forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
356 B
Markdown
16 lines
356 B
Markdown
# maiti zenu zitaanguka
|
|
|
|
"mtakufa"
|
|
|
|
# Watoto wenu watakuwa wachungaji kwenye jangwa hili
|
|
|
|
"watoto wenu watazungukazunguka kwenye jangwa hili" kwa sababu wachungaji huzungukazunguka wakitafuta malisho.
|
|
|
|
# Lazima watabeba madhara ya matendo yenu
|
|
|
|
"Lazima wapate mateso kwa sababu ya matendo yenu"
|
|
|
|
# mpaka mwisho wa maiti ya mwisho
|
|
|
|
"mpaka wote mtakapokufa"
|