forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.2 KiB
Markdown
44 lines
1.2 KiB
Markdown
# kusujudu
|
|
|
|
Hii ina maana ya kuinama au kupiga goti chini kabisa kwa kuonyesha unyenyekevu wa heshima na taadhima kwa mtu.
|
|
|
|
# kwa watu wa nchi ile, kwa wana wa Hethi
|
|
|
|
"kwa wana wa Hethi waliokuwa wakiishi katika eneo lile"
|
|
|
|
# wana wa Hethi
|
|
|
|
Hapa "wana" ina maana ya wale amabo wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"
|
|
|
|
# wafu wangu
|
|
|
|
Kivumishi kidogo "wafu" kinaweza kuelezwa kama kivumishi au kitenzi. "mke wangu aliyekufa" au "mke wangu ambaye amekufa"
|
|
|
|
# Efroni .... Sohari
|
|
|
|
Haya ni majina ya wanamume.
|
|
|
|
# pango la Makpela, ambalo analimiliki, ambalo liko mwishoni mwa shamba lake
|
|
|
|
"pango lake ambalo lipo mwishoni mwa shamba lililoko Makpela"
|
|
|
|
# pango la Makpela
|
|
|
|
"pango lililoko Makpela". Makpela ilikuwa jina ya eneo au sehemu. Efroni alimiliki shamba katika Makpela na pango ambalo lilikuwa katika shamba.
|
|
|
|
# ambalo analimiliki
|
|
|
|
Hii inatueleza jambo kuhusu pango lile. Efroni alimiliki pango lile.
|
|
|
|
# ambalo liko mwishoni mwa shamba lake
|
|
|
|
Hii pia inatumabia jambo kuhusu pango lile. Pango lilikuwa mwishoni mwa shamba la Efroni.
|
|
|
|
# aniuzie waziwazi
|
|
|
|
"niuzie mbele yenu wote" au "niuzie mbele ya uwepo wenu"
|
|
|
|
# kama miliki
|
|
|
|
"kama kipande cha nchi ambacho nitamiliki na kutumia"
|