forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
354 B
Markdown
16 lines
354 B
Markdown
# Numba ishirini na nne
|
|
|
|
Numba ina - "vidole 24 vya mikono na miguu kwa pamoja"
|
|
|
|
# Mrefai
|
|
|
|
Kundi hili la watu walijulikana kwa ushujaa wao mkubwa.
|
|
|
|
# Yonathani mwana wa Shama
|
|
|
|
Huyu alikuwa nduguye Daudi.
|
|
|
|
# waliuawa kwa mkono wa Daudi na kwa mkono wa askari wake
|
|
|
|
"kwa mkono wa" humaanisha "kupitia" au "kwa". Maana yake ni Daudi na watu wake waliwaua.
|