forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
353 B
Markdown
12 lines
353 B
Markdown
# amini, amini
|
|
|
|
Hii ina maana ya kumwamini Yesu, ndiyo kwamba, Kuamini kwamba ni Mwana wa Mungu, kumtumaini yeye kama Mwokozi, na kuishi katika njia ambayo inamweshimu yeye.
|
|
|
|
# Chochote mkiombacho katika jina langu, nitafanya
|
|
|
|
Hii ni hali ya kuonesha ukuu na uwezo wa Yesu
|
|
|
|
# Baba...Mwana
|
|
|
|
Hivi na vyeo muhimu vikielezea uhusiano kati ya Mungu na Yesu.
|