forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
670 B
Markdown
16 lines
670 B
Markdown
# matendo yetu maovu na makosa yetu makuu
|
|
|
|
najina :maovu" na "makosa" yanaweza kutafsiriwa kama majina na kivumishi. AT:"kwa sababu ya mambo mabaya tuliyofanya na kwa sababu tulikuwa na makosa"
|
|
|
|
# hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na kutuacha kama mabaki
|
|
|
|
"ulikuwa na haki kama ungetuangamiza sote, lakini ukutuadhibu na matokeo yake ukatuacha tukiwa hai"
|
|
|
|
# tunaweza kuvunja tena amri zako na kufanya...watu?
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT: "hili ni kosa kubwa sana kwamba baadhi tumevunja amri zako na kufanya ...watu."
|
|
|
|
# huwezi kuwa na hasira....kutoroka?
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa kama maelezo.AT:"ninaogopa kwamba utachukia....kutoroka"
|