forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
777 B
Markdown
24 lines
777 B
Markdown
# Kisha wakamwambia Yona
|
|
|
|
"Kisha wale watu waliokuwa wakifanya kazi katika meli wakamwambia Yona"
|
|
|
|
# Tafadhali tuambie ni nani ndiye sababu ya mabaya haya yanayotupata
|
|
|
|
"Ni nani aliyesababisha jambo hili baya ambalo linatupata?"
|
|
|
|
# kumhofia Bwana
|
|
|
|
Neno "hofu" linamaanisha Yona anamheshimu sana Mungu.
|
|
|
|
# Ni nini hiki ambaco umekifanya?
|
|
|
|
Watu katika meli walitumia swali hili la kuvutia ili kuonyesha jinsi walipokuwa wakiwa na uchungu na Yona. AT "Umefanya jambo baya."
|
|
|
|
# alikuwa akikimbia mbele za uwepo wa Bwana
|
|
|
|
Yona alikuwa akimkimbia Bwana. Yona alikuwa akitaka kumkimbia Bwana kama Bwana alikuwapo tu katika nchi ya Israeli.
|
|
|
|
# kwa sababu alikuwa amewaambia
|
|
|
|
Nini aliwaambia inaweza kuelezwa wazi. AT "kwa sababu alikuwa amewaambia "ninajaribu kuondoka mbali na Bwana"
|