vilambo vyose.
\v 11 Kristo wafunyie vipawa kama hivi mitume, walodi, wainjilisti, walisha na walimu.
\v 12 Wabonyie huwu kuwawezesha waumini kwa ajili yakazi ya huduma kwa ajili ya kuagha muvi gwa Kristo.
\v 13 Wabonyie huwa hadi isi wose difikie ghumweri gwa imani na maarifa gha mwana wa Mlungu. Adabonya huwu hadi didime kukomaa kama waja wafikia kimo kamili cha Kristo.
\v 14 Ihi ni wuja kughora chisake sena kama wawake, disasumburigwe huku na huko, ili kughora disavusigwe na kila ra watu katika kukala na tee riliopotoha.
\v 15 Badala yake dilongoze loli katika lukundo na kuzoghua zaidi katika chia rose ndeni yake ambaye niye chongo, Kristo.
\v 16 Kristo waunganishie kwa mndu amweri, muwi ghose gwa waumini. Gwa wadana andu amweri na kila kiungo ili kughora muvi ghose ghuke na kukiagha ghweni katika lukundo.
\v 17 Kwa huwo nadeda huwu na nawasihi katika Mzuri, msasele sena kama watu wa mataifa waselagha katika ubatili gwa ikili rawe.
\v 18 Wakumbigwa kira katika mawazo ghawe wavingwa kufuma katika banana ya Mlungu kwa ujinga ghuko ndenyi yawe kwa sababu kukua ngolo rawe.
\v 19 Ndaawa kiwanagha waya, wakikabidhi weni kwa ufisadi katika matendo machafu katika kila aina ya choyo.
\v 20 Lakini huwu siko mkifundishie kuhusu Kristo.
\v 21 Nadhani kughora mwasikire kuhusu ye nadhani kughora mwakogho mkifundishigwa katika ye kama da loli iko ndenyi ya Jesu.
\v 22 Lazima mvue malagho ghose yanayoendana na mwenendo gwenu gwa kala, wundo eva kala. Ni wando gwa kala huvundaa kwa sababu ya tamaa ra udanganyifu.
\v 23 Runenyi wundo gweju gwa kala ili kwamba mbonyigwe wapya katika ngolo re akili renyu.
\v 24 Bonyeni huwu ili mdime kurwa wando mbishi rughenda na Mlungu waumbiwa katika haki na utakatifu wa loli.
\v 25 Kwa huwo, kuka kula tee. "Dedenyi loli kila umweri na jirani wake," kwa tu washirika kwakla umweri kwa mbawe.
\v 26 Mke na hasira, lakini msabonye dhambi." Iruwa jisaswe mkika katika hasira renyu.
\v 27 Msaneke ibilisi nafasi.
\v 28 Wowose aiwagha lazima asaiwe sena. Badala yake ni lazima abonye kazi. Abonye kazi ikona manufaa kwa mikonu yake, ili kwamba adime kumhudumia mundu akona uhitaji.
\v 29 Kauli izamie isafuma momunye kwenyu. Badala yake adedo lazime ghafume katika monunyu gha mboie kwa mahitaji kuwaneka faida wajawasikiragha.
\v 30 Na msamhuzunishe Ngolo mtakatifu wa Mlungu. Nikwa ye kughora mwavikwa mhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
\v 31 Lazima mbike kula uchungu ghose, ghadhabu, hasira, ugomvi na matusi andu amweri na kila aina ya wovu, kenyi waboiye inyo kwa inyo.
\v 32 Mke na huruma msameheane inyo kwa inyo kama vuja Mlungu katika Kristo awasamehe inyo.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Kwa huwo mke watiu wa kumumugha Mlungu, kama wana wakundghwi.
\v 2 Msele katika lukundo, vuja kama Kristo adikundie isi akakifunya mweni kwa ajili yedu. Ye warikogho sadaka na dhabihu, kuka harufu imboiye ya kumboiya Mlungu.
\v 3 Zinaa angu vuchafu ghoghose na tamaa rizamie, lazima visatajiwe imbiri yenye kama ikundukane kwa waaminio.
\v 4 Wala machukizo ghosatajwe mariyo gha kipumbavu, angu mizaha ya uzalilishaji, ambayo siyo sawa, badala yake ike na shukrani.
\v 5 Mdadima kuka na kumanya kughora kuko zinaa, uchafu, wala atamaniye huyo ni mwabudisanamu ndadae kupala wose wose katika ufalme gwa Kristo na Mlungu.
\v 6 Mndu wowose asakuambie kwa madendo maduhu, kwa sababu ya malagho igha gha hasira ya Mlungu dacha ighu ya mwana wasatii.
\v 7 Huwu usashiriki andu amweri nawe.
\v 8 Kwa wuja inyokuambiri mwarikogho kirenyi, lakini igiaha mweko nuru katika Mzuri. Huwu selenyi kama wahave wa nuru.
\v 9 Kwa wuja matunda gha nuru wadajumlisha kumboa kose, kaki na loli.
\v 10 Lola chija chiboie chimfurahishagha kwa Mzuri.
\v 11 Ghusake ushirika katika kazi ra kira iseko na matunda, badala yake rike wazi.
\v 12 Kwa sababu malagho ghabonyighwa na wasiri ni mwaya sana hata kughaelezea.
\v 13 Malagho ghose ghavikwa wazi na nuru ghaka wazi.
\v 14 Kwa vuja kila kindo chaisikwa wazi cheko nuruni. Hivyo kudeda hivi, "Vukia we watungura na vukia kufuma mwafie na Kristo adaela ingu yako."
\v 15 Huwu kenyi makini jinsi mselagha, sio kama wadu waseko wakalie bali kama wakalie.
\v 16 Ghukombolenyi wakati kwa kuwa matuku ni ghauovu.
\v 17 Msake wajinga badala yake manyeni mundoi mapenzi gha Mzuri.
\v 18 Msalewe kwa chofi, idaghenja kwenye uharibifu, badala yake mchuirwe na Ngolo Mtakatifu.
\v 19 Arienyi na kila imweri wenyu kwa Zaburi na sifa na chombo ra ngolonyi. Borenyi na mtukuzeni kwa Ngolo kwa Mzuri.
\v 20 Daima funya togolo kwa malagho ghose katika irina la Kristo Jesu Mzuri wedu kwa Mlungu Aba.
\v 21 Kifunyeni inyo weni kila umweri kwa umwi kwa heshima ya Kristo.
\v 22 Waka, jivukenyi kwa vomi kenyu, kama kwa Mzuri.
\v 23 Kwa sababu mdumuni ni chongo cha mkate kama Kristo eko chigo cha kanisa. Ni mwokozi wa muvi.
\v 24 Lakini kama kanisa chiko ndonyi ya Kristo wovuwo waka lazima wabonye huwo kwa wami wawe katika ilagho.
\v 25 Wani wakundenyi waka wenyu kama waja Kristo ajikundiye kanisa na kakifunya mweni kwa ajili yake.
\v 26 Wabonyie huwo ili jike takatifu wajitakasie kwa kuliosha na machi katika ilagho.
\v 27 Wabonyie hivuili kwamba adime kukifunyiamweni kanisa tukufu, kuseko na ndoa wala waa au kilambo chifwana na agha, badala yake ni takatifu jiseko na ikosa.
\v 28 Kwa njia ijayeni, mami wakudighwi kuwakunda wake wawe kama muvi yawe. Ujaakundagha mkake akikundi mweni.
\v 29 Ndakudae hala umweri azamwagha ni muvi wake. Badala yake aghutubisha na kughukunda, kama Kristo pia agikundie kanisa.
\v 30 Kwa wuja isi ni washirika wa mwi gwake.
\v 31 Kwa sabau ihi mchumuni inawahusigha nde na maye na ataungana na mkake na owo muvi inavaka muvi ghumweri.
\v 32 Ughu wakogho luvizo. Lakini nadeda kuhusu Kristo na Kanisa.
\v 33 Walakini kila umweri wenyu lazima amkunde amkake kama mweni na mka kazima amheshimu mumi.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Wana watuni wazazi wenyu katika Mzuri, kwa wuja ni haki.
\v 2 Mheshimu ndeo na mayo" (Kwa waja ihi ni amri ya kiambiri ikona ahadi).
\v 3 Ili ike heri kwenyu na mdime kuishi maisha malacha ighu ya isanga.
\v 4 Na inyo makaaba, msawakwaze mwaha na kuwa sababaishia hasira, badala yake, walelenyi katika maonyo na maalangizo gha Mzuri.
\v 5 Inyo watumwa, iweni watiifu kwa Wazuri wenyu wa aha isanyeni kwa heshima mbaha na kukakama kwa hofu ifumagha ngoloni kwenyu. Mke watiifu kwowe haina vuja mnavyo mtii Kristo.
\v 6 Utii ghenyu ghusahe tu aja Wazuri renu wawanguagha ili kuwapendeza. Badala yake mke watiifu kama watumwa wa Kristo. Bonyeni mapenzi gha Mlungu kufuma ngolonyi kwenyu,
\v 7 Watumikienyi kwa ngolo renyu rose kwa waja mdamtumikia Mzuri na wala si wadamu.
\v 8 Mdapaswa kumanya kwamba katika kila tendo iboiye mundu ajibonya inawawokera zawadi kufuma kwa Mzuri, ikiwa mtumwa au mundu huru.
\v 9 Na inyo wazuri bonyeni huwo huwo kwa watumwa wenyu. Msawatishe mkimanya kwamba aka Mzuri wa wose wuja aka mbingunyi mkimanya kuwa ndakudae upendeleo ndenyi yake.
\v 10 Hatimaye kenyi na ndighi katika Mzuri na katika uwezo gwa ndighi rake.
\v 11 Rwenyi silaha rose ra Mlungu ili kwamba mpate kukakimusi kinyume na hila ra shetani.
\v 12 Kwa uja kondo yenyu si ya bagha na unyama bali ni dhidi ya falme na mamlaka ra ngolona watawala wa ulimwengu gwa uovu na kira, dhidi ya pepo katika sehemu ra Mbingu.
\v 13 Kwa hiyo rwenyi silaha rose ra Mlungu, ili mpate kuhakimusi imara dhidi ya uovu katika kipindi hiki kiovu. Badala yake kumeria kila kilambo mkakimusi imara.
\v 14 Hatimaye kenyi kimusi imara. Bonyeni huwa baada ya kuka mwafunya mkanda katika loli na haki taghenyi.
\v 15 Bonyeni huwo mkika mwarawa itayari maghunyi kwenyu gwa kutangaza injili ya amani.
\v 16 Katika kila hali mkivusa ngao ya amani, ambayo idakuwezesha kubwagha mishale ya uja mwovu.
\v 17 Rwenyi kofia ya wokovu na upanga gwa ngolo, ambayo ni ilagho cha Mlungu.
\v 18 Andu amweri na kutasa na dua. Tasenyi kwa ngolo kila wakati. Kwa mtazamo ughu kenyi waghalifu kila wakati kwa kurumaghia na kutasa kwa ajili waamini wose.
\v 19 Tasanyi kwa ajili yapwa, ili mrekwe ujumbe mkafungua momu gwapwa. Tasanyi kwamba mmanyishe kwa ujari loli ikivisiye ihusuyo injili.
\v 20 Ni kwa ajili ya injili nyi na balozi afungiwe minyororo. Ili kwamba ndeni yawe midede kwa ujasiri kama ninavyo wiwa kudeda.
\v 21 Lakini inyo pia mmanye malagho ghapwa na jinsi niendeleagha. Tikito mbari wapwa kipenzi na mtumishi mwaminifu katika Mzuri, awabarishagha kila kindo.
\v 22 Na mduma kwenyu kwa kusudi ihi maalumu ili kwamba mmanye malagho kuhusu isi adime kuwafariji ngolo renyu.
\v 23 Amani ndaike kwa mbari, na lukundo andu amweri na imani kufuma kwa Mlungu Aba na Mzuri Jesu Kristo.
\v 24 Neema na ike na inyo andu amweri na wose wamkundi Mzuri Jesu Kristo kwa lukundo luja kweni husafwie.

197
51-PHP.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,197 @@
\id PHP
\ide UTF-8
\h Wafilipi
\toc1 Wafilipi
\toc2 Wafilipi
\toc3 php
\mt Wafilipi
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo na timotheo, kilongozi wa Kristo Jesu, kwa vhatengengiwe katika Kristo vhakai agha Filipi, amweri na vharindighi na Mashemasi.
\v 2 Neema na ike kwenyu na amani ifumagha kwa Mlungu Aba wedu na Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 3 Ndamshukuru Mlungu wapwa kila andu ni vhakumbukaa inyo nyose.
\v 4 Mara rose katika kila iombi jhapwa kwa ajili yenyu inyo yose, huwa naboiwa nkivhaombea.
\v 5 Nkona shukrani nyingi kwa sababu ya ushirika ghawenu katika injili tangu maruvha gha kwanza mpaka ijhi aha.
\v 6 Nkona hakika kwa ye aanzie chaghu chiboie ndenyi yenyu imawaendelea kuikamilisha mpaka iruvha jha Mzuri Jesu Kristo.
\v 7 Ni sawa na kwapwa kakisikira havhu ighu yenyu inyo nyose kwa sababu na vhavhika ngolonyi kwapwa. Maana inyo mwaka vhashirika vhenza katika neema katika kifungo chapwa na katika kutandanya na uthibitishaji ghwangu ghwa injili.
\v 8 Mlungu ni shahidi wapwa, andu nikosha uku ighu yenyu nyose katika ghundenyi ghwa lukundo jha Kristo Jesu.
\v 9 Na ndaomba kwamba: lukundo jhenyu jhichurike zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wose.
\v 10 Ndaomba kwa ajili ya ijhi ili mke na uwezo ghwa kupima na kusaghwa malagho ghako bora sana pia ndawaombea ili mke mwaela kusake na hatia yoyose katika maruvha gha Kristo.
\v 11 Na pia ili mchurwe na itunda jha haki jhi patikanagha katika Jesu Kristo, kwa utukufu na sifa ya Mlungu.
\v 12 Idana vhambari vhapwa, nkundi muichi kuwa, malagho gha fumirie kwapwa yaibonya injili ikirie sana.
\v 13 Neo mana vifungo vyapwa katika Kristo, vyamanyikana kwa vhalinzi vha ikulu yose nakwa kila mndu pia.
\v 14 Na vhambari vhengi katika Mzuri, kwa sababu ya vifungo vyapw, vhashawishika na kugheria kujhihubiri ilagho kusako hofu.
\v 15 Badhi loli hata vhadamtangaza Kristo kwa fitina na kondo, na pia vhamwe kwa nia iboie.
\v 16 Vhaja vhamtangaza Kristo kwa lukundo vhadaichi kuwa navhikwa aha kwa ajili ya kutandanya injili.
\v 17 Bali vhamwe vhadamtangaza Kristo kwa ubinafsi na nia izamie. Vhaichi kuwa vhadasababisha vhasi kwapwa katika minyororo yapwa.
\v 18 Kwa huvho? sijali, aidha chia ikaka ni kwa hila angu kwa loli, Kristo adatangazwa, na katika ijhi ndaboiwa! Hee, imanaboiwa.
\v 19 Kwa kuwa ijhi ima jhareda kuvhikwa mwari kwapwa. Ilagho ijhi imahja fumiria kwa sababu ya maombi yenyu na kwa msaada ghwa ngolo wa Jesu Kristo.
\v 20 Kufumana na matarajio ghapwa gha uhakika na loli ni kwamba, sivhona vhwapi, Bada la yake, kwa ujasiri wose, kama ambavo maruvha ghose na ijhi aha, ndatarajia kuwa Kristo ima wainulighwa katika banana angu katika kifo.
\v 21 Kwa maana kwapwa nyi, kuishi ni Kristo na kufwa ni faida.
\v 22 Elakini, kama kuishi katika muvhi huvha itunda katika chaghu chapwa, kw hiyo sii chi ni jhao jha kusaghua.
\v 23 Maana ndasukumwa sana na mawazo agha avhi. Nko hamu ya kuusigha muvhi na kuka amweri na Kristo, kindu ambacho ni cha thamani sana sana.
\v 24 Ingawa, kubaki katika muvhi ughu ni ilagho jha muhimu sana kwa ajili yenyu.
\v 25 Kwa kuwa nkona uhakika ighu ya ijhi, ndaichi ima nabaki na kuendelea kuka amweri nainyo nyose, kwa ajili ya maendeleo na furaha ya imani yenyu.
\v 26 Na ihi ima yareda furaha yenyu mbaha katika Kristo Jesu, kwa sababu yapwa ima yachua, kwa sababu ya uwepo wapwa sena amweri na inyo.
\v 27 Mndakundighwa kuishi maisha ghenu katika mwenendo uboie uipasagha injili ya Kristo. bonyeni huvho ili nikicha kuvhavhona angu nikisecha, nisikire kuwa mwasimama imara katika ngoli imweri. Nda tamani kusikira kuwa mkona ngolo imweri, mkaishindania imani ya injili andu imweri.
\v 28 Na msatishwe na kindu chochose chibonywaa na maadui renyu. Ihi kwavhwe ni ishaa ya unonefu. Bali kwenyu ni ishara ya wokovu kufuma kwa Mlungu.
\v 29 Kwa maana inyo mwanekwa kwa ajili ya Kristo, m sio kumwamini tu, bali na kuteswa pia katika ye.
\v 30 Kwa maana mko na mgogoro ujha ujha kama muuvhonie kwapwa na mdasikira kwamba niko nao hata ijhi aha.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Ikawa kuhokumbwa ngolo katika Kristo. Ikawa kuko faraja kufuma lukundisho lwake. Ikawa kuko ushirika wa ngolo ikawa kukombozi na rehema.
\v 2 Ikamilishaji furaha yapwa kwa kunia andu amweri, mkika na lukundo lumweri mkika katika ngolo na kuka na kusudi imweri.
\v 3 Msabonye kwa ubinafsi na majivuno. Isipokuwa kwa unyenyekevu mkiwaona wamwi ni bora zaidi yenyu.
\v 4 Kila umweri asanguwe mahitaji ghake binafsi, bali ajali mahitaji ghamwamwi.
\v 5 Mke na nia kama akanayo Kristo Jesu.
\v 6 Ingawaje ye ni sawa na Mlungu. Lakini ndajaki kuka sawa na Mlungu ni kitambo cha kumaziria nacho.
\v 7 Badala yake akakisera mweni. Wanusiye umbo cha mtumishi. Akawoneka mdamu.
\v 8 Ye akakinyenyekeza na kuka mtiifo kifwa cha msalaba.
\v 9 Huwu basi Mlungu akambiha imbiri. Akamneka ina abaha jiia dagha mavina ghose.
\v 10 Wabonyie huwo ili kwamba katika irina ja Jesu kila ngoti mwa cha kabwa. Magoti gha heko mbingunyi na weko juu ya isanga ana ndonyi ya isaga.
\v 11 Na wabonyie huwo kwamba kila lumi sharti hukiri kughara kwamba Jesu Kristo ni Mzuri, kwa wabahawa Mlungu Aba.
\v 12 Kwa ijaha wakundwa wapwa kama mvotii siku rose, si tu katika lukundo wapwa lakini ijaha ni zaidi sana hata kuseko lukundisho lwapwa, uwajibikeni kutakata kwenyu inyo weni kwa hofu na kutetemeka.
\v 13 Kwa wuja ni Mlungu abonyaa kazii ndenyi yedu ili kuwezesha kunia na kubonya malagho ghamboiyagha ye.
\v 14 Bonyeni malagho ghose bila malamiko na mabishono.
\v 15 Bonye huwa ili kwamba msalaumike na kwa mana wa Mlungu waminifu waseka na lawama. Bonyeni huwo ili kwamba mke ni uhuru wa isanga, katika lukolo lwa uasi na uovu.
\v 16 Wadeni sana ilagho cha bahana ili kwamba nike na sababu ya kutukuza siku ya Kristio. Kisha inamanyana kwamba sikabia mbio bure sitadiboie bure.
\v 17 Lakini hata kama ni damiminwa kama sadaka ni ya dhabihu na huduma ya imani yenyu, ni daboiwa na nidaboiwa adi amweri na inyo.
\v 18 Na inyo pia mdaboiwa na mdaboiwa aduamwweri nayi.
\v 19 Lakini matumaini katika Mzuri Jesu kuriduma Timotheo kwenye shwaa weri ili kwamba ipate kukumbighwa ngoloikamanya malagho ghenyu.
\v 20 Kwa waja ridae umwi akana mtazamo sa wake, akanaia ya loli kwa ajili yedu.
\v 21 Wamwi wose ambawo ningewatuma kwenyu wadalola malagho ghawe mweri binafsi tu, na sigho malagho gha Jesu Kristo.
\v 22 Lakini mwaimanya thamani yake, kwa sababu kama mwana amhudumiagh ndee, niko ulivyotumika adu amweri nanyi katika injili.
\v 23 Kwa hiyo atenganya kumtuma lwaweri pindi tu nidima kumanya niindoi chifumiriagha kwapwa.
\v 24 Lakini nahaka katika Mzuri kwamba nyi mweni pia inamacha huwu karibuni.
\v 25 Lakini nateganya muhimu kumwuja kwenyu Epafradito. Ye ni mbari wapwa mbonya kazi ni mbedu na askari mbedu, Mzuri na mtumishi wede kwa ajili ya mahitaji ghapwa.
\v 26 Kwa sababu warikoghwa na hofu na watamanie kuka pamoja na inyo wose, kwa vuja mwasikire kwamba warikogho mkongo.
\v 27 Maana n i loli warikogho mkongo sana kiasi cha kufwa. Lakini Mlungu akamwania mbazi na wema ugho ndaghoko juu yake tii, lakini pia warikogha juu yapwa, ili kwamba nisake na huzuni ighu ya huzuni.
\v 28 Kwa hiyo inamamwaja shwaweri kagha, ili kwamba mkamwona sena mpate kuboiwa na inyi mweni imana ka naichighwa wasi wasi.
\v 29 Mkaribishenyi Epafradito katika Mzuri kwa furaha rose. Waheshimunyi wandu kama ye.
\v 30 Kwa wuja yariko kwa ajili ya kazi ya Kristo kwamba alikaribia kufwa. Alihatarisha maisha ghake ili kuiokoka nyi na kubonya chicha ambacho cha diriagha kubonya katila kunihudumia nyi kwa mkonu mbali na nyi.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Hatimaye, bambari bapwa boirwenyi katika Bwana. Sibona kugaya kubaadikia sena madedo gaja geni. Aga mambo gaminekaga usalama.
\v 2 Jihadharinyi na koshi. Jihadharinyi na batenda kazi bazamie. Jihadharini na baja bakidemaa mibi yabwe.
\v 3 Kwa kugora isi niyo tohara. Isi niyo dimwabudu Mlungu kwa msaada gwa Roho. Ddijunukiaga katika Kristo Jesu, na ambago ndidideae ujasiri katika mubi.
\v 4 Hata hubo, kama kwa kogo na mundu wa kutumainiwa mubi, ugu, nyi mangu nadima kubonya hubo hubo nanganyi.
\v 5 Kwani natahiriwe ituku ja nane, navalwe katika ikabila ja waisraeli. Na wakabila ja Benjamini. Na mwebrania wa waebrania. Katika kuitimiza haki ya sheria ya Musa, narikogo, Farisayo.
\v 6 Kwa juhudi rapwa najitesie Ikanisa. Kwa kuitii haki ya sheria, sikogo na lawama kisheria.
\v 7 Lakini katika mabo gose nagawona kuwaga faida kwapwa nyi, nagatalie kama buchama kwa sababu ya kummanya Kristo.
\v 8 Kwa loli, nagatale mambo gose kugora ni kutokana na ubora gwa kummanya Kristo Jesu Bwana wapwa.
\v 9 Na nibonekane ndenyi yake. Sidae haki yapwa binafsi kufuma katika sheria, bali nikona haki ija ipatikanaa kwa imani katika Kristo, ifumaga kwa Mlungu, ikona msingi katika imani.
\v 10 Idana nakundi nimmanye ye na ndigi ya ufufuo gwake na ushirika gwa mateso gake. Nakundi kughaliswa na Kristo katika mfano gwa kufura chake.
\v 11 Angalau nidime kukaa na matumaini katika ufufuo gwa wafu.
\v 12 Siyo loli kwamba tayari nagapatie mambo aga, au kwamba nakaia mkamilifu katika ago. Bali najitahidi ili nidime kupata chija chapatikana na Jesu Kristo.
\v 13 Bambari bapwa simanya kwamba nameria kupata mambo ago. Bali nabonya ilago jimweri nagaliba ga nyuma nagatizama ga imbiri.
\v 14 Najitahidi kufikia ilengo kusudi ili nipate tuzo ya igu ya gwa Mlungu katika Kristo Jesu.
\v 15 Bose dauzogula wokovu, dapaswa kuwaza namna ihi. Na ikakaia umwi wadi mafikiri kwa namna iko tofauti kuhusu ilago jojose, Mlungu pia wadimajifunua ijo kwenyu.
\v 16 Hata hubo, hatua ya daidoka na digende katika mtindo ugo.
\v 17 Bambari bapwa, nigenyi nyi. Bagubenyi kwa makini baja bagenda kwa mfano guko gwa jinsi yedu.
\v 18 Bengi baishi nibaja ambabo mara nyingi nabogorie, na ijiaha nabagoria kwa mbori bengi badaishi kama maadui gwa msalaba gwa Kristo.
\v 19 Mwisho gwabweni kunona kwa kugora Mlungu wabwe ni kifu, na kiburi chabwe chiko katika bwaya gwabwe. Bafikiria mambo ga kiisanga.
\v 20 Bali uraia gwedu guko mbingunyi, ambako da damtarajia mwokozi wedu Jesu Kristo.
\v 21 Wadima galusa mubi yedu dhaifu kukaia kama mubi gwake wa kueliwa, uweza guja guja gumwezeshaga kuvidhibiti vilambo vose.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kwa hiyo vambari, vapwa abao nawatamani ambayo nifaraja ya taji yapwa kenyi kimsikwa Mzuri uyo amwedu wakundwa.
\v 2 Na kutokera wee Eudia, pia nakokera we sintike mvuje mahusiano ya amani ghadi yenyu kwa kuwa inyo vavi mwaungiwe ni Mzuri.
\v 3 Kwa loli na vakasha inyo mbonyaa chaghu vambadu mvatavrie inyo mbonyaa chaghu vambadu mvatavarie waka kwa andu vatimike andu amweri nanyi kwa kugotesha injili ya Mlungu na kelementi andu amweri na watumishi wengi ya Mzuri ambagho marina ghawe ghaandikiwe kwa kitabu cha vulazi.
\v 4 Kwa Mzuri mruva ghose sena nadeda boiwenyi.
\v 5 Kuhoa kwenyu kumanyike na wandu wose Mzuri weko avui.
\v 6 Msakiagaishwe kwa ilagho jojose badala yake bonyeni malagho ghenyu wose kwa chia ya kulomba na kushukuru. Na maghesho ghenu yamanyikane kwa Mlungu.
\v 7 Basi amani ya Mzuri iko mbaha kuliko kumanya kwenyu dima yalindia ngolo na matenganyo ghenyu kwa msaada Kristo Jesu.
\v 8 Hatimaye vambari vapwa yalengenyi malagho ghose ghako na loli heshima, haki, usafi, likundo, na yaja ghako safi iboiye gheko na busara na ghaja ghakundi kutogoliwa.
\v 9 Ghabonyeni malagho mwakifundisha ghaya mwarokera mwaghasikira na yaja mwavona kwapwa nae Aba wedu wamani akagha na isi.
\v 10 Nekona raha mbaha sana ighu yenyu kwa Mzuri kwa andu inyo mwabonyera sena na kukihusisha kwenyu ighu ya mahitaji ghenyu kwa loli aho imbe mwatama kuisikira kwa mahitaji ghapwa kwa andu nakufundisha kukunda kwali yose.
\v 11 Sidedagha huvo ili pata kilambo kwa ajili ya mahitaji ghapwa.
\v 12 Na ichi kuka katika kupungukiwa na pia kuka na hali ya vungi. Kwa mazingira ghose agha nyii nakufundisha siri naamna ya kuja waakati ghwa kukudana na jinsi ya kuja wakati ghwa njala.
\v 13 Dima mwabonya agha kwa kulavariwa na anikumbuke ndigi.
\v 14 Hata inyo mwabonyie nicha kukirishana nanyi kwa tabu rapwa.
\v 15 Na inyo pia inyo weni mdaichi niyo wafilipi, ya kuwa katika mwanzo gwa injili, nichafuma makedonia, ndakudae nyumba ya Mlungu imwi ambayo yashirikiana nanyi katika habari hii ya kufunya na kuwokera, ela inyo wenikeri.
\v 16 Hata nirikogho thesaslonike inyo mwaniduma msaada zaidi ya iweri kwa ajili ya mahitaji ghapwa.
\v 17 Simanishi kwamba nakundikutavariwa. Bali nadeda ili mpate matunda gharedagha faida kwenyu.
\v 18 Navokera vilambo vose, naji aha nachuraiwa na vilambo vingi, navokera vilambo venyu kufuma kwa Epafradito, vilambo vibone vinukiagha mithiri ya manukato. Vibadilishagha ambavo vose ni sadaka imboigha Mlungu.
\v 19 Kwa ajili ya Mlungu wapwa avajuriagha mahitaji ghenyu kwa utajiri ghwa utukufu ghwake kwa Jesu Kristo.
\v 20 Inji aha kwa Mlungu na Aba, wedu uke utukufu wa milele na milele. Amina.
\v 21 Salam rapwa rivafikie kila muumini kwa Kristo Jesu, wapendwa nikogho navo aha vada vala msenyi.
\v 22 Pia vaumini voche aha vada milamsenyi hasa vaja vya familia ya kanisa.
\v 23 Na iji ha neema ya Mzuri wedu Jesu Kristo ike na ngolo redu.

184
52-COL.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,184 @@
\id COL
\ide UTF-8
\h Wakolozai
\toc1 Wakolozai
\toc2 Wakolozai
\toc3 col
\mt Wakolozai
\c 1
\cl Sura1
\p
\v 1 Paulo, mlodi wa Kristo Jesu kira mapenzi gha Mlungu na Timotheo mpari wedu.
\v 2 Kwa waumini na mbari waaminifu katika Kristo weko Kolozai. Neema ike kwenyu na amani kufuma kwa Mlungu Aba wedu.
\v 3 Tufunya shukrani kwa Mlungu, Aba wa Mzuri wedu Jesu Kristo, na dawatesia mara kwa mara.
\v 4 Dasikira imani yenyu katika Jesu Kristo na lukundo mkonagho kwawaja wose watengiwe kwa ajili ya Mlungu.
\v 5 Mkona lukundo ulu kwa sababu ya taraja la uhakika lililohifadhiwa Mbingunyi kwa ajili yedu. Mwasikira kuhusu taraja hivyo ya uhakika kabla katika ilagho cha loli, injili,
\v 6 Ambayo yachee kwenyu. Injili ihi idava itunda na idaenea ulimwengunyi kose. Yaka ikibonya hurundenyi yenu pia tangu huma mko mwasikira na kukifundisha kuhusu neema ya Mlungu katika loli.
\v 7 Ihi niyo injili wakifundishie kufuma kwa pafra, mkundwa wedu mtumishi wedu ambaye ni mtumishi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yedu.
\v 8 Epafra waghubonyie ghumanyikane kwedu lukundo wedno katika ngolo.
\v 9 Kwa sababu ya lukundo ulu, tamgu makati disikire huwu dadisire kuwatesia. Dakogho dikilomba kwamba imamwachura na maarifa gha mapenzi ghake katika nhekima yose na ufahamu gharikogho.
\v 10 Darikogho dikilomba kwamba mdasela kwa usitamilivu gha Mzuri katika chia riboie. Darikogho dikilomba kwamba mvagha itunda katika kila itendo jiboie na kwamba imawaka katika maarifa gha Mlungu.
\v 11 Dalomba mdime kukumbwa, dighi katika kila uwezo kulingana na ndighi ra utukufu wake katika uvumilivu na ustahimilivu ghose.
\v 12 Dalomba kwa furaha, mdafunya shukrani kwa Aba, wawabonye inyo mdime kuka na gase katika kupata laghwa waumini katika mwangaza.
\v 13 Wadikombolie kufuma katika utawala ghwa kira na kudifananisha katika ufalme gwa mwana wake mkundwa.
\v 14 Katika mwanake dikona ukombozi, msamagha gwa dhambi.
\v 15 Mwana ni mfano ga Mlungu asawachagha ni mvalwa wa kiambiri wa uumbaji ghose.
\v 16 Kwa wuja kwa ye ilambo nyose vaumbiwavya viko mbingunyi na viko isaghenyi, vilambo viwonekagha na visawonekagha ikaka ni ya enzi angu mamlaka au utawala wakona ndighi vilambo vose vyaumbiwe ni ye na kwa ajili yake.
\v 17 Ye weko kabla ya vilambo vose na katika ye vilambo vose vidawandana andu amweri.
\v 18 Naye niye, chongo na muvi yaani kanisa ye niye kiambiri na mvalwa wa kiambiri kufuma miongonyi mwa wafu, huwo akona nafsi ya kiambiri miongonyi mwa vilambo vose.
\v 19 Kwa kuwa Mlungu waboiwe kusamba utukufu gwake ghose ghuishi ndenyi yake.
\v 20 Na kupatanisha vilambo vyose kwake kwa njia ya mwanake Mlungu wabonyie amani kuidia bagha msalaba wake. Mlungu wapatanishie vilambo vose kwake mweni. Ikiwa ni vilambo va isanga au vilambo va Mbingunyi.
\v 21 Nanyi pia kwaghumweri mwarikogho warenyi kwa Mlungu na mwakogho maadui waake katika akili na matendo ghazamiye.
\v 22 Ela ingiaha wawachosa inyo kwa muvi gwake kuidia kifo. Wabonye huwo ili kuwareda inyo watakatifu, waseko na lawama na bila dosari imbiri yake.
\v 23 Kama mkaendelea katika imani mwaimarisha gwa na kuwa thabiti kuseko kuichi gwa kula kufuma kwenye taraja la ujasiri la injili mwaisikire. Ihi niyo injili itangaziwe kwa kila mundu aumbiwe ndonyi ya mbingu. Ihi niyo injili ambayo kwayo nyi, Paulo, niko Mtumishi.
\v 24 Iji aha naboiwa ni mateso ghapwa kwa ajili yenyu. Nnyi natimiza katika muvi ghapwa chipungua kwa mateso gha Kristo kwa ajili yenyu. Nanyi watimiliza katika muvi ghapwa chipunguagha kwa mateso gha Kristo kwa ajili muvi gwake, ambagho ni kanisa.
\v 25 Nyi watumishi wa kanisa iji, sawasawa na wajibu mnekiwe kufuma kwa Mlungu kwa ajili yenyu, kuchichura ilagho cha Mungu.
\v 26 Ihi ni loli ya siri irikogho yavisiwa kwa makati miaka mingi na kwa vizazi. Ela iji aha yafunuliwa kwa wose waaminio katika ye.
\v 27 Ni kwa waja ambawo Mlungu wakundie kufuma kuko utajiri gwa utukufu gwa siri ya loli ihi miongonyi mwa mataifa. Ni raghora Kristo weko ndenyi yedu, ujasiri gwa utukufu ghuchaa.
\v 28 Uyu ni ye dimtangazagha. Damkasha kila mundu, na kumfundisha kila mundu kw heshima rose, ili kkwamba dimrede kila mundu mtakatifu katika Kristo.
\v 29 Kwa ajili ibhi, nyi ndajibidiisha na kukitahidi kulingana na ndighi yake ibonyagha chaghu ndenyi yapwa katika uweza.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa wuja nkundi mmanye jinsi ambavyo naka na taabu nyingi kwa ajili yenyu, kwa wose wakoo laodikia na kwa wose ambawo ndawawonie wushu gwapwa katika muwi.
\v 2 Nabonya kazi ili kwamba yawhe idime kufarijiwa kwa kuredigwa andu amweri katika lukundo na katika utajiri wose gwa wingi gwa uhakika kamili wamaarifa, katika kukimanya kiviso cha loli cha Mlungu.
\v 3 Katika ye hazina rose ra hekima na maarifa ravisigwa.
\v 4 Nadeda huwu ili kwamba mundu wowose asache akawabonyia hila kwa hotuba yeni ushawishi.
\v 5 Na ingawa siko andu amweri na inyo katika muwi, ela neko na inyo katika ngolo. Ndaboiwa kuwona utaratibu wenyu guboie na ndighi ya imani yenyu katika Kristo.
\v 6 Sa andu mwawokera Kristo Mzuri ghendenyi katika ye.
\v 7 Mwimarishwe katika ye, muaghwe katika ye, mwimarishwe katika imani sa andu tu mwafundishigwa, na kurugwa katika shukrani nyingi.
\v 8 Guwenyi ya kwamba mundu wowose asawanase kwa falsafa na madedo maduhu gha kuembia kulingana na mawokero gha wadamu, kulingana na kanuni ra kidunia, na sio kulingana na Kristo.
\v 9 Kwa wuja katika ye ukamilifu wose gwa Mlungu ghadaka katika muwi.
\v 10 Na inyo mwachurigwa katika ye. Yeni chogho cha kila uweza na mamlaka.
\v 11 Katika ye pia mwachuligwa kwa tohara isabonywagha ni wadamu katika kuinjigwa muwi gwa nyama, ela ni katika tohara ya Kristo.
\v 12 Mwarikiwe andu amweri na ye katika ubatizo. Na kwa chia ya imani katika ye mwafufuliwa kwa uweza gwa Mlungu, wamfufuie kufuma kwa wafwie.
\v 13 Na mrikogho mwafwa katika makosa ghenyu na kutokuchulwa kwa miwi yenyu, wawabonyie hai andu amweri na ye na kudisamehe makosa ghedu ghose.
\v 14 Nafutie kumbukumbu ya masile iandikiwe, na taratibu rikoo kinyume na isi. Wainjie ghose na kuigongomea msalabenyi.
\v 15 Warinja ndighi na mamlaka. Waghawikie mwari na kughabonya kuka gonda ya ushindi kwa chia ya msalaaba gwake.
\v 16 Kwa huwo, mundu wowose asamihukumu inyo katika kuja angu katika kunywa, angu kuhusu irawa ja sikukuu angu mweri mwishi, angu maruwa gha sabato.
\v 17 Ivi ni viju va malagho ghachagha, ela kiini ni Kristo.
\v 18 Mundu awaye yose asasokwe tuzo yake kwa kutamani unyenyekevu na kwa kuabudu malaika. Mundu wa jinsi iyo huingia katika malagho agha na kushawishiwa ni mawazo ghake gha kimuwi.
\v 19 Ye ndachiwadaa chongo. Ni kufuma katika chongo kwamba muwi gwose kuidia vilungo vake na maindi hulugwa na kuwadwa andu amweri, na huzoghua kwa uzoghuaji ufunywagha ni Mlungu.
\v 20 Ikika mwafwie andu amweri na Kristo kwa tabia ra dunia, mbona mdaishi ngelo mdawajibika kwa dunia.
\v 21 Msawhade, wala kutoa, wala kuwhada"?
\v 22 Agha ghose ghaamriwa kwa ajili ya unonefu ghuchagha na matumizi, kufumana na maelekezo na mafundisho gha wadamu.
\v 23 Sheria iri rikona hekima ya dini riaghiwe kwa ubinafsi na unyenyekevu na mateso gha muwi. Ela ndariidae thamani dhidi ya tamaa ra muwi.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Ikika sena Mlungu wawafufua andu amweri na Kristo, ghalolenyi malagho gha ighu ambako Kristo adaka mkonu gwa kujo gha Mlungu.
\v 2 Teganyeni kuhusu malagho gha ighu, sio kuhusu malagho gha dunienyi.
\v 3 Kwa wuja mwafwa, na maisha ghenyu ghavisigwa andu amweri na Kristo katika Mlungu.
\v 4 Makati Kristo achawonekana, ambae ni maisha ghenyu, niko na inyo pia dimamwanekana na ye katika utukufu.
\v 5 Kwa huwo ghabwaghenyi malagho ghakoo katika isanga yaani, zinaa, uchafu, shauku izamie, nia izamie, na tamaa, ambayo ni ibada ya isanamu.
\v 6 Ni kwa ajili ya malagho agha ghadhabu ya Mlungu idacha ighu ya wavalwa wasatii.
\v 7 Ni kwa ajili ya malagho agha inyo pia mwaghendie kwa yo mchaka kati yawhe.
\v 8 Ela idana ni lazima mghanyie malagho agha ghose. Yaani, ghadhabu, hasira, nia izamie, maanyiro, na madedo machafu ghafumagha momunyi kwenyu.
\v 9 Msambiane inyo kwa inyo, kwa wuja mwarua undu ghwenyu gwa kala na matendo ghake.
\v 10 Mwarwa undu mwishi, ambagho udabonywa upya katika maarifa kufumana mfwano wa uja amuumbie.
\v 11 Katika maarifa agha, ndakudae myunani na myahudi, kuchuligwa na kutokuchuligwa, msomi, asiye msomi, mtumwa, asiye mtumwa, ela badala yake Kristo ni malagho ghose katika ghose.
\v 12 Ngelo wateule wa Mlungu, weli na wakundigwi, kirwikenyi undu wema, ukarimu, unyenyekevu, kuhoa na kurumaghia.
\v 13 Wusianenyi inyo kwa inyo. Wonianenyi mbazi kila mundu na mbawe. Ngelo mundu akona ilalamiko dhidi ya umwi, amsamehe kwa jinsi ija yeni ambayo Mzuri andu wawasamehe inyo.
\v 14 Zaidi ya malagho agha ghose, mke na lukundo, ambalo nio kigezo cha ukamilifu.
\v 15 Sere ya Kristo na iwalongoze mioyoni kwenyu. Irikogho ni kwa ajili ya sere ihi kwamba mwawangiwe katika muwi umweri. Kenyi na shukrani.
\v 16 Na idedo ja Kristo jike ndenyi yenyu kwa ghutajiri. Kwa hekima yose, fundishanenyi na kushauriana inyo kwa inyo kwa zaburi, chombo, na chombo ra ngolonyi. Borenyi kwa shukrani mioyo yenyu kwa Mlungu.
\v 17 Na chochose mbonyagha, katika madedo angu katika matendo, bonyeni ghose katika irina ja Mzuri Jesu. Mnekenyi shukrani Mlungu Aba kuidia ye.
\v 18 Waka, wanyenyekeenyi womi wenyu, sa andu ipendezagha katika Mzuri.
\v 19 Na inyo womi, wakundenyi waka wenyu, na msake wabirie dhidi yawhe.
\v 20 Wana, watiinyi wazazi wenyu katika malagho ghose, maana nio imboiwagha Mzuri.
\v 21 Waka Aba msawachokoze wana wenyu, ili kwamba wasache kata tamaa.
\v 22 Watumwa, watiinyi wazuri wenyu katika muwi kwa malagho ghose, sio kwa huduma ya meso sawandu wa kufurahisha tu, bali kwa moyo gwa loli. mbonyenyi Mlungu.
\v 23 Chochose mbonyagha, bonyeni kufuma nafsinyi kwenyu sa kwa Mzuri na si sa kwa wadamu.
\v 24 Mdamanya ya kwamba dima mwawokera tuzo ya umilikaji kufuma kwa Mzuri. Ni Kristo Mzuri mumtumikiagha.
\v 25 Kwa sababu wowose abonyagha ghasadae hadi dimawawokera hukumu kwa matyendo ghasadae hachi waghanyie, na ndakudae upendeleo.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Wazuri, funyeni kwa watumwa malagho gha hachi na gha adili. Mdaichi pia kwamba mkanae mzuri mbingunyi.
\v 2 Endeleenyi kuka thabiti katika malombi. Kenyi meso katika ijo kwa shukrani.
\v 3 Tasenyi andu amweri kwa ajili yedu pia, ilikwamba Mlungu arughue mjango kwa ajili ya idedo, kudeda kiviso cha iloli cha Kristo. Kwa sababu ya iji narugwa minyororo.
\v 4 Natasenyi kwamba nidime kujiwika mwari, sa andu inipasaa kudeda.
\v 5 Ghenda kwa hekima kwa waja wakoo shighadi, na muukombole wakati.
\v 6 Madedo ghenyu na ghake na neema makati ghose, na ghakolee munyu majira ghose, ili kwamba mdime kumanya yawapasa kumjibu kila mundu.
\v 7 Kwa malagho ghanihusuu nyi, tikiko dimawaghabonya ghamanyikane kwenyu. Ye ni mmbari mkundwa, mtumishi mwaminifu, na mtumwa mbedu katika mzuri.
\v 8 Ndamduma kwenyu kwa ajili ya iji, kwamba mdime kumanya malagho kuhusu isi na pia kwamba adime kuwakumba ngolo.
\v 9 Ndamduma andu amweri na Onesimo, mmbari wedu mkundwa mwaminifu, na umweri wenyu. Dima wamighoria kila kilambo chifumirie aha.
\v 10 Aristarko, mfungwa mbedu, adawasalimu, pia na marko binamu yake na Barnaba muwokerie utratibu kufuma kwake, "ngelo akacha kwenyu, mwokorenyi,"
\v 11 Na pia Jesu awaghangwa Yusto. Awaweniekeri wa tohara ni wabonya kazi wabedu kwa ajili ya ufalme gwa Mlungu. Waka ni faraja kwapwa.
\v 12 Epafra adamlamsa. Ye wa umweri wenyu na mtumwa wa Kristo Jesu. Ye hubonya bidii katika malombi kwa ajili, ili kwamba mdime kukamsi kwa ukamilifu na kuhakikishwa kikamilifu katika mapenzi ghose gha Mlungu.
\v 13 Kwa wuja ndamshuhudia, kwamba adabonya kazi kwa bidii kwa ajili yenyu, kwa awowakoo laodekia, na kwa awo wakoo Hierapoli.
\v 14 Luka uja tabibu mkundwa, na Dema wadamlamsa.
\v 15 Walamse wambari wapwa wakoo laodekia, na Nimfa, na nyumba ya Mlungu ija ikoo nyumbenyi kwake.
\v 16 Barua ihi ichaka yasomigwa miongonyi kwenyu, isomigwe pia kwa nyumba ya Mlungu ya walaodekia, na inyo pia hakikishenyi mdaisoma ija barua kufuma laodekia.
\v 17 Deda kwa Arkipo, "Guwa ija huduma ambayo waiwokera katika Mzuri, kwamba udapaswa kuitimiza.
\v 18 Salamu ihi ni kwa mkonu gwa mweni- Paulo. Ikumbukenyi minyororo yapwa. Neema na ike na inyo.

