forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
627 B
Markdown
16 lines
627 B
Markdown
# Na aliwaambia wanafunzi wake kuwa na mtubwi mdogo... ili kwamba wasije wakamsonga.
|
|
|
|
Kama ilivyokuwa umati mkubwa ulikuwa unamsonga Yesu, alikuwa katika hatari ya kusongwa. Katika mstari wa 9-10 yameunganishwa na kusemwa taarifa dhabiti kwa usahihi.
|
|
|
|
# aliwauliza wanafunzi wake
|
|
|
|
"Yesu aliwambia wanafunzi wake"
|
|
|
|
# Kwa kuwa aliponya wengi, ili kwamba
|
|
|
|
Neno "wengi" umaanisha idadi kubwa ya watu waliokwisha ponywa na Yesu. "Kwa sababu Yesu alikuwa ameponya tayari watu wengi, kila mmoja"
|
|
|
|
# yeyote aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumsogelea ili kwamba amguse.
|
|
|
|
"wagonjwa wote walimsonga wakiwa na shauku ya kumgusa"
|