forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
488 B
Markdown
24 lines
488 B
Markdown
# Gerishono ... Merari
|
|
|
|
Tazama 3:17
|
|
|
|
# kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji
|
|
|
|
"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi yao"
|
|
|
|
# chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani
|
|
|
|
"chini ya usimamizi wa Kuhani Ithamari mwana Haruni" au "Ithamri mwana wa Haruni kuhani alisimamia kazi yao"
|
|
|
|
# Ithamri
|
|
|
|
Tazama 3:1
|
|
|
|
# Alifanya hivi kwa sababu
|
|
|
|
Kiwakilishi "a" kinamwakilishsa Musa
|
|
|
|
# kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao
|
|
|
|
"kwa sababu hivyo ndivyo walivyowataka wafanye kazi zao"
|