175
53-1TH.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,175 @@
\id 1TH
\ide UTF-8
\h 1 Wathesalonike
\toc1 1 Wathesalonike
\toc2 1 Wathesalonike
\toc3 1th
\mt 1 Wathesalonike
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, Silwano na Timotheo kwa ikanisa ja thesalonike kwa Mlungu Aba na Mzuri Jesu Kristo, neema na Amani ike kwenyu.
\v 2 Dafunya shukrani kwa Mlungu kila mara kwaajili yeyu wose, wakati dikiwataja kwa maombi ghedu.
\v 3 Daikumbukagha bila kunyama imbiri ya Mzuri na Aba wedu chaghu chedu cha imani, juhudi ya lukundo, na kurumaghia wekona ujasiri kwa ajili ya baadaye kwa Mzuri Jesu Kristo.
\v 4 Wambari mkundiwe ni Mlungu daichi wito wenyu.
\v 5 Na jinsi ijiyedu, ichee kwenyu si kwa idedo tu bali pia kwa ndighi kwa Ngolo Mtakatifu na kwa uhakika na kwa namna hiyo, mwaichi pia isi dakogho wandu wa namna ki ghadi yenyu kwa ajili yenyu.
\v 6 Mwakogho wandu wa kudigha isi na Mzuri, kama mvokerie idedo kwa shida na raha ifumagha kwa Ngolo Mtakatifu.
\v 7 Na matokeo ghake, mkaka mfano kwa wose kwa makedonia na akaiya ambagho hawaamini.
\v 8 Kwa kuwa kufuma kwenyu idedo ja Mlungu ja gota kose, na isi kwa makedonia na akaya mwenekeri, badala yake kwa kila andu imani yenyu kwa Mlungu yagota kose na matokeo ghake ndikundi kudeda chochose.
\v 9 Kwa kuwa awo wekona uaminifu kucha kwedu wakogho wa namnakighadi yenyu vaaria vada andu mwemuaghukia Mlungu kufuma kwa sanamu na kumgimbika Mlungu eko banana na wa loli.
\v 10 Wafunya habari kwa melamvesera Mzuri wake kufuma ighu, afunukulwe kufuma kwa wafu na uyo ni Jesu, ativikagha huru kufuma kwake adhabu ichaa.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa andu inyo weni mwaichi, mbari kwa kucha wedu kwenyu ndaghuko gha bure.
\v 2 Mwaichi kughoria kiambiri dalesikie na kudibonya waya kuja Filipi, kama muichi. Dakogho na ujasiki kwa Mlungu hata kwa taabu nyingi.
\v 3 Kwa maana mahusiano ghedu ndaghafumana na kuzama, wala kwa uchafu wala kwa hila.
\v 4 Badala yake, kama vuja dapatana na Mlungu na kuaminiwa injili, niko didedagha. Didedagha si kwa kuboiwa kwedu, ela kuboiwa Mlungu. Yemweni nije agu vya ngolo redu.
\v 5 Kwa andu ndaditumie madedo gha kukipendeza wakati wowose kama ichi, wakutumia malagho kama kisingizio kwa taa, Mlingu ni shahidi wedu,
\v 6 Wala kulola utukufu kwa wandu, wala kufuma kwenyu au kwa vazima. Dudimagha kudai kupendelewa kama Walodi wa Kristo.
\v 7 Badalka ya dakogho wapole ghadi yenyu kama mmkeku aelezagha wana wake weni.
\v 8 Kwa chia ihi dakogho la lukundo kwenyu. Dekogho radhi kuwashirikisha si tu Injili ya Mlungu bali pia na maisha ghedu weni kwa kuwa mwaka wakundwa kwedu.
\v 9 Kwa andu wambari, mnakumbuka chaghu na taabu yedu. Kio na dimedakogho dabonya chaghu kusudi disache dikamremeria wowose wakati ugho, dawahubirie injili ya Mlungu.
\v 10 Inyo ni mashahidi na mbingu pia ni kwa utukufu gwa namna ki, haki, na bila lawama dighendie kwenyu imbiri yenye muaminio.
\v 11 Huvo huvo, mwaichi ni kasiki kwa kila umweri wedu, kama Aba ako kwa mwanake dirikogho dawahimiza na kuvaneka ngolo dawashuhudia.
\v 12 Kwamba idamipasa kughenda kama ghuko wito gwenyu kwa Mlungu emiwangi kwa ufalme na utukufu gwake.
\v 13 Na kwa sababu iyo damshukuru Mlungu pia kila wakati. Kwa kua wakati mkivokera kufuma kwedu ujumbe gwa Mlungu msikire. Mwawokerie si kama idedo ja mundu, badala yake, mwavokerie kama loli iko. Idedo ja Mlungu. Ni idedo iji
\v 14 Kwa hiyo inyo, wambari, mke wandu wakuiga makanisa gha Mlungu gheko katika uyahudi katika Kristo Jesu. Kwa andu inyo pia mwatesekie kwa malagho ghaja kufuma kwa wandu wenyu, kama ikogho kwa kufuma kwa wayahudi.
\v 15 Wakogho ni wayahudi iwowaamuge Mzuri Jesu andu amweri na walodi. Na wayahudi ambagho wadiwusie kufuma shighadi ndewambonyiagha Mlungu na ni maadui kwa wandu wose.
\v 16 Wadighirie disade na mataifa ili vapate kuokolewa. Matokeo ghake ni kughora wadaendelea na dhambi rawhe. Mwisho ghadhabu idacha ighu yawhe.
\v 17 Isi wambari dakogho dasighana na inyo rwamuda mvui, kimuvi, si kwa ngolo. Dabonyie kwa uwezo gwedu na kwa shauku kuu kuwona vusho renyu.
\v 18 Kwa kua dakundie kucha mizenyu nyi Paulo, kwa mara imweri na marazima laikni shetani wadeghiria.
\v 19 Kwa kua kukiamini kwedu ni indoi kwa baadae au, raha, au taji ya kuringa imbiri ya Mzuri wedu Jesu wakati wa kucha kwake? je si inyo zaidi kamaweko wazima?
\v 20 Kwa kua inyo ni utukufu na raha yedu.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kwa hiyo dirikogho dedimagha kurumaghia zaidi, datenganyie kuwa yakogho nicha kusaghalika kuja Athene wene wekeri.
\v 2 Damdumie Timotheo, mbari wedu na mtumishi Mlungu kwa injili ya Kristo kuvaimarisha na kuwafariji kuhusiana na Imani yenyu.
\v 3 Dabonyie agha ili kusudi asake wowose wa kudendea kufumana na mateso agha kwakua veni mwaichi kughore dameric kuteuliwa kwa ajili ya iji.
\v 4 Kwa loli, wakati dikogho andu amweri na inyo, dakirie kuwaghoria kwa andu dakogho avui kupata maateso, na agha ghafumirie kama muichi.
\v 5 Kwa sababu ihinirikogho sidimaa kurumaghia sena, ngelumie kusudi nipate kumanya juu ya Imani yenyu. Huenda mjaribu wakogho angalau wavagherie, na chaghu chake chikaka ni duhu.
\v 6 Ela, Timotheo wachee kwedu kufuma kwenyu na akadiredia habari iboie ighu ya imani na lukundo ghenyu. Awadighorie kughora mko na kumbukumbu iboie ighu yedu na kwakuwa mdatamani kukuvona kama ambavo isi datamani kuwavona inyo.
\v 7 Kwa sababu ihi, wambari dafarijikie sana na inyo kwa sababu ya imani yenyu, kwa taabu na maghesho ghedu ghose.
\v 8 Kwa kuwaa didaishi, kama mkakimsi nicha kwa Mzuri.
\v 9 Kwani ni shukurani riao ni meke Mleke Mlungu kwa ajili yenyu kwa raha yose dikonayo imbiri ya Mlungu ighu yenyu?
\v 10 Didalamba sana kiona dime ili didime kurivona vushu redu na kuwachuria kipunguagha kwa imani yenyu.
\v 11 Mlungu wedu na Aba mweni, na Mzuri wedu Jesu adilongoze chia yedu kufika kwedu.
\v 12 Na Mzuri awabonye mchurikana na kuzidi kwa lukundo. Mkikundana na kwa kunda wadu wose, kama diwabonyiagha inyo.
\v 13 Na bonyeni huvu ili kuimarisha ngolo renyu ike bila lawama kwa utakatifu imbiri ya Mzuri wedu na Aba wedu kwa kucha kwa Mzuri Jesu andu amweri na watakatifu wake wose.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Hatimaye, wambari, davakumba ngolo na kuwakasha kwa Jesu Kristo. kama mvokerie maelezo kufuma kwedu namneiwapasa kughenda na kumpendeza Mlungu kwa chia iyo pia mghende na kubonya zaidi.
\v 2 Kwa kuwa mwaichi ni maelezo ki diwanekie kuicha MKzuri sana.
\v 3 Kwa kuwa ugho nigho lukundo lwa Mlungu, utakaso gwedu kwamba uepuke zinaa.
\v 4 Kwa kila umweri wenyu waichi namna ya kumiliki mkake mweni kwa utakatifu na heshima.
\v 5 Usake na mka kwa ajili ya tamaa ra mimvi (kama taifa wasamuichi Mlungu).
\v 6 Asake mundu wowose adiagha mwanona kumghesha mbari wake kwa ajili ya ilagho iji kwa andu Mzuri ndie wa kushana kisasi kwa malagho agha ghose kama andu dakiria kuwasasha na kuvashuhudia.
\v 7 Kwa kuwa Mzuri dadivangie kwa uchafu bali kwa utakatifu.
\v 8 Kwa hiyo ajileghagha iji ndewaleghagha wandu, bali wanegha Mlungu. Awaneka gha ngolo Mtakatifu wake.
\v 9 Kuhusu lukundo wa mbari ndakudae haja ya mundu wowose kuwaandikia kwa kuwa mwafundishiwe ni Mlungu kukundana inyo kwa inyo.
\v 10 Hakika mwabonyie agha ghjose kwa wambari. Wakogho makedonia yose lakini dawasihi wambari mbonya hata na zaidi.
\v 11 Dawasihi mtamani kuka maisha ya kunyama kubonya shughuli renyu, na kubonya chaghu kwa mikonu yenyu, kama wawaamuru.
\v 12 Bonya agha ili udime kughenda nicha na kwa heshima kwa awo wako shighadi ya imani usapungukiwe na haja yoyose.
\v 13 Ndadikundi inyo mmanye iko sahihi, inyo wambari. Ighu ya awo watungura ili msache mkahuzunika kama wazima waseko na uhakika kuhusu wakali ghuchaa.
\v 14 Japo daamini kwa Jesu wafwie na kufufuka sena, huvo huvo Mlungu dimawadeda andu amweri na Jesu awo watungura mautinyi kwa yeee.
\v 15 Kwa ajili ya awo dawaghoria inyo kwa idedo ja Mzuri, kwa isi deko banana, dikagha wakati wa kucha kwake Mzuri mloli ndadiwakirigha waja waanzie kufwa.
\v 16 Kwa kuwa Mzuri mweni dimawacha kufuma ighu mbingunyi. Dimawacha na sauti mbaha., andu amweri na parapanda ya Mlungu, na awawafwie na Jesu Kristo wafufuliwagha kwanza.
\v 17 Kameria isi diko banana dasangalika, kuja madulwinyi andu amweri na kumvokera Mzuri mboenyi kwa chia ihi dikagha na Mzuri maruva ghose.
\v 18 Kwa huvo farijianenyi inyo kwa inyo kwa madedo agaha.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Idana kwa habari ya muda na nyakati, wambari ndamdae haja kughora kilambo chochose kindikigwe kwenyu.
\v 2 Kwa andu inyoweni mwaichi kwa usahihi kwa andu iruva ja Mzuri idacha kama mting'a akicha nakio.
\v 3 Aja wakideda kuko amani na kuhowa niko kunoneka kwa chiagha ghafula ni kama ndenyi imeheagha mkeku akona inda, ndawikwepagha kwa chia yoyose.
\v 4 Lakini inyo wambari ndamke kirenyi hata jija iruva jiwachee kama mting'a.
\v 5 Kuabudu inyo wose mwana wa nuru na waneke wa dime isi siwo wana wa kio au kirenyi.
\v 6 Huvo basi, disatungure kama wazina watungurao, bali dikesha na kuka makini.
\v 7 Kwa andu watunguragha na kio na waja walewagha kulewa nakio.
\v 8 Kwa andu iruva jidacha vena vadime dike makini, dirwengao ya imani na lukundo na kofia ya chuma ambagho ni uhakika gha wokovu gha wakati ghuchaa.
\v 9 Kwa kuwa Mlungu ndadisaghuye kiambiri kwa ajili ya virea, bali kwa kupata wokovu kwa chia ya Mzuri Jesu Kristo.
\v 10 Yee wadifuie ili kughora dikaka meo au dafwa dikaigha andu amweri naye.
\v 11 Kwahuvu farijianenyi na kuaghana inyo kwa inyo, kama ambawo mbonyaa.
\v 12 Wambari dawalomba mwasalie waja watumikiaa ghadi yenyu na waja wako ighu yenyu kwa Mzuri na waja wa kashaa.
\v 13 Dawaombea pia muwamanye na kuwaneka heshima kw lukundo kwa sababau ya chaghu chao, muke na amnai ghadi yenyu inyo weni.
\v 14 Dawakasha wambari, muwakasha waseko na utaratibu, wakumbenyi ngolo wakata tamaa. Watavarienyi weko wanyonge na mke na uvumilivu kwa wose.
\v 15 Guwenyi asake mndu wowose ashanaa jizamie kwa mndu wowose badala yake bonyeni gheko ghaboie kwa kila umweri wenyu na kwa wandu wose.
\v 16 Baiwenyi maruva ghose.
\v 17 Lombenyi bila kusigha.
\v 18 Mshukurunyi Mlungu kwa kila ilagho kwa kua ulo nilo lukundo lwa Mlungu kwenyu kwa Jesu Kristo.
\v 19 Msambwaghe ngolo.
\v 20 Msamenye unabii,
\v 21 Ghaghenyi malagho ghose mjiwade jija jiboie.
\v 22 Epukenyi kila mvonekano wa kuzama.
\v 23 Mlungu wa amani awakamilishe kwa utukufu ngolo, Nafsi na muvi vitunzwe kuseko mawaa kwa kucha kwake Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 24 Yee awavangie ni mwaminifu naye nie adimaa kubonya.
\v 25 Wambari dilombienyi pia.
\v 26 Walamsenyi wandu wose kwa busu Takatifu.
\v 27 Nawakasha kwa Mzuri kughora barua ihi isamwe kwa wandu wose.
\v 28 Neema ya Mzuri wedu Jesu Kristo andu amweri nanyi.

99
54-2TH.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,99 @@
\id 2TH
\ide UTF-8
\h 2 Wathesalonike
\toc1 2 Wathesalonike
\toc2 2 Wathesalonike
\toc3 2th
\mt 2 Wathesalonike
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, Silwano, na Timotheo, kwa ikanisa ja wathesalonike kwa Mlungu Aba wedu na Mzuri Jesu Kristo.
\v 2 Neema ndaike kwenyu na amani ifumagha kwa Mlungu Aba na kwa Mzuri Jesu Kristo.
\v 3 Yadikundi isi kutogola Mlungu maruva ghose kwa ajili yedu. Maana huvu niko kweni kwa kua imani yedu idazoghua nicha, na lukundo kwedu kwa kila mundu ichurikane nicha.
\v 4 Huwo isi wose daria kwa kuboiwa ighu yenyu kwa makanisa gha Mlungu. Daaria malagho gha kuvesera kwenyu na imani niko nayo kwa kugaya wose, daria kwa malagho gha kugaya ghamisitahi.
\v 5 Ihi iyo ishara ya hukumu ya haki ya Mlungu matokeo gha aga ni kughora iyo mwataliwe kuwa mwaboie kungia Ufalme gwa Mlungu ambao kwa ajili yake mdateswa.
\v 6 Kwa andu ni haki kwa Mlungu kuwashana mateso waja wawatesao inyo.
\v 7 Nawaneka raha inyo mgaishiwagha anduamweri na isi abonya huvu maruva gha kufunukulwa kwake Mzuri Jesu Kufuma Mbingunyi andu amweri na mdaika wa ndighi rake.
\v 8 Kwa mwali wa modo dimawashana kiasi awo wasamuichi Mlungu na awo watogolagha injili ya wedu Jesu.
\v 9 Wagaishiwagha kwa kunonigwa milele wakika watengwa na na uwepo wa Mzuri na utukufu na ndighi rake.
\v 10 Dima wabonya wakati akicha ili kuwusiriwa wandu wake na kusitahilishwa na wose waamini kwa kughora ushuhua wedu kwenyu wakundiwe kwenyu.
\v 11 Kwa sababu ihi dawalomba inyo maruva ghose dalomba kughora Mlungu wedu awatesie kua mwaboie kuwangwa. Dalomba kughora anekwe kuhimirwa kila maghesho ya wema na kila chaghu cha imani kwa Mlungu.
\v 12 Dalomba malagho agha ili mpate kujigimbika irina ja Mzuri Jesu. Dalomba kulomba mpate kugimbikwa nae kwa sababu ya neema ya Mlungu na ya Mzuri Jesu Kristo.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Idana kuhusu kucha kwa Mzuri wedu Jesu Kristo na kuunganywa andu amweri ili dikenae dawalomba inyo wambari wedu.
\v 2 Kughora msagaishigwe wala kugaya kwa urahisi kwa ngolo au kwa ilagho au kwa barua iwonekagha mpaka kwa ya kufuma kwedu ikideda kughora iruva ja Mlungu tayari jacha.
\v 3 Mundu asawambie kwa namna yoyose kwa kuwa ndeichagha mpaka jija ianguko jifunuliwe kwanza na mundu wagosha abonyeriwe uja mwana wa kunena.
\v 4 Uyo nie aleghagha nae kukiwusira mweni akimlegha Mlungu na chochose kiasiwagha na matokeo ghake, kuka kwa nyumba ya Mlungu na kukibonyera yee kuwa kama Mlungu.
\v 5 Je, ndemkumbukagha nirikogho na inyo nawaghorie ju ya malagho agha?
\v 6 Idana namanya jija jimgiriagha ili kwamba adime kufukulwa kwa wakati uboie ukafika.
\v 7 Kwa kua siri ya uja mundu mweni kuasi idabonya kazi mpaka ijiaha, ila tu kuko amzuiagha idana mpaka kifunyiwe chenyi.
\v 8 Iko uja waasi afunuliwe Mzuri Jesu ambwaghe kwa mkruka wa mumo wake. Mzuri abonyagha kughora sichochose kwa ufunuo wa kucha kwake.
\v 9 Kucha kwa ija waasi dimawaka kwa sababu ya chaghu cha shetani kwa ndighi rose ishara na maajabu ghatee.
\v 10 Na tee rose nikona udhalimu, malagho agha dimaghaka kwa waja wa laghagha, kwa kua ndewawokerie lukundo wa loli kwa ajili ya kuokolewa kwao.
\v 11 Kwa sababu iyo Mlungu adawadumia chaghu cha tee.
\v 12 Matokeo ghake ni kwamba wose wahukumiwagha waja ambagho ndawaamini loli bali awo vakifurahia kwa udhalimu.
\v 13 Lakini wadikundi dimshukuru Mlungu kila wakati kwa ajili yenyu wambari mkundiwe na Mzuri kwa kuwa Mzuri wawesaghua inyo kama malimbuko gha wokovu kwa kuogheshwa na ngolo na imani kwa ija loli.
\v 14 Haki iyo wawarangienyi inyo, kwa kuidia injili mdime kuvokera utukufu wa Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 15 Kwa huvo wambari, kenyi imara manyeni uja utamaduni ufundishiwe kwa idedo au kwa barua yedu.
\v 16 Idana Mzuri wedu Jesu Kristo mweni na Mlungu Aba wedu adikundie na kudineka faraja ya milele na ujasiri ghuboie kwa ajili ya maisha gha chaa kuelia neema.
\v 17 Awafariji na kuibonya imara ngolo redu kwa kila idedo ja kazi iboie.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Idana wambari, diombeenyi ili idedo ja Mzuri jidime kugota na kugimbikwa, kama uko pia kwenyu.
\v 2 Lombenyi kughora didime kuokolewa kufuma ghazamie na wandu wazamie kwakuwa si wose weko na imani.
\v 3 Lakini Mzuri ni mwaminifu ambaye dimawagimbikwa inyo na kuwalindia kufuma kwa ija azamie.
\v 4 Dekonandighi kwa Mzuri kwa ajili nyenyu, kwamba ndabonya na mdaendelea kubonya malagho ambao dawalagiza.
\v 5 Mzuri adima kulongoza ngolo renyu kwa lukundo na kwa kurumaghia kwa Kristo.
\v 6 Idana dauakingiza, wambari, kwa irina ja Mzuri Jesu Kristo, kughora mwepuke kila mbari ambaye wakagha maisha gha chevu na sio gha fumagha na desituri ambaro mwokerie kufuma kwedu.
\v 7 Kwa kuwa inyo weni mwaichi ni sawa kwenyu kugia isi ndadike miongonyi kwenyu kama waja ambagho ndawakogho na akili.
\v 8 Na ndadije vindo vya mundu wowosi bila kushania badala yake dabonyie chaghu kio na dime kwa chughu chikurie na kwa wasi, ili disake kuwa mizigo kwa wowose kwa inyo.
\v 9 Dabonyie huru si kutughora dadidae mamlaka. Badala yake, dabonyie huvu ilidike mfano kwenyu ili kughora mdime kuchiga isi.
\v 10 Wakati derikogho andu amweri na inyo ndawalagiza, kama umeri wenyu ndakundi kubonya chaghu na asaje."
\v 11 Kwa andu asikira kughora baadhi waandelea kwa chevu ghadi yenyu, ndawabonyaa chaghu lakini baadayake ni wandu waseko na vutaratibu.
\v 12 Idana awo nawo dalagiza na kuwasa kwa Mzuri yesu Kristo kughora ni lazima wabonye chaghu kwa kunyama na kuja vindo chawhe weni.
\v 13 Ela inyo, wambari, msawe ngolo kwa kubonya gheko sawa.
\v 14 Kama mndu wowose ndakundi kutii idedo jedu kwa waraka ughu, mke makini nae na msake na mashaka na ushirika andu amweri naye ili kughora adime kuona waya.
\v 15 Msambusi kama azamie, ela mghorienyi kama mbari.
\v 16 Mzuri wa Amani mweni awaneke amani wakati wowose kwa chia rose Mzuri ake na inyo wose.
\v 17 Ihi ni salamu yedu, Paulo, kwa mkonu wapwa mweni, ambagho ni salama kwa kila waraka, uvuniko niandikagha.
\v 18 Neema ya Mzuri wedu Jesu Kristo idime kuka na inyo wose.

229
55-1TI.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,229 @@
\id 1TI
\ide UTF-8
\h Timotheo
\toc1 Timotheo
\toc2 Timotheo
\toc3 1ti
\mt Timotheo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 v1 Paulo, Mlodi wa Kristo Jesu kulingana na amri ya Mlungu mwokozi wedu Jesu Kristo wakee na ujasiri wedu,
\v 2 Kwa Timotheo wanapwa waloli katika imani: Neema, rehema na amani rifumalo kwa Mlungu Aba na Kristo Jesu Mzuri wedu.
\v 3 ama andu nakughoriagha andu nafuma kughenda Makedonia ubaki Efeso ilikwamba udime kubhamuru bhandu fulani bvasufundishe mafundisho tofauti.
\v 4 Pia wasikirie hadithi na orodha ra nasaba zisizo na mwisho. Agha husababisha mabishano zaidi kuliko kubhatabhakasa kuendelea mpango wa Mlungu wa imani.
\v 5 Basi ilengo jahiaghiza iji ni upendo katika ngolo iboie, katika dhamira iboie na katika imami ya loli.
\v 6 Baadhi ya bhandu bhajisova ilengo bhakasinga mafundisho agha na kughaghusa madedo gha kipumbavu.
\v 7 Phakundi kuka phalimu phasheri ela naphaichi phadeda ghangu phasititizagha.
\v 8 Ela didamanya kughora sheria ya boie kama mndu akatumiaa kwa usahihi.
\v 9 Daichi kughora sheria ndaitenganishe kwa ajili ya mndu mwenyi haki, bali kwa ajili ya bhachukanya sheriana bhaasi, bhandu wasiko watauwa na bhako na dhambi, ndabhandue mlungu na bhaovu. yutungigha kwa ajili ya bhabhaghaa aba na mawe bhabhe zao, kwa yabhughaa.
\v 10 Kwa ajili ya bhasherati, kwa ajili ya bhazinzi, kwa ajili ya bhaja bhatekagha bhandu na kubonya bhandumwa, kwa ajili ya watee kwa ajili ya mashaidi wawatee, na yoyose akokinyume na maelekezo ya uwaminifu.
\v 11 Maelekezo agha ghafumagha na injili ya Mlungu mwenywe kubarikiwa ambao kwayo naaminiwa.
\v 12 Ndamshukuru Jesu Kristo Mzuri wedu. Wanikumba ndighi, kwa bhuju wanitara nyi kuka mwaminifu naakanivika katika huduma.
\v 13 Narikogho mndu wa kukufuru, mtesaji na mndu wavurughu. Ela nilipata rehema kwa bhuja nikabonya kwa ujinga kwa kutoamani.
\v 14 Ela nema ya mlungu wedu yachua imani na upendo ulio katika Kristo Jesu.
\v 15 Ujumbe uhu ni gha kuaminika na udastahili kubhokeriwa na wose, ya kuwa Kristo Jesu wachee isanga kuokoa kwenye dhambi nyi ni mbaya zaidi ya wose.
\v 16 Ela kwa wuja nyi nanekigha rehema ilikwamba ndani yapwa nyi, awali ya yose, Kristo Jesu adhihirishe uvumilivu wose. Wabonya hubho kama kielezo kwa wose watakao mtumaini ye kwa ajili ya ughulazi wa milele.
\v 17 Na ijiagha kwa mfalme asiye na ukomo, asiye kufa, asioonekana Mlungu mweni, ike heshima na utukufu milele na milele. Amina.
\v 18 Nidajivika agizo iji imbiri yako Timotheo, mwana wapwa. Nibonya ughu kulingana na ulodi wafunyigha agho kwanza kukuhusu we ili kwamba uhusike katika viti iboie.
\v 19 Bonya huvo ili kwamba uwe na imani nadhamiri njema. Baadhi ya bhandu wakaangamiza imani.
\v 20 Kama bhuja Himeneyo na Alekizanda ambao ambao namneka shetani iliwafundishe bhasakufuru.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa hupo awali yose na kundi malombi na dua, na malombozo na shukrani vibonyekeke kwa ajili ya wandu wose,
\v 2 Kwa ajili ya wafalme na wose ambao bhake kwenye mamlaka ili kwa wuja didime keka maisha ya amani na utulivu katika utawala wose na heshima.
\v 3 Iji ni chaboye na jenye kukundwa imbiri za Mlungu Mkombozi wedu.
\v 4 Yeye hukunda kwa wose waokolewe na wapatie kumanya loli.
\v 5 Kwa wuja kuko Mlungu ummosi na kuko mpatanishi umweri kati ya Mlungu na mwanadamu ambaye ni Kristo Jesu.
\v 6 Wakifunya mwezi kama faida kwa wose, kama ushuhuda kwa wakati muafaka.
\v 7 Kwa wuja iji nyimweni nilifunya na bonyikwa kuka mjumbe wa injili na mtume wadeda loli sisidagha tee nyina mwalimu wedu isanga katika imani na loli.
\v 8 Kwa wuja na kundi bhomi kilandu walombe na kughosa mikonu mitakatifu imbiri ghabhabu na mshtaka.
\v 9 Bharabho na kundi bhaka bhorwe nguvu ya kundi ghaka kwa heshima na kukizuia bhasake na iji rasukulwa, au dhahabu, au Rutu, au ngubho ya gharama mbahao.
\v 10 Pia na kundi bharwe ngubho ristahimiao bhaka bhakiriuchaji kwa kundi matendo ghaboie.
\v 11 Mka na akifundishe katika hali ya utulivu na kwa uti ghose.
\v 12 Simruhusu mka kufundisha kwa kuwa na mamlaka ighu ya mndu wa bhomi bali ako katika hali ya ukimya.
\v 13 Kwa bhuja Adamu waghumbighwa kwanza, kisha Eva.
\v 14 Adamu ndaimbiwe, ela mkawambiwa kabisa katika uwasi.
\v 15 Hata hubho, wadimaokolewa kwa kuidia kuva bhana kama bhadima vaendelea katika imani na lukundo na katika welie na akili iboie.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Matendo agha nighakuaminika: kama wandu adatamani kuwa msimamizi, adatamani chaghu chiboye.
\v 2 Kwa bucha msimamizi ni lazima asake na kwama. Ni lazima ake wakivomi wamka umweri. Ni lazima ake na kiasi, busara, mwenye utaratibu, mkaliumu. Ni lazima ake na uwezo wa kufundisha.
\v 3 Asake akatumia mvinyo, asake mgomvi, bali mpole mwenye amani. Ni lazima asake mwenye kukunda faedha.
\v 4 Idampasa kusimamia viboye vandu wa nyumbenyi mwake mweni, na watatobvanabvake idawapasa kumtii kwa heshima rose.
\v 5 Maana ikaka mndu ndaichi kubhasimamia vandu wa nyumbenyi mwake mweni, agleavada ikanisa la Mlungu?
\v 6 Asake muaminifu mpya ili kughora asacho asacho kukiuma na kugwe katika hukumu kama yuja muovu.
\v 7 Lazima pia ake na sifa iboie kwa wose warikogho shighadi ili asache gwa bwawenyi na mdegho wa muovu.
\v 8 Mashemasi, bvobvo wadapaswa kuka venye kustahili heshima, busake venye kauli ivibvasatimie mvinyo kuidia kiasi angu katika na tamaa.
\v 9 Vadime kutunza kwa dhamira iboiye ijadili ya imani yafunuliwa.
\v 10 Vake pia vasibitisha kwanza, halafu vadime kuhudumu kwa sababu ndamdae.
\v 11 Vakabvorobvo vake wenye heshima. vasake wasingizaji. Vake na kiasi na waaminifu kwa maraghoghose.
\v 12 Mashemasi ni lazima vake bvomi vamka umweri umweri. Lazima wadime kuwasimamaia wabonye vana varwe na vamizinyi mwabwe.
\v 13 Kwa vucha bhacha watumikiagha vibonye kupata msimamo ghubonye na ujasiri mbaha katika imani yakogho katika Kristo Jesu.
\v 14 Didaandika malaghagha kwako, na nidatamani kucha kwako ihi karibuni.
\v 15 Ela ikaka nidachelewa nidaandika ili nipate kumanya maana ya kughenda katika nyumba ya Mlungu, ambalo ni kanisa ja Mlungu ake hai, nguro na msaada wa loli.
\v 16 Na hupin`gikagha kwa loli ya Ulungu yafunulighwa ni ni mbaha: "vaonekagha katika mubi akathibitishwa na ngoro awonekagha na malaika, akatangazighwa miongonyi mwa isanga, akaambiwa na urumwengu, na akahusighwa ighu katika Utukufu.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Idamu ngolo adadeda waziwazi kughora katika marugha ghaichagha baadhi ya wandu bhaisigha imani na kuka makini kuskira ngolo rrikumbaghatee na mafundisho ra kipepo yadima yafundishwa
\v 2 katika tee na unafiki. Dhamiri zibadirishighwagha.
\v 3 Wwaziagha kulobhua na kubvokera vindo ambavyo Mlungu waviumba vidumike kwa shukrani miongonyi mwabwe vaaminio na venye kuimanya loli.
\v 4 Kwa sababu kilambo ambacho mlungu wakuumba chaboyee ndakundae ambacho didavokera kwa shukrani kidastahili kuleghighwa.
\v 5 Kwa sababu kidelishighwa kuidia ilagho ja Mlungu na kwa chia ya maombi.
\v 6 Kama ayakagha malagho huja imbiri ja wambari uka mtumishi abvoiyo wa Jesu Kristo nkwa wuja umestawishwa kwa madedo ja imani kwa mafundisho yaboie ambayo waghanugha.
\v 7 Ela zileghe hadithi za isanga ambazo rida kundigha na bhaka bhazee. Badala yake, jifunze mweni katika utauwa.
\v 8 Kwa bhuja mazoezi mubi idafaa kidogo bali utumwa adafa sana kwa malagho ghose. Hutunza ahadi kwa maisha iji aha na yaja ya kagha.
\v 9 Ujumbe uhu ghakuaminiwa na unjastahili kukubaliwa kabisa.
\v 10 Kwa wuja kwa sababu ihi didataabika na kubonya chaghu kwa bidii sana kwa bhuja diko na ujasiri katika Mlungu alie hai ambaye ni mwokozi wawandu wose ela hasa kwa waaminio.
\v 11 Uyadede na kughafundisha malaghaoa agha.
\v 12 Mndu yeyose usaudharau ujana wapwa. Badala yake uke mfano kwa wose waaminio katika madedo, mwenendo, upendo, uaminifu na usafi.
\v 13 Mpaka ichagha, udumu katika kusoma katika kuonya na katika kufundisha.
\v 14 Usapuuze karama ikondenyi yako ambayo wadekigha kuidia ulodi kwa kuvikiwa mikonu na waghosi.
\v 15 Ughajali malagho aha. Ishi katika aho ili kukua kwako ike dhamiri kwa wandu wose zingatia sana mwenendo ghwake na na mafundisho.
\v 16 Dumu katika malagho agha. Maana kwa kubonya hubo nikiokoa mwenyi na bhaja bhasikira.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Usamkemee mdwabomi mghosi. Bali mkumbe moyo kama Aba wako. Uwakumbe moyo vijana wa kibhomi kana kwamba ni bhambari wako.
\v 2 Ubhakumbe moyo bhaka kama mawe bhako, na bhaka vijana kama dada bhako kwa kuwela wose.
\v 3 Waheshimu bhajane, bhaja ambao bhajane loli loli.
\v 4 Kwa wuja kama mhaso ako na bhana angu bhachukuu bhasighe kwanza bhajifunze kubonyera heshima kwa wandu wa nyumbenyi mwabhe bheni. Wasighe bhabhashane bhazazi bhao ghaboie kwa wuja ighi idapendeza imbiri ra Mlungu.
\v 5 Kwa wuja mgharo loli loli ni yuja wa sighiaghwa mwenikeri. Naye hubhika tegemeo jake kwa Mlungu dime rose hudumu katika sala na malombi kio na dime
\v 6 Hata hubho, mka yuja aishie kwa anasa wafwa ingawaje yuhai.
\v 7 Na uyahubiri agha ambajo ili kwamba bhasake na lawama.
\v 8 Ila kama mndu kama ndabahatunzagha wambari wake, hususa waja weko kwake, waikana imani na ndaboie kuliko mndu ndaamini.
\v 9 Basi mka andikishighe arondenyi kama mgharo akaka na umri usapungue miaka sitini na ni mka wa mumi mmweri.
\v 10 Lazima ake amanyikane kwa matendo ghaboie ikaka ni kwa bhuja bhabhajulikana angu waka mkarimu kwa bhagenyi au waoghesha maghu ja waaminio au bhabha tabhagha ambao bhakee bhakiteswa angu wakifunya kwa chaghu chochose kibhoie.
\v 11 Ela kwa waja waghori vijana legha kuwandikisha orodhenyi ya waghori. Kwa wuja wakaingia matamanionyi ya kimubi dhidi ya Kristo, bhakundi kulobholwa.
\v 12 Kwa chia ihi kuingia hatianyi kwa wuja kuchukanja kikifanya kwagwe kwa awali.
\v 13 Na pia huingia kwenye mazoea ya uvivu. Bhabhwe huzunguruka nyumba kwa nyumba. Si tu kwamba ni wavivu bali pia ni wasengenyaji na bhaja kuingilia malagho ya bhazima abho kudeda malagho wasiopaswa kughadeda.
\v 14 Kwa io nakundi bhaka vijana bhalogholwe bhave bhana, wasahani nyumba raghe ili koto kumneka adui nafasi ya kutushtaki kw akubonya dhambi.
\v 15 Kwa wuja baadhi yake wamgeuka shetanyi.
\v 16 Kama mka yoyose aaminiye ako na bhagharo basi abhatabhare ili ikanisa jisalemewe ili lidime kubhata bhara bhaja bhake bhagharo loli loli.
\v 17 Basi bhaghosi bhaja watawalao viboie watalighe kuwa bhastahili heshima maradufu, hajabhaja bhakishughulisha na kufundisha ilagho ja Mlungu.
\v 18 Kwa wuja maandiko ghadeda, "Usamfumbe ng'ombe momo akaja nafaka," na "Mfanyakazi adastahili mshahara ghwake."
\v 19 Usapokee mashitaka dhidi ya bhaghosi isipokuwa kukoma shahidi bhabhi angu bhadadu.
\v 20 Waonye wakosaji imbiri ya wandu ghose ili bhazima bhabaki labla waboagha
\v 21 Nidakulaghiza kwa dhati imbiri ya Mlungu na imbiri ya Kristo Jesu, Malaika wateule kwamba uzitunze malaghizo agha bila ubaghuzi ghoghose na kwamba usabonye ilagho yoyose kwa upendeleo.
\v 22 Usammbikie mndu yoyose mikonu baraka usashiriki dhambi ya mndu mzima yakupasa kukitunza mweni uke safi.
\v 23 Hakupasi kunywa machi pekee. Badala yake unywe mvinyo kidogo kwa ajili ya kifu na makongo yako mara kwa mara.
\v 24 Dhambi za baadhi ya wandu kumanyikana kwa uwazi na bhakukiri hukumuni. Ela baadhi ya kunugha baadae.
\v 25 Vivyo baadhi ya chaghu kiboie kumanyikana kwa uwazi ela hata vizima ndavivisighwagha.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Waja wose ambagho wakondenyi ya nira kama wadumwa wawawusie wandu wabomi kama wakona heshima rose, wadakundwa kubonya huwo ili irina ja Mlungu na mafundisho yasanyirighe.
\v 2 Wadumwa wako na womi waaminio wasawadharau kwa wuja awo ni wambare. Badala yake, wawatumikie zaidi kwa wuja awomi kutawaliwa chaghu chawe ni waamini wakundi waghafundisha na kughatangaza malagho agha.
\v 3
\V3 Iwapo mndu fulani adafundisha kwa upotovu ndayawokeragha maelekezo yedu yenye kuaminika ambayo ni madedo ja Mzuri wedu Jesu Kristo, iwapo ndawajikubali fundisho jiriajo kwenye utauwa.
\v 4 Mndu huyo adakivuna ndahichi chochose. Badala yake ako na vurugu na mabishano ighu ya madedo. Madedo agha kuva wivu, ugomvi, kuwanyira, shukumbaya.
\v 5 Na vurugu za mara kwa mara kati ya wandu wenye akili raoneka wadaisigha loli, wadafikiri kwamba ikaka ni chia ya kuka matajiri."
\v 6 Idam wadi waka na kudhirika ni faida mbaha.
\v 7 Kwa wuja ndajichee na kilambo isanga wala ndadidimaa kuwusa chochose kufuma isanga.
\v 8 Badala yake, ditosheke na vindo na mavazi.
\v 9 Indamuawo wadima waka na mali hugwa katika majibu katika mdegho kugwa katika upumbavu mwingi na tamaa mbaya na katika kilambo chochose kiwawonyagha wandu wawe katika maangamizi na unonaji.
\v 10 Kwa wuja kukunda fedha ni chanzo cha aina rose ra uovu wandu ambao hutamani hija wapotosha imbiri na imani na wakikora wenyi kwa huzuni nyingi.
\v 11 Ela we mndu wa Mlungu ghakimbie malagho agho. Nugha hachi, utawala, uaminifu, upendo, ustamilivu, na upole.
\v 12 Kaba vita viboie vya imani. Wadilia ghulazi wa milele ukoghowawangiwa. Yarikogho kwa sababu ihi kwamba wafunya ushuhuda mbele ya mashahidi wenyi kwa kija kiboie.
\v 13 Na kuneka amri ihi imbiri ya Mlungu asababishagha vilambo vyose kuishi na imbiri ya Jesu Kristo ysnena yamboie loli kwa Pontio Pilato.
\v 14 itunze amri kwa ukamilifu pasipo mashaka hadi ujio wa Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 15 Mlungu atadhihirisha ujio wake kwa wakati sahihi- Mlungu mbarikiwa, ndihi pekee, Mfalme anaye tawala Mzuri anaye ongeza.
\v 16 Peke yake adaishi milele na akaghe katika mwanga usio karibiriwa ndakundae mndu adimaa kumbona wala adimae kuuwa. Kweke ike heshima na uweza wa milele. Amina.
\v 17 Waghorie matajiri katika urumwengu uhu wasajivune, na wasatumaini katika utajiri ambagho sigho wa uwakika. Badala yake wadapaswa kutumaini Mlungu. Abonye hutupatia utajiri wose wa loli ili tufurahie.
\v 18 Waghorie wabonye mema, watajirike katika chaghu chiboie wake wakarimu, na utajiri gwa kufunya.
\v 19 Katika chia hiyo wakiwikiagha misingi riboie kwa malagho wachaa ili kwamba wadime kuwada maisha halisi.
\v 20 Timotheo, linda chija wanekagha. Kiepushe na majadiliano gha kipumbavu na mabishano wenye kupanga ambayo kwa uongozi uwangiwagha maarifa.
\v 21 Baadhi ya wandu huyatangaza malagho agha na huwo wasowa imani. Neema na ike pamoja nawe.

