forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
359 B
Markdown
12 lines
359 B
Markdown
# Pilato pia aliandika alama na kuiweka juu ya msalaba
|
|
|
|
hapa inamaanisha mtu aliyeandika kwa niaba ya Pilato na kuiweka juu ya msalaba wa Yesu
|
|
|
|
# Hapo paliandikwa: YESU MNAZARETHH, MFALME WA WAYAHUDI
|
|
|
|
Unaweza pia kutafsiri hii kama: "hivyo yule mtu aliandika maneno haya: Yesu ya nazarethi, mfalme wa Wayahudi"
|
|
|
|
# Kiyunani
|
|
|
|
Hii ni lugha ya serikali ya Kirumi
|