# kwa hiyo mfalme wa Edomu akawa kinyume cha Israeli kwa mkono wenye nguvu pamoja na jeshi kubwa sana.
"mfalme wa Edomu akatuma jeshi kubwalenye askari wengi ili kuwavamia Waisraeli"
# kupita kwenye mipaka yake
Neno "yake" linamaanisha Waedomu