forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
340 B
Markdown
16 lines
340 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Jihadhari wewe mwenyewe
|
|
|
|
kuwa mwangalifu
|
|
|
|
# kila eneo ambalo unaloliona
|
|
|
|
"eneo lolote ambalo linakubariki wewe" au " popote unataka"
|
|
|
|
# lakini ni mahali ambapo Yahwe atachagua
|
|
|
|
Sadaka za kuteketeza zinapaswa kufanywa hekaluni. Yahwe mwenyewe atachagua wapi hekalu liwekwe.
|