162
56-2TI.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,162 @@
\id 2TI
\ide UTF-8
\h Timotheo
\toc1 Timotheo
\toc2 Timotheo
\toc3 2ti
\mt Timotheo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo mlodi wa Jesu Kristo kwa mapenzi ya Mlungu, sawasawa na ahadi ya ghulanzi warikogho ndeni ya Kristo Jesu,
\v 2 Kwa Timotheo mwana mkundwa: Neema, rehema na amani kufuma kwa Mlungu Aba Kristo Jesu Mzuri wedu.
\v 3 Nidamshukuru Mlungu ambaye nidamtumikia kwa nia kuboa kama wabonyie aba wedu, ni kakukumbuka ima katika malombi ghapwa. Kio na
\v 4 dime nidatamani kuhona, ili kwamba ni kee na furaha. Nidaiikumbuka mbori yako.
\v 5 Nerikogho ni kikumbusirighwa kuhusu imani yako halisi, ambayo yerikogho kwa bghabha luisi na mae wa Yunisi. Neko na hakika kwamba imani yapwa idakwa ndeni yako yako pia.
\v 6 Ihi nio sababu nakukumbusira na kwanyiria karama ya Mlungu yerikogho ndenyi yako kwa chia ya kuvikiwa mikonu yapwa.
\v 7 Kwa vuja Mlungu ndadinekie ngolo ya bhava, bali ya ndighi na lukundo nidhamu.
\v 8 Kwa hiyo usahughubonyie bhaya ushuhuda kuhusu aba wedu, wala wapwa nyi paulo mfugha wake. Bali ulishiriki mateso kwa ajili ya injili sawasawa na kwa uweza wa Mlungu.
\v 9 Ni mlungu wadio kwa kudivangaa kwa witoo Mtakatifu. Ndabonyie hubhu kulingana na vughu vedu balii kulingana na neema na mpango gwake mweni. Kwa kudipatia malagho agha Jesu kabla ya nyakati kuanza.
\v 10 Ela indana kwa wokovu wa Mlungu kwa andu kufunuliwa kwa kucha mwakozi wedu Kristo Jesu. Ni Kristo kukomesha vifwa na kureda banana bhuulanzi bhusaheagha kwa nuru ya Injili.
\v 11 Kwa sababuhiyo nasaghuliwa kuwa mbuiri, Mlodi na mwalimu.
\v 12 Kwa sababu ihi nidateseka pia, ela simonagha haya kwa sababu na muhichi yenamerie kuwamini. Nekona uhakika kuwa yaadadima kukitunza chija kwakee hata iruvachija.
\v 13 Ukumbuke mfano ujumbe wa uwaminifu waghusikira kufuma kwapwa pamoja na imani na lukundo ambagho ukondenyi ya Kristo Jesu.
\v 14 Ugha tunze malagho ghaboiye wakukabidhi Mlungu kuidia ngolo Mtakatifu aishi ndenyi yedu.
\v 15 Waichi kuwa wose bhaishio katika asia wakanisigha ikundiji veko figelo na Hemogene.
\v 16 Mzuri airehemu nyumba ya Onesiforo kwa vuja mara nyingi waniburudishie na ndaibonyie bhaja minyororo yapwa.
\v 17 Badala yake, warikogho Roma wanlolie kwa bidii na akanipata.
\v 18 Mlungu amjalie kupata rehema kufuma kwake siku ija. Kama anduanitawale narikogho Efeso, wewe waici nicha.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa hiyo, we mwanapwa, ukubwe ndighi katika neema ya ndenyi ya Kristo Jesu.
\v 2 Mlagho waghasikira kwapwa milongonyi mwa mashahidi vengi wakabidhi kwa wandu waaminifu ambao bhadima kugha fundisha bhazima pia.
\v 3 Shiriki mateso pamoja nayi kama askari mwema wa Kristo Jesu.
\v 4 Ndakudae askari adumkae wakati hugho ngheni akakihusisha shughuri ra kawaida ra maisha agha ili kwamba ampendeze ofisa wake mbaha.
\v 5 Pia kama mndu akishindana kama mwanariadha, ndanekigho taji asiposhindana kwa kunugha kanuni.
\v 6 Ni muhimu kwamba imlimi ako mbidi awewa kwanza kubhokera mazao ghake.
\v 7 Tafakari kuhusu nidedacho, kwa maana Mzuri akunekagha uwelewe katika mambo ghose.
\v 8 Mkumbuke Jesu Kristo, kufuma ghuvazigha Daudi, ambaye wafufulighwa kufuma kwa wafu. Ihi ni kulingana na ujumbe ghapwa wa injili,
\v 9 Ambagho kwa bhuja ya huo nidateswa hata kufungwa minyororo kama mhalifu. Ela lagho ja Mlungu ndajivungwagha kwa minyororo.
\v 10 Kwa huwo navumilia mambo ghose kwa ajili ya waja ambao Mlungu wameria kuwasaghua, ili kwamba nagho pia waghupate waokovu warikogho katika Kristo Jesu pamoja na utukufu wa milele.
\v 11 Madedo agha ni kukuwaminika: "ikakadikafaa pamoja nae, dadima daishi pamoja nae pia.
\v 12 Kama dikalughamia, dadima datawala pamoja naepia, kama kumlegha naepia adima kudikana isi.
\v 13 Kama ndadikagha wawaminifu yee wadima kubaki mwaminifu maana ndadimagha kukikana mweni."
\v 14 Endelea kuwakumbusira ighu malagho agha vakashe imbiri ya Mlungu bhasighe kubishana ilagho malagho kwa maana ndakudae manafa katika ilagho kufuma naiji kakao ilagho wajinona kwa baja wasikiriao.
\v 15 Bonya lubhalubha kukibonyera kughamba wakundigha kwa Mlungu kama mbonya kazi ndadae sababu yoyose ya kulaumiwa jitumie ilagho ja loli kwa ilagho ja loli.
\v 16 Jiepushe majadiliano ya ghakidunia amkuchuria kwa zaidi na zaidi ya uwasi.
\v 17 Majadiliano ghabhe yatasarambatika kama chonda ndugu mjangonyi kwedu kwaghe nibagho Himenayo na Fileto.
\v 18 Abha ni vandu wasuvie uloli vadeda ulughu ufufuo tayari ghwa familia waghusa imani ya baadhi ya vandu.
\v 19 Hata huvo msingi imara wa Mlungu wakakimsi vaja uwandishi hubu Mzuri wawaichi vaja bhake na kila alitajagha irina ja Mzuri ni lazima ajitenge na udhalimu.
\v 20 Kwe nyumba ya kiatajiri sio kwamba veko vombo vya dhahabu na shaba tu pia kweko vombo vya midi na ndoe bahadhi ya hubhuni kwa ajili ya matumizi ya heshima na baadhi yake ni kwa matumizi gheseko ya heshima.
\v 21 Ikaka mndu kuwela mweni kufuma andu matumizi ghaseko ya heshima ya nichomocheko kuheshimika watengwa maalumu ako na manufaa na ameandaliwa kwa kila jaghu iboie.
\v 22 Zikimbie tama za udavana kunugha hachi imani, upendo na amani andu kumweri na vaja wamwanugha Mzuri kwa ngolo iboie.
\v 23 Ela uleghe upumbavu na maswali ya kipuuzi. Kwani waicho ya kughora kuva kondo.
\v 24 Mlisha wa Mzuri ndakundiwi kulwa badala yake wakundwi akehaorie kwa vandu vose adimagha kufundisha na kulimagha.
\v 25 Lazima awaelimishe kwa upole vaja bhamkabaa yamkini Mlungu adime kuvaneka tabo kwa kumanya loli.
\v 26 Vadime kupata ufahamu sena na kuepuka mdegho wa shetani bandu kughora bhadaighwa na ye kwa ajili ya mapenzi ghake.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Ela kumanya iji katika maruva mwisho dima kwaka wakati mgumu kukagha na nyakati ngumu.
\v 2 Kwa sababu wandu dima waka wandu kukikunda, wenyi kukundi mangome wenyi kujisifu weko na majivuno wakundi matamu wasasikiragha wakati wawe wasandae shukrani na wazamie.
\v 3 Wasadae upendo gwa asili wasakundi kuishi kwa amani na wowose, wachonganishi, wasingiziaji, wasadimakuzuia, veko na vulugu, wasakundi gwaboie.
\v 4 Dima waka wasaliti, wakaidi wakikundi weni na wakundi anasa kuliko kumkunda Mlungu.
\v 5 Kwa shighadi dimawaka na sura ya mcha Mlungu, dimawailegha ndighi yake jiepushe na wandu awa.
\v 6 Kwa kughora baadhi yawe ni womi wangigha kukoo familia ra wandu na kushawishi waka wakelu hawa ni waka wachura zambi na wakisikira tamaa ra kila aina.
\v 7 Waka awa wakifundishagha siku rose ela kamwe ndagha dimagha kufikika ufahamu wa loli.
\v 8 Kama wuja ambavyo yanena yambre wakesimusi na Musa kwa chia ichi walimu watee kukakimsi kinyume na loli. Ni wandu wanonigha katika fikra raghe, wasakubali kagha kuhusiana na imani.
\v 9 Ela ndawaendeleagha kuka kwa kuwa ukelughaghe dimawavikawazi kwa wandu wose kama andu kwaka wuja wandu.
\v 10 Ela we waghanughila mafundisho ghapwa mwendo ghapwa makusi ghapwa, imani yapwa kuvumiliwa kukundagha ghapwa na ustamilivu ghapwa.
\v 11 Mateso maumivu ghanipata kuja Antiokia, ikonio na listra na ghavumilia mateso. Mzuri waniokoa katika ghose agho.
\v 12 Wose wakundi kuishi maisha gha kukmkunda Mlungu katika Kristo Jesu dimawatesigha.
\v 13 Wandu wazamie na wadanganyifu dimewaka wazamie zaidi dimawapotosha wamwi awobeni wapotoshagha.
\v 14 Ela we damu katika malagho wakifundisha na kaghamiri kwa usabiti kwa kuwa wamanya wakifundisha kwa ani.
\v 15 Waichi tangu wanakenyi ghako waghamanya maandiko matakatifu agha ghaghadima kuheshimisha kwa ajili ya wokovu kwa chia ya amani katika Kristo Jesu.
\v 16 Kila andiko jakumbigha pumzi na Mlungu jidafaa maandiko gheko na faida kwa kushawishi kwa kurekebisha makosa na kufundisha katika hachi.
\v 17 Ighi ni kughora mndu wa Mlungu ake kamili, akiwa wanekwa nyenzo rose kwa ajili ya kubonya kazi riboie.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Dakuneka agizo iji jenye uzito imbiri ya Mlungu na Kristo Jesu akundie kuhukumu wario hai na wafu, na kwa sababu ya kufunuligwa kwake na ufalme wake.
\v 2 Hubirijilagho uke tayari kwa wakati ufagha na wakati usiofagha waghorie wandu zambi rawe, kemea, himizo kwa kulumaghia ghose na mafundisho.
\v 3 Kwa wuja wakati ghadimaghoja ambao wandu ndawawusiana na mafundisho ya loli badaala yake dimawakililiagha walima wakufundisha kulingana na tama rawe chia ihi madu ghawe dimaghaka ghatengagha.
\v 4 Dimagha kusikira mafundisho ya loli dimawageukia hadithi.
\v 5 Ela we uke mwaminifu wakati katika malagho ghose vumilia vikurie bonya jaghu ya Mwinjilisti timiza huduma yako.
\v 6 Kwa maana mi tayari nimeria kumiminwa. mudagha kuingia kwapwa wawadia.
\v 7 Nashindana katika hachi, mwendo na ghameria imani nailinda.
\v 8 Taji ya hachi yawikwa kwa ajili yapwa, Ambao Mzuri ahukumu kwa hachi, akanineka maruwa ija nasio kwapwa tu bali pia kwa wose wawesiragha kwa shauku kuwoneka kwake.
\v 9 Jitahidi kucha kwapwa ruwa.
\v 10 Kwa wuja dimawanisigha. Waghakundi ulimwengu wa ijiagha na akaghenda Thesalonike, kreseni waghenda Galatia na Tito waghenda Dalmatia.
\v 11 Luka tu weko pamoja nami mbuse marko uchenae kwani ye ni muhimu kwapwa katika huduma.
\v 12 Namduma Tikiko Efeso.
\v 13 JIja ijoho ambajo najisigha Troa kwa Karpo, ukakunda kuja jirede, pamoja navija vitabu hasa vija vya mirongozi.
\v 14 Alekizanda kufula chuma wanibonyia maovu mengi. Mzuri amlipagha kulingana na matendo ghake.
\v 15 Nawe pia kihadhari naye, kwani waghapinga sana madedo ghedu.
\v 16 Katika utetezi wapwa wa kwanza ndakudae mndu yoyose wasimama pamoja nanyi badala yake kila umweri wanisigha Mlungu asiwahesabie hatia.
\v 17 Ela Mzuri wakakimsi pamoja nayi, akanikumba ndighi ili kwamba kuidia kwapwa ilagho jiariwe kwa ukamilifu na isanga wapate kumanya nikaokolewa katika momo gha shimba.
\v 18 Mzuri wadima waniepusha na matendo ghose maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme gwake gha mbingunyi. Utukufu uke kwake milele na milele. Amina.
\v 19 Mlamse Priska, Akila na nyumba ya Onesiforo.
\v 20 Erasto awabaki ukokweni Korintho, ela Trifimo namsigha Mileto waka mkongo.
\v 21 Bonya hima uche kabla ya kipindi cha mbeo. Eubulo adakulamsa, pia pude, Lino, Claudia na wambari wose.
\v 22 Mlungu akepamoja na ngoro yako, Neema ike nawe.

110
57-TIT.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,110 @@
\id TIT
\ide UTF-8
\h Tito
\toc1 Tito
\toc2 Tito
\toc3 tit
\mt Tito
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, mtumishi wa Mungu na mtume wa Jesu Kristo kwa imani ya wasagulwa wa Mlungu na maaarifa ya loli iledagha utawa.
\v 2 Bheko katika tumaini ja gulanzi wa milele ambagho Mlungu kudedae tee tangu milele.
\v 3 Kwa wakati mwafaka, akajifunua ilagho jake katika ujumbe wanineka nyi kuhubiri jampasa kubonya hubhu kwa amri ya Mlungu Mwokozi wedu.
\v 4 Kwa Tito, mwana wa Loli katika imani yedu. Neema, huruma na amani kufuma kwa Mlunggu Aba na Jesu Kristo Mwokozi wedu.
\v 5 Kwa bhuja nalikusighe krete, kwa bhugu uyabonye mlango yose yalikogho ndaya kamilioke na kuvika waghosi wa ikanisa kwa kilambo mzi kama andakulagiza.
\v 6 Mghosi wa kanisa lazima asake na lawama mumi wake umweli alie na bhana bhaminifu bhasioshuhudiwa mabaya angu wasio na nidhamu.
\v 7 Ni muhimu kwa mgubhaja msimamizi wa nyumba ya Mlungu asake na lawama. Asawe bhundu wa jogho angu asiye laziwa asawe mwepesi wa hasira asake mlevi, asake mdu wa kusababisha ugomvi na asake mwenye tamaa.
\v 8 Badala yake awe mdu mkaribishaji akundaye wema laziwa awe mdu mwenye akili timamu, mwenye haki, mcha Mlungu, anaye jitawala mweni
\v 9 Adimaye kusimamia mafundisho loli yaliyofundishwa ili adime kubha tii ngolonyi kwa mafundisho ngaboiye adimaye kubharekebisha bhose bhampingao.
\v 10 Kwa bhuja kuko waasi bhengi hasa bhaja wa kusulwa madedo yabhe ni ya upuuzi wadaembia na kuwalongoza bhandu katika upotofu
\v 11 Ni lazima kubhazuia bhandu kama hao, bhafundishaji yaja yasiyo paswa kwa faida za bhaya na kunona familia rose.
\v 12 Umweri wabhe, mwenye busara, wadeda, "Wakrete bhana tee usigho na mwisho bhabaja na bhanyama wa hatari, bhavivu na walafi."
\v 13 Haya madedo ni ya loli, kwa hubho uwazuie kwa ndighi ili kwamba wadima kudeda loli katika imani.
\v 14 Wee usakihusishe na hadithi zisizo za loli la kiyahudi angu amri la wandu, ambao hubhuja nyumba ni loli.
\v 15 Kwa bhose walikogho safi, vilambo vyose ni vievie lakini kwa bhose waliko wachafu na wasio amini, ndakudae chalikogho kielie kwa bhuja mawazio yabje na dhamira rao rachafurigha.
\v 16 Wanakiri kummanya Mlungu, kwa bhuja kwa matendo yagwe bhadumkanya abho ni waovu na wasiotii. Nda bhathibitishaigwe kwa tendo jojose jema.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Lakini wee bhadedaghaja ghafananagha na maelekezo ghakwa kuaminika.
\v 2 Bhaghosi bhake kiasi heshima, busara, imani safi, katika lukundo na katika uvumilivu.
\v 3 Bhorubho bhaka bhaghosi lazima daima bhakibonyerio bhobheni kama bhenye kukiheshimu na sibho bhatee lakini bhasakee bhadumwa bhachefi
\v 4 Bhadapaswa kufundisha ghajaghaboie ili kubhanda bhaikwa busara kubhakundaa bhomi bhabwe nabhana bhabwe.
\v 5 Bhadapaswa kubhafundisha kukana busara bhake bhasafi bhatunzaji bhanyuimbaraghe bhatii bhanyumba raghe bheni idabhalazimu kubonya maagho agho ili kwamba ilagho ja Mlungu jisanyirighe
\v 6 Katika namna iyoyeni iyo bhakumbeni ngolo vijana bhakibhomi bhake na busara.
\v 7 Katika chirabhe kibhikienyi inyo bhenyi kakamfano kazi ribonye mfundishanapo mbonyerie uaminifu na heshima
\v 8 Urienyi ujumbe ghuko na afya ghusadae dosari wowose ambishiagha akumbighe bhwaya kwa bhuja ndaandae jiza miye jakudeda ighu yedu.
\v 9 Bhatumwa bhaheshimu bhomibhabhwe katika kila kilambo idapaswa kubhafurahisha na sio kubishana nabho.
\v 10 Ndebhakundighosikukavitiana chikundigwi, bhake kubonyera lukundo lose lubhoiye ili kwamba katika chia rose waghapambe mafundisho ghedu kumkunda Mlungu Mwokozi wetu.
\v 11 Kwa bhuja neema ya Mlungu ya bhonekana kwa bhandu bhose.
\v 12 Yadifundisha kusigha malagho ghaseko gha Mlungu na tamaa za ghaisagha. Idadufundisha kukaa kwa likundo, kwa haki, katika chia ra ki Mlungu kwa marumba agha.
\v 13 Marubha tarajia kubhokera tumaini njeko na baraka kubhonekana Utukufu wa Mlungu wedu mbaa na mwokozi wedu Jesu Kristo.
\v 14 Jesu wakifunya mweni kwa ajili yedu ili kudikombora kufuma katika uasi na kudibonya diyeriye.
\v 15 Ghadede na kughakazira mlagho agha. kemea kwa mamlaka yose. Usakunde mndu wowose akumenye.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Ubhakusire kubhanyenyekea vilongozi na mamlaka, kubhatii na kuka tayari katika kila kazii ibhoiye
\v 2 Bhakumbusire kutokumbonyia mndu wowose kumbonyia mndu wowose mlaghelaghe bhatane mabishano abhaneke nafasii bhandu bhamwi katika kubonya maamuzi, na kubonyera unyenyekevu kwa bhandu bhose.
\v 3 Kwa bhunjaisi pia darikogho na mawazo potofu na bhabhishi, darikogho daraghaya dikabonyiogha bhatumwa kwa tamaa nyingi starehe, dekehekilisoni ulaghelaghe na kuzama, dakichukiza na kuzamiana.
\v 4 Kwa kughora bhundu mbazi ya Mlungu mkombozi wedu na lukundo lwake kwa bhanadamu ghuchabonekana.
\v 5 Ndegherikogho kwa matendo ghedu gha haki da ghabonye, ila wadiokoie kwa neema yaake wadiokoiye kwa kudioghesha kwa kuvalwa upya katika kubonya kwa ngobo ya kuela.
\v 6 Mlungu kuidia ngolo ya kuela kwa bhungi ighu yedu kuidia Jesu Kristo mwokozi wedu.
\v 7 Wabonyie hubhu ili kughora/ dekogho dataliwe haki kwa neema yake, dike bhashirika katika uhakika gha maisha gha milele
\v 8 Ughu ni ujumbe gwakwaminika nagha kundi mghunene kwa ujasiri malagho haya, ili kughamba bhaja bhamwamini Mlungu bhake na dhamira ighu ya kazi iboie ambayo waibhi kiyeimbiri yabwe. Malagho agha ni ghaboie na ghakona faida kwa ajili ya bhandu bhose.
\v 9 Lakini kiepusheni na mijadara ya kipumbavu na saba, mrindano, migongano kuhusu sheria. Malagho agha ndaghadaye maana wala faida.
\v 10 Mleghenyi wowose asababishaye mibhano kati yenyu baada yagho jimweri anguabhi,
\v 11 Manyenyi kughora mundu wajinsi hiyo waisigha chia iko sahihi abonyagha dhambi na kukihukumu mweni.
\v 12 Ni kichamduma kwako Artemi au Tikiko, bonyarubha uche kwapwa kunu ni kopoli naamua kuka wakati wa mbeo.
\v 13 Bonyarubhu mdume Zena mtaalamu katika sheria, na Apolo, kuseko kusobha na kilambo.
\v 14 Bhandu bhedu lazima bhakifundishe kukishughulisha katika kazi riboie ambaro ragusa malagho ghedu muhimu ili kughora bhasache bhakika bhasavigha matunda.
\v 15 Bhose bheko andu mweri nanyi bhakuamsa bhalamse bhaja bhadikundi katika imani. neema ike na inyo bhose.

51
58-PHM.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,51 @@
\id PHM
\ide UTF-8
\h Filemoni
\toc1 Filemoni
\toc2 Filemoni
\toc3 phm
\mt Filemoni
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Paulo, mfungwa wa Jesu, mkiri na mbari wa Timotheo wa Filemoni, amwedu di kukudi na mbonya kazi pamoja na isi.
\v 2 Na kwa mbinana Afia dadawedu, na kwa Arkipas askari mbedu, na kwa nyumba ya Mlungu jija dindokanaga myumbanyi kwako.
\v 3 Neema ike kwenyu na amani ifume kwa kwa Mlungu Aba wedu na kwa Bwana Jesu Kristo.
\v 4 Matuku gose da mshukuru Mlungu. Nidakudeda katika malombi gapya.
\v 5 Nasikire lukundo na imani ukonayo katika Bwana Jesu na kwa aqjili ya warumiri wose.
\v 6 Nalomba kwamba umoja gwa imani yedu ike kubonya jimboie kwa kila ilago jiko gadi yedu na mkire.
\v 7 Kwakuwa naka na kumboiwa na faraji kwa sababu ya lukundo kwako kwa sababu ngolo redu wa umini raka kitulizo nawe, mbari.
\v 8 Kwa huwo, ingawa nekona ujasiri gose katika mkiri kukuamuru we kubonya jija udimaga kubonya.
\v 9 Lakini kwa sababau ya lukondo, badala yake nakulomba nyi, paulo niko mgosi, na indana minyi mfungwa kwa ajili ya mkiri Jesu.
\v 10 Nakulomba kuhusu mwanapwa Onesmo, nimvae vifungo vapwa.
\v 11 Kwa kuwa ado imbiri simboiwe, lakini idana na mboiwa we na nyi.
\v 12 Nanduma ye ambaa ni wa ngolo yapya hasa - kuwuya kwako.
\v 13 Naweseria anandele kubali pamoja nanyi, ili anibonyie badala yako, matuku gaho kifungonyi kwa ajili ya injili.
\v 14 Lakini sikundie kubonya ilago jojose bila kurumiriwa niye, nabonyie huwu ili kwa mbailago jojose jimboie jisambonyike kwa sababu na lakini shiwe, bali kwa sababu wanikundie mweni kujibonya.
\v 15 Labda ni sababu wasigiwe nae kwa matuku, yake huwo ili ukenaye pamoja naye milele.
\v 16 Ili kwamba asake sena mdumwa, katika muwi bali boira zaidi ya mdumwa, kama mbari mkundwa, hasa kwapwa, na zaidi sana kwako, katika muwi na katika mzuri.
\v 17 Na huwo kama waniwusia ninyi mshirika, mwokorenyi kama andu mwaniwokera nyi.
\v 18 Lakini kama wagosha ilago jojose, au uko na idini jojose adaikufuma kwapwa?
\v 19 Nyi paulo, nidaandika kwa mkumu gwapwa mwani, nyi nadima nalipa. Sidedea kwako kwamba okonosile matuku gako putu.
\v 20 Naam mbsri siga mpate kumbuiwa kwa mzuri kufuma kwako umbuise ngolo yapwa katika mkiri.
\v 21 Ni kika na imani kuhusu kutii gwako, nakuandikia ni kimanya kwamba ubonyaga hata zaidi ya wuja ni kulombaga.
\v 22 Matuku ago ago andaa chumba cha wagenyi kwa ajili yapwa, kwa huwo natumaini kiidia malombi gako nadima nakuidie huwu kavui.
\v 23 Epatra, mfungwa mbedu katika mkiri Jesu ada kulemsa.
\v 24 Na kama abonya Marko, Aristrko, Dema, Luka, wabonya chagu pamoja nyi.
\v 25 Neema ya mzuri Jesu mkiri ike pamoja na roho yako. Amina.

