forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
475 B
Markdown
16 lines
475 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Jamii iliyokuwa inamsikiliza Stefani ilikuwa inajua kuwa Musa alikuwa amemwoa mwanamke wa kimidiani alipokimbia kutoka Misri.
|
|
|
|
# Baada ya kusikia haya
|
|
|
|
Musa alipotambua kuwa Waisraeli wanajua kuwa alikuwa amemwua Mmisri siku moja kabla.
|
|
|
|
# Baada ya miaka arobaini kupita
|
|
|
|
Wakati miaka arobaini imepita baada ya Musa kutoka Misri.
|
|
|
|
# malaika akamtokea
|
|
|
|
Stefano alikuwa akiongea na kungi ambalo lilijua pia kuwa Mungu aliongea na Musa kwa njia ya Malaika.
|