forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
767 B
Markdown
28 lines
767 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla:
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kunena na Ezekieli.
|
|
|
|
# Bwana Yahwe
|
|
|
|
Jina halisi la Mungu wa Kweli alilojifunua kwa wa Israeli.
|
|
|
|
# Piga makofi na kanyaga kwa mguu wako
|
|
|
|
Ezekieli alikuwa afanye hili tendo la ishara kupata umakini wa watu. Hii haikuwa makofi.
|
|
|
|
# Ole
|
|
|
|
Neno "Ole" limetumika kuelezea huzuni.
|
|
|
|
# nyumba ya Israeli
|
|
|
|
Neno "nyumba" ni mfano kwa ajili ya familia iishiyo katika nyumba, katika kesi hii Waisraeli, uzao wa Yakobo zaidi ya miaka mingi. "kundi la watu wa Israeli"
|
|
|
|
# Kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa, na tauni.
|
|
|
|
"Kwa kuwa watakufa kwa upanga, njaa, na tauni." "Upanga", "njaa", na "tauni" ni njia mbali mbali watakazokufa. Upanga "upanga" inawakilisha vita.
|
|
|
|
# nitaikamilisha ghadhabu yangu juu yao
|
|
|
|
"nitatosheleza hasira yangu juu yao"
|