forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
1.2 KiB
Markdown
48 lines
1.2 KiB
Markdown
# Katika mwaka wa kumi na tatu
|
|
|
|
Huu ni mwaka wa kumi na tatu ya uhai ya Ezekieli.
|
|
|
|
# mwezi wa nne, na siku ya siku ya tano ya mwezi
|
|
|
|
"siku ya tano ya mwezi wa tano." Huu ni mwezi wa nne wa kalenda ya Kiebrania. Siku ya tano inakaribia mwishoni mwa mwezi wa sita kwenye kalenda za Magharibi.
|
|
|
|
# Ikawa kwamba
|
|
|
|
Hili neno limetumika hapa kuonyesha tukio muhimu katika hadithi.
|
|
|
|
# Nilikuwa nikiishi miongoni mwa mateka
|
|
|
|
Neno "Mimi" inamrejelea Ezekieli. "Nilikuwa miongoni mwa mateka"
|
|
|
|
# Nikaona maono ya Mungu
|
|
|
|
"Mungu alinionyesha mambo yasiyo ya kawaida"
|
|
|
|
# ilikuwa mwaka wa tano wa uhamisho wa Mfalme Yehoyakini
|
|
|
|
Kupitia hiki kitabu, Ezekieli ataandika tarehe juu ya lini Wababeli waliwalazimisha Yehoyakini kuondoka Yerusalemu.
|
|
|
|
# kwa Ezekieli ... juu yake huko
|
|
|
|
Ezekieli anajizungumzia yeye mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine.
|
|
|
|
# neno la Yahwe lika kwa nguvu kwa Ezekieli
|
|
|
|
"Yahwe alinena kwa nguvu na Ezekieli"
|
|
|
|
# Buzi
|
|
|
|
jina la kiume
|
|
|
|
# Keberi Kanali
|
|
|
|
Huu ni mto ambao watu katika Kaldea walichimba kupeleka maji kwenye bustani zao. "Mto Keberi"
|
|
|
|
# mkono wa Yahwe ulikuwa juu yake
|
|
|
|
Neno "mkono" mara nyingi limetumika kurejelea nguvu ya mtu au tendo.
|
|
|
|
# Yahwe
|
|
|
|
Hili ni jina la Mngu ambaye aliyejifunua kwa watu wake katika Agano la Kale.
|