forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
515 B
Markdown
12 lines
515 B
Markdown
# Wayahudi walitumwa kwake kutoka Yerusalemu
|
|
|
|
Hapa mwandishi anatumia mfano. Neno "Wayahudi" limetumika kwa kuwakilisha "Viongozi wa Kiyahudi." AT:" Viongozi wa Kiyahudi waliwatuma kwake kutoka Yerusalemu.
|
|
|
|
# Yeye alisema wazi, wala hakukana
|
|
|
|
Neno la pili linaeleza maneno hasi ambayo neno la kwanza linachokisema katika mtazamo chanya. Hii inasisitiza kuwa Yohana alikuwa akisema kweil.AT: "Aliwambia ukweli bila woga".
|
|
|
|
# U nani?
|
|
|
|
AT: "U nani ni kama sio Masihi"? au " Nini kinachoendelea?" au " Unafanya nini."
|