forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
345 B
Markdown
12 lines
345 B
Markdown
# Nani awezaye kuyahesabu mavumbi ya Yakobo au hata kuhesabu robo ya Israeli?
|
|
|
|
"Hawa Waisraeli ni wengi mno kuwahesabu. Hakuna awezaye kuwahesabu hata robo kwa sababu ni wengi mno"
|
|
|
|
# kifo cha mtu mwenye haki
|
|
|
|
"kifo cha amani cha mtu mwenye haki"
|
|
|
|
# mtu mwenye haki ... uwe kama wake
|
|
|
|
Hizi ni semi zinazowaongelea Waisraeli kuwa kama mtu mmoja.
|