forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
446 B
Markdown
24 lines
446 B
Markdown
# akapigana dhidi ya Israeli
|
|
|
|
"Majeshi yake yakapigana dhidi ya Waisraeli"
|
|
|
|
# Israeli akaapa
|
|
|
|
"watu wa Israeli wakaapa" au "Waisraeli wakafanya kiapo"
|
|
|
|
# BWANA akaisikia sauti ya Israeli
|
|
|
|
"alifanya kile Israeli alichoomba"
|
|
|
|
# sauti ya Israeli
|
|
|
|
ambacho Israeli aliomba
|
|
|
|
# Wakawaangamiza kabisa pamoja na miji yao
|
|
|
|
"Watuwa Israeli wakaliangamiza kabisa jeshi la Wakanaani na miji yao"
|
|
|
|
# Mahali pale paliitwa Horima
|
|
|
|
"Wakapaita mahali pale Horima"
|