forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
984 B
Markdown
44 lines
984 B
Markdown
# akasima mbele za Musa
|
|
|
|
"akasimama na Musa katika mlima"
|
|
|
|
# akatamka jina "Yahweh"
|
|
|
|
Maana zinazo wezekana ni 1) "alitaja jina "Yahweh"' au 2) "alikiri Yahweh ni nani." Kwa maana ya pili, "jina" lina wakilisha Mungu ni nani.
|
|
|
|
# Yahweh, Yahweh, Mungu ni wa rehema na wa neema
|
|
|
|
Mungu anaongea kuhusu yeye.
|
|
|
|
# anadumu katika uwaminifu wa agano na uadilifu
|
|
|
|
"mara zote anaonyesha uwaminifu wa agano na uadilifu"
|
|
|
|
# anadumu katika uwaminifu wa agano
|
|
|
|
"mara zote ni mwaminifu wa agano langu"
|
|
|
|
# anadumu katika ... uadilifu
|
|
|
|
"mara zote uwa mwadilifu"
|
|
|
|
# Lakini
|
|
|
|
Yahweh anazungmza kuhusu yeye.
|
|
|
|
# hamsafishi mwenye hatia
|
|
|
|
Yahweh anazungmza kuhusu yeye.
|
|
|
|
# hamsafishi mwenye hatia
|
|
|
|
"hakika hasafishi mwenye hatia" au "hakika hatasema kwamba mwenye hatia hana makosa" au "hata wa weka huru watu wenye hatia"
|
|
|
|
# Ataleta adhabu ya dhambi za baba kwa watoto wao
|
|
|
|
Kutoa hadhabu kuna ongelewa kana kwamba hadhabu ni kitu mtu anaweza kuleta kwa watu.
|
|
|
|
# watoto wao
|
|
|
|
Neno "watoto" la wakilisha uzao.
|