|
# Yoabu aliambiwa
|
|
|
|
Yaweza kuelezwa kuwa kuna mtu alimwambia Yoabu.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hii inavuta makini ya mtu kwa ajili ya kifuatacho.
|
|
|
|
# Hivyo siku ile ushindi uligeuzwa kuwa maombolezo kwa jeshi lote
|
|
|
|
Hii inamaanisha kwamba jeshi lote liliomboleza badala ya kusherehekea.
|