593
59-HEB.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,593 @@
\id HEB
\ide UTF-8
\h Wahebrania
\toc1 Wahebrania
\toc2 Wahebrania
\toc3 heb
\mt Wahebrania
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Matuku ghaide Mlungu wadede na mawawa wedu kuidia Wazuri maranyingi na kwa chia nyingi.
\v 2 Ela katika matuku adadikonago, Mlungu wadedie na isi kuidia mwana, ambye wamwikie kuka mpali wa vilambo vose, na ambae kuidia ya pia wambosie urumwengu.
\v 3 Mwanake ni nuru ya Utukufu gwake, tabia yenikeri ya kala ya mweni, na achuriagha vilambo vose kwa idedo ja ndighi rake. Baada ya kumboisa utakaso gwa dhambi, wakaa ndonyi mkonu gwa kujo gwa enzi uko igu.
\v 4 Wakee bora kuliko Malaika, kama wuja irina apalie jikee bora zaidi kuliko irina zawe.
\v 5 Kwa maana ni kwa Malaika wayao kirie kudeda, we ni mwapwa, linu mkaiya Aba wako? Nasena "Nikaiagha Aba kwake, naye akaigha mwana kwapwa?'
\v 6 Sena matuku omridiwe mvalwa wa kiambiri urimwengunyi kudeda "Malaika wose wa Mlungu lazima wamwabudu."
\v 7 Kuhusu Malaika adadeda, 'Ye ambae wabonyagha Malaika wake kuka ngolo, na wabonya chaghu wake kuka lumilwa modo."
\v 8 Ela kuhusu mwana kudeda, kifumbi cha matuku, Mlungu, ni cha milele na milele. Chaghu cha Mzuri wako ni chaghu cha haki.
\v 9 Wakunda hachi na kuzamiwa kunonamia sheria, kwa huwo Mlungu, mlungu wako, wakuvia mavuda gha kumboiwa kuliko wambagho.
\v 10 Aho mbiri, Mzuri, wawikie mbingi gwa isanga. Mbingu ni chaghu za mikonu yako.
\v 11 Radimaralaghaya, ela we useghudagha. Rose rinoke gha kama nguwo.
\v 12 Wadimewariwadawada kama ikoti, naro ribadilike kama nguwo. Ela we ni ujamweni, na malaika wako ndasigaga."
\v 13 Ela ni kwa Malaika uyao Mlungu wadeda matuku ghoghose, "kenyi mkonu gwapwa gwa kujo mpaka mbonyie azamie wako kuka kifumbi cha maghu ghako"?
\v 14 Je, Malaika wose sio Ngolo ridumiwe kuwambusia na kuwatunza waja wapalagha kueleshwa?
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa huwo ni lazima diwike kipaumbele zaidi kwa ghaja daghasikira, ili kwamba nisache dikasigwa kula nawo.
\v 2 Kwa maana ukika ujumbe ghadediwe na malaika ni loli na kila kiwiwi na kiwiwi kuwokera mateso tu.
\v 3 Dipatawada kusighana kama disapojali kuelesha kunu kubagha? kueleshwa ambako kiambiri kudadewa na Mzuri na kuthibitishwa kwedu na waja wasikira.
\v 4 Mlungu pia waghuthibitishie kwa kubonyera, maajabu, na kwa mabonyo mabaha mbalimbali, na kwa zawadi ra Ngolo Mtakatifu ariwaghie kulingana na mapenzi ghake mweni.
\v 5 Mlungu ndaghukie urumwengu ghuchaa, ambagho dikudeda habari rake, ndonyi ya Malaika.
\v 6 Badala yake, mundu mzima ameshuhudia andu kuzima akideda, "Mundu ni uyao, hata adime kummanya? Au mwana wa mndu, hata umtunze?
\v 7 Wambonya mndu kuka mtini kuliko Malaika, wamriwisha taji ya utukufu na heshima. (Maziria: madedo agha, na wamwika ighu ya chaghu cha mikonu yako. "ndagheko andu nakala ra kala.)
\v 8 Wawika kila kilambo ndonyi ya maghu ghako. "kwa huwo Mlungu wawika kila kilambo ndonyi ya mndu. Ndasighie kilambo chochose ambacho ndachiko ndonyi yuake. Ela idana huwu ndadimwonaga bado kilambo kikaka ndonyi yake.
\v 9 Hata huwo, dawona ambaye warikogho akibonyigwa kwa matuku, ndonyi kuliko Malaika Jesu, ambaye, kwa sababu wasi gwake nakifwa kwake, wavishigwa taji ya utukufu na Heshima. Huwo idana kwa Neema ya Mlungu, Jesu watoa kufwa kwa ajili ya kila mundu.
\v 10 Yekee wuloli kwamba Mlungu, kwa sababu kila kilambo chiko kwa ajili yake na kuidiaya alipashwa kuwarade wana wengi katika utukufu, na kwamba alipaswa kubonya kilongozi katika maeleshwa awo kuki mloli kuidia wasi gwake.
\v 11 Kwa maana wose wawi uja awikagha wakfu na waja ambawo wawikagha wakfu, wose wafumagha andu kala imweri.
\v 12 Adadeda, "Naghoria irina jako kwa mbari rako, niboragha kuhusu we kufuma ndenyi ya kusanyiko."
\v 13 Sena adadeda, "Nidaamini katika ye." Na sena, "Nguwa, aha niko na wana ambawo Mlungu wanireka."
\v 14 Kwa huwo, kwa kuwa wana wa Mlungu wose washiriki kimuwi na mbagha, kadhalika Jesu washiriki vilambo vilevile, ili kwamba kuidia kufwa akunda kumuija ndighi uja ambae uko na mamlaka ighu ya mauti ambae ni ibilisi.
\v 15 Iji jakee huwo iliawawike mwari waja wose ambawo kuidia kuboa kwa kufwa wakee matuku ghwe ghose katikia utumwa.
\v 16 Kwa wuloli siyo malaika awasaidiagha. Badala yake, wawasaidiagha wavalwa wa Abrahamu.
\v 17 Kwa huwo, yakee lazima ye ake kama mbari rake katika chia rose, ili adime kuka kuhani mbaha ukona lukundo na mloli kwa vilambo va Mlungu, na ili kwamba ake na kudima kwa kufunya kuijiwa kwa dhambi ra wandu.
\v 18 Kwa sababu Jesu mweni watesekie, na kugheriwa uko na ndighi ra kutawaria waja wagheriwagha.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kwa huwo, mbari watakatifu, washiriki wa kuwangwa wa Mbingunyi, mumtenganye Jesu Mzuri na kuhani mbaha wa ukirigwedu.
\v 2 Warikogho mloli kwa Mlungu amsaghuye, kama Musa akee mloli pia katika nyumba yose ya Mlungu.
\v 3 Kwa huwo Jesu wataliwe kuka na heshima mbaha kuliko akee nayo Musa, kwa sababu uja agaga nyumba adataligwa kuka na heshima mbaha kuliko nyumba yeni.
\v 4 Kwa kuka kila nyumba yaagwagha na mundu mzima, ela uja ugaga kila kilambo ni Mlungu.
\v 5 Kwa wuloli MUsa warikogho mloli kama mbonya chaghu katika nyumba yose ya Mlungu, akifunya ushuhuda kuhusu malagho ghadediwagha matuku gha chagha.
\v 6 Ela Kristo ni mwana katika usimamizi gwa nyumba ya Mlungu, isi ni nyumba yake kama dikawadiria haraka katika kujiamini na fahari ya kujiamini.
\v 7 Kwa huwo, ni kama Ngolo Mtakatifu adedagha, "Linu kama usikiragha sauti yake.
\v 8 U8saghubonye Nolo yako kuka gukuriye kama waIsraeli wabonyie katika kumsigha Mlungu, katika ituku ja kugheriwa isakenyi.
\v 9 Ughu gwwarikogho ni utuku ambajo Aba wedu wamsighie kwa kumgheria, na matuku, gha miaka arobaini, wawonie mabonyo ghapwa.
\v 10 Kwa huwo simboiwe na chaghu icho. Nadedie walaghaya kila mara katika Ngolo rawo, na ndawaichi chia rapwa.
\v 11 Ni kama wuja mtasie katika virea vapwa ndawangiagha kumboiwa kwapwa.
\v 12 Mke mkikimanya, mbari, ili kwamba usache ukaka Ngolo mwovu wa wa kutokuamini kwa umweri wenyu. Ngolo ambao ughendagha kula na Mlungu ako banana.
\v 13 Badala yake, mgoriana kila ituku kula umweri na mbawe, ili kila iwangwagha linu mkunde ili kwamba umweri kati yenyu asibonyigwe kuka akurie kwa kuembiwa kwa dhambi.
\v 14 Kwa maana dakaiya washiriki wa Kristo ikaka dikawadana na uthasifi gwedu kwa ndighi katika ya kufuma imbiri hdi mwisho.
\v 15 Kuhusu iji jasia kudediwa, "Linu kama muisikiragha sauti yake, maibonye Ngolo yenyu kuka ikurie, kama waisraeli wabonyie matuku gha kumsigha Mlungu."
\v 16 Ni wakani awo wamsikirie Mlungu na kumsigha Mlungu? na wakee waja wose ambawo Musa wake akiwabonyeria chia kufuma Misri?
\v 17 Na niwakani ambawo Mlungu wawaie kwa miaka arobaini? sio andu umweri na waja wabonyei dhambi, ambawo miwi yawe, yafie ikatungura jangwenyi?
\v 18 Ni wakani aliowaapia Mlungu kwamba ndawangiagha katika kumboiwa kwake, kama siwo waja ambawo dawamsikirie ye?
\v 19 Dawona kwamba dawadimie kungia katika raha yake kwa sababu ya kuto kuamini.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kwa huwo, dapaswa kuka makini ili kwamba katiyenyu kusake hata umweri awonekanagha kulemwa kufikia ahadi endelevu ya kungia katika kusoghoka kwa Mlungu.
\v 2 Kwaki dakaiya na habari imboie kuhusu kusoghoka kwa Mlungu jidediwe kwedu kama waisraeli wakaie najo, Ela ujumbe ugho dakusaidie waja ambawo wasikirie bila kuunganisha imani kwa ujo.
\v 3 Kwa isi ambawo damweria amini isi deko miongonyi dingiagha katika jija kusiogoka, kama idediwagha, "Kama mtasie kwa kurea kwapwa, Ndawangiagha katika kusoghoka kwapwa." Wadedie iji, ingawa chaghu chose ambosie charikogho cha kamilika tangu imbiri kwa Urumwengu.
\v 4 Kwani wadedie andu fulani kuhusu iruwa ja saba, "Mlungu wasoghokie iruwa ja saba katika ghose aghabonyie."
\v 5 Sena wadedie, "Ndawangiagha andu iso gheko japwa."
\v 6 Kwa sababu inyo, andu kusoghoka kwa Mlungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kungia, na andu waisraeli wengi ambawo wasikire habari njema kuhusu kusoghoka jake ndawngirie kwa sababu ya kutotii.
\v 7 Mlungu wawikie sena ituku fulani iwangwagwa "Linu." Ye achurie ariwa iji wadedie kuidia Daudi, ambae wadedie kwa matuku malacha baada ya ghadediwe imbiri, linu kama msikiragha sauti yake, msabonye Ngolo renyu kuka ikurie.
\v 8 Kwani kama Yoshua wawanekie kusoghoka, Mlungu asingededa ighu ya ituku jimwi.
\v 9 Kwa huwo bado kuko sababto ya kusoghoka itunziwe kwa ajili ya wandu waMlungu.
\v 10 Kwani angayahja katika kusoghoka kwa Mlungu ye mweni pia wasoghoka kutokana na mabonyo ghake, kama Mlungu abonyie katika ye.
\v 11 Kwa huwo dikenyi na shauku ya kungia katika jija isoghoko, ili kwamba aseko kungwenyi katika aina ya kumsigha Mlungu wabonyie.
\v 12 Kwa maana ilgho ja Mlungu jeko banana na jekona ndighi na jekona kubia kuliko luamba lolo ghokana kubia kawi. Na jadungagha hata kufikia kuwaghana nafsi na Ngolo, na viungo katika uboho. Na jekona kudima kumanya fikira ra ngolo nia jake.
\v 13 Ndakudae chiumbiwe chikimbisie katika wushu gwa Mlungu. Badala yake, kile kindu ni dhahiri na mwari kwa meso gha umweri ambae ni lazima difunye hesabu.
\v 14 Baadae kuka na kuhani mbaha wangia katika mandulunyi. Jesu mwana wa Mlungu, kwa uimara diwadie imani redu.
\v 15 Kwa kuka ndadindae kuhani mbaha ambae ndadimagha kuhisi mbazi kwa ajili udhaifu gwedu, ela ye ambaye kwa chia rose wakaiya akigeriwa kwa isi, isipokuwa ye ambae ndandee dhambi.
\v 16 Nadiche kwa ndighi katika kifumbi cha enzi cha neema, ili kwamba diwokere na kupata neema ya kudisaidia matuku gha kukunda.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Kwani kila Kuhani mbaha, abaghlwe kufumana andu kumweri mwa wandu, wasagalwa kulongoza badala yawo katika vilambo vilusianagha na Mlungu ili adime kufunya andukumweri zawadi na dhabihu kwa ajili ya Dhambi.
\v 2 Adima kukibonyia kwa mbazi na wakelu na wambishi kwa kuka ye mweni pia wazungulukwa na uzaifu.
\v 3 Kwa sababu ya iji, ukona lazima ya kufunya tongolo sandaka kwa ajili ya dhambi rake kama abonya kwa dhambi ra wandu.
\v 4 Na ndakudae mundu awuse heshima ihi kwa ajili yake mweni, ela ni badala yake, lazima awangwe na Mlungu, kama andukee Haruni.
\v 5 Hata Kristo andakinekie heshima mweni kwa kukibonya mweni kuka Kuhani mbaha. Badala yake, Mlungu wadedie kwake, "We ni mwapwa, linu naka ndeo wako."
\v 6 Ni kama adedagha pia andu kuzima, "We ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki."
\v 7 Matuku gha kipindi chake katika muwi, walombie na kutasia, walombie Mlungu kwa mbori, kwa ye adimagha kumtawaria kufuma andu wafwa, kwa sababu ya unyenyekevu gwake kwa Mlungu, asikiragha.
\v 8 Ijapokkuwa wakee mwana, akakifundisha kurumiria kwa malagho gha wasi.
\v 9 Wakailishiwe na kwa chia ihi wabonyiwe kwa kila mundu amwaminie kuka sababu ya wokovu gwa milele,
\v 10 Kwa kuwikwa mbai na Mlungu kama Kuhani mbaha baada ya zamu ya Melkizedeki.
\v 11 Dekona mengi gha kudeda kuhusu Jesu, Ela ni kwa kurie kuwadedia kwa kuka inyo ni mavivu wa kusikira.
\v 12 Ijapokuwa kwa kipindi iki mlipaswa kuka bado koko umuhimugwa mundu kuwafundisha mafundisho gha imbiri ya kanuni ra idedo ja Mlungu mwakundi mariwa na sio vindo vikurie.
\v 13 Kwa kuka wowose anywe mariwa tu ndadae mambaro katika ujumbe gwa haki, kwa kuka bado ni mwana.
\v 14 Kwa upande umwi, vindo vikurie ni va wandu wamwi, waja ambawo kwa sababu ya mambaro awo katika kuija haki na kuzama wabonyiwe kumanya ghamboie na ghazamie.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Kwa huwo, dikasigha andu dakifundisha imbiri kuhusu ujumbe gwa Jesu Kristo dapaswa kuka na juhudi kughenda andu kuka ukomavu, disawikw sena misingi ya toba kufuma katika chaghu chiseko na banana na imani katika Mlungu.
\v 2 Wala misingi ya mafundisho gha ubatizo, na kuwikiwa mikonu, ufufuo gwa wafu, na hukumu ya milele.
\v 3 Na dibonyagha huwu ikika Mlungu akadirehusu.
\v 4 Kwa kuka ndaidimikagha kwa waja ambawo wanekiwe nuru imbiri, ambawo wataisiwe kipawa cha Mbingunyi, na kubonywa kuka washirika wa Ngolo Mtakatifu.
\v 5 Na ambawo waboie kumbuiwa kwa idedo ja Mlungu na kwa ndighi ra matuku agho gha cgagha.
\v 6 Na kisha wakangwa - ndawadimikagha kuwawuja sena katika toba. Ihi ni kwa sababu wamsulubishie mwana wa Mlungu mara ya kawi nafsi rawo, wakimbonya kuka kilambo cha chiheka kuelie.
\v 7 Kwa kuka ndoe ilagharie vua inyagha mara kwa mara ighu yake, na ukafunya mbeu muhimu kwa awo wabonyie chaghu katika ndoe, wawokeragha baraka kufuma kwa Mlungu.
\v 8 Ela ika ra valwagha mijwenyi na magugu, ndakudae sena thamani na yeko katika hatari ya kulaaniwa. Mwisho gwake ni kukorigwa.
\v 9 Ijapo kuwa didededda huwu, amwedu wapenzi, dideshawishiwa na malegho ghamboie ghawakundie inyo na malegho ghakundie wokovu.
\v 10 Kwa kuka Mlungu sio dhalimu hata aliwe chaghu na kwa lukundo mbonyeriwe kwa ajili ya irina jake, katika iji mwawatumikiwa waamini na bado mweko mdawatumikia.
\v 11 Na didatamani sena kwamba kila umweri wenyu adime kubonyera bidii ya ija mpaka mwisho gwa uhakika gwa ujasiri.
\v 12 Ndadikundi mke wavivu, ela mke wafuasi wa waja wapali ahadi kwa saababu ya imani na uvumilivu.
\v 13 Kwa maana Mlungu wamnekie Abrahamu ahadi, aliapa kwa nafsi yake kwa kuka asigheliapa kwa umwi wowose akee mbaha kuliko ye.
\v 14 Wadedie, "Loli nitakubariki na michurigha uzao gwako zaidi."
\v 15 Kwa chia ihi, Abrahamu wawokerie chija ahidiwe baada ya kuweseria kwa uvumilivu.
\v 16 Maana wanadamu huapa kwa ye eko ighu mbaha kuliko awo, na awo ukomo gwa mashindano ghose ni kiapo kwa kughathitisha.
\v 17 Matuku Mlungu akundie kubonyeria kwa mweni zaidi kwa warithi wa ahadi kusudi jake jimboie jisabadikagha, wajithibitishie kwa kiapo.
\v 18 Wabonyie huwo ili kwa vilambo viwi visadimikagha dipate kukumbwa ngolo kuwadiriwa kwa ndighi tumaini jiwikiwe imbiri yedu.
\v 19 Dekonago ujasiri ughu kama nangaimara na ya kutegemea ya ngolo redu, ujasiri ambao ghudangia sehemu ya ndenyi ya pazia.
\v 20 Jesu wangirie sehemu ija kama akirie kwedu akisha kubonyika Kuhani mbaha hata milele baada ya utaratibu gwa Melkizededki.
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Yekee huwu Melkizededki, Mzuri wasalamu, Kuhani wa Mlungu eko ighu, andakane na Abrahamu akiwuya kufuma kuwabagha wazuri na akambariki.
\v 2 Abrahamu akamneka imweri ya ikumi ya kila kilambo aligho kwa amekiteka. inna jake "Melkizedeki" maana jake" Mzuri wa haki" na pia "Mzuri wa sehemu" ambayo ni "nzuri wa amani."
\v 3 Ndadae Aba, ndadae mae, ndadae wavazi, ndadae imbiri ya ituku wala mwisho gwa maisha ghake. Badala yake, adabakia kuhani milele, kama mwana wa Mlungu.
\v 4 Sasa fikiria jinsi huyu mundu andu akee mbaha mvazi wedu Abrahamu wamnekie imweri ya ikumi ya vilambo vimboie aviwusie kondonyi.
\v 5 Na loli, mbari ya walawi wawokerie ofisi ra kuhani warikogho na amri kufuma koko sheria kukusanya imweri ya ikumi kufuma kwa wandu ambawo ni, kufuma kwa waisraeli wambawe, anduamweri na kwamba awo, pia ni mmbari kufuma kwa Abrahamu.
\v 6 Ela Melkizededki ambaye ndekogho wa mbari kufuma kwa walawi, wawokerie imweri ya ikumi kufuma kwa Abrahamu, na Akambariki, ye akee na ahadi.
\v 7 Aho ndikundiwe kwamba mndu mtini kubarikiwa na mbaha.
\v 8 Kwa ilagho iji mundu awokeragha imweri ya ikumi afwagha ituku jimweri, ela kwa ilagho jimwi umweri awokerie imweri ya ikumi kwa Abrahamu ikadedigwa kama banana.
\v 9 Na kwa namna ya kudediwa, lawi awawokerie imweni ya ikumi, pia afunyie imweri ya ikumi kwa Abrahamu,
\v 10 Kwa sababu lawi wakee katika viwonu va Aba wake Abrahamu matuku Melkizededki andokane na Abrahamu.
\v 11 Sasa kama ukamilifu gwadimikane kuidie Ukuhani gwa lawi, (huwo ndonyi yake wandu kuwokera sheria), kwarikogho na kukunda indoi zaidi kwa kuhani umwi kuwukia badala ya mfano gwa Melkizedeki, na sio kuwa gwa baada ya mpangilio gwa Haruni?
\v 12 Kwa huwo Ukuhani gaubadilika, ndakuae budi sheria nayo ibadilika.
\v 13 Kwa umweri malagho agha ghadediwe kuhusu mbari rimwi, kufuma kwake ndakundae abonyie madhabahunyi.
\v 14 Sasa ni mvazi kwamba Mzuri wedu wafumie katika Yuda, mbari ambayo Musa ndadedie kuhusu Makuhani.
\v 15 Na agha didedagha ni mweri hasa ikika kuhani umwi afumiriagha kwa mfano gwa Melkizedeki.
\v 16 Kuhani uyu mpya sio umweri ambae waka kuhani ighu ya msingi gwa sheria rihusianagha na mbari ra mndu, ela katika msingi msingi gwa ndighi ra matuku gasadimikanagha kunoneka.
\v 17 Huwo maandiko ghadeshuhudia kuhusu ye: "We ni Kuhani milele baada ya mfumo gwa Melkizedeki."
\v 18 Kwa kuka amri ikirie yawikiwe mbai kwa sababu yarikogho dhaifu na ndaimboie.
\v 19 Huwo sheria ndaibonyie chochose kikamilifu. Isipokuwa, kwakee na ujasiri ghumboie kwa agho dimseghudiagha Mlungu.
\v 20 Na ujasiri ughu ghumboie ndekufumie pasipo kudediwa kirawo, kwa iji makuhani wamwi ndawawusie kirawo chochose.
\v 21 Ela Mlungu wewusie kirawo matuku adedie kuhusu Jesu, "Mzuri ameapa na ndebadilishagha kuririkanya ye, we ni Kuhani milele."
\v 22 Kwa iji Jesu pia wachee kuka dhamana ya agano jimboie.
\v 23 Kwa loli, kifwa ndachiziagha Makuhani kuhukumu milele. Ihi ni kwa sababu warikogho Makuhani wengi, umweri baada ya umwi.
\v 24 Ela kwa sababu Jesu adaishi milele, Ukuhani gwake ndeghubadilikagha.
\v 25 Kwa huwo ye pia adedima kwa ukamilifu kukamilisha kuwaokoa wamfikiagha avui Mlungu kuidia kwake, kwa kuka ye adaishi daima kwa kulomba kwa ajili yawhe.
\v 26 Kwa huwo Kuhani mbaha wa namna ihi adastahili kwedu. asandae dhambi, hata, msafi, asigiwe kufuma kwa wekona dhambi, na wakee ighu kuliko Mbingunyi.
\v 28
\v 27 Ye ndakee na uhitaji mfano wa Makuhani wasaha, kufunya dhabihu kila ituku, kwanza kwa dhambi yake mweni, na baadae kwa dhambi ra wandu. Wabonyie huwu mara iweni kwa wose, wakifunyie ye mweni. Kwa sheria wasaghuka wandu dhaifu kuka Makuhani wasaha, ela ilagho ja kipawa, ja chee baada ya sheria, wamsaghuye mwana, abonyiwe kuka mkamilifu milele.
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Sasa ilagho ambajo didedagha ni iji, dekonae kuhani mbaha wakee ndonyi katika mkonu gwa kujo gwa kifumbi cha enzi Mbingunyi.
\v 2 Ye ni mtumishi katika andu patakatifu, hema ja loli ambajo Mzuri wajiwikie, sio mundu wowose wa kufwa.
\v 3 Kwa maana kila kuhanio mbaha wawikwagha kufunya zawadi na dhabihu, kwa huwo ni muhimu kuka na kilambo cha kufunya.
\v 4 Sasa kama Kristo warikogho ighu ya isanga, ye ndakee kuhani zaidi ya aho, kwa kuka warikogho tayari waja wafunyie vipawa kulingana na sheria.
\v 5 Wabonye kilambo ambacho chekee nakala na kirerende cha vilambo va Mlungu nyi loli kama Musa wakanyiwe ni Mlungu matuku angundie kuagha hema "Nguwa" Mlungu akadeda, kwamba mboisa kila kilambo kulingana na maumbo wabonyeri wa ighu ya lughongo."
\v 6 Ela sasa wawokera huduma bora kwa sababu ye pia ni mpatanishi wa agano jimboie, ambajo jameria kuimarishwa kwa ahadi imboie.
\v 7 Huwo kama agano ja imbiri ndajikee na mawiwi, niko ndakukee na haja kulola agano ja kawi.
\v 8 Kwa kuka matuku Mlungu amenyie mawiwi kwa wandu wadedie, "Nguwa, ituku jidada, adeda Mzuri, matuku ni bonyagha agano ipya andu amweri na nyumba ya israeli na nyumba ya Yuda.
\v 9 Ndajikagha kaama agano mjibonyie andukumweri na Aba wawe ituku ambajo nawawusie kwa mkonu kuwakirisha kufuma nchi ja Misri kwa kuka ndawandelee katika agano japwa, nanyi siwakundie sena adeda Mzuri.
\v 10 Kwa kuka iji nijo agano dibonyagha kwa nyumba ya Israeli baada ya ituku ijo, adeda Mzuri, 'niwikagha sheria rapwa maririkanyo ghawe, na nitaziandika ngolonyi kwenyu. Ni kagha Mlungu wawe, nawo wakagha wedu wapwa.
\v 11 Ndafundishana kile umweri na jirani wake, nakila umweri na mbari yake, akideda, "Mmanye Mzuri," huwo wose wanimanye nyi, kufuma mtini hadi mbaha wawe.
\v 12 Huwo nibonyeragha rehema kwa mabonyo gawe ghaseko gha haki na sirikumbukagha dhambi rawhe sena."
\v 13 Kwa kudeda "Mpya" wajibonyie agano la imbiri kuka ja kale. Na ijo ambajo wadedie kuka ja kalekale jiko tayari kuinga.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Sasa hata agano ja imbiri ja kee na andu kwa ibada aha dunienyi na taratibu ra ibada.
\v 2 Kwaki katika hema kwa kee na chumba chiandaliwe, chumba cha shighadi, kwa wangiwe andu Patakatifu. Katika andu aha kwa kee na kinara cha taa, meza na mikate ja wonyesho.
\v 3 Na nyuma ya pazia ja kawi kwa rikogho na chumba kizima, kwa wangiwe andu Patakatifu zaidi.
\v 4 Kwa rikogho Madhabahu ya Dhahabu kwa kuvukizia uvumba. Pia kwa rikogho sanduku ja agano, ambajo jarikogho jaagwadhahabu ndulu. Ndenyi ya kee kwa rikogho na bakuli ja dhahabu jekone manna, changu cha Haruni jifunyie nayasi na njia mbao ra magwe gha agano.
\v 5 Ighu ya sanduku ja agano maumbo gha maserafi gwa utukufu gwafunikwa mawawa ghawe imbiri ja kifumbi cha upatanisho, ambacho kwa ijiha ndadimagha kueria kwa kina.
\v 6 Baada ya vilembo ivi kuka visia kuandaliwa, makuhani kawaida wangiagha chumba cha shighadi cha hema kufunya huduma rawhe.
\v 7 Ela kuhani mbaha wangiagha jija chumba cha kawi mweni mara jimweri kila mwaka, na ndakundae kusigha kufuma dhahabu kwa ajiliyake binafsi, na zambi ra wandu waribonyie ndakudae kukusudia.
\v 8 Ngolo Mtakatifu washuhudia kwamba, chia ya andu patakatifu zaidi bado ndakuwikiwe mwari kwa wuja ija hema ja imbiri bado jinasimama.
\v 9 Iji ni kielelezo cha ituku iji ja ijiaha. Vose zawadi na zabihu ambajo ridefunyigwa indana ndavidimagha kumweria dhamiri ra wakuabudu.
\v 10 Ni vindo na vinywaji venikeri vaunganishwa katika namna ja taratibu ra ibada ja kukioghia. Vose ivi varikogho taratibu ra kimuwi varikogho vaandaliwa hadi icha amri mpya iwikwagha andu kwake.
\v 11 Kristo wachee kama kuhani mbaha wa malagho gha mboie ambagho ghachee kuidia wubaha na ukamilifu gwa hema mbaha ambajo ndaibonyiwe na mikonu ja wandu, ambajo si ya isenga iji gwaumbigwa.
\v 12 Yarikogho si kwa mbagha ya mbari na ndama, bali kwa mbagha yake mweni kwamba Kristo wangirie andu patakatifu zaidi mara amweri kwa kila umweri na kuhakikishia ukombozi gwedu gwa milele.
\v 13 Kama kwa mbagha ya mbari na mafahari na kunyunyiriwa kwa ivu ja ndama katika awo waseko safi wasighiwe kwa Mlungu na kubonya miwi yawhe imboie.
\v 14 Je si zaidi sana mbagha ya Kristo ambaye kuidia Ngolo wa milele wakifunyie mweni bila mawaa kwa Mlungu, kuogha dhamiri redu kufuma mabonyo mafu kumtumikia Mlungu weko banana?
\v 15 Kwa sababu ijo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Iji miye sababu kifwa cha sigwa mwani wose wakee wa agano ja kiambiri kufuma katika hatia ya zambi rawhe, ili kwamba wose wawangiwe na Mlungu wadime kuwokera ahadi ya kupala kwawe gwa milele.
\v 16 Kama kuna agano jidumu, ni lazima kuthibitishwa kwa kifwa cha mundu uja ajibonyie.
\v 17 Kwaki agano jakee na ndighi andu kufumiriagha mauti kwa sababau ndakundae ndighi ituku mweni kujibonya akika adaishi.
\v 18 Huwo hata si jija agano ja imbiri jakee jiwikie pasipo mbagha.
\v 19 Matu Musa andukee akifunya kila agano ja sheria kwa wandu, wose, wawusie mbagha ya ng'ombe na mbuzi, pamoja na machi, kitambaa chitumikie, na hisopo, na kuwanyunyizia gombo lenyewe na wandu wose.
\v 20 Kisha wadedie, "Ihi ni mbagha ja agano ambajo Mlungu wawanekie amri kwenyu."
\v 21 Katika hali ijaija, wanyunyizia mbagha ighu ja hema na vilambo vose avitumie kwa huduma ya kuhani.
\v 22 Na kulingana na sheria, kavui kila kilambo kidatakaswa kwa mbagha. Pasipo kuidia mbagha ndakundae msamaha.
\v 23 Kwa huwo yakee lazima kwamba nakala ra wandu vilambo va mbingunyi sharti viogeshwe kwa ihi dhabihu ya nyamaadu. Hata huwo vilambo va mbingunyi veni vapaswa kuogeshwa kwa dhabihu iko bora zaidi.
\v 24 Kwa Kristo ndagherie andu patakatifu sana kubonyiwe na mikonu, ambayo ni nakala ya kilambo halisi. Badala yake wangirie mbingunyi yeni, andu ambapo idana weko imbiri ra wushu gwa Mlungu kwa ajili yedu.
\v 25 Ndagherie kuja kwa ajili ya wakifunya sadaka kwa ajili yake mara kwa mara, kama abonyagha kuhani mbaha, ambaye wangiagha andu patakatifu zaidi ya mwaka baada ya mwaka anduamweri na mbagha ya umwi.
\v 26 Kama ijo yarikogho loli, basi yarikogho lazima kwake kubonyiwa viwiwi mara nyingi zaidi tangu imbiri gwa isanga. Ela idana ni mara imweri hadi mwisho gwa miaka akifunyie kuja dhambi kwa dhabihu yake mweni.
\v 27 Kama iko kwa kila mundu kufwa mara imweri, na baada ya ijo kucha hukumu.
\v 28 Niko huwo Kristo naye ambaye wafunyiwe mara imweri kuifunya dhambi ra wengi, afumiriagha mara ya kawi, si kwa kusudi la kushughulikia dhambi, bali kwa ukombozi kwa waja wamweseriagha kwa saburi.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Kwa wuja sheria ni kirerende cha malegho ghamboie gachagha, si ghaja gheko halisi. Sheria ndadimagha kuwakamilisha waja ambawo wekoavui Mlungu kwa chia ya dhabihu rija rija ambaro makuhani wagendie kufunya mwaka baada ya mwaka.
\v 2 Au vimwi dhabihu iro radimie kukoma kufunyigwa? kwa kigezo icho wamkerie, wakikawaagoshigwa mara imweri, wasingamanya na kumanyirigwa wa dhambi.
\v 3 Bali katika dhabihu ivo koko ukumbusho gwa dhambi riboniwe mwaka baada ya mwaka.
\v 4 Kwa kuka ndadimagha kwa mbagha ya mafahari na mburi kufunya dhambi.
\v 5 Ituku Kristo achee dunienyi, wadedie, "Ndamkundie mafunyio au dhabihu badala yake, mwaandalie muwi kwa ajili yapwa.
\v 6 Ndamkee na thamani katika mafunyio ghose gha kumeriwa au dhabihu kwa ajili ya Dhambi.
\v 7 Kisha nadedie, kuwa, aha nidagabonya mapenzi ghako, Mlungu, kama iandikiwe kumihusu nyi katika gambo."
\v 8 Wadedie kama idediwe aho ighu. "Ndamkundie dhabihu, mafunyio, au sadaka ya kumeriwa kwa ajili ya dhambi wala ndawonie kumboiwa ndenyi yake" dhabihu ambaro rafanyigwagha kulingana na sheria.
\v 9 Kisha wadedie, "Nguwa, niko aha kubonya mapenzi ghako". Wawika mbai taratibu riko ra imbiri ili kuimarisha njia ra kawi.
\v 10 Katika Taratibu ra kawi, dameria kusigwa kwa Mlungu kwa mapenzi ghake kuidia kukifunya kwa muwi gwa Jesu Kristo mara imweri kwa matuku ghse.
\v 11 Ni loli, kila kuhani wasimama kwa kubonya utuku kwa utuku, wafunyie dhabihu ijaija, ambayo kwa vovose, kawe ndadimie kurifunya dhambi.
\v 12 Ela baada ya Kristo kufunya dhabihu mara imweri kwa Dhambi milele yose, wakee mkonu gwa kujo gwa Mlungu.
\v 13 Akiweseria mpaaka wazamie wake wakumbwe ndonyi na kubonywa kifumbi kwaajili yamaghu ghake.
\v 14 Kwa kuka kwa chia ya kukifunya jimweri wakamilisha milele waja ambawo wasigwa kwa Mlungu.
\v 15 Na Ngolo Mtakatifu pia ashuhudia kwedu, kwa kuka imbiri akadeda,
\v 16 "Ihi ni agano mjibonyagha andu amweri nawo baada ya ituku ijo, adeda Mzuri, niriandikiagha katika akili rawhe",
\v 17 Kisha akadeda, "Ndawakumbukagha sena dhambi na mabonyo ghawe mafu",
\v 18 Idana andu kuko na kusighiriwa kwa awa, ndakundae sena dhabihu yoyose kwa ajili ya dhambi.
\v 19 Kwa huwo, mbari, dakonagho ujasiri gwa kungia andu patakatifu zaidi kwa mbagha ya Jesu.
\v 20 Huwo ni chia ambayo waisigiria kwa ajili yedu kwa chia ya muwi ghake, mpya na banana idiagha koko pazia.
\v 21 Na kwa sababu dakonaye kuhani mbaha ighu ya nyumba ya Mlungu,
\v 22 Na dike avui na ngolo wa loli katika utimilifu gwa uhakika gwa imani dikika na ngolo yanyunyiziwa kueleweshwa kufuma wasinyigwa dhamiri na kuka na wiwi yedu yaogeshwa kwa machi ghaeleshwa.
\v 23 Basi diwarie kwa uthabiti katika ungamo ja ujasiri gwa tumaini jedu, bila ya kuwuya nyuma, kwa sababu Mlungu wadiahidi ni mwaminifu.
\v 24 Na dizidi kuririkanya namna ya kukumba ngolo kila umweri kukunda na mabonyo ghaboie.
\v 25 Na disasighe kukaie andu umweri, kama wabonyagha wamwi. Badala yake, kukumbana ngolo kila umweri zaidi na zaidi, kama mwonegha ituku jeko avui.
\v 26 Kama dikabonya makusudi kuendelea kubonya dhambi baada ya kuka dawokera elimu ya loli, dhabihu imwi ya dhambi ndaibakiagha sena.
\v 27 Badala yake, koko tarajio jemikeri ja hukumu ya kutisha, na kubia kwa modo ambagho gawameria gha wazamie wa Mlungu.
\v 28 Yeyose ambaye walegha sheria ya Musa kufwa bila rehema mbele ya ushuhuda gwa mashahidi wawi au wadadu.
\v 29 Kiwango chiao zaidi cha adhabu udaririkanya kidestaili kila umweri ambaye wammanya mwana wa Mlungu, yeyose waibonyia mbagha agano kama kilambo kiseko kitakatifu, mbagha ambayo kwawo yawikiwe wakfu kwa Mlungu yeyose ambaye wamwangira ngolo wa neema?
\v 30 Kwa kuwa daichi umweri ambaye wadeda kisasi ni chapwa, nilipagha, na sena, Mzuri wadime wa hukumu wandu wake."
\v 31 Ni ilagho ja kuogofya mndu kunguiya katika mikonu ya Mlungu weko banana.
\v 32 Ela kumbuka mituku ghaidie, baada ya kukumbumbwa kwenyu nuru, ni jinsi gani mwadimie kuvumilia maumivu ghaboie.
\v 33 Mwarikogho mwawikwa mwani katika ethihaka ya kuanyirigwa na wasi, na mwarikogho washiriki wandu amweri na waja waadie wasi kama ugho.
\v 34 Kwa kuka mwakaa na ngolo ya mbazi kwa awo warikogho wafungwa, na mwawekerie kwa furaha adhabu ya kupata kwenyu, mkimanya kwamba inyo weni mwarikogho na kupala bora na wa kudumu milele.
\v 35 Kwa huwo msaghudaghe ujasiri gwenyu, gweko na zawadi mbaha.
\v 36 Kwa kuka mwakundi uvumilivu ili kwamba mpate kuwokera ambacho Mlungu wakiahidi badala kuka mwameria kubonya mapenzi ghake.
\v 37 Kwa kuka baada ya kitambo kidogo, umweri achagha, achagha loli na chelewaghja.
\v 38 Uko na hachi wapwa ataishi kwa imani kama wadime wujya nyuma, simboiwagha niye."
\v 39 Ela ni isi si kama waja wawurie nyuma kwa kuangamie. Badala yake isi ni baadhi ya waja dikee na imani ya kulinda ngolo redu.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Indana imani ni hakika weko nayo mndu ituku awesirigha kilambo fulani kwa ujasiri. Ni loli ya kilambo ambacho bado ndachisire wonekana.
\v 2 Kwa sababu ihi mawawawedu wathibitika kwa imani yawhe.
\v 3 Kwa imani itanamanya kwamba urumwengu gweumbvwa kwa amri ya Mlungu, ili kwamba chija chiwonekagha ndachimboisiwe kufuma na vilambo ambavyo varikogho vidawonekana.
\v 4 Yarikogho kwa sababu ya imani kwamba Habili wamfunyie Mlungu sadaka iboie kuliko abonyie Kaini. Yarikogho ni kwa sababau ihikwamba asifiwe kuka ukona hachi. Mlungu wamsifie kwa sababu ra zawadi aredie. Kkwa sababu iyo, Habili bado adadeda, ingawa wafwa.
\v 5 Yakee kwa imani kwamba Enoko wawusie ighu na ndawonie mauti. "Ndawoniwe, kwa sababu Mlungu wamwusie" kwa wuja yadediwe ighu yake kuka wa wapendeziwe Mlungu kabla ya kuwusigwa ighu.
\v 6 Kusadae imani ndaidimakagha kumpendeza Mlungu, kwa kuka ahagha kwa Mlungu lazima aamini kwamba Mlungu adaishi na kwamba wawanekagha zawadi waja wamlolagha.
\v 7 Yarikogho ni kwa imani kwamba Nuhu, akika waonywa na Mlungu kuhusiana na malagho ambagho ndaghakogho ghakiwonekana, kwa heshima ya ki Mlungu wabonyie safina kwa ajili ya kuokoa mbari yake. Kwa kubonya huwu, waghuhukumu urumwengu na akaka mpali wa hachi ambayo kucha kuidia imani.
\v 8 Yarikogho ni kwa imani kwamba Ibrahimu, wawangiwe alitiina kughenda andu ambapo alipaswa kuwokera kama mpali. Wafumie bila kumanya andu kuki arikogho adeghenda.
\v 9 Yarikogho ni kwa imani kwamba aliishi katika isanga ja ahadi kama mgenyi. Akakaiya katika mahema anduamweri na Isaka na Yakobo, wapali wambawe wa ahadi ija ija.
\v 10 Ihi ni kwa sababu waweserie kughupata mzi ambagho mwenyekuubuni na muaghi wake angelikuwa ni Mlungu.
\v 11 Yarikogho ni kwa imani kwamba Ibrahimu, na sara mweni, wawokerie ndighi ra kukumba inda ingawa warikogho waghosi sana, kwa kuka wambonie Mlungu kuka mwaminifu, ambaye wawaahidie mwana wa kiwomi.
\v 12 Kwa huwo pia kufuma kwa mndu uyu umweri ambae warikogho weko avui kufwa wakavalwa wana waseko kutatigwa. Warikogho wengi kama nyerinyeri na mlungunyi na wengi kama mbeu ra msangagha katika ufukwe gwa bahari.
\v 14
\v 13 Awa wose wafuye katika imani pasipo kuwokera ahadi. Isipokuwa, wakika wariwona na kuzikaribisha kwa kula, walikiri kwamba warikogho wagenyi waideji ighu ya ighanga.\vc14 Kwa waja wadedagha malegho kama agha wadawika baya na kuka wadelole isanga jawe weni.
\v 15 Kwa loli, kama warikogho wakiririkanya isanga ambajo kwawo wafumie, wakagha na nafasi ya kuweria.
\v 16 Ela kama iko, wadetamani isanga jiko bora, ambajo ni ja mbingunyi. Kwa huwo Mlungu ndawonwgha waya kuwangwa Mlungu wawe, kwa kuka wamboisa mzi kwa ajili yawhe.
\v 17 Yarikogho ni kwa imani kwamba Ibrahimu baada ya kugheriwa, wafunyie Isaka. Ndiyo, ye ambaye wawokerie kwa kumboiwa ahadi, wamfunyie mwanake wa mweni keri.
\v 18 Ambaye ighu yake yadediwe, "Kufuma kwa Isaka wavalwa wako uwangagwa.
\v 19 Ibrahimu wamanyie kwmba Mlungu warikogho na kudima wa kumfufua Isaka kufuma katika wafu, na kwa kudeda kwa lugha ya maumbo, wamwokerie.
\v 20 Yarikogho ni kwa imani kwamba Isaka alimbariki Yakobo na Esau kuhusu malagho gha chagha.
\v 21 Yarikogho ni kwa imani kwamba Yakobo warikogho katika hali ya kufwa akambariki kila umweri wa wana wa Yusufu. Yakobo akaabudu, akiegemea ighu ya chaghu chake.
\v 22 Yarikogho ni kwa imani kwamba Yusufu matuku ghake gha mwisho kavui wadedie ighu ya kufuma kwa wana wa Israeli Misri na akawaduma kuwusa andu amweri nawo maindi ghake.
\v 23 Yarikogho ni kwa imani kwamba Musa, akivalwa, wambisiwe kwa mieri idadu na wavazi wake kwa sababu wambonie kuka ni mwana mkoho arikogho amboie, na hawakutishwa na amri ya Mzuri.
\v 24 Yarikogho ni kwa imani kwamba Musa, warikogho mndu mlezi, waleghie kuwangwa mwana wa binti Farao.
\v 25 Badala yake, wasaguye kushiriki wasi andu amweri na wandu wa Mlungu badala ya kumboiwa anasa ra dhambi kwa kitambo.
\v 26 Akaririkanya waya gwa kumnugha Kristo kuka ni utaji mbaha kuliko hazina ra Misri kwa kuka wakazie meso ghake katika zawadi ra matuku ghake ghachagha.
\v 27 Yarikogho ni kwa imani kwamba Musa wafumie Misri. Ndaboie virea va Mzuri, kwa kuka wavumilie kwa kunguwa kwa asewonekagha.
\v 28 Yarikogho ni kwa imani kwamba wawadie pasaka na kunyinyiza mbagha, ili kwamba mnoni wa mvalwa wa kwanza asadime kuwagusa wavalwa wa kwanza wa kiwomi wa Isaraeli.
\v 29 Yarikogho ni kwa imani wadie katika bahari ya shamu kama katika ighanga jikurie. Matuku wa Misri wakigeria kuidia wamiliwe.
\v 30 Yarikogho ni kwa imani kwamba ukuta gwa Yeriko gwanguye ndonyi, baada ya kugunguluka kwa matuku saba.
\v 31 Yarkogho ni kwa imani kwamba Rahabu uja kahaba hakuangamia anduamweri na waja ambawo ndawarikogho watiifu, kwa sababu warikogho wawawokera wapelelezi na kuwahifadhi salama.
\v 32 Na dede mikizaidi? maana muda ndaghutosha kueria gha Gideoni, Barak, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na Walodi,
\v 33 Ambawo kuidia imani walizishinda falme, wabonyie haki, na wakawokera ahadi. Wazuie momu gwa simba,
\v 34 Warimie ndighi ra modo, walikwapa modo, gwa luamba wabonyiwe kufuma katika makongo, warikogho mashujaa wadenyi na wakasababisha majeshi waghenyi kukimbia.
\v 35 Waka wawokerie wafu gwawe kwa chia ya ufufuo. Wamwi wateswa, bila kukunda kusigwa huru ili kwamba wadime kupata mambaro gha ufufuo uko bora zaidi.
\v 36 Wmwi wateswa kwa dhihaka na kwa vichapo, naam hata kwa vifungo na kwa kukumbwa gerezanyi.
\v 37 Walipondwa magwe. wadimiwe vipande kwa misumeno, wawagiwe kwa luamba, waghendie kwa mirongo ra ng'ondi na mirongo ya mburi warikogho wakundaji, wakighendie katika maumivu na wakibonyiwa gazamie.
\v 38 (ambagho isanga ndajisitahili kuka najo), wakitangatanga isakenyi, chughongonyi, katika mpango wa katika mashimo gha ndoenyi.
\v 39 Ingawa wandu wose awa wakubaliwe na Mlungu kwa sababu ya imani yawhe, ndawokerie aduahidie.
\v 40 Mlungu wakirie kudimika kilambo cheko bora ili kwamba bali isi wasingedima kukamilishwa.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Kwa huwo kwa kuka dazungulukwa na mandulu mbaha gha mashahidi, na didaghe kila kilambo cheko na kuremeriwa andu amweri na dhambi ambaro ridedizunguluka kwa urahisi. Dikabeiseghe kwa saburi katika mashindano ghawikiwe imbiri yedu.
\v 2 Dielekeze meso ghedu kwa Jesu, weko mwanzilishi na ukona kutimiliza imani yedu, ambaye kwa ajili mya kuboiwa yawikiwe imbiri yake alistahimili msalaba, akamuenya waya gwake na akakaiya ndonyi mkonu gwa kujo gwa kifumbi cha enzi cha Mlungu.
\v 3 Maana mririkenyi ye ekona stahimili madedo gha kirea kufuma kwa wekona dhambi, dhidi yake mweni ili kwamba mseche mkakola au kurimia ngolo renyu.
\v 4 Ndamtaabikie au wasi mkishindana na dhambi kiasi cha kumeriwa mbagha.
\v 5 Sena mwaliwa kuja kukumbwa ngolo ambako kudawabonyeria kama wana wa kujo. "mwanapwa, usaghawuse kwa wepesi mawurio gha Mzuri, wala usakate tamaa uwona kurekebishwa na ye."
\v 6 Kwa kula Mzuri wamwuriagha yeyose ambaye wamkunda, na wanadhibu kila mwana ambaye wamwokera.
\v 7 Stahimili maajabu kama kuwuriwa. Mlungu washughgulikagha na nyi kama anavyoshughulika na wana, maana ni mwana uyao ambaye Aba wake ndedimigha kumwuria?
\v 8 Ela kama ndakudae kumwuria, ambako isi wose dashiriki, basi inyo ni haramu na si wana wake.
\v 9 Zaidi ya ghose, darikogho na Aba wedu kiwulimwengu gwa kuwuya, na dewaheshimu. Je haitupasi hata zaidi kumtii Aba wa kingolo na kuishi?
\v 10 Kwa loli Aba wedu wawaadhibu kwa miaka mitini kama twonekana sawa kwa we, ela Mlungu wadiadhibu kwa faida yedu ili dishiriki utakatifu gwake.
\v 11 Ndakundae adhabu ifurahishagha kwa matuku agho. Kuka na maumivu. Hata huwo, baadae kuvalwa itunda ja amani ya utaua kwa waja wafundishwa najo.
\v 12 Kwa huwo nuenyi mikonu yenyu yalegea na kubonya maghoti ghenyu gheko dhaifu kuka ghekona ndighi sena.
\v 13 Nyosheni maadio gha mawadio ghenyu, ili kwamba yeyose ako mlemavu ndaongozwagha kuzamie ela apate kurighitigwa.
\v 14 Lolenyi amani na wandu wose, na pia utakatifu ambagho bila ugho ndakudae amwonagha Mzuri.
\v 15 Mke waangalifu ili kwamba asake asigwagha kula na neema ya Mlungu, na kwamba jisache shina ja uchungu jibukagha na kusababisha wasi na kukengeusha wengi.
\v 16 Nguwenyi kuka ndakudae zinaa au mndu asake mtaua kama wuja Esau, ambaye kwa sababu ya kuja kumweri walaghie hachi yake ya kuvalwa.
\v 17 Kwa kuka mwaichi baadaye, mwakundie kupala baraka, waleghiwe, kwa sababu ndapatie fursa ja kutubu andu amweri na Aba wake, hata ingawa walolie sena kwa mbori.
\v 18 Kwa kuka ndamchee katika lughongo ambagho ghudadima kuwadigwa, lughongo guakagha modo, kira, kukatisha tamaa na dhoruba.
\v 19 Ndamchee kwa sauti ra tarumbeta, au kwa madedo ghafumagha na sauti ambajo yasababishie kila wajisikiragha wasalombe ilegho jojose kudedigwa kwawe.
\v 20 Kwa kuka ndawadimie kuvumilia chija chitandanyiwe: "Ikika hata nyamandu awadagha lughongo, lazima akabwe kwa magwe."
\v 21 Gha kutisha zaidi aghawonie Musa akideda, "Naboa sena kiasi cha kukakama."
\v 22 Badala yake, mkache lughongo sayuni na katika mzi gwa Mlungu eko banana, Yerusalemu ya Mbingunyi, na kwa malaika elfu ikumi wadasherehekea.
\v 23 Mwacha katika kusanyiko ja wavalwa wa imbiri wose wasajiliwe Mbingunyi, kwa Mlungu hakimu wa wose, na kwa ngolo ra watakatifu ambawo wakamilishwa.
\v 24 Mwacha kwa Jesu mpatanishi wa agano pya na kwa mbagha yanyizigwa ambayo ya dedagha ghamboie zaidi kuliko mbagha ya Habili.
\v 25 Nguwenyi kuka usache ukamlegha umweri ambaye adedagha. Kwa kuka kama ndawaepukie wakimlegha umweri achee waleghesha isanga, kwa loli ndadiepukagha ikika diakuagha kula kufuma kwa uja adilegheshagha kufuma Mbingunyi.
\v 26 Kwa matuku agho sauti yake yatikisa dunia. Ela indana waahidi na kudeda, "Bado maraimwi sena sitatikisa isanga isanga jenikeri, bali Mbingu pia."
\v 27 Madedo agha, "mara imweri sena," inabonyeria kufunyigwa kwa vilambo vija vikakamilshagha, ivi vilambo visakakamishagha vibakie.
\v 28 Kwa huwo, diwokere wuzuri ambagho daghuhakamishaggha, dimboiwe katika hali ya kumwabudu Mlungu kwa kukunda andu amweri na kunyenyekea katika kicho.
\v 29 Kwa neema Mlungu wedu ni modo ghujagha.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Basi lukundo lwa mbari na luende.
\v 2 Msaliwe kuwakaribisha wagenyi, maana kwa kubonya huwu baadhi wawakaribisha malaika pasipo kumanya.
\v 3 Kumbuka wose weko gerezanyi, kanakwamba mwarikogho nawo kuja andu amweri nawo kuja andu amweri nawo, na kama miwi yenyu yamboiwe kama awo.
\v 4 Basi ndoa iheshimiwe na wose na kitanda cha ndoa chibonyigwe kuka safi, kwa maana Mlungu wadima wahukumu waasherati na wazinzi.
\v 5 Basi chia renyu ra maisha rike huru katika lukundo gwa ingome. Mke waridhika na vilambo mkonavo, kwani Mlungu mweni wadeda, "siwasighagha inyo kuwe, wala kuwatelekeza nyi,"
\v 6 Basi diridhikenyi ili didede kwa ujasiri, "Mzuri ni msaidizi wapwa, siboagha; mwanadamu adadima kunibonya ki?"
\v 7 Warirkenyi waja wekowalongozaji, waja wadedie ilagho ja Mlungu kwenyu, na kumbukenyi matokeo gha mienendo yawhe, ingienyi imani rawhe.
\v 8 Jesu Kristo ni ye inguo, linu, na hata milele.
\v 9 Usake ukalongozwa na mafundisho mbalimbali gha kighenyi kwani nicha kwamba ngolo yaagwa kwa neema, na sio kwa sheria kuhusu vindo agho ndaghesadiagha waja waishi kwa agho.
\v 10 Dekongo Madhabahu ambayo waja waitumikiagha ndenyi ya Hekalu ndawadae loli ya kuja.
\v 11 Kwa kuka mbagha ra wanyamandu, nifunmyiwe dhabihu kwa ajili ya dhambi, yarediwe na kuhani mbaha ndenyi ya andu kutakatifu, ela miwi yawhe yakoriwe shighadi ya kambi.
\v 12 Kwa huwo Jesu ye watesekie shighadi ya mjango gwa mzi, iji kwamba kuwika wakfu wandu kwa Mlungu kuidia mbagha yake.
\v 13 Na kwa huwo digendenyi kwake shighadi kambi, diridwa fedheha rake.
\v 14 Kwaki ndadindae kwa kuka kwa kudumu katika mzi ugu. Baadayake dilolenyi mzi ambagho ghudacha.
\v 15 Kuidia Jesu mdapaswa mara kwa mara kukifunya sadaka ya kumtukuza Mlungu, kumsifu kwamba itunda ja ngolo yedu jiungamananyishagha inna jake.
\v 16 Na saliwe kubonya na kutawara na inyo kwa inyo kwa kuka ni kwa sadaka kama iyo niye Mlungu wapendekezwa sana.
\v 17 Kubalinyi na kukisera kwa vilongozi wenyu kwaki wadaendelea kuwalindi kwa ajili ya nafsi renyu. Kama waja wafunyagha hesabu. Kubalinyi ili kwamba vilongozi wadime kuwatunza kwa kumboiwa, na sio kwa huzuri, ambayo ndaiwasaidiagha.
\v 18 Dilombienyi, kwakikokona uhakika kwamba kokona dhamira imboiwe didatamani kuishi maisha gha heshima katika malagho ghose.
\v 19 Na wose nidawaumba ngolo zaidi mbonyigwe huwu, ili kwamba mdime kuwuya kwenyu huwu kavui.
\v 20 Indana Mlungu we amani ambaye wawaredie sena kufuma kwa wafu, mlishambaha wa ng'ondi, Mzuri wedu, kwa mbagha ya Agano la milele.
\v 21 Wadima uwezo kwa kila ilagho jiboie kubonya mapenzi ghake akibonya kazi ndenyi yedu iliyo imboie ya kupendeza mesonyi kwake, kuidia Jesu Kristo, kwake uke utukufu milele na milele. Amina.
\v 22 Indana nidakukumba ngolo, mbari, kuwusiana na ilagho ja kukumba ngolo ambajo kwa kifupi na jiandikie kwenyu.
\v 23 Manya kwamba mbari yedu Timotheo wasighiriwa huru, ambaye andu amweri naye niwanguwagha kama achagha huwu kavui.
\v 24 Lamsenyi vilongozi wenyu wose na waumini wose. Waja wafuma italia wadamilamsa.
\v 25 Na neema ike nanyi wose.

