forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
500 B
Markdown
20 lines
500 B
Markdown
# Hamkunichagua mimi
|
|
|
|
Yesu anasema kuwa wanafunzi wake hawakuchagua wenyewe kuwa wanafunzi
|
|
|
|
# nendeni mkazae matunda
|
|
|
|
hii inamaanisha kuishi maisha yanayompendeza Mungu
|
|
|
|
# kwamba matunda yenu yapate kukaa
|
|
|
|
matokeo ya matendo yenu yadumu milele
|
|
|
|
# lolote muombalo kwa Baba kwa jina langu, atawapeni
|
|
|
|
"jina langu" ni kiwakilishi cha mamlaka ya yesu.
|
|
|
|
# Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake
|
|
|
|
Upendo wa aina hii unatoka kwa Mungu na unawafaidia wengine pasipo kujali matendo yao.
|