forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
748 B
Markdown
20 lines
748 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza juu ya Yerusalemu kana kwamba ilikuwa mama.
|
|
|
|
# kama mto ... kama kijito kinachomwagikia
|
|
|
|
Hii ina maana Mungu atasababisha watu wa mataifa kuleta kiasi kikubwa cha utajiri, ambacho kitakuwa cha kudumu kama mto na wingi.
|
|
|
|
# Utanyonya kando yake, kubebwa mikononi mwake, na kuchezeshwa juu ya magoti yake
|
|
|
|
Hii ina maana Yerusalemu itakuwa sehemu ya usalama na faraja kwa watu wa Mungu.
|
|
|
|
# kubebwa mikononi mwake, na kuchezeshwa juu ya magoti yake
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "atakubeba mikononi mwake na kukurusha juu ya magoti yake kwa furaha"
|
|
|
|
# kwa hiyo nitakufariji, na utafarijiwa Yerusalemu
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kwa hiyo nitakufariji katika Yerusalemu"
|