forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
577 B
Markdown
20 lines
577 B
Markdown
# Baba mwenye uzima
|
|
|
|
Hii inaweza 1) "Baba atoaye uzima" au "Baba aishie," kama watu au wanyama wanavyoishi, kinyume cha "kifo"
|
|
|
|
# Baba
|
|
|
|
hiki ni cheo muhimu kwa Mungu.
|
|
|
|
# Baba mwenye uzima alinituma...kwa sababu ya Baba...yeye anilaye...ata...ishi kwa sababu ya
|
|
|
|
Yesu alitumwa na Baba, na anaishi kama mwanadamu kwa sababu ya Mungu Baba. Kama Mungu Mwana alivyotumwa na Mungu Baba, Yesu ni chanzo cha uzima wa milele.
|
|
|
|
# mababa
|
|
|
|
"mababa wa zamani"
|
|
|
|
# Yesu aliyasema mambo haya ndani ya Sinagogi... huku Kaperanaumu
|
|
|
|
hii ni babari ya nyuma kuhusu wakati tukio hili lilipotukia.
|