forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
470 B
Markdown
20 lines
470 B
Markdown
# dhambi yeyote ambayo watu hufanyiana
|
|
|
|
"dhambi yeyote ambayo watu hufanya dhidi ya mwingine"
|
|
|
|
# mtu huyo atakuwa na hatia kwangu
|
|
|
|
"mtu huyo atakuwa amenikosea mimi pia"
|
|
|
|
# malipo ya hatia yake
|
|
|
|
"kiwango sahihi cha fedha kwa dhambi yake"
|
|
|
|
# na kuongeza kwenye malipo hayo sehemu ya tano zaidi
|
|
|
|
sehemu ya tano zaidi. Hii inamaanisha kuwa mtu atalipa sehemu ya tano zaidi ya malipo anayotakiwa kulipa.
|
|
|
|
# sehemu ya tano
|
|
|
|
Sehemu ya tano ni sehemu moja kati ya vitu vitano.
|