forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
493 B
Markdown
12 lines
493 B
Markdown
# Wakati akaapo kwenye kiti cha enzi chake cha ufalme
|
|
|
|
Hapa "kiti cha enzi" uwakilisha ngu ya mtu na mamlaka kama mfalme. Kukaa kwneye kiti cha enzi umaanisha kuwa mfalem.
|
|
|
|
# kutoka sheria ambayo ilikuwa mbele ya makuhani, ambao ni Walawi
|
|
|
|
"kutoka kwenye nakala ya sheria ambayo makuhani wa kilawi walitunza"
|
|
|
|
# ili kuyashika yote maneno ya sheria na amri hizi, kuzitama
|
|
|
|
Haya makundi ya maneno umaanisha kimsingi kitu kilekile na kusisitiza kwamba mfalme anapaswa kutii sheria zote za Mungu.
|