# Hawezi kutunza sabato
Hii inamaanisha kuwa hakutii sheria kuhusu Sabato.
# Ishara
Miujiza pia yaweza kuitwa ishara kwa sababu imetumika kama viashirio au ushahidi kwamba Mungu ana uwezo wote aliye na mamlaka kamili juu ya ulimwengu.