forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
403 B
Markdown
20 lines
403 B
Markdown
# Sini ... Rehobi ... Zoani
|
|
|
|
Haya ni majina ya maeneo
|
|
|
|
# jangwa la Sini
|
|
|
|
Neno "Sini" ni jina la Kihebrania lenye maana ya jangwa.
|
|
|
|
# Hebroni ilikuwa imejengwa miaka saba kabla ya Zoani ya Misri
|
|
|
|
"Wakanaani walikuwa wameijenga Hebroni miaka 7 kabla ya kuijenga Zoani"
|
|
|
|
# Ahimani ... Sheshai ... Talmai
|
|
|
|
Haya ni majinia ya koo zilizokuwa zimeitwa kufuata mababu zao.
|
|
|
|
# Anaki
|
|
|
|
Hili ni jina la mwanamume
|