forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
717 B
Markdown
33 lines
717 B
Markdown
# Msinyimane
|
|
|
|
"Msikatae kulala pamoja wenzi wenu"
|
|
|
|
# Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi
|
|
|
|
Ili mpate muda maalumu wa maombi.
|
|
|
|
# Fanyeni hivyo
|
|
|
|
""Jikabidhi ninyi wenyewe"
|
|
|
|
# kurudiana tena pamoja
|
|
|
|
"Lala pamoja tena"
|
|
|
|
# Kwa sababu ya kukosa kujitawala wenyewe
|
|
|
|
tawala- "Kwa sababu baada ya siku, tamaa yako ya zinaa itakuwa ngumu zaidi kuitawala"
|
|
|
|
# Ninasema vitu hivi kwenu zaidi kama hiari nasio kama amri
|
|
|
|
Hapa inamaanisha 1) kuoana na kulala pamoja 2) kuacha kulala pamoja kwa muda
|
|
|
|
# kama mimi
|
|
|
|
Labda Paulo hakuwahi kuoa au mke wake alifariki.
|
|
|
|
# Lakini kila mmoja na karama yake kutoka kwa Mungu.Mmoja ana aina hii ya karama, na mwingine karama ile.
|
|
|
|
Mungu anawawezesha watu kufanya mambo yanayotofautiana.
|
|
|