forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
531 B
Markdown
17 lines
531 B
Markdown
# Kila mmoja
|
|
|
|
"Kila muumini"
|
|
|
|
# Hii ni kawaida kwa kila kanisa
|
|
|
|
Paulo alikuwa anafundisha waumini katika makanisa yote kufuata katika njia hii.
|
|
|
|
# yeyote alikuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini.
|
|
|
|
Paulo alikuwa anafikisha ujumbe utahiriaji(Wayahudi) "Kwa waliotahiriwa, Mungu alipowaita kuamini, Mlikuwa tayari mmetahiriwa."
|
|
|
|
# Yeyote alipoitwa kwa imani alikuwa hajatahiriwa.
|
|
|
|
Paulo alikuwa sasa anafikisha ujumbe kwa wale walikuwa hawajatahiriwa. "Kwa waliokuwa hawajatahiriwa ,Mungu alipowaita kuamini, mlikuwa bado kutahiriwa."
|
|
|