forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
395 B
Markdown
12 lines
395 B
Markdown
# magumu katika Yeriko ... tabu katika Israeli
|
|
|
|
Virai hivi vinamaana moja ambayo yaweza kuwa 1) Mungu amempatia Israeli mambo mazuri tu 2) Hakuna dhdambi katika Israeli ambayo itamfanya awahukumu.
|
|
|
|
# kelele za wafalme wao ziko pamoja nao
|
|
|
|
"Wanapiga kelele kwa furaha kwa sababu BWANA ni mfalme wao"
|
|
|
|
# kwa nguvu kama za nyati
|
|
|
|
Mfano huu unamaanisha kuwa nguvu za BWANA ni sawa na nguvu za nyati
|