214
60-JAS.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,214 @@
\id JAS
\ide UTF-8
\h Waraka wa Yakobo
\toc1 Waraka wa Yakobo
\toc2 Waraka wa Yakobo
\toc3 jas
\mt Waraka wa Yakobo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Yakobo, mtumwa wa Mlungu na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila ikumi na awi kuwanjika, salaam.
\v 2 Talenyi kua ni kumbuiwa zaidi, mbari rapwa, mwiidaga katika wasi mbalimbali.
\v 3 Mkimanya kuwa kugeriwa kwa imani yenu kurikeghwa uvumilivu.
\v 4 Sigenyi uvumilivu umboise changu chake, kwamba mdime kuvumilia kikamilifu, bila kusowa katika jojose.
\v 5 Lakini kama mundu ndenyi yedu adakunda hekima, ailombe kufuma kwa Mlungu ambaye wafunyaga kwa ukarimu na kusadae kudedia kwa wose wamlombaga na awanekaga hekima.
\v 6 Lakini lomba kwa imani, bila shaka, kwa huwo akumbaga shaka ni kama mandulu katika bahari kuwasigwa na mbeo na kudagwa uko na uko.
\v 7 Kwa loli mndu uyu asafikiriwe kwamba awokerigwaga ilombi jake kufuma kwa Bwana.
\v 8 Mndu uyu ako na nia iwi, si imara katika chia rake rose.
\v 9 Mbari mkia adapaswa kujivuna katika kugoka kwake igu.
\v 10 watuku ago geni mbari tajiri katika unyenyekevu gwake kwa sababu alagayaga kama ua ja kondeni katika mbuwa aidiaga.
\v 11 Iruwa kumbukira na joto ya kuya kuomesha mimea, na madundu kungwa na kumboa kwake kufwa. Virivo huwo wandu matajiri wachakaa gadi gadi ya changu chwao.
\v 12 Wabarikiwa mundu uja wavumilia kugeriwa, kwa kuwa baada ya kudima kugeriwa ijo, wokeragataji ya banana, ambayo kutenganyiwa kwa waja wn kiendiMlungu.
\v 13 Mundu wowose ndakundigwi kudeda kugeriwa, "uku kudafuna kwa Mlungu," kwa sababu Mlungu ndageriwaga na wulagelage, na Mlungu mweni ndageriaga wowose.
\v 14 Kila mundu wageriwaga na tamaa rake rizamie rimshawishi na kumruda kula.
\v 15 Ndipo baada ya tamaa ra zambi kunua inda, zambi ravalwa, na baada ya zambi kukomaa sawasawa ra nduiya katika kifwa.
\v 16 Mbari wapwa wakundwa msiambiwe.
\v 17 Kila zawadi iko imboie na kila zawadi ikamilikie kufuma igu, kusea ndonyi kufuma kwa Aba wa kuela. Kamwe ndabadilikaga kama kirerende chibadilikaga.
\v 18 Mlungu wasaguyekudireka isi mbanana kwa ilago ja loli, ili kwamba didime kuwa kaama wavalwa wa kiambiri mwa viumbe vake.
\v 19 Mwaichi iji, mbari rapwa wakundwa, kila umweri adapaswa kwa kuangua kwa kusikira, sio kuangua kwa kudeda wala kurea.
\v 20 Kwa kuka kirea cha mndamu ndadimaga kudeda wala kurea.
\v 21 Kwa huwo wikenyi kula kitongoto cha zambi na wulagelage gose guko andu kokose, na kwa unyenyekevu wokerinyi ilago ja walwa ndenyi yenyu, ambajo ikona ndinyi rakuokoa roho renyu.
\v 22 Lakini ilago, msajisikirietu, mkakiembia nafsi renyu weni.
\v 23 Kwa kuka kama wowose asikiriaga ilaago bila kujibonyia changu ni sawa na mndu akinguaga wushu gwake halisi katika kiloo.
\v 24 Kukinguwa wushu gwake, na kugenda chaake na baada ya ituku uvui kuliwa andu wafanana.
\v 25 Bali mndu uja akinguwaga kwa kuririkanya sheria kamili, sheria ya uhuru, na kuendelea kuitii, si kwa sababu ya nimsikiriaji waliwa, uyu mndu atabarikiwa anduwaibonya.
\v 26 Ikaha mundu wowose kuririkanya mweni kuka ni mndundu wa dini, lakini ndadimaga kumanziria lumilwake, adakiembia ngolo gake na dini yake ni bule.
\v 27 Dini iko imboie na isanonekaga imbiri ya Mlungu wedu na Aba ni ihi, kuwatawaria wakia na walolo katika wasigwawe, na kukitawara weni na ufisadi na isanga.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Bambari bepwa msainuge Imani ya Bwana Jesu Kristo, Bwana wa kueleshwa kupendelea bandu fulani.
\v 2 Kama mundu fulani akaingia mikutanonyi wenyu warwa pete ra dhahabu na nguwo remboie, pia akangia mkiba akona nguwo rikona buchama,
\v 3 Nakabonyera kumkunda nanganyi uja akona nguwo remboie na kudeda, "Tafadhali wekaia aha andu kuboie" Lakini mkamzera uja mkiba, "we simama aja," au kaia ndonyi ya magu ngapwa.
\v 4 Je, ndamuhukumiana inyo beni, na kuwa baamuzi mkona mawazo gazamie?
\v 5 Sikirienyi, bambari bapwa bakundwa, je, Mlungu ndebasague bakiba ba isanga kuwa matajiri katika imani na kupala bufalme abaadie bamkundi?
\v 6 Lakini mwabonyie bakiba! je, sibo matajiri bawatesaga inyo, na sibo abo bababurutaga mahakamenyi?
\v 7 Je, sibo matajiri bajianyiraga irina jija jiboie ambajo kwa ijo mwabangiwaa?
\v 8 Hata hubo, kama mwaitimiza ije sheria ya kibuzuri kama kandu yaandikwa katika maandiko, "udima mkunda jirani wako tamaa we mweni," mwabonya nicha.
\v 9 Lakini kama mkapendelea baadhi ya bandu, mdabonya zambi, muhukumiwaa nissheria kuwa ni bachukanya sheria.
\v 10 Kwa gore wowose aitii sheria yose, na bado akakuba katika nukta imweri tu, akaga na hatia ya kuchukanya sheria yose!
\v 11 Kwa kugora Mlungu wadedie," usazini," nie pia adedie "usabwage" kama nduzini, lakini wabwagaa, wachukanya sheria ya Mlungu.
\v 12 Kwa hubo arienyi na kutii kama baja ambabo mko avui kuhukumiwa ni sheria ya uhuru.
\v 13 Kwa kugora hukumu ya chaa pasipo mbazi kwa baja basadae na mbazi. Mbazi yakizogoshaa igu ya hukumu.
\v 14 Kuko kuboa ki, bambari bapwaa, kama mundu adeda nikona imani, lakini ndadae matendo? Je, imani iyo ya dima kumwokooa?
\v 15 Kama mbari wa kibomi au wakibaka ni mhitaji wa nguwo au vindo vakila ituku,
\v 16 Na umweri wenyu akabazera, "Gendenyi kwa amani, mgende oda modo na mje richa," lakini ndembane kaa mahitaji muhimu ga mubi, inyo yamboie indoi?
\v 17 Hali kadhalika, imani yenekeri, kama ndeidae matendo, yafwa.
\v 18 Bado mundu fulani andadima kudeda, "uko na imani, nanyi niko na matendo," Nibonyire imani yako pasipo matendo, nanyi nadima kuboonyera imani yapwa kwa matendo gapwa.
\v 19 Waamini kugora kuko Mlungu umweri, uko sahihi? Lakini mapepo nago gaamini hubo na kukakama.
\v 20 Je, wakundi kumanya, we mundu mpumbavu, namna ambabo imani iyo pasipo na matendo kandu isaboie?
\v 21 Je, siyo aba wedu Abrahamu ataliwehaki kwa matendo akimfunganya mwanake Isaka igu ya madhabahu?
\v 22 Mdabona kuwa imani yake yabonyie kazi na matendo gake, na kwa matendo gake, imani yake yafikie kusudio jake.
\v 23 Maandiko gatimiziwe gadedie, "Abrahamu wamwaminie Mlungu na akaliwa kuwa ako na haki," Hubo Abrahamu wabangiwe mwa amwabwe wa Mlungu.
\v 24 Mwabona kuwa kwa matendo mundu wataliwa haki na siyo kwa imani tu.
\v 25 Hali kadhalika, je, ndekogo Rahabu uja kahaba ataliwe haki kwa matendo akabakaribisha bajumbe na kubagenja kwa chia zima?
\v 26 Kwa kugora kama buja mubi ukalemwa kuka na roho gwafwa, hubo hubo imani pasipo na matendo yafwa.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Va mbari wapwa, wengi wenu ndima kuka valimu, mkamanya kabisa mvokeragha hukumu mbaha kabisa.
\v 2 Kwa andu wose dakosagha kudia chia nyingi kama wowose ndedima kukuva kuidia kwa madedo ghake, uyo ni mndu muaminifu adima vona muvi ghwake ghose pia.
\v 3 Idana kama didaviba lijari ra farasi kuidi mionyiyawe vana utii na dadima kuiaghusa miviyao vose.
\v 4 Manye kughora meli kwa vuja ni mbaha, idalongozwa na usuka mlini sana kugheda kokose akundi nahodha.
\v 5 Huvo huvo, ni kalambo kitini cha muvi. Lakini chakilogolia mabaha sana. Guvenyi Isaka ibaha jidimagha kukorighwa kwa cheche ndini ya modo.
\v 6 Lumi pia ni modo, misanga ja viungo vya muvi ghwenyu ambagho hughu najisi muvi ghose nakughuvika ighu ya modo chia ya maisha, na vakorighwa modo ghwa kuzimu.
\v 7 Kila aina ya mnyamandu wa isakenyi, nyonyi, chitambalagha na kiumbe cha baharinyi chihekikishwagha na vadamu.
\v 8 Lakini ndakudae mdamu hata umweri ambae adimaa kuthibitisha lini, nikuzama kusalutiagha gwa chua sumu kufisha.
\v 9 Kwa lumi damgimbika Mlungu na Aba wedu ra kwa huvo davalini vandu ambavo vaumbighwa kwa mfano ghwa Mlungu.
\v 10 Kwa momu ugho ugho kudeda malagho agha baraka na laana. Va mbari vapwa malagho agha ndegha dima kuka.
\v 11 Je, kisima chimweri ndudima kufunya machi ghaboie na ghazamie?
\v 12 Va mbari vapwa je, mdigha midi ghwadima kuva malinda gha mzaitunyi, au mzabibu ghwavaa malinda gha mdinyi? waha ndorua ya maji gha munyu ndaghafunyagha machi ghaseko na munyu.
\v 13 Nani ghadi yenyu eko na heshima na kumanya? Hebu mndu uyo na ughoshe maisha gha boie katika kazi rake kwa unyenyekevu ghufumana na heshima.
\v 14 Lakini kama mkona vuyivu mko na nia ya Kristo ngolonyi kwenyu, msakilogole na kudeda lee na kiilegha luli.
\v 15 Ihi sio hekima iseao kufuma ighu lakini kbla yake ni ya kidunia, siya ngolo na ni ya kimbeo.
\v 16 Kwa andu kuko na vuivu na kukivona kweko kuko virungu na kila matendo ghazamie.
\v 17 Lakini hekima ifumayo ighu, kwanza ya boie. Kameria kukunda amani, upole na ukarimu ye wachue rehema na matunda ghaboie bilu kupendea wandu wazima, na loli.
\v 18 Na itunda ja haki jakunda amanikwa vaja ambao vabonya gha amani.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kondo na migogoro kati yenyu vafumaa hao? Ndavibukiaga kufuma katika tamaa rengu rizamie riredaa kondo ndenyi ya washirika benyu?
\v 2 Mdatamani chija mseko nacho. Mdabwaga na mdabinga chija msadimaa kuwa nacho, mdakabana na kugombana, na bado ndempataa kwa sababu ndemmlombaa Mlungu.
\v 3 Mwalombaa na ndambokeraa kwa sababu mwalombaa kwa ajili ya malago gazamie, ili kwa mdime kuvitumia kwa tamaa renyu rizamie.
\v 4 Inyo wazinzi! Ndamuichi kwamba bumbuya na urumwengu ni adui dhidi ya Mlungu? kwa hubo, yoyoe aamuaga kuwa mbaya wa urumwengu wa kibonyaamweni adui wa Mlungu.
\v 5 Au mnadhani Maandiko ndegadae maanaga kideda kwamba Roho wabikwa ndenyi yedu akona wivu na nganyi kwa ajili yedu?
\v 6 Lakini Mlungu wafunyaa neema zaidi, hivyo maana maandiko gadedaa "Mlungu wampingaa okona kiburi lakini wamnekaa neema ekona unyenyekevu"
\v 7 Hubo kifunyenyi kwa Mlungu. Mpingenyi ibilisi na ye wadima kimbia kufuma kwenyu.
\v 8 Segudenyi ovui na Mlungu, naye wadima karibia avui na inyo, safisheni mikono yennyu inyo, mkana zambi, na takasenyingolo renyu, inyo mkana nia ibi.
\v 9 Huzunikenyi, Ombolezenyi, na kulila! ghalusenyi kiseko chenyu kuwa huzuni na kuboirwa kwenyu kuke maombolezo.
\v 10 Jinyenyekezenyi inyo weni imbiri ya Bwana, na wadima banua ingu.
\v 11 Msudedane kinyume inyo kwa inyo, mbari. Mundu adedaga kinyume na mbari wake, au kumhukumu mbari, wadeda kinyume cha sheria na waihukumu sheria ya Mlungu. Mkaihukumu sheria, bali mdaihukumu.
\v 12 Ni umweri tu ambaye ni mbonya sheria na hakimu, Mlungu ye ambaye ako na uwezo gwa kuokoa na kuangamiza. we nani ambaye udamhukumu jirani wako?
\v 13 Sikirienyi inyo mdedaa, "Linu au kesho dadi magenda katika muzi ugu, na kukaia mwaka uko, na kubonya biashara, na kuboisa faida."
\v 14 Nani aichi nikindoi chifumiriaga kesho, na maisha genyu ni ndoi hasa? kwakuwa mwafwanane kama idulu ifumiriaa kwa muda mvui na kisha kulagaya.
\v 15 Badala yake mwadedaa, "kama ni makundo ga Bwana, dadima ishi na dibonyaa ichi au chij."
\v 16 Lakini idana majunu igu ya mipango yenyu. Majunu yose aga ni babibi.
\v 17 Kwa hubo kwake ye aichi kubonya ga boie lakini ndegabongaa, kwake uyo ni zambi.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Choni ijiaha inyo mko matajiri, lileji kwa sauti mbaha kwa ija kwa mwosi ghuchaka imbiri yenyu.
\v 2 Utajiri ghenyu ghanonighwa na nire yenye wadafunighwa ni hadudu waribifu.
\v 3 Dhahabu renyu na fedha renyo rasobha thamani, na kunonighwa kwake zidi yenyu na kuangamiza mili yenyo kama modo. Mwakivikia hazina yenyo katika siku ra mwisho.
\v 4 Nguwenyi malipo gha avaboya kazi wanja ambawo ndamaisire kushanighwa kwa kukwasha mbuwa rahwe wadalika! N a kifwa cha wanja wakawasha mazao ghawe chabonyeka madu ya mzuri wa majeshi.
\v 5 Mwaishi kwa anasa isangenyi makukifurahisha inyo mweni. Mwakiabudisha ngolo renyu kwa siku ya machinjo.
\v 6 Mwamhukumuye na kumbwagha akana haki asadimiagha kuvapinga.
\v 7 Kwa hiyo rumanyienyi, mbari, mbaka ujio wa mzuri, kama mlumi ahweseria mavuno gha samani katka isanga akiweseri kwa kuririmira kwa ajili yake mpaka mvua rakwanza na reja ra mwisho rikinya.
\v 8 Pia mke waririmiri, kazenii ngolo renyo kwa sababu kucha kwa mzuri ni avui.
\v 9 Mbari, msanung'unikie inyo kwa inyo, kusudi msache mkahukumiwa, cruwa, hakimuwakakimusi mjangonyi.
\v 10 Kwa mfano, mbari nyweni mateso wa kuririmura kwa manabiiwadadie kwairina ja Mzuri.
\v 11 Guwa dawawanga waja waririmira, "heri." mwasikira kuririmira kwa Ayubu ni kwa ajili ya mdoi Mzuri wachuwe mbazi na rehema.
\v 12 Zaidi ya ghose, mbari yapwa msalawe, aidha kwa mbingu ama kwa isanga angu kwa kirawa cha aina imwi. Bali hebu "niko," kweni yenyu mmaanishe "kakweni," na sikundi mmaarishe sikundi ilekwamba msache ghwia ndonyi ya hukumu.
\v 13 Weko wowose miongonyi kwenye akona mateso? Lazima alombe. Je, mtu wowose ni wa kumbaiwa? Na abore sifa,
\v 14 Je, kiko wowose miongoni kwenyu aho mhongo? Ndanawange na baha wa kauja nawo wabaha wa kanisa walombe juu yake ukumria mavuda kwa irina ja Mzuri.
\v 15 Na maombi gha imani ina ghaboira mkongo, na Mzuri mawahusira. Na kaub wake wa boya dhambi, Mlungu adamsamishe.
\v 16 Kwa hiyo ungamenyi dhambi renyu inyo kwa inyo na kuombeana kila umweri na mbawe ili ndiwe kuboa. Maombi gha mundu wa haki ghavaa matokeo mabaha.
\v 17 Eliya warikogha ni mdamu akona nendu, walombie kwa juhudi kwamba mvua isanye, na ndainyee isange nyi kwa wakati ghwa miaka mirongo idadu na mieri sila.
\v 18 Na Eliya walombie sena mbingu rikamwaga mvua ighu isangenyi na ikafunya mavuno.
\v 19 Wambari wapwa kama mundu wowose imbiri yenyu adapotoka katika loli, laakini mindu umwi akamwuja.
\v 20 Hembu na amanye kura wowose amkrishaye ambaye akona dhambi kuinya katika chia yake ya kakosaji awamboisa nafi yake katika mauti na ataiwagha mwingi gjhwa dhambi.

213
61-1PE.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,213 @@
\id 1PE
\ide UTF-8
\h 1 Petro
\toc1 1 Petro
\toc2 1 Petro
\toc3 1pe
\mt 1 Petro
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Petro, mtume wa Jesu Kristo, kwa vhaghenyi vha mvhaghanyiko, kwa vhakombo lighwa, katika ponto yose, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.
\v 2 Kufumana na ufahamu ghwa Mlungu, Abha, kwa kuogheshighwa na NgoloMtakatifu, kwa utiifu, ghwa Jesu Kristo, na kwa kunyunyiriwa bhagha yake. Neema ike kwenyu na amani yenyu ichurighwe.
\v 3 Mlungu aba wa mzuri wedu Jesu Kristo katika ubaha ghwa rehema yake, adinekie kuvhalwa upya kwa ujasiri ghwa kupala kuidia ufufuo ghwa Jesu Krisro kufuma kwa wafwie.
\v 4 Kwa upala usanonekaa, ndukagha na vhucha fu wala kughodua wahifadhiwa mbinguni kwa ajaili yenyu.
\v 5 Kwa uwezo wa Mlungu mdalindwa kuidia imani kwa wokovu ambogho upo tayari kufunulighwa katika nyakati ra mwisho.
\v 6 Bhoi wenyi katika ijhi, ingawa ijhi aha lazima kwenyu kukisikira kubhoa katika kugheriwq kwa aina mbalimbali.
\v 7 Ihi, ni kwa sababu imani yenyu idime kugheriwa, imani ambayo ikona thamani kuliko dhahabu, ambayo idalaghaya modonyi ambagho hugheria imani yenyu. Ihi hufumiria ili imani yenyu ipate kuva sifa, Utukufu, na heshima katika uunuo ghwa Jesu Kristo
\v 8 Ndammvhonie ye, lakini mdakunda. Ndammvhonaa ijhi aha, lakini mdaamini katika ye namkona furaha isadimaa kudedeka kwa furaha ichuiwe na utukufu.
\v 9 Idana mdapokea vheni matoeo gha imani yenyu, wokovu ghwa nafsi rengu.
\v 10 Manabii vhalolie na kukotia kwa umakini kuhusu wokovu ughu, kuhusu neema amabayo kumacha yaka yenyu.
\v 11 Vhololie kuichi ni aina ki ya wokovu ambao ungecha. Vhalolie pia kuichi ni muda kingolo wakristo akogho ndenyi yavhe akogho adaaria indoi navho. Ihi yakogho idafumiria wakati akogho adavhazera mapema kuhusu vhwasi ghwa Kristo na utukufu ambagho ungemnughuria.
\v 12 Yafunuliwe kwa manabii kwamba vhakogho vha daghatumikia malagho agha, nasi kwa ajili yavhwe vheni bali kw aajili yenyu - masimulizi gha malagho agha kuidia vhajha vharedaa injili kwenyu kwa chia ya ngolo Mtakatifu wadumwa kufuma Mbingunyi, malagho ambagho hata malaika vhadatamani kuvhikwa mwari kwake.
\v 13 Kwa huvho fungeni vighonu va akili renu. Mkevhatulivu katika fikra renu. Mke na uja siri ukaimilikie neemenyi ambayo ima yaredwa kwenyu wakati ghwa kufunulighwa kwa Jesu Kristo.
\v 14 Sa vhana vhatiifu, msafungwe vheni na tamaa amabro mwarinughiria wakati mkogho ndamdaa teganyi.
\v 15 Lakini sa vhuja awavhangie andu ako mtakatifu, na inyo, pia, mkevhatakatifu katika tabia yenyu yose maishenyi.
\v 16 Kwakuwa yaandikwa, "iwenyi vhatakatifu, kwa sababu nyi ni mtakatifu."
\v 17 Na kama mkivhanga "aba" yujha ahukumuye kwa haki kulingana na chughu cha kila mnd, tumia makati gha charo chako katika unyenyekevu.
\v 18 Mdafaamu kwamba ndaikogho kwa fedha angu dhahabu - vindu vinonekaa ambavo mwakombolighwa kufuma kwenye tabia renyu ra ujinga ambaro mwakifunzieghe kufuma kwa aba renyu.
\v 19 Lakini mwakombo lighwa kwa bhaghaya heshima ya Kristo, kama ya ng'ondi aso na hi la wa la idoa.
\v 20 Kristo wachaghuliwe kabla ya misingi ya dunia, lakini idamu maruvha agha gha mwisho, wafunuliwa kwenyu.
\v 21 Mdamwamini Mlungu kuidiaye, ambaye Mlungu wamfufuie kufuma kwa wafwie na ambae wamneka utukufu ili kwamba imani yenyu na ujasiri uke katika Mlungu.
\v 22 Mwabonya nafsi renu kuka safi kwa utii wa ijha loli, kwa idhumuni jha lakundo jha kimbari jhikogho na unyofu, huvho kundaneni kwa bidii fuma monyonyi.
\v 23 Mwavalwa kala mara ya kavhi, si kwa mbeuinone ka, elakini kufuma katika mbeu isanonekaa, kuidia bhanana na ilagho jha Mlungu jhabakie.
\v 24 Kwa maana "Mvhi yose ni sa madundu, na utukufu ghwake ghvose ni sa irua jha idundu. Idindu jhidaoma, na irua jhidaghwa.
\v 25 Elakini ilagho jha mzuri jhidasangalika kala na kala." uhu nivhuzuri ambao watangaziwe sa injili kwenyu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwaa huwo wikenyi mbali kiwiwi wose, kuembiwa, unafiki, Kiristo na kashifa.
\v 2 Kama wana wakoho mkunda mariwa gaboie ya kiroho ili kwamba mdime kuzogua ndenyi ya kuela,
\v 3 Kama mwatoa kwamba Mzuri ni amboie.
\v 4 Chonyi kwake eko igwe mbanana ja kudumu ambajo ja legiwe na wandu, lakini ijo ja sagulwe ni Mlungu na ni ja thamani kwake.
\v 5 Inyo pia ni kama magwe geko mbanana gaagiwe igu kuka nyumba ya kiroho, ili kuka ukuhani Mtakatifu ambago hufunya dhabihu ra kiroho rakukundigwa kwa Mlungu kuidia Jsu Kristo.
\v 6 Andiko ja dala huwu, "Nguwa, nawika katika sayuni igwe ja mbai ibaha na jisaguliwe na ja thamani. wowose aaminiye katika ye ndawona waya."
\v 7 Huwo heshima ni yenyu kwenyu hiyo mwaamini. Lakini, "Igwe jilegiwe ni waagi iji ja kaiya igwe ibaha ja mbai."
\v 8 Na igwe ja kukuwa na lwala lwa kukuwa. Awo wakuwa, walegie ilago, kwa jija ambajo pia warikogo wasaguliwe kwajo.
\v 9 Lakini inyo ni mbari wasaguliwa, ukluhani gwa Mzui, isanga takatifu, wandu wa miliki ya Mlungu, ili kwamba wadime kutangaza madedo ga zamie ga uja wa wanga kufuma kirenyi kucha kunu kuelenyi kwake ya ajabu.
\v 10 Inyo imbiri ndammanyie wandu, lakini indana inyo ni wandu wa Mlungu. i nyo ndamwokerie, rehema, lakini mwawokea rehema.
\v 11 Wakundwa, na miwanga kama wagenyi na wazururaji kukiima kufuma andu tamaa izamie ra zambi, ambaro ridakamana kondo na roho renyu.
\v 12 Mdapaswa kuka na mambaro gamboie kati ya masanga, ili kwamba, kama wadima wamidete kama kwamba mwabonya malago gazamie, wadimawangulwa chagu chenyu dimboie na kumtongola Mlungu katika ituku ja kucha kwake.
\v 13 Tii kila mamlaka ya mudamu kwa ajili ya Mzuri, ikika Mzuri kama mbaha,
\v 14 Ikika watawala wadumiwe kuwaadhibu wabonya gazamie na kuwatongola waja wabonyaga gamboie.
\v 15 Kwa kua ni lukundo lwa Mlungu, kwamba kwa kubonya gamboie nyamakimya madedo ga kipuuzi ga waduwakelu.
\v 16 Kama wandu huru, msagumbonie uhuru gwenyu kama kama ngubiko kwa gazamie, bali mke kama wabonya kazi wa Mlungu.
\v 17 Waheshimu wandu wose, wakundenyi mbari. Mboenyi Mlungu, mheshimunyi Mzuri.
\v 18 Watuma, warumienyi Mzuri wenyu kwa heshima yose siotu Mzuri weko wamboie na wapole, lakini pia weko wazamie.
\v 19 Kwa kuka tongolo kama wowose arumi riaga kuvaririka ituku akilagasha kusandae haki kwa sababu ya dhamiri yake kwa Mlungu.
\v 20 Huwo basi ni sifaki kustahimili, mkibonya zambi na kukabwa makofi? Lakini kustahimili, mkibonya ghaboie na kupata mateso, ughu nio uboie hasa imbiri ya Mlumgu.
\v 21 Kwa iji mwawangiwe, kwa sababu Kristo pia aliteswa kwa ajili yenyu, wawasigie mfano kwa ajili yenyu kurigina mawadio gake.
\v 22 Ye ndabonyie zambi, wala ndawonekane kuembia gogose momunyi kwake.
\v 23 Matuku ye akianyirigwa, ndawujirie kuanyira, akiteseka, ndatishie, bali wakifunie mweni kwake ye ahu kumuye kwa haki.
\v 24 Ye mweni waridwae zambi redu katika muwi gwake andu mdi, ili kwamba disake na andu sena katika zambi, na kwamba diishi kwa ajili ya haki. kwa kukabwa kwake nyi namboa.
\v 25 Wose mrikogo mkinganya kama ng'ondi walagaya, lakini indana mwawuya kwa mlisha na mlindiri wa wa roho renyu.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kwa chia ihi, inyo ambao mwa baka mdapaswa kukafunya kwa bomi benyu inyobeni, ili hata kama baadhi yabwe ndabajitii idedo, kuidia tabia ra baha babwe badima kurudwa pasipo idedo,
\v 2 Kwa sababu bo beni wadima ibona tabia yenyu iboie pamoja na heshima.
\v 3 Ihi ibonyeke siyo kwa mapambo ga shigadi- kusuka mavunga, vito va dhahabu, au mavazi ga mitindo.
\v 4 Lakini badala yake ibonyeke kwa undu gwa ndenyi ya ngolo, na kuzidi katika kuboa kwa unyenyekevu na kunyama kwa ngolo, ambayo ni gwa thamani imbiri ya Mlungu.
\v 5 Kwa kugora baka batakatifu bakipambie beni kwa chia ihi. Berikogo na imani katika Mlungu bakabatii bomi babwe beni.
\v 6 Kwa chia ihi sara wamtiiye Ibrahimu na kumbanga ye "bwana" wake. Na inyo idana ni bana bake kama mkabonya geke gamboie na kama ndamuboaga gazamie.
\v 7 Kwa chia iyoiyo, inyo bomi mdapaswa kukaia na baka benyu mkimanya kuwa bo ni bambenyu ba kibaka dhaifu, mkibamanya bo kamababokeri benyu ba zawadi ya bulazi. Bonyenyi hubu ili kwamba malombi genyu gasi zuiliwe.
\v 8 Hatimaye inyo bose, mke na nia imweri, bakana mbazi, lukundo kama mbari, banyenyekevu, na bapole.
\v 9 Msashanirie jizamie kwa jizamie, au itusi kwa itusi. Kinyume chake, mwendelee kubariki, kwa sababu ihi mwabangiwe, ili kwamba mdime kurithi baraka.
\v 10 "Ye akundie kukunda maisha na kubona ituku iboie lazima aguzuie lumi lwake kwa gazamie momu ghwake kudeda hila.
\v 11 Na aageuke na kusiga gazamie na kubonya gamboie. Alole amani na kuinuga.
\v 12 Meso ga Bwana gambonaa akona haki na madu gake gasikira maombi gake. Lakini bushu gwa Bwana guko kinyume cha baja babonyaa gazamie."
\v 13 Nani adimaa kumidhuru inyo, ikiwa mwatamani jiko iboie?
\v 14 Lakini kama nkateseka kwa haki, mwabarikiwa. Msaboe gaja ambago bo bagaboa na wasi wasi.
\v 15 Badala yake, mumbike Kristo Bwana katika ngolo renye kama mtakatifu, kila mara mke tayeri kumjibu kila mundu abakotiaga inyo kwa indoi mkana matumaini katika Mlungu. Bonyeni hubu kwa upole na heshima.
\v 16 Mke na dhamiri iboie ili kwamba bandu baanyiraa maisha genyu gamboie katika Kristo badime kuaibika kwa sababu badedaa kinyume dhidi yenyu kana kwamba mwarikogo babonyaa azimie.
\v 17 Ni nicha zaidi, ikiwa Mlungu adatamani, kwamba mwateseka kwa kubonya gamboi kuliko kwa kubonya gazamie.
\v 18 Kristo pia watesekie mara imweri kwa ajili ya zambi. Ye ambaye akona haki watesekie kwa ajili yedu, ambabo ndidikogo bakana haki, ili kwamba udirede isi kwa Mlungu. Wafuye katika mubi, lakini wabonyiwe mlazi katika roho.
\v 19 Katika roho wagendie na kurihubiri roho ambaro ijiaha riko kifungonyi.
\v 20 Ndirikogo tiifu wakati buvumilivu gwa Mlungu gukogo gwa besera wakati gwa Nuhu, matuku ga kuagwa kwa safina, na Mlungu wakoe bandu batineri -nafsi- nane kufuma katika machi.
\v 21 Ihi ni alama ya ubatizo gubaokaga na inyo idana, siyo kama kuogesha buchama kufuma mubinyi lakini kama iombi ja dhamira iboie kwa Mlungu, kuidia ufufo gwa Jesu Kristo.
\v 22 Ye ako mkonu gwa kujogwa Mlungu. Wagendie mbingunyi. Malaika na mamlaka, na ndigi lazima vimtii ye.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Kwa huvho, kwakuwa Krristo watesekie katika muvhi, rwenyi silaha ra nia ijha yeni. Ye atesekie katika muvhi waingana na zambi.
\v 2 Mundu uyu ndaendelea sena kuishi katika tamaa ra muvhi, bali kwa mapenzi gha Mlungu, kwa maisha ghake yasalie.
\v 3 Kwa kuwa makati ghaidie ghatoshie kubonya malagho ambagho vhama taifa vhadakundi kubonya- ufisadi, nia izamie, vhulevi, vhulafi, gonda ra kipangani na ibada ra sanamu renye virea.
\v 4 Vhada fikiri ni ajabu andu mwaevheria kubonya malagho agho amweri navho, hivyo vhadanena ghazamie ighu yenyu.
\v 5 Ima vhafunya hesabu kwake akoo tayari kuhukumu vhahai na vhafwie.
\v 6 Kwa ikusudi ijhi injili yahubiriwe kwavhwe vhaduie kufwa, kwa andu vhameeriwe hukumiwa katika mivhi yavhwe sa vhadamu, ili vhadime kuishi kulingana na Mlungu katrika ngolo.
\v 7 Mwisho ghwa malagho ghose udacha. Kwahiyo, mke na ufahamu ukogho sahihi, na imwenyi na nia iboie kwa ajili ya maombi ghenu.
\v 8 Kabla ya malagho ghose, iwenyi na bidii katika lukundo kwa kila umweri, kwa kuwa lukundo ndaulolaa kufunula zambi ra vhamwe.
\v 9 Bonyereni ukarimu kwa kila umweri bila kunugh'unika.
\v 10 Kama ambavo kila umweri wenyu wavhokere karama, idumienyi katika kutavhariana, sa vhakeakimsi vhaboie vha karama nyingi rifunyiwe bure ni Mlungu.
\v 11 Kama mndu akiaria, na ike sa mausia gha Mlungu, na kama mndu akitavhara, na ikesa uwezo anekiwe ni Mlungu, ili kwamba kwa kila ilagho Mlungu apate kugimbikwa kuidia Jesu Kristo. Utukufu na uweza viko naye kala na kala. Amina.
\v 12 Wapendwa, msahesabu ijaribu ambajho hucha kuvhajaribu sa kindu kighenyi, ingawa kuko kindu kighenyi kirikogho kidatukia kwenyu.
\v 13 Elakini kwa kadiri mzidii kupata uzoefu ghwa vhavasi ghwa Kristo, boiwenyi ili kwamba mboiwe pia na kushangilia katika ufunuo ghwa utukufu ghwake.
\v 14 Japo mwanyirighwa kwa ajili ya irina jha Kristo, mwabarikiwa, kwa sababu ya ngolo wa utukufu na ngolo wa Mlungu adaka ighu yenyu.
\v 15 Elakini aseko yoyose ateswaa kama wabwa gha, mwivi, mbonya ghazamie, angu akishuhulishaye na malagho gha vhamwe.
\v 16 Elakini ikiwa mndu adateswa sa Mkristo, asavhone vhwaya, bali amtukuze Mlungu katika irina ijho.
\v 17 Kwa kuwa wakati ghwavafika kwa hukumu kuanzia nyumbenyi mwa Mlungu. Na kama idaanzia kwedu, ima yaka vhada kwa vhajha vhasaitii injili ya Mlungu?
\v 18 Na kama "Akona haki adaokolewa kuidia magumu ima yaka vhada kwa mndu asadae haki na akona zambi?"
\v 19 Kwa huvho vose vhateseka kufumana na mapenzi gha Mlungu vhakabidhi nafsi ravhwe kwa muumba mwaminifu ili hali vhakibonya ghaboie.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Nawalomba wagosi weko andukumweri kwenyu, nyi niko mgosi mbenyu na shahindi wa mawiwi ga Kristo, na ambae vile vile ni mshirika katika utukufu utakao dhihirika.
\v 2 Kwa huwo na wawanga ngolo inyo wagosi, lindenyi ikundi ja Mlungu jiko miokonyi mwenyu. Jingiwenyi sio kwa sababu mdapaswa lakini kwa sababu mdakunda huwo, kundoka na Mlungu. Jingu wenyi sio kwa kukunda pesa ra waya, lakini kwa kukunda.
\v 3 Msabonye waziri igu ya wandu weko ndonyi ya kulindiwa kwenyu, lakini ike mfano katika ikundi.
\v 4 Aja mlisha mbaha atakapodhihireishwa, mwiwokeraga taji ya utukufu gusalagarie uthama ni gwake.
\v 5 Huwo huwo, nyi mrika watini, nyenyekeeni kwa wabaha wenyu. Inyo wose, rwenyi unyenyekevu na kubonyiana inyo kwa inyo, kwani Mlungu wa walegaga wekona kirea, lakini wawanekaga neema wanyenyekevu.
\v 6 Kwa huwo nyenyekenyi ndonyi ya mkonu gwa Mlungu guko hodari ili kwamba wawusire kwa matuku gake.
\v 7 Mwikienyi fadhaa renyu igu yake, kwa sababu adamijali.
\v 8 Kenyi na viugo, kenyi waangalifu. Uja mlagelage wenyu ibilisi, kama shimba akindunduma akinyatia, akilola mndu wa kumrarua.
\v 9 Msimame kinyume chake. Mke na ndigi katika imani yenyu. Mkimanya kwamba mbari renyu weko isanganyeni wadadia mawiwi kama ago.
\v 10 Baada ya mawiwi kwa ituku kitambo, Mlungu wa neema yose, awawangie katika utukufu gwa milele ndenyi ya Kristo, atawakaririsha, atawaimarisha na kuwa kuumba ndigi.
\v 11 Kala na kala ike kwake milele na milele. Amina.
\v 12 Namthamini silwalo kama mbari mwaminifu, na nimewaandikia inyo kwa kivui kuidia kwake nidawakunda ngolo na nidashuhudia kwamba nilichokiandikia ni neema ya loli ya Mlungu, simamenyi ndenyi yake
\v 13 Waamini weko. Babeli wasagulwe pamoja inyo, wadamlamsa na Marko mwanapwa, adamililamsa.
\v 14 Lamsenyi kila umweri kwa busu ja lukundu. Na amani ike kwenyu mkondenyi ya Kristio.

125
62-2PE.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,125 @@
\id 2PE
\ide UTF-8
\h 2 Petro
\toc1 2 Petro
\toc2 2 Petro
\toc3 2pe
\mt 2 Petro
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Simon petro, na mtumwa na mtume wa Yesu Kristo, Kwa vaja vya ivyokera imani ijaija thamani kama andu daivokera imani ikondenyi ya mundu.
\v 2 Nema ike kwenywu na ichulikane kuidia kwa Mlungu kuidia kwa mzuri wedu Jesu.
\v 3 Kuidia kwa maarifa gha Mlungu dipate malagho ghose kutuma kwa Mlungu adivyangie kwa vibaha ghwake.
\v 4 Kwa chia hi wadikumbusira kwa vubaha ghwake ili kudibonya vya Mlungu kwa andu dibonyeragha kusigha dunia ihi.
\v 5 Kwa kubonya huvyo bonyeni kwa bidii kuchuria imani yenywu kwa sababu, ya kuboa, maarifa.
\v 6 Kuidia maarifa, kiasi, na kuidia kiasi na saburi na kuidia saburi utauwa.
\v 7 Kuidia kwa lukundo lwa mbari na mbari, lukundo.
\v 8 Kana malagho agha ghakogho ndenyi yenyu, ghakiandale kuzoghwa ndenyi yenyu basi ndamkagha tasa, au sio wandu wasavaa matunda kwa maarifa gha Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 9 Na mndu wowose aseko na malagho agha, akavona malangho agha kwa avui uyo ni kipofu. waliva muoghesho gha dhambi rake ra kala.
\v 10 Kwa hiyo vambari vapwa, bonyeni juhudi ili kukiguva kwenyu uteule na wito kwa ajili yenyu kama dima mwbonya agha ndamkuvagha.
\v 11 Huyo mnakaghwa vungi vya mjango gha kungia, mflume ghwa Mlungu na mzuri wedu Yesu Kristo.
\v 12 Kwa hiyo nyii dima naka na kusikira malagho agha kila mara kala kama mwagha ichi, na iji aha mweko imara kwa loli.
\v 13 Na teganya kuwa mweko nicha kuvavusira na kuwakumbusira ighu ya malagho agho na duagha badoighachonji iji.
\v 14 Kwa kua naichi si muda mlacha dima nainja ighacho japwa. Kwa Mzuri Jwsu ni wani bonyera.
\v 15 Dima nabonya bidii mghakumbe malagho agha.
\v 16 Maana ndadinughie hadithi ritungiwe ni werevu, dirikogho dikiwajulisha inyo ndighi rake mzuri wedu Jesu Kristo na kucha kwake, bali dirikogho dauwona weni ubaha ghwake.
\v 17 Maana wapatie kwa Mlungu Aba heshima na Utukufu, aho wacharediwa sauti ifumie huko utukufu mbaha, hoyo ni mwanapwa, mkundwa wapwa, nimkundii.
\v 18 Na sauti heyo isdaisikirie ikifuma mbingunyi wakati dakika diko andu amweri nae chughonyi chija kitakatifu.
\v 19 Deko nayo adedo ga unabii jamanyikana ambajo kwa ijo mwabonya nicha kijibonya ngolonyi kwenyu.
\v 20 Manyeni agha kughora ndakudae nabii aandikiwagha kwa ajili ya kuteganyia kwa nabii mweni.
\v 21 Kwa kuwa ndakudae nabii achee kwa lukundo kwa mdam isipokuwa mdamu wadanukwa na ngolo mmtakatifu adedie kufuma kwa Mlungu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Manabii va tee vakifumirie kwa waisrael, na walimu wa tee wakacha pia mizenyu kwa siri waredaa mashomo ga tee nao wachamlegha Bwana abague. Wakredia kunona gwa ta shwashwa juu gao meni.
\v 2 Begi wamugaa chia rave ra nyaya na kuidia bo waikufuru chia ya loli.
\v 3 Kwa choyo wadima waonga wandu wakitumia madedo ga tee. Hukumu yao ndeisoriwaa, kununo kuwa nugaa.
\v 4 Maana Mlungu ndiwa sigie Malaika wa menya. Bali wawadagie kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu andu iche wachea.
\v 5 Wala Mlungu ndevumilia urumwengu gwa kala. Bali wamwifadhi Nuhu, ukona wito gwa loli, pamoja na wami saba, wakati akisigira gharika igu ya urimwengu gwa asi.
\v 6 Mlungu wahukumie mizi yasodoma na gomora kiasi cha kuaguka maivu na kunoneke ili ike mfano, kwa ajili ya wovu katika matuku ga vushunyi.
\v 7 Lakini kubonya ijo wamwokoe Lutu mundu wa haki, akogo wahuzunishwa na tabia izamie ra wasanuga sheria ra Mlungu.
\v 8 Kwa kuwa oyo mundu wa loli, aishie nao matuku kwa matuku akiitesa nafsi yake kwaajili ya gaja asikire na kuyaona.
\v 9 Kwa hiyo Bwana waichi jinsi ya kuwaokoa wandu wake wakati gwa mateso na jinsi kuwarumagia wanoni kwa ajili ya hukumu katika matuku ga mwisho.
\v 10 Kwa loli ugu neko uloli kwa baja waendeleaa kukaia katika tamaa ra muvi ugu na kugamenya mamlaka.
\v 11 Ingawa malaika wakana uwezo gwa ndigi kuliko wandamu, lakini ndibedimaga kureda hukumu dhidi yao kwa Bwana.
\v 12 Lakini awa nyamandu wasandaa na akili wamboisiwe kwa asili ya kuwadwa na kubwagwa.
\v 13 Wavaviriwa kwa malipo ga mabibi gabwe. Dime kutwa kukaia kwa anasa, wachua vuchama na mabibi, waboirwaa ni anasa ra tee wakisherehekea na we.
\v 14 Meso gawe gafunikwa na uzinzi, ndawatoshekaa kubonya zambi. wana ngolo rachua tamaa, ni wana walaaniwa.
\v 15 Waisiga chia ya loli. Wapotoka na kuisiga chia ya Balaam mwana wa Beori, akundie kupata mashano ga udhalimu.
\v 16 Lakini wakemiwe kwa ajili ya kungosha kwake. Punda arikogo bubu akideda katika sauti ya mundu, wazuie wazimu wa nabii. Idulu izito ja hifadhiwe kwa ajili yabwe.
\v 17 Wandu awa ni kama ndoruwa ri sadae machi. Ni kama madulu ga injiwaga ni upepo. Idulu izito jahifadhiwa kwa ajili yao.
\v 18 Waariaga kwa majunu maduhu. Wabagushaa wandu kwa tamaa ra mibi. Wabalagai bandu bageriaa kubambia waja bakaiga katika ukosaji.
\v 19 Wabaahidi bandu uhuru wakati wao bo beni ni watumwa na zambi ya ufisadi. Maana mwadamu wabonywaaa kuwa mtumwa wa jija rimtawala.
\v 20 Ye akiepusha na vuchama gwa urumwengu kwa kutumia maaifa ga Bwana na mwokozi Jesu Kristo, na kisha akaburia buchama ugo sena, hali yake ikaiaa izamie kuliko ija ya kala.
\v 21 Yafaa bandu abo kama ndebeimanya na kisha sena kurisiga amri ra aleshwa banekigwe.
\v 22 Mithali ihi huwa ni ya loli. "Koshi wagaburiaa madaika gake. Na nguve waogeshwa wabunyaa matopenyi."
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Idhana ndakuandikia we, kukunda, ihi barua ya kavhi ili kukuvhusira katika akili,
\v 2 Ili kwamba udime kuririkanya madedo ghadadediwe kabla na manabii vhatakatifu na kuhusu amri ya mzuri wedu na mtesi kw akutumia mitume.
\v 3 Uichi ijhi kwanza, kwamba vhasaliti imavhacha katika maruvha gha mwisho kuvhasaliti inyo, vhakighenda andu amweri na matakwa ghavhwe.
\v 4 Na vhakideda "Iko hao ahadi ya kuvhuya? Vhaka aba vhedu vafwie, lakini vindu vose vyarikogho huvho tangu mwanzo ghwa uumbaji.
\v 5 Vhakibonya kulivha kwamba isanga na mbingu vyavhokie kufumana na mchi na kuidia machi matuku ghaidie, kwa ilagho cha mlungu,
\v 6 na kwamba kuidia ilangho jhake na machi gha kaka ulimwengu kwa kipindi hecho, ikiwa yachua machi, yanonighwa.
\v 7 Idhana lakini mbingu na dunia ratunzwighwa kwa ilagho ijho jheni kwa ajili ya modo. Vyahifadhiwe kwa ajili ya maruvha gha hukumu na maangamizi gha vhandu vhaseko vha mlungu
\v 8 Ihi ndaidimagha kuchenga ujumbe ghwako, kukunda, kwamba iruvha jhimweri kwa mzuri ni kama miaka elfu imweri. Na miaka elfu imweri ni kama iruvha jhimweri.
\v 9 Si kwamba mzuri adabonya kambweri kutimira ahadi kama andu iteghanyaaghwakuka, lakini ye ni mrumaghivu kwa ajili yenyu, ye ndatamani hata mmweri aangamie, lakini hutamani kufanya muda ili vose vhapate kutubu.
\v 10 Ingawa, iruvha jha mzuri ima jhacha sa mting`a mbingu ima yada kwa kupaza jhoghoo. Vindu ima vanonwa kwa modo. isanga na vindu vose andu viko ima vya funulighwa wazi.
\v 11 Kwakuwa, vindu vose ima vanonighwa kwa chia ihi. Je ima waka mndu wa aina ki? uish bila uasi na maisha gha kimlungu.
\v 12 Idakupasa kuichi na kumanya haraka kuchakwa iruvha jha mlungu. Iruvhaijho mbingu imayanonighwa kwa modo. Na vindu ima vyayeyushwa kirukenyi kibirie.
\v 13 Lakini kufumana na ahadi yake didavheseriambingu mpya na isanga jhipya, ambapo vhanja vhenye haki imavhaishi.
\v 14 Hivyo kukunda kwakuwa dida tarajia vindu hivi, kitahidi kuka makini na usalaumike na kuka na amani amweri nae.
\v 15 Na maziria urumaghivu ghwa mlungu ghwedu wokovunyi, kama kukunda mwenedu paulo, kama andu wamiandikia inyo, kufumana na hekima ambayo wanekwa.
\v 16 Paulo adadedia agho ghose baruenyi rake, kuko vindu vakurie kuvimanya. vhandu vha sadhaee adabu na uimara vhavinona vindu iv, na kama andu vhabonyagha kwa maandiko. kuelekea maangamizi ghavhe.
\v 17 Hivyo, kukunda kwa kuwa mdaghaichi agho, kilindenyi vheni il kwamba msapotoshwe na udanganyifu ghwa vhalaghai na kulaghasha uamiifu.
\v 18 Lakini mzoghue neemenyi na ufahamu ghwa mzuri na mtesi Jhesu Kristo. Na ijhi aha utukufu ukona ye ijhi aha na kala na kala. Amina.

