forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
290 B
Markdown
16 lines
290 B
Markdown
# Ndipo Mafarisayo walipowajibu
|
|
|
|
Hapa "wao" inamaanisha walinzi wa hekalu.
|
|
|
|
# Kupotoshwa
|
|
|
|
Kudanganywa
|
|
|
|
# Kuna yeyote kati ya watawala aliyemwamini, au yeyote kati ya Mafarisayo?
|
|
|
|
"Si watawala wala Mafarisayo waliomwamini."
|
|
|
|
# Sheria
|
|
|
|
Hii ilirejea sheria ya Mafarisayo na si sheria ya Musa.
|