forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
345 B
Markdown
16 lines
345 B
Markdown
# Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Muda umepita na sasa ni saa la sita, wakati Pilato anawaagiza askari wamsulibishe Yesu.
|
|
|
|
# saa la sita
|
|
|
|
kama muda wa mchana
|
|
|
|
# Pilato akwaambia Wayahudi
|
|
|
|
Hapa inamaanisha Pilato aliwaambia viongozi wa Kiyahudi
|
|
|
|
# Je, mimi nimsulibishe mfalme wenu?
|
|
|
|
Pilato anawauliza Wayahudi ikiwa wanataka askari wake wamsulibishe Yesu.
|