209
63-1JN.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,209 @@
\id 1JN
\ide UTF-8
\h Yohana
\toc1 Yohana
\toc2 Yohana
\toc3 1jn
\mt Yohana
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Chija chirikogho tangu kiambiri- chija dachisikra, chija dachiwona kwa meso gedu chija dachingua, na mikonu yedu ya chiwada kuhusu idedo ja mbanana.
\v 2 Na uja mbanana wabonyiwe kummanyikana wazi, na dawona, na kushuhudia, na kuwagoria mbanana ya milele, ambao warikogho kwa Mzuri na gwambonyiwe kumanyikana kwedu.
\v 3 Chija dichiwonie na kukisikira dagoria kwenyu pia, ili kwamba mdime kukaia andukumweri na isi, na ushirika gwedu andu kumweri na Aba na mwanake Jesu Kristo.
\v 4 Na waandikia malego aga inyo ili kwamba kumboiwa kwedu ike timilifu.
\v 5 Ugu ndio ujumbe dagusikira kufuma kwake na kuwagoria. Mlungu ni nuru na ndenyi yake ndakundae kira hata kidogo.
\v 6 Kama daikadeda kwamba dekona ushirika naye na dasela kirenyi, dakiembia na ndadibonyaga loli.
\v 7 Ela dikasela katika nuru kama eko katika nuru dasikiana isi, na mbaga ya Jesu Kristo mwanake yaditakasa kufuma zambi rose.
\v 8 Kama dikadeda ndadindee zambi, dakiembia weni, na loli ndeiko ndenyi yedu.
\v 9 Ela dakaritubu zambi redu, ye ni mwaminifu na haki kudisamehe zambi redu na kuditakasa na wasi gose.
\v 10 Dikadeda kwamba ndadibonyie zambi, dambonya ye kuka mtee, na ilago jake ndajiko ndenyi yedu.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Wana wapwa wakundi, nawaandikia malago aga kwangu ili msabonye zambi, dako naye wakili eko andu kumweri na Aba, Jesu Kristo- ambaye ni okana hachi.
\v 2 Ye ni mpatanishi kwa zambi redu, na si kwa zambi redu renikeri, ela pia kwa ulimwengu gose.
\v 3 Kwa iji chamanya kwamba ye, kama dikatunza amri rake.
\v 4 Ye adedagha, "Namuichi Mlungu," Ela ndariwadagha amri rake, ni tee, na loli ndaiko ndenyi yake.
\v 5 Ela yoyose awadaga ilago jake, loli katika mudu uja lukumbo lwa Mlungu gwa kamilishwa katika iji damanya kwamba deko ndenyi yake.
\v 6 Ye adedagha adaishi ndenyi ya Mlungu adapaswa mweni pia kugenda kama waja Jesu Kristo agendie.
\v 7 Wakundwa siwaandikiagha inyo amri mpya, bali amri ya kala ambayo mwahaija kuka nayo tangu imbiri. Amri ya kala ni idedo ambajo mwajisikira.
\v 8 Hata huwo nidawaandikia inyo amri mpya, ambayo ni loli katika Kristo na kwangu, kwa sababu kira chidaida, na nuru ya loli yeko tayari ideangaza.
\v 9 Ye adedagha weko kwenye nuru na adamreia mbari wake weko katika kira hata indana.
\v 10 Ye amkundaga mbari wake adaishi katika nuru na ndakundaa ilago jojose jidimaga kumkwaza.
\v 11 Ela ye ameriaga mbari wake weko kirenyi na adagenda kirenyi, ye ndaichi hao agendaga kwa sababu kira wapofusha meso gake.
\v 12 Nawaandikia inyowana ni wakundi, kwa sababu mwasamehewa zambi renyu kwa ajili ya irina jake.
\v 13 Nawaandikia inyo waka Aba, kwa sababu mwamuichi ye eko tangu imbiri. Nawaandikia inyo mrika, kwa sababu mwamshida uja mwovu. Namiandikia inyo wana watini kwa sababu mwamanya Aba.
\v 14 Namiandikia inyo wakaAba kwa sababu mwamanya ye eko tangu imbiri. Namiandikia inyo, mrika kwa sababu mweko imara, na idedo ja Mlungu jikaga ndenyi yenyu, na mwashinda uja mwovu.
\v 15 Msakunde dunia wala malago geko katika dunia. Iwapo uja aikundaga dunia, lukundo gwa kumkunda Aba ndeguko ndenyi yake.
\v 16 Kwaki kila kilambo cheko katika dunia- tamaa ya muwi, tamaa ya meso, na kiburi cha uzima- ndavifumaga na Aba ela vifumaga na dunia.
\v 17 Dunia na tamaa rake ridaida. Bali ye abonyaga mapenzi ga Mlungu uyo adumu milele.
\v 18 Wana watini, ni matuku ga mwisho. Kama ambavyo mwasikira kwamba mpinga Kristo adacha, hata idana wapinga Kristo wacha, kwa hali ili damanya kwamba ni matuku ga mwisho.
\v 19 Wagadie wo kufuma kwedu, kwaki ndawakogo wa kwedu. Kama wuja wangeka wa kwedu matuku wagendie chia rawo, icho chabonyeriwe ndawakogo wa kwedu.
\v 20 Ela mwakumbigwa mavuda na uja matakatifu nanyi wose mwaichi loli.
\v 21 Siwaandikie inyo kwa sababu ndamuichi loli, bali kwa sababu mwaichi na kwa sababu ndakundae tee wala inya loli.
\v 22 Uyao ni mtee bali ni ye apingaga kwamba Jesu ni Kristo? uyu mndu ni mpinga Kristo. aja eko mpinga Aba na mwana.
\v 23 Ndakudae anaye mpinga mwana akaka na Aba. Yeyose anaye mkiri mwana akanae Aba pia.
\v 24 Kama kwa ajili yenyu, chija mdusikire kufuma imbiri siaga chiniulelee kuka ndenyi yenyu. Kama chija mchisikira kufuma imbiri chikaka ndenyi yenyu pia mkaga ndenyi ya mwana na Aba.
\v 25 Na ihi ni ahadi adinekie isi. Mbanana ya milele.
\v 26 Namiandikiaga inyo kuhusu waja ambawo wange wakirisha inyokatika kulagaya.
\v 27 Na kwa ajili yenyu, gaja mavuda mwokerie kufuma kwake gakaga ndenyi yenyu, na ndamuhitaji mndu yoyose kuwafundisha. Bali kama mavuda gake gawafundisha kuhusu malago gose na ni loli na sio tee na hata kama gawafundisha, kenyi ndenyi yake.
\v 28 Nasasa, wana wakundwa, kenyi ndenyi yake, ili matuku afumiriaga, didime kuka na ujasiri na sio kusikira waya imbiri yake katika kucha kwake.
\v 29 Kama mwaichi kuka ye ni mmwenye hachi, mwamanya kwamba kila umweri abonyagha hachi wavalwa na ye.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Nyuwenyi ni pendo ja namna ki wadipatia Aba, kwamba dawagwa wana wa Mlungu, na huwu niko diko. Kwa sababu ihi urimwengu, na huwu niko diko. kwa sababu ihi urimwengu ndagudiichi kwa kuka ndagudimanyie ye.
\v 2 Wakundwa isi ni wana wa Mlungu, na ndaidhihirikie bado jinsi dadima kuka. Dimanya kwamvba Kristo wadima wawonekana, difunanaga na ye, kwani dimwonaga kama eko.
\v 3 Na kila umweri ambaye wekona ujasiri ugu kuhusu matuku ga chaga gaelekezwa kwake, hujitakasa mweni kama ye eko mtakatifu.
\v 4 Kila mndu anaye endelea kubonya dhambi huvunja sheria. Kwa sababu dhambi ni uvunjaji sheria.
\v 5 Mwamuichi Kristo alidhihirishwa ili kuja dhambi kabisa. Na ndenyi yake ndakudae dhambi.
\v 6 Ndakudae hata umweri adumue ndenyi yake na kuendelea kubonya dhambi. Nakundae mundu hata umweri adumue katika dhambi ikiwa kwamba au kummanya ye.
\v 7 Wana wakundwa, msakubali kupotoshwa na mndu yoyose. Abonya hachi ni mwenye hachi kama wuja Kristo naye eko mwenye hachi.
\v 8 Abonyaga dhambi ni wa ibilisi kwa sababu ibilisi ni mbonya dhambi tangu imbiri kwa sababu ihi mwana wa Mlungu adidhihirisha ili adime kuninona kazi ra ibilisi.
\v 9 Yeyose wavalwa ni Mlungu ndabonyaga dhambi, kwa sababu mbeu ya Mlungu yakaga ndenyi yake. Ndadimiga kuendelea kubonya dhambi kwa sababu wavalwa na Mlungu.
\v 10 Katika iji wana wa Mlungu na wana wa ibilisi wamanyikana. Yeyose asabonyaga kulicho cha hachi, sio wa Mlungu, wala uja ambae ndadimaga kumkunda mbari wake.
\v 11 Kwa ugu ndio ujumbe mwagusikira kufuma imbiri, kwamba didapaswa kukundana isi kwa isi.
\v 12 Sio kama kaini ambaye warikogo wa mwovu na wa mbwagie mbari wake. Na kwaki kumbwaga? kwa sababu mabonyo gake garikogo maovu na gaja mbari wake garikogo ga hachi.
\v 13 Wambari wapwa, wasashangae, endapo urimwengu gwadima gwarea.
\v 14 Damanya dameria kufuma mautinyi na kungia uzimanyi, kwa sababu dawakunda mbari. Yeyose ambaye ndandae lukundo wakaga katika mauti.
\v 15 Mndu yeyose amreiga mbari wakee ni muaji. Na mwamanya kuwa mbanana ya milele ndaikaga ndenyi ya mauaji.
\v 16 Katika iji dajimanya Paulo, kwa sababu Kristo wafunyie mbanana yake kwa ajili yedu. Na isi yadipasa kugafunya maisha gedu kwa ajili ya mbari.
\v 17 Ela yeyose weko na vilambo, na wambona mbari wake ukona uhitaji, ela ndazuiaga ngolo yake ya huruma kwa ajili myake, je upendo wa Mlungu gukaga ndenyi yake?
\v 18 Wana wapwa wapenzi, disakunde kwa momu waka kwa madudo maduhu bali katika mabonyo na loli.
\v 19 Katika iji damanya kwamba isi deko katika loli, na ngolo redu idathibitisha katika ye.
\v 20 Ikika kama ngolo redu yadihukumu, Mlungu ni mbaha kuliko ngolo redu, na ye waichi malago gose.
\v 21 Wapendi, kama ngolo redu ndaridihukumu, dekonago ujasiri kwa Mlungu.
\v 22 Na chcochose dilombaga dikowokeraga kufuma kwake, kwa sababu dideriwada amri rake na didabonya malago gampendezaga imbiri yake.
\v 23 Na iji ndio amri yake yakwamba yadipasa kuamini katika irina ja mwaka Jesu Kristo na kukundana isi kwa isi-kama andu wadipalia amri yake.
\v 24 Waritii amri rake waleaga ndenyi yake, na Mlungu wakaga ndenyi yake. Na kwa sababu ihi damanya kuka dakaga ndenyi yake, kwa uja ngolo wadineka.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Wakundwa msaamini kila ngolo, ela ngerienyi ngolo mwona kama ridefuma na Mlungu, kwa sababu manabii wengi wa tee wafumiria dunienyi.
\v 2 Kwa iji mmanyaga ngolo wa Mlungu - kila ngolo itakajo kiri kuka Jesu Kristo wachee katika muwi ni ya Mlungu.
\v 3 Na kila ngolo isamkiri Jesu si ya Mlungu. Ihi ni ngolo ya mlega Kristo, ambayo mwaisikira kuwa idacha na sasa tayari yeko dunienyi.
\v 4 Inyo ni wa mlungu, wana wakundwa, na mwaka washinda kwa sababu ye eko ndenyi yenyu ni mbah kuliko ye eko katika ulimwengu.
\v 5 Awo ni wa ulimwengu, kwa hiyo wachidedaga ni cha urimwengu, na chimwengu gadiwasikira.
\v 6 Isi ni wa Mlungu. Ye amnuichi Mlunguwadisikiraga isi. Ye aseko wa Mlungu ndadimaga kudisikira. Katika iji daamanya ngolo wa loli na ngolo wa tee.
\v 7 Wakundwa, dikundane isi kwa isi, kwa wuja lukundo ni gwa Mlungu na kila umweri akundaga wavalwa na Mlungu na kummanya Mlungu.
\v 8 Ye asakundaga kummanya Mlungu, kwa sababu Mlungu ni lukundo.
\v 9 Katika iji lukundo lwa Mlungu gwafumiriwe miongonyi mwedu, kwamba Mlungu wamdume mwanaka wa pekee urumwengunyi ili diishi kuidia ye.
\v 10 Katika iji lukundo, si kwamba damkundie Mlungu, ela ye wadikundie, na kumduma mwanake fidia ya zambi redu.
\v 11 Wakundwa ikiwa Mlungu wadikundie isi wuja didapaswa kukundana isi kwa isi.
\v 12 Ndakudae hata umweri amborie Mlungu, kama kukundana isi kwa isi, Mlungu wakaga ndenyi yedu na lukundo lwake jakamilika ndenyi yedu.
\v 13 Katika iji damanya kuwa danaga ndenyi yake naye ndenyi yedu, kwa sababu wadineka ngolo wake.
\v 14 Na dawona na kushuhudia kuwa Aba wanduma mwana kwa mwokozi wa urimwengu.
\v 15 Kila anaye kiri kwamba Jesu ni mwana wa Mlungu, Mlungu wakaga ndenyi yake na ye ndenyi ya Mlungu.
\v 16 Na damanya na kuamini lukundo wakonago Mlungu ndenyi yedu. Mlungu ndenyi yedu. Mlungu ni lukundo, na ye gwakaga ndenyi ya lukundo gwakwaga ndenyi ya Mlungu na Mlungu wakaga ndenyi yake.
\v 17 Katika lukundo ugu jameriwa kamilishwa kati yedu, ili dike na ujasiri matuku, kwa sababu kama ye eko, na isi niko diko katika chimwanga ugu.
\v 18 Ndakudae hofu ndenyiya lukundo. Ela lukundo kamili gwa daga hofu shigadi, kwa sababu hofu huhusiana na hukumu. Ela ye aboaga ndakamilikie katika lukundo.
\v 19 Dakunda kwa sababu Mlungu wadikunda kwanza.
\v 20 Ikika umweri adedaga, "Namkunda Mlungu" Ela adameria mbari wake, ni mte. Kwa sababu asamkundi mbari wake, amwonaga ndadimaga kumkunda Mlungu ambaye ndamwonaga.
\v 21 Na iji nijo amri dekayo kufuma kwake. Yeyose amkundaga Mlungu ambaye ndamwonaga.
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Yeyose anaye amini kwa Jesu ni Kristo wavalwa na Mlungu. Na yeyose amkundaga ye ambaye wafuma kwa Aba pia wakunda wana wake.
\v 2 Kwa iji damanya kwamba dawakunda wana wa Mlungu-- dikamkunda Mlungu na kutekeleza amri rake.
\v 3 Huwu niko dimkundaga Mlungu kwamba dariwada amri rake. Na amri rake. Na amri rake ni raangua.
\v 4 Kwa kuwa kila wavalwa na Mlunguhuushinda urimwengu. Na ugu ndio ushindi gwa kushinda urimwengu, imani yedu.
\v 5 Ni ani wagushinda urimwengu? Niuja aaminiye kwamba Jesu ni mwana wa Mlungu.
\v 6 Uyu nije achee kwa machi na mbaga- Jesu Kristo. Ndachee tu kwa machi bali kwa machi na mbaga.
\v 7 Kwa kuwa koko wadadu washuhudiaga.
\v 8 Ngolo machi na mbaga. Awa wadadu wakubaliana. (Zingatia: madedo aga "Aba, Neno, na ngolo mtakatifu" ndagawonekanaga katika nakala bora ra kale).
\v 9 Kama dawokera ushuhuda gwa wanadamu ushuhuda gwa Mlungu ni mbaha kuliko ugo. Kwa kuwa ushuhuda gwa Mlungu ni ugu- kwamba oko nago ushuhuda kuhusiana na mwanake.
\v 10 Ye amwaminie mwana wa Mlungu akona ushuhuda ndenyi yake mweni. Wa yeyose aseko mwamini Mlungu wabonya kwa mtee, kwa kuwa ndaaminie ushuhuda ambao Mlungu wagarada kuhusu mwanake.
\v 11 Na ushuhuda nigo ugu -- kwamba Mlungu wadinelie mbanana ya milele, na mbanana ihi yeko ndenyi ya mwanake.
\v 12 Weko naye mwana wekona mbanana. Aseko naye mwana wa Mlungu ndedae mbanana.
\v 13 Nidawaandikia aga mdime kummanya kwamba mkonago mbanana wa milele -- inyo muamini katika irina ja mwana wa Mlungu.
\v 14 Na ugu nigo ujasiri mukonago imbiri yake kwamba kama dikalomba kilambo chochose sawa sawa na mapenzi gake, ndedisikiriaga.
\v 15 Na kama dikamanya kwamba wadisikira chochose dimlombaga kwamba dekonacho icho damlomba.
\v 16 Kama mundu ambonaga mbari wake adabonya zambi isabonyaga kufwa, yampasa kulomba na Mlungu amnekaga msanena. Nidededa kwa waja ambawo zambi yawe ni ija isagejaga kufwa -- koko zambi igejaga kufwa -- sidedaga kwamba udapaswa kulomba kwa ajili ya zambi iyo.
\v 17 Uasi gose ni zambi -- ela koko zambi isageja kufwa.
\v 18 Damanya ya kuwa wavalwa na Mlungu ndabonyaga zambi. Bali wavalwa na Mlungu watunzwa naye nicha matuku gose, na uja mwovu ndadimaga kumdhuru.
\v 19 Damanya kuwa isi ni wa Mlungu na damanya kwamba ulimwengu gose gweko ndonyi ya wuzuri gwa uja mwovu.
\v 20 Ela damanya kwamba mwana wa Mlungu wacha na wadipata ujuzi kwamba damanya ye konaloli na kwamba deko ndenyi yake ye eko na loli, hata katika mwanaka Jesu Kristo. Ni Mlungu we loli na mbanana ya milele.
\v 21 Wana wapenzi, jiepushenyi na sanamu.

33
64-2JN.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,33 @@
\id 2JN
\ide UTF-8
\h 2 Yohana 1
\toc1 2 Yohana 1
\toc2 2 Yohana 1
\toc3 2jn
\mt 2 Yohana 1
\c 1
\cl Surav ya 1
\p
\v 1 Kufuma kwa mghosi kugenda enda kwa muka msagulwa na wana wake, ambabo ni bakundie katika loli na si nyi tu. bali na bose baja baichi loli,
\v 2 Kwa sabau ya loli iko ndenyi yedu na ikada matuku mengi pamoja na isi kala na kala.
\v 3 Neema, reema, amani vikaga nasi kufuma kwa Mlungu Aba na kufuma kwa Jesu Kristo, mwana wa Aba, katika loli na lukundo.
\v 4 Naboirwa na nganyi kwamba nagundua baadhi ya bana wagendaga katika loli, kama buja tu andu daibukera amri ihi kufuma kwa Aba.
\v 5 Na idana na kusihi we, muka siyo kwamba nakuandikia amri mbishi, bali ija mkogo nayo tangu kaba kwamba idapaswa kukundana isi kwa isi. Na ugu niyolukundo, gudifaa kugenda kulingana na amri rake.
\v 6 Ihi ndio ija amri, kama andu mwaisihira tangu kala kwamba mdapaswa kugenda katika iyo.
\v 7 Kwakuwa watee bengi basambaa ktika urumwengu, na ndabakiri kwamba Jesu Kristo wachee katika mubi. Uyu niye mtee na mlega Kristo.
\v 8 Kigubenyi inyo beni kwamba nda mlagashaa mambo gaja dameria kugabonyia kazi, lakini ilikwama ndime kuibokera tuzo kambili, msamkaribishe katika nyumba renyina msalamuse.
\v 9 Wowose aendeleae imbiri na hudumu katika ifundisho ja Kristo ndadae Mlungu. Ye adumue katika kifundisha ekonaye Aba na mwana pia.
\v 10 Kama mndu adacha mzenyu na ndadaa ifundisho iji, msamkaribishe katika nyumba renyu na msamalamuse.
\v 11 Kwa kuwa ambalamsaga washiriki katika matendo gake gazamie.
\v 12 Niko nago mambo mengi ga kuvundikia, na sikundie kugaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kucha kwenyu na kudeda kushukwa bushu, kwamba kuboirwa kwedu ipata kubonywa kamili.
\v 13 Wana wa dada wenyu msagulwa wanawalamsa.

35
65-3JN.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,35 @@
\id 3JN
\ide UTF-8
\h 3 Yohana
\toc1 3 Yohana
\toc2 3 Yohana
\toc3 3jn
\mt 3 Yohana
\c 1
\cl Sura ya 1
\p
\v 1 Mgosi wa gayo, nakukunda katika loli.
\v 2 Mkundwa, nakulombia ufanikiwe katika malago gose na uke na binana iboiye, kama wuja ngolo yako andu yafanikiwa.
\v 3 Maana naboiwe putu wakati rigoriwa na wabari wachee na kufanya ushuhuhda igu ya loli yako, kama wuja andu ugendaga katika loli.
\v 4 Siboiwaga zaidi ya iji, kusikira wana wapwa kwamba wadasela katika loli.
\v 5 Mkundwa ugende kwa uaminifu andu uhudumiaga wandu na wageni.
\v 6 Ambawo wafanya ushuhuda gwa lukundo gwako imbiri ya nyumba ya Mlungu. Wabonya nicha kuwadambisha katika kudamba kwa lukundo kwa Mlungu.
\v 7 Kwa ajili ya sababu ya Irina, wagendia bila kuwusa chochose kikumbo kufuma kwa wandu wa masanga.
\v 8 Huwo dakuaandikia kuwarumiria wandu kama awa, ilidike wabonya changu wambawe kwa ajili ya loli.
\v 9 Najiandikie ikusanyiko ilago fulani, lakini Diotrofe, akundie kuka wa kwanza pamoja na wo, ndakubali ane na isi.
\v 10 Huwo nikacha kama nadima kugakumbuka mabonyo gake nyo abonyaga, jinsi anduadega madedo gazamie kinyume na isi. Ndakundie na mabongo aga, ye mweni dawawokerie wandu. Hata kuwa legesha wami ambawo wakudi, kuwawokera awo wandu na kuwawingisa wafume aho ikusanyikonyi.
\v 11 Mkundwa, asaige ji za mie bali iga ilago jimboie uyo abonyaga ga mboie wa Mlungu, nayoabonyaga ga zamie dam wonwga Mlungu.
\v 12 Demetrio wa shuhudiwe ni wose na loli yake, mweni isi pia ni mashahidi, na damanya ushuhuda kwedu ni gwa loli.
\v 13 Ni konago malago mengi ga kumisaidia, lakini sikundi kuandika kwa kalamu na wino.
\v 14 Ila natarajia kukuwona huwu kavui, na dadima dadeka wushu kwa wushu.
\v 15 Amani ike pamoja nawe, wambuya wadakulamsa, walamse wambaya kila umweri kwa inna jake.

57
66-JUD.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,57 @@
\id JUD
\ide UTF-8
\h Yuda
\toc1 Yuda
\toc2 Yuda
\toc3 jud
\mt Yuda
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Yuda mtuma wa Jesu Kristo na mvuna wa Jakobo, kwa vaja ambavo vavangiwe vakundighwi katika Mlungu Aba na mvalelewe kwa ajili ya Jesu Kristo.
\v 2 Rehema na amani na ukundisho vichuriwe kwenyu.
\v 3 Wapenzi, wakati nirikogho nikibonya kila juhudi kuvaandikia inyo kuhusu vughoma ghwedu wose, yalazimishe kuvandikia kwa ajili ya ushauri ili mshindanie kwa uaminifu imani ambayo yarikogho yanekeriwa mara imweri tu kwa vaamini.
\v 4 Kwa kughora vandu fulani vangirie kwa siri kati yenyu vandu ambavo vakumbiwe alamakwa ajili aya hukumu - vandu vaseko vatauwa ambavo vabadili neema ya Mlungu wedu kuka ufisadi na kumkana Mzuri wedu mweni na Jesu Kristo.
\v 5 Idana nakundi kuva kumbusira inyo ingawa kuko wakati mwamanyie kwa loli kwamba Mzuri wameokoa vandu kufuma misri lakini baadae kivaangamiza vaja ambavo ndavaaminie.
\v 6 Na malaika ambavo ndavalindie enzi yavwe veni lakini vasighirie makao ghavwe maalum Mlungu akavavika katika nyororo ya kala na kala ndenyi ya kira kwa ajili ya hukumu siku ija mbaha.
\v 7 Kama vuja sodoma na gomora na masanga gha mbai mbai ambagho pia ghakingiriwe ghei katika uasheti na kunugha tamaa iseka ya asili. Vabonyeriwe kama mifano ya vaja vateseka katika hukumu ya modo ghwa kala na kala.
\v 8 Hali kadhalika kuachia ijayeni valoda ndogo avapia vachafue mivi yavwe na kulegha mamlaka na vadadeda ulongo mbai ya Mtukufu.
\v 9 Lakini na Malaika mbaha Mikael wakekali akilwa na ibilisi na kukivwana naye kwa muvi ghwa Musa nakugheria vuke hukumu ya tee lakini badala yake akadeda akaghora, "Mzuria akukemee."
\v 10 Lakini mndu udumwa mwaridie tee kwa chugha ambacho nda bachiichii Na chunjwa mhakachiichii chujha acmbacho mmanyamandu uhasadia akili kwa silika haghoghamanonia.
\v 11 Ole ghwaiwe mhwaselilie katika njia ya kaini na kunughira ika njoli la Baalam. Wangamie katika nasihwa kora.
\v 12 Hawa ni mighamba katika sherehe nenda vaulaundekesho, buhiakisherekea bila mwaya, bnakiji kijisa vheni. Nimadulu ghaseka na machi wadwalua ni upepo ni midi yaghughudika adhaa matunda ifunyiwe mara havhi ikundwe miri.
\v 13 NImawimbi gha bahari ghakona jhagho ghakinya khwaya ghwame meni. Ninyenyeri ambavo idonyonyora ambavo ni weuchi lu ghwa kira ghavhikwa kwa ajili yanishwe valana kala.
\v 14 Enoko wa dala katika mlolongo wa Adamu wanivikanye kuhusu huwa, akideda. Ghwa Mzuri adacha na waelfu gha luwatakatifu bwake.
\v 15 Ili abonye hukumu kwa kila mundu na kukumbatia haha huwaze kuwa samabamaba Mlungu juu na matendo ghauwe, huwaghabonyie katika njia vahuwe riseko va kitauwa na kwa mdedo ghose gha kubia ambagho maseko na huwasi buwaghadedie imbiri yake.
\v 16 Abwa nihvwanja manung'unikagha, luwakilalamika ambahuwa bluurie taanaa valume huneni ra uovu, walwauagha na ghanyi ambabuwa kwa kwa faida yakwe kuweni, huwakiambie wamwi.
\v 17 Lakini inyo maghoma kumbukenyi aradedo ambawagho ghadedie kala mitume wa Mzuri wedu Jesu Kristo.
\v 18 Huwadedie kwenyu katika wakati gha mwisho inakwaka na luwandu zikali ambaluwa huwanaria tamaa rapuwe riseko va utawa.
\v 19 Wandu akuwa ni watenganishi, hwatawaliwa ni ukundisho ghwa asili na ndahuwadae ngolo, Mtakatifu.
\v 20 Lkini ijwa wapenzi kama mwaghagha mani yenyu watakatifu sana, na kana andumbombiagha katika ngolo Mtakatifu.
\v 21 Kifundisheni katika lukundo kwa Mlungu, na msubiri rehema va Mzuri Jesu Kristo ambayo huwapatiagha mbanana milele.
\v 22 Bonyenyieni rehema kwa vwaijhwa ukekana shaka.
\v 23 Uhatovalenyi whamwi kwa kuvhandaya na donyi, kwa vhamwi bonyenyi mbazi kwa vhovha, mkizamiwana vazi jhakumbighna doa na muvhi.
\v 24 Ighaka kwake adigha kulinda msakikughe na kuhambonya mkekimusi imbiri ghwaitiifu ghwake, bila mawaa na kwa mafurahambaha.
\v 25 Kwake mungu mwemkeri mtesi kuidia Mzuri wedu Jesu Kristo. vhubah akanagha kwake na ndighi kabla ya wakati ghose na igha na hata hala na kala. Amina.

