forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
565 B
Markdown
20 lines
565 B
Markdown
# Wale makuhani waliokuwa wametiwa mafuta na kuwekwa wakfu.
|
|
|
|
"wale makuhani ambao Musa aliwatia mafuta na kuwaweka wakfu"
|
|
|
|
# Nadabu ... Abihu ... Ithamari.
|
|
|
|
Tazama 3:1
|
|
|
|
# walikufa mbele za BWANA
|
|
|
|
Kirai cha "walikufa" kinamaanishsa kufa ghafula. "Walikufa ghafula mbele za BWANA"
|
|
|
|
# Mbele za BWANA
|
|
|
|
iNamaanisha uwepo wa BWANA, kwa maana ya kwamba BWANA aliona kila kitu kilichokuwa kikitokea. Au "Katika uwepo wa BWANA"
|
|
|
|
# Walipomtolea moto usiokubalika
|
|
|
|
Neno "moto" limetumika kumaanisha "uvumba wa kufukiza." Walichoma uvumba wa kufukiza ambao BWANA hakuukubali."
|