forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
586 B
Markdown
13 lines
586 B
Markdown
# haimpasi mwanamume kufunika kichwa chake
|
|
|
|
ikielezwa katika muundo tendaji, inaweza kumaanisha 1) "ni lazima mwanaume asifunike kichwa chake" au 2) " mwanaume hahitaji kufunika kichwa chake"
|
|
|
|
# utukufu wa mwanaume
|
|
|
|
Kama vile mwanaume anavyobeba taswira ya ukuu wa Mungu, mwanamke huonyesha tabia ya mwanaume.
|
|
|
|
# Maana mwanamume hakutokana na mwanamke. Badala yake, mwanamke alitokana na mwanamume
|
|
|
|
Mungu alimuumba mwanamke kwa mfupa kutoka kwa mwanaume. kwa maneno mengine " Mungu hakumuumba mwanaume kutoka kwa mwanamke . Badala yake Mungu alimuumba mwanamke kutoka kwa mwanaume"
|
|
|