860
67-REV.usfm Normal file
View File

@ -0,0 +1,860 @@
\id REV
\ide UTF-8
\h Ufunuo
\toc1 Ufunuo
\toc2 Ufunuo
\toc3 rev
\mt Ufunuo
\c 1
\cl Sura 1
\p
\v 1 Ughu ni ufunuo gwa Jesu Kristo ambagho Mlungu wamnekie ili kuwabonyiria watumishi wake malagho ambagho lazima ghafumirie kavui. Aghamanyikana kwa huduma malaika wake kwa mtumishi wake Yohana.
\v 2 Yohana wafunyie ushuhuda gwa kila kilambo adiwonie kuhusiana na ilagho ja Mlungu na kwa ushuhuda guwafunyie kuhusu Jesu Kristo.
\v 3 Wabarikiwa ye asomagh kwa sauti na waja wose wasikiragha madedo ga ulodi ugu na kutii cha andikwa aho kwa sababu matuku gha karia avui.
\v 4 Yohana kwa makanisa saba gheko Asia: neema ike kwenyu na amani kufuma kwake weko, warikogo, na kufuma kwa ngolo saba weko imbiri ya kifumbi chake cha enzi.
\v 5 na kufuma kwa Jesu Kristo ambaye ni shahidi mwaminifu, mvalwa wa kwanza wafwie, na Mzuri wa waflme wa dunia ihi. Kwake ye adikundagha na wadiwika huru kufuma katika zambi redu kwa mbaga yake.
\v 6 Wadibonya kuka wa zari, makuhani wa Mlungu na Aba wake. Kwake kuka utukufu na ndighi milele daima Amina.
\v 7 Nguwa, adacha na madulu, kila jimwonaga, pamoja na wose wamdungie. Na mbari rose ra dunia wabonyezagha kwake. Ndio Amina.
\v 8 "Nyi ni Alfa na omega" adeda Mzuri Mlungu, "Ye weko, na warikogho, na ambaye adacha, wekona ndigi."
\v 9 Nyi Yohana - mbari yenyu na umweri anayeshiriki andukumweri na inyo katika mateso na wuzuri na uvumilivu thabiti gako katika Jesu, Na rikogo katika kisiwa chiwangwega patimo kwa sababu ye idedo ja Mlungu na ushuhuda kuhusu Jesu.
\v 10 Narikogho katika ngolo iruwa ja Mzuri. Nikasikira nyuma yapwa sauti ya ighu kama ya tarumbeta.
\v 11 Ikideda, "andika katika kitabu ugawonaga, na ugadume kwa makanisa saba, kugenda Efeso, kugenda Smirna, kugenda pergamo, kugenda Thiatra, kugenda sardi, kugenda Philadelphia, na kugenda Laodikia."
\v 12 Nikaguka kuwona ni sauti yani arikogo akideda nanyi na kuaguka nikawona kinara cha dhahabu cha taa saba.
\v 13 Galigadi ya kinara cha taa warikogo umweri kama mwana wa Adamu, warwa kanzu ndacha ya sea ndonyi ya magu gake, na mkanda gwa dhahabu kuzuluka laga yake.
\v 14 Chogo chake na jiwi rake ririkogo rwa chokwa kama sufu rachokwa kama theluji, na meso gake garikogo kama mwali gwa modo.
\v 15 Mwadio gake garikogho kama shaba ya suguliwa sana. Kama shaba ambayo yameria kuidishigwa katika modo, na sauti yake yarikogo kama sauti ya machimengi gatiririkaga kwa kasi.
\v 16 Warikogho wawadiria nyeri nyeri sabab katika mkonu gwake gwa kujo, na kufuma momunyi kwake kwarikogho na luamba gubirie gokona kubia kawi. Wushu gwake gwarikogo galiela kama mwanga gwa iruwa.
\v 17 Nikamwona, mkangwa mganyi kwake kama mndu wafwa Akawika mkonu gwake gwa kujo igu yapwa na kudeda, usaboe, "Usaboe? Nyi ni wa imbiri na mwisho,
\v 18 na ambaye nidaishi. Narikogo nafwa, ela nguwa, nidaishi milele! Na nekonaro funguo ra mauti na kuzimu.
\v 19 Kwa huwo, gaandike, geko indana, na gaja gafumiriaga baada ya aga.
\v 20 Kwa maana gakimbisa kuhusu nyerinyeri saba wariwona katika mkonu gwapwa gwa kujo, na chija kinara cha dhahabu cha saba: nyerinyeri saba ni malaika waja makanisa saba, na kianara cha saba ni gaja makanisa saba.
\c 2
\cl Sura 2
\p
\v 1 Kwa malaika wa kanisa la Efeso andika: Aga ni madedo ga uja awadaga rija nyenyeri saba katika mkonu gwakegwa kujo. Ye agendaga kati ya vinara va dhahabu va taa saba adeda huwu,"
\v 2 Naichi ambacho wabonya na bidii yako ya chagu na uvumilivu, na wawageria wose wakiwangaga kuwa mlodi na kumbe siwo, na wawonekanaga kuwa ni watee.
\v 3 Naichi okona subira na uvumilivu, na waidia mengi kwa sababu ya irina japwa, na ndokolie bado.
\v 4 Ela iji nijo rikogho dhidi yako, wagusiga lukundo lwake lwa kwanza.
\v 5 Kwa huwo kumbuka wanguia ukatubu na kubonya mabonyo wagabonya tangu imbiri, ukatubu nichaga kwako na kukiija kinara chako kufuma andu kwake.
\v 6 Ela we ukona iji, urea gaja ambago wanikolai wagabonya, ambago hata nyi nageria.
\v 7 Kama akona kudu, sikiria gaja ambago ngolo adedagoria makanisa. Na kwa ye ashindae nimnekaga kibali cha kuja kufuma katika mdi gwa mbanana gwako katika paradiso ya Mlungu.'
\v 8 "Kwa malaika wa kanisa ja smirna andika: 'Aga ni madeddo ga uja ambaye ni mwanzo na mwisho ambae wafie na kwa mbanana:
\v 9 "'Namanya mateso gako na umasikini gwako (ela we ni tajiri), na tee ra waja wakiwangaga ni wayahudi (ela sio-awo ni sinagogi ja shetani).
\v 10 Usaboe mateso ga kupataga. Nguwa ibilisi wakundi kuwadaga baadhi yenyu gerezanyi ili mpate kugeriwa, na mtesekaga kwa maruwa ikumi. Kanyi waaminifu hadi kufwa, na niwaneliaga taji ya banana.
\v 11 Kama okona kudu, sikiria ngolo awagoriaga makanisa. Ye ashindaga apataga madhara ga mauti ya kweli.'
\v 12 "Kwa malaika wa kanisa ja pergamo andika: 'Aga nigo adedaga ye eko nawo ugo luamba hubirie, gokona kubia kawi.
\v 13 "'Namanya andu uishi -andu kuko kifumbi cha enzi cha shetani. Hata huwo we wawada sana irina japwa na ndui kamie imani yako iko kwapwa, hata iruwa jija ja Antipasi shahidi wapwa, mwaminifu wapwa abogiwe miongonyi mwenyu aho niko shetani adaishi.
\v 14 Ela neko na malago matini dhidi yako: akonago uko wandu wawadaga mafundisho ga Baalamu, ye wamfundisha Balaki kuwika vikwazo imbiri ya wana wa Israeli, ili waje vindo vyafumiriagwa sadaka kwa Milungu na kuzini.
\v 15 Katika hali iyo iyo, hata we okonago baadhi yawe wawadaga mafundisho ga Wanikolai.
\v 16 Basi tubu! Na ukasebonya huwo, nacha upesi, na nibonyaga wuda dhidi yawe kwa luemba lufumaga katika lwaka lwaka.
\v 17 Kama okona kudu, sikiria Ngolo awagoriaga makanisa. Ye ashindaye, mneleaga baadhi ya ija mana yambisigwa, pia nimnekaga igwe ja chokwa jaandikwa irina ipya igu ya igwe, irina ambajo ndakundae ajimanyaga isipokuwa ye wajiwokera.'
\v 18 "Kwa malaika wa kanisa ja Thiatira andika: "Aga nigo madedo ga mwana wa Mlungu, ye eko na meso gake kama mwali gwa modo, na mawadio kama shaba yasuguliwa sana:
\v 19 "'Namanya ambacho wabonya - lukundo lwake na imani na huduma na uvumilivu gwake thabiti, na kwamba chija wakibonya huwu kavui ni zaidi ya chija wachibonya imbiri.
\v 20 Ela nekonajo iji dhidi yako: udavumilia mka Yezebeli akiwangaga mweni mlodi mka. Kwa mafundisho gake, adawapotosha watumishi wapwa kuzini na kuja vindo va funyigwa sadaka kwa sanamu.
\v 21 Namneka taimu gwa kutubu, ela ndeko tayari kuubia uovu gwake.
\v 22 Nguwa! nimnekaga kuko kitanda cha maradhi, na waja wabonyaga uasherati na ye kuko mateso gabirie, vingine vyo watubu kwa wachibonya.
\v 23 Niwakabaga wana wake wafwa na makanisa gose wamanyaga kwamba nyi niye achunguzaye mawazo na tamaa. Nimnekaga kila umweri wangu kadiri ya matendo gake.
\v 24 Ela kwa baadhi yenyu mwabakia katika Thiatira, kwa waja wose msawadaga fundisho iji, na msaichi chija ambacho baadhi kuwanga mafundisho ga shetani, na deda kwenyu, siwikaga igu yenyu mzingo gogose.'
\v 25 Kwa ilago jojose, lazima mke imara mpaka andu nichaga.
\v 26 Yeyose ashindaga na kubonya chija nachibonya hadi mwisho, kwake ye nimnekaga mamlaka igu ya mataifa.
\v 27 Wadima watawala kwa chagu cha chuma, kama mabakuliga ndoe, wadima wa wachukanya vipande vipande.
\v 28 Kama andunawokera kufuma kwa Aba wapwa, nimnekaga pia nyeri nyeri ra asubuhi.
\v 29 Ukaka na kudu, sikira chija ambacho Ngolo adagoria makanisa.
\c 3
\cl Sura 3
\p
\v 1 Kwa malaika wa kanisa la sardi andika: madedo ga uja asikiraga rija Ngolo sabab ra Mlungu na nyeri nyeri saba Namanya ambacho wabonya. Okona sifa ra kuka mbanana, ela u-mfu.
\v 2 Wukia na kuimarisha gabakia, ela geko kavui kufwa kwa sababu sigawonie mabonyo gake gakamilika mesonyi kwa Mlungu wapwa.
\v 3 Kwa huwo, kumbuka, gaja wagawokera na kusikira. Gatii na kutubu, ela ukasawekia, nichaga kama muvi, na ndumanyaga saa ijayo ni chaga igu yako.
\v 4 Ela koko marina matini ga wandu katika sardi ambago ndawachafuye nguwo rawe. Wasalega anduku amweri nanyi, warwa nguwo rachokwa, kwa sababu wastahili.
\v 5 Ye ashindaga arushigwaga mavazi gachokwa, na kamwe sjifutaga irina jake kufuma katika kitabu chambanana, na mijitajaga irina jake imbiri ya Aba wapwa, na imbiri malaika.
\v 6 Ukaka na kudu, sikiria Ngolo agoriaga makanisa.
\v 7 "Kwa malaika wa kanisa la Philadefia andika: madedo ga eko matakatifu na loli - eko na funguo ra Daudi, wafunguaga na ndamkundaa afunguaga, wafungaga na ndamkondaye adimaga kufungua.
\v 8 Namanya ambacho wabonya. Nguwe na kuwikia imbiri yako mlango gwafunguliwa ambao ndakundae adimaga kugufanya. Namanya okonaro ndigi kidogo, ela watii madedo gapwa na ndujilegie irina japwa.
\v 9 Nguwa wose weko wa sinagogi ja shetani, waja wadedaga wo ni wayahudi na kumbe siwo, badala yake wadaembia. Niwabonyaga wache na kusujudu imbiri ya magu gako, na wamanyaga ya kuwa nakukunda.
\v 10 Kwa kuwa watunza amri yapwa kwa uvumilivu gwa uthabiti, nadima nakulinda pia katika saa ya kugeriwa ambayo idacha katika urimwengu gose, kuwageria waja wose wakaiga katika isanga.
\v 11 Nacha upesi. Wadiria sana chija wekonacho ili asake mndu wa kuiwusa taji yako.
\v 12 Nimbonyaga ye ashindaga kuka nguzo katika hekalu ja Mlungu wapwa, na ndafumaga shigadi kamwe. Nijiandikaga kwake irina ja Mlungu wapwa, irina ja mzi wa Mlungu wapwa (Yerusalemu mpya, guseaga ndonyi kufuma mbingunyi kwa Mlungu wapwa) na irina japwa ipya.
\v 13 Ye eko na kudu, na asikire ambacho Ngolo adadeda kwa makanisa.'
\v 14 "Kwa malaika wa kanisa ja laodikia andika: madedo gake eko Amina, wakutegemewa na shahidi mwaminifu Mzuri igu ya uumbaji gwa Mlungu.
\v 15 Namanya ambacho wabonya, na kwamba we si baridi wala modo, natamani kwamba wakaga wabaridi au modo!
\v 16 Huwo kwa sababu we ni vuguvugu, sio modo wala baridi nikudaikaga ufume lwakenyi kwapwa.
\v 17 Kwa kuwa wadeda, "Nyi ni tajiri, naka na mali nyingi na sihitaji chochose." Ela nduichikwamba we ni duni sana, wakuhuzunikiwa, maskini, kipofu na utu.
\v 18 Sikiria ushauri kwapwa: Nguwa kwapwa dhahabu yasifisigwa kwa modo ili upatekuka tajiri, na nguwo rachokwa ra kumetameta ili ukirushe mweni na usabonyere waya gwa utu gwako, na mavuda ga kuvia katika meso gako upate kuwona.
\v 19 Kila ni mkundaga, namuelekeza na kuwafundisha namna iwapasavyo kuishi; kwa huwo, kuka mloli na kutubu.
\v 20 Nguwa nasimama katika malengo na kubisha. Yoyose asikanaga sauti yapwa na kufungua malago, nichaga na kungia nyumbenyi kwake, na kuja vindo naye na ye pamojananyi.
\v 21 Ye ashidaga, nimnekaga haki ya kukaia ndonyi pamoja nanyi igu ya kifumbi chapwa chaenzi, kama waja nyi nashindana kukaia ndonyi andu amweri na Aba wapwa igu ya kifumbi chake caha enzi.
\v 22 Ye eko na kudu, na asikirie ambacho Ngolo agorie makanisa.
\c 4
\cl Sura 4
\p
\v 1 Baada ya malago ni kanguwa, nikawona kuwa malago gwafunguliwa mlungunyi. ija sauti imbiri, ikadeda nanyi kama tarumbeta, ikideda, "choo aha, nikubonyereaga gafamiriaga baada ya malago aga."
\v 2 Mara imweri narikogo katika ngolo, nikawona kwarikogo na kifumbi cha enzi chawikigwa mlungunyi, na mndu wa chikaria.
\v 3 Umweri warikogo waachikaria wawonekane kama igwe yaspi na akiki. Kwarikogo na upinde gwa mvua gwa chizunguluka kifumbi cha enzi. Upinde gwa mvua gwawonekana kama zamaradi.
\v 4 Kukizunguluka kifumbi cha enzi kwarikogo na vifumbi va enzi vimwi ishirini na vinna, na wakaia kwenye vifumbi va enzi warikogo wazee ishirini na vinne, warwa nguwo rachoka na taji ra dhahabu vingonyimwawe.
\v 5 Kufuma katika kifumbi cha enzi kwafumie miali yaradi mungurumo na radi. Taa saba rarikogo rikiwaka imbiri ya kifumbi, taaambaro ni ngolo saba ra Mlungu.
\v 6 Sena imbiri ya kifumbi cha enzi warikogho na bahari, irikogo mwari kama kiloowose kuzunguluka kifumbi cha kwarikogo na wekona mbanana banana, wachua meso imbiri na nyuma.
\v 7 Kiumbe wa kwanza wekona mbanana warikogo kama shimba, kiumbe wa kawi okona mbanan hokona kama ndama kiumbe wa kadadu okona mbanana okona na wushu kama gwa mwanadamu, na uja okona mbanan wa kana okona tai amburukaga.
\v 8 Viumbe wekona mbanana bana kila amweri warikogo na mawawa sita, wachua meso igu na ndonyi yake. Kiona dime ndawasigaga kudeda. "Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu ni Mzuri Mlungu, mtawala igu na ya wose, warikogo na weko na wadime wacha."
\v 9 Kila wakati viumbe wekona mbanana wakifunya utukufu, heshima, na kushukuru imbiri ra weko wakaria andu icho kifumbi cha enzi, ya aishie milele na daima.
\v 10 Wazee ishirini na bana wakisujudu weni imbiri yake wachikaria kifumbi cha enzi, wakigogoma ndonyi kwake aishiye milele na daima na kudega ndonyi taji rawo imbiri ya kifumbi cha enzi wakideda,
\v 11 Wastahili we Mzuri wedu na Mlungu wedu, kuwokera Utukufu na heshima na ndigi, kwa kuka waviumba vilambo vose, na kwa mapenzi gako, varikogo na vaumbigwa."
\c 5
\cl Sura 5
\p
\v 1 Kisha nikawona katika mkonu gwa kujo gwa uja weko waka katika kifumbi cha enzi, gombo jaandikwa imbiri na nyuma, na jarikogo ja kuumbwa mihuri saba
\v 2 Nikawona malaika wekona ndigi akihubiri kwa sauti mbaha "Nami astahiliye kujifungua gombo na kuchikunya mihuri yake?"
\v 3 Ndakudae mndu mlungunyi au dunienyi au ndonyi ya dunia wadima kujifungua gombo au kujisoma.
\v 4 Nikalila kwa virea kwa kuka ndakupatikana yeyose wastahili kujifungua gombo au kujisoma.
\v 5 Ela umweri wa wazee akamgoria "Usalile. Kuwashimba wa mbari ya Yuda, shina ja Daudi washindana wadima kujifungua gombo na mihuri yake saba."
\v 6 Kati ya kifumbi cha enzi na wekona mbanana bana na miongonyi mwa wazee, ni kawona mwana ng'ondi wasimama, akiwonekana kama wa bwaga. Warikogo na chuembe saba na meso saba - iri ni ngolo saba ra Mlungu radumwa dunienyi kose.
\v 7 Akagenda akajiwusa gombo kufuma katika mkonu gwa kujo gwa uja eko waka katika kifumbi cha enzi.
\v 8 Akijiwusa gombo, wekona mbanan bana wazee ishirini na bana wakigogoma hadi ndonyi imbiri ya, mwanang'ondi. Kila umweri wekona na kinubi na ibakuli ja dhahabu jachua uvumba ambago ni malombi ga waamini.
\v 9 Wakibora chumbo mpya: "Unastahili kulitwaa gombo na kunifungua muhuri rake, kwa kuwa ulichinjwa, na kwa mbaga yako ukamnugulia Mlungu wedu wa kila mbari, lugha, jamaa na isanga.
\v 10 Ukawabonya wazuri na makuhani kwa ajili ya kumtumikia Mlungu wedu, awo watawalaga igu ya isanga."
\v 11 Kisha nikaguwa na mkasikira sauti ya malaika wengi kuzunguluka kifumbi cha enzi - idadi yawe 200,000,000 na wekona mbanana na wazee.
\v 12 Wadeda kwa sauti mbaha, "Astahili mwana ng'ondi ambae wachinjwa kuwokera uwezo, utajiri, hekima, ndigi, heshima, utukufu, na sifa.
\v 13 Nikasikira kila chaumbigwa cheko mlungunyi na dunienyi na ndonyi ya isanga na igu ya bahari. Kilambo ndenyi yake kikideda, "Kwake sifa, heshima, utukufu, na ndigi ya kutawala milele."
\v 14 Wekona mbanana bana wakadeda, "Amina!" na wazee wakagogoma ndonyi na kuabudu.
\c 6
\cl Sura 6
\p
\v 1 Nikanguwa wakati mwana ng'ondi akifungua moja ya rija muhuri saba, ni kasikira umweri wa waja wekona mbanana bana akadeda kwa sauti ikifwanana na radi, "choo!"
\v 2 Nikanguwa na kwarikogo na farasi wachokwa! wajokwa wekona bakuli, na akanekewa taji. Akafuma kama mshindi ashindae ili ashinde.
\v 3 Wakati mwana ng'ondi akafungua mhuri gwa kawi, nikasikira wekona mbanana wa kawi akideda, "choo!"
\v 4 Kisha farasi umwi akafumiria - atinikie kama modo. Wamjoka wanekwa ruhusa ya kufunya amani dunienyi, ili kwamba wadu wachinjane. Uyu wa mjoka wanekwa luamba mbaha.
\v 5 Wakati mwana ng'ondi akifungua guja muhuri gwa kadadu, mkasikira wekona mbanana wa dadu akideda, "Choo!" Nikawona farasi wa chilu, nawamjoka akona mizani mkonunyi kwake.
\v 6 Nikasikira sauti ikiwonekana kuka ya umweri wa waja wekona mbanana ikideda, "Kibaba cha ngano kwa dinari imweri na vibaba vidadu va shajiri kwa dinari imweri. Ela asagadhuru mavuda na divai."
\v 7 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri gwa kana, ni nikasikira sauti ya wekona mbanana wa kana akideda, "Choo!"
\v 8 Kisha nikawona farasi wa kijivu. Wamjoka wawangwaga irina jake mauti, na kuzimu kwarikogo kukimnuga. wanekwa mamlaka igu ya robo ya isanga, kubwaga kwa luamba kwa jala na wakongo, na kwa wanyamandu wa mwitu katika isanga.
\v 9 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri gwa kasanu, nikawona ndonyi ya madhabahu ngolo ra waja wakogo wabwagwa kwa sababu idedo ja Mlungu na kutokana na ushuhuda waguwada kwa uthabiti.
\v 10 Wakalila kwa sauti mbaha, "Mpakali, mtawala wa vose, mtakatifu na mloli, wadima wahukumu wakaga ugu ya isanga na kulipiza kisasi mbaga yedu?"
\v 11 Kisha kila umweri akanekwa kanzu ya chokwa na wakagoriwa kuwa wadapaswa kuweseria kidogo hata anduitimiaga kiwaka hesabu kamili ya watumishi wambawe na mbari rawe ra kiwaka nara kiwomi andu itimiaga ambawo wabwagaga, kama wuja ambavyo awo wabwaga.
\v 12 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri gwa sita, nikaguwa na kwarikogo na tetemeko ibaha. Iruwa jikaka ja chilu kama ingunia ja singa, na mweri mlazi gukaka kama mbaga.
\v 13 Nyeri nyeri ra mlungunyi rikagwa katika isanga, kama mtinyi upukutishavyo matunda gake ga wakati gwa mbeo, gukitikiswa na kimbunga.
\v 14 Anga jikafuma kama gombo iliyovirngishwa. Kila lugongo na kisiwa vikahamishwa andu kwake.
\v 15 Kisha wazuri wa isanga na wandu maarufu na majemedari, wekona ndigi, na kila umweri weko mtumwa na huru, wake kimbisa katika mapango na katika miamba ya chugongo.
\v 16 Wakidedia chugungo na miamba, "Dinguiyenyi! Dimbisenyi dhidi ya wushu gwake akaga andu kifumbi cha enzi na kufuma kirea cha mwana ng'ondi.
\v 17 Kwa kuka iruwa ja siku ya ghadhabu yawe yawechia, na ni uyao adimaga kusimama?
\c 7
\cl Sura 7
\p
\v 1 Baada ya ga nikawona malaika bana wasimama koko kona ina ra dunia, wazuia mbeo inara isanga kwa ndigi ili kwamba kusake na mbeo ivumaga katika isanga, igu ya bahari au dhidi ya mdi gogose.
\v 2 Nikawona malaika umwi akicha kufuma mashariki, arikogo na muhuri gwa Mlungu eko mbanana. Akalila kwa sauti mbaha kwa malaika bana ambawo wanekiwe ruhusa ya kudhuru isanga na bahari:
\v 3 "Msadhuru isanga, bahari au mdi mpaka anduikaga dameria kuwika muhuri katika paji ra vingo va watumishi wa Mlungu wedu."
\v 4 Nikasikira idadi ya waja wakugwa muhuri 144,000, ambawo wakubwa muhuri kufuma kila mbari ya wandu wa Israeli.
\v 5 12,000 kufuma katika mbari ya Yuda wakubwa muhuri 12,000 kufuma katika mbari ya Rubeni, 12,000 kufuma katika mbari ya Gadi.
\v 6 12,000 kufuma katika mbari ya Asheri, 12,000 kufuma katika mbari ya Naftali 12,000 kufuma katika mbari ya manase.
\v 7 12,000 kufuma mbari ya simoni, 12,000 kufuma mbari ya kawi, 12,000 kufuma mbari mbari ya isakari,
\v 8 12,000 kufuma mbari ya Zebuloni, 12,000 kufuma mbari ya Yusufu, na 12,000 kufuma mbari ya Benyamini wakumbwa muhuri.
\v 9 Baada ya malago aga nikanguwa, na kwarikogo na umati mbaha ambago ndakudae mndu wadima katadigwa - kufuma kila isanga, mbari, jamaa, luga - wasimama imbiri ya kifumbi cha enzi na imbiri ja mwana ng'ondi. Warikogo warwa kanzu achokwa na wokona matawi ga mitende mikonunyi kwawe,
\v 10 na warikogo wakiwanga kwa sauti ya igu "Wokovu ni Mlungu ambaye waka katika kifumbi cha enzi, na kwa mwana ng'ondi!"
\v 11 Malaika wose warikogo wasimama kuzunguluka kifumbi cha enzi na kuwazunguluka waja wazee andukuamweri na wekona mbanana bana, wakigogoma ndonyi ndeonyi na wakiwika wushu rawe igu ya ndoe imbiri ya kifumbi cha enzi na wakimwabudu Mlungu,
\v 12 Wakideda, "Amina! utukufu, hekima shukurani, heshima, uwezo na ndigi vike kwa Mlungu wedu milele na milele Amina!
\v 13 Kisha umweri wa waja wazee akanikotia, "awa ni wakani warwa kanzu rachokwa na wafuma hao?
\v 14 Nikamgoria, "Mzuri mbaha, waichi we," na akamgoria, "awa ni waja wafuma katika dhiki mbaha. Warifala kanzu rawe na kuribonya rachokwa kwa mbaga ya mwana ng'ondi.
\v 15 Kwa sababu ihi, weko imbiri ya kifumbi cha enzi cha Mlungu, na wanamwabudu ye kio na dima katika hekalu jake. Ye waka igu ya kifumbi cha enzi asambazaga hema yake igu yawe.
\v 16 Ndawawonaga njala sena, wala kau sena. Iruwa ndijiwakoraga, wala joto ja kukora.
\v 17 Kwa kuwa mwana ng'ondi eko gadigadi ya kifumbi cha enzi akaga mlisha wawe, na adima waongoza katika chem chem ya machi ga mbanana, na Mlungu ainjaha kila mbori katika meso gawe."
\c 8
\cl Sura 8
\p
\v 1 Wakati mwana ng'ondi akifungua muhuri ya saba kuka na ukimya mlungunyi takribani nusu saa.
\v 2 Kisha nikawona malaika saba wasimama imbiri ya Mlungu na wakanekwa tarumbeta saba.
\v 3 Malaika umwi akcha wawadiria bakadu ya dhahabu yekona uvumba, wasimama madhabahunyi. Akanekwa uvumba mwingi ili kwamba agufunye pamoja na malombi ga waamini wose katika madhabahu imbiri ya kifumbi cha enzi.
\v 4 Mosi gwa guja uvumba achukumweri na malombi ga waamini gakajoka igu imbiri ya mlungu kufuma mkonunyi mwa malaika.
\v 5 Malaika akawusa bakuli ja uvumba na akajichura modo kufuma kuko madhabahu. kisha akajidaga ndonyi igu ya isanga, na kukafumiria sauti ra radi, miale ya radi na tetemeko ja isanga.
\v 6 Waja malaika saba ambawo warikogo na tarumbeta saba wakaka tayari kurikaba.
\v 7 Malaika wa kwanza akaikaba tarumbeta yake, na kukafumiria mvua ya magwe na modo gwachanganyikana na mbaga. vikadagwa ndonyi katika isanga ili kwamba theluthi yake iye, theluthi ya midi ikaya na nyasi rose ra kijani rikaya.
\v 8 Malaika wa kawi akakaba tarumbeta yake, na kilambo kama lugongo mbaha gwarikogo gudya kwa modo gukadagwa baharinyi. Theluthi ya bahari ikaka mbaga,
\v 9 Theluthi ya viumbe mbanana katika bahari vikafwa, na theluthi ya mdi rikanoneka.
\v 10 Malaika wa kadadu akaikaba tarumbeta yake, na nyeri nyeri mbaha ikangwa kufuma mlungunyi, ikimulika kama kurunzi, igu ya theluthi ya mieda na chem chem ra machi.
\v 11 Irina ja nyeri nyeri ni pakanga. Theluthi ya machi ikaka pakanga, na wandu wengi wakafwa kutokana na machi garikogo gabirie.
\v 12 Malaika wa kana akakaba tarumbeta yake, na theluthi ya iruwa ikakabwa, anduku amweri na theluthi ya mweri na theluthi ya nyeri nyeri. Kwa huwo theluthi yavose ikaguka kuka kira, theluthi ya dima na theluthi ya kio ndavikea na mwanga.
\v 13 Nikanguwa na nikasikira tai eko kuwa adamburuka katika anga, akiwanga kwasauti mbaha, "Ole, ole, ole kwa waja wakaga katika isanga, kwa sababu ya mlipuko gwa tarumbeta ili ilio saidia ambayo yeko wakikukaba nawika wadadu.
\c 9
\cl Sura 9
\p
\v 1 Kisha malaika wa kasanu akakaba tarumbeta yake. Nikawona nyeri nyeri kufuma mlungunyi irikogo yangwa koko isanga. Nyeri nyeri akanekwa ufunguo gwa ishimo jalekeaga kuko ishimo jaseko na mwisho.
\v 2 Angafungua ishimo jiseko na kikomo, namosi guka joka igu kwa safu kufuma ndenyi ya ishimo kama mosi kufuma katika tanuru mbaha. Iruwa na anga vikabatilika vikaka kira kwa sababu ya mosi gwafuma ishimonyi.
\v 3 Ndonyi ya mosi nzige wakafuma kucha igu yaduma, nawo wanekwa ndigi kama ija ya nge igu dunia.
\v 4 Wakagoriwa kutodhuru manyasi katika isanga au mmea gogose gwa kijani au mdi, isipokuwa tu wandu ambawo ndawakogo na muhuri gwa Mlungu katika paji ra wushu rawe.
\v 5 Ndawanekiwe ruhusa ya kwabwaga awo wandu, bali kuwatesa tu kwa miezi misanu. Uchungu gwawe gwarikogo kama guja gwa kulumwa na nge amlumaga mndu.
\v 6 Katika maruwa ago wandu walolaga kufwa, ela ndawapataga. Wadima watamari kufwa, ela kufwa kwadima kwa wakimbia.
\v 7 Nzige wafwanana na farasi waandaliwa kwa wuda. Kuko vongo vawe kurikogo na kilambo kama taji ya dhahabu na wushu gwawe gwarikogo kama gwa binadamu.
\v 8 Warikogo na nywi kama ra waka na magego gwa garikogo kama shimba.
\v 9 Warikogo na laga kama lag ra chuma na sauti ya mwawa gawe garikogo kama sauti ya mangari mengi ga wuda na farasi wakimbiaga kugenda wudenyi.
\v 10 Warikogo na mierezi ikomaga kama nge katika mirenzi yawe warikogo na ndigi ya kudhuru wandu kwa mieri isanu.
\v 11 Warikogo naye kama Mzuri igu yawe malaika wa ishimo jiseko na mwisho. Irina jake katika kiebrania ni Abadoni, na katika kiyunani au irina Apolioni.
\v 12 Ole ya imbiri yaida. Nguwa! Baada ya iji koku maafa awi gadecha.
\v 13 Malaika wa sita akakba tarumbeta yake, na nikasikira sauti ikifuma katika pembe ya madhabahu ambayo yeko imbiri ya Mlungu.
\v 14 Sauti ikamgoria malaika wa sita akona tarumbeta "Wasigirie malaika bana ambawo wafungwa katika mweda mbaha Efrata."
\v 15 Malaika waja bana warikogo waandaliwa kwa saa iyo maalumu, iruma iyo, na mwaka ugo, wakasigwa wabwagwe theluthi ya wanadamu.
\v 16 Idadi ya maaskari warikogo igu ya farasi yarikogo 200,000,000. Nasikira idadi yawe.
\v 17 Huwu niko niwonie farasi katika maono gapwa na waja wajokie igu yawe. Laga rawe rarikogo ritinikie kama modo, bluu yawirwa na njano isawirunye. Vongo va farasi vifwanana na vongo va shimba na momu gwwe gukafuma modo, mosi na salfa.
\v 18 Theluthi ya wanadamu wabwagiwe na aga mapigo adadu: modo, mosi, na salfa ifumie katika momu yawe.
\v 19 Kwa kuwa ndigi ya farasi yarikogo katika momu yawe na katika mierezi yawe -- kwa kuwa mierezi yawe yarikogo kama choka, na warikogo na vongo ambavyo watumie kuwakumba majeraha wanadamu.
\v 20 Wandu wabaki, waja ambawo warikogo ndawaisire bwagwa na mapigo aga, ndawatubuye matendo gawe warikogo wabonya, wala ndawasigie kuabudu mapepo na Mlungu ya dhahabu, fedha, shaba, magwe na midi -- Vilambo ambavyo ndevidimikanaga kuwona, kusikira au kusela.
\v 21 Wala ndawatubuye kubwaga kwawe, wusuwasi gwawe, uasherati gwawe au chia rawe ra kuiwa.
\c 10
\cl Sura 10
\p
\v 1 Kisha nikawona malaika umwi mbaha akisea ndonyi kufuma mlungunyi. Warikogo wafungwa katika indulu, na kwarikogo na upinde gwa mvua igu ya chongo cheka wushu gwake gwerikogo kama iruwa na magu gake garikogo kama nguro ra modo.
\v 2 Wawadiria gombo itini katika mkonu gwake gwarikogo gwawikwa mwari, naye wawika kugu kwake kwa kujo igu ya bahari na kugu kwake kwa kumosho igu ya isanga jiomie.
\v 3 Kisha akapaza sauti ya igu kama shimba aungurumaga, nawakati akipaza sauti radi saba rikanguruma.
\v 4 Wakati radi saba rikiunguruma, narikogo nako avui kuandika ela nikasikira sauti kufuma mlungunyi ikideda, "Tunza ikesiri chija ambacho radi saba nikideda. Usaandike."
\v 5 Kisha malaika nimwonie wasimama igu ya bahari na isanga jiomie, akawusira mkonu gwake igu mlungunyi.
\v 6 na kuapa kwa ija aishie milele na milele -- waumba mbingu na vose viko, dunienyi na vose viko, na bahari na vose viko: Ndakundae kuchelewa sena.
\v 7 Ela katika iruwa jija, wakati malaika wa saba akaka avui kukaba tarumbeta yake, ndipo siri ya Mlungu ikaja yatimizwa kama andu watangaza kwa watumishi wake walodi."
\v 8 Sauti naisikira kufuma mlungunyi nikigoria sena: "Genda, wusa gombo ndiri jawakwa mwari ambajo jeko katika mkonu gwa malaika wasimama igu ya bahari na igu ya isanga jiomie."
\v 9 Kisha nikaganda kwa malaika na kumgoria anineke gombo ndini. Akamgoria, "wusa gombo na uje. Jikubonyaga kifu chako chike na kubia, ela katika momugwako gukaga kusinga kama asali."
\v 10 Nikawusa gombo ndini kufuma mkonunyi mwa malaika na kulila. Jarikogo kusinga kama asali katika momu gwapwa, ela baada ya kuja, kifu chapwa charikogo na kubia.
\v 11 Kisha baadhi ya sauti rikamigoria, "Udapaswa kudapaswa sena kuhusu wandu wengi mataifa, lugha na wazuri.
\c 11
\cl Sura 11
\p
\v 1 Ninekiwe mweri gwa kutumia kama changu cha kupia. Nikagoriwa, "Inga na ugende pima hekalu ja Mlungu na madhabahu, na waja waabudu ndenyi yake.
\v 2 Ela asapime iyenzo ja ua gwa shigadi ya hekalu, kwakuwa wanekwa wandu wa mataifa. Waguwa digamzi mtakatifu kwa muda gwa mieri orobaini na iwi.
\v 3 Niwanekaga mashahidi wapwa wawi mamlaka ya kutabiri kwa muda gwa maruwa 1,260, wakika warwa mkugumia.
\v 4 Awa mashahidi ni midi iwi ya mizeituni na vinera viwi ambavo va simama imbiri ya wana wa dunia.
\v 5 Kama mndu yeyose akaamua kuwadhuru, modo gufumaga momunyi kwawe na kuwadhuru adui rawe. Yeyose akundi kuwadhuru ela abwagwe kwa chia ihi.
\v 6 Awa mashahidi wekona uwezo gwa kufunga anga ili kwamba mvua isanye wakati wadatasiri. Wekona ndigi ya kubadili machi kuka mbaga na kuikaba isanga kwa ahija aina ya kipigo wakati gogose waka kunda.
\v 7 Wakati wakaka wamaria ushuhuda gwawe, uja mnyamandu afumaga kuko ishimo jiseko na mwisho abonyaga wada dhidi yawe. Awashindaga na kuwabwaga.
\v 8 Miwi yawe ilalaga katika mtaa gwa mzi mbaha (ambago kimfano gwa wangwaga sodoma na Misri) ambapo Mzuri wawe wasulubiwa.
\v 9 Kwa siku idadu na nusu baadhi kufuma katika jama ra wandu, mbari, luga na kila isanga wanguwaga miwi yawe na ndawafunyaga kibali kwikwa katika kaburi.
\v 10 Waja wakaga katika isanga wamboriwagwa kwa ajili ya we na kushangilia, hata kudumuana zawadi kwa sababu awo walodi wawi wawatasa waja wakaga katika isanga.
\v 11 Ela baada ya siku idadu na nusu pumzi ya mbanana kufuma kwa Mlungu ikawangia nawo wakesimama kwa magu gawe. Hofu mbaha ikawanguya waja wawa wonga.
\v 12 Kisha wakasikira sauti mbaha kufuma mlungunyi ikiwagoria, "chonyi kunu" Nawo wakagenda igu mlungunyi katika indulu, wakati adui rawe wakinguwa.
\v 13 Katika saa iyo kukaga na tetemeko ibaha ja ndoe na imweri ya ikumi ya mzi ingwagwa. Wandu elfu saba wabwaga katika tetemeko na wasabakiaga mbanana waboshigwaga na kumneka utukufu Mlungu wa mlungunyi.
\v 14 Ole ya kawi ikaida. Nguwa! ole ya kadadu idacha upesi.
\v 15 Kisha malaika wa saba akakaba tarumbeta yake, na sauti mbaha ikadeda mlungunyi na kugora, "Ufalme gwa dunia gwake ufalme gwa Mzuri wedu na gwa Kristo wake. Atawalaga milele na milele."
\v 16 Kisha wazee ishirini na bana warikogo waka. Kifumbi cha enzi imbiri ya Mlungu wanganye wani ndonyi kuko ndoe, wushu gwawe ragogoma ndonyi, nawo wada mwabudu Mlungu.
\v 17 Wadadeda, warikogo, kwa sababu watwaa ndigi yako mbaha na kwanza kutawala.
\v 18 Mataifa wakerea, ela gadhabu yako idacha. Wakati gwafika wafu kuhukumiwa na we kuzawadiwa watumishi wako walodi, waamini na waja weko na hofu ya irina. Na wakati gwako gwafika gwa kuwanona waja ambawo waka wakonona dinia."
\v 19 Kisha hekalu ja Mlungu mlungunyi jikawikwa mweri na isanduku ja agano ni miali ya mwanga, jongo, ngurumo ra radi, tetemeko ja ndoe na magwe ga mvua.
\c 12
\cl Sura 12
\p
\v 1 Ishara mbaha ikawonekana mlungunyi: Mka wafanikiwa na iruwa, na akika na mweri ndonyi ya magu gake; na taji ya nyeri nyeri ikumi na iwi rarikogo igu ya chogo chake.
\v 2 Warikogo na inde na warikogo adelila kwa ajili ya maumivu gwa kuva--katikia uchungu gwa kukifungua.
\v 3 Na ishara rimwi rikawonekana mlungunyi: Nguwa! kwarikogo na choka atimikie mbaha ambaye warikogo na vongo saba na chuembe ikumi, na kwerikogo na taji saba kuko vongo vahe.
\v 4 Mrezi gwake gukakokota theluthi imweri ya nyeri nyeri mlungunyi na kuridaga ndonyi dunienyi. Choka akasimama imbiri ya mka akogo kavui kuva, ili kwamba wakati adava, apate kummila mwema wake.
\v 5 Akamva mwana, mwana wa kiwomi ambaye wadima watawala masanga gose kwa changu cha chuma. Mwana wake akanyakuliwa igu kkwka Mlungu na kuko kifumbi chake cha enzi,
\v 6 na mka akikimbia kireti, andu ambapo Mlungu warikogo waandaa iyeneo kwa ajili yake, ili adime kuhudumiwa kwa siku 1,260.
\v 7 Sasa kwarikogo na wuda mlungunyi. Mikaeli na malaika wake wakakabana na uja; naye choka mbaha na malaika wake wakakabana nawo.
\v 8 Ela choka ndakogo na ndigi kutosha kushinda. Kwa huwo ndakurikogo sena nafasi mlungunyi kwa ajili yaake na malaika wake.
\v 9 Choka mbaha, uja choka wa kala awangwaga ibilisi au shetani ambaye waembiaga - dunia yose akadegwa ndonyi pamoja naye.
\v 10 Kisha nikasikira sauti mbaha kufuma mlungunyi. "Sasa wokovu gwacha, ndigi--na ufalme gwa Mlungu wedu, na mamlaka ga Kristo wake. Kwa kuka mshitekiwa mbari redu wadagwa ndonyi--ambaye washiteki imbiri ra Mlungu wedu dime na kio.
\v 11 Wakamshinda kwa mbaga ya mwanang'ondi na kwa ilago ja ushuhuda gwawe, kwa maana ndawakundie sana maisha gawe, hata kufwa.
\v 12 Kwa huwo, shangilienyi, inyo mlungunyi, na wose mkaga ndenyi yake. Ela ole wa isanga na bahari kwa sababu mwovu wasea kwenyu. Wachua na kirea chibirie, kwa sababu waichi kwamba okona muda mtini tu.
\v 13 Wakati choka akimanya kuwa wadegwa ndonyi kuko isanga, akamnuga mka ambaye warikogo wava mwana wa kiwomi.
\v 14 Ela mka wanikiwe mawawa awi ga tai mbaha, ili kwamba adime kumburuka hadi kuko eneo jaandaliwa kwa ajili yake kuja jangwenyi, eneo ambajo angedima kutunzwa, kwa wakati, nyakati na nusu wakati-andu asadimaga kukufika uyochoka.
\v 15 Choka akdia machi kufuma momunyi kwake kama mweda, ili abonye gharika ya kumgarikisha.
\v 16 Ela ndoe ikasaidia mka. Ikafuma momu gwake na mweda gukachuya choka kufuma momunyi kwake.
\v 17 Kisha choka akameria mka naye akainga na kubonya wuda na wavalwa wake--waja wekona kutii amri ra Mlungu na kuwadiria ushuhuda kuhusu Jesu.
\v 18 Kisha chaoka akasimama igu ya ndoe ufalme gwa bahari.
\c 13
\cl Sura 13
\p
\v 1 Kisha nikamwona mnyamandu akifuma kuko bahari. Warikogo na chuembe na vongo saba. Katika chuembe rake kwarikogo na taji ikumi, na chongo chake kwerikogo na madedo ga kufuru kwa Mlungu.
\v 2 Uyu mnyamandu nikamwona ni kama chui. Magu gake garikogo kama ga dubu, na momu gwake gwarikogo kama gwa shimba. Uja choka akamneka ndigi, na katika kifumbi chake cha enzi, na mamlaka gekona ndigi sana ya kutawala.
\v 3 Chongo cha mnyamandu mmojawapo kwawonekane koko na jeraha mbaha ambajo jingesababisha mauti gake. Ela ni jeraha jake jikamboa, na dunia yose ikashangazwa na ikamnuga mnyamandu.
\v 4 Pia wakamwabudu choka, maana wanekwa mamlaka uja mnyamandu. Wakamwabudu mnyamandu pia, na wakaendelee kudula, "Nani kama mnyamandu? na nani akabanaga na ye?"
\v 5 Mnyamandu akanekwa momu ili adede madedo ga kukisifu na matusi. Akaruhusiwa kuka na mamlaka kwa mieri orobaini na iwi.
\v 6 Huwo mnyamandu akafungua momu gwake kudeda matusi dhidi ya Mlungu, akajianyira irina jake, eneojirikogo akiishi na waja waishi mlungunyi.
\v 7 Mnyamandu akaruhusiwa kubonya wuda na waamini na kuwashinda. Pia akanekwa mamlaka igu ya kila mbari, wandu, lugha na isanga.
\v 8 Wose wakaga dunienyi wamuabudu ye, kila umweri ambaye irina jake ndajiandikwa, kufuma uumbaji gwa dunia, katika kitabu cha mbanana, ambacho ni cha mwana ng'ondi, ambae wachinjiwa.
\v 9 Ikaka yeyose okona kudu, na asigire.
\v 10 Ikaka umweri wakawusigwa mataka, na kukomateka akagenda. Ikaka umweri wapo akaswaga kwa luamba kwa luamba abwagwaga. Uhu ni mwito gwa utulivu na uvumilivu na imani kwaawo weko watakatifu.
\v 11 Sena nikawona mnyamandu umwi adeda kufuma katika isanga. Warikogo okona luembe iwi kama ng'ondi na akadeda kama choka.
\v 12 Akabonyera mamlaka gose katika mnyamandu uja wa kiambiri katika kukaia kwake, na kubonya katika dunia na waja waishi wakimuabudu uja mnyamandu wa kiambiri uja ambaye ijeraha jake jamboa.
\v 13 Akabonya miujiza yekona ndigi, hata akabonya modo gusee katika dunia kufuma mlungunyi imbiri ya wandu.
\v 14 na kwa ishara akaruhusiwa kubonya, akawaembia awo waleaga katika dunia, akawagoria kubonya sanamu kwa heshima ya mnyamandu ambaye warikogo wajeruliwa kwa luamba, ela bado adaishi.
\v 15 Akaruhusiwa kufunya pumzi katika ija sanamu ya mnyamandu ili sanamu idime kudeda na kusababisha waja wose walega kumwabudu mnyamandu waswegwe.
\v 16 Pia akalazimisha kila umweri mkonu gwa kujo au katika paji ja wushu.
\v 17 Ikaka ndaidimikanaga kwa kila mndu kudaga au kunguwa isipokuwa okona alama ya mnyamandu, na ihi namba yeko kuwakilisha irina jake.
\v 18 Ihi idahitaji busara. Ikika yeyose okona ufahamu, msige adime kubonya hesambu ya namba ya mnyamandu. Maana ni namba ya kibinadamu. Namba yake ni 666.
\c 14
\cl Sura 14
\p
\v 1 Nikanguwa na nikawona mwana ng'ondi wasimama imbiri yapwa igu ya lugongo sayuni. Andukumweri na ye warikogo 144,000 wekona irina jake na irina ja Aba wake jaandikwa katika vipaji va wushu gwake.
\v 2 Nikasikira sauti kufuma mlungunyi ikisikirigwa kama ngurumoo ra machi mengi na sauti mbaha ya radi. Sauti naisikira ni kama wakabaga vinubi wakabaga vinubi vawe.
\v 3 Wakibora chumbo pya imbiri ra kifumbi cha enzi na imbiri ra waja wekona mbanana bana na wazee. Ndakundae hata okona uwezo gwa kukifunza ugo lumbo isipokuwa kwa 144,000 ambawo wakombolewa kufuma dunienyi.
\v 4 Awa ni waja ambawo ndawakichafuye weni kwa waka, maana wakifunza weni dhidi ya matendo ga zinaa. Niawa ambawo wamnuga mwana ng'ondi kokose agendaga. Awa wakombolewagwa kufuma kwa wanadamu wakika matunda ga kwanza kwa Mlungu na kwa mwanan ng'ondi.
\v 5 Ndakudae tee gwapatikana katika lwaka lawendawalaumiwaga.
\v 6 Nikawona malaika umwi akimburuka gadigadi ya mandulu, ambaye okona ujumbe gwa mlungunyi gwa habari njema kwa kuwa tangazia wekona kuishi dunienyi kwa kila isanga, mbari, lugha, na wandu.
\v 7 Akawanga kwa sauti mbaha, "Mboenyi Mlungu na mnekenyi utukufu. kwa maana muda gwa hukumu gwa avui. Mwabudunyi ye, waumba mbingu na dunia, na bahari, na chemchem ra machi."
\v 8 Malaika umwi - malaika wa kawi - akanugiria akideda, "Wangwa, gwangwa Babeli mbaha, ambaye wanyweshiwe masanga divai ya ukahaba, divai ambayo yaredie ghadhabu igu yake."
\v 9 Malaika umwi - malaika wa kadadu - akawanugiria, akadeda kwa sauti mbaha, "Yeyose amwabudu uyo mnyamandu na sanamu yake, na kuwokera alama katika paji jake ja wushu au mkonunyi,
\v 10 ye pia anyweaga divai ya ghadhabu ya Mlungu, divai ambayo yaandaliwa na kudiwa bila kuchanganywa katika kikombe cha kirea chake. Mndu nywangwa atisegwa kwa modo na modo gwa kiberiti imbiri ra malaika wake watakatifu na imbiri ra mwanang'ondi.
\v 11 Na mosi gwa maumivu gawe akagenda milemile na ndawakogo na mapumziko dime au kio - awo wabudio mnyamandu na sanamu yake, na kila mndu wawokera alama ya irina jake.
\v 12 Ugu wito gwa subira na uvumilivu kwa waamini, waja ambawo watii amri ra Mlungu na imani katika Jesu."
\v 13 Nikasikira sauti kufuma mlungunyi ikideda, "Andika aga: Heri wafu wafwaga katika Mzuri." "Ndiyo," adeda Ngolo, "ili wadime kusogoka kufuma koko kazi rawe, maana matendo gawe gawanungiriaga."
\v 14 Nikanguwa na nikawona kwarikogo na indulu cha chokwa, na waka kuko indulu ni umweri akogo na mfano gwa mwana wa mndu. Warikogo na taji ya dhahabu katika chongo chake na luamba gubirie katika mkonu gwake.
\v 15 Malaika umwi sena akacha kufuma kuko hekalu akawanga kwa sauti mbaha kugenda kwa uja waka katika indulu: "Wusa luamba lwako na uanze kuwasha kwa kuwa muda gwa mavuno gwa wadia, maana mavuno geko katika dunia gawawirwa."
\v 16 Sena uja akogo kuko indulu akaidisha luamba lwake igu ya dunia, na dunia ikakwa shigwa.
\v 17 Na bado malaika umwi akacha kufuma kuko hekalu ja mlungunyi, na ye warikogo na luamba lubirie.
\v 18 Na bado malaika umwi akacha kufuma kuko madhabahu, na malaika akogo na malaika igu ya modo. Akamwanga kwa sauti mbaha malaika ambaye warikogo na luamba lubirie, "Wusa luamba lubirie au ugakusanye matawi ga mzabibu kufuma kuko mzabibu gwa isanga, kwa kuwa zabibu saba rawirwa."
\v 19 Malaika akageja luamba lwake katika dunia na akakusanya mavuno ga zabibu ya dunia na akamburusa katika ipipa ibaha ja divai ya ghadhabu ya Mlungu.
\v 20 Chujio ya divai yapondwa pondwa shigadi ya mzi na mbaga ukadika kufuma katika icho kimo cha hatamu ya farasi, kwa stadia 1,600.
\c 15
\cl Sura 15
\p
\v 1 Sena nikawona ishara imwi mlungunyi, mbaha na yekona kushangaza; kwarikogo na malaika saba weko na mapigo saba, ambawo garikogo mapigo ga mwisho (Katika ago kirea cha Mlungu charikogo chatimilika).
\v 2 Nikawona chija chifumiria kuka bahari ya kiburi yachanganywa na modo, na ikasimama mbai ya bahari ambapo waja warikogo washindi dhidi ya mnyamandu na sanamu yake, na igu ya namba idawakilisha irina jake. Warikogo wawadiria vinubi wanekiwe ni Mlungu.
\v 3 Warikogo wakibora chumbo ra Musa, mtumishi wa Mlungu, na lumbo lwa ng'ondi, "Kazirako ni mbaha na reko na kushangaza, Mzuri Mlungu, utawalaye vose. Mwaminifu na chia rako ni loli, Mzuri wa masanga.
\v 4 Nani ashindwaga kukuhofu we Mzuri na kulitukuza irina jako? kwa kuka we pekee yako ni mtakatifu. masanga gose gachaga na kukuabudu imbiri yako kwasababu umwema na matendo gako gamanyikana."
\v 5 Baada ya malago ago nikanguwa, na sehemu takatifu sana, ambapo kwarikogo na hema ya ushuhuda, yafungukia mlungunyi.
\v 6 Kufuma andu patakatifu sana wakacha saba wekona mapigo saba, warwa mavazi safi, kitani yekona kung'aa na mshipi gwa dhahabu kuzunguluka laga rawe.
\v 7 Umweri wa waja wekona mbanana bana akafunya kwa malika saba mbakuli saba ga dhahabu gachua dhahabu ya Mlungu wekona kuishi milele na milele.
\v 8 Andu patakatifu sana kwachua mosi kufuma kuko utukufu gwa Mlungu na kufuma kuko uwezo gwake. Ndakudae hata umweri wadima kungia mpaka mapigo saba ga malaika saba gakamilika.
\c 16
\cl Sura 16
\p
\v 1 Nikasikira sauti ikiwanga kufunga kuko sehemu ya patakatifu na ikadeda kwa waja malaika saba. "Genda na udie igu ya dunia mabakuli saba ga ghadhabu yaMlungu."
\v 2 Malaika wa kawi akadia ibakuli jake katika dunia; majeraha gazamie na gekona maumivu gabirie gakacha kwawandu wekona alama ya mnyamandu, kwa waja ambawo wariabudu sanamu rake.
\v 3 Malaika wa kawi akadia ibakuli jake katika bahari; ikaka kama mbaga ya mndu wafwa, na kila kiumbe mbanana katika bahari chikafwa.
\v 4 Malaika wa kadadu akedia ibakuli jake katika chemchem ra machi, rikaka mbaga.
\v 5 Nikasikira malaika wa machi akideda, "We ni mwaminifu - umweri akogo na warikogo, mtakatifu - kwa sababu warireda hukumu iri.
\v 6 "Kwa sababu wadia mbaga ra waamini na walodi, wawaneka wo kunywa mbaga, nicho wastahili."
\v 7 Nikasikira madhabahu ikijibu, "Ndiyo Mzuri Mlungu wekona tawala igu ya vose, hukumu rako ni loli na rahaki.
\v 8 Malaika wa kana akadia kufuma koko ibakuli jake igu ya iruwa na jina kanekwa ruhusa kukora wandu kwa modo.
\v 9 Wakakorwa kwa joto jekona kutisha, na wakajikufu idedo ja Mlungu, okona ndigi igu ya mapigo gose. Ndawatubuye wala kumneka ye utukufu.
\v 10 Malaika wa kasanu akalia kufuma kuko ibakuli jake katika kifumbi enzi cha mnyamandu, na kira chikaufunika wuzuri gwake. Wakasaga magego katika maumivu makali.
\v 11 Wakamunyira Mlungu wa mlungunyi kwa sababu ya maumivu gawe na majeraha gawe, na bado wakaendelea kutokuabudu kwa chija wachibonya.
\v 12 Malaika wa sita akadia kufuma kuko ibakuli jake katika mweda mbaha, Frati, na machi gake gakaoma ili kudima kuandaa chia kwa wazuri wachaga kufuma mashariki.
\v 13 Nikawona ngolo idadu chafu niwonekane kama ijula wafunya shigadi ya momu gwa uja choka, uja mnyamandu na uja lodi wa tee.
\v 14 Ni ngolo ra pepo ribonyaa ishara na miujiza. Warkogo wakigenda kwa mzuri wa dunia yose ili kudima kuwakusanya andukuamweri kwa wuda katika sikukuu ya Mlungu, okona kutawala igu ya vose.
\v 15 ("Nguwa! Nidacha kama mwivi! Heri uja adumuye katika kukesha, atunzaye mavazi gake ili asadime kugenda shigadi utu na kuiwona waya gwake.")
\v 16 Waka wareda anduku amweri katika sehgemu iwangiwe katika kiebrania Amagedoni.
\v 17 Malaika wa saba akadia kufuma kuko ibakuli jake katika anga. Kisha sauti mbaha ikasikirigwa kufuma patakatifu na kufuma kuko kifumbi cha enzi, ikideda, "Imekwisha!"
\v 18 Kwarikogo na miale ya mwanga gwa radi ngurumo, vishindo va radi, na tetemeko ja kutisha - tetemeko ibaha ja ndoe ambajo ndajiwahie kufuma dunienyi tangu wanadamu warikogo dunienyi, huwo ni tetemeko ibaha zaidi.
\v 19 Mzi mbaha gukagawanyika katika sehemu idadu, na mzi gwa mataifa ikagwa. Kisha Mlungu akamkumbusha Babeli mbaha, na akagenda mzi ugo kikombe chirikogo chachua divai kufuma kuko ghadhabu yake iko ibirie.
\v 20 Kila kisiwa kikalagaya na chgugongo ndariwonekana sena.
\v 21 Mvua mbaha ra magwe, rikika na uzito gwa talanta, ikasea kufuma mlungunyi igu ya ya wandu, na wakamlaani Mlungu kwa mapigo ya mvua ya magwe kwa sababu jija ipigo jirikogo jizamie sana.
\c 17
\cl Sura 17
\p
\v 1 Umweri wa malaika saba arikogo na vitasa saba akacha na kumgoria, "Choo, ni kubonyeriaga hukumu ya kahaba mbaha igu ya machi mengi,
\v 2 ambae wazuri wa isanga wabonya malago ga uzinzi naye na igu ya mvinyo gwa uzinzi gwake wakaga dunienyi walewagwa."
\v 3 Malaika wakaniwusa katika Ngolo mpaka kireti, na nika mwona mka waka igu ya mnyamandu atikisiye wachua marina ga kuanyira. mnyamandu warikogo na vongo saba na mbembe ikumi.
\v 4 Mka warushigwa nguwo ra zambarau na itinikiye na wapambwa kwa dhahabu, magwe ga thamani, na lulu. Warikogo wawadiria mkonunyi mwake kikombe cha dhahabu cha chua vilambo va machukizo ga uchafu gwa uasherati gwake.
\v 5 Igu ya paji wushu gwake jaandikwa irina ja siri: "BABELI MBAHA, MAWE WA MAKAHABA NA WA VILAMBO VA MACHUKIZO GA ISANGA."
\v 6 Nikawona ya kuwa mka uyo warikogo watungura kwa mbaga ya maumivu na mbaga ya wafwie kwa ajili ya Jesu. Wakati nikimwona, nikaka na mshangao mbaha.
\v 7 Ela malaika akanigoria, "kwaki udashangaa? Nikuriaga maana ya mka na mnyamandu amreiga (mnyamandu uyo okona vongo saba na rija mbembe ikumu).
\v 8 Mnyamandu umwoniye warikogo, ndeko sena ijiaha, ela weko tayari kujoka kufuma katika ishimo jiseko na mwisho. Kisha akendelea na kunona. Waja wakaga igu ya isanga, waja ambawo marina gwawe ndagaandikiwe kuko kitabu cha mbanana tangu kuwikwa misingi ya ulimwengu - washangaaga wakamwona mnyamandu arikogo kwamba ndeko ijiaha, ela weko kavui kucha.
\v 9 Wito ugu ni kwa ajili ya akili riseko na hekima. Vongo saba ni chugongo saba ambapo mka wakaga igu yake.
\v 10 Nayo pia ni wazuri saba. Wazuri wasanu wangwa, umweri weko, na umwi ndachee bado, wakati akacha, akaga kwa muda mvui tu.
\v 11 Mnyamandu akogo, ela ijiaha ndeko, ye pia ni mzuri wa nane, ela ni umweri wa waja wazuri saba, na adagenda kuko kunona.
\v 12 Rija mbembe ikumi wariwona ni wazuri ikumi ambawo ndawawokerie wuzuri, ela wawokeraga mamlaka kama wazuri kwa saa imweri andukumweri na mnyamandu.
\v 13 Awa wekona shauri jimweri, na wamneka ndigi rawe na mamlaka uja mnyamandu.
\v 14 Wakabonya wuda baina yawe na mwana ng'ondi. Ela mwana ng'ondi akawashinda kwa sababu ni Mzuri wa mabwana na mzuri wa wazuri - na katika ye dawangwa, dasagulwe, waaminifu."
\v 15 Malaika akagoria, "Gaja machi wagawona, ago anduwake uja kahaba ni wandu, makutano, masanga na luga.
\v 16 Rija chuembe ikumi wariwona - iro na uja mnyamandu wamreiga uja kahaba. Nawo wabonyaga kuka mpweke na utu, wemjaga muwi gwake, waguteketeza kwa modo.
\v 17 Maana Mlungu wawika ngolonyi kwawe kudwa kusudi jake kwa makubaliano ga kumneka mnyamandu ndigi rawe kumtawala mpaka madedo ga Mlungu andugatimiaga.
\v 18 Uja mka wamwona ni mzi guja mbaha atawalaga igu ya wazuri wa isanga.
\c 18
\cl Sura 18
\p
\v 1 Baada ya vilambo ivi nikamwona malaika umwi akisea ndonyi kufuma mlungunyi. Ye arikogo na mamlaka mbaha, na isanga jikaangazwa kwa utukufu gwake.
\v 2 Akalila kwa sauti mbaha, akideda, "Gwanga, gwangwa, na guja mzi mbaha Babeli! Gwaka sehemu gakega mapepo, na sehemu ikaga kila ngolo chafu, na sehemu akaga kila mchafu na ngonyi achukizaye.
\v 3 Kwa kuwa masanga gose ganywa mvinyo tamaa ya uasherati gwake ambayo yamrediaga ghadhabu. Wauri wa isanga wazini naye. Wafanya biashara wa isanga wake matajiri kwa ndigi na maisha gake ga anasa."
\v 4 Kisha nikasikira sauti imwi kufuma mlungunyi ikideda, fumenyi kwake wandu wapwa, ili mache mkashiriki katika dhambi rake, na ili msache mkamwokera mapigo gake gogose.
\v 5 Zambi rake rarundikana igu kama mbingu, na Mlungu wa gakumba mabonyo gake mauvu.
\v 6 Mlipenyi kama andu wawalipa wamwi, na mumlipe mara kawi kwa jinsi andu wa bonya, katika kikombe wakichanganya, mchangenyi mara kawi kwa ajili yake.
\v 7 Kama anduwakitunza ye mweni, na waishi kwa anasa, mnekenyi mateso mengi na huzuni. Kwa kuwa wadedaga ngolonyi kwake. Na kama malkia wala sio mjane, na wala siwonaga maombolezo.'
\v 8 Kwa huwo ndonyi ya siku imweri mapigo gake gamlemeaga: Maombolezo, na njal. Atatekelezwa kwa modo, kwa kuwa Mzuri Mlungu ni okona ndigi, na ni mhukumu wake."
\v 9 Wazuri wa isanga wazini na kuchanganyikiwa andukumweri naye walilaga na kumwuombolezea wakaguwo na mosi gwa kuya kwake.
\v 10 Wakasima kula naye, kwa hofu ya maumivu gake wakideda, "Ole, ole mzi mbaha, Babeli, mzi gokona ndigi! kwa saa imweri hukumu yako idacha.
\v 11 Wafanya biashara lilenyi, na kuomboleza kwa ajili yake kwa kuwa ndakundae hata umweri anguaga bidhaa rake sana.
\v 12 bidhaa ra dhahabu, fedha, magwe ga thamani, lulu, kitani imboie, zambarau, hariri, itinikie, aina rosera midi ya harufu rimboie, kila chombo cha mbambe ra chovu, kila chombo chamboisigwa kwa midi ga thamani, shaba, chuma, igwe,
\v 13 Mdalasini, viungo, uvumba, manemane, ubani, mvinyo mavuda, mafu gumboie, ngano, ng'ombe na ng'ondi farasi na mangari, na watumwa, na ngolo ra wandu.
\v 14 Matunda wagatamani kwa ndigi rakjo gainga kufuma kwako. Anasa rako rose na mapambo gatoweka. ndagapatikanaga sena.
\v 15 Wafanya biashara wa vilambo ivi wapatie utajiri, kwa mapenzi gake wakasimama kula kufuma kwake kwa sababu ya hofu ya maumivu gake, wakalila na sauti ya maombolezo.
\v 16 Wakideda, "Ole, ole mzi guja mbaha gwarwishigwa kitani imboie zambarau, na itinikie, na kupambwa kwa dhahabu, na vito va thamani na lulu!"
\v 17 Ndenyi ya saa imweri utajiri gose ugo gutoweka. Kilanahodha wa madi, kila baharia, na wose wanamaji na wose wabonyaga kazi baharinyi, wakasimama kula.
\v 18 Wakalila wakiwona mosi gwa kuya kwake wakideda, "Ni mzi gani gulafanana na mzi ugu mbaha?"
\v 19 Wakada chuvumbi igu ya vongo vawe, na wakalilia, wakifuma mbori na kuomboleza, "Ole, ole mzi mbaha andukose wose warikogo na meli rawe baharinyi wakaka matajiri kutokana na mali rawe. Ndenyi ya saa imweri gukaangamizwa."
\v 20 Mbiwenyi igu yake, mlungunyi, inyo waumini, walodi, na walodi, kwa maana Mlungu wareda hukumu yenye igu yake!"
\v 21 Malaika okona ndigi akawusira igwe kama igwe ibaha ja kusagia na akajidaga baharinyi, akideda, "kwa chia ihi, Babeli, guja mbaha, gudagwaga ndonyi kwa ukatili na ndaguwonakanaga sena.
\v 22 Sauti ya vinanda, wanamuziki, wachuzafilimbi, na tarumbeta ndawasikiraga sena kwenyu. Wala fundi wa aina yoyose ndawonekanaga kwenyu. Wala sauti ya kidu ndaisikirikanaga sena kwenyu.
\v 23 Mwanga gwataa ndakuangaza ndenyi yako. Sauti ya Mzuri harusi na bibi harusi nderisikiraga sena ndenyi yako, maana wafanya biashara wako warikogo wabaha wa isanga, na wa isanga, waembiwa kwa wusawi gwako.
\v 24 Ndenyi yako mbaga ya walodi na waamini yawonekane, na mbaga ya wose wabwagiwe igu ya isanga."
\c 19
\cl Sura 19
\p
\v 1 Baada ya malago aga nikasikira sauti kama mlio mbaha gwa ukundi ibaha ja wandu mlungunyi ikideda. Haleluya. Wokovu, utukufu, na ndigi ni ra Mlungu wedu.
\v 2 Hukumu rake ni loli na ra haki, kwa kuwa wamhukumu kahaba mbaha wajinona isanga kwa uzinzi gwake. Wabonya kiasi kwa mbaga ya watumishi wake, ambao yadikiwe ya mweni.
\v 3 Kwa mara ya kawi wakadeda, "Haleluya! mosi kufuma kwake milele na milele."
\v 4 Waja wazee ishirini na bana na viumbe hai bana wakasujudu na kumwabudu Mlungu akaga kifumbi cha enzi. Warikogo wakideda," Amina. Haleluya!"
\v 5 Niko sauti ikafuma kuko kifumbi cha enzi, ikideda, "Msifuni Mlungu wedu, enyi watumishi wake wose, inyo mnaomcha ye, wose waseko umuhimu na wekona ndigi."
\v 6 Niko nikasikira sauti kama sauti ya ikundi ibaha ja wandu, kama sauti ya ngurumo ra radi, ikideda, "Haleluya! Mzuri ni Mlungu wedu, mtawala igu ya wose, hutawala.
\v 7 Na dishangilie na kumboiwa na kumneka utukufu kwa babu harusi na sherehe ya mwana ng'ondi wakcha, na bibi harusi wako tayari."
\v 8 Akaruhusiwa kumshigwa kitani safi na ye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ga waamini).
\v 9 Malaika akadeda nanyi. "Yaandika aga: Wamebarikiwa waalikwa kuko sheteri ya harusi ya mwana ng'ondi." Vile vile akamgoria, "Aga ni madedo ga loli ya Mlungu."
\v 10 Nikasujudu imbiri ya magu gake nikamwabudu, ela akamgoria, "Usabonye huwu! Nyi ni mtumishi mbago na wa mbari rako ni kongo kuguwade ushuhuda gwa Jesu mwabudu Mlungu, kwa kuwa ushuhuda gwa Jesu ni Ngolo ya ulodi."
\v 11 Kisha nikawona mlungunyi rafunguka, na nguwa kwerikogo na farasi wachokwa! Na uja akago wamjoka wawangwaga mwaminifu na wa loli. Wahukumu jwa haki na kubonya wuda.
\v 12 Meso gake ni kama mwali gwa modo, na igu ya chongo chake okona taji nyingi. Okona irina jaandikwa igu yake asajichi mndu yeyose isipokuwa ye mweni.
\v 13 Warwa nguwo yachonywa katika mbaga, na irina jake wawangwaga Neno la Mlungu.
\v 14 Majeshi ga mlungunyi garikogo gakimnugira igu ya farasi wachokwa, wawishiwe kitani imboie, gachokwa na safi.
\v 15 Momunyi kwake kwafumaga luamba lubirie ambago gwa angamizaga masanga, na ye awatawalaga kwa changu cha chuma. Na ye wawadiaga vombo va mvinyo kwavirea vibirie va Mlungu, atawalaga igu ya wose.
\v 16 Naye waandikwa igu ya nguwo rake na katika paja jake irina, MFALME WA WAFALME NA MZURI WA WAZURI.
\v 17 Nikawona malaika wasimama katika iruwa. Akawawanga kwa sauti mbaha wose wamburukaga igu. "chonyi, kusanyikeni pamoja kuko vindo vibaha va Mlungu.
\v 18 Chonyi mje nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya wandu wabaha nyama ya farasi na wajoka farasi, na nyama ya wandu wose, weko huru na watumwa, waseko na umuhimu na wekona ndigi."
\v 19 Nikamwona mnyamandu na wafalme wa isanga pamoja na majeshi gawe. Warikogo wakipanga kwa ajili ya kubonya wuda na umweri wajoka farasi na ijeshi jake.
\v 20 Mnyamandu akawadigwa na mlodi wake watee aribonyie ishara katika uwepo gwake. Kwa ishara iriakawaembia waja waiwokera chapa ya mnyamandu na waisujudia sanamu yake. Wose wawi wakadagwa weko mbanana katika iriwa ja modo jiwakaga kwa kimbiriti.
\v 21 Waja wabaki wakabwagwa kwa luamba gufumie momunyi mwa umweri ajokie igu ya farasi. Nyonyi wose wakaja mizoga ya miwi yawe.
\c 20
\cl Sura 20
\p
\v 1 Kisha nikawona malaika akisea kufuma mlungunyi, akikana ufunguo gwa ishimo jiseko na mwisho na mnyororo mbaha mkonunyi wake.
\v 2 Akamwwada uja choka, choka wa kala, ambae ni ibilisi au shetani, na kumfunga miaka elfu.
\v 3 Akamdaga kuko ishimo jiseko na mwisho, akajifungua na kujikumba mhuri igu yake. Ihi yarikogo huwo ili kwamba asawaambie masanga sena mpaka miaka elfu andu isiaga. Baada ya aho, akasigiriwa huru kwa mda mvui.
\v 4 Kisha nikawona wifumbi va enzi. Warikogo wa vikaria ni waja ambawo warikogo wanekwa mamlaka ga kuhukumu. Vilevile mkawona nafasi ra waja ambawo warikogo wademwa vongo kwa ajili ya ushuhuda kuhusu Jesu na kwa idedo ja Mlungu. Warikogo ndawamwabudu mnyamandu au sanamu yake, na wakalega kuwokera kuko mbanana, na wakatawala andu kumweri na Kristo kwa miaka elfu.
\v 5 Wafu wabakia ndawachee mbananenyi mpakamiaka elfu wakati yasia. Ugu ufufuo gwa kwanza.
\v 6 Mbarikiwa na mtakatifu ni mndu yeyose ambaye awusaga nafasi katika ufufuo gwa kwanza! mauti ya kawi ndaidae ndigi igu ya wandu kama awa. Kuka na makuhani wa Mlungu na Kristo na watawalaga na ye kwa miaka elfu.
\v 7 Wakati miaka elfu ikifikia mwisho, shetani afunguliwaga kufuma gerezanyi mwake.
\v 8 Agendega shigadi kuwaembia masanga katika kona ina ra dunia - Gogu magogu - kuwareda andukumweri kwa ajili ya wuda. Wakaga wengi kama msangaga gwa bahari.
\v 9 Wakagenda igu kuko tambarare ya isanga nawo wakazunguluka kambi ya waumini, mzi gu kundigwaga. Ela modo gwachee kufuma mlungunyi na kuwaangamiza.
\v 10 Shetani, ambaye awaembiaga, akadegwa ndonyi ya iriwa jiwakaga kibiriti, ambamo mnyamandu na mlodi wa tee warikogo wadagwa. Wateswaga dimene kio milele na milele.
\v 11 Kisha nikawona kifumbi cha enzi kibaha chachokwa na uja ambae wake waka igu yake. Dunia na mbingu rikakimbia kula kufuma katika uwepo gwake, ela ndakudage nafasi ya we kugenda.
\v 12 Nikawona wafwie - hodari na waseko wa muhuri wasimama katika kifumbi cha enzi, na vitabu vikafunuliwa. Wafu wahukumiwe kwa chija chiandikiwe ndenyi ya vitabu matokeo ga chija wachibonya.
\v 13 Bahari ikawafunya wafu ambawo warikogo ndenyi yake. kifwa na kuzimu vikawa wafu ambawo warikogo ndenyi yake, na wafu wahukumiwe kulingana na wachibonyie.
\v 14 Kifwa na kuzimu vikadagwa ndonyi ya iruwa ja modo. Ihi ni mkuti ya kawi - iriwa ja modo.
\v 15 Kama irina ja yeyose ndajipatikane jaandikwa ndenyi ya kitabu cha mbanana, akadegwa ndenyi ya iriwa ja modo.
\c 21
\cl Sura 21
\p
\v 1 Kisha nikawona mbingu mpya naisanga ippya, kwa kuwa mbingu ya kwanza na isanga ja kwanza rameria kuida, na bahari ndaiko sena.
\v 2 Nikawona mzi mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambago gwachee ndonyi kufuma mlungunyi kwa mlungu, gwendeli wa kama wawa harusi wapambwa kwa ajili ya mumi.
\v 3 Nikasikira sauti mbaha kufuma kuko kifumbi cha enzi ikideda, "Nguwa makao ga Mlungu geko andukumweri na wanadamu, naye adaishi andukuamweri nawo wakaga wandu wake, na Mlungu mweni akaga nawo na akaga Mlungu wawe.
\v 4 Afutaga kila mbori kufuma katika meso gawe, na ndakulaga na kufwa sena, au kuomboleza, au kulila, au maumivu. Malago ga kala gameria kuida.
\v 5 Ye ambaye warikogo waka igu ya kifumbi cha enzi akadeda, "Nguwa! Nabonya malego gose kuwa mpya." Akadeda, "Andika iji kwa sababu madedo aga ni ga hakika na loli."
\v 6 Akamgoria, "Malago aga gamerie kuida! Nyi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho. Kwa yeyose awonaga kau chem chem ra machi ga mbanana.
\v 7 Ye ashindaga adarithi malago aga, na kukaga Mlungu wake, naye akaga mwanapwa.
\v 8 Ela kama iko kwa wekona wawa, wasioamini, wachukizao, wabwagaji, wazinzi, wasawi, waabudu sanamu, na watee wose, sehemu yawe ikaga katika iriwa ja modo gwa kibiriti gukoraga. Iyo niyo mauti ya kawi."
\v 9 Umweri wa malaika saba akacha kwapwa, umweri ambaye wakogo na mabakuli saba gachua mapigo saba ga mwisho na akadeda, "Choaha. Nikubonyere wawa harusi, mka wa mwana ng'ondi."
\v 10 Kisha akaniwusa kula katika Ngolo kuko lugongo mbaha na akanibonyeria mzi mtakatifu, Yerusalemu gukisea ndonyi kufuma mlungunyi kwa Mlungu.
\v 11 Yerusalemu gwarikogo na utukufu gwa Mlungu, na kumboa kwake kwarikogo kama kito cha thamani, kama igwe ja kioo safi cha yaspi.
\v 12 Kwa rikogo na ukuta mbaha, mlacha gokona mijango ikumi na iwi andukumweri na malaika ikumi na wawi mjangonyi. Igu ya mijango kwarikogo kwaandikwa marina ga makabila ikumi na awi ga wana wa Israeli.
\v 13 Upande gwa mashariki kwarikogo na mijango idadu, upande gwa kusini mijango idadu, upande gwa kazikazini mijango idadu na upande gwa magharibi mijango idadu.
\v 14 Kuta ra mzi rarikogo na misingi ikumi na iwi na igu yake kwarikogo na marina ikumi na iwi ga walodi ikumi na iwi na mwona ng'ondi.
\v 15 Umweri akadeda nanyi warikogo na kipimo cha changu yambirisigwa kwa dhahabu kwa ajili ya kupima mzi, mjango yake na kuta rake.
\v 16 Mzi gukawikwa ndenyi ya mraba: Wulacha gwake gwarikogo sawa na upana gwake. Akipima kwa kipimo cha changu, stadia 12,000 kwa mulacha (wulacha gwake, upana, na kipimo wafwanane).
\v 17 Vilevile akapima ukuta gwake, unene gwake gwarikogo dhiraa 144 kwa kipimo va kibinadamu (ambayo pia ni vipimo vya malaika).
\v 18 Ukuta gwarikogo gwaagwa kwa yaspi na mzigoko na dhahabu safi, kama kiloo safi.
\v 19 Msingi ya ukuta yarikogo yapaswa na kila aina ya igwe ja thamani. Ja kwanza jarikogo yaspi jarikogo yakuti samawi, ja kadadu jarikogo kalkedoni, ja kana zamaridi,
\v 20 Ja kasanu sardoniki, ja sita akiki, ja saba krisolitho, ja nane zabarajadi, ja ikumi na imweri hiakintho, ja ikumi na iwi amethisto.
\v 21 Mijango ikumi na iwi yarikogo lulu ikumi na iwi kila mjango gwa mboisiwe kufuma kuko lulu imweri. Mitaa ya mzi gwarikogo dhahabu safi, ikiwonekana kama kiloo safi.
\v 22 Siwonie hekalu jojose ndenyi ya mzi, kwa kuwa Mzuri Mlungu, ambaye adatawala igu ya vose, na mwana ng'ondi ni hekalu jake.
\v 23 Mzi ndaguhitaji iruwa au mweri ili kuangaza igu yake kwa sababu utukufu gwa Mlungu gwaangaza igu yake, na taa rake ni mwana ng'ondi.
\v 24 Masanga wagendaga kwa mwanga gwa mzi ugo. Wazuri wa dunia waredaga fahari rawe ndenyi yake.
\v 25 Mjango yake ndaifungwaga wakati gwa dime, na ndakukaga na kio aja.
\v 26 Waredaga fahari na heshima ya masanga ndenyi yake.
\v 27 na ndakudae kichafu chingiaga ndenyi yake. Wala yeyose ambaye abonyaga ilago jojose ja waja au kuembia ndangiaga, bali ni waja tu ambawo marina gawe gaandikwa kitabu cha mbanana cha mwana ng'ondi.
\c 22
\cl Sura 22
\p
\v 1 Kisha malaika akanibonyeria mweda gwa machi ga mbanana, machi garikogo ga mng'ao kama gwa bilauri. Garikogo gakitiririka kufuma katika kifumbi cha enzi cha Mlungu na cha mwana ng'ondi.
\v 2 Kuidia gadigadi ya mtaa gwa mzi. Katika kila pembe ya mweda kwarikogo na mdi gwa mbanana guvaga aina ikumi na iwi ra matunda na kuwa matunda kila mweri. Nyasi ra mdi ni kwa ajili ya kumboa kwa masanga.
\v 3 Wala ndekudaga na laana yeyose sena. Kifumbi cha enzi cha Mlungu na cha mwana ng'ondi kikaga ndenyi ya machi, na watumishi wake wamtumikiaga.
\v 4 Wabonyaga wushu gwake na irina jake jikaga igu vipaji va wushu gwawe.
\v 5 Ndakukaga na kiool; ndakuga na hitaji ja mwanga gwa taa au iruwa kwa sababu Mzuri Mlungu aangaza igu yawe. Nawo watawalaga milele na milele.
\v 6 Malaika akamgoria, "Madedo aga ni ga kuaminika na loli. Mzuri Mlungu wa ngolo ra walodi akamduma malaika wake kuwabonyeria watumishi wake kifumiriaga aha kavui."
\v 7 "Nguwa! Nidacha upesi! wabarikiwa ye atii madedo ga ulodi gwa kitabu iki."
\v 8 Nyi, Yohana, niye nisikire na kuwona malago aga. Nagasikire na kugawona, nikangwa ndonyi mweni imbiri ya magu ga malaika kumwabudu, malaika anibonyerie malago aga.
\v 9 Akanigoria, "Usabonye huwo! Nyi ni mtumishi mbago, andukumweri na mbari rako walodi, andukumweri na waja watii madedo ga kitabu iki. Mwabudu Mlungu!"
\v 10 Akamgoria, "Usakumbe muhuri madedo ga ulodi gwa kitabu iki, maana wakati gwafikia kavui.
\v 11 Aseko mwenye haki, aendelee kutokuwa mwenye haki. Ambaeni mchafu kimaadili, na aendelee kuka mwene haki. Eko mtakatatifu, na aendelee kuka mtakatifu."
\v 12 "Nguwa! Nacha upesi. Ujira gwapwa gweko andukumweri nanyi, kumlipa kila umweri kulingana na wachibonya.
\v 13 Nyi ni Alfa na omega, wa kwanza na wa mwisho, mwanzo na mwisho.
\v 14 Wabarikiwa waja waogeshaga mavazi gawe ili kwamba wapate haki ya kuja kufuma katika mdi gwa mbanan na kungia mzi kuidia mjangonyi.
\v 15 Shigadi koko koshi, wasawi, wazinzi, wabwagaji, waabudu sanamu, na kila akundaga na ashuhudiaye ushahidi gwa tee.
\v 16 Nyi, Jesu namduma malaika wapwa kuwashuhudia kuhusu malago aga kwa makanisa. Nyi ni mzizi wa uzao gwa Daudi, Nyerinyeri ya asubuhi ing'aayo."
\v 17 Ngolo na bibi harusi wadeda, "Choo! Na ye asikiaga adede "Choo! Yeyose eko na kau, na ache, na yeyose anaetamani, na apate machi ya mbanana bure.
\v 18 Namshuhudia kila mndu asikiraga madedo ga ulodi wa kitabu iki: kama yeyose aongezaga katika aga, Mlungu amuongezeaga mapigo gaandikiwa katika kitabu iki.
\v 19 Kama mndu yeyose agaijaga madedo ga kitabu iki cha unabii, Mlungu aijaga sehemu yake katika ndigwa mbanana na katika mzi mtakatifu, ambayo habari rake raandikwa ndonyi ya kitabu iki.
\v 20 Ye ashuhudiaga madedo aga adede, "Ndio nacha upesi!" Amina! choo, Mzuri Jesu!
\v 21 Neema ya Mzuri Jesu ike na kila mndu. Amina.

