forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
477 B
Markdown
16 lines
477 B
Markdown
# Zilitokana na Gerishoni
|
|
|
|
Hapa mwandishio anatumia neno "kutokana" na kuonyesha kama unaotoka kwa. "Zinatoka kwa Gerishoni"
|
|
|
|
# Walibini ... Washimei ... Wagerishoni
|
|
|
|
Walibini n a Washimei ni majina ya koo waliotajwa kwa kufuata vichwa vya familia zao. Wagerishoni ni jina la watu wanaotokanana Gerishoni.
|
|
|
|
# Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa
|
|
|
|
Musa aliwahesabu wanaume wote kuanzia wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi.
|
|
|
|
# 7,500
|
|
|
|
elfu saba na mia tano
|