sw_tn/num/23/01.md

12 lines
259 B
Markdown

# Balaki
Tazama 22:2
# Uandae mafahri saba na kondoo dume saba
"uchinje mafahari saba na kondoo dume saba kuwa sadaka"
# simama kwenye sadaka yako ya kuteketezwa na mimi nitaenda
"baki hapa na sadaka yako ya kuteketetezwa na mimi nitaenda umbali kidogo"