View File

@ -1,3 +1,3 @@
# dav_reg
Dawida (Taita) New Testament
Dawida (Taita) bible

220
issues.txt Normal file
View File

@ -0,0 +1,220 @@
Issues generated 2023-08-16 from C:\WACS\Dawida\dav_reg
------------
Unmarked text at line 1321 in 41-MAT.usfm
Straight quotes found in 41-MAT.usfm: 532 doubles, 98 singles not counting 19 word-medial.
Free floating mark at MAT 2:8: akideda, " ghendenyi
Embedded number in word: u8falme at MAT 5:20
Check the punctuation at MAT 5:22: ,!
Punctuation after quote mark at MAT 5:22: '!
Invalid number prefix: V29 at MAT 5:29
Word medial punctuation in MAT 9:6: zambi..."waghadedie
Word medial punctuation in MAT 13:33: sena,"Ufalme
Word medial punctuation in MAT 16:14: Wakadeda,"Wamwi
Bracket or parens found in MAT 17:21, a verse that is often footnoted
Word medial punctuation in MAT 17:23: wafufuka."Wanafunzi
Word medial punctuation in MAT 18:11: chalaghaya"ndawaghawonekie
Bracket or parens found in MAT 18:11, a verse that is often footnoted
Word medial punctuation in MAT 20:21: indui?"akamghoria,
Word medial punctuation in MAT 21:25: wadamu?"Wakahojiana
Word medial punctuation in MAT 21:27: "ndadimanyaa"Akawaghoria
Bracket or parens found in MAT 23:14, a verse that is often footnoted
Optional text or untagged footnote at MAT 24:15
Free floating mark at MAT 24:26: ijangwenyi, " msaghende
Word medial punctuation in MAT 26:50: jakureda."Niko
Free floating mark at MAT 26:55: umati, " Je!
Word medial punctuation in MAT 27:21: wadedie"Baraba."
Inconsistent chapter titling: ['Sura', 'Sura ya'] in MAT
Straight quotes found in 42-MRK.usfm: 512 doubles, 54 singles not counting 6 word-medial.
Punctuation after quote mark at MRK 3:5: ".
Punctuation after quote mark at MRK 4:39: ".
Bracket or parens found in MRK 7:16, a verse that is often footnoted
Check the punctuation at MRK 8:31: ,.
Bracket or parens found in MRK 9:44, a verse that is often footnoted
Bracket or parens found in MRK 9:46, a verse that is often footnoted
Check the punctuation at MRK 11:3: ?,
Punctuation after quote mark at MRK 11:3: '.
Punctuation after quote mark at MRK 11:14: ".
Bracket or parens found in MRK 11:26, a verse that is often footnoted
Word medial punctuation in MRK 11:32: wadamu,'..."Wawaboa
Free floating mark at MRK 12:10: iji? " Igwe
Invalid USFM token (\lazima) near MRK 12:31
Free floating mark at MRK 12:32: akadeda, " Vema
Punctuation after quote mark at MRK 13:37: "!
Check the punctuation at MRK 14:51: ,;
Bracket or parens found in MRK 14:68, a verse that is often footnoted
Bracket or parens found in MRK 15:28, a verse that is often footnoted
Bracket or parens found in MRK 15:40, a verse that is often footnoted
Untagged footnote (probable) at MRK 16:9: 16:9-20)
Probable chapter:verse reference (16:9) at MRK 16:9 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 16: at MRK 16:9
Invalid number prefix: :9 at MRK 16:9
Untagged footnote (probable) at MRK 16:12: 16:9-20)
Probable chapter:verse reference (16:9) at MRK 16:12 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 16: at MRK 16:12
Invalid number prefix: :9 at MRK 16:12
Untagged footnote (probable) at MRK 16:14: 16:9-20)
Probable chapter:verse reference (16:9) at MRK 16:14 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 16: at MRK 16:14
Invalid number prefix: :9 at MRK 16:14
Untagged footnote (probable) at MRK 16:17: 16:9-20)
Probable chapter:verse reference (16:9) at MRK 16:17 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 16: at MRK 16:17
Invalid number prefix: :9 at MRK 16:17
Straight quotes found in 43-LUK.usfm: 585 doubles, 177 singles not counting 21 word-medial.
Word medial punctuation in LUK 2:10: akawaghoria,"Msaboe,
Check the punctuation at LUK 5:27: ,:
Word medial punctuation in LUK 6:20: kudeda,"Mwambarikiwa
Word medial punctuation in LUK 7:9: kudeda."Nawagoria,
Word medial punctuation in LUK 9:23: wose,"ngelo
Punctuation after quote mark at LUK 9:33: '.
Check the punctuation at LUK 12:55: ,.
Word medial punctuation in LUK 13:6: ughu,"Mundu
Word medial punctuation in LUK 13:8: kudeda,'usighe
Check the punctuation at LUK 14:23: ,;
Word medial punctuation in LUK 14:23: mtumishi,;'Genda
Free floating mark at LUK 15:18: kumgoria, " Aba
Invalid USFM token (\vJesu) near LUK 16:1
Word medial punctuation in LUK 16:15: akawaghoria,"Inyo
Word medial punctuation in LUK 16:24: akadeda,'Aba
Word medial punctuation in LUK 16:25: akadeda,"Mwanapwa
Word medial punctuation in LUK 16:27: akadeda,"Ndakulomba
Word medial punctuation in LUK 16:29: akadeda,"Wanako
Word medial punctuation in LUK 16:30: akadeda;"Aa,
Word medial punctuation in LUK 16:31: akamghoria,"wasachawesikira
Verse fragment: LUK 17:37
Free floating mark at LUK 20:4: wandu? '
Punctuation after quote mark at LUK 21:8: '.
Word medial punctuation in LUK 22:38: akawagoria"idatesha."
Check the punctuation at LUK 23:10: ,.
Bracket or parens found in LUK 23:17, a verse that is often footnoted
Straight quotes found in 44-JHN.usfm: 697 doubles, 42 singles not counting 36 word-medial.
Punctuation after quote mark at JHN 1:49: "!
Bracket or parens found in JHN 5:3, a verse that is often footnoted
Word medial punctuation in JHN 6:64: wasaamini,"kwa
Check the punctuation at JHN 7:2: ,.
Untagged footnote (probable) at JHN 7:53: - 8:11
Probable chapter:verse reference (7: 53) at JHN 7:53 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 7: at JHN 7:53
Invalid number prefix: :11 at JHN 7:53
Probable chapter:verse reference (7: 53) at JHN 8:1 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 7: at JHN 8:1
Probable chapter:verse reference (7: 53) at JHN 8:4 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 7: at JHN 8:4
Probable chapter:verse reference (7: 53) at JHN 8:7 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 7: at JHN 8:7
Probable chapter:verse reference (7: 53) at JHN 8:9 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 7: at JHN 8:9
Check the punctuation at JHN 10:36: ;,
Word medial punctuation in JHN 19:24: ani."Ihi
Straight quotes found in 45-ACT.usfm: 375 doubles, 49 singles not counting 6 word-medial.
Embedded number in word: y6a at ACT 2:36
Invalid USFM token (\vInyo) near ACT 3:15
Invalid number prefix: o0 at ACT 5:2
Word medial punctuation in ACT 5:3: akadeda,"Anania,
Word medial punctuation in ACT 5:8: iyo"Akadeda,
Check the punctuation at ACT 7:26: ,?
Check the punctuation at ACT 7:49: ?,
Word medial punctuation in ACT 7:56: akadeda."Ngowa
Punctuation after quote mark at ACT 8:13: '.
Check the punctuation at ACT 8:36: ?,
Bracket or parens found in ACT 8:37, a verse that is often footnoted
Punctuation after quote mark at ACT 9:40: ".
Check the punctuation at ACT 10:33: ,:
Word medial punctuation in ACT 10:33: inyo,"ndaguko
Word medial punctuation in ACT 11:18: kudeda"Mlungu
Missing verse between: ACT 11:26 and ACT 11:28
Verse out of order: ACT 11:27 after ACT 11:28
Bracket or parens found in ACT 15:34, a verse that is often footnoted
Punctuation after quote mark at ACT 16:15: ".
Punctuation after quote mark at ACT 17:23: ".
Word medial punctuation in ACT 18:9: maono,"usaboe,
Word medial punctuation in ACT 18:21: Mlungu"Baada
Invalid number prefix: o0 at ACT 18:24
Embedded number in word: E4feso at ACT 19:17
Invalid USFM token (\19Nikadeda,) near ACT 22:19
Check the punctuation at ACT 24:5: .(
Word medial punctuation in ACT 24:5: wanazorayo.(zingatia:
Probable chapter:verse reference (24:6) at ACT 24:5 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 24: at ACT 24:5
Invalid number prefix: :6 at ACT 24:5
Check the punctuation at ACT 24:6: .(
Word medial punctuation in ACT 24:6: kala).(zingatia:
Bracket or parens found in ACT 24:6, a verse that is often footnoted
Invalid number prefix: i2 at ACT 25:15
Free floating mark at ACT 26:32: Festo, " mundu
Bracket or parens found in ACT 28:29, a verse that is often footnoted
Straight quotes found in 46-ROM.usfm: 93 doubles, 8 singles not counting 1 word-medial.
Check the punctuation at ROM 1:17: .|
Check the punctuation at ROM 3:21: ,.
Word medial punctuation in ROM 9:25: Husea."Niwawanga
Embedded number in word: y7e at ROM 10:14
Free floating mark at ROM 12:19: yaandikigwe, " 'kisasi
Probable chapter:verse reference (16: 20) at ROM 16:24 belongs in a footnote
Invalid number suffix: 16: at ROM 16:24
Inconsistent chapter titling: ['Sura', 'Sura13'] in ROM
Straight quotes found in 47-1CO.usfm: 93 doubles, 0 singles not counting 10 word-medial.
Check the punctuation at 1CO 3:9: ,.
Punctuation after quote mark at 1CO 4:6: ".
Free floating mark at 1CO 6:18: zinaa! " kila
Straight quotes found in 48-2CO.usfm: 28 doubles, 0 singles not counting 1 word-medial.
No non-English book title for 2CO
Embedded number in word: Kr4isto at 2CO 1:1
Check the punctuation at 2CO 1:8: .,
Verse number in text (probable): 2CO 2:12
Verse number in text (probable): 2CO 9:12
Check the punctuation at 2CO 11:23: .}
Straight quotes found in 49-GAL.usfm: 29 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Embedded number in word: ni8cha at GAL 4:18
Straight quotes found in 50-EPH.usfm: 12 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Straight quotes found in 52-COL.usfm: 4 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Inconsistent chapter titling: ['Sura1', 'Sura'] in COL
Check the punctuation at 1TH 4:16: .,
Straight quotes found in 54-2TH.usfm: 1 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Straight quotes found in 55-1TI.usfm: 6 doubles, 0 singles not counting 1 word-medial.
Invalid number prefix: v1 at 1TI 1:1
Invalid USFM token (\V3) near 1TI 6:3
Straight quotes found in 56-2TI.usfm: 2 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Straight quotes found in 57-TIT.usfm: 2 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Straight quotes found in 59-HEB.usfm: 85 doubles, 3 singles not counting 3 word-medial.
Bracket or parens found in HEB 2:7, a verse that is often footnoted
Embedded number in word: U8saghubonye at HEB 3:8
Missing verse between: HEB 7:26 and HEB 7:28
Empty verse: HEB 7:28
Verse out of order: HEB 7:27 after HEB 7:28
Chapter 7 normally has 28 verses: HEB 7:27
Punctuation after quote mark at HEB 10:9: ".
Missing verse between: HEB 11:12 and HEB 11:14
Empty verse: HEB 11:14
Verse out of order: HEB 11:13 after HEB 11:14
Invalid USFM token (\vc14) near HEB 11:13
Straight quotes found in 60-JAS.usfm: 30 doubles, 0 singles not counting 1 word-medial.
Straight quotes found in 61-1PE.usfm: 16 doubles, 0 singles not counting 3 word-medial.
Straight quotes found in 62-2PE.usfm: 3 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Straight quotes found in 63-1JN.usfm: 6 doubles, 0 singles not counting 0 word-medial.
Bracket or parens found in 1JN 5:8, a verse that is often footnoted
Straight quotes found in 66-JUD.usfm: 2 doubles, 0 singles not counting 1 word-medial.
Straight quotes found in 67-REV.usfm: 165 doubles, 11 singles not counting 40 word-medial.
SUMMARY:
Unmarked text at line 1321 in 41-MAT.usfm --- 1 occurrence(s).
Straight quotes found in --- 22 occurrence(s).
Free floating mark at --- 10 occurrence(s).
Embedded number in word: --- 7 occurrence(s).
Check the punctuation at --- 22 occurrence(s).
Punctuation after quote mark at --- 15 occurrence(s).
Invalid number prefix: --- 11 occurrence(s).
Word medial punctuation in --- 38 occurrence(s).
Bracket or parens found in --- 18 occurrence(s).
Optional text or untagged footnote at MAT 24:15 --- 1 occurrence(s).
Inconsistent chapter titling: ['Sura --- 3 occurrence(s).
Invalid USFM token (\ --- 6 occurrence(s).
Untagged footnote (probable) at --- 5 occurrence(s).
Probable chapter:verse reference ( --- 11 occurrence(s).
Invalid number suffix: --- 11 occurrence(s).
Verse fragment: LUK 17:37 --- 1 occurrence(s).
Missing verse between: --- 3 occurrence(s).
Verse out of order: --- 3 occurrence(s).
No non-English book title for 2CO --- 1 occurrence(s).
Verse number in text (probable): 2CO --- 2 occurrence(s).
Empty verse: HEB --- 2 occurrence(s).
Chapter 7 normally has 28 verses: HEB 7:27 --- 1 occurrence(s).

223
manifest.yaml Normal file
View File

@ -0,0 +1,223 @@
dublin_core:
type: bundle
conformsto: 'rc0.2'
creator: 'AIC- Dundani'
contributor:
- "East-Tz-Wa"
- "Easterntz_Wa"
- "Embracetz"
- "Malelo_East_Tz"
format: 'text/usfm'
identifier: 'reg'
title: 'Dawida Bible '
subject: 'Bible'
description: 'An open-license Bible translation'
language:
identifier: 'dav'
title: 'Dawida'
direction: 'ltr'
source:
-
identifier: 'ulb'
language: 'sw'
version: '7.6'
rights: 'CC BY-SA 4.0'
relation:
- 'dav/reg'
publisher: 'Wycliffe Associates'
issued: '2023-08-16'
modified: '2023-08-16'
version: '1.0'
checking:
checking_entity: []
checking_level: '1'
projects:
-
title: 'Matayo'
versification: ufw
identifier: 'mat'
sort: 40
path: './41-MAT.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Marko'
versification: ufw
identifier: 'mrk'
sort: 41
path: './42-MRK.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Luka'
versification: ufw
identifier: 'luk'
sort: 42
path: './43-LUK.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Yohana'
versification: ufw
identifier: 'jhn'
sort: 43
path: './44-JHN.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Matendo Gha Mitume'
versification: ufw
identifier: 'act'
sort: 44
path: './45-ACT.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Warumi'
versification: ufw
identifier: 'rom'
sort: 45
path: './46-ROM.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '1 Wakorintho'
versification: ufw
identifier: '1co'
sort: 46
path: './47-1CO.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '2 Wakorintho'
versification: ufw
identifier: '2co'
sort: 47
path: './48-2CO.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Wagalatia'
versification: ufw
identifier: 'gal'
sort: 48
path: './49-GAL.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Waefeso'
versification: ufw
identifier: 'eph'
sort: 49
path: './50-EPH.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Wafilipi'
versification: ufw
identifier: 'php'
sort: 50
path: './51-PHP.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Wakolosai'
versification: ufw
identifier: 'col'
sort: 51
path: './52-COL.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '1 Wathesalonike'
versification: ufw
identifier: '1th'
sort: 52
path: './53-1TH.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '2 Wathesalonike'
versification: ufw
identifier: '2th'
sort: 53
path: './54-2TH.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '1 Timotheo'
versification: ufw
identifier: '1ti'
sort: 54
path: './55-1TI.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '2 Timotheo'
versification: ufw
identifier: '2ti'
sort: 55
path: './56-2TI.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Tito'
versification: ufw
identifier: 'tit'
sort: 56
path: './57-TIT.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Filemoni'
versification: ufw
identifier: 'phm'
sort: 57
path: './58-PHM.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Waebrania'
versification: ufw
identifier: 'heb'
sort: 58
path: './59-HEB.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Yakobo'
versification: ufw
identifier: 'jas'
sort: 59
path: './60-JAS.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '1 Petero'
versification: ufw
identifier: '1pe'
sort: 60
path: './61-1PE.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '2 Petero'
versification: ufw
identifier: '2pe'
sort: 61
path: './62-2PE.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '1 Yohana'
versification: ufw
identifier: '1jn'
sort: 62
path: './63-1JN.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '2 Yohana'
versification: ufw
identifier: '2jn'
sort: 63
path: './64-2JN.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: '3 Yohana'
versification: ufw
identifier: '3jn'
sort: 64
path: './65-3JN.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Yuda'
versification: ufw
identifier: 'jud'
sort: 65
path: './66-JUD.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]
-
title: 'Ufunuo'
versification: ufw
identifier: 'rev'
sort: 66
path: './67-REV.usfm'
categories: [ 'bible-nt' ]