forked from WA-Catalog/sw_tn
610 B
610 B
Mbao za hema
Hizi ni mbao zinazotenegenezwa kwa kuunganisha vipande viwili vya mbao.
mataruma
Hii ni mihimili inayolifanya jengo kuwa na imara.
nguzo
Nguzo ni ubao imara unaosimamishwa wima ili kushikilia kitu.
makalishio
hivi ni vitu ambavyo viliwekwa mahali ambapo nguzo zilisimikwa.
vifaa vya ujenzi
Hii inamaanishsa kila kitu ambacho kilitumika kwa kuunganishia mataruma, nguzo na makalishio
pamoja na vigingi vyake
kiwakilishi "vyake" inamaanisha mihimili na nguzo.
vitundu, vigingi na kamba zake
Hivi ni vifaa ambavyo vilitumika ili kuunganisha mbao zilizolazwa kwenye nguzo.