sw_tn/luk/24/50.md

12 lines
253 B
Markdown

# Ikatokea
"Ilitokea"
# alipokuwa akiwabariki
"wakati Yesu alipokuwa anamuomba Mungu kuwatendea mema"
# akabebwa
Kwa sababu Luka haelezei kiuwazi nani alimbeba Yesu kwenda juu, hatujui kama alikuwa Mungu mwenyewe au malaika mmoja au malaika wengi.